Njia Tano (5) Unazoweza Kuzitumia Kuongeza Ujasiri

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 374

  • @magdalenamwapinga4847
    @magdalenamwapinga4847 5 лет назад +21

    Iyo point ya mwisho kwangu ilifanikiwa ni siku ambayo niliweza kuongea mbele ya watu wengi.Maandalizi ya kile unachokipresent ni muhimu sana hasa kwa ambaye hujawah kuongea mbele za watu

  • @omarykitua3843
    @omarykitua3843 Год назад +4

    Ubarikiwe sana unatusaidia sana kutujenga kimawazo na kiakil ila me ulichoongea leo ndo kimeniingia sana man kiukwel Sina ujasir wa kila kit ambacho umekiorodhesh hapo na iyo inanipelekea hata kufungua biashar naogop man hat mwanzo nahofia itakuaj nan atanipw ushaul nm nifany niwez kuw km wengn😢

  • @halimamusa9497
    @halimamusa9497 3 года назад +3

    Asantee,, m ni binti ambae niwachini sana pia mzazi ambae nilikuwa nikimtegemea hayupo tena katika dunia hii na aliniacha nipo kidato cha 1 lakn nilimaliza from 4 kiugumu na sikuendele mpk sasa nipo mtaani chcht lakn Nina malengo yakuwa mfanya biashara lakn nakuwa hafu at ujasili sina. Nakuomba kaka unisaidie kwa hili

  • @jescakabyemela2483
    @jescakabyemela2483 5 лет назад +12

    atukuzwe Mungu aliyekuinua ili utufunze.
    Napata sana nguvu ya kujenga ujasuri. Ubarikiwe kaka JN

  • @smg275
    @smg275 5 лет назад +4

    ACHA NISEME AHSANTE SANA. hakika mungu akubaliki katika maisha yako yote
    Nimeweza kugundua vitu ving kupitia ww
    Nakushukulu sana umekua na mchango mkubwa sana katika kujitambua kwangu
    Nakushukulu kaka #NANAUKA
    I love you so much 😘😘😘😘😘😘

  • @lucydaniel3456
    @lucydaniel3456 5 лет назад +4

    Nmeanza kukuskiliza leotu na nahs unanispy maisha yangu mana unanizungumzia kwa asilimia mia

  • @ninaelrichard1800
    @ninaelrichard1800 Год назад +4

    Mungu wa mbingu na nchi akupe kuona zaidi na zaidi yale yote anayotaka kupitisha kwako kwa ajili ya wengi,macho ya moyo wako yazidi kutiwa nuru,na akili zako Mungu azidi kuzihifadhi kwa ajili ya utukufu wake.namtukuza Mungu kwa ajili yako. Utukufu na heshima zimrudie Mungu.

  • @neemamigeto6710
    @neemamigeto6710 2 года назад +6

    Kaka najikuta nainuka kila siku kwa jili yako 👏👏

  • @steveofficial4074
    @steveofficial4074 3 года назад +2

    Nashukulu sana kwa kujifunza ila bdo natatizo lingine Yani kuhusu kusoma nikitu nashindwa kuwa bize nacho

  • @umojadaycare8441
    @umojadaycare8441 Год назад +2

    Kwa ujasiri namshukuru Mungu nafuatilia Sana Masomo yako yananijengea ujasiri zaidi Ila napambana kumaliza madeni ndio niwe jasri zaidi. Ubarikiwe

  • @Lusimo
    @Lusimo Год назад +3

    Mungu Akubariki Sana kupitia wewe najiona nimebadilika mno Asante Sana

  • @EmmanuelMoswala-pj4hu
    @EmmanuelMoswala-pj4hu Год назад +2

    GOD BLESS YOU BROTHER
    MUNGU AKUBARIKI SANA AKUPE MIAKA MINGI KAMA NAMB ZA NIDA HAPA DUNIANI
    WATU WATU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA
    ASANTE KWA KUNIPA MAARIFA

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 5 лет назад +5

    JOEL wewe ni mwalimu mzuri,nimependa hiyo mada,be blessed kakaNanauka

  • @steveofficial4074
    @steveofficial4074 3 года назад +2

    Mi kweli nahitaji sana kuwa muimbaji napokuwa mwenyew nafanya ila kwa ndugu zangu na marafiki hawajui naogopa kuwambia .nifanyeje niwe strong

  • @zuhrasaid3185
    @zuhrasaid3185 4 года назад +5

    Napenda sana uwepo wako coz unagusa maisha ya watu na unabadilisha maisha yao kupitia mafunzo yk ,Mungu akubarik

  • @MnyaluHassan-ic7iz
    @MnyaluHassan-ic7iz Год назад +2

    Yaan sura Yako mda wote Inatabasam sijui hata unawezaje congrats brother

  • @happylarry5520
    @happylarry5520 5 лет назад +4

    Binafsi nlikuwa naogopa sana kutoa speech mbele za watu lakin baada ya kuanza Mara moja tuu nikaongeaza ujasiri ..thanks brother.

