Barikiwa mno, usichoke kusema ukweli na Mungu azidi kukupa nguvu na uweza , pia uishi miaka mingi,ili watu wasio okoka wazidi kumtafuta Mungu, Mungu anatupenda sana na ndio maana anawatumia watu kama wewe ili tumkimbie shetani, asie sikia shauli zake, lakini mwisho wa siku asije sema hakusikia, barikiwa mno baba!
Asante kwa ujumbe usually unaningusa napenda nionanenawewe mtumishi ilijanga yamahisha yangu linanitesasana kwamudamurefu baba nipokeahiyomesage yangu needs ya yesu
Aminaa Mtumishi wa Mungu
Muchungaj mungu azidkkpa normally iliuendelee kufanya kaz yamungu
Nimesikiliza mafundisho yako yamenisaidia sana Nikamwambia mdogo wangu asikilize lakini kibaya aelewi kiswahili
Amina mtumishi Wa bwana sema tupone na kujua ukweli
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
Ubarikiwe mtumish ujembe mzr
Uzidi kutenda haki ya Mungu.
Ubarikiwe sana Mungu akulinde mtumishi wa Mungu utuhombeye nasisi tuone mbigu
Apostor mwingira yoyote atakayekunywa kikombe cha babu atakufa
Asante Yesu
Amen 🙏. Mungu akubariki sana Mchungaji na aendelee kukupa nguvu ili uendelee kueneza injili kwa Jina la yesu
PROMOVER TV mbarikiwe wana wa Mungu
Mungu akiwapa Kibali njoeni na Uganda.Bwana Yesu awabariki
Nampenda Yesu
Nampenda Yesu jamani aliyenifia
Barikiwa mno, usichoke kusema ukweli na Mungu azidi kukupa nguvu na uweza , pia uishi miaka mingi,ili watu wasio okoka wazidi kumtafuta Mungu, Mungu anatupenda sana na ndio maana anawatumia watu kama wewe ili tumkimbie shetani, asie sikia shauli zake, lakini mwisho wa siku asije sema hakusikia, barikiwa mno baba!
Ameeeeeeen haijalishi kwa Jina La Yesu. Pastor Katekela Barikiwa. Jacktan Barikiwa sana. Audax Barikiwa sana. Nimebarikiwa sana
AMINA AMINA
Mchungaji nimeona.ndoto mtoto wangu amepingwa risasi tumboni.maana yake Nini? Naomba unijibu baba mch.
Amina
Amen Amen Amen YESU YESU YESU YESU anaweza yote
SITAKUSAHAU WEWE MUUNBA WANGU. MCHUNGAJI KATEKEYA MUNGU AKUBARIKI SAAAANA.
Ameeeeeeeeen
Amen, amen ubarikiwe sanaaa ❤
Amen mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe sana
Hallelujah. Mutumishi wa Mungu, Nimekufwata toka ukonga niko na wewe hapo ulipo kwa ajili ya utukufu wa Mungu.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mtumishi ubarikiwe ,,lini unarudi geita tuje huko ibadani
Nikoapa marekani lakini nakufuata kwakupataneno la mungu wetu
Aamen nami nipo kwenye mkutano nafurahia ingawaje Niko tbr,ubarikiwe
Asante kwa ujumbe usually unaningusa napenda nionanenawewe mtumishi ilijanga yamahisha yangu linanitesasana kwamudamurefu baba nipokeahiyomesage yangu needs ya yesu
Ameen