ONDOA UCHUNGU NDANI YA MOYO - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии •

  • @rehemashayo1613
    @rehemashayo1613 Год назад +5

    Jamani mm namaumivu mpk leo nilidhulumiwa kila kitu baba angu alichoniachia lkn maneno yako yananifariji nakuombea maisha marefu

  • @rachelmwasomola945
    @rachelmwasomola945 Год назад +4

    Nimewahi kumpoteza ndugu yangu wa karibu kuzaliwa akitoka yeye nafuata Mimi kuzaliwa(kaka yangu), mwaka 2018 binafsi nilikuwa nampenda Sanaa lakini siku napokea taarifa ya kifo chake mpaka Leo hii uchungu nilionao unanitesa Siwezi kata kuenjoy maisha kwasababu nahamisha maumivu niliyonayo Kila sehemu iwe kwa marafiki,ndugu wengine😢😢 kupitia fundisho hili nimechilia na nimekubali naanza upya Leo Mungu wa Mbinguni anisaidie

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Год назад

      Ameen, kila la kheri naamini Mungu atakuvusha.

    • @hildakayun6445
      @hildakayun6445 2 месяца назад +1

      ​@@joelnanaukaJaman watu mnaweza vipi kusamehe Tena mwanaume anaye saliti Kila siku na kutoa maneno mabaya ya kudhiaki mpka mwili wa mtu

    • @doricekadushi3924
      @doricekadushi3924 12 дней назад

      @@rachelmwasomola945 pole sana dear, unaendeleaje sahivi?

  • @hawaamkubwa2020
    @hawaamkubwa2020 3 года назад +6

    Uchungu wangu mumewangu anatembea rafiki yangu nimeumia cna

    • @abelntobi382
      @abelntobi382 3 года назад

      ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html

    • @GiftMaiko
      @GiftMaiko 2 месяца назад

      Mimi amezaa nae kabisa inauma sana kuna mda sitaman atakumuona karibu yang

  • @mariammaligwa8887
    @mariammaligwa8887 3 года назад +20

    Uchungu umeharibu maisha yangu nikajikuta nafanya Mambo bila kufikiria ikaua kila ndoto ndani yangu, Asante kwa SoMo zuri kaka

  • @mjemachannel7591
    @mjemachannel7591 4 месяца назад +6

    NAMNA YA KUONDOA UCHUNGU
    1) Kutambua chanzo cha uchungu
    2)Kubali kuwa una uchungu ndani yako (usikatae uchungu wako wakati dalili zinaonyesha)
    3)Amua kwamba hautakuwa mtumwa wa uchungu
    4)Samehe na kuruhusu uponyaji uendelee (Samehe kwa faida yako wala sio kwa faida ya wengine)

    • @avelinamariba
      @avelinamariba Месяц назад

      Nikweli kabisa.kaka unanigusa

    • @avelinamariba
      @avelinamariba Месяц назад

      Kuna wengine tumeathilika Kwa kiwamgo kikubwa tunajitaji kliniki.tufanyeje

  • @jacklinedickson3104
    @jacklinedickson3104 3 года назад +25

    Wallah endelea tyu kutufarji kaka joeli mana nyoyo znatuvuja dam Allah atupe wepes tusjepata hata strock nnauchunguuu😭😭😭😭😭😭😭

    • @asyaasya3766
      @asyaasya3766 3 года назад

      Yatapita dear hata mi pia niliwai kupitia uchungu ila kwasasa alhamdulillah nilishasahau na nipo OK, hilo Kaka Joel ameongea ni kweli jisemeye tu kimoyomoyo ujiambie siwezi kuwa mtumwa wa huu uchungu taratibu utaskia unapata amani ndani ya moyo

    • @mwanakhamiskhamis3115
      @mwanakhamiskhamis3115 3 года назад

      Yaani tuko hatarini

    • @abelntobi382
      @abelntobi382 3 года назад

      ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html

    • @bernarderadi4410
      @bernarderadi4410 3 года назад

      Jackline Yesu kristo akutie nguvu

    • @vickie.gpeter1639
      @vickie.gpeter1639 2 года назад

      Pole dear

  • @RamlaIssa-s3t
    @RamlaIssa-s3t 29 дней назад +1

    Kama uyo mtu bado yupo kwenye maisha yako inakuaje nahauwezi kumwambia kwasababu Ni mkubwa wangu

  • @JedidaNdutuu-ys3lx
    @JedidaNdutuu-ys3lx 10 месяцев назад +1

    Fundisho lako zuri Sana Mimi hio roho y uchungu imesumbua sana nilifikili n roho y rejection lkn umenisaidia nitawasamehe wote

  • @leonardsilago4221
    @leonardsilago4221 3 года назад +6

    Najivunia xana kuwa na mtanzania kama ww hakika utakikomboa hiki kizazi na vizazi vijavyo. MUNGU akubariki xana na akupe maisha marefu hapa duniani, Amen.

