Mara ya kwanza mzee mmoja alihojiwa na kukiri Robert kweli anashamba ila hawatampa auze ata kama amefufuka😂😂 leo mzee wa pili ambaye pia ni Baba mdogo wa Robert anadai kuwa Robert hana shamba ata atua mbili ,Sasa mbn kama wazeee wa Boma la Robert mnazidisha sintofahamu???? Na kwa mda uo uliopita tangu Robert kuonekana tutapataje kudhibitisha kwamba kaburi alikufukuliwa na kufanyiwa mabadiliko ili kuzima swala la ushirikina la kutaka kumdhumu Robert shamba ???? Maana Robert anadai shamba na ndiyo chanzo cha yote na yeye kurud????
Aisee kumbe ulimsikia yule mzee alivyokuwa anaongea kwa panic siku ile akasema hata kama amefufuka hapa hakuna shamba analo dai mm nina wasiwasi hawa wazee ni wachawi na ndio waliomchezea alafu baadae ikashindikana
@@rogatimushi689 Dunia inamengi tusali na kuomba tuu..na maiti iliyokutwa usishangae ni nyingine...ila.wangefukuwa ryt away ile siku tungeshuhudia maajabu
🤔🤔🤔✍🏽✍🏽Hii Tunawasiwasi hawa watueleze huyo ndugu yao alipata ajali ni kichwa kilipondeka? Kama ni ajali ni vigumu kumtambua kwa kweli kama ni mali mlicheza mchezo kununua maiti za watu 🤔mumzulumu Shamba ??? Kwa kweli tutajua ukweli wa haya yote mbona watu wa moshi mnaleta mambo ya kutisha jamani huko Kilimanjaro 🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️😭😭😭
Sasa huyo robert alizikwa kwenye shamba la nani na km siyo kwao kwanini mumzike sehemu ambayo siyo kwa baba yake ? Inaonekana robert alizikwa kwenye shamba lao yaani la baba yakemtakuwa mmemdhulumu shamba nyie
Mtangazaji awamu hii umezingua sana, yaani maswali ya msingi hujauliza, Huo mwili uliofukuliwa ulirudishwa tena kwenye hilo kaburi au ulipelekwa wap ? Umerudia kuuliza maswali uliyouliza kwenye Interview ya mwanzo
Mchakato wa yeye kufa hadi anawekwa mochwari ulikuwaje? Aliuguzwa akafa? Walisikia ameuawa? Alipata ajali wakamchukua bila kumtambua? Nani alimpeleka mochwari? Ni ndugu au haijulikani?
Hawa wamezika mtu mwingine...na may be hawamtaki huyo Robert ndio wanasisitiza aliekufa ni Robert. Yani science iko wazi leo TZ tunazungumza vitu vya kusadikika.
Mzeee bana😂😂,, eti ukiniuliza kwa nni,, mmi sifatiliagi majeneza kwenye makaburi... amejibu vzur saaana
😂😂
Hongera sana Mzee, hakika wewe ni mtu mzma unatoka majibu yaliyoshiba.
Hakufa alichukuliwa msukule but alifanikiwa kutoka kwenye kifungo hicho cha misukule.na ipo hivy inawezekan wanajua wachawi hya vzr
Huu msiba nimeukumbuka,tena Millard alipost😌
Ndio nakumbuka
@@nasrasway7143 😌😌😌😌
Ndiyo episode inaendelea
Si kwamba amekosa habari anatpatia mrejesho wa taarfa ilivyokuwa baada ya kufukuliwa maana tliachwa njia panda
Mi nilidhani hii issue imekwisha
Imejiludia hiii tena 😅😅😮
Hatari sana hio kwakweli
DNA ndio inaweza toa majibu ya kweli... watakuwa walizika mtu mwingine.. mbona ni simple tu!!
Wapime vinasaba
Nataman baba yangu afufuke mana siamin kama amekfariki had leo
Sorry my dear
Mungu wa miujiza
Dah.. kweli nimekuwa nayaona
Mara ya kwanza mzee mmoja alihojiwa na kukiri Robert kweli anashamba ila hawatampa auze ata kama amefufuka😂😂 leo mzee wa pili ambaye pia ni Baba mdogo wa Robert anadai kuwa Robert hana shamba ata atua mbili ,Sasa mbn kama wazeee wa Boma la Robert mnazidisha sintofahamu????
