Sababu hizi ndizo humfanya mwanamke kuchepuka - Dr Chris Mauki.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Kiwango cha wanawake kukosa uaminifu kwenye ndoa zao kinaongezeka,leo nimekuletea sababu saba (7) kwanini wanawake wanachepuka:
    Unaweza kunifuatilia katika mitandao yangu ya kijamii
    Like my Facebook: / chrismauki
    Follow my Instagram: / chrismauki_
    Subscribe my RUclips: / @chrismauki1
    #DrChrisMauki#Mwanamke#Kuchepuka.

Комментарии • 174

  • @judithmkiramweni4137
    @judithmkiramweni4137 Год назад +3

    Dr Mauki upooo correct kabisaaaaaa yaaniii unadarubini ya kujua ukweli wa mambo . Kwa hili nimekupigia salute wewe ni Dr kweli

  • @stellahmelkiony8890
    @stellahmelkiony8890 4 года назад +9

    Wewe ni zaidi ya mwalimu kwangu na ni mwanasaikolojia bora zaidi, sijutii kukufuatilia. Zidi kubarikiwa

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha 4 месяца назад

      Yupo sahihi kikubwa ni kuondoka kwenda kuanza upya sio ujinga maisha yenyewe mafupi

  • @hureemmunir8112
    @hureemmunir8112 4 года назад +9

    Kuna wanaume pasua kichwa dr! Unakuta unajitahidi kushughulikia hilo tatizo ili usifikie huko lkn wao wanazidisha makombora,wnakuwa zaidi ya mbogo au faru john. Inaumiza sana hasa unapojaribu hata kukaa nae na kuongea nae kwa upendo lkn unakosa tension na kukuona takataka. Nitakutafuta.

  • @rosenaadolfu99
    @rosenaadolfu99 3 года назад +11

    Ni kweli kabisa mwanamke anahitaji vitu vidogo sana kupendwa kuthaminiwa na kusikilizwa tu hapo hawezi kuchepuka.

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha 4 месяца назад

      Wengine awajielewi 😅wanakua km wapo jeshini muda wote

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha Месяц назад

      Mh kabsa mwanamke anahitaji kithaminiwa kusikiliza na kitunzwa 2

  • @mosesfrancis3946
    @mosesfrancis3946 3 года назад +7

    Mimi mwenyewe hapa natamani hata kuchepuka labda nitapunguza stres

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha 4 месяца назад

      😂😂😂mtu uelewi ufanye nini hii umbwa ndio mana inauliwa

  • @mosesfrancis3946
    @mosesfrancis3946 3 года назад +3

    Anapenda sana marafiki zake pamoja na kazi yake. Hana muda na mimi kabisa jamani nina miaka 12 nalia tu

  • @princessrobby9787
    @princessrobby9787 3 года назад +3

    Unaongea vi2 venye uhalisia Doctor Hongera sana

  • @rehemajoseph1352
    @rehemajoseph1352 4 года назад +6

    Mwanasaikolojia bora zaidi kwangu ubarikiwe

  • @pilikipengele963
    @pilikipengele963 11 месяцев назад

    Kweli Doctor kuchepuka haisadii kitu nakupa Big up 💯 Doctor Chris Mauki

  • @fadhillshineni8413
    @fadhillshineni8413 4 года назад +4

    Umeongea kweli kabisa doctor

  • @raiamwema1863
    @raiamwema1863 4 года назад +4

    💯 yote hayo 7 yaan ananifanyia mume wangu. Ilibidi Tu nianzage kuchepuka na haikua kwa kupenda. Kwasasa angalau nina kafuraha flan HV amazing Kumbe sikukosea

    • @hassaniothumani5501
      @hassaniothumani5501 4 года назад

      Dah .

    • @franshyera8970
      @franshyera8970 4 года назад

      😀😀😀😀

    • @lydianyanjera9385
      @lydianyanjera9385 4 года назад

      🤦🤦🤦

    • @tiktokseriescompilation5030
      @tiktokseriescompilation5030 4 года назад

      Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html

    • @rosenaadolfu99
      @rosenaadolfu99 3 года назад

      Umenifurahisha maana na mm kuna wakati nawaza kuchepuka kwa hali ninayopitia ila moyo unasita lakini moyo wangu unavuja damu jamani nateseka mpaka sasa mwanaume nimemchukia kabisa.

