MCH.KATEKELA NA TIMU YAKE WATINGA KITUI KENYA BASI LILIPO ANGUKA MTONI NA KUUA|WAFANYA MAOMBI MAZITO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 175

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 2 года назад +13

    Ameen, Huyu Pastor alkua illuminati so anajua kila kitu.But Mungu akamwokoa asante Yesu🙏🙏

  • @ruthmwikali6993
    @ruthmwikali6993 2 года назад +14

    Asante mchungaj i kwa kutembelea nchi yeu kenya ..nafuatilia mafundisho na natumaini nitafanikiwa kupata binti yangu alifariki 2020 dec na Roho ananibia ako hai hajafa. Nimeishi kwa maombi Hadi mungu akanikutanisha na wewe kupitia you tube..alionekana last year akiwa kenyatta hospital lakini sasa sijui nimpate vipi.

    • @Esthermordecai
      @Esthermordecai 7 месяцев назад

      Pole Ruth,wakati Amiel anakuja Kenya make sure umekutana naye.ama ufunge safari uende Tanzania.🙏

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 2 года назад +6

    Yawageukie wenyewe kwa Jina la YESU KRISTU ALIYEHAI
    Mbarikiwe watumishi wa MUNGU ALIYEHAI🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤

  • @rusimackems9820
    @rusimackems9820 2 года назад +5

    😂😂😂😂😂 Jackitan acha wogaaaa, eti msiniacheee, unahisi joka kuu anakufuata nyuma au, 😂🤣🤣🤣🤣 umenichekesha kweli. Duu Mambo ya ajabu kabisa, ofisi zenyewe poli, hapo ndo ujue shetan hana chake ni mwizi ndo maana anajificha anakuwa sehem chafu

  • @emmanuelhatangimana3431
    @emmanuelhatangimana3431 2 года назад +4

    Amina amina amina mchungaji mungu akuongeze miujiza.

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 2 года назад +13

    Yesu amefunua ajali ya Kitui coz amekusudia kuwarudisha walioibiwa, asante Yesu kwa upendo na huruma. Ila mtumishi Amiel, Mungu alikuokoa ili ufanye hiyo kz ya kuwatoa watu huko vifungoni; lakini nina shaka na wakuu wa dini yako! Maana hawakubaliani na hayo ni kama tu EAGT! Mungu ni mwaminifu ikitokea hawakuelewi, atakuongoza mahali sahihi.

  • @perrywanjiru2754
    @perrywanjiru2754 2 года назад +3

    Mumbarikiwe sana Watumishi wa Mungu

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 2 года назад +4

    Dah jamn YESU wangu awatie nguvu jmni.kupitia haya maombi roho zote za kuzmu zishindwe na kurud kuzimu ktka jina la YESU litukuzwe 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @annambezi6226
    @annambezi6226 2 года назад +4

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu Aminiel. Damu ya Yesu ikuatamie

  • @katheuchumba1628
    @katheuchumba1628 6 месяцев назад +1

    Amen Amen pastor huko n kwetu mbarikiwe sana watumishi wa BWANA ,BAURICE kutoka kenya 🇰🇪

  • @happykajeli5453
    @happykajeli5453 2 года назад +6

    Huwezi amini km hicho kibwawa kilikuwa mto mkubwa na kupoteza watu 30 wachawi wabaya sana mch amiel umefanya kazi nzuri biblia inasema usimuache mchawi akaishi hongera kaka Jactan damu ya Yesu izidi kuwafunika

  • @mwikalicatherini6092
    @mwikalicatherini6092 2 года назад +2

    Asante sana mhungangi umbarikiwe sana kule nikwetu kitui MUNGU wetu ni wa ajambu

  • @Esthermordecai
    @Esthermordecai 7 месяцев назад +2

    Asante mtumishi Amiel na team yako yote.❤

  • @christinezuma5588
    @christinezuma5588 Год назад +2

    Mtumishi wa Mungu Mungu azidi kukuinua kwa kazi yake.mtumishi wa Mungu eneo la Ng'eeni mariakani njia ya mwanda kwenda kinango linakuitaji

