Iyo point ya mwisho kwangu ilifanikiwa ni siku ambayo niliweza kuongea mbele ya watu wengi.Maandalizi ya kile unachokipresent ni muhimu sana hasa kwa ambaye hujawah kuongea mbele za watu
Ubarikiwe sana unatusaidia sana kutujenga kimawazo na kiakil ila me ulichoongea leo ndo kimeniingia sana man kiukwel Sina ujasir wa kila kit ambacho umekiorodhesh hapo na iyo inanipelekea hata kufungua biashar naogop man hat mwanzo nahofia itakuaj nan atanipw ushaul nm nifany niwez kuw km wengn😢
Asantee,, m ni binti ambae niwachini sana pia mzazi ambae nilikuwa nikimtegemea hayupo tena katika dunia hii na aliniacha nipo kidato cha 1 lakn nilimaliza from 4 kiugumu na sikuendele mpk sasa nipo mtaani chcht lakn Nina malengo yakuwa mfanya biashara lakn nakuwa hafu at ujasili sina. Nakuomba kaka unisaidie kwa hili
ACHA NISEME AHSANTE SANA. hakika mungu akubaliki katika maisha yako yote Nimeweza kugundua vitu ving kupitia ww Nakushukulu sana umekua na mchango mkubwa sana katika kujitambua kwangu Nakushukulu kaka #NANAUKA I love you so much 😘😘😘😘😘😘
Mungu wa mbingu na nchi akupe kuona zaidi na zaidi yale yote anayotaka kupitisha kwako kwa ajili ya wengi,macho ya moyo wako yazidi kutiwa nuru,na akili zako Mungu azidi kuzihifadhi kwa ajili ya utukufu wake.namtukuza Mungu kwa ajili yako. Utukufu na heshima zimrudie Mungu.
GOD BLESS YOU BROTHER MUNGU AKUBARIKI SANA AKUPE MIAKA MINGI KAMA NAMB ZA NIDA HAPA DUNIANI WATU WATU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA ASANTE KWA KUNIPA MAARIFA
Mimi nina kigugumizi, nimezaliwa hivo, hii hali inanitesa sana kwenye maisha yangu, confidence ninayo ila hali ya kigugumizi, inanifanya nakua muoga ata kuongea na mtu, nimeshafanya therapy nyingi ila ndo kwanza nazidisha hali hii, nateseka sana kuna wakati namlaumu Mungu kwaninj aliniumba hivi kati ya wengi
I get you broo, Mimi upande wangu naweza kuwa nasema tuu kwa mdomo siogopi nguza za giza lakini huwa nahisi kuchanganyikiwa pale ninahisi labda kuna nguvu ya giza imenipata au ilishawahi kunipata, jamaan katika hili naomba msaada jinsi ya kubreak through , sababu nashindwa kufanya mambo yangu kabisa
Kwanza Asante sana kwa upande wangu kwa yote uliyozungumza ninayo ninabiashara ambayo kila mtu anahitaji lakin kukiexploze kwa watu inakuwa ngumu sana kwa kutokuwa na ujasiri ila nitafanyia kazi
Brother mm sina shakukulipa ila nakuombea mafanikio zaidi kwasasa ila nimepanga nikifikia kiwango flani katika mafanikio yangu nitakutafu tukiwa hai kwani kwakweli unasaidia sana. Ee mungu akubariki na akulinde amiin
mimi najiandaaga vizuri kabisa zidi ya mitiyani lakini nikingiya katika mitiyani moyo unakuwa na stress kama mtuninakimbizwa saana adi pale vitu nilivyosoma amo nabijuwa vinanikimbiya kichwani sasa nifanye nini katika ilo tatizo
Mimi huwa ninakuwa na positive na negative thoughts, ila negative huwa zina dominate kwa kiasi kikubwa. But Leo nimwjifunza kitu kutoka kwako brother @Joel Nanauka Be blessed
Appreciated Mr Joel 🙏 your real a mentor,coacher and everything to whoever listens to your Talks. Keep on opening life of people course learning is ongoing. Big up Brother 🙏
Shalom Kaka Joel, Asante sana kwa mwangaza unaonipa siku hadi siku. Binafsi napenda sana kufanya kazi ya jamii ila nimekua na woga wa kuanza,Naogopa kuongea hata kanisani nikipewa nafasi nakimbia kabisa. Nina uwezo wa kiandika jambo ila ukinipa nafasi ya kulizungumzia mbele za watu nakosa kujiamini kabisa.
