Hatua 6 Za Kutoka Kwenye Madeni.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 39

  • @BabaNasritz
    @BabaNasritz 2 месяца назад +4

    We Baba mungu Akuweke sana Aki unatuokoa sana shuklan sana

  • @TsidkenuTsidkenu-ep1yd
    @TsidkenuTsidkenu-ep1yd Год назад +1

    Asante sana mwl nime faidika sana.

  • @dominicemanuel748
    @dominicemanuel748 3 года назад +3

    Nice sana kaka

  • @bernaradashirima-zv9sh
    @bernaradashirima-zv9sh Год назад +1

    Hellow!! Good, advice!

  • @EsterMwita-kn6nw
    @EsterMwita-kn6nw Год назад

    Mtumishi mungu akubaliki Zaid na azidi kukutumia Kama chombo chake ili usaidie watu maanaa maden changamoto kwa watu mungu atusaidie tutokemo,

  • @husseinsalehe9511
    @husseinsalehe9511 4 года назад +2

    Fact!... Yaani Coach Jo! Niliyokuwa nayafikiria ndio umekuja kunipigia mistari kabisaaa... Thanks for this!

    • @auguhhindo1240
      @auguhhindo1240 4 года назад

      Big up bro. Unajitahidi sana kutufundisha jamii

  • @mchamakame9348
    @mchamakame9348 4 года назад +1

    💗good luck

  • @brightonmohammed4777
    @brightonmohammed4777 2 года назад +3

    Sawa braza ila nitatoka tu kwa hiz point unazotoa

  • @dominicemanuel748
    @dominicemanuel748 3 года назад +1

    Ubarikiwe sana kaka🙏🙏🙏🙏🙏

  • @azizaisack2572
    @azizaisack2572 4 года назад +2

    Asant

  • @NSCCLORUVANI-TAG
    @NSCCLORUVANI-TAG 9 месяцев назад +2

    Nataka kupanga Semina kanisani kwangu nipo Arusha.

  • @blessedmike7520
    @blessedmike7520 2 года назад

    Thank you so much. I had to subscribe to your channel. I am going to put this into practice and I'll come back with my testimony. Following from Kenya

  • @songolomeshake6206
    @songolomeshake6206 Год назад

    Ubarikiwe

  • @Moviesinkiswahili
    @Moviesinkiswahili 4 года назад +3

    shukran sir.

  • @josephbudelele284
    @josephbudelele284 Год назад

    Perfect said, thank you for the advice.

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 4 года назад +1

    Stay blessed Sir

  • @rosemkumbi
    @rosemkumbi 11 месяцев назад

    mungu akubarik

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani5237 3 года назад +1

    Pamojaaa

  • @eliasmugume254
    @eliasmugume254 4 года назад

    Mungu Akubariki Sana Kabisa

  • @salehali4saleh19
    @salehali4saleh19 4 года назад

    Kaka pole sana na majukumu lkn pia ahsante sana kwa darasa zako hakika zimenibadilisha sana

  • @RashidAbdulaziz-r4l
    @RashidAbdulaziz-r4l 6 месяцев назад

    Kweli

  • @charleschavala434
    @charleschavala434 Год назад

    Thank you

  • @onlinecashtv7037
    @onlinecashtv7037 4 года назад +1

    Darasa la leo zuri Sana kiongozi

  • @twaybachellah914
    @twaybachellah914 4 года назад

    Asante sana mwl.

  • @abelhilonga1095
    @abelhilonga1095 2 года назад +2

    Kweli nimezoea kudaiwa mpk kama sidaiwi nahisi kama siko hai

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 4 года назад +3

    Tunashindwa kukulipa kwa elimu napokea kwa mikono 2 elimu unayo tupa

  • @issakatety3535
    @issakatety3535 27 дней назад

    Kaka ukija mbeya nitakuwepo kwenye semina

  • @emmanuelmabisi32
    @emmanuelmabisi32 10 месяцев назад

    🙏🙏🙏🙏

  • @NSCCLORUVANI-TAG
    @NSCCLORUVANI-TAG 9 месяцев назад

    Jamani nahitaji namba ya Joel Nanauka please mwenye nayo naiyomba jamani.

  • @kelvinmhema37
    @kelvinmhema37 4 года назад +7

    hizi zote njia sita mimi binafsi nimeshajaribu kuzifaata but still mpaka sasa sijaweza kutoka kwenye kesi za madeni, namaliza mwaka sasa na sijui nifanye lipi la zaidi.. pls forks i need some help!

  • @seifzongo320
    @seifzongo320 4 года назад

    Hakuna haja ya kuishi MAISHA ambayo bado hujayafikia ..... increase your income,punguza matumizi na ongeza namna za kuongeza kipato chako

  • @shabanhassan2540
    @shabanhassan2540 2 года назад +1

    Bro msomo Yako yamekuwa yakinipa nguvu lakin mm Niko kwenye changamoto ya teni yaliyo Fanya nikosa uhuru na sijui ni namna gan nitalipa kwasasababu biashara niliyokuwa nikifanya nimetapeliwa nikiwa na pesa za watu so saivi nimekosa kuaminika juu ya hiyo pesa

  • @lesusi7872
    @lesusi7872 4 года назад

    Ninayojifunza kwako ni zaidi ya niliyosoma shule