Kwa uhakika watu wanapinga uyu mutumishi wamungu président MAGUFULI ni MUROZI KWERI. Mimi Si mutanzania lakini uyu RAIS wenu nimutumishi wa wanainchi. Namupenda sana. Mungu abariki Tanzanie inchi ya amani.tunawapenda wa Tanzaniya kwa utulivu wenu na amani. Nawependa sana kutokeya CANADA mungu awalinde
Ww mzee 2020 ss tushasema atutakuwa na muda wa kupoteza kuchagua mtu mwingine ww peta mpk mungu atapo amua yeye bana sikuiyo mm nalala wala sinamda wakwenda kupoteza
Tutaonana naye siku ya finale Siku yamalipo siku yamajuto siku yakisimamo siku yawamotoni waingizwe motoni wapeponi waingie peponi kwahiyo tutaonana naye siku itakayojulikana mbivu nambichi
@NKWAYA NDAKI akili ndogo sana wewe na unachangia kwa chuki na mihemko ya kisiasa, hivi wewe jpm hana mshahara wala marupurupu anayoweza kuwanunulia watu samaki acha roho mbaya
Sizani Sina uhakika, sifikilii kama atashuka atakuja Kama BABA BABU UNCLE MAGUFURI , hakika mtoto anaetambaa sio Rahisi kujua malengo yake, atakua Nani baadae, wakina baba/watu wangekupigia kura mapema na watu wangefaidika mapema, ah NENDA TU MAGU
Kama ulimpenda magufuli gonga like yako hapo tutakukumbuka daima
Like
I love u Rais Dr. Makufuri wa Tanzania Mimi kutoka Rwanda
This guy was really great ... A realistic person who had gud plans for his people ....rest in peace doctor
Yaani kila siku unanifurahisha Raisi wangu Magufuli
Nakupongeza saaana rais, nimekukubali ,Mungu akujaalie uwe na moyo huohuo
Jembe magufu umeenda 😭😭😭Mungu akupe mwanga wa milele
Siku zote nazungumza ,Tanzania kwanza ,uzalendo daima ,huu ni mfano tosha,
Kabisa
Waoo asante Mungu umetupatia Rais mzuri. Sitajutia kuwa mtanzania hata siku moja
Daaah 😥 mbona naona Kama ndoto hviii jmn 😭
Mbele Yako nyuma yetu MW/MUNGU akulaze mahara pema peponi 🙏😭
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Safi sana Mh Rais Jpm kwa uamuzi huo wa kukataza matumizi ya mifuko ya plastiki zinachafua sana mazingira yetu
Kwa uhakika watu wanapinga uyu mutumishi wamungu président MAGUFULI ni MUROZI KWERI. Mimi Si mutanzania lakini uyu RAIS wenu nimutumishi wa wanainchi. Namupenda sana. Mungu abariki Tanzanie inchi ya amani.tunawapenda wa Tanzaniya kwa utulivu wenu na amani. Nawependa sana kutokeya CANADA mungu awalinde
Sawa
RIP MAGUFULI UMETUWACHA NA HUZUNI 😭😭😭
Nakubali laisi kununu wa samaki watu wafuturu mungu akulipe
I miss this man 😭😢😢💔😭
Nakpnd xn rais wng Allah hakujalieh afya na Baraka tele kwny uongoz wk na ht ukistaaf inxha allah...
😭😭😭😭😭
Huyo ndiyo chaguo letu, Asante Mungu
Bruno Nsungwe chaguo lako na nani peleka ujinga wako huko watu wana kushangaa
Bill Gussy unamshangaa na nani???Na wewe Toa ujinga wako
Watu wajinga wamshangae nini peleka huku urimbukeni wako
Good job jpm. Tumekuelewa baba
Mzee uko vizuri
mungu ametupa raisi asie bagua dini kabila chama wala rangi kiufupi yupo vizuri sana
Asante san baba yetu asante san kiongozi wetu asante san raisi wetu raisi wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe raisi wetu tunakupenda san
Mungu Mbariki mjomba Magufuli
Kama ume mwerewa baba jesca gonga like mungu amuweke miaka 1000
Siyo umemwerewa sema umemwelewa
Umenikumbusha mbali matumiz ya r-l
Aya bhana😆😆
Herman Koba maneno sio vitendo anayeumia ni mtu wa chini
Mbona maisha yale yale
He is gone 😭
Safi sana, unaenda sokoni na gharama za mifuko asante kwa kuliona hilo
👏👏👏 teh teh teh😁😁😁 bila kumsahau samaki wake Mr. Prezda big up
Wale wa kudanga watadanga sana ughaibuni jembe mbele kwa mbele
Ww mzee 2020 ss tushasema atutakuwa na muda wa kupoteza kuchagua mtu mwingine ww peta mpk mungu atapo amua yeye bana sikuiyo mm nalala wala sinamda wakwenda kupoteza
Dah ww ndio rais bwana tulikua tunakuota siku nyingi mungu akulinde na kila baya
Mtani wangu mungu akulipe kinachostahiki
Safi sana kiongozi
Huyu mzee ataishi sana kwangu, moyo wa kuwafanya watanzania wote kuwa ndugu zake ulikuwa moyo mkuu sana
JPM Ni Shidaaaa Sema baba tunakuelewa Rais wetu
Ni rais mzuri sana na ana ndoto nzur na taifa hili ila wasaidizi wake ndio wanaomwangusha mungu akufanyie wepesi ulikomboe taifa maana linaangamia
Hapa kazi 2
Ni jambo linalovutia 👏👏👏💪💪
Samaki wangu yuko wapi?
