Hatumtafuti Mungu kwasababu tunashida " Ezra 8 : 21 - 23 ". Rev. Abiud Misholi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025

Комментарии • 180

  • @davidgitau1162
    @davidgitau1162 10 месяцев назад +10

    Nikitambo nilikuona, nyimbo zako zilinibariki sanaaaa, siku zile ulikuwa mwembamba bila kipara. Ubarikiwe sanaaa Mtumishi misholi.

    • @SalvatoryModest
      @SalvatoryModest 6 месяцев назад

      Nabarkiwa na nyimbo zako na neno pia Mungu akuinue sana

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 10 месяцев назад +1

    Amina Mtumishi...yang'oke tu mahereni mapete na mawigi..udunia.❤

  • @marymwabi7870
    @marymwabi7870 11 месяцев назад +4

    Najua hili neno n wengi walitoka hiyo siku kama wamekwazika Mungu amekufunulia ufunuo wa kweli atakaye kubali na kusikia huo ujembe atabarikiwa atakaye kata damu yake haitadaiwa kwako Amen

  • @MaryMokaya-l2p
    @MaryMokaya-l2p 10 месяцев назад +1

    Neno la Mungu ni upanga linakata, Mtumishi wa Mungu ukweli Mungu amekuita 🙏🙏

  • @AntoinekalungaTony
    @AntoinekalungaTony 10 месяцев назад +1

    Pole sana kwa mafundisho hii nimejengwa ki imani nakufata toka D.R Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Lubumbashi

  • @jacquelinemakau6644
    @jacquelinemakau6644 8 месяцев назад +1

    The grace which is upon this man of God is too much. I started listening to his songs a while ago and they are powerful worship songs. He uplifts the spirit of God in me. God bless you man of God.

  • @teresasifuna4986
    @teresasifuna4986 5 месяцев назад

    Amen 🙏 mtumishi napenda sana nyimbo zako barikiwa .

  • @emertonmwakina8593
    @emertonmwakina8593 11 месяцев назад +2

    Amen mtumishi nimebarikiwa sana na mahubiri yako mungu anipe neema kupitia madhabahu haya.
    Naomba uniambie Ile song nimekukimbilia ewe Bwana ili nisihaibike.Asante Re.Abiudi.

  • @AngelBanza-z2o
    @AngelBanza-z2o 5 дней назад

    Ni nakupenda baba kwa mafundicho

  • @user-holokija
    @user-holokija 11 месяцев назад +1

    Mungu akubariki sana aendelee kukutunza uendelee zaidi na zaidi Amina
    1:01:11

  • @BenjaminiKimwaga
    @BenjaminiKimwaga Год назад +3

    Mungu akupiganie akupe miaka mingisana ya kutumika uzidi kuinena kweli ya Mungu amen!

  • @hegikibaby1120
    @hegikibaby1120 10 месяцев назад

    Ubarikiwe mchungaji, nimepata kuyafahamu baadhi ya mambo ambayo sikuwa nayafahamu. Mungu anisaidie

  • @EnidMkandisha
    @EnidMkandisha 3 месяца назад

    Amina nimebarikiwa jamani mungu akuzidishe uendelee kuwa baraka kwa waamini

  • @daudic.msengi4349
    @daudic.msengi4349 7 месяцев назад

    Ujumbe mzuri Mchungaji Abihudi. Neema ya Mungu iendelee kukufunika kwa huduma na utumishi uliotukuka.

  • @MwlZachariahSeperetv
    @MwlZachariahSeperetv 10 месяцев назад +1

    Kumbe akina Moses Kolola wanaishi, MUNGU akubariki sana, umeni inspired sana

  • @mugishobahaya6473
    @mugishobahaya6473 10 месяцев назад

    Mungu aku bariki mchungaji muzuri wa Mungu,nakufata toka RD CONGO BUKAVU 🇨🇩🇨🇩n'a nime barikiwa saana Hata n'a kwa nyimbo zako 🙏

  • @pili-be4kn
    @pili-be4kn 6 месяцев назад

    Amen nimebarikiwa sana na hili funzo mtumishi Mungu akubariki sana

  • @SifaPangisa
    @SifaPangisa 11 месяцев назад +2

    Nmewamis watu wa arusha kwa baba yang Mwizarubi,hongereni kwa semina ya pst Misholi

