TAHARUKI ARUSHA, MWILI WA ALIYEZIKWA NA KUFUFUKA WAFUKULIWA, JENEZA HALIJAHARIBIKA "NI YEYE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 134

  • @FilbertHabashi-zn1qu
    @FilbertHabashi-zn1qu 10 дней назад +36

    Mzeee bana😂😂,, eti ukiniuliza kwa nni,, mmi sifatiliagi majeneza kwenye makaburi... amejibu vzur saaana

  • @ElimiliusNduhe
    @ElimiliusNduhe 9 дней назад +7

    Hongera sana Mzee, hakika wewe ni mtu mzma unatoka majibu yaliyoshiba.

  • @davidjoseph1143
    @davidjoseph1143 5 дней назад +4

    Hakufa alichukuliwa msukule but alifanikiwa kutoka kwenye kifungo hicho cha misukule.na ipo hivy inawezekan wanajua wachawi hya vzr

  • @Dipeson700
    @Dipeson700 10 дней назад +18

    Huu msiba nimeukumbuka,tena Millard alipost😌

  • @agnesnicholaus84
    @agnesnicholaus84 9 дней назад +12

    Si kwamba amekosa habari anatpatia mrejesho wa taarfa ilivyokuwa baada ya kufukuliwa maana tliachwa njia panda

  • @phinias.zacharia5657
    @phinias.zacharia5657 10 дней назад +9

    Imejiludia hiii tena 😅😅😮

  • @madetetv6576
    @madetetv6576 10 дней назад +7

    Hatari sana hio kwakweli

  • @pendosailo1989
    @pendosailo1989 9 дней назад +4

    DNA ndio inaweza toa majibu ya kweli... watakuwa walizika mtu mwingine.. mbona ni simple tu!!

  • @MbwiloJane-jj6hy
    @MbwiloJane-jj6hy 7 дней назад +2

    Nataman baba yangu afufuke mana siamin kama amekfariki had leo

  • @dicksonpangani1644
    @dicksonpangani1644 10 дней назад +10

    Mungu wa miujiza

  • @irenebeddah6524
    @irenebeddah6524 7 дней назад +2

    Dah.. kweli nimekuwa nayaona

  • @themanofGod127
    @themanofGod127 9 дней назад +4

    Mara ya kwanza mzee mmoja alihojiwa na kukiri Robert kweli anashamba ila hawatampa auze ata kama amefufuka😂😂 leo mzee wa pili ambaye pia ni Baba mdogo wa Robert anadai kuwa Robert hana shamba ata atua mbili ,Sasa mbn kama wazeee wa Boma la Robert mnazidisha sintofahamu????
    Na kwa mda uo uliopita tangu Robert kuonekana tutapataje kudhibitisha kwamba kaburi alikufukuliwa na kufanyiwa mabadiliko ili kuzima swala la ushirikina la kutaka kumdhumu Robert shamba ????
    Maana Robert anadai shamba na ndiyo chanzo cha yote na yeye kurud????

    • @Frosita
      @Frosita 8 дней назад +2

      Nimepata wasiwasi pia na.huyu mzee.manake alijibu jeneza lilivyokuwa wamezoea maana yake nini halafu akageuza kuwa yeye hafuatiliagi majeneza..

    • @HusseinAmiri-pp8dy
      @HusseinAmiri-pp8dy 8 дней назад

      Nami nina mashaka na maelezo yake ukilinganisha na tukio na uhalisia

    • @rogatimushi689
      @rogatimushi689 7 дней назад

      Aisee kumbe ulimsikia yule mzee alivyokuwa anaongea kwa panic siku ile akasema hata kama amefufuka hapa hakuna shamba analo dai mm nina wasiwasi hawa wazee ni wachawi na ndio waliomchezea alafu baadae ikashindikana

    • @Frosita
      @Frosita 7 дней назад

      @@rogatimushi689 Dunia inamengi tusali na kuomba tuu..na maiti iliyokutwa usishangae ni nyingine...ila.wangefukuwa ryt away ile siku tungeshuhudia maajabu

  • @khalifasultan2677
    @khalifasultan2677 10 дней назад +7

    Wamezika wamelewa hao,wamechanganya watu hao! Wamzike tena afufukee kulaleki,wanaleta habari za kiboko ya wachawi hapa!

