The grace which is upon this man of God is too much. I started listening to his songs a while ago and they are powerful worship songs. He uplifts the spirit of God in me. God bless you man of God.
Asante kwa somo zuri Mt wa Mungu Nina swali baba,je kama huyo ninaemwita babangu wa kiroho anabia ya uzinzi nikae hapo kanisani tuu au niondoke maana biblia inasema tuikimbie zinaa
Amen mtumishi nimebarikiwa sana na mahubiri yako mungu anipe neema kupitia madhabahu haya. Naomba uniambie Ile song nimekukimbilia ewe Bwana ili nisihaibike.Asante Re.Abiudi.
Najua hili neno n wengi walitoka hiyo siku kama wamekwazika Mungu amekufunulia ufunuo wa kweli atakaye kubali na kusikia huo ujembe atabarikiwa atakaye kata damu yake haitadaiwa kwako Amen
MUNGU Akubariki Mchungaji Abiud kazi Yako ni njema nakupata nikiwa Marekani Unakumbuka Wimbo wako mke wako akiwa mazito Acheni MUNGU aitwe MUNGU analiangalia neno lake alitimize Umemtimikia Kwa Uaminifu MUNGU aendelee kukuinua Wengine wajifunze kutoka kwako Unabariki watu wengi Amina🙏🙏🙏🙏
Mtumishi wa mungu haya unayoyaongea ni kweli kabisa leo hii kanisa na wana dunia huwezi kuwatofautisha . Wana wa mungu wengi wamemezwa na dunia na shetani amewafunika, Hivyo tunahitaji kuwapata watumishi wangu wenye ufunuo wa Mungu ndani yao. .
Yani napona jamani tupate wapi mtu kama huyu ambaye Mungu anaka ndani yake mchungaji unahubiri kweli ya Mungu bila kupindisha tupate wapi watu kama wewe barikiwa sana
Mchungaji upo Rohoni asante kwa Mungu kwa kuwa na watu kama hawa bado duniani maana sasa tupo zama za mwisho nimeona uzima moyoni mwangu baada ya kukusikia
Kuhusu mapambo ni kweli sio mazuri sku 1 nilionyeshwa mtu kafumua lasta wadudu wanatoka nikaogopa sana Mungu atusaidie balikiwa sana baba somo zuri sana.
The grace which is upon this man of God is too much. I started listening to his songs a while ago and they are powerful worship songs. He uplifts the spirit of God in me. God bless you man of God.
Asante kwa somo zuri Mt wa Mungu Nina swali baba,je kama huyo ninaemwita babangu wa kiroho anabia ya uzinzi nikae hapo kanisani tuu au niondoke maana biblia inasema tuikimbie zinaa
Nikitambo nilikuona, nyimbo zako zilinibariki sanaaaa, siku zile ulikuwa mwembamba bila kipara. Ubarikiwe sanaaa Mtumishi misholi.
Vile tuuu Mungu anavyo kutumia..Namfurahia Bwanaaa
Amen mtumishi nimebarikiwa sana na mahubiri yako mungu anipe neema kupitia madhabahu haya.
Naomba uniambie Ile song nimekukimbilia ewe Bwana ili nisihaibike.Asante Re.Abiudi.
Mungu akupiganie akupe miaka mingisana ya kutumika uzidi kuinena kweli ya Mungu amen!
Najua hili neno n wengi walitoka hiyo siku kama wamekwazika Mungu amekufunulia ufunuo wa kweli atakaye kubali na kusikia huo ujembe atabarikiwa atakaye kata damu yake haitadaiwa kwako Amen
Mungu aendelee kukutunza ucku na mchana
Amina Mtumishi...yang'oke tu mahereni mapete na mawigi..udunia.❤
Nmewamis watu wa arusha kwa baba yang Mwizarubi,hongereni kwa semina ya pst Misholi
MUNGU Akubariki Mchungaji Abiud kazi Yako ni njema nakupata nikiwa Marekani Unakumbuka Wimbo wako mke wako akiwa mazito Acheni MUNGU aitwe MUNGU analiangalia neno lake alitimize Umemtimikia Kwa Uaminifu MUNGU aendelee kukuinua Wengine wajifunze kutoka kwako Unabariki watu wengi Amina🙏🙏🙏🙏
Ubalikiwe mtumishi wa MUNGU nimejifunza sana Mungu akubariki Zaid glory to God
Mungu aku bariki mchungaji muzuri wa Mungu,nakufata toka RD CONGO BUKAVU 🇨🇩🇨🇩n'a nime barikiwa saana Hata n'a kwa nyimbo zako 🙏
Pole sana kwa mafundisho hii nimejengwa ki imani nakufata toka D.R Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Lubumbashi
Wapendwa watu wa mungu, mungu amejifunua kupitia mtumishi abiud abarikiwe san
MCH Abihudi Misholi..., Nikifikiri Maisha yangu Album ❤❤❤❤❤❤
Achsanti baba ubarakiwe n'a mungu akuzidishiye nimebarikiwa sana kuusu nywele kuusu kujipamba achsanti baba
Hakika injili ni uweza wa MUNGU uletao wokovu KWa mwanadamu!! NAPENDA sana injili ya kwel hii co ya kubembelezana . BARIKIWA sana Mtumishi!!!
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu. Unahubiri kweli ya Mwenyezi Mungu. Mungu aendelee kukutumia viwango hadi viwango.