  • @christophersunguti8957
    @christophersunguti8957 Год назад

    ❤DOC you are a real marriage councillor for sure🇰🇪

  • @robinahumphrey9725
    @robinahumphrey9725 3 года назад +1

    Mungu akubariki sana...Dr,mwl.mchg...wanaume ..wanasumbua sana..

    • @isikesamike
      @isikesamike 2 года назад

      Una date na wanaume wangapi kwani mpk useme "wanasumbua?"

  • @tausihasheem5051
    @tausihasheem5051 4 года назад +1

    Dr..umeongea point on point.....Asnte nmejifunza sanaaa

  • @husseinhassan7208
    @husseinhassan7208 3 года назад

    Dr uko sahihi lakini kiukweli wapo wanawake wengi hawaridhiki kiukweli Mimi nimechokaaaa moyo wangu bhana unajitahidi sana lakini unajikuta unatwanga maji kwenye kinu kwasasa mungu nimemuachia jukumu hilo lakupata mtu sahihi kwa maisha yangu

  • @monicasongolo5805
    @monicasongolo5805 4 месяца назад

    Sahihi kabisa 💪

  • @saraphinasahani5104
    @saraphinasahani5104 Год назад +1

    Fact😢

  • @judithmkiramweni4137
    @judithmkiramweni4137 11 месяцев назад +1

    Intimacy upweke na kupata pumziko ndio tabu ktk ndoa wanaume wamejisahau . Ngoja wasaidiwe kukumbushwa na michepuko ya wake zao

  • @floraamando3470
    @floraamando3470 3 года назад

    Umetisha ubarikiwe kweli wewe ni tiba ya ndoa tuponye baba

  • @agnesmpangile6959
    @agnesmpangile6959 3 года назад

    Asante Dr unaongea ukwel kabisa yanatokea sanaa kwenyemahusiano

  • @akilimalimali253
    @akilimalimali253 2 года назад

    Hiyo ya sita Dr haridhishwi, hafikishwi kileleni

  • @rosetagaye5731
    @rosetagaye5731 4 года назад +2

    Yan ni kweli kabisa, Mungu akubariki

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin9302 4 года назад +3

    Kongole Dr kwa somo Hili! Its really helpfully to me

  • @rodahmuta7791
    @rodahmuta7791 4 года назад +1

    Ukweli kabisaa....asante Dr

  • @purityrehema543
    @purityrehema543 2 года назад

    Asante sana

  • @deusdeodavid5360
    @deusdeodavid5360 4 года назад +7

    Kuna wanawake wengine wepesi kutongozeka( hawajui kukataa) wako wengi sn hata sisi wanaume huwa tuna washangaa

    • @husseinhassan7208
      @husseinhassan7208 3 года назад

      Kabisa kukataaa hawawezi

    • @rehemagerald4151
      @rehemagerald4151 Год назад

      Daah! Kunawanaume wanaoteseka na mapenz kweli jamani! Hongera zake uyo dada.

  • @julianamgoha2357
    @julianamgoha2357 3 года назад +1

    Intimacy Dr hiii aswaaaa ndio kubwa kuliko hawa watu wakishaoa wanajisahau kabsa hata kutoka na wewe ni ishu, na ukimuuliza anasema majukumu, ndani pia shida ukisema anakwambia mazingira

  • @kelethsamwel9042
    @kelethsamwel9042 4 года назад +2

    Somo zuri sana

  • @joharikisendi7140
    @joharikisendi7140 Год назад

    Somo zuri dr

  • @ChristerbellMwasele
    @ChristerbellMwasele 2 года назад

    Dr nikweli kabisaaaa jmn daaaaaa SoMo zuri sna

  • @stanleymathias7877
    @stanleymathias7877 4 года назад +1

    Uko na kipaji Cha kipekee kutoka kwa Mungu

  • @mlishohadija6923
    @mlishohadija6923 2 месяца назад

    Mm hapa hata.zawadi sijawahi pewa 😢 mpenzi.wangu hata akiwa kazi hutajua ila akiwa na shida anakutafuta

  • @aminatumbo7410
    @aminatumbo7410 3 года назад +2

    Hapo kwa distance ukweli mtupu

  • @emmanueljohn3134
    @emmanueljohn3134 4 года назад

    Uko vizuri Dr mauki

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 4 года назад +2

    SOMO NZURI SANA DR.