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 2 года назад +4

    Ameeeeeeeeeen mbarikiwe sana watumishi wa BWANA, uko ndio nyumbani niliko saliwa

  • @jofreyshimwela5159
    @jofreyshimwela5159 Год назад +2

    karibu na kwetu mkoa wa songwe

  • @mwacuka119
    @mwacuka119 2 года назад +5

    Amen and Amen. Baraka za Mungu ziwe nanyi. Tumejifunza mengi na maisha yetu yamebadilika.

  • @Tumu-zr2ez
    @Tumu-zr2ez 11 месяцев назад +1

    Asante mtumishi Kwa kuja kwetu Kenya Mungu akuzidishie umri

  • @rebeccamakenzi9019
    @rebeccamakenzi9019 2 года назад +6

    Glory unto God Amen. God is a miracle working God.. God is visiting kitui.. Hallelujah

  • @MarySammy-qt6wh
    @MarySammy-qt6wh 10 месяцев назад +2

    Karibuni na Lamu wilaya ya pwani

  • @bonifasemmanuel4700
    @bonifasemmanuel4700 2 года назад +1

    Mngeomba maombi ya kurudisha waliochukuliwa ktk magereza ya kuzimu,

  • @favourndila8474
    @favourndila8474 2 года назад +5

    Ameeen! Kwa Jina la Yesu kristo, kwa damu ya Yesu kristo

  • @yordandjyd9373
    @yordandjyd9373 2 года назад +2

    Mchungaji asiye na hofu kabiisa

  • @florencemakanda7946
    @florencemakanda7946 2 года назад +4

    Mchungaji Mungu akubariki, mtoto alizama maji ila alikuanatoa damu za pua inamaana alikuliwa na wachawi au aliwekwa msukule niombee mtumishi wa Mungu ili nipate amani ya moyo na faraja pia tangu mtoto wangu afe sina amani🙏

    • @irenekafugugu1333
      @irenekafugugu1333 Год назад +1

      Yesu akupe amani na Kama sivo akutendee muujiza kwa namna yoyote ..wote waliohusika na kifo hicho basi wakapigwe na Mungu kwa jina la Yesu kristo

    • @florencemakanda7946
      @florencemakanda7946 Год назад

      @@irenekafugugu1333 Amina MUNGU nimwaminifu 🛐🙏

  • @elizabethlusato7363
    @elizabethlusato7363 2 года назад +3

    Amina,Mungu aendelee kuibariki kazi aliyokutuma na team yako,na yote yakafanyike na kutimilika kwa utukufu wa Mungu,mbarikiwe nyote

  • @janetnzai9866
    @janetnzai9866 2 года назад +1

    Aminaaaaa

  • @hellendiana625
    @hellendiana625 2 года назад +3

    Eeeh Mungu wa mbinguni akubariki akuinue mtumishi wa Mungu, kwa kazi kubwa uliyoifanya ,barikiwa!!!

  • @lieva1366
    @lieva1366 2 года назад +1

    j?hao watu waliokuwa wameangukia kwenye maj walitokam

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 2 года назад +4

    Mungu Aendelee kuwalinda kaka Jacktan na pastor Amieli. Mungu Aendelee kuwatumia katika Jina La Yesu ♥

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 2 года назад +3

    JACTAN BHAN UMENICHEKESHA SAANA AISEE 😂😂😂😂😂

  • @sharonwalubengo9507
    @sharonwalubengo9507 2 года назад +4

    Very powerful faith man of God hakuna pastor mkenya anaweza fika hapa aki yesu jithihirishe kupitia huyu jamaa

    • @mindenlightenment
      @mindenlightenment 2 года назад +2

      🙌🙌🙌♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @JifunzeNenoLaMungu
    @JifunzeNenoLaMungu 2 года назад +6

    Knowledge is power.. lakini kumpenda Yesu Kristo ndo chanzo Cha maarifa... Yesu Kristo amekufanya utufunze mengi.. na maarifa yetu yanaongezeka ya kumshinda shetani kwa jina la Yesu Kristo.

