Sallam Afichua Walichokifanya WCB Baada Kufungiwa Na Media Zote Kubwa | SALAMA NA SALLAM SK PT 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    Sallam Sharaff ni lejendari, na hilo liko wazi kwa anayetaka na asiyetaka, kwa umuhimu wake kwenye maisha ya msanii nambari moja kwa sasa ni kama nywele, usipomkuta kichwani basi hata kwapani hatokosekana. Na kwa utashi wangu nadhani kama wana Bongo Flava au wasanii ambao ‘wako tayari kuwekeza’ basi wangemkimbilia kwa kasi ya 4G ilimradi wapate mawazo tu ya jinsi gani wanaweza kufanya ‘meli’ yao ifike na pale panapotokea mrama wajue wimbi gani la kuliepuka na wimbi gani ndo walipandie kwa juu.
    Sallam si muongo na hili ninalijua kwasababu ni rafiki yangu, atakavyokuambia ndivyo lilivyo, Sallam anapenda pesa na hilo liko wazi na wala hajifichi nalo ila kubwa zaidi Sallam anapenda MAENDELEO. Ukitaka msielewane naye milele na milele basi onyesha nia au muonyeshe moja kwa moja kama unataka ’kumharibia’ mkate wake. Hakika hatokuacha salama. Atahakikisha unaenda na maji kwasababu mkate wake ndo maisha yake. Tofauti yake na wengi wetu ni kwamba wengi wetu tukijua mtu anataka kukuharibia basi na wewe utajificha au utamuepuka au utamchukia tu, Sallam yeye atakuonyesha waziwazi kama HAKUPENDI.
    Muziki anaufahamu vizuri tu na mengine anayang’amua as we go kama binadamu wa kawaida, mapenzi yake kwa mziki huu na kwa kupenda anachokifanya ndo kunamfanya awe THE BEST MANAGER. Maisha na mipango na maendeleo ya msanii nambari moja kwa sasa yalianza kubadilika sana mara baada ya Sallam kuingia kazini, na ilibidi aanze kama International Manager maana kwa upande wa ndani tayari Babu Tale na Said Fella walikua washapatawala. Haikua kesi kwake, ambacho alikifanya ni kuhakikisha Diamond anapata collabo na show nyingi za nje ambazo yeye alikua anaenda naye. Wakati akiwa wanapokua alitumia nafasi hiyo kutengeneza network nyengine. Mipango yake na uwajibikaji na jinsi vitu vilivyokua vinasogea vilimfanya Platnumz ampende zaidi, amshirikishe kwenye mambo mengi zaidi ambayo matunda na malipo yake ndo haya ambayo wanakula leo na kesho na keshokutwa ilhali mimi na wewe tunashuhudia historia inavyozidi kuandikwa.
    Kwa Said Fella kupata udiwani nako pia kulimfanya Sallam apate majukumu zaidi ya hata ya ndani sasa maana kipindi kile cha Hayati JPM kazi ilikua inabidi ifanyike na Sheikh Said alipigiwa kura na watu, so mara nyingi ilikua inabidi afanye kazi za kutumikia wananchi wake, na huku nyuma Sallam akawa anaezeka banda lake la kuishi kwenye ufalme wa Diamond Platnumz.
    Nakumbuka mwaka 2018, London Town, Diamond alimaliza show zake na Sallam akabaki nyuma, kilichowapeleka kule ilikua ni show ambayo yeye Sallam, my cousin Dulla Meru na moja ya mapromota hodari kutoka Nigeria ambaye anaishi London Ndugu Smed waliiandaa, ilienda poa na naamini ile ilifungua milango mingi sana. Alibaki nyuma kuhakikisha mambi yote yanakwisha freshi na pia kutengeneza network nyengine kwa matumizi ya baadae. Alibaki nyuma na mimi. Tuli enjoy, tuli jifunza na pia yeye aliweza kuweka MIZIZI yake vizuri ili mbuyu huu tunao uona leo usimame.
    Mawe mengi mno kapigwa. Maneno mengi sana yamesemwa juu yake, kama binadamu hawezi kuwa amekamilika au kamaliza, ila jitihada zake na kazi ambayo anaifanya inabaki inamzungumza kwa niaba yake. Kama ambavyo yeye anasema, kwanza yeye ni MFANYA BIASHARA, mengine yanakuja baada ya hapo. Diamond anamlipa Sallam kwa asilimia kila mara anapoleta BIASHARA kwenye MEZA YAKE. Faida ni ya WOTE. Sio mmoja ananenepa na mwengine anakonda kama ilivyo kwenye mahusiano mengi ya biashara hapa nyumbani na pengine Afrika na duniani kwa ujumla.
    Ukiniuliza mimi nitakuambia, hapa kuna mengi ya kujifunza.
    Tafadhali enjoy.
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahs...
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪RUclips Link bit.ly/RUclipsS...
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

