MCH.KATEKELA NA TIMU YAKE WATINGA KITUI KENYA BASI LILIPO ANGUKA MTONI NA KUUA|WAFANYA MAOMBI MAZITO
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Ameen, Huyu Pastor alkua illuminati so anajua kila kitu.But Mungu akamwokoa asante Yesu🙏🙏
Asante mchungaj i kwa kutembelea nchi yeu kenya ..nafuatilia mafundisho na natumaini nitafanikiwa kupata binti yangu alifariki 2020 dec na Roho ananibia ako hai hajafa. Nimeishi kwa maombi Hadi mungu akanikutanisha na wewe kupitia you tube..alionekana last year akiwa kenyatta hospital lakini sasa sijui nimpate vipi.
Pole Ruth,wakati Amiel anakuja Kenya make sure umekutana naye.ama ufunge safari uende Tanzania.🙏
Yawageukie wenyewe kwa Jina la YESU KRISTU ALIYEHAI
Mbarikiwe watumishi wa MUNGU ALIYEHAI🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤
😂😂😂😂😂 Jackitan acha wogaaaa, eti msiniacheee, unahisi joka kuu anakufuata nyuma au, 😂🤣🤣🤣🤣 umenichekesha kweli. Duu Mambo ya ajabu kabisa, ofisi zenyewe poli, hapo ndo ujue shetan hana chake ni mwizi ndo maana anajificha anakuwa sehem chafu
Amina amina amina mchungaji mungu akuongeze miujiza.
Yesu amefunua ajali ya Kitui coz amekusudia kuwarudisha walioibiwa, asante Yesu kwa upendo na huruma. Ila mtumishi Amiel, Mungu alikuokoa ili ufanye hiyo kz ya kuwatoa watu huko vifungoni; lakini nina shaka na wakuu wa dini yako! Maana hawakubaliani na hayo ni kama tu EAGT! Mungu ni mwaminifu ikitokea hawakuelewi, atakuongoza mahali sahihi.
Na iwe ivyo
Rmary p itabidi akuje kwa Askofu Gwajima ufufuo na uzima🤣🤣🤣
Wewe mtumainie Mungu.
@@kimsamespa8490 Kabisa yaani
Mumbarikiwe sana Watumishi wa Mungu
Dah jamn YESU wangu awatie nguvu jmni.kupitia haya maombi roho zote za kuzmu zishindwe na kurud kuzimu ktka jina la YESU litukuzwe 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu Aminiel. Damu ya Yesu ikuatamie
AMINA
Amen Amen pastor huko n kwetu mbarikiwe sana watumishi wa BWANA ,BAURICE kutoka kenya 🇰🇪
Huwezi amini km hicho kibwawa kilikuwa mto mkubwa na kupoteza watu 30 wachawi wabaya sana mch amiel umefanya kazi nzuri biblia inasema usimuache mchawi akaishi hongera kaka Jactan damu ya Yesu izidi kuwafunika
Amen
Asante sana mhungangi umbarikiwe sana kule nikwetu kitui MUNGU wetu ni wa ajambu
Asante mtumishi Amiel na team yako yote.❤
Mtumishi wa Mungu Mungu azidi kukuinua kwa kazi yake.mtumishi wa Mungu eneo la Ng'eeni mariakani njia ya mwanda kwenda kinango linakuitaji
Ameeeeeeeeeen mbarikiwe sana watumishi wa BWANA, uko ndio nyumbani niliko saliwa
karibu na kwetu mkoa wa songwe
Amen and Amen. Baraka za Mungu ziwe nanyi. Tumejifunza mengi na maisha yetu yamebadilika.