  • @sharifakhamis1145
    @sharifakhamis1145 3 года назад +8

    kila nnaposkiliza clips zako ukweli najifunza mengi sana nafarijika sana kila unachokiongea kinanigusa ktk maisha yangu nakushkuru kwa mafunzo na faraja unazotupatia

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      Ameen Ameen Mungu Ni mwema sana

    • @aminaabdull7479
      @aminaabdull7479 3 года назад

      @@joelnanauka Kaka naomba namba yako tafadhali

  • @mwanakhamiskhamis3115
    @mwanakhamiskhamis3115 3 года назад +6

    Nimezeeka sanaa kabla ya wakati wangu kwa uchungu nilionao ambao unasababishwa na watu wakaribu ninaoishi nao. Sina furaha ya maisha. Wananidhulumu furaha yangu

    • @joycehaule4520
      @joycehaule4520 Год назад

      Pole sana jipange anza kuleta furaha moyoni mwako samehe

  • @joyceamos7956
    @joyceamos7956 2 года назад +1

    Asante kaka joeli mm ni muathirika wa kuhifadhi uchungu na inanipelekea kutoishi vizuri na watu hata wengine wanahihukumu kua nawachukia lakini hapana ni moyo wangu umebeba mambo manzito nalia na mungu aniondolee hii hali inanichosha

  • @mwanaidimsemo6321
    @mwanaidimsemo6321 3 года назад +4

    😓😓😓hii imeniingia Sana😓😓 nitajitahd niachie tu,, mungu nitetee na uniongoze kwenye hili🙏

  • @hirdajacson8827
    @hirdajacson8827 Год назад

    Naamua ctakuwa na utumwa wa uchungu ndani ya moyo wangu hata iwaje citakuwa mtumwa mungu nishindie

  • @PeterEmmanuel-j7p
    @PeterEmmanuel-j7p Год назад

    Uko vizr sana jamaa ujumbe huu umeungza moyo wangu mpenz wangu anateseka sana kwa ttzo hlo

  • @bin.ali_tz
    @bin.ali_tz Месяц назад

    Mtu wa karibu kuniumiza imevhukua furaha yote ya maisha yangu 😢 Sitamani kumuona wala kumsikia kabisa japo ni mtu wa karibu sanaaaa na inauma inauma bro,Amesaliti maisha yangu 😢😢😢

  • @rahmashemukombo7097
    @rahmashemukombo7097 Год назад

    Uchungu umenifanya nipoteze uelekeo wa maisha yangu nashukuru kwa somo zuri

  • @shady-on4jx
    @shady-on4jx Месяц назад

    Hapo kwenye msamaha mungu anipe nguvu

  • @YunusMgunga
    @YunusMgunga 7 месяцев назад +1

    Asante sana Joel mungu azidi kukupa afya njema ya roho na mwili.

  • @hamidaa3886
    @hamidaa3886 3 года назад +6

    Ma Shaa Allah very good nitajifunza Asante saaaaana

    • @abelntobi382
      @abelntobi382 3 года назад

      ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html

  • @juaupekeewako
    @juaupekeewako 2 года назад +3

    Sio rahisi Sana Joel,,,inahitaji kujitoa sadaka kamili,,pia itatupasa tujue our identities in spirit,,hapo ndipo uponyaji utapaikana vinginevo itakua Kama motivational tu kwasababu mazingira na maisha tuishiyo wengi yanasababisha uchungu uzidi kua mwingi zaidi,,,Asante Joel

  • @MarryMichael-lb8hq
    @MarryMichael-lb8hq Год назад

    Uchungu ndio kitu kinanitesa ila kuanzia leo nasamehe nakuachilia kwa moyo wangu huu uliopondeka naruhusu amani na furaha katika maisha yangu na muomba mungu anisaidie na kuniumbia moyo mpya nisahau yote yanayonitesa 🙏