  • @anchilankobelelwa9735
    @anchilankobelelwa9735 11 месяцев назад +1

    MUNGU Akubariki Mchungaji Abiud kazi Yako ni njema nakupata nikiwa Marekani Unakumbuka Wimbo wako mke wako akiwa mazito Acheni MUNGU aitwe MUNGU analiangalia neno lake alitimize Umemtimikia Kwa Uaminifu MUNGU aendelee kukuinua Wengine wajifunze kutoka kwako Unabariki watu wengi Amina🙏🙏🙏🙏

  • @HoseaEdson
    @HoseaEdson 11 месяцев назад +1

    Ubalikiwe mtumishi wa MUNGU nimejifunza sana Mungu akubariki Zaid glory to God

  • @mariahyera3737
    @mariahyera3737 11 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu. Unahubiri kweli ya Mwenyezi Mungu. Mungu aendelee kukutumia viwango hadi viwango.

  • @DastanKitojo-bo1cc
    @DastanKitojo-bo1cc 11 месяцев назад +1

    Wapendwa watu wa mungu, mungu amejifunua kupitia mtumishi abiud abarikiwe san

  • @elijahnyamwange3520
    @elijahnyamwange3520 10 месяцев назад

    Great great Man of God thanks for your spiritual message

  • @jakoboamon9402
    @jakoboamon9402 10 месяцев назад

    Abiud Mungu akubariki sana Kwa injili ya uzma

  • @NeemaKiza-t6u
    @NeemaKiza-t6u 11 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sana mtu mtumishi wa Mungu ume nijenga

  • @PhilbertDanieliNsemwa
    @PhilbertDanieliNsemwa 10 месяцев назад

    Nabalikiwa sana mtumishi wa Bwana Yesu akutunze sana

  • @MERUKIDS
    @MERUKIDS 10 месяцев назад +1

    This sermon is really a blessings

  • @GamalielMwema
    @GamalielMwema 10 месяцев назад +2

    Papa ubarikiwe Sana mimi ni mwanafuzi wako uku Congo katanga ku kolwezi

  • @HendryLema
    @HendryLema 10 месяцев назад

    Amen Barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @ClaraUrio
    @ClaraUrio 9 месяцев назад +3

    Asante kwa somo zuri Mt wa Mungu Nina swali baba,je kama huyo ninaemwita babangu wa kiroho anabia ya uzinzi nikae hapo kanisani tuu au niondoke maana biblia inasema tuikimbie zinaa

    • @WilsonKasian
      @WilsonKasian 5 месяцев назад

      Clara unasubiri nn hama hapo mapema hilo sio kabira toka usalimishe roho yako

    • @SamweliMaliyamungu
      @SamweliMaliyamungu 4 месяца назад

      Ondokahapo nikaolashetani

  • @greenedenschool
    @greenedenschool 9 месяцев назад

    MCH Abihudi Misholi..., Nikifikiri Maisha yangu Album ❤❤❤❤❤❤

  • @ednaabyudi8465
    @ednaabyudi8465 11 месяцев назад

    ❤❤❤ kwa jina la yesu kristo wa watakatifu wa nami naomba nifunguliwe

  • @marrykisege1501
    @marrykisege1501 10 месяцев назад

    Neno la Mungu no moto ubarikiwe mtumishi

  • @JeannetteKatungu-br1pj
    @JeannetteKatungu-br1pj Год назад +1

    Achsanti baba ubarakiwe n'a mungu akuzidishiye nimebarikiwa sana kuusu nywele kuusu kujipamba achsanti baba

  • @AntonyJoshua-u6w
    @AntonyJoshua-u6w 2 месяца назад

    ubarikiwe baba

  • @teenafricaorganization4117
    @teenafricaorganization4117 8 месяцев назад

    Vile tuuu Mungu anavyo kutumia..Namfurahia Bwanaaa

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 11 месяцев назад +1

    Amina baba Mungu akubariki sana

  • @DastanKitojo-bo1cc
    @DastanKitojo-bo1cc 11 месяцев назад

    Mchngaji ubarikiwe nabarikiwa sana mungu anatenda kazi ndani yako sifa na utukufu ni kwa mungu

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely2928 10 месяцев назад

    Ameen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @NsengiyumvaEmile-xu3ir
    @NsengiyumvaEmile-xu3ir 10 месяцев назад +2

    Mimi murundi nampenda Sana abiud namufatiliya Sana.

