Baba R.I .P ...He was the boss, natamani kuiga mfano wake huyu baba🌏 ili nikashinde maishani mwangu na nitakaowaongoza. Ewe mwenyezi Muumba wa bingu na nchi ombi langu nipee hekima na busara hii nikasaindie nchi yangu Kenya🙏🙏
Pole mh Rais wetu una mipango mizuri na nchi yetu pamoja na wananchi wake lkn wako viongozi na mawaziri wanakuangusha sana jamani inauma TZ yetu kwanini lkn utafikiri sio WATZ.
Napenda raisi anavyoyapeleka haya mambo. Kweli nchi za ulaya zinatucheka mno Waafrika. Tuna utajiri lakini hatuwezi kuutumia. Hakuna bara tajiri duniani kama Afrika na wazungu wanaotamani ila Afrika tumekosa viongozi kama Magufuri. Ndio maana raisi wa Urusi anasema raisi bora aliyewahi kutokea Afrika ni Gadafi tu.
Kweli raisi unajitaidi Sana lakini napenda kukwambia huna mtu wote ninjaa tu akuna kitu hapo unaongea kwenye mioyo yao wanasema utamaliza saa gapi tukale pole baba
Na kuhusu hivyo viwanda, itabidi Serikali iangalie uwezekano baadala ya kupewa watu wengine Serikali iangalie namna ya kuviendesha wenyewe kwa kuwaajiri watu wenye utaalamu kupitia wizara husika kama kilimo, (kwenye kiwanda labda cha kubangua korosho, kiwanda cha kuchakata mkonge n.k)
Raisi anateseka sana yaani watu wanaogopana kama vile wanakula pamoja... kazi ya serikali haitaki mambo ya kujuana... nchi za watu wengi hawalali kutekeleza kazi zao wengi wanarudi nyumbani saa nne usiku na kuanza kazi saa mbili asubuhi... Hamna uzuri katika kazi😂😂😂
MAIGIZO.COM, Waziri hakusema amepata wateja preda akasema wamechelewa? sasa unamlaum waziri kivip wakati anapokea maelekezo Tu, Kocha wa timu amepwaya... mwishowe sisi tutateua rais mwinginee
Muheshimiwa hayo ni majipu baba haina haja ya kupigakelele ww humvua tu kwan Tz vijana weng wamesoma na hawana kaz hao wamelewa madaraka na maisha pia wape wenye njaaa muheshimiwa
True...!! Mbona wako wengi tu.! Hata wako Watanzania nje ya nchi ambao ni mahodari, wasomi na wameshika nyadhifa kubwa kubwa nje ya TZ. Warudishe Mzee waje kukusaidia na kuisaidia maendeleo ya nchi yao. Wengi wao watakuelewa na hata spidi zako wataziweza....! Mhe Kabudi akuletee list ya Watanzania waliokuwa njee na position zao walizonazo ili upate kuchaguwa mzee.....
Mzee wa nchii hao watendaji wako wameshiba maharage ambayo hayana nazi yani hata hawaelewi wape vijana uone moto wake mzee kila siku unaongea hayohayo hata hawasikii kwanini hawajirekebishi hao watu kwa mzee wa nchii wanamsumbua mzee wa wawatu kwakweli ,mzee wawatu anatakiwa akae atulie ale maisha mnamtesa huyo mzee wawatu jamani mbona mko hivo nyinyi mawazili msio jitambua
Hapa nimekuelewa Mheshimiwa Raisi, Kwakweli Korosho ziliwekwa Ghalani, na nilifikiri ule mkataba ulifanikisha kwa kuuzwa zile korosho. Daah haya, Wacha tuangalie. Tengua tu baba. Hivi mfano katika Wizara, angepatikana mfanyakazi mmoja tu au mpaka watatu wakapewa kibali cha kutafuta soko nchi za nje? ...
Kama mimi ningekuwa rais,ningeanza upya,ningeitisha referendum kuingiza kipengere cha serikali ya umoja wa kitaifa,ningetafuta vipaji kutoka kila pembe,kisha tungeanza upya kama taifa.
