Masanja Mkandamizaji - TULIATULIA (Official music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Masanja Mkandamizaji - TULIATULIA (Official music Video)

Комментарии • 980

  • @Feelfreechurch
    @Feelfreechurch  4 года назад +461

    ASANTENI SANA KWA KUANGALIA VIDEO USISAHAU KU SUBSCRIBE KAMA BADO MWANAWANE🙏🏾

    • @zawadimgonde7331
      @zawadimgonde7331 4 года назад +2

      Good

    • @wilbrodwemaonlinetv8379
      @wilbrodwemaonlinetv8379 4 года назад +3

      Hapo ndipo Moyo wanguu.... UNATULIA TULIA

    • @dicksonsheja251
      @dicksonsheja251 4 года назад +2

      Mwanawane

    • @geofreypaul4760
      @geofreypaul4760 4 года назад

      Masanja nakupenda Sana damu yangu

    • @rhinakiza
      @rhinakiza 4 года назад +1

      Lakini kwa nini akuniita jameni na mimi nije kuemba kweli ninge kuja kutoka hapa America my favorite song💃💃💃💃

  • @ozanee1739
    @ozanee1739 4 года назад +173

    Izi ndio nyimbo zakuomba Like sasa nipeni like katika bwana 🙏🙏

    • @hassanmsellem5302
      @hassanmsellem5302 4 года назад

      Nyimbo yoyote ni kazi ya shetani tu, ktk Uislamu manyimbo yote hayafai Mungu anaabudiwa kwakuswali, kusoma Qur'an na ibada zingine sio kucheza sebene

    • @ozanee1739
      @ozanee1739 4 года назад +2

      Hassan Msellem kaswida ni nini acha ujinga wewe

    • @hassanmsellem5302
      @hassanmsellem5302 4 года назад

      @@ozanee1739 hhhhhhhhh, we Yessu hebu sikia Kaswida ni sawa na bongo flavors na gospel haina mnasaba wowote na uislamu hakuna andiko ktk Qur'an linalozungumzia kaswida kama ni ibada, tulia ww usifatilie imani za watu juu soma sana Yessu ww

    • @ozanee1739
      @ozanee1739 4 года назад +2

      Hassan Msellem daudi akacheza na kuimba mbele za bwana kwa nguvu zake zote ama mpaka nikuambie mstarii

    • @gauedwin1960
      @gauedwin1960 4 года назад +2

      @@ozanee1739 umemjibu swadakta Sana boy,Yani kama kuna KAZI tutaenda kufanya mbinguni no kuimba kuimba kuimba×1000000000
      Hamna kusoma bibili Kwa mshua au eti sijui quaran..Kwa taarifa ya kama hwa kina Hassan na wengine kuma huimbi Hamna nafasi yako Kwa mshua juu unaenda kufanya😳

  • @nyandwifidele8528
    @nyandwifidele8528 4 года назад +28

    Nakuona mzee wa kiulizo jinsi unavyoikaribisha pasaka kwa song la Aina yake.. Kwa kweli Hongera sana kwa wimbo Mzuri, video nzuri, content nzuri... Yani wewe ni zaidi ya mwimbaji.. Yani unaleta Raha mpaka umepitiliza..

    • @platoxmumbay8945
      @platoxmumbay8945 4 года назад

      Bonyeza uone 💥👇
      ruclips.net/video/sy3A__Ywd4M/видео.html

  • @msafitv8663
    @msafitv8663 4 года назад +15

    Mjungaji anayekwenda na wakati GOD be with you all the time,We ni mfono kwa vijana wengi.Tanzania tupo proud na ww💪💪💪💪

  • @hainesschaula7961
    @hainesschaula7961 4 года назад +13

    Natulia kwa Bwana, hakika pastor wangu uzidi kubarikiwa,wewe ndo uliniongoza sala ya Toba Mito ya baraka kwa mara ya kwanza naingia mahali pale.Mungu azidi Kukuinua zaidi na zaidi

