DALILI HATARISHI KWENYE UPENDO - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 400

  • @StevenGiven
    @StevenGiven 2 месяца назад +13

    Tulioko hapa 2024🎉 tujuane

  • @luiceadam385
    @luiceadam385 5 месяцев назад +11

    Mm napitia kipindi hikii sasa na usiku wangu wa leo cjui kama itafika salama asubuii mungu anisaidie sana aliyekuwepo hapa anambie kitu chochote uwenda nikaona kitu tarehe 12 april leo 2024 mungu nivushe salama hapa

    • @hopingtrust1284
      @hopingtrust1284 4 месяца назад

      My situation Now ila mimi nimeshaachilia Aende tu😢

    • @marthadaniel4904
      @marthadaniel4904 Месяц назад

      Omba MUNGU akupe amani ya moyo,

  • @violethurassa7362
    @violethurassa7362 2 года назад +6

    Tumeumizwa wengi tunapojaribu kukemea mabaya lakini Mungu yupo anatupigania,

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 2 года назад +17

    Hii mbaya sana unaachwa na mtu unaempenda kitaratibu....vinauma sana kwakweli.

    • @bongorecaps3558
      @bongorecaps3558 2 года назад +3

      Ukiona ameanza kukuacha taratibu we muache fasta

    • @tinahwilliam1918
      @tinahwilliam1918 2 года назад +1

      Kabisa

    • @mawiamusai1362
      @mawiamusai1362 2 года назад

      @@bongorecaps3558 si raisi

    • @bongorecaps3558
      @bongorecaps3558 2 года назад +4

      @@mawiamusai1362 Ni rahisi endapo ukiitambua thamani yako, wakati mwingine unapompenda mtu kupitiliza unampandisha hadhi kiasi kwamba inafikia hatua anaweza kujiona yeye sio level zako, Acha kufanya mambo ambayo hayapewi thamani mbele ya mwenzi wako na usifanye kile ambayo yeye pia hayuko tayari kukifanya kwaajili yako ishi kama kioo chake tu

    • @gracesilayo7670
      @gracesilayo7670 2 года назад

      @@bongorecaps3558 nmeipenda io ila sasa kama mimi cwez najikuta nshafanya nabakia kuumia tyu yan 😭💔

  • @nanjingasaidi1257
    @nanjingasaidi1257 2 года назад +25

    Yani brother kama yote unaniongelea Mimi an nayoptia dah bless sn 🙏

    • @ezekielyohana5454
      @ezekielyohana5454 2 года назад

      Big up sana broo ,unatoa madin adim sana

    • @happynescostat7420
      @happynescostat7420 2 года назад

      Pole Sana hayo yamekuwa sehemu ya wanandoa wengi,usikate tamaa endelea kumsikiliza Joel utakuwa sawa,

    • @immajuzo2440
      @immajuzo2440 2 года назад

      Pola sana ndugu

    • @zakayooranga2894
      @zakayooranga2894 2 года назад

      Yah

    • @latifaanuary4911
      @latifaanuary4911 2 года назад +1

      Mungu ni mwema sote tunapitoa lkn tujifunze kuwaachilia waende

  • @isacknguvumali3445
    @isacknguvumali3445 2 года назад +21

    Brother ume gusa maisha yangu kwa asilimia 100% Mungu akubaliki iseee yani kama umeyaona ninayo yapitia daaa

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤❤nikigundua naanza kuboresha hakuna kuachana

  • @huss668
    @huss668 2 года назад +5

    Mausiano Sahi yamekuwa na changa moto unakuta unaye mpenda nae Ana mpenda mwengine yani Duniani tume kuwa tuna fukuzana subhanallah lakini cha msingi ukiona mtu anaka mbali na wewe nawe kaa mbali nae usilazimishe kuforce kitu ukajitafutia maradhi muache aenda Mungu atakupa kilicho bora zaidi ❤️

  • @medyalfayo2076
    @medyalfayo2076 2 года назад +17

    Yanii brother big up sana maana hiyo halii inatokea sana kwa vijana wengi..lakni kila kitu huwa naamini Ni mapito na mipango ya Mungu..🙏🙏

