Dr. Chris Mauki : Funguo 5) katika kumudu hasira zako.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 61

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 3 года назад +4

    MMI kiukweli nna ghadhabu Sana endapo mpenz wangu akiwa ananidanganya au kuniletea upumbavu daaa haziishi mapema harafu Nakuwa na kinyongo mno hapa nifanyaje doctor

  • @DaveHumphrey2514
    @DaveHumphrey2514 4 года назад +6

    FRAGILE EGO kaka chris, vitu vingi kwenye hasira vinatokana na hicho kitu. Makuzi ndio inasababisha mmno, vile mtoto anachukuliwa bila heshima, hisia zake hazitiliwi maanani, kufungwa mdomo kutoruhusiwa kusema ukweli wake, kuona jinsi wazazi wetu walivyokuwa wanachukua mambo yao wakiwa na hasira... Wengi unakuta walikuwa kimya na walikuwa wanalipuka from time to time, we adopt from that...

  • @sufoorembo5925
    @sufoorembo5925 2 года назад +1

    Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿

  • @MwanamisiTenga
    @MwanamisiTenga Год назад

    Thunks sana doctor mm ntakusikiza Kila siku mana hasira ni shida kubwa sna kwangu

  • @happyhaule5865
    @happyhaule5865 2 года назад

    Asante kwahilo hata mmi nahasila Sana umenisaidia sana

  • @rehemamhewa4639
    @rehemamhewa4639 4 года назад +3

    Ahsante Dr kwa mafundisho
    Iam short tempered

  • @madlynerose6493
    @madlynerose6493 2 года назад

    Apo kwa hasira umenisaidia Sana Asante sana

  • @doristo2597
    @doristo2597 4 года назад +1

    Ahsante brother nmekuelewa,

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 Месяц назад

    Mimi nimmoja wao hasira zangu sinaniudhi mwenyewe ,mana hata presha inapanda ,hua nnamaneno makali nasijizuii kusema ,kulia ,hususan kw wtt wangu ,wanaponikwaza

  • @annabrayson2001
    @annabrayson2001 3 года назад +2

    Asante doctor manake me nahasira kias kwamba nikigombana na baby wangu hata kazi haziend, Kama nimepika tamwaga chakula nimlaze njaa🤣 daaaa!! Yn nafanyaga vituko af badae namuonea huruma tena

    • @omarymasukila2706
      @omarymasukila2706 3 года назад

      uyo n mm kabisa

    • @lilyjey9326
      @lilyjey9326 2 года назад

      Thank so much Doc ila mimi ninahilo tatizo kabisaa 😊😊ila sbb Zipo kuliongelea hapa n ngumu basi Toa no zako simu watu wakuulize more

  • @sarahjuma6044
    @sarahjuma6044 3 года назад

    Mim ninahasira Sana nikichokozwa thanks dr

  • @esthermrambamramba1570
    @esthermrambamramba1570 4 года назад

    Hongera sana kwa hili somo kwan nmenufaika

  • @aishamaulidi4679
    @aishamaulidi4679 4 года назад

    Ubarikiwe sana kaka mafundisho ni mazur na nimeyapokea

  • @episawaki1281
    @episawaki1281 4 года назад

    Mm ninahasira za karbu asante snaaa🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @mangowihaikasiaernest2950
    @mangowihaikasiaernest2950 4 года назад

    Ahsante Dr

  • @bernadethalyamuya449
    @bernadethalyamuya449 4 года назад

    Asante sana

  • @sabylaby
    @sabylaby 3 года назад

    Asante Sana Dr

  • @neemashirima6121
    @neemashirima6121 2 года назад +1

    Naomba msaada nikiwa na hasira siwezi kuongea neno Bali nabaki kulia Hadi maishiwa nguvu na kuanza kutetemeka.nisaidieeer tafadhali tu baba .

  • @leticiampeka1488
    @leticiampeka1488 4 года назад +1

    Thanks for the lesson, be blessed

  • @brianombuna627
    @brianombuna627 3 года назад

    So helpful

  • @nancyabiazari3876
    @nancyabiazari3876 4 года назад

    Jaman mim. Ninazo asira san

  • @janethseba8795
    @janethseba8795 3 года назад

    Nimekuelea kwa sehem mtalam

  • @zuenamaulana5084
    @zuenamaulana5084 2 года назад +1

    Mm Nina ilo tatizo nashindwa kujizuia kabisa nahasira

  • @marthamrema1570
    @marthamrema1570 4 года назад

    Thnx Dr b bless

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah7083 4 года назад

    Shukran

  • @bandolatztrump2470
    @bandolatztrump2470 4 года назад

    Ahsanteee Uncle

  • @janethjoely7685
    @janethjoely7685 4 года назад

    Thank you

  • @marymusangi5568
    @marymusangi5568 4 года назад

    mume wangu ni mtu WA hasira sana sijui utamsaidiaje

  • @juditholotu769
    @juditholotu769 2 года назад

    Hii itanisaidia hata mimi

  • @winfridamwigilwa2107
    @winfridamwigilwa2107 4 года назад

    Sante sana

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 3 года назад

    True

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu 3 года назад +1

    Naweza kupata namba yako kivipi Dr.?