Kuhusu swala la korosho hali bado ni tete kucni waloanzia kg 1500 na kuendelea mpk leo malipo bado hapo mkuranga wengine wana kilo chin ya 1000 pia hawajalipwa
Tanzania mlibahatika kua na nchi haina ukabila,sio kama hapa kenya ambapo ukitingua mtu inakua ni Kabila letu... I wish ningekua mtanzania
Pole mh. Rais tunakuombea baba, japo hali ningumu Mtaani lakin the future is bright, tunakuombea Sana na tunakuunga mkono
Umeongea vema
Tunajivunia kuwa na wewe Mheshimiwa Rais. Hongera mno kwa kazi zako zinazopambanua aina ya Uchapakazi unaoutaka.CCM daima.
Oooh! My President u don't even sleep!pole baba,ila pambana!tunakuombea☝mungu anakuona!utashinda tu!love u my President
Safi sana rais, wapelekeshe kijeshi hadi kazi ifanyike.
Nampenda sana rais wangu kila siku natamani kumsikia mungu akulinde baba etu akupe wepes wa kila jambo
Hii kasi ya raisi inaitaji watu kama sisi, sema basi tu!
Hahahahahajaja....jamaa we noma....YANI HATA MIMI NILIKUWA NAWAZA HIVYO IVYO....WATU C TUPO BHANA...WATUPE MASHAVU BHANAAAA...Mbarikiwa oyeeeee
Upo wapi... nje ya nchi nini kwasababu hapa Australia watu wapo fast sana katika kazi... nyumba inajengwa in 3 months...
Watu tupo kweli sema basi tu
Ukweli Mjomba yani TRA Wanaboa sana huwa tunafikiri unawatuma kumbe njaa zao
Baba R.I .P ...He was the boss, natamani kuiga mfano wake huyu baba🌏 ili nikashinde maishani mwangu na nitakaowaongoza. Ewe mwenyezi Muumba wa bingu na nchi ombi langu nipee hekima na busara hii nikasaindie nchi yangu Kenya🙏🙏
Amen
Daaaah!nakukubali sn my special president,umekuja kwa wakati ambao Mungu alikupangia
kutumbua si njia ya kuufikia uchumi Wa kati, mtatumbua mpaka siku ya uchaguzi 2020
Yaani uzembe kama huo awalee tu @MALALE
Pole mh Rais wetu una mipango mizuri na nchi yetu pamoja na wananchi wake lkn wako viongozi na mawaziri wanakuangusha sana jamani inauma TZ yetu kwanini lkn utafikiri sio WATZ.
Ana mipango ipi huyu???
@@raphaelsamwel2640 ko naona umefurai alivyo tyutoka maana unaonekana unaroho mbaya km sio mtanzania wallah
Kweliiii kabisa Rais unaongea ukweli hukoseagi salute
TRA wana akili ya kuomba rushwa tu sio ya kusoma pumbavu zao
hongera rais 🙏🙏
Hizi hotuba ziwekewe vipindi maalumu virushwe tena ķwa kuamsha uongozi ulioimara. Mungu tubariki watoto wa Tz
Rais Wangu nakuombea sana
Ubarikiwe sana ,,rais,,nakuombea mwaka uchaguz mwingne ujao,,2020》 upita 100%
Kaz kwa mazoea bado tatizo liko jaman Mambo ni 🔥 utumbuaji uendelee
Napenda raisi anavyoyapeleka haya mambo.
Kweli nchi za ulaya zinatucheka mno Waafrika. Tuna utajiri lakini hatuwezi kuutumia. Hakuna bara tajiri duniani kama Afrika na wazungu wanaotamani ila Afrika tumekosa viongozi kama Magufuri. Ndio maana raisi wa Urusi anasema raisi bora aliyewahi kutokea Afrika ni Gadafi tu.
Huyu mpumbavu kapigika Hadi Raha Asante mungu
Daah Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi Raisi wa wanyonge.
upo vzr mkuu
chima anaongea Mungu mbariki rais wangu john magufuli amen
Big up Rais
Kweli raisi unajitaidi Sana lakini napenda kukwambia huna mtu wote ninjaa tu akuna kitu hapo unaongea kwenye mioyo yao wanasema utamaliza saa gapi tukale pole baba
kweli kabisa
Pumzika kwa Amani 🙏🇹🇿 babaetu
Twendeni tu mpaka tuheshimiane kitaani
tatzo walizoea mchele robo nazi 8 sasa mambo yamebadirik kande mwanzo mwisho ........tumbua viongoz hewa hao
Sasa kwanini nisikupatie kula yangu mzee JP upo vizuri
Hakuna kubembelezana 👏👏👏👏
nakuelewa baba...format secta zote mhimu..weka wazalendo kama sisi....maana hawamuogopi mungu
For the first time congratulation
Watendaji badiliken jaman mwatakanini?
