Sababu hizi ndizo humfanya mwanamke kuchepuka - Dr Chris Mauki.
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Kiwango cha wanawake kukosa uaminifu kwenye ndoa zao kinaongezeka,leo nimekuletea sababu saba (7) kwanini wanawake wanachepuka:
Unaweza kunifuatilia katika mitandao yangu ya kijamii
Like my Facebook: / chrismauki
Follow my Instagram: / chrismauki_
Subscribe my RUclips: / @chrismauki1
#DrChrisMauki#Mwanamke#Kuchepuka.
Dr Mauki upooo correct kabisaaaaaa yaaniii unadarubini ya kujua ukweli wa mambo . Kwa hili nimekupigia salute wewe ni Dr kweli
Wewe ni zaidi ya mwalimu kwangu na ni mwanasaikolojia bora zaidi, sijutii kukufuatilia. Zidi kubarikiwa
Yupo sahihi kikubwa ni kuondoka kwenda kuanza upya sio ujinga maisha yenyewe mafupi
Kuna wanaume pasua kichwa dr! Unakuta unajitahidi kushughulikia hilo tatizo ili usifikie huko lkn wao wanazidisha makombora,wnakuwa zaidi ya mbogo au faru john. Inaumiza sana hasa unapojaribu hata kukaa nae na kuongea nae kwa upendo lkn unakosa tension na kukuona takataka. Nitakutafuta.
Kwakweli
Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html
Ni kweli kabisa mwanamke anahitaji vitu vidogo sana kupendwa kuthaminiwa na kusikilizwa tu hapo hawezi kuchepuka.
Wengine awajielewi 😅wanakua km wapo jeshini muda wote
Mh kabsa mwanamke anahitaji kithaminiwa kusikiliza na kitunzwa 2
Mimi mwenyewe hapa natamani hata kuchepuka labda nitapunguza stres
😂😂😂mtu uelewi ufanye nini hii umbwa ndio mana inauliwa
Anapenda sana marafiki zake pamoja na kazi yake. Hana muda na mimi kabisa jamani nina miaka 12 nalia tu
Ah ndo walivo dear
Unaongea vi2 venye uhalisia Doctor Hongera sana
Mwanasaikolojia bora zaidi kwangu ubarikiwe
Sana,huyu kaka abarikiwe
Kweli Doctor kuchepuka haisadii kitu nakupa Big up 💯 Doctor Chris Mauki
Umeongea kweli kabisa doctor
💯 yote hayo 7 yaan ananifanyia mume wangu. Ilibidi Tu nianzage kuchepuka na haikua kwa kupenda. Kwasasa angalau nina kafuraha flan HV amazing Kumbe sikukosea
Dah .
😀😀😀😀
🤦🤦🤦
Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html
Umenifurahisha maana na mm kuna wakati nawaza kuchepuka kwa hali ninayopitia ila moyo unasita lakini moyo wangu unavuja damu jamani nateseka mpaka sasa mwanaume nimemchukia kabisa.
❤DOC you are a real marriage councillor for sure🇰🇪
Mungu akubariki sana...Dr,mwl.mchg...wanaume ..wanasumbua sana..
Una date na wanaume wangapi kwani mpk useme "wanasumbua?"
Dr..umeongea point on point.....Asnte nmejifunza sanaaa
Dr uko sahihi lakini kiukweli wapo wanawake wengi hawaridhiki kiukweli Mimi nimechokaaaa moyo wangu bhana unajitahidi sana lakini unajikuta unatwanga maji kwenye kinu kwasasa mungu nimemuachia jukumu hilo lakupata mtu sahihi kwa maisha yangu
Sahihi kabisa 💪
Fact😢
Intimacy upweke na kupata pumziko ndio tabu ktk ndoa wanaume wamejisahau . Ngoja wasaidiwe kukumbushwa na michepuko ya wake zao
Umetisha ubarikiwe kweli wewe ni tiba ya ndoa tuponye baba
Asante Dr unaongea ukwel kabisa yanatokea sanaa kwenyemahusiano
Hiyo ya sita Dr haridhishwi, hafikishwi kileleni
Yan ni kweli kabisa, Mungu akubariki
Wajina 🌹
Kongole Dr kwa somo Hili! Its really helpfully to me
Vkg yoea
Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html
Ukweli kabisaa....asante Dr
Asante sana
Kuna wanawake wengine wepesi kutongozeka( hawajui kukataa) wako wengi sn hata sisi wanaume huwa tuna washangaa
Kabisa kukataaa hawawezi
Daah! Kunawanaume wanaoteseka na mapenz kweli jamani! Hongera zake uyo dada.
