KIKWETE Asimulia WALIVYOGOMEA IKULU kuhamishiwa DODOMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 май 2020
  • KIKWETE azungumzia WALIVYOGOMEA IKULU kuhamishiwa DODOMA
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, leo anaweka jiwe la msingi la ujenzi wa ikulu mpya ya Chamwino jijini Dodoma, zoezi lililohudhuriwa na marais wastaafu, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin William Mkapa na Jakaya Mrisho Kikwete sambamba na viongozi wengine wa sasa na wastaafu.
    Pia Rais Magufuli amekabidhi ndege aina ya tausi kwa Mama Maria Nyerere, mke wa baba wa taifa, marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi, Benjamin William Mkapa na Jakaya Mrisho Kikwete. Wastaafu wote wamezungumza kwenye hafla hiyo, huku mama Maria akiwakilishwa na mwanaye Makongoro Nyerere na kwa pamoja wamemshukuru mheshimiwa rais.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 116

  • @sebastianmichael4031
    @sebastianmichael4031 2 года назад +1

    Nyerere tutakukumbuka daima. Na yule aliyetimiza ndoto ya kuhamia Dodoma, jpm, wengine walizidisha maneno kuliko vitendo.

  • @conradmwingira684
    @conradmwingira684 4 года назад +14

    My Country Tanzania My Mother Tanzania Thank you.

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 4 года назад +20

    Nchi nyingine Maraisi wa Tz hao,kwingine hakuna. Nchi yangu naipenda. Hakuna kama Tanzania

  • @raphaeldayos5662
    @raphaeldayos5662 4 года назад +9

    Safii saana international mediator, diplomatic man and international conflict solver bravo kikwete

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 3 года назад +8

    Ulituchelewesha sana Wewe mwanadamu

    • @karamarwamugema335
      @karamarwamugema335 3 года назад +1

      Maneno tu na kuchekacheka kama fara, wewe ulikuwa mtalii hakuna la maana umefanya licha ya kukuza ufisadi. Mnafiki mkubwa.

  • @moseschilumba7907
    @moseschilumba7907 4 года назад +19

    Hongera inchi yangu, hongera raisi wangu John Magufuli

  • @stevenobillo7100
    @stevenobillo7100 4 года назад +10

    Kikwete umeongea poa sana Rais wetu

  • @maigechagu7324
    @maigechagu7324 4 года назад +21

    Hongera JPM kwa kutimiza ndoto za mwalimu Nyerere.

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 4 года назад +9

    Ndo maana kunawakati nawaambia bila udketa mambo mengine hayawezekani.Hata maandiko matakatifu yansema mambo mengine hayawezekani ila kwa kufunga na kusali.JPM ameweza kwakuamua bila kushirikisha watu wenye ubinafsi.Unafikiri jambo hili lingepelekwa bungeni,namengine kama ununuzi wa ndege ujenzi wa meri na Reli bwawa la umeme nk vingefanikiwa???Nawaambieni nilazima uwe na msuri wa maamuzi magumu kama Rais JPM ndo unaweza fikia malengo.Nakilichotuchelewesha kuwa na maisha bora kwa wote watanzania ni kila jambo tushirikishane nawanaoshirikishwa niwale wapigaji wenye kugikiria matumbo yao.Ndo maana kwa mambo anayoyafanya JPM kwa wanasiasa anaonekana ni dikteta kwasababu anaamua bila kusubiri maviakao amabayo miaka yote yamefanyika bila kuleta tija.Watanzania wenzangu Tumuunge mkono Raisi wetu JPM.tumpende tumuombee atatufikisha ng'ambo ya mafanikio tutashangilia kama wana wa Israeli walivyoshangilia walipovuka bahari ya shamu.

  • @amirmahundi3730
    @amirmahundi3730 4 года назад +8

    Naipenda Tanzania naipenda nchi yangu na nawapenda sana marais wangu

  • @jaredmutego6884
    @jaredmutego6884 4 года назад +4

    hongera sana viongozi wa Tanzania

  • @mrishogange4276
    @mrishogange4276 3 года назад +6

    Umetuchelewesha sana we jamaa

    • @jumamnumbwa9483
      @jumamnumbwa9483 3 года назад

      Amekuchelewesha mwl.nyerere mwinyi na mkapa sio jk acha dhuruma

  • @nedkatunge5702
    @nedkatunge5702 3 года назад +3

    Uligomea kuhamia dodoma kwa sababu hukuwa na uwezo huo mwanaumea aliweza licha ya miradi mingi kuwepo

  • @willgabrio8292
    @willgabrio8292 4 года назад +2

    Im proud tanzanian proud to be dodoma tribe

  • @muddymaulid2771
    @muddymaulid2771 4 года назад +6

    Good

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi 4 года назад +6

    Hekima,Umoja na Amani..Mungu ibariki Tanzania na watu wake
    ...