  • @mwajabuathumani1781
    @mwajabuathumani1781 4 года назад +2

    Kaka masanja
    Naitwa Boniface nipo dar mbez beach kiukweli huwa nataman sana nikutane nawew unisaidie jambo na mm huwa n comedian nahitaj unielekeze jambo
    0621394909

  • @isayasanga4357
    @isayasanga4357 4 года назад +15

    Ninavyo mkubali huyu baba lazim niwe wa kwanza kuitazama maana am no 1 fan of my pastor mkandamizaji

  • @kubaalbertmwaya1361
    @kubaalbertmwaya1361 4 года назад +18

    Ooooh how I waited this song itoke... Ilikua 2019 moshi Chuo mwaka wa Tatu. Niliiskia hii nyimbo katika youth festival. Hii nyimbo ilinibariki sana . Ilinivusha kipind Nimeachwa na my gal . Sikutegemea kama ningesahau ila nikamwambia yesu moyo wangu utulie kwako na ukatulia kwa bwana. Now I am happy and greatful.

  • @AlexJoseck
    @AlexJoseck 4 года назад +38

    BuraAAAZAAAAAAAAAAA YAANI WEWE UKO TALENTEDI SAAANA KILA UTOACHO KINABARIKI YAANI VERY CREATIVE IDEAS SI MUCHEEEZOOOOO

    • @Feelfreechurch
      @Feelfreechurch  4 года назад +3

      Alex Joseck Asante sana kaka mkubwaaaa

    • @piusaugustino9270
      @piusaugustino9270 4 года назад

      @@Feelfreechurch kaka upo vizuri japo mm co muimbaji Ila natamn San kutumia kwa uyu yesu lkn cjui nn tatizo nashidwa

    • @sabrinabruno3481
      @sabrinabruno3481 4 года назад

      /??@@Feelfreechurch

    • @sabrinabruno3481
      @sabrinabruno3481 4 года назад

      @@Feelfreechurch
      /
      /

  • @gazukojunior7725
    @gazukojunior7725 4 года назад +21

    Balaaaaaa jipya mjini 🔥🔥🔥🔥 songi langu Forever

  • @tymanwalker7670
    @tymanwalker7670 4 года назад +95

    Yesu ndio tulizo la moyob
    Like👍👍👍👍 kama unakubali

    • @hassanmsellem5302
      @hassanmsellem5302 4 года назад

      Allah ndio tulizo la moyo sio Yessu atabaki kuwa Nabii tu kama manabii wengine

    • @phmmkimbizi9898
      @phmmkimbizi9898 4 года назад

      @@hassanmsellem5302 we ndugu nna wasiwasi na wewe, ni afadhali usicomment kuliko kuandika vitu tofaut.

    • @phmmkimbizi9898
      @phmmkimbizi9898 4 года назад

      @@hassanmsellem5302 haipendezi hiyo

    • @aaaaaah290
      @aaaaaah290 4 года назад

      Hassan Msellem ...... KO UNAPENDA DUNIA NZIMA TUWE DINI YAKO.... PAMBANA HUENDA UKAWEZA 🤣🤣🤣🤣

    • @brigithadidas5128
      @brigithadidas5128 4 года назад

      @@hassanmsellem5302 allah tena anahusikaje apa

  • @felistermbua4703
    @felistermbua4703 4 года назад +16

    Moyo wangu tulia kwa YESU!!! Ila hivyo viatu sasa

  • @isayasanga4357
    @isayasanga4357 4 года назад +71

    Jaman nisiwachoshe na mm msinichoshe nyimbo imeisha

  • @lipulifootballclub9902
    @lipulifootballclub9902 4 года назад +1

    Mtumishi wa Mungu nina shida sana naomba kuwasilina npo Iringa, Chuo Kikuu Mkwawa 0620484913, natanguliza shukurani zangu kwako Pastor Emmanuel Mgaya

  • @pastoreliamsika9355
    @pastoreliamsika9355 4 года назад +13

    This is my song aisee
    Wimbo ninao ila wakumlingia Yesu😂
    #Jesus to the world