Hatua ya tano ni muhimu sana kwani maandalizi ndoa kila kitu lazima uwe na ujasiri kwasababu unajiandaa mapema kwangu nitalifanyia ka,zi ilo asante sana tunakutegemea wakati mwingine kwa mwongozo
Kutengenezea wazo. Nina wazo Ila nashindwa namna ya kuliweka vizuri .. Ni wazo zuri Sana ambalo Niki niliboresha naweza liuza kwenye kampuni yoyote ya mawasiliano na likawa msaada mkubwa Sana. Ahsante 0766020066
kaka Joel mafundisho yako yananibariki sana bro! mm ninatatizo 1 ambalo kila nikijaribu kulifanya sijui hata nakwama wapi nafanya biashara ndogondogo. no kweli kabisa napata pesa. lakini nashindwa kufunga pesa sababu majukumu ni mengi kuliko hata kipato changu end of the day miaka inaenda napga marktime pale pale! nifanyaje kaka? nifanyie kaka naomba masaa wako
Kaká nakubali darasa lako kwakweli Mungu azidi kukuongezea baraka. Ila mwenzako mimi nina tatizo lakuogopa kuongea mbele za watu. Mada nzuri mambo mazuri ninavyo ila kujenga huo ujasiri ndo shida aise hata ikofika kuongea mbele wakati wa interview ya kazi nakwambia mambo yote yarudi upside down aise.
Mimi naiogopa kuandika mbele za watu lakini chanzo ilikua napigwa Sana shuleni hivyo nikawa namuogopa sana mwalim wangu hata nikiandika sipeleki kwa mwalim hivyo mpaka sasa napata shida sana kuandika japo najuwa kuandika ila kwa sababu ya hofu na wasiwasi ulojaa ndani yangu najikuta natetemeka Sana nikitika kuandika mbele za watu na inaniumiza sana
Iyo point ya mwisho kwangu ilifanikiwa ni siku ambayo niliweza kuongea mbele ya watu wengi.Maandalizi ya kile unachokipresent ni muhimu sana hasa kwa ambaye hujawah kuongea mbele za watu
Ubarikiwe sana unatusaidia sana kutujenga kimawazo na kiakil ila me ulichoongea leo ndo kimeniingia sana man kiukwel Sina ujasir wa kila kit ambacho umekiorodhesh hapo na iyo inanipelekea hata kufungua biashar naogop man hat mwanzo nahofia itakuaj nan atanipw ushaul nm nifany niwez kuw km wengn😢
Asantee,, m ni binti ambae niwachini sana pia mzazi ambae nilikuwa nikimtegemea hayupo tena katika dunia hii na aliniacha nipo kidato cha 1 lakn nilimaliza from 4 kiugumu na sikuendele mpk sasa nipo mtaani chcht lakn Nina malengo yakuwa mfanya biashara lakn nakuwa hafu at ujasili sina. Nakuomba kaka unisaidie kwa hili
atukuzwe Mungu aliyekuinua ili utufunze.
Napata sana nguvu ya kujenga ujasuri. Ubarikiwe kaka JN
Yeap
ACHA NISEME AHSANTE SANA. hakika mungu akubaliki katika maisha yako yote
Nimeweza kugundua vitu ving kupitia ww
Nakushukulu sana umekua na mchango mkubwa sana katika kujitambua kwangu
Nakushukulu kaka #NANAUKA
I love you so much 😘😘😘😘😘😘
Nmeanza kukuskiliza leotu na nahs unanispy maisha yangu mana unanizungumzia kwa asilimia mia
Mungu wa mbingu na nchi akupe kuona zaidi na zaidi yale yote anayotaka kupitisha kwako kwa ajili ya wengi,macho ya moyo wako yazidi kutiwa nuru,na akili zako Mungu azidi kuzihifadhi kwa ajili ya utukufu wake.namtukuza Mungu kwa ajili yako. Utukufu na heshima zimrudie Mungu.
