Najua hili neno n wengi walitoka hiyo siku kama wamekwazika Mungu amekufunulia ufunuo wa kweli atakaye kubali na kusikia huo ujembe atabarikiwa atakaye kata damu yake haitadaiwa kwako Amen
The grace which is upon this man of God is too much. I started listening to his songs a while ago and they are powerful worship songs. He uplifts the spirit of God in me. God bless you man of God.
Amen mtumishi nimebarikiwa sana na mahubiri yako mungu anipe neema kupitia madhabahu haya. Naomba uniambie Ile song nimekukimbilia ewe Bwana ili nisihaibike.Asante Re.Abiudi.
MUNGU Akubariki Mchungaji Abiud kazi Yako ni njema nakupata nikiwa Marekani Unakumbuka Wimbo wako mke wako akiwa mazito Acheni MUNGU aitwe MUNGU analiangalia neno lake alitimize Umemtimikia Kwa Uaminifu MUNGU aendelee kukuinua Wengine wajifunze kutoka kwako Unabariki watu wengi Amina🙏🙏🙏🙏
Asante kwa somo zuri Mt wa Mungu Nina swali baba,je kama huyo ninaemwita babangu wa kiroho anabia ya uzinzi nikae hapo kanisani tuu au niondoke maana biblia inasema tuikimbie zinaa
Yani napona jamani tupate wapi mtu kama huyu ambaye Mungu anaka ndani yake mchungaji unahubiri kweli ya Mungu bila kupindisha tupate wapi watu kama wewe barikiwa sana
Kuhusu mapambo ni kweli sio mazuri sku 1 nilionyeshwa mtu kafumua lasta wadudu wanatoka nikaogopa sana Mungu atusaidie balikiwa sana baba somo zuri sana.
Mtumishi wa mungu haya unayoyaongea ni kweli kabisa leo hii kanisa na wana dunia huwezi kuwatofautisha . Wana wa mungu wengi wamemezwa na dunia na shetani amewafunika, Hivyo tunahitaji kuwapata watumishi wangu wenye ufunuo wa Mungu ndani yao. .
Nikitambo nilikuona, nyimbo zako zilinibariki sanaaaa, siku zile ulikuwa mwembamba bila kipara. Ubarikiwe sanaaa Mtumishi misholi.
Nabarkiwa na nyimbo zako na neno pia Mungu akuinue sana
Amina Mtumishi...yang'oke tu mahereni mapete na mawigi..udunia.❤
Najua hili neno n wengi walitoka hiyo siku kama wamekwazika Mungu amekufunulia ufunuo wa kweli atakaye kubali na kusikia huo ujembe atabarikiwa atakaye kata damu yake haitadaiwa kwako Amen
Neno la Mungu ni upanga linakata, Mtumishi wa Mungu ukweli Mungu amekuita 🙏🙏
Pole sana kwa mafundisho hii nimejengwa ki imani nakufata toka D.R Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Lubumbashi
The grace which is upon this man of God is too much. I started listening to his songs a while ago and they are powerful worship songs. He uplifts the spirit of God in me. God bless you man of God.
Amen 🙏 mtumishi napenda sana nyimbo zako barikiwa .
Amen mtumishi nimebarikiwa sana na mahubiri yako mungu anipe neema kupitia madhabahu haya.
Naomba uniambie Ile song nimekukimbilia ewe Bwana ili nisihaibike.Asante Re.Abiudi.
Ni nakupenda baba kwa mafundicho
Mungu akubariki sana aendelee kukutunza uendelee zaidi na zaidi Amina
1:01:11
Mungu akupiganie akupe miaka mingisana ya kutumika uzidi kuinena kweli ya Mungu amen!
Ubarikiwe mchungaji, nimepata kuyafahamu baadhi ya mambo ambayo sikuwa nayafahamu. Mungu anisaidie
Amina nimebarikiwa jamani mungu akuzidishe uendelee kuwa baraka kwa waamini
Ujumbe mzuri Mchungaji Abihudi. Neema ya Mungu iendelee kukufunika kwa huduma na utumishi uliotukuka.
Kumbe akina Moses Kolola wanaishi, MUNGU akubariki sana, umeni inspired sana
Mungu aku bariki mchungaji muzuri wa Mungu,nakufata toka RD CONGO BUKAVU 🇨🇩🇨🇩n'a nime barikiwa saana Hata n'a kwa nyimbo zako 🙏
Amen nimebarikiwa sana na hili funzo mtumishi Mungu akubariki sana
Nmewamis watu wa arusha kwa baba yang Mwizarubi,hongereni kwa semina ya pst Misholi
MUNGU Akubariki Mchungaji Abiud kazi Yako ni njema nakupata nikiwa Marekani Unakumbuka Wimbo wako mke wako akiwa mazito Acheni MUNGU aitwe MUNGU analiangalia neno lake alitimize Umemtimikia Kwa Uaminifu MUNGU aendelee kukuinua Wengine wajifunze kutoka kwako Unabariki watu wengi Amina🙏🙏🙏🙏
Ubalikiwe mtumishi wa MUNGU nimejifunza sana Mungu akubariki Zaid glory to God
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu. Unahubiri kweli ya Mwenyezi Mungu. Mungu aendelee kukutumia viwango hadi viwango.