  • @zainabujohn9512
    @zainabujohn9512 6 месяцев назад

    jaman mungu akutunze unabadili sana Imani yangu

  • @eliabaraka440
    @eliabaraka440 11 месяцев назад +1

    Hakika una roho wa Mungu ...Ubarikiwe

  • @LesikariLukumay
    @LesikariLukumay 10 месяцев назад

    Amen Glory to God be blessed Man of God

  • @AdelaMkani
    @AdelaMkani 11 месяцев назад +1

    Hakika injili ni uweza wa MUNGU uletao wokovu KWa mwanadamu!! NAPENDA sana injili ya kwel hii co ya kubembelezana . BARIKIWA sana Mtumishi!!!

  • @mordecaiokumu4855
    @mordecaiokumu4855 10 месяцев назад

    Be blessed man of God for the wise word of wisdom.

  • @johnsonbarasa9869
    @johnsonbarasa9869 10 месяцев назад +1

    Nafuatilia kutoka Kenya 🇰🇪 Mungu akulinde mtumishi Mishioli.

  • @NsengiyumvaEmile-xu3ir
    @NsengiyumvaEmile-xu3ir 10 месяцев назад +1

    Mungu akup mwisho muzuri

  • @queenmwanzia3283
    @queenmwanzia3283 11 месяцев назад

    Barikiwa sana mtumishi,kupitia haya maombi yangu eeeh mungu kutana na maitaji yangu masaaa haya

  • @nicolasnkembo4997
    @nicolasnkembo4997 9 месяцев назад

    Mchungaji Abiudi Mungu akuzidishe

  • @leahmtwanga9229
    @leahmtwanga9229 4 месяца назад

    Mungu atusaidie kwa kwel

  • @godsonkaaya595
    @godsonkaaya595 9 месяцев назад

    Amina kubwa kwa somo zuri la kujenga kanisa.

  • @JuliusChiponda
    @JuliusChiponda Год назад +1

    Amen 🙏🙏🙏 mtumishi Mungu Akubariki Sana

  • @rhodarichard7114
    @rhodarichard7114 11 месяцев назад

    ❤❤🎉 ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @RubenZephania
    @RubenZephania 9 месяцев назад

    Ameen,hakika nimebarikiwa nahili somo

  • @rizikidada9790
    @rizikidada9790 9 месяцев назад +1

    Yani napona jamani tupate wapi mtu kama huyu ambaye Mungu anaka ndani yake mchungaji unahubiri kweli ya Mungu bila kupindisha tupate wapi watu kama wewe barikiwa sana

  • @MarkoAxweso
    @MarkoAxweso 7 месяцев назад

    Mungu aendelee kukutunza ucku na mchana

  • @emanueldaffi
    @emanueldaffi 11 месяцев назад

    Mungu akubariki abiud nakumbuka ulkujaga bbt kuhubr nilbarikiwa San! Mungu atuepushie na dhiki kuu

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 4 месяца назад

    ❤❤❤anina nimebarikiwa

  • @JudithElias-ig5nb
    @JudithElias-ig5nb 9 месяцев назад

    Ubarikiwe naMUNGU akutunze

  • @MogalwisiNiganile
    @MogalwisiNiganile 11 месяцев назад

    Asante Yesu Kwa neno .Nimefunguka

  • @DanielyMtega
    @DanielyMtega 7 месяцев назад

    Mungu azidi kukupa nguvu ya viwango vya juu ya kuhubiri

  • @ClaraUrio
    @ClaraUrio 9 месяцев назад

    Barikiwa Mt

  • @davidtvonline6020
    @davidtvonline6020 Год назад +1

    I'm proud to be Here..Praise The LORD❤❤❤

  • @kellsraphael7289
    @kellsraphael7289 9 месяцев назад

    Ubarikiwe sana baba

  • @RafikiMpolee
    @RafikiMpolee 11 месяцев назад

    Abiudi nabarikiwa sana sana yani toka nyimbo zako

  • @FrankSinkala-n1r
    @FrankSinkala-n1r 9 месяцев назад

    Mungu akubariki sanaaa

  • @jamessila3219
    @jamessila3219 11 месяцев назад +2

    Umependeza mtumishi

  • @ElpidiusRwegasira
    @ElpidiusRwegasira 10 месяцев назад

    Mungu akubariki kwa huduma

  • @fidemikaeli8145
    @fidemikaeli8145 Год назад

    Amina sana baba Mungu akubaliki

  • @EmanuelMongera-p1q
    @EmanuelMongera-p1q Год назад

    Ubarikiwe sana MUNGU akubariki sana

  • @yunistanley3354
    @yunistanley3354 9 месяцев назад

    Barikiwa baba🙏

  • @BerindaKimaro
    @BerindaKimaro 10 месяцев назад

    Kuhusu mapambo ni kweli sio mazuri sku 1 nilionyeshwa mtu kafumua lasta wadudu wanatoka nikaogopa sana Mungu atusaidie balikiwa sana baba somo zuri sana.