  • @giftamulike8650
    @giftamulike8650 2 года назад +3

    Iyo me nahifahamu iyo ishara ya mawasiliano ni mbaya mno ahsanteee sana bro

  • @sekeladuncan329
    @sekeladuncan329 Год назад +2

    Najifunza mengi kupitia wewe Joel kiukweli Mungu akuweke mana watu wengi tunaishi ilimradi hatuna furaha

  • @زيتونتنزانيا
    @زيتونتنزانيا Год назад +2

    Niliteseka mimi. 😭Hivyohivyo chuki hasira Ila hivi sasa nipo single

  • @IbrahimIdrisa-tl6wm
    @IbrahimIdrisa-tl6wm Год назад +1

    Asante kwa somo zuri la kutufunza na kuongeza wigo wa kufahamu zaidi

  • @annahngwila
    @annahngwila Год назад +2

    Haya nimateso makubwa, sana massage fupi yaani umegusa maisha yangu kabisa

  • @frankmsangi
    @frankmsangi Год назад +2

    Unagusa mule mule Broo yan kitu unachokisema kina uhalisia kabsa yan daah kusudi yako linagusa sana maisha yetu Broo🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏

  • @rephamalamba8614
    @rephamalamba8614 2 месяца назад

    Na leo hii sipo nae, alianza usiri wa mambo mengi, kujenga na mengi kisiri, mawasiliano haba na majibu robo na nusu! Hasira kupitiliza Acha aende, barikiwa mtu wa Mungu nimepata amani kwa fundisho lako

  • @frankmsangi
    @frankmsangi Год назад +1

    Daaah Aisee broo hii point ya kwanza nimeipenda sana umeielezea vizuri sana Aisee Asante san. 🔥🔥🔥🔥💯💯💓💓🙏🙏🙏

  • @hellendeus7809
    @hellendeus7809 2 года назад +5

    Mara nyingi tunaowapenda kwa dhati ndio wanaokuja kutuumiza saana ....dah!

    • @issaathumani7610
      @issaathumani7610 2 года назад +2

      Kabla hujaamua kumkabidhi mtu moyo wako unapaswa kwanza umjue kuwa ni mtu sahihi ktk maisha yako na ana upendo wa dhati kwako na kujali hisia zako na kutambua thamani yako.Kwa UPENDO ni maisha yako ukikosea kupenda utakosea maisha yako utapoteza furaha yako utajikuta unakuwa mtumwa kwa unayempenda,hivyo ni lazima umshirikishe Muumba wako kwasababu yeye ndiye anayetujua undani wetu kuliko tunavyojijua ametuumba yeye na akatuumbia upendo,kupenda na kupendwa ni ibada sio dhambi bali wale wenye kuwatenda wenzao wakati nyoyoni mwao kumbe wana yao hawa Mungu naye atawadhalilisha pia ikiwa hawatatubia,Mtake msaada Mwenyezimungu Mtukufu na umshirikishe ktk safari yako ya UPENDO yeye peke yake anawajua waja wake wema na wabaya.

    • @hellendeus7809
      @hellendeus7809 2 года назад

      @@issaathumani7610 thank you.

    • @husnamohammed8199
      @husnamohammed8199 Год назад

      ​@@issaathumani7610 ndio kaka kuna watu wabaya wanafich makuch yao mtu hujifany mwema anakupend vizur kumbe huwa muongo na mtu mbaya utamjuwa mwisho akishakukupotezea mda hivi binaadam ndivyo tilivyo hatupendan kwa ajili ya allah halafu yy mtu anachukulia pow tu wala hajali km anakudanganya na mwish wa siku mtu km huyo hukuach njiani na maumivu yy anaendelea na maisha yke mtihan kwa kweli allah atusitiri

    • @husnamohammed8199
      @husnamohammed8199 Год назад

      ​@@issaathumani7610 lkn mungu huwa analipa utakalo mfanyia mwenzio na ww unakuj kufanyiwa ni malipo hayo mungu huwalipa maana mtu hujitafutia deni la makusud mtu unasema uongo wa makusud uongo sio mzuri

  • @upendomracha8763
    @upendomracha8763 Месяц назад

    Asante kwa mafundisho ya kutufungua macho mimi nimeachwa na mume wangu wa ndoa mika 3 sasa hakuna mawasiliano ya kutosha.
    Hataki kunipa taraka ila manyanyaso .

