Jinsi ya kuacha tabia usiyoipenda.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 336

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад +14

    This man is a genius ❤❤

  • @ShealifuVuai
    @ShealifuVuai 6 месяцев назад +3

    Nakukubali sana... Yani hatari mungu akuzidishie naakupe mwisho mwema

  • @twahasuleiman-lo9vl
    @twahasuleiman-lo9vl 11 месяцев назад +16

    Wangapi tumeangalia tena mwaka 2023.🎉🎉🎉 Upewe maua Yako Mr. Nanauka.

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 3 года назад +32

    We jamaa unafundisha vitu vikubwa Sana katika maisha ya binadamu ya kila siku ! Ukifuatilia huyu jamaa na kuyaishi yale anayofundisha lazima ufanikiwe na utakuwa mtu wa tofauti Sana

    • @NaomiNgutunyi-r6d
      @NaomiNgutunyi-r6d 14 дней назад

      God bless you man Mungu anakutumia kuimprove na kufungua ,kubadili akili za watu

    • @NaomiNgutunyi-r6d
      @NaomiNgutunyi-r6d 14 дней назад +1

      God bless you man Mungu anakutumia kuimprove na kufungua ,kubadili akili za watu

  • @williamandrea7940
    @williamandrea7940 3 года назад +9

    Joel Nanauka Asante kaka Mafunzo yako yananisaidia sana ktk maisha yangu hususani ya kibiashara Allah akulipe Kheri kaka Amin Amin

  • @stephenondieki168
    @stephenondieki168 2 месяца назад +1

    asante Mungu akubariki umenijenga sana tangu niaze kukufuatilia

  • @twahaally1969
    @twahaally1969 3 года назад +5

    Mr. joel tunajifunza mengi ahsante kwa kutuwezesha kuwa na utulivu mindset zetu. from zanzibar island

  • @joshuankunda5366
    @joshuankunda5366 10 месяцев назад +1

    Asante kwa mafundisho yako. Mungu awe mwalimu bora kwako ili akufunze mengi zaidi.

  • @bennyjaahbj7909
    @bennyjaahbj7909 3 года назад +2

    Iseee nimekupata vzur zaid may God bless u,

  • @rebbecamgana6059
    @rebbecamgana6059 3 года назад +1

    Nashukuru mno kwa somo lako Mungu akubariki sana naamini nitabadilika sasa nitaanza hatua moja na Mimi kwa kuoitoa somo hili amen

  • @GEORGEOUMA1
    @GEORGEOUMA1 8 месяцев назад +1

    I found myself following most of the video posted. A lot of heavy lessons. Congrats.

  • @DiazPilipili
    @DiazPilipili 4 месяца назад

    Asante saaana mwalimu, Mungu wa mbinguni akulinde

  • @frowinchirwa4963
    @frowinchirwa4963 3 года назад +9

    🙏hili somo limenipa mwanzo mzuri wa mapambano juu ya tabia sugu inayonifanya nishindwe kuiacha na kuendelea kuwa muhanga kila siku.

  • @josej9888
    @josej9888 2 года назад +1

    Ahsante Sana kiongozi.

  • @ronaldomselleronaldomselle6238
    @ronaldomselleronaldomselle6238 3 года назад +2

    Mwenyenzi mungu ukubarik uzid kutuelimisha nimebarikiwa sana🙏

  • @salehali4saleh19
    @salehali4saleh19 3 года назад +8

    Nitakuwa mchoyo wa fadhila km sitosema ahsante mwalim

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад +1

      Ahsante snaa Salehe🙏🏻

    • @joachimlema
      @joachimlema 5 месяцев назад

      ​sio vibaya ukitengeneza utaratibu wa watu kukushukuru yaan kutoa sadaka ili uendelee kukusanya matirio

  • @hashkhantantrasiraji118
    @hashkhantantrasiraji118 2 года назад

    Ahsante kwa elimu nzuri ngoja niifanyie kazi niziondoe tabia nazoziona ni mbaya kwangu ubarikiwe sana🙏

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 3 года назад +3

    Naxhukuru xana umeniongezea maana nilikuwa nacha lakin inarudi , xx nimepata mubadala na xehem zinazo chochea au ktembelea xtafanya , Barikiwa xana Mkuu.