  • @Happinesabella3654
    @Happinesabella3654 Год назад

    MUNGU akutie nguvu hili SoMo lilikuwa kwa ajili yangu Mimi uchungu umenizeesha umenikondesha lakin neno lako limenipa mwanzo mpya mungu akupe maisha marefu na ufanikiwe zaidi

  • @ruthmsaki7107
    @ruthmsaki7107 Год назад

    Nimeachilia uchungu wew mmama utoke kwenye ufahamu wangu nimesamehee

  • @JumanneShingsha-ks4vb
    @JumanneShingsha-ks4vb Год назад

    Mungu akubark Dada cjaelewa kukoga ndo kufanya nin sahaman kwa hlo

  • @MustafaKombo-n5b
    @MustafaKombo-n5b Год назад

    Asante sn kiongoz kiukweli napitia machungu makubwa baada ya watu wangu Wakaribu kutokunisapoti ktika mahusiano yangu pia wao ikawa ndio sababu yakuvunja mahusiano, dah yani sijui ata vp naweza kusaha maumivu hy

  • @gtubgxuxj6906
    @gtubgxuxj6906 3 года назад

    Nasema kwel hal hiyo mi niko nayo tangu mwaka 2010mpaka sasa nimeshindwa kusamehe nakusahawu lakin umenifunza wacha nilifanyiye kazi nachukulu sana kwa somo

  • @ShaniMwamba
    @ShaniMwamba Год назад

    Nimeamua Leo kusahau mausiano yangu yazamani Asante Sana Joel nauka

  • @RAYAOMARY-k7m
    @RAYAOMARY-k7m Год назад

    Mimi niliwahi kupata uchungu uliosababishwa na mwalimu.
    Asante sana ubarikiwe!

  • @AlexJefwa
    @AlexJefwa 2 месяца назад

    Asante... mungu azidi kukulinda...kw...kuendelea kutufungua coach Joel nimejifunza

  • @doricekadushi3924
    @doricekadushi3924 Год назад +1

    Uchungu ulinifanya niwaze only solution ni kufa, maana nlifanya vyote hata kutanga msamaha kwa alienisababishia uchungu lakin bado haikusaidia
    Nashukuru Mungu ananipigania ipo siku nitakua sawa na nitafurahia maisha yangu tena

  • @BakaryAlly-r9c
    @BakaryAlly-r9c 2 месяца назад

    Naanza kujifunza kutoka kwaki asant sana

  • @Robert-p7c1k
    @Robert-p7c1k Год назад

    Joel unasubiri nini kua mchungaji? Najua wewe ni "inspirational speaker, You can be both!

  • @dattysamia3184
    @dattysamia3184 2 года назад

    Kwakweli nakalibia kufunga wiki moja toka nianze kuangali video zangu ani nilikua na mambo mengi mengi mno yanayomisumbua lakn toka nimeaanxa kukufatilia matatizo yoote yamekwisha nakushukuru sanaaa kaka joel

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 5 месяцев назад

    Yaan uchungu nilionao,ni Mungu tu asimame nami.nikimuona huyo mtu natamani afe au mm nife nizaliwe upya kwa namna nyingine

  • @wardaabdallah2383
    @wardaabdallah2383 Год назад

    Ahsante Emma wangu Kwa kunielekeza kaka huyu moyo wangu uliraruka sikuona njia,nimeumizwa mnooooo😭😭😭from now sitolia Tena,be blessed kaka joel

  • @GetaryAyera
    @GetaryAyera Год назад

    Mimi nilikuwa narafiki yangu nilimpenda sana kumbe alikuwa wa kunpastress kazi yake nikunichunguza nakunisema vibaya na familia yake na kuniaibisha kila mahali😢😢.Sahi nimeshikwa nahasira na uchungu ndani yangu nimechukia kila mtu hapa nukiona mtu naonanikama nawakamoto ama machozi yanitiririke😢😢.hii Sasa nikiwa muda wa wiki mbili😢😢

  • @LutWesonga
    @LutWesonga Год назад

    Uchungu uliniletea pressure na stroke,, alhadhulilah joel for this msg

  • @isikesamike
    @isikesamike 3 года назад +4

    Wow! @joelnanauka kiroho zaidi. Asante sana ndugu.

