"KABUDI NA MPANGO NIMEWATUKANA PUMBAVU SANA JAPO WANANIZIDI UMRI" RAIS MAGUFULI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июн 2019

Комментарии • 119

  • @kagamedimaria4787
    @kagamedimaria4787 3 года назад +5

    Tanzania mlibahatika kua na nchi haina ukabila,sio kama hapa kenya ambapo ukitingua mtu inakua ni Kabila letu... I wish ningekua mtanzania

  • @simonkasya6500
    @simonkasya6500 5 лет назад +4

    Pole mh. Rais tunakuombea baba, japo hali ningumu Mtaani lakin the future is bright, tunakuombea Sana na tunakuunga mkono

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 5 лет назад +3

    Tunajivunia kuwa na wewe Mheshimiwa Rais. Hongera mno kwa kazi zako zinazopambanua aina ya Uchapakazi unaoutaka.CCM daima.

  • @hadijahalifa5418
    @hadijahalifa5418 5 лет назад +13

    Oooh! My President u don't even sleep!pole baba,ila pambana!tunakuombea☝mungu anakuona!utashinda tu!love u my President

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 5 лет назад +4

    Safi sana rais, wapelekeshe kijeshi hadi kazi ifanyike.

  • @salimzaidi9203
    @salimzaidi9203 5 лет назад +3

    Nampenda sana rais wangu kila siku natamani kumsikia mungu akulinde baba etu akupe wepes wa kila jambo

  • @mbarikiwalazarowatisa2086
    @mbarikiwalazarowatisa2086 5 лет назад +19

    Hii kasi ya raisi inaitaji watu kama sisi, sema basi tu!

    • @allykigatta3239
      @allykigatta3239 5 лет назад

      Hahahahahajaja....jamaa we noma....YANI HATA MIMI NILIKUWA NAWAZA HIVYO IVYO....WATU C TUPO BHANA...WATUPE MASHAVU BHANAAAA...Mbarikiwa oyeeeee

    • @ksnjos001
      @ksnjos001 5 лет назад

      Upo wapi... nje ya nchi nini kwasababu hapa Australia watu wapo fast sana katika kazi... nyumba inajengwa in 3 months...

    • @lazaromwafula181
      @lazaromwafula181 3 года назад

      Watu tupo kweli sema basi tu

  • @jacobkeleman8001
    @jacobkeleman8001 5 лет назад +9

    Ukweli Mjomba yani TRA Wanaboa sana huwa tunafikiri unawatuma kumbe njaa zao

  • @legends-corner8328
    @legends-corner8328 3 года назад +6

    Baba R.I .P ...He was the boss, natamani kuiga mfano wake huyu baba🌏 ili nikashinde maishani mwangu na nitakaowaongoza. Ewe mwenyezi Muumba wa bingu na nchi ombi langu nipee hekima na busara hii nikasaindie nchi yangu Kenya🙏🙏

  • @mwakasegeshukuru3720
    @mwakasegeshukuru3720 5 лет назад +5

    Daaaah!nakukubali sn my special president,umekuja kwa wakati ambao Mungu alikupangia

  • @malale4580
    @malale4580 5 лет назад +5

    kutumbua si njia ya kuufikia uchumi Wa kati, mtatumbua mpaka siku ya uchaguzi 2020

  • @cherilydavid3066
    @cherilydavid3066 5 лет назад +6

    Pole mh Rais wetu una mipango mizuri na nchi yetu pamoja na wananchi wake lkn wako viongozi na mawaziri wanakuangusha sana jamani inauma TZ yetu kwanini lkn utafikiri sio WATZ.

    • @raphaelsamwel2640
      @raphaelsamwel2640 5 лет назад

      Ana mipango ipi huyu???