  • @ahmadsaidi5292
    @ahmadsaidi5292 Год назад

    Dr wanawake wengi kwa ujumla huwaga hawathamini mwanamme au mume kipindi anawajali sana,matokeyo hukuona wewe ni zuzu,mjinga umoja,wengi wa wanawake wala hawajuwi wanataka nini exactly

  • @aniphualmas8695
    @aniphualmas8695 2 года назад

    Salute

  • @julinhojoao3450
    @julinhojoao3450 Год назад

    Kweli kabisa dr

  • @rachelthomas1866
    @rachelthomas1866 2 года назад

    Yah it's true,mwanamke ni maneno matamu na vijizawadi vidogo vidogo

  • @paskiislaa5592
    @paskiislaa5592 4 года назад

    Asanteee Sanaa doctor mungu akubarik

  • @fozyafozya4060
    @fozyafozya4060 4 года назад +1

    Asante sana 🤔

  • @justinefesto8426
    @justinefesto8426 4 года назад +10

    Wewe ni mwalimu wangu bora mpaka sasa

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  4 года назад +3

      Nashkuru sana

    • @tiktokseriescompilation5030
      @tiktokseriescompilation5030 4 года назад

      Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html

    • @veronicageofrey5099
      @veronicageofrey5099 3 года назад

      Sababu ya mwanamke kuchepuka wanaume wengi hawafikishi wake zao kileleni.hili ni tatizo kubwa kwa wamama wengi wamekuwa wakilalamika sana.dokta.

  • @rosenyandindi7606
    @rosenyandindi7606 3 года назад

    For sure..

  • @happinesslumambo9831
    @happinesslumambo9831 2 года назад +1

    Nice lesson congratulations doctor I real appreciate

  • @miriamtutorial
    @miriamtutorial 2 года назад +1

    100% true

  • @happynessowo1140
    @happynessowo1140 2 года назад

    Safi tunashukulu

  • @matharsady7626
    @matharsady7626 3 года назад +2

    Mimi ulivyosema kuishi na mwanaume ambaye si sahihi katika maisha mume wangu anavyo vyote na akikupa ela anakupangia na anakuhuliza ela niliyokupa ujabakisha chenji na huwa anaweka mipak kweny sm yake pia kunitimizia mahitaji yangu mpaka ugovi na nimechoka na nimepata mwanaume anayenijali naomba ushauli nifanyeje na huyu niliyempata ananikizi matumizi madogo madogo na anavitu vyote anakizi mahitaji yote nifanyejee

  • @audifassiril2922
    @audifassiril2922 3 года назад

    Point

  • @akidasalim3859
    @akidasalim3859 4 года назад

    Asante Dr umenigusa sana

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 2 года назад

    Daa ili somo nimelielewa sana yani kama umeniongelea mimi kwakweli.

  • @dapriccy3574
    @dapriccy3574 3 года назад +2

    Yaaan haya ndo mahusiano yangu kabisa nataman kulipza kisasi Ila nashindwa naona kbs ntakosa Aman kbs,, Ila nikiona nitashindwa kbs ntacheet tu hata Mungu atanisamehe cwez kumvumilia mtu anacheet afu mm ndan hanigus😏😏😏

    • @christinapeterntibagiligwa2556
      @christinapeterntibagiligwa2556 3 года назад +2

      Pore my dear,ila usishindane namwanaume muombee tu mumeo,sababu ukisema uchit na wewe itakufanya umzarau mwanaume wko,huko njee kunawanaume wanajua kubembereza mwanamke mpaka utajiuliza nikwanini ulicherewa kutoka njee,ushauli wng muombee tu

    • @dapriccy3574
      @dapriccy3574 3 года назад

      Pamoja Sana my dia Mungu atusaidie tu ss wanawake

    • @didakauli1374
      @didakauli1374 2 года назад +1

      @@dapriccy3574 upo wapi dada angu nikuongezee ushauri mzuri zaidi hakika utaishi kwa furaha nitumie namba yako Tushauliane?