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 2 года назад +2

    Woow thanks JÉSUS-CHRIST.kwa kufikisha watumish wako Kenya natuamin wamemaliza salama semina hiyo utawarudsha salama nyumban.blesd all jina la YESU litukuzwe 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @dainesykalinga7133
    @dainesykalinga7133 2 года назад +4

    Amen sana Na Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika Jina La Yesu Kristo aliye hai.

  • @rusimackems9820
    @rusimackems9820 2 года назад +4

    Kazi yenu ni mjema, Mungu awabariki sana

  • @macklinakabyazi3036
    @macklinakabyazi3036 2 года назад +1

    Brother Jactani umenivunja mbavu, eti msiniache, unatamani utimue mbio unaogopa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jaredosoro437
    @jaredosoro437 2 года назад +3

    Tunashukuru kwa kazi njema
    Bwana Yesu awabariki

  • @tesokraftokenyaafrika6571
    @tesokraftokenyaafrika6571 2 года назад +2

    much love and blessings, from kenya
    may GOD protect you and giv ya all strength

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 2 года назад +2

    Barikiwa sana mtumishi waMungu

  • @ingabireyimanabenitha.1182
    @ingabireyimanabenitha.1182 2 года назад +2

    Mtumishi vipi kuhusu wachungaji wanao tumia ma bodyguard kwajili yausalama wao nahuku Wana dai Kuwa wao ni manabii wakuu? Mungu hawezi kumlinda mtu bila hao maJAMA? Mbonawewe hauna? Me huwa najiuliza na sipati ma jibu..ile ina managani ?

  • @dorcusmusyoka4591
    @dorcusmusyoka4591 2 года назад +1

    Mm naona kama mpago wa Mungu ulikua ni ufike kitui wala c seminar sana sana

  • @mindenlightenment
    @mindenlightenment 2 года назад +2

    For our God is a consuming fire Hebrews 12:29

  • @ruthachayo8038
    @ruthachayo8038 2 года назад +2

    Wonderful God bless servant of God

  • @helenkimo1078
    @helenkimo1078 2 года назад +1

    Ameeen Ameeen Ameeen asante mungu akuzidishie maisha mtumishi

  • @PastorPeter00
    @PastorPeter00 2 года назад +3

    Bwana wetu Yesu Kristo azidi kuwabariki sana kwa kazi njema ya kuutukuza na kuujenga Ufalme wa Mungu, Jactani tunazidi kukuombea maana kazi yako inavita sana Pia Mungu azidi sana kukuinua na Pastor Amiel nimejifunza mengi sana na nimebarikiwa sana

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 2 года назад +1

    YESU AKULINDE NA KUKUZUNGUKA SIKU ZOTE KAMA YERUSALEMU INAVYOZUNGUKWA NA MILIMA

  • @millicentnaliaka
    @millicentnaliaka 2 года назад

    😀😀😀😀Mr Jacktan Jacktan hahaaa eti wasikuwache kitui ihihi watangazie una Yesu mi wakamba wakutoka huko walishaniwezanga hapo nyuma hahaaa kweli hebu wasikuwache

  • @mwaminierasto9718
    @mwaminierasto9718 2 года назад +1

    Ameen

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 2 года назад +2

    You did,a good job, glory to Jesus Christ,I was grateful attending the program in Nairobi,,just one day,but I was so blessed,.