    • @hamedabashir9
      @hamedabashir9 3 года назад

      @@raphaelsamwel2640 ko naona umefurai alivyo tyutoka maana unaonekana unaroho mbaya km sio mtanzania wallah

  • @frankfiretz
    @frankfiretz 5 лет назад +5

    Kweliiii kabisa Rais unaongea ukweli hukoseagi salute

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 5 лет назад +8

    TRA wana akili ya kuomba rushwa tu sio ya kusoma pumbavu zao

  • @dionistindwa7429
    @dionistindwa7429 5 лет назад +5

    hongera rais 🙏🙏

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 года назад +1

    Hizi hotuba ziwekewe vipindi maalumu virushwe tena ķwa kuamsha uongozi ulioimara. Mungu tubariki watoto wa Tz

  • @dicksonsheja251
    @dicksonsheja251 5 лет назад +6

    Rais Wangu nakuombea sana

  • @lusajolamsonmgala6184
    @lusajolamsonmgala6184 5 лет назад +4

    Ubarikiwe sana ,,rais,,nakuombea mwaka uchaguz mwingne ujao,,2020》 upita 100%

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 лет назад +4

    Kaz kwa mazoea bado tatizo liko jaman Mambo ni 🔥 utumbuaji uendelee

  • @ernestsaguti6690
    @ernestsaguti6690 5 лет назад +3

    Napenda raisi anavyoyapeleka haya mambo.
    Kweli nchi za ulaya zinatucheka mno Waafrika. Tuna utajiri lakini hatuwezi kuutumia. Hakuna bara tajiri duniani kama Afrika na wazungu wanaotamani ila Afrika tumekosa viongozi kama Magufuri. Ndio maana raisi wa Urusi anasema raisi bora aliyewahi kutokea Afrika ni Gadafi tu.

  • @samateryusuf4345
    @samateryusuf4345 Год назад

    Huyu mpumbavu kapigika Hadi Raha Asante mungu

  • @felixmuzambele9031
    @felixmuzambele9031 5 лет назад

    Daah Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi Raisi wa wanyonge.

  • @rajabugoa5585
    @rajabugoa5585 5 лет назад +3

    upo vzr mkuu

  • @shabanilugi3969
    @shabanilugi3969 3 года назад

    chima anaongea Mungu mbariki rais wangu john magufuli amen

  • @kibilawazebanga7455
    @kibilawazebanga7455 5 лет назад +1

    Big up Rais

  • @rosekweka9544
    @rosekweka9544 5 лет назад +4

    Kweli raisi unajitaidi Sana lakini napenda kukwambia huna mtu wote ninjaa tu akuna kitu hapo unaongea kwenye mioyo yao wanasema utamaliza saa gapi tukale pole baba

  • @DanielSinavangi
    @DanielSinavangi 9 месяцев назад

    Pumzika kwa Amani 🙏🇹🇿 babaetu

  • @thomasndumila4382
    @thomasndumila4382 5 лет назад +6

    Twendeni tu mpaka tuheshimiane kitaani

  • @alexandersonmbembela5328
    @alexandersonmbembela5328 5 лет назад +3

    tatzo walizoea mchele robo nazi 8 sasa mambo yamebadirik kande mwanzo mwisho ........tumbua viongoz hewa hao

  • @towerodispensary3255
    @towerodispensary3255 5 лет назад +1

    Sasa kwanini nisikupatie kula yangu mzee JP upo vizuri

  • @wolfgangkichai8577
    @wolfgangkichai8577 5 лет назад +2

    Hakuna kubembelezana 👏👏👏👏

  • @lwihokajigili24
    @lwihokajigili24 5 лет назад +2

    nakuelewa baba...format secta zote mhimu..weka wazalendo kama sisi....maana hawamuogopi mungu

  • @hassanmakamba7166
    @hassanmakamba7166 5 лет назад

    For the first time congratulation

  • @nyambelewinfrida9074
    @nyambelewinfrida9074 5 лет назад +4

    Watendaji badiliken jaman mwatakanini?