Комментарии • 216

  • @edsonjeremiah5905
    @edsonjeremiah5905 2 года назад +34

    Sipendi marafiki Ila nahitaji wafanya biashara wenzangu that's big point Salam salute.

  • @Valdo.Suleiman
    @Valdo.Suleiman 2 года назад +36

    Duh yani huna marafiki wala huitaji marafiki kweli we mwamba😁😆

  • @azamzahoro6548
    @azamzahoro6548 2 года назад +11

    "Mimi sina rafiki mimi ninawafanyabiashara" unyama ni mwingi sana.

  • @bongelabwana7523
    @bongelabwana7523 2 года назад +16

    Mwamba Salam hapa duniani hakuna marafiki wengi wanafiki sana wakiona una hela kidogo wanajisogeza , harmonize alipokua ananuka vikwapa hakuna aliyekua anajali wala kutaka kumsaidia, leo katoka anapata hela na mademu kila mtu anajifanya anampenda . bindadamu WANAFIKI kinoma noma

  • @Hanskapella
    @Hanskapella 2 года назад +14

    Show imekua Fupi Sana, Kuna Mambo mengi Sana yakuongea na Sallam Sk. Anamadini mengi Sana huyu mwamba.

  • @Igauf3
    @Igauf3 2 года назад +16

    Great point, look at the top 100 of all African countries on Apple Music et al. You will agree with Salaam’s point the market reflect to what he is saying. Only, Northern African countries have high numbers of their musicians in those list.

  • @iammichaellukindo
    @iammichaellukindo 2 года назад +4

    Everytime ukimsikiliza salama unajifunza upya

  • @nsaluhenry6435
    @nsaluhenry6435 2 года назад +7

    Jamaaa anajua kuongea asee wasanii muweke heshima jamaa atawafikisha mbali Big Up SK

  • @Bullah_tz
    @Bullah_tz 2 года назад +6

    *ila huyu jamaa ni kichwa asee 😂😂😂 hapa Diamond platnumz kapata meneja asee* 😂😂😂

  • @UlimeA
    @UlimeA 2 года назад +7

    Hii jamaaa inawaza PESA tu.🙌 big up

  • @mussamsella8560
    @mussamsella8560 2 года назад +5

    Naapa ....Najiona sahihi kwa mengi sana.
    Biashara ina mambo mengi sana,hawa watu wanawekeza wanawekeza muda,pesa,na akiri zao halafu wewe unataka usaidiwe kwa huruma ya maneno.Hili haliwezekani hata kidogo.

  • @3kings63
    @3kings63 2 года назад +11

    Nakubal sana📢🥰🔞🧡
    Marafik wanga tuu

  • @roqerz
    @roqerz 2 года назад +14

    This man is businessman

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 2 года назад +13

    someone OG that's sallam SK Mendez 🤣🤣hataki unafiki

  • @jumamofu9573
    @jumamofu9573 2 года назад +13

    Niliisubiri Sana Hii interview

  • @paulmbonika2459
    @paulmbonika2459 2 года назад +6

    Napenda 'Kujiamini' kwa Salam SK, Big up, one of the people i would love kukutana nao FACE TO FACE niweze chimba madini mawili matatu.

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 2 года назад +13

    This guy is a good businessman

  • @phranklynpius9478
    @phranklynpius9478 2 года назад +5

    Ninachokubali kuhusu hii shoo, yanaulizwa maswali yenye majib 'uncomfortable'....bonge la podcast!

