RAIS MAGUFULI ATAFUTA SAMAKI WAKE FERI "WAAMBIE SAMAKI WANGU ASIJE POTEA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 июн 2019

Комментарии • 161

  • @sheisgodorait5721
    @sheisgodorait5721 3 года назад +52

    Kama ulimpenda magufuli gonga like yako hapo tutakukumbuka daima

  • @uwajado3048
    @uwajado3048 4 года назад +12

    I love u Rais Dr. Makufuri wa Tanzania Mimi kutoka Rwanda

  • @simonmburu8784
    @simonmburu8784 3 года назад +17

    This guy was really great ... A realistic person who had gud plans for his people ....rest in peace doctor

  • @omarikessy2339
    @omarikessy2339 5 лет назад +13

    Yaani kila siku unanifurahisha Raisi wangu Magufuli

  • @Worldunite
    @Worldunite 5 лет назад +10

    Nakupongeza saaana rais, nimekukubali ,Mungu akujaalie uwe na moyo huohuo

  • @tatubadi9010
    @tatubadi9010 3 года назад +7

    Jembe magufu umeenda 😭😭😭Mungu akupe mwanga wa milele

  • @diltondilunga9915
    @diltondilunga9915 5 лет назад +24

    Siku zote nazungumza ,Tanzania kwanza ,uzalendo daima ,huu ni mfano tosha,

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 5 лет назад +16

    Waoo asante Mungu umetupatia Rais mzuri. Sitajutia kuwa mtanzania hata siku moja

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 года назад +9

    Daaah 😥 mbona naona Kama ndoto hviii jmn 😭
    Mbele Yako nyuma yetu MW/MUNGU akulaze mahara pema peponi 🙏😭

    • @princessh3349
      @princessh3349 3 года назад

      😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @paulofesto4948
    @paulofesto4948 5 лет назад +11

    Safi sana Mh Rais Jpm kwa uamuzi huo wa kukataza matumizi ya mifuko ya plastiki zinachafua sana mazingira yetu

  • @julessebintu6525
    @julessebintu6525 5 лет назад +6

    Kwa uhakika watu wanapinga uyu mutumishi wamungu président MAGUFULI ni MUROZI KWERI. Mimi Si mutanzania lakini uyu RAIS wenu nimutumishi wa wanainchi. Namupenda sana. Mungu abariki Tanzanie inchi ya amani.tunawapenda wa Tanzaniya kwa utulivu wenu na amani. Nawependa sana kutokeya CANADA mungu awalinde

  • @hadijaangura6572
    @hadijaangura6572 3 года назад +12

    RIP MAGUFULI UMETUWACHA NA HUZUNI 😭😭😭

    • @sauda1236
      @sauda1236 3 года назад

      Nakubali laisi kununu wa samaki watu wafuturu mungu akulipe

  • @elidaburton8737
    @elidaburton8737 2 года назад +7

    I miss this man 😭😢😢💔😭

  • @athumanhassan9360
    @athumanhassan9360 5 лет назад +5

    Nakpnd xn rais wng Allah hakujalieh afya na Baraka tele kwny uongoz wk na ht ukistaaf inxha allah...

  • @brunonsungwe8389
    @brunonsungwe8389 5 лет назад +21

    Huyo ndiyo chaguo letu, Asante Mungu

    • @billgussy6099
      @billgussy6099 5 лет назад

      Bruno Nsungwe chaguo lako na nani peleka ujinga wako huko watu wana kushangaa

    • @chrismbalilaki2445
      @chrismbalilaki2445 5 лет назад

      Bill Gussy unamshangaa na nani???Na wewe Toa ujinga wako

    • @poulmisoji4977
      @poulmisoji4977 3 года назад

      Watu wajinga wamshangae nini peleka huku urimbukeni wako

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 5 лет назад +5

    Good job jpm. Tumekuelewa baba

  • @simonmagembe7140
    @simonmagembe7140 5 лет назад +6

    Mzee uko vizuri

  • @feisalmohamed3198
    @feisalmohamed3198 5 лет назад +4

    mungu ametupa raisi asie bagua dini kabila chama wala rangi kiufupi yupo vizuri sana

