Nimewahi kumpoteza ndugu yangu wa karibu kuzaliwa akitoka yeye nafuata Mimi kuzaliwa(kaka yangu), mwaka 2018 binafsi nilikuwa nampenda Sanaa lakini siku napokea taarifa ya kifo chake mpaka Leo hii uchungu nilionao unanitesa Siwezi kata kuenjoy maisha kwasababu nahamisha maumivu niliyonayo Kila sehemu iwe kwa marafiki,ndugu wengine😢😢 kupitia fundisho hili nimechilia na nimekubali naanza upya Leo Mungu wa Mbinguni anisaidie
NAMNA YA KUONDOA UCHUNGU 1) Kutambua chanzo cha uchungu 2)Kubali kuwa una uchungu ndani yako (usikatae uchungu wako wakati dalili zinaonyesha) 3)Amua kwamba hautakuwa mtumwa wa uchungu 4)Samehe na kuruhusu uponyaji uendelee (Samehe kwa faida yako wala sio kwa faida ya wengine)
Yatapita dear hata mi pia niliwai kupitia uchungu ila kwasasa alhamdulillah nilishasahau na nipo OK, hilo Kaka Joel ameongea ni kweli jisemeye tu kimoyomoyo ujiambie siwezi kuwa mtumwa wa huu uchungu taratibu utaskia unapata amani ndani ya moyo
Najivunia xana kuwa na mtanzania kama ww hakika utakikomboa hiki kizazi na vizazi vijavyo. MUNGU akubariki xana na akupe maisha marefu hapa duniani, Amen.
kila nnaposkiliza clips zako ukweli najifunza mengi sana nafarijika sana kila unachokiongea kinanigusa ktk maisha yangu nakushkuru kwa mafunzo na faraja unazotupatia
Nimezeeka sanaa kabla ya wakati wangu kwa uchungu nilionao ambao unasababishwa na watu wakaribu ninaoishi nao. Sina furaha ya maisha. Wananidhulumu furaha yangu
Asante kaka joeli mm ni muathirika wa kuhifadhi uchungu na inanipelekea kutoishi vizuri na watu hata wengine wanahihukumu kua nawachukia lakini hapana ni moyo wangu umebeba mambo manzito nalia na mungu aniondolee hii hali inanichosha
Mtu wa karibu kuniumiza imevhukua furaha yote ya maisha yangu 😢 Sitamani kumuona wala kumsikia kabisa japo ni mtu wa karibu sanaaaa na inauma inauma bro,Amesaliti maisha yangu 😢😢😢
Sio rahisi Sana Joel,,,inahitaji kujitoa sadaka kamili,,pia itatupasa tujue our identities in spirit,,hapo ndipo uponyaji utapaikana vinginevo itakua Kama motivational tu kwasababu mazingira na maisha tuishiyo wengi yanasababisha uchungu uzidi kua mwingi zaidi,,,Asante Joel
Uchungu ndio kitu kinanitesa ila kuanzia leo nasamehe nakuachilia kwa moyo wangu huu uliopondeka naruhusu amani na furaha katika maisha yangu na muomba mungu anisaidie na kuniumbia moyo mpya nisahau yote yanayonitesa 🙏
MUNGU akutie nguvu hili SoMo lilikuwa kwa ajili yangu Mimi uchungu umenizeesha umenikondesha lakin neno lako limenipa mwanzo mpya mungu akupe maisha marefu na ufanikiwe zaidi
Asante sn kiongoz kiukweli napitia machungu makubwa baada ya watu wangu Wakaribu kutokunisapoti ktika mahusiano yangu pia wao ikawa ndio sababu yakuvunja mahusiano, dah yani sijui ata vp naweza kusaha maumivu hy
Nasema kwel hal hiyo mi niko nayo tangu mwaka 2010mpaka sasa nimeshindwa kusamehe nakusahawu lakin umenifunza wacha nilifanyiye kazi nachukulu sana kwa somo
Uchungu ulinifanya niwaze only solution ni kufa, maana nlifanya vyote hata kutanga msamaha kwa alienisababishia uchungu lakin bado haikusaidia Nashukuru Mungu ananipigania ipo siku nitakua sawa na nitafurahia maisha yangu tena
Kwakweli nakalibia kufunga wiki moja toka nianze kuangali video zangu ani nilikua na mambo mengi mengi mno yanayomisumbua lakn toka nimeaanxa kukufatilia matatizo yoote yamekwisha nakushukuru sanaaa kaka joel