  • @amykhalifa2535
    @amykhalifa2535 3 года назад +3

    Nataka amani na fulaha vitawale maisha yangu hofu siitaki tena

  • @joshuanatukai1737
    @joshuanatukai1737 3 года назад +2

    Mungu akubariki kwa masomo na ukitaka kuvikisha malengo inataka uwena marafi Wana muna gani

  • @judithrwegasira4023
    @judithrwegasira4023 7 месяцев назад +1

    Mimi nina kigugumizi, nimezaliwa hivo, hii hali inanitesa sana kwenye maisha yangu, confidence ninayo ila hali ya kigugumizi, inanifanya nakua muoga ata kuongea na mtu, nimeshafanya therapy nyingi ila ndo kwanza nazidisha hali hii, nateseka sana kuna wakati namlaumu Mungu kwaninj aliniumba hivi kati ya wengi

  • @ammackdy1836
    @ammackdy1836 Год назад +2

    I get you broo, Mimi upande wangu naweza kuwa nasema tuu kwa mdomo siogopi nguza za giza lakini huwa nahisi kuchanganyikiwa pale ninahisi labda kuna nguvu ya giza imenipata au ilishawahi kunipata, jamaan katika hili naomba msaada jinsi ya kubreak through , sababu nashindwa kufanya mambo yangu kabisa

  • @Mishaeligospel
    @Mishaeligospel Год назад +2

    Asante sana mi nimejifunganza katka kitengo cha kwongea mbele za watu ili kua ni tatizo kwangu asante

  • @adammsema6418
    @adammsema6418 5 лет назад +2

    Mwalimu nashukuru sana tena sana kunavitu vingi umenisaidia.ongera na Mungu akubariki sana

  • @MwajumaMaulid-g7k
    @MwajumaMaulid-g7k Месяц назад

    Kwanza Asante sana kwa upande wangu kwa yote uliyozungumza ninayo ninabiashara ambayo kila mtu anahitaji lakin kukiexploze kwa watu inakuwa ngumu sana kwa kutokuwa na ujasiri ila nitafanyia kazi

  • @kindyuba8140
    @kindyuba8140 5 лет назад +2

    Napenda xana maxomo yko mungu. Hakubarik ili uendelee kuelimmisha jjamii

  • @SaviorAfrica
    @SaviorAfrica 6 месяцев назад +1

    Mm ninapoint sana ila namna ya kuwasilisha mbele ya watu ndio shida

  • @hasanihamisi555
    @hasanihamisi555 3 года назад +2

    Asante mungu akbariki umenisaidia tangunikujue

  • @sayyidtawaqal1754
    @sayyidtawaqal1754 5 лет назад +15

    Brother mm sina shakukulipa ila nakuombea mafanikio zaidi kwasasa ila nimepanga nikifikia kiwango flani katika mafanikio yangu nitakutafu tukiwa hai kwani kwakweli unasaidia sana. Ee mungu akubariki na akulinde amiin

  • @manjalentugwa409
    @manjalentugwa409 Год назад +2

    Kwakwel brother umeupga mwingi Sana nabalikiwa Sana na ww na umechange mawazo yangu negative kuwa positive

  • @AllanAlex-wd2ju
    @AllanAlex-wd2ju 8 месяцев назад +3

    Mungu akuweke sana kaka

  • @Bakari-fp3zr
    @Bakari-fp3zr 10 месяцев назад +3

    God bless you💪🏿🔥

  • @abdoulkarenzo3138
    @abdoulkarenzo3138 4 года назад +2

    mimi najiandaaga vizuri kabisa zidi ya mitiyani lakini nikingiya katika mitiyani moyo unakuwa na stress kama mtuninakimbizwa saana adi pale vitu nilivyosoma amo nabijuwa vinanikimbiya kichwani sasa nifanye nini katika ilo tatizo

  • @euberthchedego1988
    @euberthchedego1988 4 года назад +2

    Asante Sana brother. Umekua Msaada sana ktk mwenendo Wa maisha yangu.mungu akubariki sana.

