VAZI la MUSUKUMA LAWAACHA HOI WABUNGE - SPIKA TULIA AMUHOJI - ''NIMELIANGALIA - NI VAZIlaKIBUNGE?"
HTML-код
- Опубликовано: 29 апр 2024
- VAZI la MUSUKUMA LAWAACHA HOI WABUNGE - SPIKA TULIA AMUHOJI - ''NIMELIANGALIA - NI VAZI la KIBUNGE?''
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Dr msukuma umetisha sana na Kila unachokiongea huwa Ni point sana, pokea 💐🥀🥀 yako mapema
Mwamba huwa anaongea point sana basi tu
nakukubali sana unapigaga point tupu huongeagi pumba mwamba
Upo sawa kabisa msukuma
Waongeaji wazuri moja wapo ni msukuma yupo sawa
kk msuma hongera sana kwa point
Ipo sawa kabisa msukuma
Mh.Msukuma wewe ni kichwa kwelikweli,sikuzote nakubali hoja zako ,
Mungu akulinde
Hatari
Darasa la Saba la umri wetu hakuwa na shule za sekondal za kutosha mfano mm nilifaulu kwenda mazengo sikupata nafasi mwaka 1990 Leo walio Toka chuo kikuu wanahitaji msaada Toka kwangu na wanafanikiwa hivyo tunaomba tuheshimiwe
Mazengo boy hongera umenikumbusha mbali
Duh! Zamani sana! Mwaka huo mie nlikua na umri wa miaka 3😂
ila msukuma khaaa😅
Big up sana...ila mbona kila jambo huwa unalichangia unapataga vipi nafasi khaa...!?
Bunge la Punjab😊
Ndio Nemk na Osha ni noma sana wana taabu sana hawajui chochote wanakurupuka sana aiseee 😢
Kuna Burudani nyingi mno siyo rahisi kuziona zote mpaka siku ya mwisho
Haueleweki DPW ulipiga gaa
Akili mbuz
Shidi ni moja watu walio soma wanatumia elimu kwa manufaa yao binafisi sia kwa watanzania na kuna sehem zingine hazihitaji elimu sio kila jambo ni lazima utume elimu wakati mwingine akili inatakiwa ifanya kazi yake
eti MAVAZI ya kisenge?Unataka avae vichupi kama nyie wapuuzi?hongera msukuma kwa mavazi MAZURI ya asili ya kiswahili,achana na wapuuzi wabaokukatisha tamaa na mavazi yako ya heshima,
Wee mtangazaji haufai atakutanfazia ng'mbe.
Maprofesa wengi Tz lakini watoto wetu mashuleni bado wanasoma binadamu wa kwanza alikuwa nyani hii ni aibu badilikeni nyie wala kodi za wananchi
Ras Simba inabidi apewe PHD kazi yake inaonekana
Huyu Jamaa mapema ya DP World yamempa kiburi. Hana kitu huyo alichukua mabillioni ya DP World. Anajifanya he cares, jangili kiboko huyu.
Msukuma azekee bugen tuuu
Musukuka unafutanini umekoseann wawekezaji wakigeni wanatakiwa kwakiwango cha wachimbaji wakubwa
😢 z z z z z z zz z Z z z z z z z zz z z z z , z Z z , z , , , ,
Mavazi ya kisenge hayo, mbwa koko mkubwa, DP World oyeeeeeee!
😅😅😅😅
Heriyamkunduuna akili kulikowewe
😂😂😂😂