  • @philipinashine837
    @philipinashine837 3 года назад +1

    Asante Sana Kaka Joel na mmi ngoja nitumie hizi kanuni nikifanikiwa nitakujulisha. #seeyouathetop

  • @fabianmshai5789
    @fabianmshai5789 5 месяцев назад

    Asante sana Mwalimu umekuwa msaada sana kwangu, Mungu akubariki sana

  • @mickidadyplanet6476
    @mickidadyplanet6476 3 года назад +1

    Thanks kwa somo zur ‘’unapotaka kubadilika anza na hatua ‘’...nimeipenda sana...!!!

  • @danielgabriel915
    @danielgabriel915 2 года назад +2

    Asante sana kaka JOEL NANAUKA nimejifunza mengi sana kutoka kwako mpaka naamua kukuita mwalimu Mimi naitwa Daniel Gabriel nilipata ajali iliyopelekea mwili mzima kupooza lakini na ndoto ya kua motivational speaker niweze kuwa inspire wenye ulemavu kama wangu au wanao pitia changamoto mbalimbali naomba nisaidie support yako mwalimu

  • @wakayakaya6
    @wakayakaya6 Год назад +1

    Ubarikiwe mie nikajua nimepigwa jini yaan nimelogwa kumbe

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 года назад +8

    My all time mentor live longer my brother Joel 🙏🙏

  • @MrJuma-in5io
    @MrJuma-in5io 3 месяца назад

    Mada zako unagusa watu mioyo,
    Hongera sana, 👍👍👍
    Kazi nzuri sana✍️

  • @mickidadyplanet6476
    @mickidadyplanet6476 3 года назад +1

    Thanks kwa somo zur nimependa sana point ya mwisho...unapotaka kubadilika anza kwa hatua ndogo....hii ni kweli kabisa hata mm nilijaribu kutakakubadilika kwa hatua kubwa nikashindwa...but today l got good points...!!!🙏🙏

  • @NelsonAlfredNgoma
    @NelsonAlfredNgoma Месяц назад

    Thanks brother nafata nyendo zako your amazing

  • @omarykajembe4385
    @omarykajembe4385 3 года назад +11

    U don't change the habit,u replace the habit"umegusa hapo

  • @joniajohn4716
    @joniajohn4716 3 года назад

    Ahsante mtumishi wa Mungu. ..ubarikiwe sana

  • @ArthurMhagama-z6m
    @ArthurMhagama-z6m Год назад

    Asante rafiki umenifungua akili na kuniongezea maarifa

  • @samohazakwani6899
    @samohazakwani6899 3 года назад +3

    Habari za leo. Shkrn sana kwa somo zuri sana. Mazingira ni tatizo kubwa sana, na wakati mwengine ni vigumu kuyaepuka, inabidi uwe nao watu ambao wanaosababisha tabia isio nzuri.

  • @DanboyDarangey
    @DanboyDarangey 6 месяцев назад

    Ubarikiwee mwalm nakupend kak

  • @-zj2zd
    @-zj2zd Год назад

    Dah Asante sana kweli 🎉🎉🎉🎉

  • @reginamkuti7615
    @reginamkuti7615 2 года назад

    Mazingira ndo changamoto ila nashukuruu God bless you

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 3 года назад +2

    Asnte sana kaka ubarikiwe Sana Kwa mafundisho yako najua sijanunua bndo langu bure...kabis nimejifunz zaizldi na zaidi...na hapa naendelea kukagua nijfuze zaidi tena

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад +2

      Karibu Joshua, tuendelee kujifunza.

