ONDOA UCHUNGU NDANI YA MOYO - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 307

  • @jacklinedickson3104
    @jacklinedickson3104 3 года назад +20

    Wallah endelea tyu kutufarji kaka joeli mana nyoyo znatuvuja dam Allah atupe wepes tusjepata hata strock nnauchunguuu😭😭😭😭😭😭😭

    • @asyaasya3766
      @asyaasya3766 3 года назад

      Yatapita dear hata mi pia niliwai kupitia uchungu ila kwasasa alhamdulillah nilishasahau na nipo OK, hilo Kaka Joel ameongea ni kweli jisemeye tu kimoyomoyo ujiambie siwezi kuwa mtumwa wa huu uchungu taratibu utaskia unapata amani ndani ya moyo

    • @mwanakhamiskhamis3115
      @mwanakhamiskhamis3115 3 года назад

      Yaani tuko hatarini

    • @abelntobi382
      @abelntobi382 3 года назад

      ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html

    • @bernarderadi4410
      @bernarderadi4410 3 года назад

      Jackline Yesu kristo akutie nguvu

    • @vickie.gpeter1639
      @vickie.gpeter1639 Год назад

      Pole dear

  • @mariammaligwa8887
    @mariammaligwa8887 3 года назад +17

    Uchungu umeharibu maisha yangu nikajikuta nafanya Mambo bila kufikiria ikaua kila ndoto ndani yangu, Asante kwa SoMo zuri kaka

  • @user-bu7nu9tg2w
    @user-bu7nu9tg2w 7 дней назад

    Nakushukuru sana kaka joel mungu akulinde na akupe maisha malefu

  • @AlesiMzumbwe
    @AlesiMzumbwe Месяц назад +1

    Mafundisho mazuri sana

  • @MariaShemvuni
    @MariaShemvuni 9 дней назад

    Ahsantee nimefarjika sana na kuanzia Leo nasamehe

  • @rehemashayo1613
    @rehemashayo1613 11 месяцев назад +2

    Jamani mm namaumivu mpk leo nilidhulumiwa kila kitu baba angu alichoniachia lkn maneno yako yananifariji nakuombea maisha marefu

  • @NadyaJuma
    @NadyaJuma Месяц назад

    Umenigusa na Mimi maisha yangu ni yauchungu tu

  • @hawaamkubwa2020
    @hawaamkubwa2020 3 года назад +3

    Uchungu wangu mumewangu anatembea rafiki yangu nimeumia cna

    • @abelntobi382
      @abelntobi382 3 года назад

      ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html

  • @YunusMgunga
    @YunusMgunga 2 месяца назад +1

    Asante sana Joel mungu azidi kukupa afya njema ya roho na mwili.

  • @sharifakhamis1145
    @sharifakhamis1145 3 года назад +7

    kila nnaposkiliza clips zako ukweli najifunza mengi sana nafarijika sana kila unachokiongea kinanigusa ktk maisha yangu nakushkuru kwa mafunzo na faraja unazotupatia

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      Ameen Ameen Mungu Ni mwema sana

    • @aminaabdull7479
      @aminaabdull7479 3 года назад

      @@joelnanauka Kaka naomba namba yako tafadhali

  • @leonardsilago4221
    @leonardsilago4221 3 года назад +6

    Najivunia xana kuwa na mtanzania kama ww hakika utakikomboa hiki kizazi na vizazi vijavyo. MUNGU akubariki xana na akupe maisha marefu hapa duniani, Amen.

  • @hamidaa3886
    @hamidaa3886 3 года назад +6

    Ma Shaa Allah very good nitajifunza Asante saaaaana

    • @abelntobi382
      @abelntobi382 3 года назад

      ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html

  • @kimwanakitaka3607
    @kimwanakitaka3607 Год назад

    Asante kaka joel

  • @rachelmwasomola945
    @rachelmwasomola945 Год назад +1

    Nimewahi kumpoteza ndugu yangu wa karibu kuzaliwa akitoka yeye nafuata Mimi kuzaliwa(kaka yangu), mwaka 2018 binafsi nilikuwa nampenda Sanaa lakini siku napokea taarifa ya kifo chake mpaka Leo hii uchungu nilionao unanitesa Siwezi kata kuenjoy maisha kwasababu nahamisha maumivu niliyonayo Kila sehemu iwe kwa marafiki,ndugu wengine😢😢 kupitia fundisho hili nimechilia na nimekubali naanza upya Leo Mungu wa Mbinguni anisaidie

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Год назад

      Ameen, kila la kheri naamini Mungu atakuvusha.

