LIVE: RAIS MAGUFULI ATAJA SABABU ZA KUMTUMBUA GAMBO I AWAPA ONYO KALI VIONGOZI WA ARUSHA
HTML-код
- Опубликовано: 21 июн 2020
- Rais Dkt. John Pombe Magufuli, akimwapisha Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha Ikulu Dar es Salaam, amegusia sababu zilizomfanya awaondoe viongozi wa mkoa wa Arusha. Tazama hapa
Mpinzan kama mimi anae mkubali magu gonga like hapo tutambuane
Mnooooooo
Chuma kinaongea
Mwenyezi Mungu akupe ulinzi Mh Raisi.
Uko na uhalisia wa kweli kuitumikia Tanzania,
Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki Africa
Safi mh. Rais hao wateuliwa huwa wanajiona sana na kutumia nafasi zao vibaya
Mjomba we ni giniaz mungu akupe maisha marefu sana mjomba
Baba jesca umenifurahisha saana kwan mkoa wa arusha tunaishi kibabe na viongozi wetu kl mtu ni kiongozi kwa hili safi saaanaaaaaaa
Mala zote akiwa anaongea JPM yani mtu unatamani asimalize,anaijua nchi,anatambua matatizo yetu wananchi na anajua kusimamia maswala ya wananchi vyema..RAIS wa kweli huyu
George upo sahihi kabisa
Narudia usicheza na kazi heshimu kazi yako heshimu viongozi wenzako heshimu maumuzi ya wenzako timiza ahadi na uwajali wanna chi wenzako
Hakuna ujanja ndugu, mtu anaweza fanya hayo yote na bado asipatie. Anaweza chukiwa kwa kazi zake nzuri na kwa tabia zake njema na akatengenezewa zengwe.
Warumi 13:1-7
Habar ya gambo imeishia hapa, ahsante kwa kushiriki gambo
🤣🤣🤣
😀😁😂😂😂
Show show
Messege imefika Dar ngoja tuone kinachofuata, 😂😂😂 ila mzee magu unanikoshaga sana 👏👏
Huyu mzee hana dini cjafikir kam ni simple like this
Hivii uchaguzi mkuu wa Rais unataka kufanyika wanini tena? Rais sindo huyu mi naona aendelee tu tuchague tu wabunge na madiwani
Kweli kbs
Acha zako ww
Salute mheshimiwa magufuli hapa kazi tu na uaminifu na kukusanya kodi hamna kujuana kwenye uzalendo na kufata kazi na uaminifu
Safi sana Mkuu wetu, umewanyoosha ili iwe mfano
(Huwezi kuwa na kila kitu) ahsante baba umenipa somo kubwa sana kuwa turidhike na tulicho nacho
Dawa nazan sasa imewaingia,sasa watajua maana ya Democracy
Shukran sana rais wetu kwa miujiza yako mkuu kumbe unaona kila mahaliee mungu akulinde uzidi kuimarisha nchi yetu
Yani iko hivi,huwezi ukapata kikubwa,wakati hicho kidogo ulicho nacho unakidharau
Yaani kama mungu angelikuwa anapokea rushwa ningetoa uishi milele Rais wangu
Love you so much dady
Hinizid mimi
Mshuwa unazunguuuka.. kwa mfano n'tu alidhiki na jiji Kama D'aslam,anaitamani Ubungo.,!!🤣😅💪🏿💪🏿
Hilo la stand ni muhimu mnoo
Asante baba Rais wetu kutukumbusha inatupasa Na tujifunze kuridhika. Kwa kile. Tulichonacho..hasa kiutendaji Serikalini...
Hahahahaha kagombane na mkeo na watoto alaaaa... Asante Boss
Imenichekesha sana😀😀😀
😹😹😹😹
Am really prouded to be Tanzanian because Mr magufuli is real friend that no one can be like him, I pray for u my president may our God almighty be in ur side for every decision and everything that u plan
you prolly dont give a damn but does someone know of a tool to log back into an Instagram account?
I was stupid forgot the password. I appreciate any assistance you can give me!
Shikamoo Mhe Raisi Magufuli, hunaga utani na haki za Watanzania Arusha uku kuna watu wanataka kutuchezea haki zetu Mhe mkuu wa mkoa tunaomba uanze na hilo.