Nipe Ajira mzee baba hutajutia kuniteua,nakuelewa sana
👏👏👏👏👏👏👏
Nakupenda bure
ndio dhambi inavyokuaga ulitenda inajibu hapo hapo
Nakupenda sana mh rais wangu Magufuri
Tz hatakaa atokee rais km huyu
leo ume lala 😭😭😭
My Prezidaaa🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🙏
Mjomba wakati mwingine nakuelewa sana
President halali .... Jamani sisi tunaamka sa mbili
Iv nyie watendaji mbona mnataka kumpa ugonjwa wa moyo Mr President, badilikeni watendaji
Wala haumwi moyo aiseee, hataki kujiongezea matatizo ya moyo rais wetu, akiona madudu anatumbuatuu safi sana our president
Kwa kweli Dk JMP,Ni zaidi rais,anauchungu na nchi hii tumuunge mkono
Na kuhusu hivyo viwanda, itabidi Serikali iangalie uwezekano baadala ya kupewa watu wengine Serikali iangalie namna ya kuviendesha wenyewe kwa kuwaajiri watu wenye utaalamu kupitia wizara husika kama kilimo, (kwenye kiwanda labda cha kubangua korosho, kiwanda cha kuchakata mkonge n.k)
Safii magu upo sahihi kabisa
#Maghufulification of #postcolonialafricaneconomy Naomba Rais Maghufuli afunguwe #MaghufuliSchoolofEconomics. ♥️♥️♥️✊🏿✊🏿✊🏿
Raisi anateseka sana yaani watu wanaogopana kama vile wanakula pamoja... kazi ya serikali haitaki mambo ya kujuana... nchi za watu wengi hawalali kutekeleza kazi zao wengi wanarudi nyumbani saa nne usiku na kuanza kazi saa mbili asubuhi... Hamna uzuri katika kazi😂😂😂
Yes
Utendaj kaz ndo unaohitajika
President uko Sawa kwa spirit hii, ila hawa watendaji unaowateua, wanakuogopa Sana, hawajiamini kwa kweli. Sijui waweje aseee,
Tunakupenda baba wa wanyonge
Yanimpaka nywele zinasisimka pole mjomba magukaziipo
Naomba kaz yakukusanya kod mm ni mwaminifu
Magu Ni noma
Jamani kama humpendi raisi magufuli jua unatatizo
mzee tuoneeni huruma mtulipe korosho sasa tushachoka kula ugali wamihogo na majani yake (kisavu)
Yaani kamanda tuna njaa ile mbaya
Kaa tu🤣🤣
Sema hapo pakusema amewatukana mawaziri pumbavu was not necessary... Pia kiongozi sio yule anaewakaripia na kutukana anaowaongoza kisa wamekosea...
Kiboko yaoooooooooo
Le akili kubwazzzzzz hii ni Vita mkuu,we must move forward,asiweza speed ahamie somalia,lazima tuheshimiane
Somalia is not the perfect example,mr
Tanzania bado hatuna uzalendo ndo maana tunakwamisha juhudi za mhe rais
Huyu jamaa ni msumeno kweli kweli. Shida ni kwamba ni wachache wanamwelewa. Shidaaaaaa
Mimi huwa nikitukanwa narudishia hivyo hivyo!ndio maana sipewi uwaziri mimi.
Kiukweli Viongozi walinalyo
Du! Nalooli
Wamesoma ila ni wala rushwa
Tusahau kabisa sisi wa Kanda ya ziwa huyu ndie jicho inawezekana la mwisho Africa Co Tz
tume kuelewa lakini ipo bei chini
waambie ukwer mjomba maana tumechezewa mno vya kutoxha axanter kwa ukwer wako
Maneno Alex sio tumechezewa,tunachezewa
bado wanataka kutuchezea ila mwisho wa siku wanaangukia pua puuuu wanabakia kujilaumu tu
bado miezi mitano zinavunwa nyingine.
duh!! anko atiiiii??? kabudi na mpango ni wapu........??