  • @mwanakhamiskhamis3115
    @mwanakhamiskhamis3115 3 года назад +4

    Nimezeeka sanaa kabla ya wakati wangu kwa uchungu nilionao ambao unasababishwa na watu wakaribu ninaoishi nao. Sina furaha ya maisha. Wananidhulumu furaha yangu

    • @joycehaule4520
      @joycehaule4520 Год назад

      Pole sana jipange anza kuleta furaha moyoni mwako samehe

  • @hirdajacson8827
    @hirdajacson8827 Год назад

    Naamua ctakuwa na utumwa wa uchungu ndani ya moyo wangu hata iwaje citakuwa mtumwa mungu nishindie

  • @user-ji9xm1ln5g
    @user-ji9xm1ln5g Год назад

    Uko vizr sana jamaa ujumbe huu umeungza moyo wangu mpenz wangu anateseka sana kwa ttzo hlo

  • @mwanaidimsemo6321
    @mwanaidimsemo6321 3 года назад +2

    😓😓😓hii imeniingia Sana😓😓 nitajitahd niachie tu,, mungu nitetee na uniongoze kwenye hili🙏

  • @joyceamos7956
    @joyceamos7956 2 года назад +1

    Asante kaka joeli mm ni muathirika wa kuhifadhi uchungu na inanipelekea kutoishi vizuri na watu hata wengine wanahihukumu kua nawachukia lakini hapana ni moyo wangu umebeba mambo manzito nalia na mungu aniondolee hii hali inanichosha

  • @rahmashemukombo7097
    @rahmashemukombo7097 10 месяцев назад

    Uchungu umenifanya nipoteze uelekeo wa maisha yangu nashukuru kwa somo zuri

  • @juaupekeewako
    @juaupekeewako Год назад +2

    Sio rahisi Sana Joel,,,inahitaji kujitoa sadaka kamili,,pia itatupasa tujue our identities in spirit,,hapo ndipo uponyaji utapaikana vinginevo itakua Kama motivational tu kwasababu mazingira na maisha tuishiyo wengi yanasababisha uchungu uzidi kua mwingi zaidi,,,Asante Joel

  • @isikesamike
    @isikesamike 3 года назад +4

    Wow! @joelnanauka kiroho zaidi. Asante sana ndugu.

  • @JedidaNdutuu-ys3lx
    @JedidaNdutuu-ys3lx 5 месяцев назад +1

    Fundisho lako zuri Sana Mimi hio roho y uchungu imesumbua sana nilifikili n roho y rejection lkn umenisaidia nitawasamehe wote

  • @mwl.michaelsainethmlowe2641
    @mwl.michaelsainethmlowe2641 3 года назад +1

    Uchungu unaharibu sana familia nyingi na unafanya watu kuishi kama watu wanaoishi pembezoni mwa mto Amazon
    Mwishwe ukiwa na uchungu unajisikia kufakufa tu kwa sababu unajikuta huna thamani
    Thanks bro

  • @JumanneShingsha-ks4vb
    @JumanneShingsha-ks4vb Год назад

    Mungu akubark Dada cjaelewa kukoga ndo kufanya nin sahaman kwa hlo

  • @MarryMichael-lb8hq
    @MarryMichael-lb8hq Год назад

    Uchungu ndio kitu kinanitesa ila kuanzia leo nasamehe nakuachilia kwa moyo wangu huu uliopondeka naruhusu amani na furaha katika maisha yangu na muomba mungu anisaidie na kuniumbia moyo mpya nisahau yote yanayonitesa 🙏

  • @edsonaminga8572
    @edsonaminga8572 2 года назад +2

    Healing is my passion.