Kabisa
Kaka najikuta nainuka kila siku kwa jili yako 👏👏
Nashukulu sana kwa kujifunza ila bdo natatizo lingine Yani kuhusu kusoma nikitu nashindwa kuwa bize nacho
Anza kusoma kila siku page 10
Kwa ujasiri namshukuru Mungu nafuatilia Sana Masomo yako yananijengea ujasiri zaidi Ila napambana kumaliza madeni ndio niwe jasri zaidi. Ubarikiwe
Mungu Akubariki Sana kupitia wewe najiona nimebadilika mno Asante Sana
GOD BLESS YOU BROTHER
MUNGU AKUBARIKI SANA AKUPE MIAKA MINGI KAMA NAMB ZA NIDA HAPA DUNIANI
WATU WATU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA
ASANTE KWA KUNIPA MAARIFA
JOEL wewe ni mwalimu mzuri,nimependa hiyo mada,be blessed kakaNanauka
Mi kweli nahitaji sana kuwa muimbaji napokuwa mwenyew nafanya ila kwa ndugu zangu na marafiki hawajui naogopa kuwambia .nifanyeje niwe strong
Napenda sana uwepo wako coz unagusa maisha ya watu na unabadilisha maisha yao kupitia mafunzo yk ,Mungu akubarik
Yaan sura Yako mda wote Inatabasam sijui hata unawezaje congrats brother
Binafsi nlikuwa naogopa sana kutoa speech mbele za watu lakin baada ya kuanza Mara moja tuu nikaongeaza ujasiri ..thanks brother.
Nataka amani na fulaha vitawale maisha yangu hofu siitaki tena
Mungu akubariki kwa masomo na ukitaka kuvikisha malengo inataka uwena marafi Wana muna gani
Mimi nina kigugumizi, nimezaliwa hivo, hii hali inanitesa sana kwenye maisha yangu, confidence ninayo ila hali ya kigugumizi, inanifanya nakua muoga ata kuongea na mtu, nimeshafanya therapy nyingi ila ndo kwanza nazidisha hali hii, nateseka sana kuna wakati namlaumu Mungu kwaninj aliniumba hivi kati ya wengi
I get you broo, Mimi upande wangu naweza kuwa nasema tuu kwa mdomo siogopi nguza za giza lakini huwa nahisi kuchanganyikiwa pale ninahisi labda kuna nguvu ya giza imenipata au ilishawahi kunipata, jamaan katika hili naomba msaada jinsi ya kubreak through , sababu nashindwa kufanya mambo yangu kabisa
Asante sana mi nimejifunganza katka kitengo cha kwongea mbele za watu ili kua ni tatizo kwangu asante
Mwalimu nashukuru sana tena sana kunavitu vingi umenisaidia.ongera na Mungu akubariki sana
Kwanza Asante sana kwa upande wangu kwa yote uliyozungumza ninayo ninabiashara ambayo kila mtu anahitaji lakin kukiexploze kwa watu inakuwa ngumu sana kwa kutokuwa na ujasiri ila nitafanyia kazi
Napenda xana maxomo yko mungu. Hakubarik ili uendelee kuelimmisha jjamii
Mm ninapoint sana ila namna ya kuwasilisha mbele ya watu ndio shida
Asante mungu akbariki umenisaidia tangunikujue
Brother mm sina shakukulipa ila nakuombea mafanikio zaidi kwasasa ila nimepanga nikifikia kiwango flani katika mafanikio yangu nitakutafu tukiwa hai kwani kwakweli unasaidia sana. Ee mungu akubariki na akulinde amiin
Kwakwel brother umeupga mwingi Sana nabalikiwa Sana na ww na umechange mawazo yangu negative kuwa positive
Mungu akuweke sana kaka
God bless you💪🏿🔥
mimi najiandaaga vizuri kabisa zidi ya mitiyani lakini nikingiya katika mitiyani moyo unakuwa na stress kama mtuninakimbizwa saana adi pale vitu nilivyosoma amo nabijuwa vinanikimbiya kichwani sasa nifanye nini katika ilo tatizo
Asante Sana brother. Umekua Msaada sana ktk mwenendo Wa maisha yangu.mungu akubariki sana.