  • @leilajoshua8251
    @leilajoshua8251 Год назад

    Nashukuru nitasamehe ili nipone sasa,ucchungu umeharibu Hadi malengo yangu😭😭😭😭

  • @NasmaHamisi-fs8bq
    @NasmaHamisi-fs8bq Год назад

    Nmechelewa kuangalia lakin nmejifunza kitu Asante mungu akubariki kak

  • @VailethAmbokile-xb4ut
    @VailethAmbokile-xb4ut Год назад

    Asanteh kaka kwa somo zuri, hakika masomo yako yananibariki na kubadilisha Maisha yangu kwa kiasi kikubwa Sana, ubarikiwe sana

  • @AwadhAdam-j5f
    @AwadhAdam-j5f 7 месяцев назад

    kaka Joel umenitoa mbali sana nimesema leo nirudi kutoa shukran zangu za dhati hii video ilinipata nikiwa na maumivu makali sana lakin kupitia hapa nilipona kanisa ubarikiwe sana kaka mungu akupe uzima na afya bora uzidi kutufunza chukua mau yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Dimitry-cb5tb
    @Dimitry-cb5tb Год назад +1

    Kaka Asante kwa somo lako nilimenisaidaia mm niliachika na wanaume watatu zaidi huyu watatu aliniumiza sana maana familia ilinikataa na yeye tunapendana ikafikia wakati nikawa nateseka mpaka presha ata vidonda vya tumbo nashukuru kidogo nilivyosikiliza somo hili nimepata uponyaji

  • @frankbenandi8764
    @frankbenandi8764 3 года назад +1

    nimekuelewa joeli mi nakufatalia sanaaaa namoja yakitu kikubwa kwenye maisha yangu namuona mungu kupitia wew napata nguvu yakuinuka tena napitia wakati mugumu sanaaaa wakiisia nakibaya zaidi anae niumiza nimtu wangu wandani inauma sanaaaaaa 😭😭😭😭😭😭😭ila Imani yangu nainuka tena

  • @PaulinaSimtengu
    @PaulinaSimtengu 5 месяцев назад

    Nakushukuru sana kaka joel mungu akulinde na akupe maisha malefu

  • @luciadaud9298
    @luciadaud9298 Год назад

    Hua ninalia ndo napata uafadhali ila umenipa funzo asanta kaka nafwatilia sana vipindi vyako

  • @kasililamecksatano7302
    @kasililamecksatano7302 3 года назад +1

    Kaka nimekuelewa sana umenipa madini kweli moyo wangu unauchungu aise! Naamini nitapona nitaachilia uponyaji

  • @neemashirima6121
    @neemashirima6121 2 года назад

    Mungu nisaidie niondokane na hili Roho la uchungu.

  • @PaulMalyosi
    @PaulMalyosi Год назад

    Somo hili limenigusa San, niliwahi kuishi na uchungu ndan ya Moyo wangu lakin niliona kabisa sipaswi kuendelea kuishi haya maisha maana nilikosa kujiamin kuhusu mambo mbali mbali hasa mahusiano ila tunakosea ili tujifunze 😭😭

  • @salamaoman8133
    @salamaoman8133 2 года назад

    Asante sana kwa elimu mazuri mm nakufatilia sanaa nanapata faraja kwa maneno yako

  • @stellakins3770
    @stellakins3770 3 года назад

    Najitaidi sana kuondoa uchungu moyoni ..ila Leo Mungu nisaidie

  • @rashiasleiman4864
    @rashiasleiman4864 Год назад

    Nliumia sana na nimepata kama donda la moyo

  • @reginaldipeter2272
    @reginaldipeter2272 2 года назад

    Kweli nilipata uchungu Sana Baada ya Rafiki yangu kueleza udhaifu wangu kwa marafiki wake wengine lazima UCHUNGU uniachie IN JESUS NAME (Yohana 14:13-14)

  • @logasiabaltazary9424
    @logasiabaltazary9424 Год назад

    Kaka jeol I wish one day nikuone live tuongeee maana naona ,naelekea ukingoni mwangu , walau nikikaaa nikaongea yaliyo moyoni mwangu nitahisi faraja.