  • @mylovejosecharles4362
    @mylovejosecharles4362 10 месяцев назад

    asante kaka

  • @grace-neemabuninange-bujik9117
    @grace-neemabuninange-bujik9117 10 месяцев назад

    Amina

  • @ruthmsaki7107
    @ruthmsaki7107 Год назад

    Nimeachilia uchungu wew mmama utoke kwenye ufahamu wangu nimesamehee

  • @user-hf9fh6nk6h
    @user-hf9fh6nk6h 2 месяца назад

    kaka Joel umenitoa mbali sana nimesema leo nirudi kutoa shukran zangu za dhati hii video ilinipata nikiwa na maumivu makali sana lakin kupitia hapa nilipona kanisa ubarikiwe sana kaka mungu akupe uzima na afya bora uzidi kutufunza chukua mau yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 3 года назад +3

    Asante kwa somo zuri sana

  • @user-pu8zk6du1o
    @user-pu8zk6du1o Год назад

    Nimeamua Leo kusahau mausiano yangu yazamani Asante Sana Joel nauka

  • @wardaabdallah2383
    @wardaabdallah2383 Год назад

    Ahsante Emma wangu Kwa kunielekeza kaka huyu moyo wangu uliraruka sikuona njia,nimeumizwa mnooooo😭😭😭from now sitolia Tena,be blessed kaka joel

  • @yohanasimtenda748
    @yohanasimtenda748 3 года назад +3

    Hii ni huduma yakiroho kabisa, tunabarikiwa brother

  • @user-fe5yg4hv4d
    @user-fe5yg4hv4d 9 месяцев назад

    Asante sn kiongoz kiukweli napitia machungu makubwa baada ya watu wangu Wakaribu kutokunisapoti ktika mahusiano yangu pia wao ikawa ndio sababu yakuvunja mahusiano, dah yani sijui ata vp naweza kusaha maumivu hy

  • @Happinesabella3654
    @Happinesabella3654 11 месяцев назад

    MUNGU akutie nguvu hili SoMo lilikuwa kwa ajili yangu Mimi uchungu umenizeesha umenikondesha lakin neno lako limenipa mwanzo mpya mungu akupe maisha marefu na ufanikiwe zaidi

  • @nyamkamawanjara29
    @nyamkamawanjara29 3 года назад +3

    🙏asante kwa ujumbe mzuri let me nisikilize

  • @gtubgxuxj6906
    @gtubgxuxj6906 3 года назад

    Nasema kwel hal hiyo mi niko nayo tangu mwaka 2010mpaka sasa nimeshindwa kusamehe nakusahawu lakin umenifunza wacha nilifanyiye kazi nachukulu sana kwa somo

  • @martinmaami5853
    @martinmaami5853 3 года назад +9

    Ahsante kwa somo zuri,,Naomba kujua ni namna gan naweza kumsamehe mtu ambae anakukosea au kukuumiza mara kwa mara na hakuna uwezekano wa kumuweka mbali na yeye?

    • @auntiemylee3157
      @auntiemylee3157 3 года назад

      Forgive but never forget the lesson u learned

  • @Dimitry-cb5tb
    @Dimitry-cb5tb Год назад

    Kaka Asante kwa somo lako nilimenisaidaia mm niliachika na wanaume watatu zaidi huyu watatu aliniumiza sana maana familia ilinikataa na yeye tunapendana ikafikia wakati nikawa nateseka mpaka presha ata vidonda vya tumbo nashukuru kidogo nilivyosikiliza somo hili nimepata uponyaji

  • @frankbenandi8764
    @frankbenandi8764 2 года назад +1

    nimekuelewa joeli mi nakufatalia sanaaaa namoja yakitu kikubwa kwenye maisha yangu namuona mungu kupitia wew napata nguvu yakuinuka tena napitia wakati mugumu sanaaaa wakiisia nakibaya zaidi anae niumiza nimtu wangu wandani inauma sanaaaaaa 😭😭😭😭😭😭😭ila Imani yangu nainuka tena

