Комментарии •

  • @thegreatsource2953
    @thegreatsource2953 4 года назад +2

    Kuomba msamaha ni Hekima kubwa sana, Big-up Mkurugenzi, Mungu akusimamie katika majukumu yako mengine

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 4 года назад +2

    Kwa mtu yeyote anae mjua Mungu na kumwamini kwa maombi aliyo yatoa mkulugenzi huwezi kosa busara na kushindwa kusamehe asante sana Mh, Raisi kwa kutambua kusamehe Mungu aendelee kukupa hekima na maisha marefu.

  • @thegamingkids8415
    @thegamingkids8415 4 года назад +1

    Hapa kazi tu

  • @magellasaid28
    @magellasaid28 4 года назад

    Hii ndio maana ya siasa safi na uongozi bora hongera rais wetu kwa hili.

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 4 года назад

    Big up magafuri hakuna aliye kamilika chini ya jua sahee saba mara sabini mungu atakuzidishia magufuri

  • @matigoroally8282
    @matigoroally8282 4 года назад +1

    Ongera mh raisi magufuli Kwa kutete wanyonge na tunaomba utaratibu huu huwe endelevu Kwa viongozi wote kuwajibika kutetea wanyonge!

  • @sudiyahya9276
    @sudiyahya9276 4 года назад

    Upovizuri mkuu

  • @mtanzaniahalisimungunimwem673
    @mtanzaniahalisimungunimwem673 4 года назад +1

    Mhhhh...

  • @jarsaduba2626
    @jarsaduba2626 4 года назад

    Siku ya kufa nyani miti zote inatelenza kuna Watu bado wajamuelewa JPM lakini kwa speed hi wataamka jamani huu ni awamu ya ta tano muelewe hivyo watumishi wote wa umma

  • @festomsoffe3767
    @festomsoffe3767 4 года назад +1

    Mtu mzima akiomba msamaha asamehewe ila asirudie tena

  • @lordsmenas3267
    @lordsmenas3267 4 года назад

    😜😜😜Kama YESU vile tumbua huyooo! 😂😂

  • @hamismkongwe1769
    @hamismkongwe1769 4 года назад

    Sina la kusema 2025 kura yang chukua

  • @AsiaMkusa
    @AsiaMkusa 4 года назад

    Asamehewe

  • @jarsaduba2626
    @jarsaduba2626 4 года назад +1

    Jembe liko shambani ikifua mapanya inayojifisha kwenye mchanga na bado watafukuliwa tu Na Jemendari Baba lao

  • @emmanuel_mihambo3
    @emmanuel_mihambo3 4 года назад +1

    Hakuna seeem yunye migogolo kama morogolo

  • @huseindezo3998
    @huseindezo3998 4 года назад

    But

  • @saidseleman6004
    @saidseleman6004 4 года назад

    Huyu raisi Kama Kuna mtu anamupiga ajitathimini

  • @ains1122
    @ains1122 4 года назад

    Paskali lazma awe Diwani

  • @samusonibalazingiza3689
    @samusonibalazingiza3689 4 года назад +1

    Siasa tu umemtoa kafara huyo

    • @magellasaid28
      @magellasaid28 4 года назад

      @@jarsaduba2626 vibara wa kina KORA(mbowe) bdo wapo wengi hasa huku mitandaoni hata akili hawana hv unaanzaje kusema ni siasa eti mtu kaandaliwa hujiulizi khs hao wadai haki ambao ni watz tena ni vijijini huko, jitu linaibuka tu kuandika ujinga dah inakera sn

  • @magellasaid28
    @magellasaid28 4 года назад

    Hivi ni rais gani anaetembea na kuhamisisha maendeleo ya watu wake na kutatua kero zao jmn? Na tabia hii alianza mapema alipoingia tu ikulu wasije wakasema ni kampeni

  • @samusonibalazingiza3689
    @samusonibalazingiza3689 4 года назад +1

    Nchi inaendeshwa kwa ubabe tu duh kazi kwele

    • @mirajially9178
      @mirajially9178 4 года назад

      Ubabe gani uliotumika .nchi inaendeshwa kwa ukweli

    • @habibmohamed4766
      @habibmohamed4766 4 года назад

      Nyie hao hao Raisi akianza kuwachekea wazembe hamchelewagi kukosoa,sasa sijui mnataka Raisi afanyaje? Endelea hivyo hivyo JPM uko sahihi kabisa.

    • @sudiyahya9276
      @sudiyahya9276 4 года назад

      Sikweli