  • @aishajuma7402
    @aishajuma7402 3 года назад +1

    Asant doctor kwa ushauli wako ubalikiwe sana 🙏🙏

  • @halimahalima1984
    @halimahalima1984 4 года назад +1

    Kweli kabisaa docta mimi nimeshindwa kabisa sababu yaumbali mpaka tumeacana

  • @neematumainiel4528
    @neematumainiel4528 3 года назад

    Kweli kabisa

  • @jasminyiddysulaiman9807
    @jasminyiddysulaiman9807 4 года назад +1

    Woow

  • @dullamuso6955
    @dullamuso6955 3 года назад +2

    Kiukweli i hate my women until this time i dont know what to do Dk but my heart is Broken

  • @fatmamusaa1169
    @fatmamusaa1169 2 года назад

    Fact Dr.i need to talk to you

  • @samzuuseif
    @samzuuseif 2 года назад

    Ur my teacher for sure thanks dr

  • @onlinemateustv1925
    @onlinemateustv1925 4 года назад +5

    Distance imeniharibia maisha yangu nibora nibaki masikini kuliko distance tena najuta sana

    • @bahatijoseph8763
      @bahatijoseph8763 4 года назад

      Kwa nn imekuharibiaa Maisha yako distance!??

    • @aminaismail4221
      @aminaismail4221 3 года назад +1

      Nkweli hii imesababisha mume kutafuta mwanamke mwingine hadi najuta kilichonifanya nisafiri nje ya nchi

    • @ramagwama2246
      @ramagwama2246 3 года назад

      Kabsaa kumbe tupo wngi distance imeunguza vision zte tulokua nazo

    • @emmamombo7149
      @emmamombo7149 3 года назад

      @@aminaismail4221 pia uko nje ya nchi Kuna wanaume mm pia niko nje ya nchi waume tele kama anakupenda hangetafuta pia ww watafuta

    • @emmamombo7149
      @emmamombo7149 3 года назад

      @@aminaismail4221 usijute hata kama ungekuwa hapo angetafuta tuu shukuru mungu uko nje tafuta pesa ujejenge inshallah

  • @johnsana8751
    @johnsana8751 4 года назад

    Solution ndio kila kitu

  • @judithkidiwa7973
    @judithkidiwa7973 4 года назад +1

    Yote ya kweli

  • @kenedysimba9859
    @kenedysimba9859 4 года назад +1

    👍dr

  • @bitunisebarua3884
    @bitunisebarua3884 3 года назад

    Kisasi dah

  • @eldarmwakabuta7589
    @eldarmwakabuta7589 2 года назад

    Asante chris nakutegemea sana ushauli wako mala kadhaa unanigusa

  • @ashahaule967
    @ashahaule967 3 года назад

    Umesema ukweli

  • @fatumaluze7724
    @fatumaluze7724 3 года назад

    Hakikaa

  • @joharychaima1274
    @joharychaima1274 4 года назад +6

    7bu zte kwel kbs jmn aswah kwang,csemei wengine lkn ila kwang we nimwanasaikolojia bora zaid

    • @tiktokseriescompilation5030
      @tiktokseriescompilation5030 4 года назад

      Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html

  • @user-iw7tl7kc1s
    @user-iw7tl7kc1s 10 месяцев назад

    Hawa watu wakishaoa tunapewa hadi kashfa humo ndani unageuka huna thamani tena hata ufanye nini!

  • @shijalameckmpemba4529
    @shijalameckmpemba4529 4 года назад +1

    Hayo Ni wamawzo yako tu Kama umeoa la hivyo Ni la hivyo tu.