  • @ngubwene
    @ngubwene 3 года назад +2

    Asante kuponya mioyo yetu Ubarikiwe

  • @saumumagembe2956
    @saumumagembe2956 2 года назад +1

    Daaah kuna watu mungu kawashusha kwa ajili ya watanzania.... Thanks Allah 🙏

  • @stellakins3770
    @stellakins3770 3 года назад

    Najitaidi sana kuondoa uchungu moyoni ..ila Leo Mungu nisaidie

  • @user-rp1jr3jt5q
    @user-rp1jr3jt5q Год назад

    Mimi niliwahi kupata uchungu uliosababishwa na mwalimu.
    Asante sana ubarikiwe!

  • @leilajoshua8251
    @leilajoshua8251 Год назад

    Nashukuru nitasamehe ili nipone sasa,ucchungu umeharibu Hadi malengo yangu😭😭😭😭

  • @NeemarichardMarko
    @NeemarichardMarko 11 месяцев назад

    Asantesana kwasomo zuri kiukweli uchungu umenitesa sana nakujiona sina thamani tena

  • @user-mx2tx5eg9x
    @user-mx2tx5eg9x Год назад

    Joel unasubiri nini kua mchungaji? Najua wewe ni "inspirational speaker, You can be both!

  • @salamaoman8133
    @salamaoman8133 2 года назад

    Asante sana kwa elimu mazuri mm nakufatilia sanaa nanapata faraja kwa maneno yako

  • @user-sd7nf1eu5w
    @user-sd7nf1eu5w Год назад

    Uchungu uliniletea pressure na stroke,, alhadhulilah joel for this msg

  • @dattysamia3184
    @dattysamia3184 Год назад

    Kwakweli nakalibia kufunga wiki moja toka nianze kuangali video zangu ani nilikua na mambo mengi mengi mno yanayomisumbua lakn toka nimeaanxa kukufatilia matatizo yoote yamekwisha nakushukuru sanaaa kaka joel

  • @luciadaud9298
    @luciadaud9298 Год назад

    Hua ninalia ndo napata uafadhali ila umenipa funzo asanta kaka nafwatilia sana vipindi vyako

  • @neemashirima6121
    @neemashirima6121 2 года назад

    Mungu nisaidie niondokane na hili Roho la uchungu.

  • @kasililamecksatano7302
    @kasililamecksatano7302 3 года назад +1

    Kaka nimekuelewa sana umenipa madini kweli moyo wangu unauchungu aise! Naamini nitapona nitaachilia uponyaji

  • @lovenesswilson4263
    @lovenesswilson4263 2 года назад

    ASANTE🙏

  • @VailethAmbokile-xb4ut
    @VailethAmbokile-xb4ut Год назад

    Asanteh kaka kwa somo zuri, hakika masomo yako yananibariki na kubadilisha Maisha yangu kwa kiasi kikubwa Sana, ubarikiwe sana

  • @reginaldipeter2272
    @reginaldipeter2272 2 года назад

    Kweli nilipata uchungu Sana Baada ya Rafiki yangu kueleza udhaifu wangu kwa marafiki wake wengine lazima UCHUNGU uniachie IN JESUS NAME (Yohana 14:13-14)

  • @FauuFabian-kk2cx
    @FauuFabian-kk2cx Год назад

    Nashukuru kaka nimekuw mtumwa Sasa nmepata elimu❣️❣️❣️❣️

  • @fatmamwiru7574
    @fatmamwiru7574 3 года назад +3

    Natangaza msamaha kuanzia leo,Ndani ya siku hii ya Takatifu ya Ijumaa...NIMESAMEHE wote sina kinyongo na mtu...

    • @abelntobi382
      @abelntobi382 3 года назад

      ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html

  • @NasmaHamisi-fs8bq
    @NasmaHamisi-fs8bq Год назад

    Nmechelewa kuangalia lakin nmejifunza kitu Asante mungu akubariki kak

  • @sarahmwangamila4441
    @sarahmwangamila4441 3 года назад +3

    Asante kwa somo ,hii hali inanitesa sana maisha mwangu!