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 4 года назад +7

    Kwa speech huwa nakuelewa sn kweli ni sauti ya mstaafu

  • @malipulachalamila110
    @malipulachalamila110 4 года назад +5

    nakupenda nchi yangu Tanzania
    nawapenda marais wote, upendo wenu unamaana kubwa kwetu

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 года назад +2

    Jamani. Mpeni mama janeth mjane wa rais wetu hayati JPM tausi pia. Furaha na faraja kwa mema ya JPM kwa Tz. Mungu tubariki watoto wa Tz

  • @mechanistzegreat1224
    @mechanistzegreat1224 4 года назад +7

    Well done

  • @jazzcellc6563
    @jazzcellc6563 4 года назад +2

    Allah bless you mzee jakaya

  • @juliusmzengaboma9892
    @juliusmzengaboma9892 4 года назад +8

    Mie binafsi nafurahia Historia inavyonijia vizuri. Mwaka 1973 Mwalimu Nyerere alipotangaza Makao Makuu ya Nchi kuhamia Dodoma nilikuwa nasoma Shule ya Msingi Ibihwa Dodoma darasa la tatu. Leo nashukudia utekelezaji kamili na ujenzi wa Makao Makuu Kama alivyotangaza Mwalimu Nyerere. Mungu anipe nini Mie maana nimeyashuhudia yote na sio kwa kusimuliwa. Ni kama Nicodemu alivyoshuhudia uwepo wa Kristo. JPM hoyee kwa utekelezaji. Muwaha John Malecela na wewe ulijitahidi chini ya Mzee Mwinyi kuihamisha Ofisi ya Waziri Mkuu kwenda Dodoma, ingawaje baadae wajanja wakairejesha Dar es Salaam. Mungu ibarika Africa Mungu ibariki Tanzania.

    • @florianhenry7198
      @florianhenry7198 4 года назад

      Ayubu 45:2 nilikuwa nikikusikia kwa masikio Leo hii nakuona kwa macho

  • @jonathanjocksonmushi9518
    @jonathanjocksonmushi9518 4 года назад +9

    N wapi utaona wastafu Marais na Rais wa awam ya tano JPM wakiwa wamekaa pamoja ni Tanzania utayaona haya idumu Aman tz na Mungu awe Mungu juu ya nch Tz

  • @zozohmeed5546
    @zozohmeed5546 4 года назад +12

    Kweli ubinasu ndo kikwazo

  • @bulunjamalimikulwa4876
    @bulunjamalimikulwa4876 4 года назад +3

    Wala,!!!!! Wackubezu mzee wangu Raisi msitaafu MRISHO JAKAYA KIKWETE, Ulifanyanya mambo makubwa sana kwa walio wapofu ndo muda wao wa kuona.

  • @christophermsabi8184
    @christophermsabi8184 4 года назад +8

    Nikweli unacho sema mweshimiwa kikwete

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 4 года назад +8

    Asante kwa chuo baba

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo4177 4 года назад +5

    Wale ambao wanajisahaulisha kazi zilizofanywa na Kikwete..."Chuo Kikuu Cha Dodoma" moja ya Kazi zake..kaunganisha mikoa yote kwa barabara za kudumu

  • @chrispinemabwenga5187
    @chrispinemabwenga5187 4 года назад +7

    Naisikia lafudhi ya Ridhiwani toka kwa Sauti ya Mzee JK, hongera sana Mzee wetu Mungu azidi kukupa afya pamoja na watangulizi wako, nyie ni majemedari wetu endeleeni kumsaidia Mheshimiwa Rais JPM kwa ushauri ili tusonge mbele kimaendeleo kuelekea Uchumi wa Kati.