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 лет назад +7

    Asante san baba yetu asante san kiongozi wetu asante san raisi wetu raisi wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe raisi wetu tunakupenda san

  • @hermankoba4970
    @hermankoba4970 5 лет назад +28

    Kama ume mwerewa baba jesca gonga like mungu amuweke miaka 1000

  • @saidiyusuph5577
    @saidiyusuph5577 5 лет назад +3

    Safi sana, unaenda sokoni na gharama za mifuko asante kwa kuliona hilo

  • @f.a6043
    @f.a6043 5 лет назад +2

    👏👏👏 teh teh teh😁😁😁 bila kumsahau samaki wake Mr. Prezda big up

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 5 лет назад +9

    Wale wa kudanga watadanga sana ughaibuni jembe mbele kwa mbele

  • @delabossreizer9471
    @delabossreizer9471 5 лет назад +6

    Ww mzee 2020 ss tushasema atutakuwa na muda wa kupoteza kuchagua mtu mwingine ww peta mpk mungu atapo amua yeye bana sikuiyo mm nalala wala sinamda wakwenda kupoteza

  • @delorenzosource1987
    @delorenzosource1987 5 лет назад +3

    Dah ww ndio rais bwana tulikua tunakuota siku nyingi mungu akulinde na kila baya

  • @allyndambwe4354
    @allyndambwe4354 3 года назад +2

    Mtani wangu mungu akulipe kinachostahiki

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 5 лет назад +6

    Safi sana kiongozi

  • @sochriman
    @sochriman 3 года назад +2

    Huyu mzee ataishi sana kwangu, moyo wa kuwafanya watanzania wote kuwa ndugu zake ulikuwa moyo mkuu sana

  • @ababuumwana5102
    @ababuumwana5102 5 лет назад +10

    JPM Ni Shidaaaa Sema baba tunakuelewa Rais wetu

  • @georgepondelo4845
    @georgepondelo4845 5 лет назад +2

    Ni rais mzuri sana na ana ndoto nzur na taifa hili ila wasaidizi wake ndio wanaomwangusha mungu akufanyie wepesi ulikomboe taifa maana linaangamia

  • @lucaswalogwa3821
    @lucaswalogwa3821 5 лет назад +5

    Samaki wangu yuko wapi?

  • @rezegerezege691
    @rezegerezege691 3 года назад +2

    Rais tulipewa na MUNGU lkn MUNGU NDO MWENYE UWEZO .R.I.P BABA😭😭😭😭😭

  • @kipesekiaruwamallya3098
    @kipesekiaruwamallya3098 3 года назад +1

    pumzika kwa amani raisi jpm

  • @tereseamasawe8111
    @tereseamasawe8111 5 лет назад +6

    MAGUFULI BBNGU MUNGU AKUBARIKI

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 5 лет назад +7

    Hawachelewi wavuvi hao kukwambia samaki wako amekwenda kupigwa chapa alafu anakuja ukishafika ikulu😀😀😂😂😂😂

  • @makalasaigoni2275
    @makalasaigoni2275 5 лет назад +16

    jpm ni nyerere wa pili. haongei uwongo

  • @ericmunoru622
    @ericmunoru622 3 года назад +1

    Kizuri hakidumu,rest in peace ua Excellency

  • @hassanabdu6862
    @hassanabdu6862 5 лет назад

    Watanzania tunakupenda sana Mh Rais wetu Dr JPM

  • @rehemaothman2200
    @rehemaothman2200 3 года назад +2

    RIP magufuli

  • @ancomagu3155
    @ancomagu3155 5 лет назад +2

    Nakupenda sana we baba

  • @salmaothuman9762
    @salmaothuman9762 5 лет назад +1

    Wee baba mungu akupe maisha marefu magufuli tunatamani utawale miaka yote kama qobos oman