  • @frankmsangi
    @frankmsangi Год назад +3

    Unajua sana broo duuuuuuh 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣💯💯💯💯💯💯💯💯

  • @SabraOmar-v9v
    @SabraOmar-v9v 27 дней назад

    Brother yani mung akubariki umenizinduwa walah nilikuwa najiuliza why siku zote aya asante brother❤

  • @zuwenaally6403
    @zuwenaally6403 Год назад +1

    Brother hiyo nikwelii kabisaa nimelia sana mie😭😭😭😭😭imaum sana wallahi???

  • @naimamohamedi868
    @naimamohamedi868 Год назад +5

    Ila kusema kweli mimi najuta kuolewa na huyu mwanaume Yani najutaaaaaaaaaa kiru chandesa 😭😭😭

    • @abunationclassic4117
      @abunationclassic4117 Год назад

      Pole Naima

    • @ivomhagama9796
      @ivomhagama9796 4 месяца назад

      Daaaa unauma pole, wanaume wengi wanachanganyikiwa na wasichana wa 2000

    • @elishadeulitv2711
      @elishadeulitv2711 4 месяца назад

      Usijute huyo ndiye chaguo la moyo wako, mwombee MUNGU amponye

  • @mkramazani2759
    @mkramazani2759 2 года назад +10

    I always follow your teaching man love u. Mungu akubariki👌

  • @johnjackson4363
    @johnjackson4363 Год назад +1

    Haya yote yamenitokea nashukuru kwa elimu hiii. Imenitesa sana hii Hali na mbaya zaidi imetokea baada ya mm kukosa KAZI

  • @lukandaguillaume4175
    @lukandaguillaume4175 2 года назад +3

    Sina lengo la kukupamba mtumishi Wa Mungu. Hii,ndo nafasi yako, unatunafundisha mambo muhimu ambayo hata shuleni ,tulilipa Ada lakini hatukuyapata haya! kwa bei kama yabure, tunapata mambo muhimu sana sana. Najengeka upya kila siku!

  • @annahngwila
    @annahngwila Год назад +1

    Aisee, nimelia sana hata kujali , nimependa haya mafundisho

  • @monicakauky8914
    @monicakauky8914 4 месяца назад

    Ndiyo nimeshawahi kupenda nikafanyiwa kama ulivyosema.Naomba Mungu anisaidie niweze kupenda Tena.

  • @lilianachieng2382
    @lilianachieng2382 2 года назад +10

    Asante sana brother kwa mawaidha ningeomba siku moja tukutane ili inisaidie na njia ya Synology please 🙏

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 года назад +14

    Asante Sana Joel,niliumia Sana nilipofanyiwa hayo yote,nilisikiliza clik yako ya kuondoa msongo wa mawazo,inayosema furaha yako iko mikononi mwako na niambie ninaweza bila Fulani!

    • @mageurio9242
      @mageurio9242 2 года назад

      Mimi hayo yote nayapitia

    • @yeyaboy8045
      @yeyaboy8045 Год назад

      Yananitokea bro lakn nikimuliza 7bu hanipi

  • @timothykengere2535
    @timothykengere2535 2 года назад +4

    Ukweli mtupu Ndugu Nan 📚📚📚 🎙️ shukran.

  • @LucyMwikola-vc1lc
    @LucyMwikola-vc1lc Год назад +1

    Daaah nimejifunza kaka 🙏

  • @catherinejackson5614
    @catherinejackson5614 Год назад

    Joe I like u beyond all the stars aise..upo na madini nakufatilia sana unanifumbua kwa mengi Joe..much love😍🌹🌹

  • @mikeroh489
    @mikeroh489 2 года назад +6

    Hongera Mr, unasaidia Sana Jamii yetu.

  • @nuruanaelisha8731
    @nuruanaelisha8731 2 года назад +2

    Kaka,Mungu akutangulie ktk maisha Yako,akufungulie njia zako zote unazotaka kufanikisha ktk Jina la Yesu, umeongea ,yote yamenigusa Sana.

