DR CHENI AFUNGUKA ALIVYOSHEREHESHA HARUSI YA MTOTO WA RAIS, PESA ALIZOLIPWA, ULINZI N.K

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024

Комментарии • 44

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo2864 Месяц назад +25

    Kiukweli Dr Cheni ni mtu poa na so humble,Yani Hana mambo mengi,me nimesha interact nao mara Moja mbili ni bonge la mtu poa, Watanzania msimuogope,ni maarufu lkn mwana sana,big up Dr cheni

  • @ramhuudulla8921
    @ramhuudulla8921 Месяц назад +1

    Mashaallah Dr. Cheni toka msimbazi mseto sharif shamb ni kaka mwema sana na nidham na adabu ya juu mashaallah
    Allah akuhifadhi

  • @Shadia544
    @Shadia544 Месяц назад +10

    Hongera doctar acheni ni zamani hakuna kuzeeka jamaniii 😂😂❤❤

  • @valentinamjindo5374
    @valentinamjindo5374 Месяц назад

    Hongera kaka kazi nzuri hunaga mambo mengi kweli ukijiheshimu unaheshimiwa.

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Месяц назад +3

    Upo vzr sn huringi km.mafulan.ndio maana hakupata hy nafasi

  • @EsterMosha-jb3nx
    @EsterMosha-jb3nx Месяц назад +2

    Uko vzr sana kaka Mungu akuinue zaid

  • @rehemashabaniameen
    @rehemashabaniameen Месяц назад +2

    Nakukubali Dr Cheni tulikutana ilkua siku ya walemavu big up my brother 💪

  • @DarKopo
    @DarKopo Месяц назад +4

    Ayo akoseagi watangazaji Vido hupo vzr sana na una maswali ya msingi sn congr

  • @MsafiriDastan
    @MsafiriDastan Месяц назад

    uko vizuri sana cheni pamoja

  • @GaudenciaMadirisha
    @GaudenciaMadirisha Месяц назад +2

    Safiiii 👍❤❤ namkumbali mwamba sumbili yangu utakuja 🙏🙏🙏

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Месяц назад +1

    Dr chen HAZEEEKI JAMANI
    YY,ALIKIBA,WAHENGA WANATUNZA MIILI YAO

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Месяц назад +2

    Dr cheni yuko vzuri
    Mc best kbsaaa ktk kazi yke❤❤❤

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 Месяц назад +5

    HONGERA SANA DOCTOR CHENI

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace979 Месяц назад +4

    Natamani sana uwe mc kwenye Harusi yangu, kwenye maokoto sasa 😢😢

  • @geofreybarama4000
    @geofreybarama4000 Месяц назад +4

    Hongera sana Doctor cheni

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 Месяц назад +1

    MC Dr cheni ni MC na nusu msikivu na anajua sana kupagilia mambo yake mtu powa sana

  • @user-ro5xe6le1e
    @user-ro5xe6le1e Месяц назад

    Mc wa Taifa.dr Cheni Mungu akutunze ushereheshe sherehe zte kubwa.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Месяц назад +3

    Duh sherehe kubwa hivyo siyo mchezo

  • @EsterShirima-vr7cv
    @EsterShirima-vr7cv Месяц назад +3

    Yuko vizuri sana

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 Месяц назад +3

    Mc wangu pendwa huyu tangu enzi hizo alisherehesha harusi ya mdogo wangu

  • @dotnataonlinetv5729
    @dotnataonlinetv5729 Месяц назад

    Hongera sana mkwe wangu Dr. Cheny

  • @AsungaSteven
    @AsungaSteven Месяц назад +2

    Kweli Dr Chen yupo poa sana,jamaa hana zarahu kabisa,nimekutana naye pale mkuki nikampa hi yupo poa sana Kwa kweli

  • @vinenswilliam3534
    @vinenswilliam3534 Месяц назад +2

    Huyu brother anadumu kwa sababu anajitambua saana!

  • @mwajohari4385
    @mwajohari4385 Месяц назад +2

    Docta cheni hazeeki,,nilianza kumjua akiigiza mchezo wa tausi mie nilikuwa mdogo hadi sasa nina miaka 40je hadi sasa atakuwa na miaka mingapi yaan hazeeki

    • @mwanakitenge
      @mwanakitenge Месяц назад

      Weeeèe mbona mi sikumbuki kama cheni alikuwepo kwenye mchezo wa tausi alikuwa sehemu gani embu nikumbushe kidogo

  • @Hajer-be2kh
    @Hajer-be2kh Месяц назад +3

    Huyu mwamba majina yake halisi huwa anaitwa nani? Nampenda sn alivyo tu😊

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 Месяц назад

    Safi sana, uko vizuri kijana 🤝

  • @precioussamantha9482
    @precioussamantha9482 Месяц назад

    Jamani sikuelewi kwanini nampenda sana Vidox

  • @sabtinaramadhani5413
    @sabtinaramadhani5413 Месяц назад

    Kila la kheri dr cheni katika kazi ya mikono yako

  • @vivianallan8963
    @vivianallan8963 Месяц назад +1

    Hongera sana Doctar cheni. Kwanza kwenye cherehe umetulia na huko smart. Kwa muda unaenda vizuri sana. Ubarikiwe na Bwana

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Месяц назад

    Ma mc wachanga waje kujifunza hapa😂ila gara b pia mc wangu pendwa.hawa wawildr chen na gar what gara B😂❤❤

  • @rendozrendo7804
    @rendozrendo7804 Месяц назад +2

    Mc cheni🎉

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Месяц назад +5

    Yaani walichukua dj safi cheni Hana mambo mengi

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 Месяц назад

    Kwakweli kuhusu muda Mimi nakubali kuna harusi pale mirado uliifanya 2014 ilikuwa nzuri sana ulienda ndan ya muda

  • @nyakasaganichangasi9986
    @nyakasaganichangasi9986 Месяц назад

    Acheni ulimbukeni, kutokuzeeka siyo sifa kwani kila stage ya maisha ina sifa zake,mzee wa miaka 60 kujipaka dye ni upungufu wa akili na low self esteem!Accept your age and other things fall into place !

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Месяц назад +1

    Yn uyu. Ukiwa na kichen oaty senfiof ata birtjiday ukimtaka samia unamoata na anakuja

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o Месяц назад

      Eee we mwenzetu mtu wawap mbona sijui unandika kwa lugha gani kiswahili au kingereza

  • @Zainab-qg6xv
    @Zainab-qg6xv Месяц назад

    Dr Chen he is getting old now

  • @Shadiamtwalibu
    @Shadiamtwalibu Месяц назад

    Vido vyote nimesikia ila ratiba yako ya kufunga ndoa baada ya miaka mitatu au minee imenichekesha aisee 😂😂😂