  • @Peterpetro-gj1gn
    @Peterpetro-gj1gn Год назад

    God ukubleas maana unatufulia njinsi ya kuishi good

  • @papymaliro7849
    @papymaliro7849 2 года назад

    Yani upo sawa kabisa ngudu
    Nime jifunza kitu🙏🙏🙏

  • @inviolataluena8713
    @inviolataluena8713 2 года назад

    Joel vizuri sana MUNGU BABA anakutumia

  • @juaupekeewako
    @juaupekeewako Год назад +1

    Nadhani Kuna kazi kubwa Sana ya kuweza kuwaelimisha watu juu ya kujua their real nature and their identities especially in spiritual way hii itaweza kufanya Jambo ingawa ni mchakato mrefu

  • @mwesigamgambeki7386
    @mwesigamgambeki7386 Год назад

    LEO NI SIKU YA KWANZA I NAPATA UFAHAMU MPYA AMBAO SIKUWA NAO GOD BLESS YOU

  • @lovenesslukas5360
    @lovenesslukas5360 Год назад

    Ahsantee sana ubarikiwe

  • @MaryErnest-k3h
    @MaryErnest-k3h Месяц назад

    Asante joel nahisi kusonga mbele kila ninapokusikiliza ubarikiwe broo

  • @rajaburamadhan8187
    @rajaburamadhan8187 Год назад

    Uko vizuri akubaliki

  • @joycemoshi-zc7ie
    @joycemoshi-zc7ie Год назад

    Nashukuru sana boss nondo zako zinatuvushae

  • @greatman296
    @greatman296 3 года назад +6

    Asante Mr Joel!
    Ningependa siku moja utuandalie video ya nivitabu gan vizur MTU anaeweza kuanza navo kuvisoma mbali na vya kwako ambavo nafikiri karibia vote nimevisoma.(hata kama n English au Swahili ni sawa)
    Asante.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад +2

      Ahsante.Ila uzuri wa kitabu inategemea na uhitaji ulionao kwa wakati huo.So naweza kusema hivi ni vizuri ila vikawa sio sahihi kwako kwa wakati huo.Ndio maana huwa napendekeza kitabu kulingana na Topic.Kuhusu kutaja vya waandishi wengine hiwa navitaja,ukinisikiliza nimeshawahi kutaja kadhaa vikiwemo:Richest man in babylon,The millionaire Next Door,5AM Club, The Slight Edge etc

    • @greatman296
      @greatman296 3 года назад

      @@joelnanauka Asante San!🙏

    • @muslimocho1097
      @muslimocho1097 3 года назад

      SaldalhzgsdlsjlsllhmamlavksllbAvnzvnahsklagbazmFmaxnlgskdhalgaljldbalalhllaagdladklkvagljllshakaklhajldaadhdgllaaajkagdkahlhlafllksldhkallaalgkakhaagllhajgndhabgaksfsljgkgsdashlgghllagjlgsagkskaklaMllhHdjfslalfsgkjladlhgglsflhflgggzaddlsjagag

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 3 года назад +2

    Mwalimu somo zuri sana hasa kwa vijana, Wakolosai 3:5 imekuwa kipengele sana keep Educating dem

  • @mondulielliwai657
    @mondulielliwai657 2 года назад

    Nimekupata kijana Mungu akubariki sana

  • @deotv503
    @deotv503 3 года назад +3

    Hii ndio video yangu bora ya mwaka hongera sanah kaka joel mungu akupe maisha marefu sana naiman ntatimiza ndoto yangu yakukutana na ww kabla xjaondoka dunian amen.

    • @patrickmugo1288
      @patrickmugo1288 3 года назад

      Sawa jamani ndug nimeshukur kwa ushaur ya vitabu vyako nitapataj vitabu ixo

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 2 года назад +1

    Mambo mazuri sana. Mungu akubariki

  • @MeryMartin-n7k
    @MeryMartin-n7k Месяц назад

    Amen kiongoz Hakika Naelimika

  • @shedrackbarnabas2471
    @shedrackbarnabas2471 2 года назад

    Thank you,God bless you

  • @othmanshahib1115
    @othmanshahib1115 3 года назад +2

    Kaka uko vizuri wewe ni jiazi serikali inatakiwa iwape urizi watu kama hawa wanatufundishi vitu vyote vinavyo tuzunguka.

