"Nilikuwa Naitwa Bahili!' Dr Cheni Asimulia A-Z Historia Ya Maisha Yake | SALAMA NA DR CHENI PART 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    Growing up kwenye mitaa ya Dar es Salaam na TV stations kali wakati huo zilikua na presenters makini na vijana ambao kwa kiasi kikubwa waliifanya tasnia hiyo ipendeze sana. Kuanzia vipindi vya watoto, vya muziki, filamu kutoka nje na tamthilia kutoka nje pia zilikua tamu sana, ukianza kuangalia TV kuanzia jioni hakuna mtu alikua anabanduka mpaka saa nne au tano za usiku, na kama ulikua jobless kama mimi enzi hizo basi ulikua unaunganisha na kuangalia marudio ya vipindi vya muziki ambavyo tayari ulikua ushaviona jioni yake, ila kwasababu ya utamu wake na ku enjoy kile unaona kurudia ilikua easy tu. Sasa likaja wimbi la tamthilia za NDANI, kutoka hapa hapa nyumbani, na nikiwa kama mkazi na mtoto wa Magomeni (Mtaa wa Korongo namba 10 pale kama Downing Street) 🤣 ilikua ma star hawa tunawaona tu kwa mbali na kuwaangalia kwa admiration ya hali ya juu. Cheni, au niseme Dr Cheni naye alikua ni moja ya hao watu, ah, yale ndo yalikua maisha sasa.
    Yoyote ambaye alikua anapata nafasi ya kuonekana kwenye TV alikua ananyooosha kweli kweli, chochote ambacho anaambiwa ‘acheze’ alikua anakipa uhalisia wa 100%, watu walikua na kiu ya mafanikio sana na jengine kubwa kuliko yote, watu WALIKUA WANAPENDA ambacho WANAFANYA. Na hii simaanishi kumvunjia heshima yoyote yule ambaye anaifanya kazi hiyo leo hii, ila nasemea miaka hiyo ambayo ili uweze kutoboa ilikua inabidi upate ‘upenyo’ ambao nao ukipatikana inabidi uutendee haki sana sana vyenginevyo atatokea mtu huko anakotoka ajipitishe tu kwa miondoko ya ambayo alipita nayo Dr Cheni na kupata nafasi ambayo mpaka leo ndo imefikisha hapo alipo. Again, si kwa ubaya, skuizi unaweza kuwa star wa kwenye social media tu na mambo yako yakakuendea na baada ya mwezi au wiki kadhaa kama huna jipya watu wanakusahau.
    Dr Cheni anakumbuka kama ilikua jana jinsi ambavyo alipata shavu lake la kwanza la kuwa kwenye mchezo wa kuigiza wa TV, haikua imepangwa na wenye mchezo wao ila yeye alikua amejipanga vizuri tu, alikua amenuia kabisa kwamba vile ndivyo atakavyo fanya ili aonekane na boy alionekana. Kama mtu ambaye tayari alishaanza kushika hela kutokana na kazi zake za udereva, Dr Cheni anakumbuka jinsi ambavyo alianza kuzichanga zile ambazo alikua anazipata kidogo kidogo ili atimize ndoto yake, khadithi yake kwa kiasi flani ilianzia hapo, nami nilitaka kujua hiyo heshima yake na pesa aliitoa wapi? Kutoka kuwa dereva wa daladala mpaka kuwa mmliki wa gari. Huko alifikaje? Na jibu lilikua moja tu, HESHIMA kwa PESA na HESHIMA kwa NDOTO na MALENGO yake. Alifanikiwa sana mwenzetu. Na ndo huyu mpaka leo ambaye bado anaendea kuwepo na upepo kuuhamishia kwenye ku host harusi za watu mbali mbali ambao wengi wao humpa kazi kwasababu tu walishawahi kumuona kwenye TV wakati wanakua, ukiachana na ukweli kwamba yeye ni mmoja kati ya ma MC HODARI kabisa ambao wako sasa kwenye industry hiyo.
    Akiwa kama Baba mwenye jukumu kubwa la kuiangalia familia yake inavyokua, Dr Cheni anajua kutimiza majukumu na wajibu wake wa kila siku, kupangilia mambo yake ili asiwakwaze wengine ambao wanamtegemea (hasa wale ambao anawafanyia kazi zao za harusi). Kwake yeye kuwa kwenye wakati muafaka ni kila kitu. Na hiyo kwa kiasi kikubwa imesababisha yeye kuwa chaguo la kwanza kwa wengi ambao wanataka sherehe zao zifane.
    Na je vipi sasa kwenye suala zima la filamu na maigizo? Huko nako kashakimbia? Soko limekaaje? Mipango yake ya baadae je? Yote haya na zaidi yako kwenye lisaa limoja na na dakika 16 ya Podcast hii kama utaskiliza au lisaa limoja la kuangalia naamini litakufungulia mengi.
    Tafadhali Enjoy.
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahs...
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪RUclips Link bit.ly/RUclipsS...
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