Rais wetu.kweli wewe ni jembe
Rais wangu nimekukubali sana unahakili kama zote hubagui chama kwenye haki
Hilo swala stand Rais wangu nasubiria kwa hamu Rais wangu nakukubali
Kweli ulisema hautatuungusha,safii Sana baba huwa najivunia Sana Rais wangu kipenzi Cha wanyonge
🔥🔥🔥🔥🔥 MAGUFULI JEMBE🙌
Clouds siku hizi inarusha taarifa za ikulu
Kwani walikua hawaoneshi
Mpk umenifanya nikaangalie upyaaa
Sawa sawa mkuu
Wakwanza mm naomba like zenu wakuu
safi JPM
Mkuu wetu umetenda haki kiukweli Viongozi wa umma,hawakutakiwa kurumbana hadharani,wamebeba uwakilishi wako mhe.hata Kama kulikuwa na migongano kimaslahi wangejiheshimu ni Viongozi, niwaombe Viongozi wateuliwa,tukumbuke usemi usemao cheo ni dhamana,unapopewa heshima ya kuteuliwa,mtangulize Mungu zaidi ukiomba hekima kwa Mungu, uongozi siyo mabishano, Gambo alizoea uchonganishi kigoma,na kule aliokolewa na mkuu wa mkoa,kudanganya ilikuwa jadi yake kugandamiza wananchi na watumishi,na hata uvinza alitesa wananchi na watumishi waliokolewa na mkuu wa mkoa brigedia Emanuel maganga, wanasema ameonewa, huenda wametumwa Naye wamsemee,Hakika mhe, Ukweli utakuacha huru, Mungu akupe maisha marefu, Viongozi igeni wakuu wa mikoa mingine mbona hawashindi wanalumbana, kweli naamini kila mteuliwa,kuna kitu amejifunza, Gambo unajali ya kurudi kijiweni,ulivuka mipaka ya mamlaka yako,
hongera sana mh Rais wa nchi mtu asiejua anaweza asikuelewe kabisa lkn mie nakuelewa sana hata hivyo wewe ni mvumilivu sana miaka miwili umewavumilia we ni kiongozi safi
May God the almighty bless you PRESIDENT.........
Kweli RPC Arusha aangalie sana watu wake wanaonea sana raia
Hiyo ndio sababu ya kukupenda sana
Hongera sana Upewe vipindi vinne
Huo mkoa una wajuaji sana
Ujinga tu!!!!
Kweli kabisa
Arusha shida yao ubish mwingi
Mhe Raisi wewe ni mkweli na muwazi! Ukweli baba we ni muungwana. Mungu akulinde na akutunze akujalie afya njema.🙏
LENGO KUBWA NI KUJENGA TANZANIA 🇹🇿
Hongera kwa kazi rais wetu hodari
Pamoja na suala la kutaka ubunge, tatizo kubwa wote wanajiona ni wateuliwa wa Rais ndo maana hakuna wa kumheshimu mwenzake. Inatakiwa wawe wanaambiwa DC na DED wako chini ya RC na ndo maana maDC huapishwa na RC kwa niaba ya Rais. Katika kazi ikitokea kama kuna mahala wanahisi wanaonewa wafuate taratibu nadhani wote bosi wao ni waziri wa OR Tamisemi.
Kweli
Lakini ukifuatlia Gambo ndo tatizo, ko ukubali tu kila jambo hata km haliko sahihi kisa kasema alokuzidi cheo?
@@josephk90 em fanya hivo kwa magu af uone
Mimi binafsi bado nilimkubali sana Gambo alifanya mambo kwa bidii kubwa ila DC na Mkurugenzi hawakutaka kuheshimu Cheo chake labda kwa sababu ya umri wake. Na tatizo jingine wanasiasa wa Arusha walipenda aanguke hasa kwa dhamira iliyokuwa ikijadiliwa kuwa Gambo ana harufu ya kuwa mbunge ajaye. Kwa sasa nadhani wanasiasa wamepumua na vijiwe vyao vinasherehekea . Huenda wanaandaa Propaganda nyingi kwa sasa ya kuwaaminisha wana Arusha kuwa yule jamaa alikuwa mzigo hivyo wasimjadili tena. Lakini aliyoyafanya wananchi wanayajua ndani ya nafsi zao. Big Up Gambo God atakusimamia katika mambo mengine yenye faida na wewe haya ya Umma achana nayo kwa sasa.