Nikweli kaka najikuta natamani kujua namna gani naweza kusimama jukuani nakutoa mawazo au pendekezo
Asante kaka uko sahih
Nashukuru sana kaka angu nimejifunza kitu ktk hilo somo...... Am strong 💪
Jinsi ya kumlea mtoto na afyaExtra ruclips.net/video/PY8aLdvh0CQ/видео.html
Asante sana kwa somo zuri, naomba uandae somo la namna ya kuwa na Sauti nzuri ya kuzungumza mbele za watu
Respect kaka, you're more than teacher
ni kweli ukijilinganisha na wengine ambao wako juuu kuliko ww lazima ujishushe thaman
Asante sans kaka, mimi hii tabia yakujilinganisha inanisumbua sana nitajitahidi kuishinda ,ubarikiwe
Mimi nataka kuwa na confidence ya kuacha kazi ya kuajiriwa
Asante sana ngoja nianzie mazoezi
Unaelimisha Sana kakaangu.... Ila jitahidi uwe unatoa salam
Thank you Very much my Brother JOEL actually you're my Best Mentor of all the time, god bless you 🙏🙏🙏
Nakubali mzee
Shukrani kiongozi kwa elimu bora zaidi hata class hawafii haya ulivyoyaelezea.Bigup
Lunges Mbele za watu
Ujasili wa kuongea na mtu nliyekaribu nae Sina. kwenye group, vikao, Nina ujasiri Sijui nifanyeje
kwel kabisa Kaka kupitia ww nmekuwa mwenye mabadlko
Hapo kwenye mind reprogramming umenigusa teacher....!!!
Asante sana mwalimu...!!
Asante Sana, elimu nzuri Sana nimeipata
thanks teacher nimependa hii
kasalamba juma Joel nakubaliyana naelimu unayoitowa nawezaje kupata kitabu chako
Nimekuwa nikishindwa kumwambia mwanamke nakupenda kupitia mdomo
HALLELUYAH Point 4.Natamani Sana kuongea KIINGELEZA(KING'ENG'E/English Language) Jambo linanisumbua Sana ASANTE I
Barikiwa sana Bro kilaspichi yako na gain Mnoo
Kabisaaa SoMo nzur sana
Thanks brother
Tangu nimeqnza kukufatilia ninaconfidence ya hali ya juu,,,
mungu na akubariki sana
Mimi nilisemaga siwez kabisa english na kweli nilifeli kabisa!🙏
Umenigusa sana apo nitajitahidi kujiamini
nimeiza hasubui yangu vizuri kwa kukusikiliza kaka Joel
Asante Kwa memtoring
Mungu akubariki kk
asanteee sana bro umenibadili sana tangu nlivyokujua umenigusa kwenye practice wat u afraid
Kaka una madini ya kutosha.hongera sana.
Asante kwa somo zuri
Mimi huwa ninakuwa na positive na negative thoughts, ila negative huwa zina dominate kwa kiasi kikubwa. But Leo nimwjifunza kitu kutoka kwako brother @Joel Nanauka Be blessed
Jinsi ya kumlea mtoto na afyaExtra ruclips.net/video/PY8aLdvh0CQ/видео.html
Ahsante Sana Mungu akubariki
Kujieleza kwa mapan pamoja hofu ya kuogopa kuwa watu watanionaje nikisemq kitu falani kizuri
Hello mm Katika. Hizo Tano. Ulosema mm ya tatu. Ndo inanisumbuwanga
Asante bro joel nipata kitu kikubwa
Asante sana kaka kwa somo nzuri
Appreciated Mr Joel 🙏 your real a mentor,coacher and everything to whoever listens to your Talks. Keep on opening life of people course learning is ongoing. Big up Brother 🙏
Shalom Kaka Joel,
Asante sana kwa mwangaza unaonipa siku hadi siku.