Комментарии • 31

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Год назад +6

    Salama nakupendaje jamani. I started listening to you ulivyo anza kuchana watu kiukweli juu ya uimbaji wao. Please we need you at bongo star search kuendelea kuinua vipaji apart from your current show. Watching from 🇺🇸.

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Год назад +1

    I like the guy. I adore Salama's talent!

  • @emmanuelernest7185
    @emmanuelernest7185 Год назад

    This dude is so humble... Ts very nice to know him a bit more

  • @robathcarlos8068
    @robathcarlos8068 Год назад +1

    Docter wapi Norah? ila niseme kweli tu umenipa somo kubwa Sana jinsi ya kufikia Malengo Asante Sana Docter

  • @cocutweezy2532
    @cocutweezy2532 Год назад +1

    No 1

  • @manyandatimoth7
    @manyandatimoth7 Год назад +2

    Daktari Mkufu

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +1

    Doctor chen kaole moja hiyo

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 Год назад +1

    In world big jobs is to sv maney Kazi ngumu dunia nikuweka hela

  • @thomaslali705
    @thomaslali705 Год назад

    Nimevutiwa sana na life story ya Dr. Chain.

  • @lugoyeinvestment5150
    @lugoyeinvestment5150 Год назад

    Dr cheni

  • @itNeza
    @itNeza Год назад +2

    Akili kubwa Kaka plz ❤️✅

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 Год назад

    Dr kidani

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Год назад

    Ulifanikiwa haraka sana kwa vile ulijitoa kumuangalia mama yako na nduguzo.
    Japo wengi hufanya kinyume. Hujali friends. Mama na ndugu wa damu wakaishia kumezea mate tu uwepo wa ndugu yao huyo!

  • @Joy-bc2ph
    @Joy-bc2ph Год назад

    Haya dadangu

  • @mudimoz9329
    @mudimoz9329 Год назад

    😔😔😔😔

  • @fathumramadhan7567
    @fathumramadhan7567 Год назад

    hello salama watching for Qatar masha Allah big up love you

  • @mweupebrown3233
    @mweupebrown3233 Год назад +2

    Salama mtafute GSM tujifuze kitu kuhusu biashara maana MO tumemsikia kwenye kipindi chako cha nyuma

  • @rumibarton2359
    @rumibarton2359 Год назад

    Maisha hayana logic salama

  • @michaelkipara8205
    @michaelkipara8205 Год назад

    jamani interview ya salama na zuchu mbona hamtuwekei Huku RUclips,

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 Год назад

    hiyo dark-forest hapo jaman😛

  • @stellalaurent1479
    @stellalaurent1479 Год назад

    Umenitia. Moyo hapo kwenye kudunduliza 🤣🤣🤣 najiona mm

  • @mtemimagema6176
    @mtemimagema6176 Год назад

    We Salama wewe 👉👉wewe subiri.

  • @asifiwekitunga4655
    @asifiwekitunga4655 Год назад

    Siishiwi kuwaza km cheni angemuoa Nora ingekuweje😂

  • @agnessgeorge108
    @agnessgeorge108 Год назад

    Kwan jamani mbona ya billnass hairuhwi😪😪mie naisubili kWa hamu🤓

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 Год назад

    Benki ya posta🤣🤣🤣

  • @kagirasta1476
    @kagirasta1476 Год назад

    😹😹😹mwamba alikatza kitoz