Asante mtumishi Kwa kuja kwetu Kenya Mungu akuzidishie umri
Glory unto God Amen. God is a miracle working God.. God is visiting kitui.. Hallelujah
Karibuni na Lamu wilaya ya pwani
Mngeomba maombi ya kurudisha waliochukuliwa ktk magereza ya kuzimu,
Ameeen! Kwa Jina la Yesu kristo, kwa damu ya Yesu kristo
Mchungaji asiye na hofu kabiisa
Mchungaji Mungu akubariki, mtoto alizama maji ila alikuanatoa damu za pua inamaana alikuliwa na wachawi au aliwekwa msukule niombee mtumishi wa Mungu ili nipate amani ya moyo na faraja pia tangu mtoto wangu afe sina amani🙏
Yesu akupe amani na Kama sivo akutendee muujiza kwa namna yoyote ..wote waliohusika na kifo hicho basi wakapigwe na Mungu kwa jina la Yesu kristo
@@irenekafugugu1333 Amina MUNGU nimwaminifu 🛐🙏
Amina,Mungu aendelee kuibariki kazi aliyokutuma na team yako,na yote yakafanyike na kutimilika kwa utukufu wa Mungu,mbarikiwe nyote
Aminaaaaa
Eeeh Mungu wa mbinguni akubariki akuinue mtumishi wa Mungu, kwa kazi kubwa uliyoifanya ,barikiwa!!!
j?hao watu waliokuwa wameangukia kwenye maj walitokam
Mungu Aendelee kuwalinda kaka Jacktan na pastor Amieli. Mungu Aendelee kuwatumia katika Jina La Yesu ♥
Amen
JACTAN BHAN UMENICHEKESHA SAANA AISEE 😂😂😂😂😂
Very powerful faith man of God hakuna pastor mkenya anaweza fika hapa aki yesu jithihirishe kupitia huyu jamaa
🙌🙌🙌♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Knowledge is power.. lakini kumpenda Yesu Kristo ndo chanzo Cha maarifa... Yesu Kristo amekufanya utufunze mengi.. na maarifa yetu yanaongezeka ya kumshinda shetani kwa jina la Yesu Kristo.
Woow thanks JÉSUS-CHRIST.kwa kufikisha watumish wako Kenya natuamin wamemaliza salama semina hiyo utawarudsha salama nyumban.blesd all jina la YESU litukuzwe 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Amen sana Na Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika Jina La Yesu Kristo aliye hai.
Kazi yenu ni mjema, Mungu awabariki sana
Brother Jactani umenivunja mbavu, eti msiniache, unatamani utimue mbio unaogopa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tunashukuru kwa kazi njema
Bwana Yesu awabariki
much love and blessings, from kenya
may GOD protect you and giv ya all strength
Barikiwa sana mtumishi waMungu
Mtumishi vipi kuhusu wachungaji wanao tumia ma bodyguard kwajili yausalama wao nahuku Wana dai Kuwa wao ni manabii wakuu? Mungu hawezi kumlinda mtu bila hao maJAMA? Mbonawewe hauna? Me huwa najiuliza na sipati ma jibu..ile ina managani ?
Mm naona kama mpago wa Mungu ulikua ni ufike kitui wala c seminar sana sana
For our God is a consuming fire Hebrews 12:29
That's the point
Wonderful God bless servant of God
Ameeen Ameeen Ameeen asante mungu akuzidishie maisha mtumishi
Bwana wetu Yesu Kristo azidi kuwabariki sana kwa kazi njema ya kuutukuza na kuujenga Ufalme wa Mungu, Jactani tunazidi kukuombea maana kazi yako inavita sana Pia Mungu azidi sana kukuinua na Pastor Amiel nimejifunza mengi sana na nimebarikiwa sana
Amen
YESU AKULINDE NA KUKUZUNGUKA SIKU ZOTE KAMA YERUSALEMU INAVYOZUNGUKWA NA MILIMA
😀😀😀😀Mr Jacktan Jacktan hahaaa eti wasikuwache kitui ihihi watangazie una Yesu mi wakamba wakutoka huko walishaniwezanga hapo nyuma hahaaa kweli hebu wasikuwache
Ameen
You did,a good job, glory to Jesus Christ,I was grateful attending the program in Nairobi,,just one day,but I was so blessed,.
Ungeshilikiana na wahanga wa tukio hilo,ktk kuwaongoza ktk maombi ya kuwarudisha hao waliokufa,
Jactani unaongopa Ata wewe😂😂
Mbarikiwe sana
Poleni wana familia walio wapoteza wapendwa wenu 😭😭
Amen Mungu wa mbinguni awe mlinzi wa watu wake
Our God is powerful 💖🙌🏽🙌🏽
Hallelujah, May Our Lord Jesus be with you
Jacktan hataki kubaki kitui 😂😂😂😂😂
Amen 🙏🙏🙏 mungu awabariki sana Kwa kazi njema.