  • @aishadulla7364
    @aishadulla7364 Год назад +3

    Mm nliogee nae mwaka mzima paka juz ndonabiwa nakupenda ukweli nyuma sikuwa nakupenda moyo ulisimama apo🥺🥺

  • @mapoluchalya280
    @mapoluchalya280 2 года назад +1

    Kwel kaka yani unatusaidia sana ambao tunafanyiwa haya yote,inauma sana sana mim napitia haya,yote kw yote mungu akubariki kaka

  • @shorashora2003
    @shorashora2003 Год назад +1

    Nakukubali sanaa kaka nakuombea ukuze kiwango cha kutuelimishe mimi nimeteseja sana kwakutokewa nahayo mambo❤❤❤

  • @mussakhamis2377
    @mussakhamis2377 2 года назад +3

    My life coarch joel nanauka kwa hakika ww ndio faraja yng

  • @nurdinchilambo1486
    @nurdinchilambo1486 2 года назад +35

    utakuta anae kuonyesha hizo dalili ukiamua kumuacha kmya kmya tu ili uendelee na Mambo yako ataanza kukulalamikia mbona siku hiz unitafut

  • @AngelMassawe-nz9sk
    @AngelMassawe-nz9sk 7 месяцев назад

    Napenda sana kufatilia mafunzo yako ubarikiwe kama Ibrahimu na uzao wake

  • @hidayakisensi2747
    @hidayakisensi2747 2 года назад +2

    Channel inayonimalizia mb zangu barikiwa sana kaka joel🙏🏻

  • @georgiaruhinda1704
    @georgiaruhinda1704 2 года назад +1

    Napenda mafundisho yako,kweli hayo yanatokea na unakuwa huelewi jinsi ya kuyatatua,nafurahi .

  • @nimenyajoseph8959
    @nimenyajoseph8959 Год назад +1

    Thank you,nimejifunza jambo SKU yakinikuta nitajua namna ya kukabiliananalo,

  • @FlolaKalan-kg1dp
    @FlolaKalan-kg1dp Год назад

    Amen mtumishi ahsantee kwa mafundisho mazur nimejifunza kit kikubwa sana

  • @yvesniyongabo9437
    @yvesniyongabo9437 Год назад +1

    Mafundisho mazuri sanaa Joel, asante sanaa

  • @shavakhantz7960
    @shavakhantz7960 2 года назад +2

    We n bora zaidi napenda sana kitu unachokifanya

  • @eddysonmboya1651
    @eddysonmboya1651 Год назад +1

    Nashukuru sana mentor nimejifunza vitu vya kutosha, pia kuna dalili umezitaja zinarelate kabisa na anavyofanya mpenzi wangu

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 Год назад +1

    Zipo umesemaukweli sana mafunzoyAko nimazuri sana asante

  • @gracekazi5492
    @gracekazi5492 Год назад +1

    Daaaaa! Asante sana bro maisha hayo ndo nayaishi sasa😭😭

  • @magrary2455
    @magrary2455 2 года назад +1

    Hali pia mimi iliwahi kunikuta na mpenzi wangu aliniambi niko busy muda wote sikuamini kuhusu kauli hiyo niliamua kufatilia kujua kama kweli alimaanisha nikajua kweli alikuwa akimaanisha na alikuwa anaonekana kama haniitaji katika maisha yake na hatimaye niliamua kukaa mbali na yeye pale nilipoona dalili ya kushindwa hata kufanya mambo yangu kwa kuzidi kwa maumivu. Ahsantee kwa kutupa na suluhisho kwa wakati mwingine tuweze kuitumia.

    • @geraldlaurent6750
      @geraldlaurent6750 2 года назад

      Hata Mimi yamenikuta mtu ananiambia Yuko busy mda wote aise inauma Sana

  • @williamloserian5999
    @williamloserian5999 2 года назад +1

    ##Thanks you my brother Joel Nanauka kwa SoMo zur....