Mimi nilikuwa narafiki yangu nilimpenda sana kumbe alikuwa wa kunpastress kazi yake nikunichunguza nakunisema vibaya na familia yake na kuniaibisha kila mahali😢😢.Sahi nimeshikwa nahasira na uchungu ndani yangu nimechukia kila mtu hapa nukiona mtu naonanikama nawakamoto ama machozi yanitiririke😢😢.hii Sasa nikiwa muda wa wiki mbili😢😢
kaka Joel umenitoa mbali sana nimesema leo nirudi kutoa shukran zangu za dhati hii video ilinipata nikiwa na maumivu makali sana lakin kupitia hapa nilipona kanisa ubarikiwe sana kaka mungu akupe uzima na afya bora uzidi kutufunza chukua mau yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kaka Asante kwa somo lako nilimenisaidaia mm niliachika na wanaume watatu zaidi huyu watatu aliniumiza sana maana familia ilinikataa na yeye tunapendana ikafikia wakati nikawa nateseka mpaka presha ata vidonda vya tumbo nashukuru kidogo nilivyosikiliza somo hili nimepata uponyaji
nimekuelewa joeli mi nakufatalia sanaaaa namoja yakitu kikubwa kwenye maisha yangu namuona mungu kupitia wew napata nguvu yakuinuka tena napitia wakati mugumu sanaaaa wakiisia nakibaya zaidi anae niumiza nimtu wangu wandani inauma sanaaaaaa 😭😭😭😭😭😭😭ila Imani yangu nainuka tena
Somo hili limenigusa San, niliwahi kuishi na uchungu ndan ya Moyo wangu lakin niliona kabisa sipaswi kuendelea kuishi haya maisha maana nilikosa kujiamin kuhusu mambo mbali mbali hasa mahusiano ila tunakosea ili tujifunze 😭😭
Kweli nilipata uchungu Sana Baada ya Rafiki yangu kueleza udhaifu wangu kwa marafiki wake wengine lazima UCHUNGU uniachie IN JESUS NAME (Yohana 14:13-14)
Uchungu unaharibu sana familia nyingi na unafanya watu kuishi kama watu wanaoishi pembezoni mwa mto Amazon Mwishwe ukiwa na uchungu unajisikia kufakufa tu kwa sababu unajikuta huna thamani Thanks bro
Umenigusa 100% Niko hivyo kaka Joel naharibikiwa sana na Mara nyingi tu nitajifunza zaidi maana nimekuwa hivyo muda tu hadi Leo yamekuwa maisha YANGU vile
Asante sana kaka ,nimeishi na uchungu muda mrefu Sana ,nimejitahidi kusamehe bado uchungu haukuisha,nimegundua kosa langu nikuendelea kumzungumzia aliyenikosea
Asante sana Joel daaa umenifungua sana akili yangu. uchungu, stress, vimekuwa shida sana katika maisha yangu na kuniletea vidonda vya tumbo vya kila siku visipo pona na kufikia hatua mbaya Sana shukran naendelea kufuatilia sana vipindi vyako🙏🙏🙏
Ahsante kwa somo zuri,,Naomba kujua ni namna gan naweza kumsamehe mtu ambae anakukosea au kukuumiza mara kwa mara na hakuna uwezekano wa kumuweka mbali na yeye?
Nina uchungu mtu aliyenitongoza tukakubalina ila kila tunachowasiliana mimi nayeye anamuambia, rafiki yangu na anajionyesha kama mimi ndio nampenda sana naumia mno😢😢
Jamani mm namaumivu mpk leo nilidhulumiwa kila kitu baba angu alichoniachia lkn maneno yako yananifariji nakuombea maisha marefu
Nimewahi kumpoteza ndugu yangu wa karibu kuzaliwa akitoka yeye nafuata Mimi kuzaliwa(kaka yangu), mwaka 2018 binafsi nilikuwa nampenda Sanaa lakini siku napokea taarifa ya kifo chake mpaka Leo hii uchungu nilionao unanitesa Siwezi kata kuenjoy maisha kwasababu nahamisha maumivu niliyonayo Kila sehemu iwe kwa marafiki,ndugu wengine😢😢 kupitia fundisho hili nimechilia na nimekubali naanza upya Leo Mungu wa Mbinguni anisaidie
Ameen, kila la kheri naamini Mungu atakuvusha.