  • @mo.kudrakambi9617
    @mo.kudrakambi9617 2 года назад +2

    Nikweli kaka najikuta natamani kujua namna gani naweza kusimama jukuani nakutoa mawazo au pendekezo

  • @WilliamJulius-p1q
    @WilliamJulius-p1q Год назад +1

    Asante kaka uko sahih

  • @jenipherwenslaus9596
    @jenipherwenslaus9596 5 лет назад +4

    Nashukuru sana kaka angu nimejifunza kitu ktk hilo somo...... Am strong 💪

    • @psychtoday7732
      @psychtoday7732 3 года назад

      Jinsi ya kumlea mtoto na afyaExtra ruclips.net/video/PY8aLdvh0CQ/видео.html

  • @bakariabdallah8671
    @bakariabdallah8671 5 лет назад +2

    Asante sana kwa somo zuri, naomba uandae somo la namna ya kuwa na Sauti nzuri ya kuzungumza mbele za watu

  • @frankpatrick2293
    @frankpatrick2293 3 года назад +6

    Respect kaka, you're more than teacher

  • @giftmathewlyamuya2752
    @giftmathewlyamuya2752 5 лет назад +3

    ni kweli ukijilinganisha na wengine ambao wako juuu kuliko ww lazima ujishushe thaman

  • @joseefaidabutu6467
    @joseefaidabutu6467 5 лет назад +5

    Asante sans kaka, mimi hii tabia yakujilinganisha inanisumbua sana nitajitahidi kuishinda ,ubarikiwe

  • @raheemamkambha6013
    @raheemamkambha6013 5 лет назад +2

    Mimi nataka kuwa na confidence ya kuacha kazi ya kuajiriwa

  • @nolascolwiva1648
    @nolascolwiva1648 3 года назад +2

    Asante sana ngoja nianzie mazoezi

  • @ukhtysuuvlog470
    @ukhtysuuvlog470 3 года назад +1

    Unaelimisha Sana kakaangu.... Ila jitahidi uwe unatoa salam

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 4 года назад +14

    Thank you Very much my Brother JOEL actually you're my Best Mentor of all the time, god bless you 🙏🙏🙏

  • @babapeace835
    @babapeace835 5 лет назад +2

    Shukrani kiongozi kwa elimu bora zaidi hata class hawafii haya ulivyoyaelezea.Bigup

  • @editordominick6879
    @editordominick6879 5 лет назад +8

    Ujasili wa kuongea na mtu nliyekaribu nae Sina. kwenye group, vikao, Nina ujasiri Sijui nifanyeje

  • @mwanamkasihabibu9915
    @mwanamkasihabibu9915 5 лет назад +3

    kwel kabisa Kaka kupitia ww nmekuwa mwenye mabadlko

  • @Mwamba67
    @Mwamba67 5 лет назад +3

    Hapo kwenye mind reprogramming umenigusa teacher....!!!
    Asante sana mwalimu...!!

  • @DerickMayunga
    @DerickMayunga 2 месяца назад

    Asante Sana, elimu nzuri Sana nimeipata

  • @MathonoSeleman
    @MathonoSeleman 9 месяцев назад +2

    thanks teacher nimependa hii

  • @kasarambajuma270
    @kasarambajuma270 3 года назад +3

    kasalamba juma Joel nakubaliyana naelimu unayoitowa nawezaje kupata kitabu chako

  • @salumsaid8515
    @salumsaid8515 9 месяцев назад +1

    Nimekuwa nikishindwa kumwambia mwanamke nakupenda kupitia mdomo

  • @reginaldipeter2272
    @reginaldipeter2272 2 года назад +3

    HALLELUYAH Point 4.Natamani Sana kuongea KIINGELEZA(KING'ENG'E/English Language) Jambo linanisumbua Sana ASANTE I