    • @dicklenny1957
      @dicklenny1957 9 дней назад

      Hahahahahah

    • @AngelMazola
      @AngelMazola 9 дней назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @PhyinaElias-mu4wf
      @PhyinaElias-mu4wf 8 дней назад +1

      😂😂😂😂 dadekkk 🤣🤣🤣🤣 nmecheka kiboya

    • @Maxpaul-oi8pw
      @Maxpaul-oi8pw 7 дней назад

      Sasa watu si waliangalia mara ya mwisho wakiaga na wakaona n yeye

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen 10 дней назад +8

    🤔🤔🤔✍🏽✍🏽Hii Tunawasiwasi hawa watueleze huyo ndugu yao alipata ajali ni kichwa kilipondeka? Kama ni ajali ni vigumu kumtambua kwa kweli kama ni mali mlicheza mchezo kununua maiti za watu 🤔mumzulumu Shamba ??? Kwa kweli tutajua ukweli wa haya yote mbona watu wa moshi mnaleta mambo ya kutisha jamani huko Kilimanjaro 🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️😭😭😭

    • @Kutaila99
      @Kutaila99 10 дней назад

      Sikiliza kwa makini wewe

    • @hildagabriel1003
      @hildagabriel1003 10 дней назад

      😂😂kwanza sio Moshi ni Arusha ​@@Kutaila99

    • @dizzonofficial2600
      @dizzonofficial2600 10 дней назад +1

      Nani kakuambia ni Kilimanjaro kuwa Makini ww😂😂

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 9 дней назад

      Jifunze kusikiliza kwa makini

    • @AngelMazola
      @AngelMazola 9 дней назад

      ​@dizzonofficial2600😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 9 дней назад

    Innalillah wainnah lillah rajun daaaaa msiba mzito huu jamn daaaa Dunia hii inaenda kasi sana zaid ya sanaaa mzeeeee aelewi somo yupo yupo 😢

  • @remigiusrwechungula7047
    @remigiusrwechungula7047 9 дней назад +1

    Mzee anaonekana kuna ukweli kijana alifanyiwa mazingaombwe

  • @themoredwamichano8636
    @themoredwamichano8636 8 дней назад +2

    Maajabu kwakweli

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 8 дней назад +2

    Kwan walivyofungua jeneza wakekuta kitu gan mbona hamsem

  • @NeemaMtui-xb1wf
    @NeemaMtui-xb1wf 9 дней назад +1

    Wakt robert anazikwa huyu robert aliefufuka alikua wapi😆😆

  • @lucypatrick7830
    @lucypatrick7830 9 дней назад +2

    Kwani wakati msiba unatengwa mpaka mke sijui anahudhuria ye Robert alikuwa wapi mpaka msiba unaisha

  • @rashidmaulid7312
    @rashidmaulid7312 10 дней назад +1

    Allahu aalam

  • @mcgabby
    @mcgabby 9 дней назад +1

    Au walikua mapacha aulizwe vizuri mama yao😂😂

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 8 дней назад +2

    😂😂Sasa mtangazaji unasema huyo ni kijana?

  • @directorabiero340
    @directorabiero340 5 дней назад

    Arusha mna epsode nyingi daaah😂😂😂😂

  • @loitengia4217
    @loitengia4217 10 дней назад +7

    Mwili ukae zaidi ya miezi minne bado haujaharibika duuh

  • @VionaMuthoni289
    @VionaMuthoni289 4 дня назад

    Wakenya tunajua kuwa watanzania hawakufangi😂😂😂mnazika baadae wanarudi,yaani utazika jirani leo kesho umpate kwako kukuomba chumvi😂😂😂

  • @Glorydavid248
    @Glorydavid248 10 дней назад +1

    Sasa hii ni miujiza ya mungu au miujiza ya shetan

  • @nasrasway7143
    @nasrasway7143 9 дней назад +1

    Mzee kanichekesha eti afukuagi makabur so ajui

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 5 дней назад

    Huyu mzee kuna kitu anajua muangalieni vizuri

  • @JayUnique-r6c
    @JayUnique-r6c 9 дней назад +1

    Kwahyo kumbe akufufuka ila wamezik mtu ambaye siye

  • @JosefuNgasi
    @JosefuNgasi 9 дней назад

    Haya ni maajabu je! Alifia wapi na dactari alidhibitisha?