  • @munnawwaryaqoob3414
    @munnawwaryaqoob3414 5 лет назад

    Nipe Ajira mzee baba hutajutia kuniteua,nakuelewa sana

  • @marthamasue4009
    @marthamasue4009 5 лет назад +1

    👏👏👏👏👏👏👏

  • @angelinaelishachisongela7859
    @angelinaelishachisongela7859 5 лет назад +1

    Nakupenda bure

  • @semanasitv8303
    @semanasitv8303 5 лет назад +3

    ndio dhambi inavyokuaga ulitenda inajibu hapo hapo

  • @salehmdemu5722
    @salehmdemu5722 5 лет назад +2

    Nakupenda sana mh rais wangu Magufuri

  • @barnabaschuwa7820
    @barnabaschuwa7820 5 лет назад +2

    Tz hatakaa atokee rais km huyu

  • @baracknicholaus2944
    @baracknicholaus2944 3 года назад +1

    leo ume lala 😭😭😭

  • @tz4ever579
    @tz4ever579 5 лет назад

    My Prezidaaa🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🙏

  • @revocatusemanuely9809
    @revocatusemanuely9809 5 лет назад +3

    Mjomba wakati mwingine nakuelewa sana

  • @Africana255
    @Africana255 5 лет назад +2

    President halali .... Jamani sisi tunaamka sa mbili

  • @kizungarashid4522
    @kizungarashid4522 5 лет назад +3

    Iv nyie watendaji mbona mnataka kumpa ugonjwa wa moyo Mr President, badilikeni watendaji

    • @janejoel7798
      @janejoel7798 5 лет назад

      Wala haumwi moyo aiseee, hataki kujiongezea matatizo ya moyo rais wetu, akiona madudu anatumbuatuu safi sana our president

    • @sinajuma4403
      @sinajuma4403 5 лет назад

      Kwa kweli Dk JMP,Ni zaidi rais,anauchungu na nchi hii tumuunge mkono

  • @nassorkhatib634
    @nassorkhatib634 5 лет назад +2

    Na kuhusu hivyo viwanda, itabidi Serikali iangalie uwezekano baadala ya kupewa watu wengine Serikali iangalie namna ya kuviendesha wenyewe kwa kuwaajiri watu wenye utaalamu kupitia wizara husika kama kilimo, (kwenye kiwanda labda cha kubangua korosho, kiwanda cha kuchakata mkonge n.k)

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 5 лет назад +4

    Safii magu upo sahihi kabisa

  • @ngaismedia
    @ngaismedia 5 лет назад +1

    #Maghufulification of #postcolonialafricaneconomy Naomba Rais Maghufuli afunguwe #MaghufuliSchoolofEconomics. ♥️♥️♥️✊🏿✊🏿✊🏿

  • @ksnjos001
    @ksnjos001 5 лет назад +1

    Raisi anateseka sana yaani watu wanaogopana kama vile wanakula pamoja... kazi ya serikali haitaki mambo ya kujuana... nchi za watu wengi hawalali kutekeleza kazi zao wengi wanarudi nyumbani saa nne usiku na kuanza kazi saa mbili asubuhi... Hamna uzuri katika kazi😂😂😂

  • @damasgodfrey3167
    @damasgodfrey3167 5 лет назад

    Yes

  • @erickswai698
    @erickswai698 5 лет назад +2

    Utendaj kaz ndo unaohitajika

  • @hamisidaud9912
    @hamisidaud9912 5 лет назад

    President uko Sawa kwa spirit hii, ila hawa watendaji unaowateua, wanakuogopa Sana, hawajiamini kwa kweli. Sijui waweje aseee,

  • @stannymapulanga8016
    @stannymapulanga8016 5 лет назад

    Tunakupenda baba wa wanyonge

  • @ibrahimfrank1382
    @ibrahimfrank1382 5 лет назад +1

    Yanimpaka nywele zinasisimka pole mjomba magukaziipo

  • @sabihimngetuka6971
    @sabihimngetuka6971 5 лет назад

    Naomba kaz yakukusanya kod mm ni mwaminifu

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 5 лет назад

    Magu Ni noma

  • @angelinaelishachisongela7859
    @angelinaelishachisongela7859 5 лет назад

    Jamani kama humpendi raisi magufuli jua unatatizo

  • @barutisaidi110
    @barutisaidi110 5 лет назад +1

    mzee tuoneeni huruma mtulipe korosho sasa tushachoka kula ugali wamihogo na majani yake (kisavu)

  • @Johnmasanja27
    @Johnmasanja27 3 года назад +1

    Kaa tu🤣🤣

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 3 года назад

    Sema hapo pakusema amewatukana mawaziri pumbavu was not necessary... Pia kiongozi sio yule anaewakaripia na kutukana anaowaongoza kisa wamekosea...