  • @abdallahaji3911
    @abdallahaji3911 2 года назад

    Hakika haya masuala ni magumu sana

  • @joshuasamweli6139
    @joshuasamweli6139 2 года назад

    Nipo nasomatu comment za wadau nionee maon yao

  • @eflaziaphilipo8246
    @eflaziaphilipo8246 3 года назад

    Yan jaman mm hasla itaniua jaman 😢😢😢😢😢

  • @magrethedward8987
    @magrethedward8987 4 года назад

    🙏

  • @lovenessdiva3370
    @lovenessdiva3370 4 года назад

    🙏🙏🙏

  • @kerryhoza6173
    @kerryhoza6173 4 года назад

    Facts

  • @lydiabuyungu5117
    @lydiabuyungu5117 4 года назад +1

    Okay🤔

  • @carolinekasiemeka9848
    @carolinekasiemeka9848 4 года назад +1

    Mume wangu ako na hasira za mkizi hadi nafikiria kutoroka ili nipate amani.

    • @DaveHumphrey2514
      @DaveHumphrey2514 4 года назад

      Dada, beba vitu vyako, HATOBADILIKA

    • @ceninibe7622
      @ceninibe7622 4 года назад

      @@DaveHumphrey2514 🙄😂😂😂😂 amuombee kwanza

    • @DaveHumphrey2514
      @DaveHumphrey2514 4 года назад +1

      @@ceninibe7622 mimi naongea with experience, baba yangu ana kisirani hatari na ana miaka 65 huko... Mpaka wa leo ana kidonda cha utotoni alichopata kutoka kwa wazazi wake walikuwa wakoloni hatari, na mpaka wa leo haachi kusema "Baba alitutesa sana" bado ako na hasira za utotoni... Mimi enyewe bado nasemwa na vitu vya mwaka 2011 hadi leo... Ceni HATOBADILIKA, ujue makucha ya mtu yanajitokeza akiwa comfortable. Caleb, take notes anavyokasirikia sana ndipo utajua aliumizwa wapi... USIWEKE MATUMAINI KWAMBA ATABADILIKA, wewe sio daktari kazi yako eti ni kumtibu mumeo juu ya hasira zake, hiyo kazi ni yake mwenyewe ajitambue, ajirekebishe, kama hawezi usibebe mzigo usiokuhusu... SEPA! Hatobadilika na anaweza kuwa mmbaya zaidi.

    • @lizyjohn328
      @lizyjohn328 4 года назад

      Wallah ondoka tyu atakuja kukupiga bisibisi yashingo akuuwe hawa viumbe hapata kwakweli

  • @lydiabuyungu5117
    @lydiabuyungu5117 4 года назад +5

    Kuna watu unaweza mwambia siko tayari kuongea kwa sasa may be kesho or after 2 or 3 days anadhani hiyo inahalarisha kuwa anavovihisi/anavoviwaza ni sahihi.
    Imagine mtu anakuforce you have to speak hata kama ni kwa mangumi you must speak NOW regardless umekwazika kiasi gani

  • @fatimaharoon8218
    @fatimaharoon8218 3 года назад

    MI nasira za karibu na nilipatikana huku Warabuni🤣🤣🤣

  • @shufaaulomi1033
    @shufaaulomi1033 4 года назад

    Kaka mimi ninashida ya ushauri wako naomba nikutafute watsAp namba zangu 0652847114

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  4 года назад

      Naomba unitumie sms kwa 0713407182 kupitia whatsApp

  • @shukurudavid4369
    @shukurudavid4369 4 года назад

    Kwa post uliyotuma, bro umefeli. Umekuwa ukipost good lesson but for that post you failed. Nasubiri unakuja na recommendation gani to change attitude za watu vs you especially men.

  • @mangowihaikasiaernest2950
    @mangowihaikasiaernest2950 4 года назад

    Ahsante Dr

  • @angelluka3680
    @angelluka3680 4 года назад

    Thanks dr.