Asante baba ww ndio chaguo letu naomb umpe gambo ubunge anatufaa arusha
Hicho ndo kitu ambacho viongozo wengi hawakijui
Congratulations for Mr President
JMP hili la stand nimekuelewa lkn kuna kampuni imepewa kazi ya kujenga barabara kona ya mbauda sasa ni miezi 6 wamefukua bembeni ya maeneo ya barabara na kuacha hivyo hivyo sasa inasababisha msongamano mkubwa wa magari ni bora wangeacha vilevile mpk watakapokua tayari ili wangeanza mpk kumaliza na viongozi wapo sasa hatujui ttz ni lipi hapo.
Huyu jamaa mpya akija atamalza hyo resss
Kaja new mtamaliziwa
Wengi wanadhani wametumwa kupambana na wapinzani.
Yah
Mungu akubariki umungu MTU unaponza wengi mkuu tunkushukuru kuona hawa wengi ne walisahau majkumu wakapambana na wapinzani kumbe na wao ni watnzania wanamuheshim sana Raisi na hata hukutana na kuteta
Nakukubali sana mheshimiwa raisi God bless you
Mungu akubariki sana rais wetu wewe ni mfano wa kuigwa dunia nzima.
Wewe ndoo raisi wakuongea ukweri na musema ukweri ni mpenzi wa mungu
Hongera baba Mungu AKUBARIKI
Na mm wapilii like zenuu viongozi
Yaani Rais unatoaga " black and white "
Wakitumbuliwa ww usiulize tatzo ni nn mzee atatuambia akiapisha mwingine
Hii tamu sana.
Ongera Sana rais wetu pombe magufuri kwajitiada ulizo onyesha hapa nchin mm Kama mtanzania ninaeishi mkoa wa Mara natamani uwendelee kuwepo hata miaka ishirini,
Hapa kazi tuuu.rudini nyumbani kumenoga bana.huyu msukuma hakoseagi mungu abariki tumbo alilolala uyu baba .aloo ananikoshaaaaa
Uko vizuri mzee magufuli
Hakuna haja yakupiga kura hakika umeteka mioyo ya watanzania mungu akubarik
Kwahy Gambo kasharudisha lile v8 letu??😀😀😀
🔥🔥
Khaaa magu we noma kagombane na mke wako na watoto wako mbavu zangu 😂😂 ila Mungu akufanyie wepesi gambo maisha haya leo unacho kesho unatafuta daah.
Hongera sana my President JPM, GOD bless you always President
Ni Rais makini na anayejali na kuthamini utendaji bora wa Mtumishi aliyeaminiwa na kupewa nafasi ya kuwatumikia wananchi, akichukia sana konakona zisizonufaisha umma. Hongera sana Rais wetupendwa!
Hangera sana mheshimiwa wanatakiwa watu wa aina yako kwa watu wa aina hii hakuna namna nyingine ya kufanya
👏👏👏🇹🇿💪 mjomba magu
Pamoja na yote Arusha imesaulika kwenye sera ya viwanda ..GENERAL TYRE ingetakiwa kuangaliwa ya kwanza Arusha .Kimsingi ni kwamba kiwanda kile ni bora kuliko viwanda vyote East Africa na nibora dunian .Tanzania ya viwanda ingeimulika hapo kwaajili ya maendeleo ya nchi na kwamwananchi mmoja mmoja hivyo tu.
Saw kbs
Magufuli mungu akupe umri mref
MASKINI GAMBO MSHUKURU MUNGU KWA KILA JAMBO,BABA YETU KASHASEMA HIVYO FUNGUA UKURASA MWINGINE WA MAISHA
Alikiwa anachapa kazi shida ni kitosawazisha mgongano wa viongozi
Lengo ni kuonekane ni mazuri hiyo ni kali
Safi sana mzee baba njoo na mkoa wa mara umtumbue mkuu wa mkoa Adam malima hna lolote
Hiyo kuridhika na nafac walizo nazo anaisisitiza mkulu
hapo anaambiwa Gambo
Gambo alikuwa anawazia ubunge ili '____ ___ ___
Amnaa yuleee wa dar yuleee
Makonda anaemsumbua mwenzie wa ubungo kila siku
Muheshimiwa Raisi hongera sana tena sana, ila pia tusaidie Wana Tanga kuhusu stand kuu iliyopo ni aibu Muheshimiwa Raiisi Magufuli, Tanga Stand na Soko kuu Aibu Aibu kuliko Stand na Soko lolote hapa ktk Tanzania Nzima , tunakuomba Tusaidie wakazi wa Tanga, wametujengea paki ya magari na Stand ya mabasi ya abiria hatuna uwezo ila inatuuma sana kila watu wanapozungumzia Stand za mikoa mingine,
Safi sana Mweshimiwa Rais
Siku akitumbuliwa bashyte ntafurahi sana.
