- Видео 463
- Просмотров 403 264
SAYUNI EAGT CHURCH
Танзания
Добавлен 9 окт 2021
Kanisa la Sayuni EAG(T) Sinoni-Arusha, chini ya Askofu Dr. Leonard Mwizarubi pamoja na Dr. Amesario Leonard Mwizarubi linaamini katika kuongeza thamani ya maisha ya watu kwa kupitia mafundisho sahihi ya neno la Mungu.
Kwenye channel hii utapata mafundisho yatakayobadilisha maisha yako pamoja na shuhuda za matendo makuu ya Mungu kutokana na huduma ya watumishi wa Mungu Askofu Leonard Mwizarubi pamoja na Dr. Amesario Mwizarubi katika kanisa la Sayuni tangu miaka ya 1990.
Tunaamini kupitia mafundisho sahihi ya neno la Mungu na Roho mtakatifu mtu anaweza kuishi Maisha matakatifu akiwa hapa hapa duniani tofauti kabisa na fikra potofu kuwa hakuna utakatifu duniani “Zab 16:3”
Kwenye channel hii utapata mafundisho yatakayobadilisha maisha yako pamoja na shuhuda za matendo makuu ya Mungu kutokana na huduma ya watumishi wa Mungu Askofu Leonard Mwizarubi pamoja na Dr. Amesario Mwizarubi katika kanisa la Sayuni tangu miaka ya 1990.
Tunaamini kupitia mafundisho sahihi ya neno la Mungu na Roho mtakatifu mtu anaweza kuishi Maisha matakatifu akiwa hapa hapa duniani tofauti kabisa na fikra potofu kuwa hakuna utakatifu duniani “Zab 16:3”
KAZI YA ROHO MTAKATIFU NDANI YA MWAMINI;- MATENDO 1 - 8
KAZI YA ROHO MTAKATIFU NDANI YA MWAMINI;- MATENDO 1 - 8
Просмотров: 254
Видео
Salama yetu ipo kwenye kumtazama Yesu- Dr Moses Mwizarubi
Просмотров 602Год назад
Salama yetu ipo kwenye kumtazama Yesu- Dr Moses Mwizarubi
YESU KRISTO NI YEYE YULE JANA NLEO NA HATA MILELE. EBR 13:8, GAL 2:7-9
Просмотров 684Год назад
YESU KRISTO NI YEYE YULE JANA NLEO NA HATA MILELE. EBR 13:8, GAL 2:7-9
WATEULE TUSIFADHAIKE KABISA NDANI YA MIOYO YETU
Просмотров 6762 года назад
WATEULE TUSIFADHAIKE KABISA NDANI YA MIOYO YETU
MUNGU ANATOA WITO WA KUJITAKASA ILI MUNGU AWEPO KATIKA KANISA. ISAYA 1:1 - 17
Просмотров 2342 года назад
MUNGU ANATOA WITO WA KUJITAKASA ILI MUNGU AWEPO KATIKA KANISA. ISAYA 1:1 - 17
NDANI YA KILA MTU ALIYE OKOKA MUNGU ANAWEKA NGUVU YA KUMVUSHA NG'AMBO YA PILI.
Просмотров 1502 года назад
NDANI YA KILA MTU ALIYE OKOKA MUNGU ANAWEKA NGUVU YA KUMVUSHA NG'AMBO YA PILI.
SOMO; NDANI YA KILA MTU ALIYE OKOKA MUNGU ANAWEKA NGUVU YA KUMVUSHA NG'AMBO YA PILI.
Просмотров 2332 года назад
SOMO; NDANI YA KILA MTU ALIYE OKOKA MUNGU ANAWEKA NGUVU YA KUMVUSHA NG'AMBO YA PILI.
Viunganishi vya maombi ili yajibiwe. Mch; Abiudi Misholi
Просмотров 25 тыс.2 года назад
Viunganishi vya maombi ili yajibiwe. Mch; Abiudi Misholi
Mungu akubariki Mchungaji
Mungu awabariki. Niko nje ya nchi lakin kama niko nyumban 😂😂
😭😭😭😭😭
Amen 🙏
Amen baba ubarikiwe zaidi
Amen 🙏
Amen Baba
Amen 🤝🤝
Amen sana watumishi wa mungu awabariki sana
Amen
Kabisa
Amina mama yetu asante sana tumelipokea neno la BWANA tumeimarishwa sana MUNGU akupe mwisho mwema
Naamini dunia itakimbilia kwa yesu haijalishi itashupaza shingo vip, simama imara na mungu akutie nguvu
Naamini dunia itakimbilia kwa yesu haijalishi itashupaza shingo vip, simama imara na mungu akutie nguvu
Simama imara naamini dunia yote itakimbilia kwa yesu
Simama imara naamini dunia yote itakimbilia kwa yesu
Simama imara naamini dunia yote itakimbilia kwa yesu 34:51
Amen
Ameeeeeen Haleluya
Yesu utusaidie 🙏
Amen baba
MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU BABA
Napokea uzima Wa neno
AMINA BABA MuNGU AENDELEE KUKuTUNIMIA KUTUOKOA WENGI
Amen
❤❤❤❤
Huwa na jengwa sana na mahubiri Yako baba
Amen
Mungu awabariki kanisa
Katibu tunakupata vizuri sana.
Amen
Amen
Mungu akubariki sana Mama yangu.Nakupenda Mama.Bwana Yesu akutunze na azidi kukutumia katika Ufalme wake.❤
Amein Amein
Nikifikiria ushuhuda wa Aston Mbaya hizo marembo mimi niliwacha tu coz jehenam ina kuhusu
Mungu akubariki sana Mama Mchungaji kwa mafundisho hata ya Roho Mtakatifu. Nimebarikiwa .kutoka Kenya 🇰🇪
Amina mama mtumishi wa MUNGU asante sama
Nakupenda sana mama yangu MUNGU azidi kukutunza
Nakupenda sana mama yangu MUNGU azidi kukutunza.
Amen sana mtumishi wa mungu akubariki
Ameeeeeen Haleluya
Ubarikiwe sana sana mama mwizarubi, nimeufurahia huwo wimbo,
Amina.Mungu azidi kumtumia Kuhani wake.
Amen 🙏 mtumishi napenda sana nyimbo zako barikiwa .
Amen
Nimebarikiwa Sana, pia wapiga vyombo hongeren Sana
Namshukuru Mungu Kwa huduma hii, hata tukiwa mbali tunaendelea kumwona Bwana akisema nasi. Mungu awabariki sana wanamedia wote
Glory be to God
Nipo Nyumbani kwa Sifa hizi
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mwimbaji hanajitaidi walioko nyuma sasa dah