@@joelnanaukaJaman watu mnaweza vipi kusamehe Tena mwanaume anaye saliti Kila siku na kutoa maneno mabaya ya kudhiaki mpka mwili wa mtu
@@rachelmwasomola945 pole sana dear, unaendeleaje sahivi?
Uchungu wangu mumewangu anatembea rafiki yangu nimeumia cna
ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html
Mimi amezaa nae kabisa inauma sana kuna mda sitaman atakumuona karibu yang
Uchungu umeharibu maisha yangu nikajikuta nafanya Mambo bila kufikiria ikaua kila ndoto ndani yangu, Asante kwa SoMo zuri kaka
daah
Napataje namba ili niwe najifunz zaid
Asant kakaa kW ushaur wak nitaendelea kukufatilia man niliumizw San na presha ju
Pole
😢😢😢😢uchungu unanitesa
NAMNA YA KUONDOA UCHUNGU
1) Kutambua chanzo cha uchungu
2)Kubali kuwa una uchungu ndani yako (usikatae uchungu wako wakati dalili zinaonyesha)
3)Amua kwamba hautakuwa mtumwa wa uchungu
4)Samehe na kuruhusu uponyaji uendelee (Samehe kwa faida yako wala sio kwa faida ya wengine)
Nikweli kabisa.kaka unanigusa
Kuna wengine tumeathilika Kwa kiwamgo kikubwa tunajitaji kliniki.tufanyeje
Wallah endelea tyu kutufarji kaka joeli mana nyoyo znatuvuja dam Allah atupe wepes tusjepata hata strock nnauchunguuu😭😭😭😭😭😭😭
Yatapita dear hata mi pia niliwai kupitia uchungu ila kwasasa alhamdulillah nilishasahau na nipo OK, hilo Kaka Joel ameongea ni kweli jisemeye tu kimoyomoyo ujiambie siwezi kuwa mtumwa wa huu uchungu taratibu utaskia unapata amani ndani ya moyo
Yaani tuko hatarini
ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html
Jackline Yesu kristo akutie nguvu
Pole dear
Kama uyo mtu bado yupo kwenye maisha yako inakuaje nahauwezi kumwambia kwasababu Ni mkubwa wangu
Fundisho lako zuri Sana Mimi hio roho y uchungu imesumbua sana nilifikili n roho y rejection lkn umenisaidia nitawasamehe wote
Najivunia xana kuwa na mtanzania kama ww hakika utakikomboa hiki kizazi na vizazi vijavyo. MUNGU akubariki xana na akupe maisha marefu hapa duniani, Amen.
kila nnaposkiliza clips zako ukweli najifunza mengi sana nafarijika sana kila unachokiongea kinanigusa ktk maisha yangu nakushkuru kwa mafunzo na faraja unazotupatia
Ameen Ameen Mungu Ni mwema sana
@@joelnanauka Kaka naomba namba yako tafadhali
Nimezeeka sanaa kabla ya wakati wangu kwa uchungu nilionao ambao unasababishwa na watu wakaribu ninaoishi nao. Sina furaha ya maisha. Wananidhulumu furaha yangu
Pole sana jipange anza kuleta furaha moyoni mwako samehe
Asante kaka joeli mm ni muathirika wa kuhifadhi uchungu na inanipelekea kutoishi vizuri na watu hata wengine wanahihukumu kua nawachukia lakini hapana ni moyo wangu umebeba mambo manzito nalia na mungu aniondolee hii hali inanichosha
😓😓😓hii imeniingia Sana😓😓 nitajitahd niachie tu,, mungu nitetee na uniongoze kwenye hili🙏
Naamua ctakuwa na utumwa wa uchungu ndani ya moyo wangu hata iwaje citakuwa mtumwa mungu nishindie
Uko vizr sana jamaa ujumbe huu umeungza moyo wangu mpenz wangu anateseka sana kwa ttzo hlo
Mtu wa karibu kuniumiza imevhukua furaha yote ya maisha yangu 😢 Sitamani kumuona wala kumsikia kabisa japo ni mtu wa karibu sanaaaa na inauma inauma bro,Amesaliti maisha yangu 😢😢😢
Uchungu umenifanya nipoteze uelekeo wa maisha yangu nashukuru kwa somo zuri
Hapo kwenye msamaha mungu anipe nguvu
Asante sana Joel mungu azidi kukupa afya njema ya roho na mwili.