  • @mwl.michaelsainethmlowe2641
    @mwl.michaelsainethmlowe2641 3 года назад +1

    Uchungu unaharibu sana familia nyingi na unafanya watu kuishi kama watu wanaoishi pembezoni mwa mto Amazon
    Mwishwe ukiwa na uchungu unajisikia kufakufa tu kwa sababu unajikuta huna thamani
    Thanks bro

  • @saumumagembe2956
    @saumumagembe2956 2 года назад +1

    Daaah kuna watu mungu kawashusha kwa ajili ya watanzania.... Thanks Allah 🙏

  • @sarahmwangamila4441
    @sarahmwangamila4441 3 года назад +3

    Asante kwa somo ,hii hali inanitesa sana maisha mwangu!

  • @NeemarichardMarko
    @NeemarichardMarko Год назад

    Asantesana kwasomo zuri kiukweli uchungu umenitesa sana nakujiona sina thamani tena

  • @rahellongo9946
    @rahellongo9946 2 года назад

    Asantee kwelii kuna nguvu katika msamha

  • @emamkuyu4061
    @emamkuyu4061 3 года назад +1

    Barikiwa sana,Kama unajua yaliyo kwenye mioyo ya watu.Endelea kuponya watu,wote walionokosea ninawasamehe kuanzia sasa hata kama hawajaniomba msamaha.

  • @geraldinejoyce3861
    @geraldinejoyce3861 2 года назад

    Mungu akubariki sana bro J nataman nipate msaada vile naweza kuachilia na kusamehe kabsa

  • @FauuFabian-kk2cx
    @FauuFabian-kk2cx Год назад

    Nashukuru kaka nimekuw mtumwa Sasa nmepata elimu❣️❣️❣️❣️

  • @namnyakimollel6866
    @namnyakimollel6866 3 года назад

    Umenigusa 100% Niko hivyo kaka Joel naharibikiwa sana na Mara nyingi tu nitajifunza zaidi maana nimekuwa hivyo muda tu hadi Leo yamekuwa maisha YANGU vile

  • @yohanasimtenda748
    @yohanasimtenda748 3 года назад +3

    Hii ni huduma yakiroho kabisa, tunabarikiwa brother

  • @ramadhanalmashamza3458
    @ramadhanalmashamza3458 Год назад

    Asante sana kaka Mungu akubariki kwa kazi nzuri anayoifanya kwa hakika tunajifunza mambo mengi sana kutoka kwako

  • @salamaoman8133
    @salamaoman8133 2 года назад

    Asante kaka nimejifuza kitu kwenye somo hili nmefurahi

  • @richardgregory425
    @richardgregory425 2 года назад

    Uko sawa brother inauma hadi unaona huna haja yakuishi

  • @salamaoman8133
    @salamaoman8133 Год назад

    Asante sana kwa maneni mazuri yanatia faraja sanaa

  • @TumainiKileo-y2c
    @TumainiKileo-y2c Год назад

    Asante sana kaka ,nimeishi na uchungu muda mrefu Sana ,nimejitahidi kusamehe bado uchungu haukuisha,nimegundua kosa langu nikuendelea kumzungumzia aliyenikosea

  • @brendagray3281
    @brendagray3281 3 года назад +1

    Nimebarikiwa sana nasubiri siku ntakaporudi kushuhudia..uchungu umetesa maisha yangu sanaa

  • @angelomary5542
    @angelomary5542 4 месяца назад

    Umenifariji Sana kakangu ahsante

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 3 года назад +3

    Asante kwa somo zuri sana

  • @RaynardNdauka
    @RaynardNdauka 2 месяца назад

    Asante sana kakaangu nimejifunza kitu naamini nitapona😢

  • @badriabegu2469
    @badriabegu2469 3 года назад

    Natamani npate no yko Dr wallah😭😭

  • @FauuFabian
    @FauuFabian Год назад

    Mungu akubariki brother kw fundisho nzuri

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 3 года назад

    Mung nimwema nimekua nikisononeka mda mwingine ila sasa nsomba tu nisamehe ILI nipo BG kak joel 🙏🙏

  • @ngubwene
    @ngubwene 3 года назад +2

    Asante kuponya mioyo yetu Ubarikiwe

  • @maryjoseph439
    @maryjoseph439 2 года назад

    brother joel umenisaidia kwakiasi lkn natamani unisaidie zaidi mungu akubariki sana akuinue kwaviwango vingine

  • @miriamnawe1720
    @miriamnawe1720 2 года назад

    Asante Sana mch mungu azidi kukutumia zaidi Kila topik yako unayofundisha inagusa

  • @NadyaJuma
    @NadyaJuma 6 месяцев назад

    Umenigusa na Mimi maisha yangu ni yauchungu tu

  • @MercyJulius-e3h
    @MercyJulius-e3h Год назад

    Kwakweli nimefraishwa sana na kipindi chako kaka nateseka sana natamani nitoke kwenye hii hali

  • @edsonaminga8572
    @edsonaminga8572 3 года назад +2

    Healing is my passion.