Rais tulipewa na MUNGU lkn MUNGU NDO MWENYE UWEZO .R.I.P BABA😭😭😭😭😭
pumzika kwa amani raisi jpm
MAGUFULI BBNGU MUNGU AKUBARIKI
Magufuli ww nikiboko. Rais usie kuwa na upendeleo
Hawachelewi wavuvi hao kukwambia samaki wako amekwenda kupigwa chapa alafu anakuja ukishafika ikulu😀😀😂😂😂😂
jpm ni nyerere wa pili. haongei uwongo
Point kubwa kiobgozi
Kizuri hakidumu,rest in peace ua Excellency
Watanzania tunakupenda sana Mh Rais wetu Dr JPM
RIP magufuli
Nakupenda sana we baba
Wee baba mungu akupe maisha marefu magufuli tunatamani utawale miaka yote kama qobos oman
He is gone 😭
Rais wawatanzania mungu akujalie uzima na afya njema
Mr.President
fanbulla lukasa big up rais wetu
Huyu mzee kafa kweli au
Sitaki ata kuwaza maana inachoma km pasi ya moto imewekwa moyoni
Nakupenda Daddy
President Magufuri ni mtu mwema kweri
Mashaaallah hakika ulikuwa kumbe wa ajabu sana bado tu naumia wanao tz yalalama sijui mado da yetu yatapoa lini
Nkupenda san rais wngu sjakosea kukuchagua mungu akuweke
Kweli kabisa
No choice we should eccept God wishes. But his foot step it is our guadance for the future to come.
It is a sad exit of the hero,we will always miss your presence
Safi sana upo kawaida na wanaichi wako jpm mtu wa kawaida sana unaupedo na watu wa chini sana
Safi rais Magufuli uko vizuri
Big up Magufuli
Kweli baba
Kwakweli penye bei hapo nimekuelewa mifuko IPO juu sana mwe
Kweli leo nimeamin kizur hakidumu
Mmmm baba ulituzowesha raha Acha tulie tu ai kukutaka kabisa tuwe wanyonge
Real Tanzanian Daddy 😍😍
I love Jesus amen our daddy
Nani kafunga nimnunulie samaki 😭😭😭
Nice mashallah
Unaakili Sana muheshimiwa tule hapauapa
Together we can
Kizur akidumu jmn
Raha sana!!!
Pumzika kwa amani baba, hakika tutaonana sikumoja niswala la muda tu, wew nimoja ya watu nilio vutiwa nao katika maisha yangu😥😥
Mimi shauku haiishi kumsikiliza wala hakuchoshi utani mwingi.
My President 💯👏
Watakuja watawala ila rais ni magufuri mpaka mwisho wa dunia
Wee baba utatuliza mpaka lini? Machozi yetu hayafutiki kamwe
😭😭😭😭😭🙌mweeeeee
U will forever lve in our memories 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Wewe ulikua rafiki wa watanzania jaman dah nitampata wapi kama wewe baba
Leo hawezi tena.kuongea na hatuta mona tena mweee mchanga huu mimi.siupendi unachuwa vitu vzri
Tutaonana naye siku ya finale Siku yamalipo siku yamajuto siku yakisimamo siku yawamotoni waingizwe motoni wapeponi waingie peponi kwahiyo tutaonana naye siku itakayojulikana mbivu nambichi
Leo hi tunakomeshwa wananchi
a very good leader
Yuko vizuri
Msigwa macho juu juu vp we ni bodyguard?
Safi
the son of Joseph and Suzanna Magufuli
Baba hayupo ila muongozo na huruma zake bado hai tutaendelea kufaidika ns kuigwa daima na daima.
Point nilioipenda ni kuwa wafanyabiashara wanaotengeneza mifuko watengeneze kwa wingi na iuzwe/ipatikane kwa bei nafuu
Magufuli tutalia na kusaga meno hakika ulikuwa rais wa watanzania
Pumzika kwa amani jemedari wetu
Dah 😭
Utani Baba😁🙄, lala Salama. Alamsiki
Daaaah jman magu wew mbona umetuliza
Daah inauma jamani
Tunamlilia wangapi mheshmiwa😖
Mtu wa watu jpm
@NKWAYA NDAKI akili ndogo sana wewe na unachangia kwa chuki na mihemko ya kisiasa, hivi wewe jpm hana mshahara wala marupurupu anayoweza kuwanunulia watu samaki acha roho mbaya
Daaa😭😭😭😭😭
Sis wananchi tumekuelew ila hao wa viyoyozi ni shiida hwajakuelew kabisaaaaaaa
R.i.p baba
Kama ndoto... rip baba yangu
Makala saigon ucfananishe kifo vs usingiz
mashalaah jpm
R I P magufuli weetu
Sizani Sina uhakika, sifikilii kama atashuka atakuja Kama BABA BABU UNCLE MAGUFURI , hakika mtoto anaetambaa sio Rahisi kujua malengo yake, atakua Nani baadae, wakina baba/watu wangekupigia kura mapema na watu wangefaidika mapema, ah NENDA TU MAGU
😭😭😭😭😭😭 nimekumisi baba
😊😊😊😊😊
Jembeeeeee
R.I.P Hayati Joseph pombe magufuli