  • @Giliad-eab
    @Giliad-eab 8 месяцев назад

    Thanks for ushauri mzuri

  • @citymaxbookshoptanzania2924
    @citymaxbookshoptanzania2924 3 года назад

    Umemaliza mkuu Joel Nanauka

  • @Magreth-uk2fq
    @Magreth-uk2fq Год назад

    Asante sana kaka. mimi ninatabia yakutokutima malengo.naanzisha biashara zinakuwa hazina mwendelezo

  • @costabreezy374
    @costabreezy374 2 года назад

    Good Teacher

  • @smithjunior9288
    @smithjunior9288 3 года назад +1

    kiukweli hayo mafundisho yako yamefumbua macho 🙏🙏🙏🙏 kaka joel

  • @justinmsigwa1791
    @justinmsigwa1791 3 года назад

    Asante Sana kwa somo

  • @BridgetNgeiyamu
    @BridgetNgeiyamu 18 дней назад

    Asante sana kwa mafundisho Yako. Swali langu mazingira nitayaepukaje??

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 3 года назад +2

    Mashaallah genius man may Allah bless you...always

  • @RashidiSeifu-hh2rk
    @RashidiSeifu-hh2rk 10 месяцев назад

    Unaokoa maisha yetu

  • @liberatussylvanus5477
    @liberatussylvanus5477 3 года назад

    Asante sana kaka joeli nanauka kwaelimu unayoitoa

  • @juvinalisanatus8964
    @juvinalisanatus8964 2 года назад

    Hii video ilisababisha nikaacha kunywa pombe asante sana kaka

  • @yothampetro5097
    @yothampetro5097 3 месяца назад

    Aiseee thanks for all you toking about

  • @saidsultaankhamis8867
    @saidsultaankhamis8867 3 года назад

    Hello Asante Sana Kwa Mafundisho Yako

  • @rahabpeules2830
    @rahabpeules2830 3 года назад +1

    Ahsante kaka mafunzo yako yananiponya

  • @jackisonagost125
    @jackisonagost125 3 года назад +1

    Aisee umekua na mchango mkubwa San kuikuza furaha yangu asante sana bro na nimeshea mafundisho yako na yanapendwa san kazi nzuri

  • @joshuajohn6997
    @joshuajohn6997 3 года назад +1

    Brother umenifanyia niangushe machozi on this video.... Kila ulichokielezea ni kama vile unanisema mm umenifungua kweny kifungo kikubwa sanaa kaka shukran sanaa kaka ubarikiwe milele kaka GOD bless you alot am free now i believe am going to stop these behaviors i gat

  • @Mosesyona-t9j
    @Mosesyona-t9j Год назад +1

    Kiukweli mwalim Joel ananibarik sana mpaka kuna mda najiuliza haya mambo anayatoaga wapi? Mana ni ukweli mtupu, kiukweli miongoni ya tabia ambayo inawatafuna watu wengi na mimi nikiwemo ni upuuzi wa kufanya mambo yaani unakuta jambo ni la muhimu na unajuwa namna ya kulifanya unajikuta hulifanyi unapuuza, mfano pesa unapata unjuwa njia ya kuziweka lakini unazitumia kwa mabo yaliyo nje ya ratiba au bajeti yako, nadhani kwa somo hili kwanz nakubali upuuzi wangu na nadhani kwa imani nimeushinda tayari kutokana na somo hili asante san mwalim joel

  • @janghyuk9435
    @janghyuk9435 3 года назад

    Barikiwa mno

  • @AshaMasoud-dt9xd
    @AshaMasoud-dt9xd Год назад

    So nice my brother my God bless you

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 3 года назад +1

    Yupo beste yangu anashindwa kuacha kupiga nyeto😃😃..hii video itamsaidia

  • @joaneslaurent5896
    @joaneslaurent5896 2 года назад +1

    Good inspiration

  • @jeanbb1385
    @jeanbb1385 3 года назад

    Asante Sana kwa mafunzo mazuri

  • @sassy_tz4541
    @sassy_tz4541 3 года назад +1

    Thanks coach ninakuelewa sana yaan na masomo yako by the way napataje hicho kitabu