  • @bonifasemmanuel4700
    @bonifasemmanuel4700 2 года назад

    Ungeshilikiana na wahanga wa tukio hilo,ktk kuwaongoza ktk maombi ya kuwarudisha hao waliokufa,

  • @veronicadavid4613
    @veronicadavid4613 2 года назад +1

    Jactani unaongopa Ata wewe😂😂

  • @mindenlightenment
    @mindenlightenment 2 года назад +1

    Mbarikiwe sana

  • @tatumluv6054
    @tatumluv6054 2 года назад +2

    Poleni wana familia walio wapoteza wapendwa wenu 😭😭

  • @wkjshsxbbsbs6392
    @wkjshsxbbsbs6392 2 года назад +2

    Amen Mungu wa mbinguni awe mlinzi wa watu wake

  • @helmashimba7761
    @helmashimba7761 2 года назад +2

    Our God is powerful 💖🙌🏽🙌🏽

  • @janetnzai9866
    @janetnzai9866 2 года назад +2

    Hallelujah, May Our Lord Jesus be with you

  • @ceciliamuhatia2753
    @ceciliamuhatia2753 2 года назад +1

    Jacktan hataki kubaki kitui 😂😂😂😂😂

  • @apostleleshan2183
    @apostleleshan2183 2 года назад +1

    Amen 🙏🙏🙏 mungu awabariki sana Kwa kazi njema.

  • @christinezuma5588
    @christinezuma5588 Год назад +1

    Amen.

  • @salomekinde5261
    @salomekinde5261 2 года назад +1

    Amen

  • @emelivaly1720
    @emelivaly1720 2 года назад

    Asante. Sana. Mtumish. Amieli. Na. Jacktan. Mwenyezi. Mungu. Awabariki. Sana. Shalom. 🙏🙏🙏🙌🙌Shulman

  • @veronicahmui6419
    @veronicahmui6419 2 года назад +1

    Mungu ni mwaminifu... tumepona kwa neema za Mungu Mwenyezi.

  • @barakamanu1514
    @barakamanu1514 2 года назад

    muinuliwe zaidi na zaidi

  • @getrudeliyayi8050
    @getrudeliyayi8050 2 года назад +1

    Amen Amen Yesu awalinde sana wote asanteni sana 🙏

  • @bettyobiero8408
    @bettyobiero8408 2 года назад +1

    Niko na shida kwenye kubwa maishani mwangi nasidhani nimambo tu ya kawaida, ningependa kumfikia mjungaji ili anisaidie kwa maombi

    • @enockbk
      @enockbk 2 года назад

      Jibu YA Shida yako iko mangotini omba bila kuchoka MUNGU ata kusikiliza jitiye Moyo dada

  • @captainlufumbe6227
    @captainlufumbe6227 2 года назад

    Msiniache msiniache na mimi kwasabanu tupo kitui 🤣🤣🤣🤣 mhoga wewe jacktani

  • @phaniceariviza4399
    @phaniceariviza4399 2 года назад +1

    May God bless you

  • @onesmuskimatu2332
    @onesmuskimatu2332 2 года назад +1

    @Jacktan msafiri na @Danieli katekela you are doing a great job,May God bless you ,,,, following you from Kenya

  • @maxmillahnafula8279
    @maxmillahnafula8279 2 года назад

    Barikiweni saana watumishi wa MUNGU,,kurudisha hao mchungaji gwajima ndo mojo,,atawaita njoo njoo

  • @Josephinesam4103
    @Josephinesam4103 2 года назад

    Sifa kwa Yesu Muumba wa mbingu na nchi na vyote vilivyomo.Hajawai shindwa na lolote.AMINA.

  • @elizabethwanyonyi609
    @elizabethwanyonyi609 2 года назад

    Leo nikienda mjini Kisumu,nilimwona mwenda wazimu akimtega mwanamke mmoja kwa mguu karibu kumwangusha. Halafu akaboboja maneno kumwelekekea mwanamke huyo. Inamaanisha nini kiroho?