  • @jimmyassey9537
    @jimmyassey9537 3 месяца назад

    Barikiwa sana Bro kilaspichi yako na gain Mnoo

  • @chamlungemmnanuel4542
    @chamlungemmnanuel4542 Год назад +2

    Kabisaaa SoMo nzur sana

  • @olivanooraladin5436
    @olivanooraladin5436 2 года назад +1

    Thanks brother

  • @Tobejr
    @Tobejr 3 месяца назад

    Tangu nimeqnza kukufatilia ninaconfidence ya hali ya juu,,,

  • @jeremiamussa7910
    @jeremiamussa7910 5 лет назад +4

    mungu na akubariki sana

  • @yohanaayeko7869
    @yohanaayeko7869 4 года назад +3

    Mimi nilisemaga siwez kabisa english na kweli nilifeli kabisa!🙏

  • @charlesmafumiko6027
    @charlesmafumiko6027 3 года назад +3

    Umenigusa sana apo nitajitahidi kujiamini

  • @danstanmangube1152
    @danstanmangube1152 5 лет назад +5

    nimeiza hasubui yangu vizuri kwa kukusikiliza kaka Joel

  • @hedachale8469
    @hedachale8469 2 года назад +2

    Asante Kwa memtoring

  • @habibadaudi8242
    @habibadaudi8242 Год назад +2

    Mungu akubariki kk

  • @happynessruge9016
    @happynessruge9016 5 лет назад +1

    asanteee sana bro umenibadili sana tangu nlivyokujua umenigusa kwenye practice wat u afraid

  • @julietmateru5789
    @julietmateru5789 Год назад +1

    Kaka una madini ya kutosha.hongera sana.

  • @sarahburetta8547
    @sarahburetta8547 3 месяца назад

    Asante kwa somo zuri

  • @rolandpaul9465
    @rolandpaul9465 4 года назад +2

    Mimi huwa ninakuwa na positive na negative thoughts, ila negative huwa zina dominate kwa kiasi kikubwa. But Leo nimwjifunza kitu kutoka kwako brother @Joel Nanauka Be blessed

    • @psychtoday7732
      @psychtoday7732 3 года назад

      Jinsi ya kumlea mtoto na afyaExtra ruclips.net/video/PY8aLdvh0CQ/видео.html

  • @neckikikoti6256
    @neckikikoti6256 3 года назад +1

    Ahsante Sana Mungu akubariki

  • @godwinmrema8239
    @godwinmrema8239 8 месяцев назад +2

    Kujieleza kwa mapan pamoja hofu ya kuogopa kuwa watu watanionaje nikisemq kitu falani kizuri

  • @UmmyAbdallah-yv6ry
    @UmmyAbdallah-yv6ry 6 месяцев назад +1

    Hello mm Katika. Hizo Tano. Ulosema mm ya tatu. Ndo inanisumbuwanga

  • @worshipertv9968
    @worshipertv9968 5 лет назад +4

    Asante bro joel nipata kitu kikubwa

  • @ndoomapaulo6189
    @ndoomapaulo6189 4 года назад +2

    Asante sana kaka kwa somo nzuri

  • @anandemungure4435
    @anandemungure4435 3 года назад +8

    Appreciated Mr Joel 🙏 your real a mentor,coacher and everything to whoever listens to your Talks. Keep on opening life of people course learning is ongoing. Big up Brother 🙏

  • @happinessgodfrey2087
    @happinessgodfrey2087 5 лет назад +1

    Shalom Kaka Joel,
    Asante sana kwa mwangaza unaonipa siku hadi siku.
    Binafsi napenda sana kufanya kazi ya jamii ila nimekua na woga wa kuanza,Naogopa kuongea hata kanisani nikipewa nafasi nakimbia kabisa.
    Nina uwezo wa kiandika jambo ila ukinipa nafasi ya kulizungumzia mbele za watu nakosa kujiamini kabisa.

  • @danielmlwafu4380
    @danielmlwafu4380 3 года назад +1

    somo zuriiii.kumbe mimi sio wa kufeli nabadili mtazamo

  • @SinyinzaDavid
    @SinyinzaDavid 3 месяца назад

    Hatua ya tano ni muhimu sana kwani maandalizi ndoa kila kitu lazima uwe na ujasiri kwasababu unajiandaa mapema kwangu nitalifanyia ka,zi ilo asante sana tunakutegemea wakati mwingine kwa mwongozo

  • @asifiwekayolechaula5566
    @asifiwekayolechaula5566 Год назад +1

    Mungu akubaliki

  • @issakabogo4943
    @issakabogo4943 5 лет назад +2

    Duh! Asante sana bro hiyo point ya pili ntaifanyia kaz 👏👏

  • @stephahObimo
    @stephahObimo 5 лет назад +3

    Nimejifunza brother mungu akubaliki

  • @noonelike6382
    @noonelike6382 4 года назад +1

    Kutengenezea wazo. Nina wazo Ila nashindwa namna ya kuliweka vizuri .. Ni wazo zuri Sana ambalo Niki niliboresha naweza liuza kwenye kampuni yoyote ya mawasiliano na likawa msaada mkubwa Sana. Ahsante 0766020066