  • @emmanuelkayanda8014
    @emmanuelkayanda8014 3 года назад +2

    Mtumishi barikiwa Sana nakuomba tukumbukeni na sisi ambao hatujatoboa mwishowe tumeamua kwenda machimbon kuzika kipaji Kama mungu amekuinua nikumbuke na Mimi Kaka nimuimbaji na mwanamziki lakini sjafanikiwa nikumbuke

  • @mussajackson783
    @mussajackson783 4 года назад +40

    Waislam tunao skiliza hii ngoma tu like hapa

  • @silasmanyenze7691
    @silasmanyenze7691 4 года назад +1

    Hahaahahahahahahahahahaah Ubarikiwe Sana Brother Nimecheka Sana Leo Afadhali Mwanya umwimbie Yesu

  • @upendonnko1516
    @upendonnko1516 4 года назад +4

    Hiyo nyimbo huko mwishoni imenifurahisha sana

  • @theorangeentertainment1779
    @theorangeentertainment1779 4 года назад +2

    Mtumishi wa Mungu
    Bwana Yesu Asifiwe Mimi Ni Shabiki Yako Mkubwa Na Wimbo Huu Naupenda Sana.
    Naomba Kuufanyia Cover.

  • @danielmlanda2546
    @danielmlanda2546 4 года назад +14

    Kama kawaida na skuna zako Masanja....
    Kichupa cha mwakaaaa

    • @platoxmumbay8945
      @platoxmumbay8945 4 года назад

      Bonyeza uone 💥👇
      ruclips.net/video/sy3A__Ywd4M/видео.html

  • @igomedia1011
    @igomedia1011 3 года назад +1

    *Corona janga la Dunia*
    Wimbo bora kutoka Tanzania jiji la Mwanza nihuu tafadhani nakuomba usipita kuusikiliza kijana kaliimbia taifa rake Tanzania
    ruclips.net/video/OlVCe2j3Vq4/видео.html

  • @elishakhamis9471
    @elishakhamis9471 4 года назад +6

    Kama umemkubali mzee matayo weka like hapa👉👉

  • @مارثاتنزانيا
    @مارثاتنزانيا 3 года назад +1

    😂😂😂yani bado sijaangalia nyimbo nimeamza kucheka mungu wangu

  • @mudybestmusic3889
    @mudybestmusic3889 4 года назад +3

    bora ulivyoondoka mana wangekudhurumu mil.50 yako

  • @mariodattany
    @mariodattany 4 года назад +1

    Ukitoa Beat Na Sauti
    Wanabaki Madensa Tu Wamevalia Jezi Za Yanga😅😅😅😅😅

  • @officialdaniel4030
    @officialdaniel4030 4 года назад +5

    Bwana Yesu asifiwe Mch....Mimi Nina ushauri mdogo sana kwako,..nimefatilia sana kazi zako,huwa ni unatumia garama kwenye video, na ili unalitendea haki,lkn kuna kitu unakosea Brother, sijuh Oudio zako unafanya kwenye studio zipi aisee,mfano katika huu wimbo back vocals ziko safi na wewe umeimba vizuri lkn kiukweli beat imepwaya sana kaka,na hivi uko Dar kabisa kwenye kitovu cha kila kitu,..naomba kaka lifanyie kazi hili,kama mwanamziki nimeona nikushauri,huu wimbo umenibairiki lkn upande Wa mziki muandaaji hajakutendea haki kabisa....Asante

  • @emanuelloiruk3114
    @emanuelloiruk3114 4 года назад +1

    MUNGU akubariki Sana massanja kweli tulia🤩🤩🤩

  • @wakali_wa_masauti1884
    @wakali_wa_masauti1884 4 года назад +7

    Kama unacheki hii vide na inakufurahisha 😀😀

  • @djchiccotzofficialdjorigin1280
    @djchiccotzofficialdjorigin1280 4 года назад +1

    kweliiiii tuliaaaa DJCHICCOtz +255754000228

  • @DMENDTVmusicMovie1
    @DMENDTVmusicMovie1 4 года назад +3

    hiii nyimbo Ni nzuri Sana pia Masanja anaonyesha kua na KIPAJI kikubwa Cha aina yake . Humo ndani aniacha na furaha, anacheza VIZURI mno. This is really ministry