  • @AsendeNyota
    @AsendeNyota 3 дня назад

    Meno yalibaki kweny jenezi

  • @nasrasway7143
    @nasrasway7143 9 дней назад

    Hatari sana

  • @zepinashatibu5149
    @zepinashatibu5149 9 дней назад

    Wenda tofauti watu wawili wawili

  • @chrixyaugust7127
    @chrixyaugust7127 10 дней назад

    Robert mwamba sana😂

  • @TonyMasterog
    @TonyMasterog 9 дней назад

    Maasai wanafanana sana Hao 😅😅😅😅😅

  • @MrossoBarth
    @MrossoBarth 7 дней назад

    Mngemleta tu

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 8 дней назад

    Miezi minne jeneza iharibike??

  • @irenebeddah6524
    @irenebeddah6524 7 дней назад

    Tutayaona Mengi dunia hii

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 9 дней назад

    Waxhaga na wa Arusha kwa tamaanya ardhi ni shida. Mbona mbona mapori mengi tuu

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 9 дней назад

    Huyu mzee anaulizwa swali alafu anazunguka kutoa mazungumzo mengi duh

  • @jimonmwakalebela9470
    @jimonmwakalebela9470 10 дней назад

    Kijana kwako huyo

  • @CAPTAINGONLINETV-f2s
    @CAPTAINGONLINETV-f2s 10 дней назад

    Kwahiyo mwili ilivyotoka mochwari haikupelekwa nyumbani,? Na ndugu hawajamkagua ndugu Yao?

  • @francizzykasowizzy7991
    @francizzykasowizzy7991 10 дней назад +1

    Atukuzwe MUNGU

  • @StellaPendaeli
    @StellaPendaeli 10 дней назад +1

    Mze amenifurahusha na majibu 😂

  • @SaimonEmmanuel-h9t
    @SaimonEmmanuel-h9t 10 дней назад

    Mbn km munailudia tn habari hio 😊😊😊

    • @happynessswai3922
      @happynessswai3922 9 дней назад

      Kipind kile hawakufukua ndyo wmeleta mrejesho baada ya kufukua

  • @FatumaMombo
    @FatumaMombo 10 дней назад

    Mungu mkubwa

  • @zuberito.worldwide
    @zuberito.worldwide 10 дней назад

    😢

  • @zepinashatibu5149
    @zepinashatibu5149 9 дней назад

    Mpimeni damu kujua ndiyo au siyo wenu

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 9 дней назад

    Hiyo arumeru kiboko kwa matukio.

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 7 дней назад

    Sasa huyo robert alizikwa kwenye shamba la nani na km siyo kwao kwanini mumzike sehemu ambayo siyo kwa baba yake ? Inaonekana robert alizikwa kwenye shamba lao yaani la baba yakemtakuwa mmemdhulumu shamba nyie

  • @EvangelistJsolomonMkwata
    @EvangelistJsolomonMkwata 9 дней назад

    Wezi tu mmesha cheza na akiri za Robert

  • @melomusictz1079
    @melomusictz1079 9 дней назад

    Huyu mzee anaongea kama mchungaji hananja kwa mbaliiiiiii

  • @watsbemaofficial
    @watsbemaofficial 7 дней назад

    Pasua kichwa kwakweli😂😂😂

  • @rosemkeleja7768
    @rosemkeleja7768 6 дней назад

    Walimzika siyo yeye,

  • @hassanalikombozanzibar1192
    @hassanalikombozanzibar1192 9 дней назад +1

    Uchawi upo uyo alichukuliwa msukule nyinyi mkapewa gogo mkazike 😂😂😂😂 mlizika gogo jamani

    • @asteriashios1852
      @asteriashios1852 7 дней назад

      Sasa km ni msukule mbona kaonekana na kaburi pia Lina mtu anafanana

  • @Fofo-z6t
    @Fofo-z6t 5 дней назад

    Kuna mambo yanaogopesha

  • @JulvanJulius
    @JulvanJulius 9 дней назад

    Mtangazaji awamu hii umezingua sana, yaani maswali ya msingi hujauliza, Huo mwili uliofukuliwa ulirudishwa tena kwenye hilo kaburi au ulipelekwa wap ?
    Umerudia kuuliza maswali uliyouliza kwenye Interview ya mwanzo

    • @EmilianMasheyo
      @EmilianMasheyo 9 дней назад +2

      Utakuwa hujasikia vzur mbona amesema kuwa mwili waliondoka nao Polisi

    • @UrassaGodliving-dm3lp
      @UrassaGodliving-dm3lp 7 дней назад

      Wewe tu ndugu hujawa makini polisi walienda kuuzika pasipojulikana hapo wamezika mgomba

  • @aronmilinga7303
    @aronmilinga7303 9 дней назад

    Hyo anajua kitu, mbon hashtuki jmn . Kwl amezoea geneza kutooza miez 3. Anauzoefu na nn apo?