Mbavu😀😀😀😀
Awamu ijayo watu watabadilika sana..
Isingekuwa mawaziri lazima wawe wa chichim ,ningewapendekeza ,wabunge wafuatao wateuliwe uwaziri ,inaweza ikasaidia ,mfano ,peter msigwa, mh.silinde ,mh,zito zuberi kabwe ,mh.mnyika , na wengineo
Ni maoni yangu kwani nawafatilia sana wakisimama kuchangia hoja bungeni .mkuu bila kumsahau huseni bashe big up .
Speech hii mpaka Kesho....TRA labda wabadirishiwe jina lao maana duh.....
TRA kweli balaa.
Hawana bongo.
MAIGIZO.COM, Waziri hakusema amepata wateja preda akasema wamechelewa? sasa unamlaum waziri kivip wakati anapokea maelekezo Tu, Kocha wa timu amepwaya... mwishowe sisi tutateua rais mwinginee
Mtamtaka tu
Baba si ulivyoenda lindi na mtwara ulituambia korosho zimelipwa na buashara imeenda vizuri?
JPM is the choosen one
Tumbuaaaaa
Muheshimiwa hayo ni majipu baba haina haja ya kupigakelele ww humvua tu kwan Tz vijana weng wamesoma na hawana kaz hao wamelewa madaraka na maisha pia wape wenye njaaa muheshimiwa
True...!! Mbona wako wengi tu.! Hata wako Watanzania nje ya nchi ambao ni mahodari, wasomi na wameshika nyadhifa kubwa kubwa nje ya TZ. Warudishe Mzee waje kukusaidia na kuisaidia maendeleo ya nchi yao. Wengi wao watakuelewa na hata spidi zako wataziweza....! Mhe Kabudi akuletee list ya Watanzania waliokuwa njee na position zao walizonazo ili upate kuchaguwa mzee.....
Nenda nao jumla jumla
Mzee wa nchii hao watendaji wako wameshiba maharage ambayo hayana nazi yani hata hawaelewi wape vijana uone moto wake mzee kila siku unaongea hayohayo hata hawasikii kwanini hawajirekebishi hao watu kwa mzee wa nchii wanamsumbua mzee wa wawatu kwakweli ,mzee wawatu anatakiwa akae atulie ale maisha mnamtesa huyo mzee wawatu jamani mbona mko hivo nyinyi mawazili msio jitambua
Hapa nimekuelewa Mheshimiwa Raisi, Kwakweli Korosho ziliwekwa Ghalani, na nilifikiri ule mkataba ulifanikisha kwa kuuzwa zile korosho. Daah haya, Wacha tuangalie. Tengua tu baba. Hivi mfano katika Wizara, angepatikana mfanyakazi mmoja tu au mpaka watatu wakapewa kibali cha kutafuta soko nchi za nje? ...
Ni hatar sana mzee baba wa nchi magufuli
Kama mimi ningekuwa rais,ningeanza upya,ningeitisha referendum kuingiza kipengere cha serikali ya umoja wa kitaifa,ningetafuta vipaji kutoka kila pembe,kisha tungeanza upya kama taifa.
elimu ya vyeti ubunifu ziro kwa wafanyakazi wa TRA but big up Mr President
Kuhusu swala la korosho hali bado ni tete kucni waloanzia kg 1500 na kuendelea mpk leo malipo bado hapo mkuranga wengine wana kilo chin ya 1000 pia hawajalipwa
Tunakwama wap lkn
Mbona mamb mengine hayahitaj elim sana ila akil ya kibinaadam tu
Hizi comment humu watu wanavyojisahau ... Hamukumbuki aliposema kwamba hela Ipo ya kutosha ya kununua korosho ... Sasa anamlaumu nani hapoo
Mzee wacha kutumia nguvu tumia akili
Tunahitaji sisi tunakula mapipi tu
CCM kumbe wote wapumbavu hahahahahaha sasa naamini kuwa kuanzia Rais na mawaziri wote wapumbavu, na wabunge ni dhaifu wote mpaka spika wao ni dhaifu.
Treating grown men like school children 👶🏻...yet wonders aloud why everything he touches turns into garbage
👏👏👏👏👏👏👏👏👏