  • @teklamahenge5212
    @teklamahenge5212 5 лет назад

    Rais wawatanzania mungu akujalie uzima na afya njema

  • @omarisuweid7018
    @omarisuweid7018 5 лет назад +5

    Mr.President

  • @emilyibraimo5032
    @emilyibraimo5032 3 года назад +1

    Huyu mzee kafa kweli au

    • @eyumededu2948
      @eyumededu2948 3 года назад

      Sitaki ata kuwaza maana inachoma km pasi ya moto imewekwa moyoni
      Nakupenda Daddy

  • @m.jeanfelix3780
    @m.jeanfelix3780 4 года назад +1

    President Magufuri ni mtu mwema kweri

  • @sofiasofia7557
    @sofiasofia7557 3 года назад

    Mashaaallah hakika ulikuwa kumbe wa ajabu sana bado tu naumia wanao tz yalalama sijui mado da yetu yatapoa lini

  • @galayagalaya48
    @galayagalaya48 5 лет назад

    Nkupenda san rais wngu sjakosea kukuchagua mungu akuweke

  • @josephndekele3586
    @josephndekele3586 5 лет назад +1

    Kweli kabisa

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 3 года назад

    No choice we should eccept God wishes. But his foot step it is our guadance for the future to come.

  • @King_186
    @King_186 2 года назад +1

    It is a sad exit of the hero,we will always miss your presence

  • @angeluslijuja1359
    @angeluslijuja1359 5 лет назад

    Safi sana upo kawaida na wanaichi wako jpm mtu wa kawaida sana unaupedo na watu wa chini sana

  • @josephnchunga3019
    @josephnchunga3019 5 лет назад

    Safi rais Magufuli uko vizuri

  • @adenihalisi4218
    @adenihalisi4218 5 лет назад +4

    Big up Magufuli

  • @petercastory6324
    @petercastory6324 5 лет назад +2

    Kweli baba

  • @shabanmwasopo9545
    @shabanmwasopo9545 5 лет назад +1

    Kwakweli penye bei hapo nimekuelewa mifuko IPO juu sana mwe

  • @iddothmani3273
    @iddothmani3273 3 года назад

    Kweli leo nimeamin kizur hakidumu

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 3 года назад

    Mmmm baba ulituzowesha raha Acha tulie tu ai kukutaka kabisa tuwe wanyonge

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 5 лет назад +3

    Real Tanzanian Daddy 😍😍

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 года назад

    Nani kafunga nimnunulie samaki 😭😭😭

  • @ahmedhamdan8526
    @ahmedhamdan8526 5 лет назад +2

    Nice mashallah

  • @khadijashabani5509
    @khadijashabani5509 3 года назад

    Unaakili Sana muheshimiwa tule hapauapa

  • @revocatusedward5739
    @revocatusedward5739 5 лет назад +1

    Together we can

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll9363 3 года назад +1

    Kizur akidumu jmn

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 5 лет назад

    Raha sana!!!

  • @alexanderpius1992
    @alexanderpius1992 3 года назад

    Pumzika kwa amani baba, hakika tutaonana sikumoja niswala la muda tu, wew nimoja ya watu nilio vutiwa nao katika maisha yangu😥😥

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 3 года назад

      Mimi shauku haiishi kumsikiliza wala hakuchoshi utani mwingi.

  • @mojamal007
    @mojamal007 5 лет назад

    My President 💯👏

  • @josephjustine6414
    @josephjustine6414 3 года назад

    Watakuja watawala ila rais ni magufuri mpaka mwisho wa dunia

  • @johnmbugani6532
    @johnmbugani6532 3 года назад

    Wee baba utatuliza mpaka lini? Machozi yetu hayafutiki kamwe

  • @maryzawadi4944
    @maryzawadi4944 3 года назад +2

    😭😭😭😭😭🙌mweeeeee

  • @malaki047
    @malaki047 3 года назад

    U will forever lve in our memories 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @simoncharles683
    @simoncharles683 2 года назад

    Wewe ulikua rafiki wa watanzania jaman dah nitampata wapi kama wewe baba

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 3 года назад

    Leo hawezi tena.kuongea na hatuta mona tena mweee mchanga huu mimi.siupendi unachuwa vitu vzri

