KIKWETE Asimulia WALIVYOGOMEA IKULU kuhamishiwa DODOMA
HTML-код
- Опубликовано: 29 май 2020
- KIKWETE azungumzia WALIVYOGOMEA IKULU kuhamishiwa DODOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, leo anaweka jiwe la msingi la ujenzi wa ikulu mpya ya Chamwino jijini Dodoma, zoezi lililohudhuriwa na marais wastaafu, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin William Mkapa na Jakaya Mrisho Kikwete sambamba na viongozi wengine wa sasa na wastaafu.
Pia Rais Magufuli amekabidhi ndege aina ya tausi kwa Mama Maria Nyerere, mke wa baba wa taifa, marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi, Benjamin William Mkapa na Jakaya Mrisho Kikwete. Wastaafu wote wamezungumza kwenye hafla hiyo, huku mama Maria akiwakilishwa na mwanaye Makongoro Nyerere na kwa pamoja wamemshukuru mheshimiwa rais.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Nyerere tutakukumbuka daima. Na yule aliyetimiza ndoto ya kuhamia Dodoma, jpm, wengine walizidisha maneno kuliko vitendo.
My Country Tanzania My Mother Tanzania Thank you.
Nchi nyingine Maraisi wa Tz hao,kwingine hakuna. Nchi yangu naipenda. Hakuna kama Tanzania
Safii saana international mediator, diplomatic man and international conflict solver bravo kikwete
Umeongea vzr sana ndg Kikwete
Yap
Ulituchelewesha sana Wewe mwanadamu
Maneno tu na kuchekacheka kama fara, wewe ulikuwa mtalii hakuna la maana umefanya licha ya kukuza ufisadi. Mnafiki mkubwa.
Hongera inchi yangu, hongera raisi wangu John Magufuli
Kikwete umeongea poa sana Rais wetu
Hongera JPM kwa kutimiza ndoto za mwalimu Nyerere.
Ndo maana kunawakati nawaambia bila udketa mambo mengine hayawezekani.Hata maandiko matakatifu yansema mambo mengine hayawezekani ila kwa kufunga na kusali.JPM ameweza kwakuamua bila kushirikisha watu wenye ubinafsi.Unafikiri jambo hili lingepelekwa bungeni,namengine kama ununuzi wa ndege ujenzi wa meri na Reli bwawa la umeme nk vingefanikiwa???Nawaambieni nilazima uwe na msuri wa maamuzi magumu kama Rais JPM ndo unaweza fikia malengo.Nakilichotuchelewesha kuwa na maisha bora kwa wote watanzania ni kila jambo tushirikishane nawanaoshirikishwa niwale wapigaji wenye kugikiria matumbo yao.Ndo maana kwa mambo anayoyafanya JPM kwa wanasiasa anaonekana ni dikteta kwasababu anaamua bila kusubiri maviakao amabayo miaka yote yamefanyika bila kuleta tija.Watanzania wenzangu Tumuunge mkono Raisi wetu JPM.tumpende tumuombee atatufikisha ng'ambo ya mafanikio tutashangilia kama wana wa Israeli walivyoshangilia walipovuka bahari ya shamu.
Naipenda Tanzania naipenda nchi yangu na nawapenda sana marais wangu
hongera sana viongozi wa Tanzania
Umetuchelewesha sana we jamaa
Amekuchelewesha mwl.nyerere mwinyi na mkapa sio jk acha dhuruma
Uligomea kuhamia dodoma kwa sababu hukuwa na uwezo huo mwanaumea aliweza licha ya miradi mingi kuwepo
Im proud tanzanian proud to be dodoma tribe
Good
Hekima,Umoja na Amani..Mungu ibariki Tanzania na watu wake
...
Kwa speech huwa nakuelewa sn kweli ni sauti ya mstaafu
duuu chuma
nakupenda nchi yangu Tanzania
nawapenda marais wote, upendo wenu unamaana kubwa kwetu
Jamani. Mpeni mama janeth mjane wa rais wetu hayati JPM tausi pia. Furaha na faraja kwa mema ya JPM kwa Tz. Mungu tubariki watoto wa Tz
Atapewa tu ngoja "40" imalizike😊
Well done
Watoto wa mama tanzania.marais wangu
Allah bless you mzee jakaya
Mie binafsi nafurahia Historia inavyonijia vizuri. Mwaka 1973 Mwalimu Nyerere alipotangaza Makao Makuu ya Nchi kuhamia Dodoma nilikuwa nasoma Shule ya Msingi Ibihwa Dodoma darasa la tatu. Leo nashukudia utekelezaji kamili na ujenzi wa Makao Makuu Kama alivyotangaza Mwalimu Nyerere. Mungu anipe nini Mie maana nimeyashuhudia yote na sio kwa kusimuliwa. Ni kama Nicodemu alivyoshuhudia uwepo wa Kristo. JPM hoyee kwa utekelezaji. Muwaha John Malecela na wewe ulijitahidi chini ya Mzee Mwinyi kuihamisha Ofisi ya Waziri Mkuu kwenda Dodoma, ingawaje baadae wajanja wakairejesha Dar es Salaam. Mungu ibarika Africa Mungu ibariki Tanzania.
Ayubu 45:2 nilikuwa nikikusikia kwa masikio Leo hii nakuona kwa macho
N wapi utaona wastafu Marais na Rais wa awam ya tano JPM wakiwa wamekaa pamoja ni Tanzania utayaona haya idumu Aman tz na Mungu awe Mungu juu ya nch Tz
Kweli ubinasu ndo kikwazo
Wala,!!!!! Wackubezu mzee wangu Raisi msitaafu MRISHO JAKAYA KIKWETE, Ulifanyanya mambo makubwa sana kwa walio wapofu ndo muda wao wa kuona.