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala927 4 года назад +8

    Upendo ndo utamaduni wetu

  • @kazungukakiyo8560
    @kazungukakiyo8560 4 года назад +2

    Mbiiyuuu;:mbiiyuu yamugambo ikilia ina jambo.Kweli Jpm your laegersy are the dreams of the founder JULIUS MWALIMU KABARAGE NYERERE.weldone.Ukisema tuende wote nituende hakuna kubaki nyuma chapa kazi.

  • @bumbazladas4369
    @bumbazladas4369 4 года назад +5

    MUNGU akulinde na HUSUDA jakaya napenda speech zako

  • @donforexindustry6516
    @donforexindustry6516 4 года назад +2

    Nice baba

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад +1

    Mungu awabariki Wastaafu wote kwa mliyoyatendea nchi hii. Mungu awajalie afya njema na muendelee kushirikiana na watakaotawala mkiwa hai.

  • @mansurfadhil3749
    @mansurfadhil3749 4 года назад +1

    Best naso wanawake wabay

  • @johnkomba2774
    @johnkomba2774 4 года назад +2

    True

  • @danneismail5442
    @danneismail5442 3 года назад +1

    Rip president John pombe magufuli, hakuna mtu hapa alijua uko karibu kufaa😢

  • @janviersentama2437
    @janviersentama2437 3 года назад

    Mzee Kikwete safi sana.

  • @yahyajuma8793
    @yahyajuma8793 4 года назад +1

    i love it

  • @ismailahmed5133
    @ismailahmed5133 4 года назад +7

    Nimependa kilicho fanyika,,😍😍

  • @laziertipay7463
    @laziertipay7463 4 года назад +2

    do we have double white house now coz naona kama Dar bado inatumika

  • @mako331
    @mako331 4 года назад +19

    Hivi nyie mlikuwa mnashindwaje? Mambo mengi Jpm anayafanya sielewi yalikuwa yanakwama vipi? Thank you God for Jpm he is a Leader

    • @edwinpaul9930
      @edwinpaul9930 4 года назад +8

      Sidhani kama kuna tofauti yoyote kati ya marais waliopita na wa sasa. Kila mtu alifanya kwa nafasi yake. Mengi anayofanya raisi wa sasa yalianza toka vipindi vilivyo tangulia.

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 4 года назад

      Pumzika

    • @hassanmirambo564
      @hassanmirambo564 4 года назад +2

      Edwin Paul acha pumba

    • @michaelsiweya6500
      @michaelsiweya6500 4 года назад +1

      Kikwete mwenyewe leo kaongea jinsi mabadiliko makubwa aliyoyaona wakati anapita eneo la Ikulu mpya.. Ama kweli watu wana macho ..lakini ni macho bandia tu..
      Hivi kweli jamani .Rais anayejenga reli ya kisasa na bwawa la umeme... Utamfananisha na watangulizi wake kweli ?
      Aaaa.. Nashukuru bwana.. Macho yangu yanaona. Sijawa kipofu mie

    • @harriethkinjoli7545
      @harriethkinjoli7545 4 года назад

      @@edwinpaul9930 ni kweli kabisa.

  • @stevenmwaiko801
    @stevenmwaiko801 4 года назад +3

    Umeongea vizuri sana JK kuweka wazi hatua ilivyokwenda... kuna aliesema amekuta li nchi la hovyo hakuna kilichofanyika

  • @fredkyara3278
    @fredkyara3278 3 года назад +3

    Jakaya kama unakachuk na kawivu ivi?🤔

    • @jumamnumbwa9483
      @jumamnumbwa9483 3 года назад

      Amefanya makubwa sana mzee huyu inshort magu na jk ni viongozi bora kabisa wa maisha yangu tumuombe mungu bi samia nae awe zaidi ya hawa