Ubarikiwe mchungaji, nimepata kuyafahamu baadhi ya mambo ambayo sikuwa nayafahamu. Mungu anisaidie
Ubarikiwe sana mtu mtumishi wa Mungu ume nijenga
❤❤❤ kwa jina la yesu kristo wa watakatifu wa nami naomba nifunguliwe
Papa ubarikiwe Sana mimi ni mwanafuzi wako uku Congo katanga ku kolwezi
Mungu akubariki sana aendelee kukutunza uendelee zaidi na zaidi Amina
1:01:11
I'm proud to be Here..Praise The LORD❤❤❤
AMEN
Neno la Mungu ni upanga linakata, Mtumishi wa Mungu ukweli Mungu amekuita 🙏🙏
Amen
Kumbe akina Moses Kolola wanaishi, MUNGU akubariki sana, umeni inspired sana
Great great Man of God thanks for your spiritual message
Neno la Mungu no moto ubarikiwe mtumishi
Nabalikiwa sana mtumishi wa Bwana Yesu akutunze sana
Hakika una roho wa Mungu ...Ubarikiwe
Barikiwa sana mtumishi,kupitia haya maombi yangu eeeh mungu kutana na maitaji yangu masaaa haya
Mchngaji ubarikiwe nabarikiwa sana mungu anatenda kazi ndani yako sifa na utukufu ni kwa mungu
Abiud Mungu akubariki sana Kwa injili ya uzma
Mungu akubariki abiud nakumbuka ulkujaga bbt kuhubr nilbarikiwa San! Mungu atuepushie na dhiki kuu
Amen Glory to God be blessed Man of God
Amina baba Mungu akubariki sana
Tes cantiques m inspirent vraiment. Que Dieu te bénisse.
Mimi murundi nampenda Sana abiud namufatiliya Sana.
Amen Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Mchungaji Abiudi Mungu akuzidishe
❤❤🎉 ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Asante Yesu Kwa neno .Nimefunguka
Amina kubwa kwa somo zuri la kujenga kanisa.
Mungu akup mwisho muzuri
Ameen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe sana MUNGU akubariki sana
Ameen,hakika nimebarikiwa nahili somo
Amina sana baba Mungu akubaliki
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
Mungu akupe maisha marefu ili useme matendo makuu ya mungu
This sermon is really a blessings
god blessed prophet
Ubarikiwe Sana mtumishi 🙏🙏
Abiudi nabarikiwa sana sana yani toka nyimbo zako
Umependeza mtumishi
MUNGU akubariki baba mchungaji
Powerful massage to the church
Ubarikiwe naMUNGU akutunze
Be blessed man of God for the wise word of wisdom.
Yes yes
Mtumishi wa mungu haya unayoyaongea ni kweli kabisa leo hii kanisa na wana dunia huwezi kuwatofautisha . Wana wa mungu wengi wamemezwa na dunia na shetani amewafunika, Hivyo tunahitaji kuwapata watumishi wangu wenye ufunuo wa
Mungu ndani yao.
.
Asante sana kwakuwa mtoto wako aliotishwa ndoto ukamsikiliza
Mungu akubariki sana mtumishi
MUNGU akubariki Mtumishi
Mchungaji wetu yeye anaombea bule wewe amini tu kuwa Mungu anaponya utapona tu balikiwa mtumishi Abyudi Mishori
Mungu akubariki kwa huduma
Mbona unajiita jina la Mungu zaburi 111:9
Nabarikiwa kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu akupe maisha malef
Hili ndio neno la kupeleka mtu kwe nye uzima wa milele kweli kweli
Amen 🙏🙏🙏 mtumishi Mungu Akubariki Sana
Asante mtumishi Seema tupone
Njoo Moshi mtumishi tufundishe nyimbo za kumsifu mungu
Amina Mtumishi wa Mungu
Amina mchungaji n ukweli mtupu
Mtumishi wa mungu barikiwa sana
Amen Amen Amen 👏👏👏👏
Mungu akubariki sanaaa
Hongera sana Mkuu
Hallelujah 🙏🙏🙏🙏🙌🙌
Yesu azid kukutumia
Yani napona jamani tupate wapi mtu kama huyu ambaye Mungu anaka ndani yake mchungaji unahubiri kweli ya Mungu bila kupindisha tupate wapi watu kama wewe barikiwa sana
Ubarikiwe sana baba
Barikiwa baba🙏
Mchungaji upo Rohoni asante kwa Mungu kwa kuwa na watu kama hawa bado duniani maana sasa tupo zama za mwisho nimeona uzima moyoni mwangu baada ya kukusikia
Nafuatilia kutoka Kenya 🇰🇪 Mungu akulinde mtumishi Mishioli.
Kuhusu mapambo ni kweli sio mazuri sku 1 nilionyeshwa mtu kafumua lasta wadudu wanatoka nikaogopa sana Mungu atusaidie balikiwa sana baba somo zuri sana.
twabwite Muchungaji MUNGU AKUBALIKI SANA na akupenguvu uendereehivo
Mungu wa mbingu na inchi tusaidio
Mungu awenawe kwakazi zake
🎉❤mungu anipe ekima
Mungu nisaidie niyajue mapenzi yako
Barikiwa Mt
Ameeen. Huo ni ukweli bana
Nasimama kupitia nyimbo zako ubarikiwe milele
Nasikiliza nikiwa nairobi am blessed
Asante yesu
Mtumich Wa mungu unaongea ukweri kapisa mungu akusaitie upikie wengi naomba unisaidie na maombi
Amen mtumishi
Mtumich Wa mungu unaongea ukweri kapisa mungu akusaitie upikie wengi
Mungu atupe majo tuone mafijo ya shetani