  • @feyandrew7643
    @feyandrew7643 2 года назад

    Yani mm sielewi haya maisha

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 3 года назад

    👌

  • @andrewmwakangata3705
    @andrewmwakangata3705 4 года назад +1

    Kweli kabisa doctor 🎤💉💉🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨⚒️⚒️

  • @patrickchai4271
    @patrickchai4271 4 года назад +1

    Pongezi ila tendo hili haliwezi kufanywa na mmoju tu bali lazima mume na mke
    wote washiriki so wote lawama KWAOOO

  • @angelpella2709
    @angelpella2709 4 года назад +4

    Tunaomba utuletee sababu za mwanamume kuchepuka

    • @rehemajoseph1352
      @rehemajoseph1352 4 года назад +1

      Hawana sababu ni hulka yao tu

    • @franshyera8970
      @franshyera8970 4 года назад

      Wanaune kuchepuka sababu tunafanya mazoezi ili tusidhalilike kwenye mechi 😀😀😀

    • @deusdeodavid5360
      @deusdeodavid5360 4 года назад

      Tuna tamaa natural ila hua sio kwamba hutuwapendi wake zetu au wapenzi wetu

    • @tiktokseriescompilation5030
      @tiktokseriescompilation5030 4 года назад

      Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html

    • @aminaismail4221
      @aminaismail4221 3 года назад

      Mwanaume hana sababu kwao kuchepuka nikawaida

  • @gracemwaringa7085
    @gracemwaringa7085 2 года назад

    Umenifunza mengi na kuifanya ndoa yangu iimarike

  • @officiallyemmily9187
    @officiallyemmily9187 4 года назад +3

    Vipi kuusu kutomridhisha kitandani..Hatujaona iyo

  • @alicebrayan8863
    @alicebrayan8863 Год назад

    😢😢😢😢

  • @jacobmgumiro156
    @jacobmgumiro156 4 года назад

    🙏🙏🙏

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 4 месяца назад

    Ok km wanakosa wanachokitaka na hawapati ikapelekea kuchepuka je ni dhambi?

  • @magrethhaulee9998
    @magrethhaulee9998 4 года назад

    Umeongea ukweli kabisa

    • @tiktokseriescompilation5030
      @tiktokseriescompilation5030 4 года назад

      Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html

  • @teamalay8382
    @teamalay8382 3 года назад

    Nahitaji uzungumze na kijana wangu kabla ya kuoa aje wapi ili tujue gharama

  • @maulidimussa9149
    @maulidimussa9149 4 года назад

    Hi tch by Mr nindi

  • @akinyisusan8049
    @akinyisusan8049 3 года назад

    Iyo sababu ya 5 ishawai nitokea

  • @bensonvunyari7728
    @bensonvunyari7728 3 года назад +1

    Wewe unajua Malaya uwaa arithiki ataumupe kilakitu unachao

  • @joharijuma1551
    @joharijuma1551 3 года назад

    Docter yaani kwangu mimi umelenga mule mule

  • @salomemsangi3752
    @salomemsangi3752 4 года назад

    yaani unayoongea nikweli

  • @EliciaShuka-gm1ig
    @EliciaShuka-gm1ig Год назад

    Kinachotesa ni namba 1,4 na 5 kwangu ni shida tu naumia

  • @arafaally2895
    @arafaally2895 4 года назад

    Hata la kusema sina

  • @Muthafar6868
    @Muthafar6868 3 года назад

    😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @mosesfrancis3946
    @mosesfrancis3946 3 года назад

    Hana muda hata wa kufanya mapenzi na mimi.

    • @smartonlinetv5144
      @smartonlinetv5144 2 года назад

      Hivi mwanaume unakosaje nafasi Kwa mtu wako? yaani anakunyima au?

    • @mariethabosco4191
      @mariethabosco4191 Год назад

      Kunatatizo hapo tuu jichunguze wewe kwa Nini akunyime

  • @athumanabdallashulise278
    @athumanabdallashulise278 2 года назад

    Doctor nashukuru Sana hii Hari imenipata mm Sasa nimiaka Kama miwili Sina hamu ya tendo la ndoa Wala Ute Ute kwangu hakuna nisaidie nifanyeje?

