Kwa mtu yeyote anae mjua Mungu na kumwamini kwa maombi aliyo yatoa mkulugenzi huwezi kosa busara na kushindwa kusamehe asante sana Mh, Raisi kwa kutambua kusamehe Mungu aendelee kukupa hekima na maisha marefu.
Siku ya kufa nyani miti zote inatelenza kuna Watu bado wajamuelewa JPM lakini kwa speed hi wataamka jamani huu ni awamu ya ta tano muelewe hivyo watumishi wote wa umma
@@jarsaduba2626 vibara wa kina KORA(mbowe) bdo wapo wengi hasa huku mitandaoni hata akili hawana hv unaanzaje kusema ni siasa eti mtu kaandaliwa hujiulizi khs hao wadai haki ambao ni watz tena ni vijijini huko, jitu linaibuka tu kuandika ujinga dah inakera sn
Hivi ni rais gani anaetembea na kuhamisisha maendeleo ya watu wake na kutatua kero zao jmn? Na tabia hii alianza mapema alipoingia tu ikulu wasije wakasema ni kampeni
Kuomba msamaha ni Hekima kubwa sana, Big-up Mkurugenzi, Mungu akusimamie katika majukumu yako mengine
Kwa mtu yeyote anae mjua Mungu na kumwamini kwa maombi aliyo yatoa mkulugenzi huwezi kosa busara na kushindwa kusamehe asante sana Mh, Raisi kwa kutambua kusamehe Mungu aendelee kukupa hekima na maisha marefu.
Hapa kazi tu
Hii ndio maana ya siasa safi na uongozi bora hongera rais wetu kwa hili.
Big up magafuri hakuna aliye kamilika chini ya jua sahee saba mara sabini mungu atakuzidishia magufuri
Ongera mh raisi magufuli Kwa kutete wanyonge na tunaomba utaratibu huu huwe endelevu Kwa viongozi wote kuwajibika kutetea wanyonge!
Upovizuri mkuu
Mhhhh...
Siku ya kufa nyani miti zote inatelenza kuna Watu bado wajamuelewa JPM lakini kwa speed hi wataamka jamani huu ni awamu ya ta tano muelewe hivyo watumishi wote wa umma
Mtu mzima akiomba msamaha asamehewe ila asirudie tena
😜😜😜Kama YESU vile tumbua huyooo! 😂😂
Sina la kusema 2025 kura yang chukua
Asamehewe
Jembe liko shambani ikifua mapanya inayojifisha kwenye mchanga na bado watafukuliwa tu Na Jemendari Baba lao
Hakuna seeem yunye migogolo kama morogolo
But
Huyu raisi Kama Kuna mtu anamupiga ajitathimini
Malaika wamungu
Paskali lazma awe Diwani
Siasa tu umemtoa kafara huyo
@@jarsaduba2626 vibara wa kina KORA(mbowe) bdo wapo wengi hasa huku mitandaoni hata akili hawana hv unaanzaje kusema ni siasa eti mtu kaandaliwa hujiulizi khs hao wadai haki ambao ni watz tena ni vijijini huko, jitu linaibuka tu kuandika ujinga dah inakera sn
Hivi ni rais gani anaetembea na kuhamisisha maendeleo ya watu wake na kutatua kero zao jmn? Na tabia hii alianza mapema alipoingia tu ikulu wasije wakasema ni kampeni
Nchi inaendeshwa kwa ubabe tu duh kazi kwele
Ubabe gani uliotumika .nchi inaendeshwa kwa ukweli
Nyie hao hao Raisi akianza kuwachekea wazembe hamchelewagi kukosoa,sasa sijui mnataka Raisi afanyaje? Endelea hivyo hivyo JPM uko sahihi kabisa.
Sikweli