    • @abufauzan9417
      @abufauzan9417 3 года назад

      Tutaonana naye siku ya finale Siku yamalipo siku yamajuto siku yakisimamo siku yawamotoni waingizwe motoni wapeponi waingie peponi kwahiyo tutaonana naye siku itakayojulikana mbivu nambichi

  • @lukabekatundu8136
    @lukabekatundu8136 2 года назад

    Leo hi tunakomeshwa wananchi

  • @rajabaliremtulla6369
    @rajabaliremtulla6369 5 лет назад

    a very good leader

  • @iddikibwana9185
    @iddikibwana9185 5 лет назад

    Yuko vizuri

  • @godfreyleka5839
    @godfreyleka5839 5 лет назад

    Msigwa macho juu juu vp we ni bodyguard?

  • @mohdsalum3832
    @mohdsalum3832 5 лет назад +2

    Safi

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 года назад

    the son of Joseph and Suzanna Magufuli

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 3 года назад

    Baba hayupo ila muongozo na huruma zake bado hai tutaendelea kufaidika ns kuigwa daima na daima.

  • @brysonsabun4657
    @brysonsabun4657 5 лет назад

    Point nilioipenda ni kuwa wafanyabiashara wanaotengeneza mifuko watengeneze kwa wingi na iuzwe/ipatikane kwa bei nafuu

  • @khannasiba8942
    @khannasiba8942 3 года назад

    Magufuli tutalia na kusaga meno hakika ulikuwa rais wa watanzania

  • @patrickmbogo7805
    @patrickmbogo7805 3 года назад

    Pumzika kwa amani jemedari wetu

  • @raykul7509
    @raykul7509 3 года назад +2

    Dah 😭

  • @explorelondon3695
    @explorelondon3695 3 года назад +1

    Utani Baba😁🙄, lala Salama. Alamsiki

  • @talha2754
    @talha2754 3 года назад

    Daaaah jman magu wew mbona umetuliza

  • @erickhaule8680
    @erickhaule8680 3 года назад

    Daah inauma jamani

  • @mrfix6596
    @mrfix6596 3 года назад

    Tunamlilia wangapi mheshmiwa😖

  • @mbwanaomary7537
    @mbwanaomary7537 5 лет назад +7

    Mtu wa watu jpm

    • @mbwanaomary7537
      @mbwanaomary7537 5 лет назад +1

      @NKWAYA NDAKI akili ndogo sana wewe na unachangia kwa chuki na mihemko ya kisiasa, hivi wewe jpm hana mshahara wala marupurupu anayoweza kuwanunulia watu samaki acha roho mbaya

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll9363 3 года назад +1

    Daaa😭😭😭😭😭

  • @anthonyfaru9908
    @anthonyfaru9908 5 лет назад

    Sis wananchi tumekuelew ila hao wa viyoyozi ni shiida hwajakuelew kabisaaaaaaa

  • @fredleonardo739
    @fredleonardo739 2 года назад

    R.i.p baba

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 3 года назад

    Kama ndoto... rip baba yangu

  • @barakamfugale1049
    @barakamfugale1049 5 лет назад

    Makala saigon ucfananishe kifo vs usingiz

  • @salehemkomwa4400
    @salehemkomwa4400 5 лет назад

    mashalaah jpm

  • @amanally7327
    @amanally7327 3 года назад +1

    R I P magufuli weetu

  • @issabakari1916
    @issabakari1916 2 года назад

    Sizani Sina uhakika, sifikilii kama atashuka atakuja Kama BABA BABU UNCLE MAGUFURI , hakika mtoto anaetambaa sio Rahisi kujua malengo yake, atakua Nani baadae, wakina baba/watu wangekupigia kura mapema na watu wangefaidika mapema, ah NENDA TU MAGU

  • @irakozejclaude7869
    @irakozejclaude7869 3 года назад

    😭😭😭😭😭😭 nimekumisi baba

  • @Johnson-112
    @Johnson-112 13 дней назад

    😊😊😊😊😊

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 5 лет назад +1

    Jembeeeeee

  • @vincentmwita1494
    @vincentmwita1494 3 года назад

    R.I.P Hayati Joseph pombe magufuli