Binafsi napenda sana kufanya kazi ya jamii ila nimekua na woga wa kuanza,Naogopa kuongea hata kanisani nikipewa nafasi nakimbia kabisa.
Nina uwezo wa kiandika jambo ila ukinipa nafasi ya kulizungumzia mbele za watu nakosa kujiamini kabisa.
somo zuriiii.kumbe mimi sio wa kufeli nabadili mtazamo
Hatua ya tano ni muhimu sana kwani maandalizi ndoa kila kitu lazima uwe na ujasiri kwasababu unajiandaa mapema kwangu nitalifanyia ka,zi ilo asante sana tunakutegemea wakati mwingine kwa mwongozo
Mungu akubaliki
Duh! Asante sana bro hiyo point ya pili ntaifanyia kaz 👏👏
Nimejifunza brother mungu akubaliki
Kutengenezea wazo. Nina wazo Ila nashindwa namna ya kuliweka vizuri .. Ni wazo zuri Sana ambalo Niki niliboresha naweza liuza kwenye kampuni yoyote ya mawasiliano na likawa msaada mkubwa Sana. Ahsante 0766020066
Asante sana Mr. Joel kwa somo nzuri .mada ya nne "practice what I afraid " kwa kweli nitalifanyia kazi .thanks
Natamani sana kuanzisha biashara, lakini naogopa nakuwa na hofu sana.
kaka Joel mafundisho yako yananibariki sana bro! mm ninatatizo 1 ambalo kila nikijaribu kulifanya sijui hata nakwama wapi nafanya biashara ndogondogo. no kweli kabisa napata pesa. lakini nashindwa kufunga pesa sababu majukumu ni mengi kuliko hata kipato changu end of the day miaka inaenda napga marktime pale pale! nifanyaje kaka? nifanyie kaka naomba masaa wako
Nitalifanyia kazi
Mungu akubarik xan
Practice what you’re afraid 👈👈 it's touch me big up nanaukaaaaa I'm very proud to subscribe your channels
Kuoghea mbele za watukulinishinda sana .nashukuru kwaelimu yako
Kaká nakubali darasa lako kwakweli Mungu azidi kukuongezea baraka. Ila mwenzako mimi nina tatizo lakuogopa kuongea mbele za watu. Mada nzuri mambo mazuri ninavyo ila kujenga huo ujasiri ndo shida aise hata ikofika kuongea mbele wakati wa interview ya kazi nakwambia mambo yote yarudi upside down aise.
Asante mwalimu kwa mafundisho
Lugha ya kiingereza nitajitahidi kufanya mazoezi mengi na kwa muda mrefu zaidi
asante xana mwalimu
Kweli bila uthubutu huwezi Fanya chochote.
Nimekuelewa San hongera sna
Elimu yako bora na sio bora elimu
Ubarikiwe sana
Mimi naiogopa kuandika mbele za watu lakini chanzo ilikua napigwa Sana shuleni hivyo nikawa namuogopa sana mwalim wangu hata nikiandika sipeleki kwa mwalim hivyo mpaka sasa napata shida sana kuandika japo najuwa kuandika ila kwa sababu ya hofu na wasiwasi ulojaa ndani yangu najikuta natetemeka Sana nikitika kuandika mbele za watu na inaniumiza sana
Naogopa wanawake sana. Sijuiy kwann
Shida Bado sipo nyigi
Nashukuru Kaka somo zuri, mm nitajitahid kufanya maandalizi ya kutosha.
Kaka nimekukubali sana mwenyezimungu akuongoze mkuu
Much thanks bro i do gain something