    • @kshdbzjnxksksw6567
      @kshdbzjnxksksw6567 3 года назад

      Anao asa ananikaza tu

  • @isayakilangi5888
    @isayakilangi5888 4 года назад +4

    My dad my sun my father my presdent nakupendaga Sana JK

  • @rajabkhaji7826
    @rajabkhaji7826 4 года назад +4

    Nice

  • @malikiorybajuta9830
    @malikiorybajuta9830 4 года назад +1

    JPM amefany kazi Ila amekwama tu kutotoa ajira Ila kwngine kote yupo vzr

  • @nameiztv7870
    @nameiztv7870 4 года назад +1

    Jakaya

  • @danielchamoto9376
    @danielchamoto9376 4 года назад +3

    Mstaafu

  • @saisaikalyasi5998
    @saisaikalyasi5998 4 года назад +21

    Kikwete umemfanyia nn Mungu, mbona huzeeki

    • @anoldjose7793
      @anoldjose7793 4 года назад +1

      😂😂😂

    • @hasnuumakame9219
      @hasnuumakame9219 4 года назад +3

      Kuishi ni watu vizuri brother!! Ukiwapenda watu na ukaishi nao vizuri, Mungu anakubariki kwenye mambo mengi

    • @elizabethmabula101
      @elizabethmabula101 4 года назад +2

      Pinda nae kazeek vibaya

    • @aprgg
      @aprgg 4 года назад +3

      Achoke amefanya kazi gani???????

    • @kazembally6032
      @kazembally6032 4 года назад +2

      hana roho mbaya ndyo maana azeeki

  • @selijusgasper1274
    @selijusgasper1274 3 года назад

    Tunakukumbuka sana jakaya

  • @festobosco6642
    @festobosco6642 2 года назад +1

    munafiki uyoooooooo

  • @samkivuyo9385
    @samkivuyo9385 3 года назад +1

    Napenda Tanzania xna coz ni nchi ya amani kabixa

  • @josephmpiluka6381
    @josephmpiluka6381 4 года назад +2

    Mmh

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 3 года назад

    Jk was a good politician

  • @jamalnahdi5984
    @jamalnahdi5984 3 года назад

    Ukimtoa mwinyi anafata kikwete,, ishi maisha marefu

  • @maxamedsaalax7194
    @maxamedsaalax7194 4 года назад +2

    Ft. F fry

  • @fatmakhamis580
    @fatmakhamis580 3 года назад +1

    Kalale pema mkapa

  • @ismailahmed5133
    @ismailahmed5133 4 года назад +7

    Ubinafsi uliwakwamisha nchi moja mnataka kuanza kuvutana ndomana mlikuwa mnakwama,,🤔

  • @salumsalum8261
    @salumsalum8261 Год назад

    Muuwaji anasema nakuombea kwa mungu akupe maisha uje kukata utepe......for sure he has something to do with his death

  • @bedamassawe8107
    @bedamassawe8107 4 года назад +2

    Katikati ni singida sio dodomaa

    • @lewismpangala927
      @lewismpangala927 4 года назад

      Wasingida wanakula punda

    • @sele2507
      @sele2507 4 года назад

      Ni sindiga pamoja na dodoma

    • @andrewjohn2404
      @andrewjohn2404 4 года назад +1

      Singida Ingekuwaa Tanganyika Sawa Lakini Kumbuk Zanzibar pia Ni tz Iliyopo feat vzr kutoka Zanzibar mpak kigoma Ni Dodoma Umenielewa nafkilii

  • @daudhenry6212
    @daudhenry6212 4 года назад +12

    Tubadili katiba wastaaaf waruhusiwe kurudia kuwania urais

    • @habibabandru9174
      @habibabandru9174 4 года назад +4

      Lbd wabadili katiba jpm aendeleee, sio huyo mwenye IPTL

    • @mohamedmotte1519
      @mohamedmotte1519 4 года назад

      Mhe. Rais mstafu Jk usituache kwa ushauri ili tuweze songa mbele.

    • @habibabandru9174
      @habibabandru9174 4 года назад

      @@mohamedmotte1519 alishindwa kutuendeleza happy zamani ataweza leo? Wakati kipindupindu kinatumaliza Leo kipo wapi maji bwena. Lbd mrudie kupishana hewani huku wanainchi wanatabika. Kikwete gogo

    • @habibabandru9174
      @habibabandru9174 4 года назад

      @Humphrey Msengi kunywa maji machafu

    • @michaeltito971
      @michaeltito971 4 года назад

      Acha mawazo mgando

  • @stevenobillo7100
    @stevenobillo7100 4 года назад +6

    Kikwete umeongea poa sana Rais wetu

  • @kombomwazini7748
    @kombomwazini7748 4 года назад +4

    Nice

  • @user-zl3le1wz2u
    @user-zl3le1wz2u 3 месяца назад

    Ni ujinga kutoa ndege kwa mjane alitaka nn.h