Ma Shaa Allah very good nitajifunza Asante saaaaana
ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html
Sio rahisi Sana Joel,,,inahitaji kujitoa sadaka kamili,,pia itatupasa tujue our identities in spirit,,hapo ndipo uponyaji utapaikana vinginevo itakua Kama motivational tu kwasababu mazingira na maisha tuishiyo wengi yanasababisha uchungu uzidi kua mwingi zaidi,,,Asante Joel
✊
Uchungu ndio kitu kinanitesa ila kuanzia leo nasamehe nakuachilia kwa moyo wangu huu uliopondeka naruhusu amani na furaha katika maisha yangu na muomba mungu anisaidie na kuniumbia moyo mpya nisahau yote yanayonitesa 🙏
MUNGU akutie nguvu hili SoMo lilikuwa kwa ajili yangu Mimi uchungu umenizeesha umenikondesha lakin neno lako limenipa mwanzo mpya mungu akupe maisha marefu na ufanikiwe zaidi
Nimeachilia uchungu wew mmama utoke kwenye ufahamu wangu nimesamehee
Mungu akubark Dada cjaelewa kukoga ndo kufanya nin sahaman kwa hlo
Asante sn kiongoz kiukweli napitia machungu makubwa baada ya watu wangu Wakaribu kutokunisapoti ktika mahusiano yangu pia wao ikawa ndio sababu yakuvunja mahusiano, dah yani sijui ata vp naweza kusaha maumivu hy
Nasema kwel hal hiyo mi niko nayo tangu mwaka 2010mpaka sasa nimeshindwa kusamehe nakusahawu lakin umenifunza wacha nilifanyiye kazi nachukulu sana kwa somo
Nimeamua Leo kusahau mausiano yangu yazamani Asante Sana Joel nauka
Mimi niliwahi kupata uchungu uliosababishwa na mwalimu.
Asante sana ubarikiwe!
Asante... mungu azidi kukulinda...kw...kuendelea kutufungua coach Joel nimejifunza
Uchungu ulinifanya niwaze only solution ni kufa, maana nlifanya vyote hata kutanga msamaha kwa alienisababishia uchungu lakin bado haikusaidia
Nashukuru Mungu ananipigania ipo siku nitakua sawa na nitafurahia maisha yangu tena
Polee
Naanza kujifunza kutoka kwaki asant sana
Joel unasubiri nini kua mchungaji? Najua wewe ni "inspirational speaker, You can be both!
Kwakweli nakalibia kufunga wiki moja toka nianze kuangali video zangu ani nilikua na mambo mengi mengi mno yanayomisumbua lakn toka nimeaanxa kukufatilia matatizo yoote yamekwisha nakushukuru sanaaa kaka joel
Yaan uchungu nilionao,ni Mungu tu asimame nami.nikimuona huyo mtu natamani afe au mm nife nizaliwe upya kwa namna nyingine
Ahsante Emma wangu Kwa kunielekeza kaka huyu moyo wangu uliraruka sikuona njia,nimeumizwa mnooooo😭😭😭from now sitolia Tena,be blessed kaka joel
Mimi nilikuwa narafiki yangu nilimpenda sana kumbe alikuwa wa kunpastress kazi yake nikunichunguza nakunisema vibaya na familia yake na kuniaibisha kila mahali😢😢.Sahi nimeshikwa nahasira na uchungu ndani yangu nimechukia kila mtu hapa nukiona mtu naonanikama nawakamoto ama machozi yanitiririke😢😢.hii Sasa nikiwa muda wa wiki mbili😢😢
Uchungu uliniletea pressure na stroke,, alhadhulilah joel for this msg
Wow! @joelnanauka kiroho zaidi. Asante sana ndugu.