  • @mumaheza151
    @mumaheza151 2 года назад +5

    Diamond

  • @murschasser5503
    @murschasser5503 2 года назад +15

    Interview ya salama ni borrra 👏

  • @henryedmund1046
    @henryedmund1046 2 года назад +9

    That was life style harmonize issue

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 2 года назад +2

    Ht mm sipokei mkono. Wk ss msibani NDO nn kila. Kwani slm ndo mfiwa au korosho alitaka Kiki ndo maana alifanya vile

  • @reisezone4574
    @reisezone4574 2 года назад +6

    namuelewa salaam bongo ukiwa na misimamo utetereki sio mnafiki lazima uchukiwe ndio kinachomtokea salama yuko straight msimamo hayumbishwi ndio maana anachukiwa

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 2 года назад +1

      Wabongo ukiwachekea sana watakupanda kichwani ndio mana Saĺlam hana marafiki

    • @UlimeA
      @UlimeA 2 года назад +1

      Huyu jamaa kwenye issue ya business ni makin sana

  • @salomesamson6904
    @salomesamson6904 2 года назад +2

    Hamonize mibangi yule aache mibangi yule mibangi yake ndo inamharibu hamonize

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 2 года назад +2

    Hapo mwamba aksema ukweli... Tamaa ndio inasumbua wasanii, hilo nalifahamu... ata Rayvanny bado ni tamaa, ila tamaa mwisho wake mbaya sana... Ona Harmonize sahivi ana mihela na Range Rover, kajala atamlamba ata mkundu... mmakonde!! mumngu kamsaidie!!

  • @yohanakaini
    @yohanakaini 2 года назад +3

    one thing i like about SK is that the man is real, hajui ku fake yan black is black

  • @alphamgimba7125
    @alphamgimba7125 2 года назад +5

    Jamaa anaakili san

  • @mountaincoffee7
    @mountaincoffee7 Год назад +1

    Mlete jamaa wa radio one wa habari nyepes

  • @MasterChief-Ortiz
    @MasterChief-Ortiz 2 года назад +6

    sk hakuwa na njaa nin

  • @abdulraufmohammedsalum6806
    @abdulraufmohammedsalum6806 2 года назад +7

    Wa kwanz

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 2 года назад +4

    i like him🤣wao waseme sisi tunaenda kweli kweli

  • @mussachabonga9595
    @mussachabonga9595 2 года назад +5

    Absolutely interview,big up sister Salama.

  • @nsabiyaremyezacharie6387
    @nsabiyaremyezacharie6387 2 года назад +7

    Mendez kama Mendez

  • @byaminarehema6745
    @byaminarehema6745 2 года назад +6

    Is so real !

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 2 года назад +4

    THE SMART INTELLIGENCE MANAGER no need kuwa na friends oh yeah

  • @edwardokumu8453
    @edwardokumu8453 2 года назад +24

    I feel like interviewing somebody like sallam you need more time..there were many issues about harmonize that were not asked e.g allegations he made at the airport,also issues around the exit of rayvanny and hanstone..

  • @teggertegger3669
    @teggertegger3669 2 года назад +3

    Big up SK kuazia leo nimekukubal salute 👏👏👏👏👏👏👏👏🍾🍾👑🤣🏃‍♂️🏃‍♂️

  • @robertmbaga9432
    @robertmbaga9432 Год назад +1

    Swali la mwisho zuri sana,Salama itabidi siku moja ujifanyie interview mwenyewe kwasababu unauliza vizur sana maswali nahisi hakuna anaekushinda.Halafu naomba niletee Alex Luambano wa Clouds

  • @bintyaroy6734
    @bintyaroy6734 2 года назад +6

    Safi

  • @mrmakungaone321
    @mrmakungaone321 2 года назад +17

    Sallama hongera kwa kazi be blessed SK

  • @moodymachinga8008
    @moodymachinga8008 2 года назад +12

    Mendez Nimependa sn hii interview brother big up sn

  • @zerochanneltanzania3797
    @zerochanneltanzania3797 2 года назад +2

    No body cares ...so bro #sallam protect ur business...and fight for wats right kwa perspective yako. Anaye takakuleta mziki mwengine nayeye asimame tumuone. Otherwise...wataongea sana.

  • @sheilanyahoza5633
    @sheilanyahoza5633 2 года назад +3

    HUU NI WAKATI WA MOND SASA ....WE NEED HIM

  • @erickmichaelmugele2107
    @erickmichaelmugele2107 2 года назад +3

    Vijana wengi wakiweza kuiga mindset kama ya Sallam SK watafika itakuwa vizuri sana...