  • @Juma_Content
    @Juma_Content 4 года назад

    Ni kweli kabisa kule BB star search awatakagi mtu ahimbe gospel ukihimba gospel wanakataa atakama umehimba vizuri

  • @itazowanzagi5721
    @itazowanzagi5721 4 года назад +8

    Mungu ambatmriki kama unamkubali gonga like hapo

    • @growrich2332
      @growrich2332 4 года назад

      Asante sana kwa wimbo mzuri.karibu Mtwara

  • @marafikistation
    @marafikistation 4 года назад

    Huyu jamaa anajua sanaa Angalia kabla ya hii alisha wahifanya nyimbo ya GOSPLE angalia na hii ndio utajua kua anaweza 👇👇👇🎞ruclips.net/video/5nJU4sCwmJU/видео.html. ruclips.net/video/5nJU4sCwmJU/видео.html. ruclips.net/video/5nJU4sCwmJU/видео.html

  • @ezekielxanga3722
    @ezekielxanga3722 4 года назад +3

    😃😃😄😄😄WAKINA SIKUJUA MTAKUJA KUARIBU LINE.. JAMANI LIKE ZANGU BASI

  • @cathbertcyprian419
    @cathbertcyprian419 3 года назад +2

    barikiwa kwa nyimbo nzuri.Mungu akubariki kwa nyimbo nzuri.

  • @calskim4173
    @calskim4173 4 года назад +5

    🤣🤣uyu mzee Matayo anavyocheza buana 🤣

  • @afyacheckup2178
    @afyacheckup2178 4 года назад +1

    Nakukubali masanja, injili moto 👏👏
    Tujifunze pia kuhusu Afya 👇👇
    Dakika moja ya Kujifunza hunusuru uhai
    👇👇👇👇👇👇👇👇
    ruclips.net/video/H3ZGnEzNnOg/видео.html

  • @basirmohammed5675
    @basirmohammed5675 4 года назад +14

    Amen be blessed nyc song,can i have more likes fans

    • @johnwar8408
      @johnwar8408 2 года назад

      Wake up your mind what ph***ken song it is if not black magic one
      Shame on you all wasted your time...instead of finding the truth that's the way to helll...If you don't know determin to know forget about all these shit is just make money

  • @paulinamajuto1033
    @paulinamajuto1033 4 года назад

    Kiukweli njimbo za huyu mbaba ni comerd tu sijawahi muelewa hata simu moja si katika njimbo wala uchungaji labda COMERD

  • @ajheemclassicaltv7608
    @ajheemclassicaltv7608 4 года назад +24

    KIMBILIO LANGU, LAKO , WEWE ,YULE JAMAA NA MARAFIKI ZAKO NI KWA YESU NANI ANABISHA

    • @hassanmsellem5302
      @hassanmsellem5302 4 года назад +1

      Kimbilo langu, lako na yule ni Allah s.w Yessu ni Nabii tu kama Nabii wengine

    • @missynasra775
      @missynasra775 4 года назад

      AJHEEM CLASSICAL TV safi sana nyimbo zuri vibwagizo ndiyo usiseme

    • @brigithadidas5128
      @brigithadidas5128 4 года назад

      @@hassanmsellem5302 allah kimbio lako wewe usitulazimishe wengne tumkimbilie tusiyemjua

    • @eliyajelemia6244
      @eliyajelemia6244 4 года назад

      Hassan Msellem Yesu niMungu allah ndovinn mbonana unahangaika huwezi zuia jinala Yesu nimoto unataka tuaminidin yawapenda ugomvi navita namajin hutupati

    • @gladnesssidiu8945
      @gladnesssidiu8945 4 года назад

      @@hassanmsellem5302 Allah siyo Mungu tunayemuamini sisi wakirsto kwaiyo acha kutumezesha sumu
      Allah hapendi wakrsto na wayahudu
      Mungu gan asopenda watu
      Waislam amkeni someni Koran inamambo ya ajabu mnooo

  • @monicaregina7792
    @monicaregina7792 3 года назад +1

    Kweli utumishi uko ndani yako mhacha vangu.