Amen.
Amen
Asante. Sana. Mtumish. Amieli. Na. Jacktan. Mwenyezi. Mungu. Awabariki. Sana. Shalom. 🙏🙏🙏🙌🙌Shulman
Mungu ni mwaminifu... tumepona kwa neema za Mungu Mwenyezi.
muinuliwe zaidi na zaidi
Amen Amen Yesu awalinde sana wote asanteni sana 🙏
Niko na shida kwenye kubwa maishani mwangi nasidhani nimambo tu ya kawaida, ningependa kumfikia mjungaji ili anisaidie kwa maombi
Jibu YA Shida yako iko mangotini omba bila kuchoka MUNGU ata kusikiliza jitiye Moyo dada
Msiniache msiniache na mimi kwasabanu tupo kitui 🤣🤣🤣🤣 mhoga wewe jacktani
May God bless you
Amen
@Jacktan msafiri na @Danieli katekela you are doing a great job,May God bless you ,,,, following you from Kenya
Amen
Barikiweni saana watumishi wa MUNGU,,kurudisha hao mchungaji gwajima ndo mojo,,atawaita njoo njoo
Sifa kwa Yesu Muumba wa mbingu na nchi na vyote vilivyomo.Hajawai shindwa na lolote.AMINA.
Leo nikienda mjini Kisumu,nilimwona mwenda wazimu akimtega mwanamke mmoja kwa mguu karibu kumwangusha. Halafu akaboboja maneno kumwelekekea mwanamke huyo. Inamaanisha nini kiroho?
Amina Yesu ndiyo. Mungu
Aki Pastor asirudi tz kama hajafika Kisii.... Jacktan and ua team please consider this
This a true prophet my God be serious wafuatileni mtawapata
mbarikiwe sana n vile nko mbali kikazi network haifanyi uku ya safaricom nko Iraq mungu awabariki sana 🙏🙏
Yaani nimezidisha kumoenda huyu Mungu kwa ajili ya kumuokoa huyu mtumishi Amiel, Mungu anaoenda watu aliowaumba wote ndio maana amemtoa huyu ili nasi tuokolewe Bure tu.
i wanna talk with that poster
Nashukuru sana kuwaona kwetu nyumbani n vile Niko Mombasa namimi ningefka hapo
Aameeen Kitui for Jesus...Wachawi wotee catch fire in Jesus name
Kwa Jina La Yesu ulinzi upo na wachawi wote waishe kutoka kitui leo watu waliochukuliwa wapone kwa neema ya Bwana
kwa damu ya YESU na kwamoto wa roho mutakatifu 🙏🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Promover TV mungu awabariki sana
Amen
Mchungaji naomba utaje no yako plz Nina shida kubwa sana
Akubariki mtumishi naamini ufanyalo uko sahihi waamini mnatakiwa kuongeza nguvu ya naombi na Yesu atatenda. Amen
hallelujah hallelujah JESUS CHRIST I thank you servant of JESUS CHRIST
Haleluya Mungu aendelee kukutumia past najisikia furaha mno
Ni kweli huwa wanasema kitui ni mwisho kumbe miti Ina mambo mengi hivi doh
Glory be to God.... barikiweni saana saaana wachungaji
Number yake please
Jamani msimuache Jacktan hapo ni kitui chondechonde!!!! Ha haaa
Mbarikiwe sana watumishi
🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤
Ameeeeeen mtumishi katakela mungu akubariki tu saana 🙏🙌👏
🤣 musimuache jactan wetu kitui khaaa 🤣
Amen Mungu awambariki Wachungaji 🙏
😂😂😂Jacktan karibu Kitui, acha kuogopa "buriani alutare" 😂😂
😂
Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu. Nawatakia safari njema..
Mbavu zangu Mimi kaka jactan at msiniache hapa ni kitui.
Mbarikiwe sana mtumishi mungu awalinde
Mungu azd kuwajaza Roho wake Mtakatifu.
Ameen ameen, asanteni kwa Huduma huo.
Neema ya Mungu izidi ndani yenu