Nikweli unacho sema mweshimiwa kikwete
Asante kwa chuo baba
Wale ambao wanajisahaulisha kazi zilizofanywa na Kikwete..."Chuo Kikuu Cha Dodoma" moja ya Kazi zake..kaunganisha mikoa yote kwa barabara za kudumu
Naisikia lafudhi ya Ridhiwani toka kwa Sauti ya Mzee JK, hongera sana Mzee wetu Mungu azidi kukupa afya pamoja na watangulizi wako, nyie ni majemedari wetu endeleeni kumsaidia Mheshimiwa Rais JPM kwa ushauri ili tusonge mbele kimaendeleo kuelekea Uchumi wa Kati.
Upendo ndo utamaduni wetu
Mbiiyuuu;:mbiiyuu yamugambo ikilia ina jambo.Kweli Jpm your laegersy are the dreams of the founder JULIUS MWALIMU KABARAGE NYERERE.weldone.Ukisema tuende wote nituende hakuna kubaki nyuma chapa kazi.
MUNGU akulinde na HUSUDA jakaya napenda speech zako
Nice baba
Mungu awabariki Wastaafu wote kwa mliyoyatendea nchi hii. Mungu awajalie afya njema na muendelee kushirikiana na watakaotawala mkiwa hai.
Best naso wanawake wabay
True
Rip president John pombe magufuli, hakuna mtu hapa alijua uko karibu kufaa😢
Mzee Kikwete safi sana.
i love it
Nimependa kilicho fanyika,,😍😍
Video mbon mbovu ase
do we have double white house now coz naona kama Dar bado inatumika
Hivi nyie mlikuwa mnashindwaje? Mambo mengi Jpm anayafanya sielewi yalikuwa yanakwama vipi? Thank you God for Jpm he is a Leader
Sidhani kama kuna tofauti yoyote kati ya marais waliopita na wa sasa. Kila mtu alifanya kwa nafasi yake. Mengi anayofanya raisi wa sasa yalianza toka vipindi vilivyo tangulia.
Pumzika
Edwin Paul acha pumba
Kikwete mwenyewe leo kaongea jinsi mabadiliko makubwa aliyoyaona wakati anapita eneo la Ikulu mpya.. Ama kweli watu wana macho ..lakini ni macho bandia tu..
Hivi kweli jamani .Rais anayejenga reli ya kisasa na bwawa la umeme... Utamfananisha na watangulizi wake kweli ?
Aaaa.. Nashukuru bwana.. Macho yangu yanaona. Sijawa kipofu mie
@@edwinpaul9930 ni kweli kabisa.
Umeongea vizuri sana JK kuweka wazi hatua ilivyokwenda... kuna aliesema amekuta li nchi la hovyo hakuna kilichofanyika
Jakaya kama unakachuk na kawivu ivi?🤔
Amefanya makubwa sana mzee huyu inshort magu na jk ni viongozi bora kabisa wa maisha yangu tumuombe mungu bi samia nae awe zaidi ya hawa
Anao asa ananikaza tu
My dad my sun my father my presdent nakupendaga Sana JK
Huzeeki !!
Nice
JPM amefany kazi Ila amekwama tu kutotoa ajira Ila kwngine kote yupo vzr
Jakaya
Mstaafu
Kikwete umemfanyia nn Mungu, mbona huzeeki
😂😂😂
Kuishi ni watu vizuri brother!! Ukiwapenda watu na ukaishi nao vizuri, Mungu anakubariki kwenye mambo mengi
Pinda nae kazeek vibaya
Achoke amefanya kazi gani???????
hana roho mbaya ndyo maana azeeki
Tunakukumbuka sana jakaya
munafiki uyoooooooo
Napenda Tanzania xna coz ni nchi ya amani kabixa
Mmh
Jk was a good politician
Ukimtoa mwinyi anafata kikwete,, ishi maisha marefu
Ft. F fry
Kalale pema mkapa
Na Magufuli pia😭😭🙏
Ubinafsi uliwakwamisha nchi moja mnataka kuanza kuvutana ndomana mlikuwa mnakwama,,🤔
I lv Tanzania
Muuwaji anasema nakuombea kwa mungu akupe maisha uje kukata utepe......for sure he has something to do with his death
Katikati ni singida sio dodomaa
Wasingida wanakula punda
Ni sindiga pamoja na dodoma
Singida Ingekuwaa Tanganyika Sawa Lakini Kumbuk Zanzibar pia Ni tz Iliyopo feat vzr kutoka Zanzibar mpak kigoma Ni Dodoma Umenielewa nafkilii
Tubadili katiba wastaaaf waruhusiwe kurudia kuwania urais
Lbd wabadili katiba jpm aendeleee, sio huyo mwenye IPTL
Mhe. Rais mstafu Jk usituache kwa ushauri ili tuweze songa mbele.
@@mohamedmotte1519 alishindwa kutuendeleza happy zamani ataweza leo? Wakati kipindupindu kinatumaliza Leo kipo wapi maji bwena. Lbd mrudie kupishana hewani huku wanainchi wanatabika. Kikwete gogo
@Humphrey Msengi kunywa maji machafu
Acha mawazo mgando
Kikwete umeongea poa sana Rais wetu
Nice
Ni ujinga kutoa ndege kwa mjane alitaka nn.h