Intimacy Dr hiii aswaaaa ndio kubwa kuliko hawa watu wakishaoa wanajisahau kabsa hata kutoka na wewe ni ishu, na ukimuuliza anasema majukumu, ndani pia shida ukisema anakwambia mazingira
Hii ni sababu kubwa sana🤝
Somo zuri sana
Somo zuri dr
Dr nikweli kabisaaaa jmn daaaaaa SoMo zuri sna
Uko na kipaji Cha kipekee kutoka kwa Mungu
Mm hapa hata.zawadi sijawahi pewa 😢 mpenzi.wangu hata akiwa kazi hutajua ila akiwa na shida anakutafuta
Hapo kwa distance ukweli mtupu
Uko vizuri Dr mauki
SOMO NZURI SANA DR.
Dr wanawake wengi kwa ujumla huwaga hawathamini mwanamme au mume kipindi anawajali sana,matokeyo hukuona wewe ni zuzu,mjinga umoja,wengi wa wanawake wala hawajuwi wanataka nini exactly
Salute
Kweli kabisa dr
Yah it's true,mwanamke ni maneno matamu na vijizawadi vidogo vidogo
Asanteee Sanaa doctor mungu akubarik
Asante sana 🤔
Wewe ni mwalimu wangu bora mpaka sasa
Nashkuru sana
Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html
Sababu ya mwanamke kuchepuka wanaume wengi hawafikishi wake zao kileleni.hili ni tatizo kubwa kwa wamama wengi wamekuwa wakilalamika sana.dokta.
For sure..
Nice lesson congratulations doctor I real appreciate
100% true
Safi tunashukulu
Mimi ulivyosema kuishi na mwanaume ambaye si sahihi katika maisha mume wangu anavyo vyote na akikupa ela anakupangia na anakuhuliza ela niliyokupa ujabakisha chenji na huwa anaweka mipak kweny sm yake pia kunitimizia mahitaji yangu mpaka ugovi na nimechoka na nimepata mwanaume anayenijali naomba ushauli nifanyeje na huyu niliyempata ananikizi matumizi madogo madogo na anavitu vyote anakizi mahitaji yote nifanyejee
mtego uho mwache mmeo utaona utakavyo juta😂
Mhu
Point
Asante Dr umenigusa sana
Daa ili somo nimelielewa sana yani kama umeniongelea mimi kwakweli.
Yaaan haya ndo mahusiano yangu kabisa nataman kulipza kisasi Ila nashindwa naona kbs ntakosa Aman kbs,, Ila nikiona nitashindwa kbs ntacheet tu hata Mungu atanisamehe cwez kumvumilia mtu anacheet afu mm ndan hanigus😏😏😏
Pore my dear,ila usishindane namwanaume muombee tu mumeo,sababu ukisema uchit na wewe itakufanya umzarau mwanaume wko,huko njee kunawanaume wanajua kubembereza mwanamke mpaka utajiuliza nikwanini ulicherewa kutoka njee,ushauli wng muombee tu
Pamoja Sana my dia Mungu atusaidie tu ss wanawake
@@dapriccy3574 upo wapi dada angu nikuongezee ushauri mzuri zaidi hakika utaishi kwa furaha nitumie namba yako Tushauliane?
Asant doctor kwa ushauli wako ubalikiwe sana 🙏🙏
Kweli kabisaa docta mimi nimeshindwa kabisa sababu yaumbali mpaka tumeacana
Utalud
Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html
Kweli kabisa
Woow
Kiukweli i hate my women until this time i dont know what to do Dk but my heart is Broken
Fact Dr.i need to talk to you
Ur my teacher for sure thanks dr
Distance imeniharibia maisha yangu nibora nibaki masikini kuliko distance tena najuta sana
Kwa nn imekuharibiaa Maisha yako distance!??
Nkweli hii imesababisha mume kutafuta mwanamke mwingine hadi najuta kilichonifanya nisafiri nje ya nchi
Kabsaa kumbe tupo wngi distance imeunguza vision zte tulokua nazo
@@aminaismail4221 pia uko nje ya nchi Kuna wanaume mm pia niko nje ya nchi waume tele kama anakupenda hangetafuta pia ww watafuta
@@aminaismail4221 usijute hata kama ungekuwa hapo angetafuta tuu shukuru mungu uko nje tafuta pesa ujejenge inshallah
Solution ndio kila kitu
Yote ya kweli
👍dr
Kisasi dah
Asante chris nakutegemea sana ushauli wako mala kadhaa unanigusa
Umesema ukweli
Hakikaa
7bu zte kwel kbs jmn aswah kwang,csemei wengine lkn ila kwang we nimwanasaikolojia bora zaid
Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html
Hawa watu wakishaoa tunapewa hadi kashfa humo ndani unageuka huna thamani tena hata ufanye nini!
Mhmm kweli
Hayo Ni wamawzo yako tu Kama umeoa la hivyo Ni la hivyo tu.