  • @danmarieedson9790
    @danmarieedson9790 3 года назад +2

    Asante sana Joel daaa umenifungua sana akili yangu. uchungu, stress, vimekuwa shida sana katika maisha yangu na kuniletea vidonda vya tumbo vya kila siku visipo pona na kufikia hatua mbaya Sana shukran naendelea kufuatilia sana vipindi vyako🙏🙏🙏

  • @adelinakibejile4696
    @adelinakibejile4696 2 года назад

    Asanteee saaana Kaka Joel

  • @salamaoman8133
    @salamaoman8133 2 года назад

    Asante sana kaka maneno yako nimazuri sana zaidi ya sana yananipa furaha sana

  • @Leghosamedia.tz1204
    @Leghosamedia.tz1204 3 года назад +1

    Nimeikubal sana na imenigusa hii bro Joel, Asante kwa somo zuri Mungu akubariki

  • @berthelgeorge1137
    @berthelgeorge1137 2 года назад

    Kwanzia Leo sitokua mtumwa wa uchungu wangu

  • @assilaibra4563
    @assilaibra4563 3 года назад

    Shukran Sana, Inanisumbua Sana hali Hii. Yan Nikisikia Jina lake tu Napata Hasira, Uchungu Mpaka Nalia. Ni Jana tu Usiku Nilikua ktk hali Hiyo .

  • @JenniferKibaila
    @JenniferKibaila Год назад

    Nimejifuza kutengeneza kujiami leo

  • @MariaShemvuni
    @MariaShemvuni 5 месяцев назад

    Ahsantee nimefarjika sana na kuanzia Leo nasamehe

  • @mwajumahaji8283
    @mwajumahaji8283 3 года назад +2

    Asantee snaa kaka nimepona toka nimeanza kukufatilia asntee sana

    • @abelntobi382
      @abelntobi382 3 года назад

      ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html

  • @elizabethemanuel2122
    @elizabethemanuel2122 2 года назад

    Halihii yauchungu anayo rafiki yangu tumeachana kwasababu anauchungu nilikua nimekosea kidogo

  • @rachelmwasomola945
    @rachelmwasomola945 Год назад

    Mungu akubariki brother kwa fundisho zuri 🙏🙏

  • @rozinachao5256
    @rozinachao5256 3 года назад

    Asante nimewasamehe mungu nitie nguvu

  • @martinmaami5853
    @martinmaami5853 3 года назад +9

    Ahsante kwa somo zuri,,Naomba kujua ni namna gan naweza kumsamehe mtu ambae anakukosea au kukuumiza mara kwa mara na hakuna uwezekano wa kumuweka mbali na yeye?

    • @auntiemylee3157
      @auntiemylee3157 3 года назад +1

      Forgive but never forget the lesson u learned

  • @MonikaMduma
    @MonikaMduma 2 месяца назад

    Nina uchungu mtu aliyenitongoza tukakubalina ila kila tunachowasiliana mimi nayeye anamuambia, rafiki yangu na anajionyesha kama mimi ndio nampenda sana naumia mno😢😢

  • @hillarykelvin630
    @hillarykelvin630 3 года назад

    Asante Sana Kwa soma zuri binadamu tunatakiwa kujifunza kutokana na makosa

    • @abelntobi382
      @abelntobi382 3 года назад

      ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html

  • @yoramtango2470
    @yoramtango2470 3 года назад +1

    NI kweli Kaka ,asante kwa SoMo zuri na moyo wangu umepata amani nilivyosikia SoMo hili, MUNGU akupe hekima zaidi.

  • @fatmamwiru7574
    @fatmamwiru7574 3 года назад +3

    Natangaza msamaha kuanzia leo,Ndani ya siku hii ya Takatifu ya Ijumaa...NIMESAMEHE wote sina kinyongo na mtu...

    • @abelntobi382
      @abelntobi382 3 года назад

      ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html