  • @charlesjmartin1935
    @charlesjmartin1935 5 лет назад

    Kiboko yaoooooooooo

  • @gozbertmmassy2943
    @gozbertmmassy2943 5 лет назад +2

    Le akili kubwazzzzzz hii ni Vita mkuu,we must move forward,asiweza speed ahamie somalia,lazima tuheshimiane

    • @samiraali5505
      @samiraali5505 3 года назад

      Somalia is not the perfect example,mr

  • @chariuskiita8942
    @chariuskiita8942 5 лет назад

    Tanzania bado hatuna uzalendo ndo maana tunakwamisha juhudi za mhe rais

  • @josephmalisa2987
    @josephmalisa2987 5 лет назад

    Huyu jamaa ni msumeno kweli kweli. Shida ni kwamba ni wachache wanamwelewa. Shidaaaaaa

  • @moringelangas7276
    @moringelangas7276 5 лет назад

    Mimi huwa nikitukanwa narudishia hivyo hivyo!ndio maana sipewi uwaziri mimi.

  • @mcsimonmzungutv2084
    @mcsimonmzungutv2084 5 лет назад +1

    Kiukweli Viongozi walinalyo

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 3 года назад

    Wamesoma ila ni wala rushwa

  • @goodluckmushi8878
    @goodluckmushi8878 3 года назад

    Tusahau kabisa sisi wa Kanda ya ziwa huyu ndie jicho inawezekana la mwisho Africa Co Tz

  • @adillhabib2006
    @adillhabib2006 5 лет назад

    tume kuelewa lakini ipo bei chini

  • @manenoalex7453
    @manenoalex7453 5 лет назад +1

    waambie ukwer mjomba maana tumechezewa mno vya kutoxha axanter kwa ukwer wako

    • @piusmdoe3551
      @piusmdoe3551 5 лет назад

      Maneno Alex sio tumechezewa,tunachezewa

    • @saidkulwa1251
      @saidkulwa1251 5 лет назад

      bado wanataka kutuchezea ila mwisho wa siku wanaangukia pua puuuu wanabakia kujilaumu tu

  • @juliethmacha7768
    @juliethmacha7768 5 лет назад

    bado miezi mitano zinavunwa nyingine.

  • @simondinday347
    @simondinday347 5 лет назад +3

    duh!! anko atiiiii??? kabudi na mpango ni wapu........??

  • @mbarikiwalazarowatisa2086
    @mbarikiwalazarowatisa2086 5 лет назад

    Awamu ijayo watu watabadilika sana..

    • @shabanmohamed1545
      @shabanmohamed1545 5 лет назад

      Isingekuwa mawaziri lazima wawe wa chichim ,ningewapendekeza ,wabunge wafuatao wateuliwe uwaziri ,inaweza ikasaidia ,mfano ,peter msigwa, mh.silinde ,mh,zito zuberi kabwe ,mh.mnyika , na wengineo
      Ni maoni yangu kwani nawafatilia sana wakisimama kuchangia hoja bungeni .mkuu bila kumsahau huseni bashe big up .

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 3 года назад

    Speech hii mpaka Kesho....TRA labda wabadirishiwe jina lao maana duh.....

  • @mohamedasaid7910
    @mohamedasaid7910 3 года назад

    TRA kweli balaa.
    Hawana bongo.

  • @kiumbechambinguni
    @kiumbechambinguni 5 лет назад

    MAIGIZO.COM, Waziri hakusema amepata wateja preda akasema wamechelewa? sasa unamlaum waziri kivip wakati anapokea maelekezo Tu, Kocha wa timu amepwaya... mwishowe sisi tutateua rais mwinginee

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 5 лет назад

    Mtamtaka tu

  • @moringelangas7276
    @moringelangas7276 5 лет назад

    Baba si ulivyoenda lindi na mtwara ulituambia korosho zimelipwa na buashara imeenda vizuri?