  • @mutimaflorence7446
    @mutimaflorence7446 4 года назад +47

    Yani nilitamani ingeendelea tu mpaka dakika 30 lakini umeikatiriza this song is amazing for real

  • @joshuakimario1528
    @joshuakimario1528 4 года назад +1

    MUNGU AZIDI KUKUBARIKI BABA
    ruclips.net/video/_98Ca-SqkKU/видео.html

  • @davidmbaima656
    @davidmbaima656 4 года назад +9

    Hongera Emmanuel, acha watu wasifu wapenzi na watawala wa dunia inayopita. Sisi tumsifu MFALME WA WA WAFALME YESU.

    • @fardeennasser2963
      @fardeennasser2963 4 года назад

      Someni maandiko vizuri. Huyo Yesu ni Mwanadamu, Nabii, mtumishi wa Mungu. Hajawahi kujiita Mungu wala kusema aabudiwe. Marco 12:28,32) Matayo 4:10) Yohana 17:3) Ufunuo 1:1) huu ndio ukweli wa Yesu.

    • @mahamoudomar5492
      @mahamoudomar5492 4 года назад +1

      Fardeen Nasser
      kweli yesu
      anakula
      analala
      amezaliwa
      anasifa zote za mwanadamu ila yeye ni mtume tu Mungu ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hakuna yeyote mfano wake.☝️

    • @platoxmumbay8945
      @platoxmumbay8945 4 года назад

      Bonyeza uone 💥👇
      ruclips.net/video/sy3A__Ywd4M/видео.html

    • @platoxmumbay8945
      @platoxmumbay8945 4 года назад

      @@fardeennasser2963 Bonyeza uone 💥👇
      ruclips.net/video/sy3A__Ywd4M/видео.html

  • @okoakahemela5867
    @okoakahemela5867 3 года назад +1

    Mzee mathayo umeua wapi mama cha usiku bongo la song

  • @clintonmfugale2064
    @clintonmfugale2064 4 года назад +3

    nyimbo nzuri sana KWELI MOYO TULIA KWA YESU

  • @paphosmediatz
    @paphosmediatz 4 года назад +1

    Nakupenda sana kaka angu nitakusapot kwa kucheza ubarikiwe sana kaka

  • @evancyarburton4243
    @evancyarburton4243 4 года назад +4

    Nyimbo nzuriii sanaaa yaan very creative 🔥

  • @congoboymbeyas2440
    @congoboymbeyas2440 4 года назад +1

    Eti jamani nisiwachoshe musi nichoshe nyimbo imesha 😂😂🤣🇺🇸🇺🇸🇨🇩🇨🇩 from USA Indiana I wish uje tena utupe neno la bwana

  • @egberthermandus6508
    @egberthermandus6508 4 года назад +12

    HUYU NDO EMMANUEL aka MASANJA MUNGU AKUINUE MTUMISHI MUHA NAKUOMBEA KWA MUNGU🙏🏽🙏🏽🙏🏽💪🏾💪🏾💪🏾

  • @rksimulizi9208
    @rksimulizi9208 4 года назад

    SIMULIZI YA KIJANA HUYU ITAKUTOA MACHOZI "NILICHOMWA KISU UTUMBO UKATOKA NJE SIKU YA SIKUKUU YA EID" ruclips.net/video/_wFtAXjxqR4/видео.html

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 3 года назад +3

    Barikiwa sana wimbo nzuri sana😘❤

  • @furahamakunga5347
    @furahamakunga5347 4 года назад +1

    Kaka hongera kwa huduma barikiwa sana songa mbele

  • @costansiambuni7315
    @costansiambuni7315 3 года назад +2

    Wimbo umenibariki sana hakika napaswa kutulia kwa yesu

  • @huimakaliuahighschoolchoir6214
    @huimakaliuahighschoolchoir6214 4 года назад +2