Dah walizoea enzi hizoooo,
Saafi sana Baba Magu
🙏👏👏👏👏👏👏👏
Kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa bonya link hii tujifunze neno chat.whatsapp.com/HVlulo8b9HwBjaeKXnBvn7
Kwahyo Gambo ndo bas Tena🤣😂
Akauze mtori sasa
Mrisho gambo sasa hivi ni sawa na mrisho mpoto.😁😁😁😁😁🤣🤣🤣
Samwel vby hivyo ndg yangu
Alijikuta kam Mungu kumbe ni mtu tu
@@subiradalabu6616 hakuna ubaya wowote inatakiwa wajue kuwa cheo ni dhamana. Ucimnyanyase mtu kwa kuw na cheo zaid yake. Akome.
Nikiwa mbunge Wa ilala watanikoma dar es salaam wezi wengi wapo bandarini hamna shamba LA kikwete system ya magufuli hamna kujuana kodi au kutumbuliwa
ANAZUNGUMZA FACT TUPU Huyu Jamaa..... Mi nimeanza KUMUELEWA....... #JPM
Mheshimiwa watu wanajaribu kukuangusha lakini watanzania wanajua jinsi unavyojenga nchi lakini wengi wapo na wezi mabemberu lakini watashindwa ndio mana Mimi najaribu kugombea umbunge Wa ilala kupitia chama cha ccm nipo kimya lakini nitaibuka July hapa kazi tu tunakusanya kodi tu hatutaki wezi system ya magufuli ni kukusanya kodi na uaminifu lazima tuwe wazalendo
Hii cheko sio njema wakaharibu ndio watamjua mze baba
Kweli Rais Magufuli uzidi kubarikiwa mtumishi wa BWANA Mungu wetu Amen 🖐️🖐️
Mmmmmmmh...mambo yamekuwa mambo...Arusha mpoo?
Simba Johannesburg safi sn Mjomba magu nakupata sn mzee wangu
Haji
Rais
Hapa hamna hali ngumu isipokuwa pesa nyingi zinatoka nje sisi tunataka mzunguko ndani ya nchi wanaotoa nje ya nchi tunawatumbua bora tuwe na matajiri 20 kuliko 90 wezi pesa wanazungusha nje kupitia shamba LA bibi wanachuma
Dah ila mrisho gambo ni bonge LA kiongozi sawa huenda hata hili kasababishiwa nawatu walio chini yake ila naiman IPO cku piga moyo konde gambo mungu pamoja nawe
Kabisa
Especially wakati wa Coronavirus Gambo alifanya kazi nzuri sana
Daaah ungerud na SUMBAWANGA kidgo uje utuokoea daah
kiongoz wetu upo vizur,
Mi nakuaminia sana mkuu wang wachape kazi waache majigambo wajue unamacho yanayoona mpaka wanapo lala
Manenoyako navitendo tofauti umavaa ngozi ya mbuzi kumbe chuwi
Rais wetu John Magufuli.
Mimi huwaza Hutu asingekuwa mwanasiasa angekuwaga Padri au mchungaji kama c baba Askofu...
Kwanza ana imani kwa Mungu...anapenda haki..nitampa kura yangu...
#hujakoseakumtoaGambo
We n jembe tena ulianza kulima lami na umesha maliza SSA huwez shindwa kulima ardh
Viongozi wa serikali lazima washirikiane kama kunatofauti siyo katika serikali au kazini
Mkuu ni kweli na haki,uzalendo kwanza,niwape pole ndugu zangu tanzania ni yetu sote.
Dah wameondolewa kina January na nape hadi tumewasahau sembuse Gambo. mkuu anaakili na hajakurupuka alichokifanya na Mh Gambo atulie akajirekebishe alipo teleza
Xjui utaongozaa miakaa 30 babaanguuu maanaaa mm napendaa sanaa'a kukuxikilizaa
Kumekucha Arusha
Asanté baba magufuli