  • @dr.bonye1
    @dr.bonye1 2 года назад +5

    Thank you my brother 🙏

  • @sharmilarashid6270
    @sharmilarashid6270 2 года назад

    Dah nilipita haya ty miaka 9 nyuma. Lkn alhamdulilah Sasa imebaki story, Asante kwasomo

  • @bornmwambemba8497
    @bornmwambemba8497 2 года назад +4

    Nimekusoma j! Nimejifnza kitu.

  • @MasungaMayenga-sp5ik
    @MasungaMayenga-sp5ik 3 месяца назад

    Nikweli kabxa Kaka angu unaonekana wewe nimtu mzur sana bas niwe na wewe

  • @kizazijeur7518
    @kizazijeur7518 2 года назад +2

    Somo zur dr umegusa sehem muhim San. Hongera

  • @taturajabu1806
    @taturajabu1806 2 года назад +6

    Inauma kumpenda mtu asiekupenda

  • @jacklinebazale5415
    @jacklinebazale5415 Год назад +1

    Asante sana Kaka

  • @lilianamukoya7156
    @lilianamukoya7156 Год назад +1

    Mm.nmefikia hapo n I'm happy ,,

  • @amanimakury9686
    @amanimakury9686 2 года назад +3

    Ni kwli

  • @jacklinedavid550
    @jacklinedavid550 2 года назад +3

    Ujumbe huu umenigusa sana. Bless you more

  • @mazwichannel2120
    @mazwichannel2120 7 месяцев назад

    Thanks Kaka joel .That my situation now kila ulichoongea ndo nakipitia now binafsi nimeamua kukaa kimya nakuendelea na maisha mengine.Mbaya zaidi nipo ndani ya ndoa kaka @joelnanauka

  • @mariamjohn4412
    @mariamjohn4412 2 года назад +4

    for really nimecheka kwa sauti mwanzo hua raha sana

    • @rafidaomar210
      @rafidaomar210 2 года назад

      Walhi mapenzi shikamoo

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 Год назад

      Mkishazoeana mmmmmmm hakika shikamoo mapenzi 🎉🎉🎉🎉

  • @scollalema4674
    @scollalema4674 2 года назад +3

    Ahsante kwa somo zuri..
    MUNGU akubariki 🙏

  • @HappyPaul-xn3ei
    @HappyPaul-xn3ei Год назад +1

    Kwelii brooh umeongea kweli

  • @kheriramadhan4603
    @kheriramadhan4603 Год назад

    Duh 😢Yani Hapo Dalili Zote Naziona Subir Nichukue Maamuzi Mapema

  • @fungukamedia4545
    @fungukamedia4545 2 года назад +1

    Au unajua maisha yangu

    • @magejay4715
      @magejay4715 2 года назад

      Hahaha😄😄😄😄😄😄daah

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 2 года назад +1

    daaaaa wewe umeona safar yangu ninayopitiya🙏

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 2 года назад +6

    I love this man

  • @leaahzablon4154
    @leaahzablon4154 2 года назад +2

    🙆Hee...🙌🙌🙏🙏🙏 Hakika n ya kweli hayo...ubarikiwe sana Mr. Joel

    • @mwanarusiropia8363
      @mwanarusiropia8363 2 года назад

      Shukran sana nime jifunza kitu ubarikiwe bro😢😢😢

  • @merinamsofe5798
    @merinamsofe5798 2 года назад +1

    Bro kama unaniongelea mm jamn daaaaanh inaumaa sana

  • @noeljames7960
    @noeljames7960 11 месяцев назад

    Ansante mtumishi lakin binafsi kuna mdada nampenda sana lakin yote unayosema yapo Ansanteeee sanaaaa

  • @seraphineniyonzima962
    @seraphineniyonzima962 Год назад +1

    Aah unaingeya kweli kabisa

  • @annahngwila
    @annahngwila Год назад +1

    Yaani mapenzi

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 2 года назад +3

    Ahsante kaka kwa somo zuri Mungu akubariki

  • @bupekibiki5151
    @bupekibiki5151 2 года назад +3

    Mungu akubariki sana brother Joel

  • @catherinejohnsilvester6516
    @catherinejohnsilvester6516 10 месяцев назад

    Asante bro sasa nikijua hivyo nifanyaje

  • @aikasolomon7781
    @aikasolomon7781 2 года назад +2

    Namshukuru Mungu kwa upendo

  • @reginaldipeter2272
    @reginaldipeter2272 2 года назад +2

    Ubarikiwe kwa Huduma nzuri Mungu akulinde (Zekaria 2:5)