  • @mbegesdigita5182
    @mbegesdigita5182 5 лет назад

    Tumbuaaaaa

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 5 лет назад

    Muheshimiwa hayo ni majipu baba haina haja ya kupigakelele ww humvua tu kwan Tz vijana weng wamesoma na hawana kaz hao wamelewa madaraka na maisha pia wape wenye njaaa muheshimiwa

    • @nassernajm5417
      @nassernajm5417 5 лет назад

      True...!! Mbona wako wengi tu.! Hata wako Watanzania nje ya nchi ambao ni mahodari, wasomi na wameshika nyadhifa kubwa kubwa nje ya TZ. Warudishe Mzee waje kukusaidia na kuisaidia maendeleo ya nchi yao. Wengi wao watakuelewa na hata spidi zako wataziweza....! Mhe Kabudi akuletee list ya Watanzania waliokuwa njee na position zao walizonazo ili upate kuchaguwa mzee.....

    • @georgemashauri4657
      @georgemashauri4657 5 лет назад

      Nenda nao jumla jumla

    • @wilsonkilua6309
      @wilsonkilua6309 5 лет назад

      Mzee wa nchii hao watendaji wako wameshiba maharage ambayo hayana nazi yani hata hawaelewi wape vijana uone moto wake mzee kila siku unaongea hayohayo hata hawasikii kwanini hawajirekebishi hao watu kwa mzee wa nchii wanamsumbua mzee wa wawatu kwakweli ,mzee wawatu anatakiwa akae atulie ale maisha mnamtesa huyo mzee wawatu jamani mbona mko hivo nyinyi mawazili msio jitambua

  • @nassorkhatib634
    @nassorkhatib634 5 лет назад

    Hapa nimekuelewa Mheshimiwa Raisi, Kwakweli Korosho ziliwekwa Ghalani, na nilifikiri ule mkataba ulifanikisha kwa kuuzwa zile korosho. Daah haya, Wacha tuangalie. Tengua tu baba. Hivi mfano katika Wizara, angepatikana mfanyakazi mmoja tu au mpaka watatu wakapewa kibali cha kutafuta soko nchi za nje? ...

  • @pemdumi
    @pemdumi 5 лет назад +2

    Kama mimi ningekuwa rais,ningeanza upya,ningeitisha referendum kuingiza kipengere cha serikali ya umoja wa kitaifa,ningetafuta vipaji kutoka kila pembe,kisha tungeanza upya kama taifa.

    • @rogastianmuhogo6615
      @rogastianmuhogo6615 5 лет назад

      elimu ya vyeti ubunifu ziro kwa wafanyakazi wa TRA but big up Mr President

    • @rehmashamte281
      @rehmashamte281 5 лет назад

      Kuhusu swala la korosho hali bado ni tete kucni waloanzia kg 1500 na kuendelea mpk leo malipo bado hapo mkuranga wengine wana kilo chin ya 1000 pia hawajalipwa

  • @erickswai698
    @erickswai698 5 лет назад +2

    Tunakwama wap lkn
    Mbona mamb mengine hayahitaj elim sana ila akil ya kibinaadam tu

  • @ttec9431
    @ttec9431 5 лет назад +1

    Hizi comment humu watu wanavyojisahau ... Hamukumbuki aliposema kwamba hela Ipo ya kutosha ya kununua korosho ... Sasa anamlaumu nani hapoo

  • @abusaeed9037
    @abusaeed9037 5 лет назад

    Mzee wacha kutumia nguvu tumia akili

  • @swahilikeyboard334
    @swahilikeyboard334 5 лет назад

    Tunahitaji sisi tunakula mapipi tu

  • @Gamba177
    @Gamba177 5 лет назад +2

    CCM kumbe wote wapumbavu hahahahahaha sasa naamini kuwa kuanzia Rais na mawaziri wote wapumbavu, na wabunge ni dhaifu wote mpaka spika wao ni dhaifu.

  • @chrishani3056
    @chrishani3056 5 лет назад

    Treating grown men like school children 👶🏻...yet wonders aloud why everything he touches turns into garbage

  • @osiaaswire2613
    @osiaaswire2613 5 лет назад

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