  • @prisilaelipido8158
    @prisilaelipido8158 4 года назад +1

    sauti imetosha nadhani wamesikia

    • @tiktokseriescompilation5030
      @tiktokseriescompilation5030 4 года назад

      Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html

  • @mamfumqueenmamfum6132
    @mamfumqueenmamfum6132 2 года назад

    0

  • @saidmeku707
    @saidmeku707 4 года назад +1

    KUANZIA 10:34 - 10:43 NDIO PENYEWE, KUCHEPUKA NI MAAMUZI BINAFSI SIO KOSA LA MWENZIO, UKISHAKUWA MTU MZIMA NI JUKUMU LAKO KUWEKA WAZI MAPUNGUFU NA NAMNA YA KUYAJENGA. KWANI UKISHACHEPUKA KINABADILIKA KIPI...?

    • @akidasalim3859
      @akidasalim3859 4 года назад

      Amani ya moyo

    • @tiktokseriescompilation5030
      @tiktokseriescompilation5030 4 года назад

      Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html

    • @bintiwayesu2226
      @bintiwayesu2226 2 года назад +1

      kabisa nakubaliana na wewe kwa nini mtu asiseme mapungufu au makosa ujirekebishe unaamua tu kuchepuka huo ni upungufu wa hekima na akili, tamaa tu hakuna kingine ila ndo wajue ipo siku ya hesabu mbele za Muumba

    • @saidmeku707
      @saidmeku707 2 года назад

      @@akidasalim3859 Ni kweli. Ila unaitwa utatuzi wa msimu kwa tatizo la milele.

    • @saidmeku707
      @saidmeku707 2 года назад

      @@bintiwayesu2226 Naam siku ya mwisho ni nzito, na kama kakubali kuchepuka na wwe, hata na mwingine pia anaweza, tendo la ndoa kama chakula na tumbo ukiwa na njaa unakula chochote na popote ukishashiba ndio unaamka. Hakuna njia ngumu kupita katika maisha ya mwanadamu zaidi ya kupita kwenye njia ya hekima na kufikiri kabla ya matendo, ila maisha ni machaguzi kila mtu atachagua lake na kulijibia wakati utakapofika.

  • @dinahdianah9653
    @dinahdianah9653 4 года назад +1

    Haya ndio matatizo yananfanya n miliki fb pg kama zote nkimuona kageuka barafu ya California nafunga hilo pg naenda kwingine kuchangamshwa na wanaojua maana ya penzi ctaki stress mm mscheww unampa mtu muda wako wote yuanza ku pretend kama kichanga n vita yuataka au snobing mfyuuu

  • @delphinasenge3321
    @delphinasenge3321 4 года назад

    4/" nikweli kabisaa nimesha mwambia wangu lakini hakunijibu chochote

    • @tiktokseriescompilation5030
      @tiktokseriescompilation5030 4 года назад

      Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html

  • @davidalex4844
    @davidalex4844 3 года назад

    Kaka nataka kupata link ya clip ambayo ulitoa ufafanuzi juu ya why kuchepuka kwa mwanamke kuna umiza zaidi ya mwanaume

  • @annaisaac279
    @annaisaac279 4 года назад

    🔨🔨🛠️🛠️

    • @lalag7142
      @lalag7142 3 года назад

      Asante sana...lakini kama unajaribu kumwelezea unafurahi akikufanyia hivi na vile but hafanyi.Utasaidikaje

  • @dottososella2385
    @dottososella2385 3 года назад

    Unaweza kushughulikia tatizo na lisitatuke

  • @sajomg7983
    @sajomg7983 4 года назад

    Sababu 7 zote sijaona inayohusiana na kupafom vizur kumbe ni vitu vidogo tu

    • @tiktokseriescompilation5030
      @tiktokseriescompilation5030 4 года назад

      Hello! people of GOD,, please watch this too..., ruclips.net/video/4ufq9Ib422o/видео.html

    • @happynessamos7521
      @happynessamos7521 2 года назад

      Mi mwenyewe nashangaa wakati hii ndo mimi nimeshindwa kabisa na tuko mbalimbali wala umbali kwangu sio tatizo ila tendo ndo shida.