    HUIMA HIGH SCHOOL. Tunatamani sana kufanya wimbo wa pamoja na wewe...kwa ajiri ya kumtukuza mungu kwa pamoja.tunaamini mungu ataruhusu hili.Amen
    @chairman huima kaliua high school

  • @producerqfocus1636
    @producerqfocus1636 4 года назад +7

    Jamani kama umependa mtumishi alivyo pita kwenye biti ipasavyo nipe rike

    • @treyguydangote4034
      @treyguydangote4034 4 года назад

      Mtimishi wa nn xx

    • @hassanmsellem5302
      @hassanmsellem5302 4 года назад

      Mtumishi au msanii anatafuta fan base tu, dini ya kweli ni uislamu tu

    • @treyguydangote4034
      @treyguydangote4034 4 года назад

      @@hassanmsellem5302 haswaaaaa na hamna kama uislam na haitotokea

    • @sabrinarobert8971
      @sabrinarobert8971 4 года назад

      @@treyguydangote4034 mtasubir Sana Iman yako ndo itakayokuponya

    • @treyguydangote4034
      @treyguydangote4034 4 года назад

      @@sabrinarobert8971 we unaimani gani hiyo ya kuabudu picha

  • @kahoribonga9280
    @kahoribonga9280 4 года назад +1

    Mungu akubariki sana
    Utuletee niseme nini bwana

  • @officialf8404
    @officialf8404 4 года назад +4

    Asa we unaedislike unamaan gan???😭😭

  • @simulizi2632
    @simulizi2632 4 года назад

    yote haya ni kufundishana na kujua jinsi ya kuepuka hili janga. Basi pitia link hii hapa ujue tabia ya VIRUSI VYA CORONA VIKIWA NJE YA MWILI WA BINADAMU👇
    ruclips.net/video/YGpKxeJxjV4/видео.html

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 4 года назад +6

    Wooooow I was waiting for this song longtime💃💃💃💃

  • @africabeautfullbeautfull1214
    @africabeautfullbeautfull1214 4 года назад +1

    🤣🤣🤣😂😀😁😂😃😄😅😆😆😆😆😆😆masanja jamani

  • @immah_deo19
    @immah_deo19 4 года назад +3

    Comment ya 700 imetoma Kwangu

  • @mandarrr663
    @mandarrr663 4 года назад +1

    umetisha mtumish ama kweli we ni fundi mwanawane

  • @drrphaeltz1
    @drrphaeltz1 4 года назад +3

    I need support from you broo

  • @silasmanyenze7691
    @silasmanyenze7691 4 года назад +1

    Jamani Mmeona Kiatu Cha brazaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @kamanyile
    @kamanyile 4 года назад +5

    kama unamkubali Emmanuel Mgaya gonga like hapo chini

  • @PastorsTz
    @PastorsTz 3 года назад

    FUNGA vizuri kanga hii ninyimbo ya injili...NAULIVO NYOA NA MAVAZI HAYO SIO NYIMBO YA INJILI

  • @jimmydaniel2468
    @jimmydaniel2468 4 года назад +3

    nice song

  • @carenfyataga1091
    @carenfyataga1091 4 года назад +1

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu

  • @happinessmtitu4485
    @happinessmtitu4485 4 года назад +2

    Uwiiiii mbavu zangu mimi jamani 😂😂😂😂

  • @rahabumwakajoka6721
    @rahabumwakajoka6721 4 года назад +1

    Hongera mno Mtumishi wa Mungu

  • @ommymsomi4362
    @ommymsomi4362 4 года назад +4

    The king himself

  • @mtumishidoublek1504
    @mtumishidoublek1504 4 года назад

    Producer KAMETA Namkubali sana. Masanja hujakosea. Mpe hai Kameta mwambie Mwanza tunamsalimia nikiwemo na mimi Mwenyewe Double K Classic Producer mwenzake.