  • @rashiasleiman4864
    @rashiasleiman4864 11 месяцев назад

    Nliumia sana na nimepata kama donda la moyo

  • @mwajumahaji8283
    @mwajumahaji8283 3 года назад +2

    Asantee snaa kaka nimepona toka nimeanza kukufatilia asntee sana

    • @abelntobi382
      @abelntobi382 3 года назад

      ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html

  • @logasiabaltazary9424
    @logasiabaltazary9424 Год назад

    Kaka jeol I wish one day nikuone live tuongeee maana naona ,naelekea ukingoni mwangu , walau nikikaaa nikaongea yaliyo moyoni mwangu nitahisi faraja.

  • @doricekadushi3924
    @doricekadushi3924 Год назад

    Uchungu ulinifanya niwaze only solution ni kufa, maana nlifanya vyote hata kutanga msamaha kwa alienisababishia uchungu lakin bado haikusaidia
    Nashukuru Mungu ananipigania ipo siku nitakua sawa na nitafurahia maisha yangu tena

  • @emamkuyu4061
    @emamkuyu4061 3 года назад +1

    Barikiwa sana,Kama unajua yaliyo kwenye mioyo ya watu.Endelea kuponya watu,wote walionokosea ninawasamehe kuanzia sasa hata kama hawajaniomba msamaha.

  • @salamaoman8133
    @salamaoman8133 Год назад

    Asante sana kwa maneni mazuri yanatia faraja sanaa

  • @rahellongo9946
    @rahellongo9946 2 года назад

    Asantee kwelii kuna nguvu katika msamha

  • @namnyakimollel6866
    @namnyakimollel6866 3 года назад

    Umenigusa 100% Niko hivyo kaka Joel naharibikiwa sana na Mara nyingi tu nitajifunza zaidi maana nimekuwa hivyo muda tu hadi Leo yamekuwa maisha YANGU vile

  • @ibrahimAhmed-zq5hj
    @ibrahimAhmed-zq5hj 3 года назад +4

    From Kenya God bless you brother 🙏 🙏❣️

  • @brendagray3281
    @brendagray3281 2 года назад +1

    Nimebarikiwa sana nasubiri siku ntakaporudi kushuhudia..uchungu umetesa maisha yangu sanaa

  • @berthelgeorge1137
    @berthelgeorge1137 Год назад

    Kwanzia Leo sitokua mtumwa wa uchungu wangu

  • @user-ko1dh8zf7p
    @user-ko1dh8zf7p Год назад

    Mimi nilikuwa narafiki yangu nilimpenda sana kumbe alikuwa wa kunpastress kazi yake nikunichunguza nakunisema vibaya na familia yake na kuniaibisha kila mahali😢😢.Sahi nimeshikwa nahasira na uchungu ndani yangu nimechukia kila mtu hapa nukiona mtu naonanikama nawakamoto ama machozi yanitiririke😢😢.hii Sasa nikiwa muda wa wiki mbili😢😢

  • @ramadhanalmashamza3458
    @ramadhanalmashamza3458 Год назад

    Asante sana kaka Mungu akubariki kwa kazi nzuri anayoifanya kwa hakika tunajifunza mambo mengi sana kutoka kwako

  • @mariammdeme4617
    @mariammdeme4617 2 года назад

    Asante sana

  • @leonardsimoni804
    @leonardsimoni804 Год назад

    🤝🤝 amen

  • @waterforlife9356
    @waterforlife9356 Год назад


    Thank u very much

  • @richardgregory425
    @richardgregory425 2 года назад

    Uko sawa brother inauma hadi unaona huna haja yakuishi

  • @amarislam1589
    @amarislam1589 3 года назад +1

    Somo zuri assnte

  • @geraldinejoyce3861
    @geraldinejoyce3861 Год назад

    Mungu akubariki sana bro J nataman nipate msaada vile naweza kuachilia na kusamehe kabsa