Wapendwa watu wa mungu, mungu amejifunua kupitia mtumishi abiud abarikiwe san
Great great Man of God thanks for your spiritual message
Abiud Mungu akubariki sana Kwa injili ya uzma
Ubarikiwe sana mtu mtumishi wa Mungu ume nijenga
Nabalikiwa sana mtumishi wa Bwana Yesu akutunze sana
This sermon is really a blessings
Papa ubarikiwe Sana mimi ni mwanafuzi wako uku Congo katanga ku kolwezi
Amen Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Asante kwa somo zuri Mt wa Mungu Nina swali baba,je kama huyo ninaemwita babangu wa kiroho anabia ya uzinzi nikae hapo kanisani tuu au niondoke maana biblia inasema tuikimbie zinaa
Clara unasubiri nn hama hapo mapema hilo sio kabira toka usalimishe roho yako
Ondokahapo nikaolashetani
MCH Abihudi Misholi..., Nikifikiri Maisha yangu Album ❤❤❤❤❤❤
❤❤❤ kwa jina la yesu kristo wa watakatifu wa nami naomba nifunguliwe
Neno la Mungu no moto ubarikiwe mtumishi
Achsanti baba ubarakiwe n'a mungu akuzidishiye nimebarikiwa sana kuusu nywele kuusu kujipamba achsanti baba
ubarikiwe baba
Vile tuuu Mungu anavyo kutumia..Namfurahia Bwanaaa
Amina baba Mungu akubariki sana
Mchngaji ubarikiwe nabarikiwa sana mungu anatenda kazi ndani yako sifa na utukufu ni kwa mungu
Ameen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Mimi murundi nampenda Sana abiud namufatiliya Sana.
jaman mungu akutunze unabadili sana Imani yangu
Hakika una roho wa Mungu ...Ubarikiwe
Amen Glory to God be blessed Man of God
Hakika injili ni uweza wa MUNGU uletao wokovu KWa mwanadamu!! NAPENDA sana injili ya kwel hii co ya kubembelezana . BARIKIWA sana Mtumishi!!!
Be blessed man of God for the wise word of wisdom.
Yes yes
Nafuatilia kutoka Kenya 🇰🇪 Mungu akulinde mtumishi Mishioli.
Mungu akup mwisho muzuri
Barikiwa sana mtumishi,kupitia haya maombi yangu eeeh mungu kutana na maitaji yangu masaaa haya
Mchungaji Abiudi Mungu akuzidishe
Mungu atusaidie kwa kwel
Amina kubwa kwa somo zuri la kujenga kanisa.
Amen 🙏🙏🙏 mtumishi Mungu Akubariki Sana
Asante mtumishi Seema tupone
Njoo Moshi mtumishi tufundishe nyimbo za kumsifu mungu
❤❤🎉 ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Ameen,hakika nimebarikiwa nahili somo
Yani napona jamani tupate wapi mtu kama huyu ambaye Mungu anaka ndani yake mchungaji unahubiri kweli ya Mungu bila kupindisha tupate wapi watu kama wewe barikiwa sana
Mungu aendelee kukutunza ucku na mchana
Mungu akubariki abiud nakumbuka ulkujaga bbt kuhubr nilbarikiwa San! Mungu atuepushie na dhiki kuu
❤❤❤anina nimebarikiwa
Ubarikiwe naMUNGU akutunze
Asante Yesu Kwa neno .Nimefunguka
Mungu azidi kukupa nguvu ya viwango vya juu ya kuhubiri
Barikiwa Mt
I'm proud to be Here..Praise The LORD❤❤❤
Ubarikiwe sana baba
Abiudi nabarikiwa sana sana yani toka nyimbo zako
Mungu akubariki sanaaa
Umependeza mtumishi
Mungu akubariki kwa huduma
Amina sana baba Mungu akubaliki
Ubarikiwe sana MUNGU akubariki sana
Barikiwa baba🙏
Kuhusu mapambo ni kweli sio mazuri sku 1 nilionyeshwa mtu kafumua lasta wadudu wanatoka nikaogopa sana Mungu atusaidie balikiwa sana baba somo zuri sana.
twabwite Muchungaji MUNGU AKUBALIKI SANA na akupenguvu uendereehivo
Depuis Congo
Mtumishi wa mungu barikiwa sana
Nabarikiwa kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ubarikiwe Sana mtumishi 🙏🙏
MUNGU akubariki baba mchungaji
Amina Mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
Mungu akupe maisha marefu ili useme matendo makuu ya mungu
MUNGU akubariki Mtumishi
Mtumishi wa mungu haya unayoyaongea ni kweli kabisa leo hii kanisa na wana dunia huwezi kuwatofautisha . Wana wa mungu wengi wamemezwa na dunia na shetani amewafunika, Hivyo tunahitaji kuwapata watumishi wangu wenye ufunuo wa
Mungu ndani yao.
.
Mungu akupe maisha malef
Hongera sana Mkuu
Mchungaji wetu yeye anaombea bule wewe amini tu kuwa Mungu anaponya utapona tu balikiwa mtumishi Abyudi Mishori
Hili ndio neno la kupeleka mtu kwe nye uzima wa milele kweli kweli
Kweri umependeza mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana umebeba kitu kikubwa
Amina mchungaji n ukweli mtupu
Tes cantiques m inspirent vraiment. Que Dieu te bénisse.
Hallelujah 🙏🙏🙏🙏🙌🙌
Asante yesu
AMEN
Asante sana kwakuwa mtoto wako aliotishwa ndoto ukamsikiliza
Mungu akubariki sana mtumishi
MUNGU atusaidie sana
🎉❤mungu anipe ekima
Yesu azid kukutumia
Amen Amen Amen 👏👏👏👏
Mbona unajiita jina la Mungu zaburi 111:9
Mungu wa mbingu na inchi tusaidio