Wap onyesha upendo uone
Yani mm sielewi haya maisha
👌
Kweli kabisa doctor 🎤💉💉🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨⚒️⚒️
Pongezi ila tendo hili haliwezi kufanywa na mmoju tu bali lazima mume na mke
wote washiriki so wote lawama KWAOOO
Tunaomba utuletee sababu za mwanamume kuchepuka
Hawana sababu ni hulka yao tu
Wanaune kuchepuka sababu tunafanya mazoezi ili tusidhalilike kwenye mechi 😀😀😀
Tuna tamaa natural ila hua sio kwamba hutuwapendi wake zetu au wapenzi wetu
Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html
Mwanaume hana sababu kwao kuchepuka nikawaida
Umenifunza mengi na kuifanya ndoa yangu iimarike
Vipi kuusu kutomridhisha kitandani..Hatujaona iyo
Kabisa nahisi amesahau bora tumkumbushe.
iyo nayo sababu
Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html
Umenichekesha point muhimu amesahau
😢😢😢😢
🙏🙏🙏
Ok km wanakosa wanachokitaka na hawapati ikapelekea kuchepuka je ni dhambi?
Umeongea ukweli kabisa
Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html
Nahitaji uzungumze na kijana wangu kabla ya kuoa aje wapi ili tujue gharama
Hi tch by Mr nindi
Iyo sababu ya 5 ishawai nitokea
Wewe unajua Malaya uwaa arithiki ataumupe kilakitu unachao
Docter yaani kwangu mimi umelenga mule mule
yaani unayoongea nikweli
Kinachotesa ni namba 1,4 na 5 kwangu ni shida tu naumia
Hata la kusema sina
Kwa kweli
😭😭😭😭😭😭😭😭
Hana muda hata wa kufanya mapenzi na mimi.
Hivi mwanaume unakosaje nafasi Kwa mtu wako? yaani anakunyima au?
Kunatatizo hapo tuu jichunguze wewe kwa Nini akunyime
Doctor nashukuru Sana hii Hari imenipata mm Sasa nimiaka Kama miwili Sina hamu ya tendo la ndoa Wala Ute Ute kwangu hakuna nisaidie nifanyeje?
Dah😢ni mimi kbs
sauti imetosha nadhani wamesikia
Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html
0
KUANZIA 10:34 - 10:43 NDIO PENYEWE, KUCHEPUKA NI MAAMUZI BINAFSI SIO KOSA LA MWENZIO, UKISHAKUWA MTU MZIMA NI JUKUMU LAKO KUWEKA WAZI MAPUNGUFU NA NAMNA YA KUYAJENGA. KWANI UKISHACHEPUKA KINABADILIKA KIPI...?
Amani ya moyo
Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html
kabisa nakubaliana na wewe kwa nini mtu asiseme mapungufu au makosa ujirekebishe unaamua tu kuchepuka huo ni upungufu wa hekima na akili, tamaa tu hakuna kingine ila ndo wajue ipo siku ya hesabu mbele za Muumba
@@akidasalim3859 Ni kweli. Ila unaitwa utatuzi wa msimu kwa tatizo la milele.
@@bintiwayesu2226 Naam siku ya mwisho ni nzito, na kama kakubali kuchepuka na wwe, hata na mwingine pia anaweza, tendo la ndoa kama chakula na tumbo ukiwa na njaa unakula chochote na popote ukishashiba ndio unaamka. Hakuna njia ngumu kupita katika maisha ya mwanadamu zaidi ya kupita kwenye njia ya hekima na kufikiri kabla ya matendo, ila maisha ni machaguzi kila mtu atachagua lake na kulijibia wakati utakapofika.
Haya ndio matatizo yananfanya n miliki fb pg kama zote nkimuona kageuka barafu ya California nafunga hilo pg naenda kwingine kuchangamshwa na wanaojua maana ya penzi ctaki stress mm mscheww unampa mtu muda wako wote yuanza ku pretend kama kichanga n vita yuataka au snobing mfyuuu
4/" nikweli kabisaa nimesha mwambia wangu lakini hakunijibu chochote
Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html
Kaka nataka kupata link ya clip ambayo ulitoa ufafanuzi juu ya why kuchepuka kwa mwanamke kuna umiza zaidi ya mwanaume
🔨🔨🛠️🛠️
Asante sana...lakini kama unajaribu kumwelezea unafurahi akikufanyia hivi na vile but hafanyi.Utasaidikaje
Unaweza kushughulikia tatizo na lisitatuke
Sababu 7 zote sijaona inayohusiana na kupafom vizur kumbe ni vitu vidogo tu
Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html
Mi mwenyewe nashangaa wakati hii ndo mimi nimeshindwa kabisa na tuko mbalimbali wala umbali kwangu sio tatizo ila tendo ndo shida.