  • @annamallya8756
    @annamallya8756 3 года назад

    Ubarikiwe sana mwalimu

  • @hagailema5366
    @hagailema5366 Год назад

    Very informative, thanks for sharing

  • @jackiemuhiri23
    @jackiemuhiri23 2 года назад

    Thenk you my brother

  • @nainahlaizer3956
    @nainahlaizer3956 Год назад +1

    Umenisaidia Sana broo✌️

  • @tarbiyah1027
    @tarbiyah1027 3 года назад +2

    Asante Joel
    Nimegundua Kitabu "Ishinde Tabia ya Ghairisha Mambo"
    Kinamchango mkubwa.
    Nimeona mafundisho yako Mengi Huachi kukitaja kitabu hicho.
    Mm ninacho na ninaendelea kukitumia kimsingi kitabu hiki nikitabu cha kuanzia ktk vitabu vyako.
    Hongera sana kwa Maono Mapana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад +2

      Ni kweli,kinasaidia sana kwa mtu anaytaka kubadilika hasa katika tabiap

    • @perisiverympwenku139
      @perisiverympwenku139 2 года назад

      Kitabu kinapatikana wap?

  • @veronicacharles9993
    @veronicacharles9993 3 года назад +1

    Nilikua nakungoja video mpya , basi nikawa nasikiliza video za nyuma Asante kwa masomo mazuri na Mungu akubariki sana

    • @soniimedia2440
      @soniimedia2440 3 года назад

      ruclips.net/video/eh8k61D_NRs/видео.html

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад +1

      Ameen Veronica,nashukuru sana.Tusiache kuwashirikisha wengine pia🙏🏻

  • @dodokindamba
    @dodokindamba 3 года назад +6

    Kwa kweli umekuwa msaada mkubwa kwangu, kabla ya kuanza majukumu yangu lazima nisikilize kipande cha ujumbe kutoka kwako imekuwa tabia yangu sasa..! Kwa kweli mtu anayekufatilia lazima atakuwa mtu wa tofauti.

  • @musayajoshua6002
    @musayajoshua6002 Год назад

    Good advice

  • @husseinomary6304
    @husseinomary6304 3 года назад +1

    JOEL NANAUKA RESPECT BROO

  • @shauricastusi5488
    @shauricastusi5488 2 года назад

    Asante sana kaka

  • @samymdundu
    @samymdundu 3 года назад +1

    Asante kaka mim niliamua kuwa was tofauti na wengine . na pia kwa upande wa kubadili tabia pia nipo kwenye process za kushinda ingawa sometimes izo tabia zinapotea alafu zinakuja tena ... BT naamini nitazishinda sana tuuu .. See you at the upppp

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад +1

      Hongera sana,endelea mbele na naamini utaishinda.

  • @ibrahimarzad140
    @ibrahimarzad140 3 года назад

    Ahsante sana nimejifunza kitu

  • @veronamayange7017
    @veronamayange7017 2 года назад

    Daaah umenigusa sana kaka angu,hasa pale pa kipengele cha kushindwa kiacha jambo kutokana na mazingira,yan utafikili umenipoint mimi aisee

  • @ddfg945
    @ddfg945 3 года назад

    Thnxx a lot....

  • @Africa-123
    @Africa-123 2 года назад

    Nimekuelewa

  • @estareliasmagesa8791
    @estareliasmagesa8791 2 года назад

    Hayo usemayo Ni ya kwelii kabisa

  • @gloryshalua4500
    @gloryshalua4500 18 дней назад

    Thanks a lot🙏

  • @ShedrackSinyangwe
    @ShedrackSinyangwe 7 месяцев назад

    Unani inspire sana kakaa God bless you!!!!!🎉🎉

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 29 дней назад

    Be blessed always

  • @jenisanga2281
    @jenisanga2281 3 года назад

    God bless you

  • @mahadimatsawily5809
    @mahadimatsawily5809 3 года назад

    Shukran Sana

  • @paulaloyce1352
    @paulaloyce1352 3 года назад

    U ar genius bro..upo right na umetugusa sana honger brother

  • @safaribukukuru5660
    @safaribukukuru5660 3 года назад +2

    Safi bro,kazi nzur!

  • @emanuelifredi5436
    @emanuelifredi5436 9 месяцев назад

    Nakubali sana kaka,uko sahihi

  • @goldenshadrackmsungu3664
    @goldenshadrackmsungu3664 3 года назад

    Asante sana