  • @meshack3266
    @meshack3266 2 года назад +1

    hapo ndo nimeelew kumbe harm mavi kampenda kajala kwaajili ya chuki na p fuck

  • @geoffreybasesa2015
    @geoffreybasesa2015 2 года назад +2

    Sipendi kuhulizwa maswali, so direct and straight forward salama. Keep it up miss

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад +7

    🙌

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 2 года назад +2

    Jamaa kaongea point Sana

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 2 года назад +1

    Salama na Diamond Platnumz next

  • @mao9622
    @mao9622 2 года назад +2

    Boss Mendez

  • @user-sp3gg7id8q
    @user-sp3gg7id8q 2 года назад +1

    Alikiba anatchokwama ni views na consistently ya kutoa video za nyimbo haraka haraka kila mwezi kama mondi, hizo views haziji kwa fans tu, unaboost ili uonekane umefanya vizuri iyo season /12 months hii itamfanya apate nomination kwenye awards za nje ya nchi na kualikwa kwenye matamasha mbali mbali. Pia views ni ghali that's why mondi hana hata nyumba ameinvesting sana huko akipiga shows anaenda kuboosti ili ashikilie position ya juu.

  • @mirromsodoki2777
    @mirromsodoki2777 2 года назад +3

    Ilauyo jamaa niatali 😂

  • @calvinloveambroce842
    @calvinloveambroce842 2 года назад +2

    Bonge la interview ever huyu sallam ni intelligent sana

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 2 года назад +1

    Muarabu Koko huyu

  • @michaeljeremiah5364
    @michaeljeremiah5364 2 года назад +2

    Dada angu salama niweza pata angarabu nafasi nipige na ww pic tu....dada 😭

  • @franciskyombo9394
    @franciskyombo9394 2 года назад +2

    Sk Multigenius

  • @nsaluhenry6435
    @nsaluhenry6435 2 года назад +1

    Wasafi itaendelea kuwa juu kwa menejas walionao jamaa yupo really anajitambua sana

  • @King-Buda
    @King-Buda 2 года назад +3

    Bless

  • @romakoko2292
    @romakoko2292 2 года назад +1

    Interview ya zuchu iko wapi

  • @tanzania2559
    @tanzania2559 2 года назад +1

    Business, Mimi sina haja ya kukutana na sk ila he is a business minded

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey2614 2 года назад +2

    Jamaa anasauti kama ya ridhiwani kabisa

  • @salmadulazi6876
    @salmadulazi6876 2 года назад +1

    Hiv ile salama na Salma Msangi imeishia wapi mbona kila nikifungua nakutana tangazo tu kulikoni?

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 2 года назад +1

    N'a base n'a kuskiliza WCB tuuuu

  • @nassibsaid1348
    @nassibsaid1348 2 года назад +2

    Nimekuelewa sana salam

  • @CROWNMEDIAKE
    @CROWNMEDIAKE 2 года назад +2

    Hii nimependa sanaaa

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 2 года назад +3

    Chums Cha pua huyu Sk Salam

  • @qualitymediaproduction
    @qualitymediaproduction 2 года назад +1

    Sallam is real hataki unafki

  • @thomaslyimo1729
    @thomaslyimo1729 2 года назад +2

    He is mastermind

  • @abdallahmdangadachi7030
    @abdallahmdangadachi7030 2 года назад +6

    Sijawahi kusikia kuhusu hiyo inshu ya Mombasa hapa ndonimejua leo. Lkn inaonekana kweli Salam alienda kuchafua hali ya hewa. Miaka kadhaa nyuma King alikua na show kwenye tamasha moja kubwa la mziki Zanzibar stonetown kwenu Salama. Kipindi hiko D alikua na mazaa wa Uganda. Basi wakati king anafanya yake jukwaani D alienda na mazaa wake forodhani kula urojo. Salama unajua umbali wa foro na lile jengo kwenye buku mbili. Ilikua tafrani maana washabiki hawajui waende wapi

  • @egnokapinga16
    @egnokapinga16 2 года назад +1

    Boss Mendez akili mingi sana. Anajua🙌

  • @swahilifoodtz6446
    @swahilifoodtz6446 2 года назад +2

    Salam sk nime muelewa uyu jamaha

  • @egnokapinga16
    @egnokapinga16 2 года назад +2

    BossMendez

  • @davismakule5965
    @davismakule5965 2 года назад +5

    Jamaa anajibu maswal vizur sana, straight forward

  • @gospelextravibes
    @gospelextravibes 2 года назад +2

    😄😄😄😄

  • @somyremy1302
    @somyremy1302 2 года назад +1

    Sasa mbona hamjala hicho chakula jaman😪na mbona nyama tupu

  • @pirato5462
    @pirato5462 2 года назад +1

    Boss kama boss

  • @babalaujamaa7131
    @babalaujamaa7131 2 года назад +1

    Mwambaaaaa huyu hapaaaa ✌️✌️✌️✌️

  • @user-sp3gg7id8q
    @user-sp3gg7id8q 2 года назад +2

    Salama Jabir waambie hao wasafi waache kununuwa views fake na subscribers fake wanakandamiza wasanii wa tanzania na east African.