  • @lilianbenson5774
    @lilianbenson5774 4 года назад +1

    Asante sana Mr. Joel kwa somo nzuri .mada ya nne "practice what I afraid " kwa kweli nitalifanyia kazi .thanks

  • @loycesamwel6169
    @loycesamwel6169 Год назад +1

    Natamani sana kuanzisha biashara, lakini naogopa nakuwa na hofu sana.

  • @evancekawonga1525
    @evancekawonga1525 3 года назад

    kaka Joel mafundisho yako yananibariki sana bro! mm ninatatizo 1 ambalo kila nikijaribu kulifanya sijui hata nakwama wapi nafanya biashara ndogondogo. no kweli kabisa napata pesa. lakini nashindwa kufunga pesa sababu majukumu ni mengi kuliko hata kipato changu end of the day miaka inaenda napga marktime pale pale! nifanyaje kaka? nifanyie kaka naomba masaa wako

  • @edvesterdamas3061
    @edvesterdamas3061 4 года назад +2

    Nitalifanyia kazi

  • @arbasynyembeke75
    @arbasynyembeke75 2 года назад +1

    Mungu akubarik xan

  • @mickeymikii1040
    @mickeymikii1040 5 лет назад +5

    Practice what you’re afraid 👈👈 it's touch me big up nanaukaaaaa I'm very proud to subscribe your channels

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 Год назад

    Kuoghea mbele za watukulinishinda sana .nashukuru kwaelimu yako

  • @salimomarmkapa
    @salimomarmkapa 4 года назад

    Kaká nakubali darasa lako kwakweli Mungu azidi kukuongezea baraka. Ila mwenzako mimi nina tatizo lakuogopa kuongea mbele za watu. Mada nzuri mambo mazuri ninavyo ila kujenga huo ujasiri ndo shida aise hata ikofika kuongea mbele wakati wa interview ya kazi nakwambia mambo yote yarudi upside down aise.

  • @groupelescherubinsgoma
    @groupelescherubinsgoma 4 года назад +1

    Asante mwalimu kwa mafundisho

  • @giselamassawe5989
    @giselamassawe5989 4 года назад +2

    Lugha ya kiingereza nitajitahidi kufanya mazoezi mengi na kwa muda mrefu zaidi

  • @conchester3191
    @conchester3191 2 года назад

    asante xana mwalimu

  • @jonasjohn9048
    @jonasjohn9048 5 лет назад +2

    Kweli bila uthubutu huwezi Fanya chochote.

  • @mavumbamusic1256
    @mavumbamusic1256 3 года назад +1

    Nimekuelewa San hongera sna

  • @ButingaMasunga
    @ButingaMasunga 5 месяцев назад

    Elimu yako bora na sio bora elimu

  • @umojadaycare8441
    @umojadaycare8441 Год назад +2

    Ubarikiwe sana

  • @SelemaNdulabi
    @SelemaNdulabi 4 месяца назад

    Mimi naiogopa kuandika mbele za watu lakini chanzo ilikua napigwa Sana shuleni hivyo nikawa namuogopa sana mwalim wangu hata nikiandika sipeleki kwa mwalim hivyo mpaka sasa napata shida sana kuandika japo najuwa kuandika ila kwa sababu ya hofu na wasiwasi ulojaa ndani yangu najikuta natetemeka Sana nikitika kuandika mbele za watu na inaniumiza sana

  • @PendaeliJonas-wb1yc
    @PendaeliJonas-wb1yc Год назад

    Naogopa wanawake sana. Sijuiy kwann

    • @DenisMaiko
      @DenisMaiko 10 месяцев назад

      Shida Bado sipo nyigi

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa8154 3 года назад

    Nashukuru Kaka somo zuri, mm nitajitahid kufanya maandalizi ya kutosha.

  • @jafarichuma7283
    @jafarichuma7283 4 года назад +1

    Kaka nimekukubali sana mwenyezimungu akuongoze mkuu

  • @evenicemmbando1705
    @evenicemmbando1705 5 лет назад +4

    Much thanks bro i do gain something