  • @paschaltimotheo5441
    @paschaltimotheo5441 3 года назад +1

    Nimeikubal sana na imenigusa hii bro Joel, Asante kwa somo zuri Mungu akubariki

  • @badriabegu2469
    @badriabegu2469 3 года назад

    Natamani npate no yko Dr wallah😭😭

  • @carloslevina1610
    @carloslevina1610 2 года назад

    Uchungu nilionao ni wazi nimeumimina moyo wangu

  • @elizabethemanuel2122
    @elizabethemanuel2122 2 года назад

    Halihii yauchungu anayo rafiki yangu tumeachana kwasababu anauchungu nilikua nimekosea kidogo

  • @jenifamtima9325
    @jenifamtima9325 3 года назад +1

    Yaani! Niko nayo hivi sasa hali ya uchungu , na nishasamehe lakini linakuja kombora jipya zaidi ya mwanzo ni shidaaaa! 😢

    • @nasramohamedi4095
      @nasramohamedi4095 2 года назад

      Ndo nilikuwa nataka kuuliza hivyo hivyo unasamehe Kisha yanajirudia haya tunafanyaje???

    • @doricekadushi3924
      @doricekadushi3924 Год назад

      Mimi pia napitia hio hali

  • @PaulMalyosi
    @PaulMalyosi Год назад

    Somo hili limenigusa San, niliwahi kuishi na uchungu ndan ya Moyo wangu lakin niliona kabisa sipaswi kuendelea kuishi haya maisha maana nilikosa kujiamin kuhusu mambo mbali mbali hasa mahusiano ila tunakosea ili tujifunze 😭😭

  • @user-qz6cg3hr4w
    @user-qz6cg3hr4w 5 месяцев назад

    Asante ila kila nikijitahid kuachilia lakin uchungu unakuja nifanyeje maana nateseka sana

  • @nungularais7253
    @nungularais7253 3 года назад +1

    Safi Sana kiongoz haya ndio maisha yanatutesa watu wengi

  • @gracembwambo591
    @gracembwambo591 10 месяцев назад

    Mimi kwakweli halo hii ninayo ila naomba sana mungu wangu anirekebishe

  • @user-rb8yh2xp8w
    @user-rb8yh2xp8w 8 месяцев назад

    Mungu akubariki brother kw fundisho nzuri

  • @esterdaniel2860
    @esterdaniel2860 3 года назад

    Asante Sana Kwa soma zuri binadamu tunatakiwa kujifunza kutokana na makosa

    • @abelntobi382
      @abelntobi382 3 года назад

      ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html

  • @salamaoman8133
    @salamaoman8133 Год назад

    Asante kaka nimejifuza kitu kwenye somo hili nmefurahi

  • @user-xk6st3zn6e
    @user-xk6st3zn6e Год назад

    Kwakweli nimefraishwa sana na kipindi chako kaka nateseka sana natamani nitoke kwenye hii hali

  • @fionathadei39
    @fionathadei39 3 года назад

    Nimekukubali yote yapo katika maisha yangu.ata sasa nimeumizwa nakumbuka uchungu wa nyuma.

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 3 года назад

    Mung nimwema nimekua nikisononeka mda mwingine ila sasa nsomba tu nisamehe ILI nipo BG kak joel 🙏🙏

  • @user-qh2ur7cy8d
    @user-qh2ur7cy8d 11 месяцев назад

    Nimejifuza kutengeneza kujiami leo

  • @maryjoseph439
    @maryjoseph439 2 года назад

    brother joel umenisaidia kwakiasi lkn natamani unisaidie zaidi mungu akubariki sana akuinue kwaviwango vingine

  • @rachelmwasomola945
    @rachelmwasomola945 Год назад

    Mungu akubariki brother kwa fundisho zuri 🙏🙏

  • @itikagodfrey3581
    @itikagodfrey3581 3 года назад +2

    Asante sana brother,somo limekuja kwa wakati!!!

    • @abelntobi382
      @abelntobi382 3 года назад

      ruclips.net/video/BaTrBKutq7Y/видео.html