    • @hamzamohammed2535
      @hamzamohammed2535 2 года назад

      Konde gang

    • @weremajonathan4106
      @weremajonathan4106 2 года назад +1

      Wanakandamiza vipi? Nao wanunue

    • @svt3
      @svt3 2 года назад +1

      Nunuweni pia kama ndio fursa

    • @user-sp3gg7id8q
      @user-sp3gg7id8q 2 года назад +1

      @@hamzamohammed2535 nimesema wasafi ndo wizi wa views na subscribers hasa diamond ndo hununuwa milioni 50 mpaka 100 kila video that's why anapata nomination kwenye awards za nje ya nchi na kualikwa kwenye matamasha mbali mbali na asipo nominatiwa yeye basi hizo nafasi zinamuangukia msanii wake wa wasafi ni muda watukustopishwa hii tabia yake.

    • @user-sp3gg7id8q
      @user-sp3gg7id8q 2 года назад +1

      @@svt3 I don't think ilo ndo suluhisho maana kuna wasanii ni maskini pesa ya koshoot video tabu, so after that anunuwe views kama Hana hela? So wasafi wanaruhusiwa watoe nyimbo wanaboost views milioni 50 then wewe unaonekana nyimbo yako imeflop sababu views zako ni chache, hapo ndo nikasema wanakandamiza wasanii.

  • @othinielkamyola3697
    @othinielkamyola3697 2 года назад +2

    Nomaaaàa sana sallam

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 2 года назад

    Ukiwa na malengo yako ya kimaisha ukiwa karibu na hyu lzm utoboe tu

  • @goodluckmgari9185
    @goodluckmgari9185 Месяц назад

    Don Mendez akili nyingi xna🙌🙌🙌

  • @sheemsuka4019
    @sheemsuka4019 2 года назад +1

    Tuletee Harmonize basi

  • @shangwerobert5639
    @shangwerobert5639 2 года назад +1

    I like this guy

  • @mohdkibari4707
    @mohdkibari4707 2 года назад +1

    Usiogope kuuliza maswali

  • @user-sp3gg7id8q
    @user-sp3gg7id8q 2 года назад

    Vp wewe mbona comment zinafutwa?

  • @brunofernandez6608
    @brunofernandez6608 2 года назад +1

    The man talk the truth

  • @theodoreconstantine2565
    @theodoreconstantine2565 2 года назад +2

    ok

  • @emmanuelcaliph3714
    @emmanuelcaliph3714 2 года назад +1

    Salam sk big up sanaaaaaaaaa

  • @vincentkiprotich7959
    @vincentkiprotich7959 2 года назад +1

    Sallam is real!

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 2 года назад +1

    Diamond❤️❤️❤️

  • @daudiraston747
    @daudiraston747 2 года назад +1

    Big man congrats

  • @yusuphwilliam5343
    @yusuphwilliam5343 2 года назад +1

    Salam maswali yako mazuri sana

  • @bigELLY-zz7tw
    @bigELLY-zz7tw 4 месяца назад

    Yeah don Mendez🎹🎹

  • @ayubukassim7995
    @ayubukassim7995 2 года назад +1

    Nakubali hiki kipindi very 🔥🔥🔥🔥

  • @cossangraphix6843
    @cossangraphix6843 2 года назад +5

    Nice interview

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 2 года назад +1

    #Sallam ahsante kwa interview kali sana.

  • @johanakunambi6975
    @johanakunambi6975 2 года назад +1

    Good

  • @nooromar6233
    @nooromar6233 2 года назад +1

    Sasa maybe alikuwa anataka ku reconcile ku kata mkono ni kiburi lakini Salam it’s all over you

  • @hassanomar1041
    @hassanomar1041 2 года назад +7

    Wa pili

  • @hbboe1849
    @hbboe1849 2 года назад +1

    Uyu ndo mwamba sasa...😂😂