  • @Pascaltz
    @Pascaltz 9 дней назад

    Tanzania sihami

  • @gabrielmchau8764
    @gabrielmchau8764 6 дней назад

    Kwanini hawakufukua ilo kaburi siku ile ile alipopatikana, daaah

  • @RobertLyimo-vj3up
    @RobertLyimo-vj3up 9 дней назад

    Wachukue DNA

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 10 дней назад

    Ndugu mtangazaji hao walifananisha 😂

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 9 дней назад

    Na nyie muelew mwili ukiwa kwenye udngo hauhribiki haraka kama vile ukiwa hewani kwa maana .

  • @FrankGasper-eq2ui
    @FrankGasper-eq2ui 10 дней назад

    Uyu mwandish wa Millard Ayo akikosa habar bhana anakuja kutuletea mahabar tuliyoyasahau

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 9 дней назад

      Hiii yakufukua kabur sio mpya wew

  • @FredyRichard-q5n
    @FredyRichard-q5n 9 дней назад

    Mh

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 9 дней назад

    Kwahiyo maiti mwezi umefika haija haribika.

  • @G-JMK69
    @G-JMK69 10 дней назад +3

    Mchakato wa yeye kufa hadi anawekwa mochwari ulikuwaje?
    Aliuguzwa akafa?
    Walisikia ameuawa?
    Alipata ajali wakamchukua bila kumtambua?
    Nani alimpeleka mochwari? Ni ndugu au haijulikani?

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 10 дней назад

      Sikiliza Jamani

    • @yasintajoseph7495
      @yasintajoseph7495 9 дней назад

      Anzia taarifa ya kwanza

    • @pendosailo1989
      @pendosailo1989 9 дней назад

      Hawa wamezika mtu mwingine...na may be hawamtaki huyo Robert ndio wanasisitiza aliekufa ni Robert. Yani science iko wazi leo TZ tunazungumza vitu vya kusadikika.

    • @G-JMK69
      @G-JMK69 9 дней назад

      @@pendosailo1989 inashangaza

  • @salimlubuva9860
    @salimlubuva9860 5 дней назад

    Itakuwa alikuw na pacha wake. Majibu ya DNA wafuatilie.

  • @kagembemgalula2092
    @kagembemgalula2092 10 дней назад

    Wameupiga mwingi

  • @anenragnesmunis8490
    @anenragnesmunis8490 9 дней назад

    Na ww unaropoka tu ni Moshi au Arusha

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 10 дней назад +3

    Uwongo mtupu.

  • @TonyMasterog
    @TonyMasterog 9 дней назад

    Mambo ya mwamposa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-lr9mg8ij7d
    @user-lr9mg8ij7d 9 дней назад

    Ni uwongo

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 9 дней назад

    Wee babu weee midlmo.yakobtuu inaonyesha wee muhongo

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 9 дней назад

    UNITED STATE OF ARUSHA, USA

  • @3leggedbird222
    @3leggedbird222 9 дней назад

    Nilidhani ilishaisha

  • @user-xl5xi1uq9z
    @user-xl5xi1uq9z 10 дней назад

    Wamemzika mtu mwingine

  • @JayUnique-r6c
    @JayUnique-r6c 9 дней назад +1

    Kwahyo kumbe akufufuka ila wamezik mtu ambaye siye

  • @Glorydavid248
    @Glorydavid248 10 дней назад

    Sasa hii ni miujiza ya mungu au miujiza ya shetan

    • @Pascaltz
      @Pascaltz 9 дней назад

      Hqhahahq ya mungu hiyo

  • @JayUnique-r6c
    @JayUnique-r6c 9 дней назад +1

    Kwahyo kumbe akufufuka ila wamezik mtu âmbae siyeye

  • @JayUnique-r6c
    @JayUnique-r6c 9 дней назад

    Kwahyo kumbe akufufuka ila wamezik mtu ambaye siye