Nashukuru nitasamehe ili nipone sasa,ucchungu umeharibu Hadi malengo yangu😭😭😭😭
Nmechelewa kuangalia lakin nmejifunza kitu Asante mungu akubariki kak
Asanteh kaka kwa somo zuri, hakika masomo yako yananibariki na kubadilisha Maisha yangu kwa kiasi kikubwa Sana, ubarikiwe sana
kaka Joel umenitoa mbali sana nimesema leo nirudi kutoa shukran zangu za dhati hii video ilinipata nikiwa na maumivu makali sana lakin kupitia hapa nilipona kanisa ubarikiwe sana kaka mungu akupe uzima na afya bora uzidi kutufunza chukua mau yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kaka Asante kwa somo lako nilimenisaidaia mm niliachika na wanaume watatu zaidi huyu watatu aliniumiza sana maana familia ilinikataa na yeye tunapendana ikafikia wakati nikawa nateseka mpaka presha ata vidonda vya tumbo nashukuru kidogo nilivyosikiliza somo hili nimepata uponyaji
Pole
nimekuelewa joeli mi nakufatalia sanaaaa namoja yakitu kikubwa kwenye maisha yangu namuona mungu kupitia wew napata nguvu yakuinuka tena napitia wakati mugumu sanaaaa wakiisia nakibaya zaidi anae niumiza nimtu wangu wandani inauma sanaaaaaa 😭😭😭😭😭😭😭ila Imani yangu nainuka tena
Nakushukuru sana kaka joel mungu akulinde na akupe maisha malefu
Hua ninalia ndo napata uafadhali ila umenipa funzo asanta kaka nafwatilia sana vipindi vyako
Kaka nimekuelewa sana umenipa madini kweli moyo wangu unauchungu aise! Naamini nitapona nitaachilia uponyaji
Mungu nisaidie niondokane na hili Roho la uchungu.
Somo hili limenigusa San, niliwahi kuishi na uchungu ndan ya Moyo wangu lakin niliona kabisa sipaswi kuendelea kuishi haya maisha maana nilikosa kujiamin kuhusu mambo mbali mbali hasa mahusiano ila tunakosea ili tujifunze 😭😭
Asante sana kwa elimu mazuri mm nakufatilia sanaa nanapata faraja kwa maneno yako
Najitaidi sana kuondoa uchungu moyoni ..ila Leo Mungu nisaidie
Nliumia sana na nimepata kama donda la moyo
Kweli nilipata uchungu Sana Baada ya Rafiki yangu kueleza udhaifu wangu kwa marafiki wake wengine lazima UCHUNGU uniachie IN JESUS NAME (Yohana 14:13-14)
Kaka jeol I wish one day nikuone live tuongeee maana naona ,naelekea ukingoni mwangu , walau nikikaaa nikaongea yaliyo moyoni mwangu nitahisi faraja.
Uchungu unaharibu sana familia nyingi na unafanya watu kuishi kama watu wanaoishi pembezoni mwa mto Amazon
Mwishwe ukiwa na uchungu unajisikia kufakufa tu kwa sababu unajikuta huna thamani
Thanks bro
Daaah kuna watu mungu kawashusha kwa ajili ya watanzania.... Thanks Allah 🙏
Asante kwa somo ,hii hali inanitesa sana maisha mwangu!
Asantesana kwasomo zuri kiukweli uchungu umenitesa sana nakujiona sina thamani tena
Asantee kwelii kuna nguvu katika msamha
Barikiwa sana,Kama unajua yaliyo kwenye mioyo ya watu.Endelea kuponya watu,wote walionokosea ninawasamehe kuanzia sasa hata kama hawajaniomba msamaha.