  • @jesusismyking5292
    @jesusismyking5292 2 года назад +1

    Amina Yesu ndiyo. Mungu

  • @miamo4789
    @miamo4789 2 года назад

    Aki Pastor asirudi tz kama hajafika Kisii.... Jacktan and ua team please consider this

  • @helenkimo1078
    @helenkimo1078 2 года назад

    This a true prophet my God be serious wafuatileni mtawapata

  • @joannanekesa7758
    @joannanekesa7758 2 года назад

    mbarikiwe sana n vile nko mbali kikazi network haifanyi uku ya safaricom nko Iraq mungu awabariki sana 🙏🙏

  • @florencebalongo6957
    @florencebalongo6957 2 года назад

    Yaani nimezidisha kumoenda huyu Mungu kwa ajili ya kumuokoa huyu mtumishi Amiel, Mungu anaoenda watu aliowaumba wote ndio maana amemtoa huyu ili nasi tuokolewe Bure tu.

  • @hasanipoy3976
    @hasanipoy3976 2 года назад

    i wanna talk with that poster

  • @dorcusmusyoka4591
    @dorcusmusyoka4591 2 года назад

    Nashukuru sana kuwaona kwetu nyumbani n vile Niko Mombasa namimi ningefka hapo

  • @miamo4789
    @miamo4789 2 года назад

    Aameeen Kitui for Jesus...Wachawi wotee catch fire in Jesus name

  • @millicentnaliaka
    @millicentnaliaka 2 года назад

    Kwa Jina La Yesu ulinzi upo na wachawi wote waishe kutoka kitui leo watu waliochukuliwa wapone kwa neema ya Bwana

  • @prayerwomen3444
    @prayerwomen3444 2 года назад

    kwa damu ya YESU na kwamoto wa roho mutakatifu 🙏🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @zipporahmibei9007
    @zipporahmibei9007 2 года назад

    Promover TV mungu awabariki sana

  • @marieamodoi4097
    @marieamodoi4097 2 года назад

    Mchungaji naomba utaje no yako plz Nina shida kubwa sana

  • @charlesmapunda5905
    @charlesmapunda5905 2 года назад

    Akubariki mtumishi naamini ufanyalo uko sahihi waamini mnatakiwa kuongeza nguvu ya naombi na Yesu atatenda. Amen

  • @lightness9756
    @lightness9756 2 года назад

    hallelujah hallelujah JESUS CHRIST I thank you servant of JESUS CHRIST

  • @suzanmndasha8315
    @suzanmndasha8315 2 года назад

    Haleluya Mungu aendelee kukutumia past najisikia furaha mno

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 2 года назад

    Ni kweli huwa wanasema kitui ni mwisho kumbe miti Ina mambo mengi hivi doh

  • @irenek7280
    @irenek7280 2 года назад

    Glory be to God.... barikiweni saana saaana wachungaji

  • @forjesus1382
    @forjesus1382 Год назад

    Number yake please

  • @mercysimba3569
    @mercysimba3569 2 года назад

    Jamani msimuache Jacktan hapo ni kitui chondechonde!!!! Ha haaa

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 2 года назад

    Mbarikiwe sana watumishi
    🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy2484 2 года назад

    Ameeeeeen mtumishi katakela mungu akubariki tu saana 🙏🙌👏

  • @ruthsamwel671
    @ruthsamwel671 2 года назад

    🤣 musimuache jactan wetu kitui khaaa 🤣

  • @araead4785
    @araead4785 2 года назад

    Amen Mungu awambariki Wachungaji 🙏

  • @frankinspired6486
    @frankinspired6486 2 года назад

    😂😂😂Jacktan karibu Kitui, acha kuogopa "buriani alutare" 😂😂

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 2 года назад

    Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu. Nawatakia safari njema..

  • @happnesskitumbo5713
    @happnesskitumbo5713 2 года назад

    Mbavu zangu Mimi kaka jactan at msiniache hapa ni kitui.

  • @halmawarioh3681
    @halmawarioh3681 2 года назад

    Mbarikiwe sana mtumishi mungu awalinde

  • @agnethpaul3596
    @agnethpaul3596 2 года назад

    Mungu azd kuwajaza Roho wake Mtakatifu.

  • @maggyirene110
    @maggyirene110 2 года назад

    Ameen ameen, asanteni kwa Huduma huo.
    Neema ya Mungu izidi ndani yenu