Na kwa mda uo uliopita tangu Robert kuonekana tutapataje kudhibitisha kwamba kaburi alikufukuliwa na kufanyiwa mabadiliko ili kuzima swala la ushirikina la kutaka kumdhumu Robert shamba ????
Maana Robert anadai shamba na ndiyo chanzo cha yote na yeye kurud????
Nimepata wasiwasi pia na.huyu mzee.manake alijibu jeneza lilivyokuwa wamezoea maana yake nini halafu akageuza kuwa yeye hafuatiliagi majeneza..
Nami nina mashaka na maelezo yake ukilinganisha na tukio na uhalisia
Aisee kumbe ulimsikia yule mzee alivyokuwa anaongea kwa panic siku ile akasema hata kama amefufuka hapa hakuna shamba analo dai mm nina wasiwasi hawa wazee ni wachawi na ndio waliomchezea alafu baadae ikashindikana
@@rogatimushi689 Dunia inamengi tusali na kuomba tuu..na maiti iliyokutwa usishangae ni nyingine...ila.wangefukuwa ryt away ile siku tungeshuhudia maajabu
Wamezika wamelewa hao,wamechanganya watu hao! Wamzike tena afufukee kulaleki,wanaleta habari za kiboko ya wachawi hapa!
Hahahahahah
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 dadekkk 🤣🤣🤣🤣 nmecheka kiboya
Sasa watu si waliangalia mara ya mwisho wakiaga na wakaona n yeye
🤔🤔🤔✍🏽✍🏽Hii Tunawasiwasi hawa watueleze huyo ndugu yao alipata ajali ni kichwa kilipondeka? Kama ni ajali ni vigumu kumtambua kwa kweli kama ni mali mlicheza mchezo kununua maiti za watu 🤔mumzulumu Shamba ??? Kwa kweli tutajua ukweli wa haya yote mbona watu wa moshi mnaleta mambo ya kutisha jamani huko Kilimanjaro 🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️😭😭😭
Sikiliza kwa makini wewe
😂😂kwanza sio Moshi ni Arusha @@Kutaila99
Nani kakuambia ni Kilimanjaro kuwa Makini ww😂😂
Jifunze kusikiliza kwa makini
@dizzonofficial2600😂😂😂😂😂😂😂😂
Innalillah wainnah lillah rajun daaaaa msiba mzito huu jamn daaaa Dunia hii inaenda kasi sana zaid ya sanaaa mzeeeee aelewi somo yupo yupo 😢
Mzee anaonekana kuna ukweli kijana alifanyiwa mazingaombwe
Maajabu kwakweli
Kwan walivyofungua jeneza wakekuta kitu gan mbona hamsem
Wamesema wamekuta mtu anafanana nae robert
Wakt robert anazikwa huyu robert aliefufuka alikua wapi😆😆
Kwani wakati msiba unatengwa mpaka mke sijui anahudhuria ye Robert alikuwa wapi mpaka msiba unaisha
Alikuwa ngarenaro
Allahu aalam
Au walikua mapacha aulizwe vizuri mama yao😂😂
😂😂Sasa mtangazaji unasema huyo ni kijana?
Issue pombe nyingi
Arusha mna epsode nyingi daaah😂😂😂😂
Mwili ukae zaidi ya miezi minne bado haujaharibika duuh
Ajabu... eti ndio yule yule
Itakua mgomba
Mwezi
Hata nami nmestaajabu
Wakenya tunajua kuwa watanzania hawakufangi😂😂😂mnazika baadae wanarudi,yaani utazika jirani leo kesho umpate kwako kukuomba chumvi😂😂😂
Sasa hii ni miujiza ya mungu au miujiza ya shetan
Mzee kanichekesha eti afukuagi makabur so ajui
Huyu mzee kuna kitu anajua muangalieni vizuri
Kwahyo kumbe akufufuka ila wamezik mtu ambaye siye
Haya ni maajabu je! Alifia wapi na dactari alidhibitisha?
Meno yalibaki kweny jenezi
Hatari sana
Wenda tofauti watu wawili wawili
Robert mwamba sana😂
Maasai wanafanana sana Hao 😅😅😅😅😅
Mngemleta tu
Miezi minne jeneza iharibike??
