Mbinu Bora za Kutatua Migogoro ya Kwenye Mahusiano na Ndoa - Dkt Chris Mauki

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 9

  • @levinavenance1200
    @levinavenance1200 7 месяцев назад +9

    Jinsi ya kusolve matatizo kwenye mahusiano1.Kubali kwamba mnatofautiana (mtazamo,haiba
    2.jifunze kuwasiliana vzr sikiliza vzr, zungumza vile unataka mambo yawe be a confident speaker
    3.jielewe ,jifahamu,jiulize maswali ability to understand ur self
    4.huwezi kua perfect wakt wote
    5.jifunze na ukubali kurekebishwa
    6.be humble accept

  • @AlonsoKite
    @AlonsoKite Месяц назад

    Doctor mimi niko kwenye matatizo makubwa sna na ndowa yangu mpaka nahisi kuachana na huyo mwanamke kwanza alini chiti kabala ya ndowa Kisha asivi baada ya ndowa Kuna tatizo la kukuta Namba ngeni za simu nikuliza naonekana naleta matatizo nimesha sna Lakin sieleweki naomba msaada wako Doctor

  • @WitnessMollel-u9g
    @WitnessMollel-u9g 3 месяца назад

    Thanks very much Dr Chris

  • @AnjelaSilayo
    @AnjelaSilayo 7 месяцев назад

    Kiukwel umenigusa sana dr ❤❤

  • @mariamuodila4132
    @mariamuodila4132 5 месяцев назад +1

    Asante sana

  • @zeynabpontia4634
    @zeynabpontia4634 4 месяца назад

    Shukran sir

  • @LugendoChristina
    @LugendoChristina 6 месяцев назад

    Asante baba

  • @PiliRashid-r1j
    @PiliRashid-r1j 7 месяцев назад

    Hapo kwny mawasiliano duuh 😢