    • @rosemarynyabenda3131
      @rosemarynyabenda3131 10 месяцев назад

      twabwite Muchungaji MUNGU AKUBALIKI SANA na akupenguvu uendereehivo

  • @AngelBanza-z2o
    @AngelBanza-z2o 5 дней назад

    Depuis Congo

  • @kevinowenga5201
    @kevinowenga5201 11 месяцев назад

    Mtumishi wa mungu barikiwa sana

  • @queenmwanzia3283
    @queenmwanzia3283 11 месяцев назад

    Nabarikiwa kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @DorothyChilembo
    @DorothyChilembo 11 месяцев назад

    Ubarikiwe Sana mtumishi 🙏🙏

  • @marthabenard3723
    @marthabenard3723 11 месяцев назад

    MUNGU akubariki baba mchungaji

  • @Pastorgumbo
    @Pastorgumbo Год назад

    Amina Mtumishi wa Mungu

  • @clianusalfred1400
    @clianusalfred1400 Год назад

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu

  • @AnnaNdendya-m9x
    @AnnaNdendya-m9x Год назад

    Mungu akupe maisha marefu ili useme matendo makuu ya mungu

  • @FURAHATWINZI
    @FURAHATWINZI 11 месяцев назад

    MUNGU akubariki Mtumishi

  • @YALLASMASANJA-br7tx
    @YALLASMASANJA-br7tx Год назад

    Mtumishi wa mungu haya unayoyaongea ni kweli kabisa leo hii kanisa na wana dunia huwezi kuwatofautisha . Wana wa mungu wengi wamemezwa na dunia na shetani amewafunika, Hivyo tunahitaji kuwapata watumishi wangu wenye ufunuo wa
    Mungu ndani yao.
    .

  • @alphonsemanirakiza3998
    @alphonsemanirakiza3998 11 месяцев назад

    Mungu akupe maisha malef

  • @jembelayesumakimbiliotempl4168
    @jembelayesumakimbiliotempl4168 11 месяцев назад

    Hongera sana Mkuu

  • @ImaniMwailamula
    @ImaniMwailamula 11 месяцев назад +1

    Mchungaji wetu yeye anaombea bule wewe amini tu kuwa Mungu anaponya utapona tu balikiwa mtumishi Abyudi Mishori

  • @JeromeBankuwunguka
    @JeromeBankuwunguka 11 месяцев назад +1

    Hili ndio neno la kupeleka mtu kwe nye uzima wa milele kweli kweli

  • @joycealex2701
    @joycealex2701 11 месяцев назад

    Kweri umependeza mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana umebeba kitu kikubwa

  • @marymwabi7870
    @marymwabi7870 11 месяцев назад

    Amina mchungaji n ukweli mtupu

  • @LoicNumbi
    @LoicNumbi 11 месяцев назад

    Tes cantiques m inspirent vraiment. Que Dieu te bénisse.

  • @anneokaka8213
    @anneokaka8213 11 месяцев назад

    Hallelujah 🙏🙏🙏🙏🙌🙌

  • @MeshackAngel-kc2gc
    @MeshackAngel-kc2gc 11 месяцев назад

    Asante yesu

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 8 месяцев назад

    AMEN

  • @FikiriNgusi
    @FikiriNgusi 11 месяцев назад

    Asante sana kwakuwa mtoto wako aliotishwa ndoto ukamsikiliza

  • @ElizabethMollo-v2e
    @ElizabethMollo-v2e Год назад

    Mungu akubariki sana mtumishi

  • @naigeorge7765
    @naigeorge7765 10 месяцев назад

    MUNGU atusaidie sana

  • @DelphinNgoy-tf2zz
    @DelphinNgoy-tf2zz 10 месяцев назад

    🎉❤mungu anipe ekima

  • @MeshackAngel-kc2gc
    @MeshackAngel-kc2gc 11 месяцев назад

    Yesu azid kukutumia

  • @francoismalenge1373
    @francoismalenge1373 11 месяцев назад

    Amen Amen Amen 👏👏👏👏

  • @dennismasira8992
    @dennismasira8992 11 месяцев назад +1

    Mbona unajiita jina la Mungu zaburi 111:9

  • @samwelmassawe3833
    @samwelmassawe3833 11 месяцев назад

    Mungu wa mbingu na inchi tusaidio