Tutayaona Mengi dunia hii
Waxhaga na wa Arusha kwa tamaanya ardhi ni shida. Mbona mbona mapori mengi tuu
Huyu mzee anaulizwa swali alafu anazunguka kutoa mazungumzo mengi duh
Kijana kwako huyo
Kwahiyo mwili ilivyotoka mochwari haikupelekwa nyumbani,? Na ndugu hawajamkagua ndugu Yao?
Atukuzwe MUNGU
Mze amenifurahusha na majibu 😂
Mbn km munailudia tn habari hio 😊😊😊
Kipind kile hawakufukua ndyo wmeleta mrejesho baada ya kufukua
Mungu mkubwa
😢
Mpimeni damu kujua ndiyo au siyo wenu
Hiyo arumeru kiboko kwa matukio.
Sasa huyo robert alizikwa kwenye shamba la nani na km siyo kwao kwanini mumzike sehemu ambayo siyo kwa baba yake ? Inaonekana robert alizikwa kwenye shamba lao yaani la baba yakemtakuwa mmemdhulumu shamba nyie
Wezi tu mmesha cheza na akiri za Robert
Huyu mzee anaongea kama mchungaji hananja kwa mbaliiiiiii
Pasua kichwa kwakweli😂😂😂
Walimzika siyo yeye,
Uchawi upo uyo alichukuliwa msukule nyinyi mkapewa gogo mkazike 😂😂😂😂 mlizika gogo jamani
Sasa km ni msukule mbona kaonekana na kaburi pia Lina mtu anafanana
Kuna mambo yanaogopesha
Mtangazaji awamu hii umezingua sana, yaani maswali ya msingi hujauliza, Huo mwili uliofukuliwa ulirudishwa tena kwenye hilo kaburi au ulipelekwa wap ?
Umerudia kuuliza maswali uliyouliza kwenye Interview ya mwanzo
Utakuwa hujasikia vzur mbona amesema kuwa mwili waliondoka nao Polisi
Wewe tu ndugu hujawa makini polisi walienda kuuzika pasipojulikana hapo wamezika mgomba
Hyo anajua kitu, mbon hashtuki jmn . Kwl amezoea geneza kutooza miez 3. Anauzoefu na nn apo?
Jeneza linaweza lisioze, je binadamu anaweza kukaa miezi mi3 hasioze?
Mwili ulianza kuharibika police walijuaje anafanana mtu ameshaanza kuoza
Fuct
Tanzania sihami
Kwanini hawakufukua ilo kaburi siku ile ile alipopatikana, daaah
Wachukue DNA
Ndugu mtangazaji hao walifananisha 😂
Na nyie muelew mwili ukiwa kwenye udngo hauhribiki haraka kama vile ukiwa hewani kwa maana .
Uyu mwandish wa Millard Ayo akikosa habar bhana anakuja kutuletea mahabar tuliyoyasahau
Hiii yakufukua kabur sio mpya wew
Mh
Kwahiyo maiti mwezi umefika haija haribika.
Hapo nimeshangaa na mm
Mchakato wa yeye kufa hadi anawekwa mochwari ulikuwaje?
Aliuguzwa akafa?
Walisikia ameuawa?
Alipata ajali wakamchukua bila kumtambua?
Nani alimpeleka mochwari? Ni ndugu au haijulikani?
Sikiliza Jamani
Anzia taarifa ya kwanza
Hawa wamezika mtu mwingine...na may be hawamtaki huyo Robert ndio wanasisitiza aliekufa ni Robert. Yani science iko wazi leo TZ tunazungumza vitu vya kusadikika.
@@pendosailo1989 inashangaza
Itakuwa alikuw na pacha wake. Majibu ya DNA wafuatilie.
Wameupiga mwingi
Na ww unaropoka tu ni Moshi au Arusha
Uwongo mtupu.
Ni kwel kbsa uyu baba alifarki jmn
Eleza wewe ukweli wako,,
Mambo ya mwamposa😂😂😂😂😂😂😂😂
Ni uwongo
Wee babu weee midlmo.yakobtuu inaonyesha wee muhongo
UNITED STATE OF ARUSHA, USA
Nilidhani ilishaisha
Wamemzika mtu mwingine
Kwahyo kumbe akufufuka ila wamezik mtu ambaye siye
Sasa hii ni miujiza ya mungu au miujiza ya shetan
Hqhahahq ya mungu hiyo
Kwahyo kumbe akufufuka ila wamezik mtu âmbae siyeye
Kwahyo kumbe akufufuka ila wamezik mtu ambaye siye