Mungu akubariki sana bro J nataman nipate msaada vile naweza kuachilia na kusamehe kabsa
Nashukuru kaka nimekuw mtumwa Sasa nmepata elimu❣️❣️❣️❣️
Umenigusa 100% Niko hivyo kaka Joel naharibikiwa sana na Mara nyingi tu nitajifunza zaidi maana nimekuwa hivyo muda tu hadi Leo yamekuwa maisha YANGU vile
Hii ni huduma yakiroho kabisa, tunabarikiwa brother
Asante sana kaka Mungu akubariki kwa kazi nzuri anayoifanya kwa hakika tunajifunza mambo mengi sana kutoka kwako
Asante kaka nimejifuza kitu kwenye somo hili nmefurahi
Uko sawa brother inauma hadi unaona huna haja yakuishi
Asante sana kwa maneni mazuri yanatia faraja sanaa
Asante sana kaka ,nimeishi na uchungu muda mrefu Sana ,nimejitahidi kusamehe bado uchungu haukuisha,nimegundua kosa langu nikuendelea kumzungumzia aliyenikosea
Nimebarikiwa sana nasubiri siku ntakaporudi kushuhudia..uchungu umetesa maisha yangu sanaa
Umenifariji Sana kakangu ahsante
Asante kwa somo zuri sana
Asante sana kakaangu nimejifunza kitu naamini nitapona😢
Natamani npate no yko Dr wallah😭😭
Mungu akubariki brother kw fundisho nzuri
Mung nimwema nimekua nikisononeka mda mwingine ila sasa nsomba tu nisamehe ILI nipo BG kak joel 🙏🙏
Asante kuponya mioyo yetu Ubarikiwe
brother joel umenisaidia kwakiasi lkn natamani unisaidie zaidi mungu akubariki sana akuinue kwaviwango vingine
Asante Sana mch mungu azidi kukutumia zaidi Kila topik yako unayofundisha inagusa
Umenigusa na Mimi maisha yangu ni yauchungu tu
Kwakweli nimefraishwa sana na kipindi chako kaka nateseka sana natamani nitoke kwenye hii hali
Healing is my passion.
Asante sana Joel daaa umenifungua sana akili yangu. uchungu, stress, vimekuwa shida sana katika maisha yangu na kuniletea vidonda vya tumbo vya kila siku visipo pona na kufikia hatua mbaya Sana shukran naendelea kufuatilia sana vipindi vyako🙏🙏🙏
Yaaan
Asanteee saaana Kaka Joel
Asante sana kaka maneno yako nimazuri sana zaidi ya sana yananipa furaha sana
Nimeikubal sana na imenigusa hii bro Joel, Asante kwa somo zuri Mungu akubariki
Kwanzia Leo sitokua mtumwa wa uchungu wangu
Shukran Sana, Inanisumbua Sana hali Hii. Yan Nikisikia Jina lake tu Napata Hasira, Uchungu Mpaka Nalia. Ni Jana tu Usiku Nilikua ktk hali Hiyo .
Nimejifuza kutengeneza kujiami leo
Ahsantee nimefarjika sana na kuanzia Leo nasamehe
Asantee snaa kaka nimepona toka nimeanza kukufatilia asntee sana
ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html
Halihii yauchungu anayo rafiki yangu tumeachana kwasababu anauchungu nilikua nimekosea kidogo
Mungu akubariki brother kwa fundisho zuri 🙏🙏
Asante nimewasamehe mungu nitie nguvu
Ahsante kwa somo zuri,,Naomba kujua ni namna gan naweza kumsamehe mtu ambae anakukosea au kukuumiza mara kwa mara na hakuna uwezekano wa kumuweka mbali na yeye?
Forgive but never forget the lesson u learned
Nina uchungu mtu aliyenitongoza tukakubalina ila kila tunachowasiliana mimi nayeye anamuambia, rafiki yangu na anajionyesha kama mimi ndio nampenda sana naumia mno😢😢
Asante Sana Kwa soma zuri binadamu tunatakiwa kujifunza kutokana na makosa
ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html
NI kweli Kaka ,asante kwa SoMo zuri na moyo wangu umepata amani nilivyosikia SoMo hili, MUNGU akupe hekima zaidi.
Natangaza msamaha kuanzia leo,Ndani ya siku hii ya Takatifu ya Ijumaa...NIMESAMEHE wote sina kinyongo na mtu...
ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html