  • @abasisaidi9803
    @abasisaidi9803 2 года назад +2

    Ndo maisha yangu kwa sasa kila ulichokisema ni sahihi kabisa

  • @tinakisonga795
    @tinakisonga795 Год назад +1

    Ni kweli kabisa

  • @joycejacob6263
    @joycejacob6263 Год назад +1

    Habari za kwako mwalimu

  • @neemashirima6121
    @neemashirima6121 2 года назад +1

    ubarikiwe hayo ndo mm napitia kwa Sasa.

  • @lizzydiy4590
    @lizzydiy4590 2 года назад +4

    Duuuh yan huyu ni mm ndio nlikua naongelewa hapo 😁

  • @ruthmoses6565
    @ruthmoses6565 Год назад +2

    My teacher,be blessed sana

  • @DionistaMsack
    @DionistaMsack 6 месяцев назад

    Najifunza mengi sana jamni hiyo imenitokea ila kwenye mahusiano Kuna changamoto

  • @nox_nation255
    @nox_nation255 Год назад

    Daaaah brother unayo ongea yamenikuta

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 Год назад

    Yaaan hayo yote yako kwangu utafikiri uko hapa kwangu. Na sijui nini Cha kufanya zaidi ya kuachana

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 2 года назад +3

    Asante studios

  • @fathimamohamed684
    @fathimamohamed684 2 года назад +2

    Mafunzo mazuri👌

  • @chugaboy249
    @chugaboy249 2 месяца назад

    😭😭😭Daah raundi hi nime Pati kana Ngoja ni lie hadi nichoke alafu nifanye kutoka moja kwa moja

  • @irenebosco7411
    @irenebosco7411 2 года назад +1

    Hali niliyonayo kwa sasa😭😭.moyo unauma na kosa lang mim ni kua mwaminifu

    • @gracesilayo7670
      @gracesilayo7670 2 года назад

      Najikuta naumia acha tyu nina maumivu hadi natetemeka moyo wangu unable majeraha acha tyu unakua mwaminifu mtyu hajali yeye ni kupita na mambo yake tyu hajali kuhusu wewe

    • @gracesilayo7670
      @gracesilayo7670 2 года назад

      😭😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔

    • @luiceadam385
      @luiceadam385 5 месяцев назад

      Mm napitia leo hiii hapa 12 April 2024 cjui kama kesho itafika Salama Hali yangu mbaya sana mungu anisaidie

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 Год назад

    Mm ndo napitia kipindi hiki aisee!!!! Hadi najishangaa, mtu niliekua nampenda, sitamani nimpoteze, akisema anaumwa naomba kila saa Mungu amsaidie apone haraka, nilikua nakosa furaha kabisaa hata nikihisi kuna kitu nimekosea. Imekuja kutokea kila mara anaongea maneno yakujirudia na yananiumiza vibaya sana, yeye anaona kawaida nikajikuta nimemchukia nakuomba tena Mungu aniweke mbali nae 😥😢
    Yaani upendo niliokua nampenda umeyeyuka hadi anahisi labda nina mpenzi mwengine lakin sinaa.
    Dalili zote zinanihusu sasà miezi 2....

  • @fatmahkhamis9510
    @fatmahkhamis9510 2 года назад +1

    Asante kaka kwa somo zuri

  • @ismailramadhan1493
    @ismailramadhan1493 2 года назад +4

    Blessed sana brother

  • @Nimriysbabe984
    @Nimriysbabe984 2 года назад

    Aky kma vile waongelea maisha yangu ila kuna kitu najifunza big up bro

  • @mwajumamany6402
    @mwajumamany6402 2 года назад +2

    Kaka mi naona kweri kabisa mana mi ndio yangu imekuafa kabisa mana si kwaukimya huo

  • @Noorally24
    @Noorally24 2 года назад +3

    Thanks a lot..

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 2 года назад +1

    Angekuwa mama yangu ningeogopa