  • @faithrachel7696
    @faithrachel7696 4 года назад +3

    This song is fire kwakweli 🔥

  • @rictonclaurent5986
    @rictonclaurent5986 4 года назад +2

    Huu Wimbo nimeupenda! Aisee bora hata Sasa hiv Gospel yupo Mtu wa kuibeba Songa Mbele Yesu ndo Tegemeo letu! God Bless you Masanja!

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 4 года назад +4

    powerful.

  • @meshackemilio491
    @meshackemilio491 4 года назад +1

    Emmanuel masanja Mungu Akubariki
    kwa huduma yako nzuri unayoifanya kwa kuhubiri Neno la Mungu kwa kuimba. kazi nzuri wimbo mzuri be BLESSED WITH JESUS CHRIST. AMEN

  • @silyviapaul2676
    @silyviapaul2676 4 года назад +3

    Amen!

  • @marjoriehebron2624
    @marjoriehebron2624 4 года назад

    Pastor uko very creative and talented🙌🙌vile tunapata injili na huku tunaburudika kwa kucheka😀weee moyo wangu tulia kwa Yesu.

  • @patricknamangoa3478
    @patricknamangoa3478 4 года назад +3

    What a nice song!

  • @armanyabdallaofficial7110
    @armanyabdallaofficial7110 4 года назад +1

    Welcome Kenya mtumishi

  • @sitefanomwizarubi1408
    @sitefanomwizarubi1408 4 года назад +3

    leo umetisha

  • @nzuritaraja9558
    @nzuritaraja9558 4 года назад +1

    Moyo wangu unatuliya kwa Yesu tuuuuu.

  • @faidaalimasi2017
    @faidaalimasi2017 3 года назад +2

    Amen merci beaucoup

  • @kigomamc1179
    @kigomamc1179 3 года назад +1

    nyimbo zur kiatu sasa masanja jaman😅

  • @happyngungur8868
    @happyngungur8868 4 года назад +4

    Can't get enough of this song jmn... Masanja live for his Glory

    • @Feelfreechurch
      @Feelfreechurch  4 года назад +1

      Happy Ngungur Thank u Happy

    • @johnwar8408
      @johnwar8408 2 года назад

      What good deed have got into this song which can't even jinger my brain....where are from? MAGU..so it must be good for foolish as like you are..Jocking God..He is not foolish God would get you as well your ph***cken Masanja

    • @isakaboy9305
      @isakaboy9305 2 года назад

      Nainjoi sana kuzi tama nyimbo zamasanja

    • @deusoden3128
      @deusoden3128 2 года назад

      @@Feelfreechurch Habari. Huu wimbo nakumbuka upo original yake. Hukiachana na hii video. Je naweza kuupata?

  • @haulebh5007
    @haulebh5007 4 года назад

    Uzuri wa hii nyimbo tunacheza popote hata kwa viti virefu haujabagua🙌🙌🙌🙌🙌

  • @officialnakyboi6272
    @officialnakyboi6272 4 года назад +2

    Kupitia hii nyimbo namwomba Mungu atuokoe watanzania juu y janga la corona

  • @ceciliamwengetv4649
    @ceciliamwengetv4649 3 года назад

    Karibu katika bwana na karibu katika kristo.
    Uzinduzi wa DVD MPYA
    KWAYA YA. MT. SESILIA MWENGE
    TAREHE 22 November, 2020
    Parokia ya Mt. Maximilian Kolbe Mwenge.

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 4 года назад

    Kama bado unaitazama video hii bonyeza haya maandishi chini uone behind the scenes
    👇👇👇👇👇👇👇👇
    ruclips.net/video/Qg2T6W0POug/видео.html

  • @joshuabarack6273
    @joshuabarack6273 4 года назад +1

    Nimeipenda mungu akubariki

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 3 года назад +1

    Waooo masanja upo juu kama rokert

  • @joycemwaikofu4923
    @joycemwaikofu4923 3 года назад +1

    Hahaha Mzee Gabriel ametisha

  • @iddykadushj1767
    @iddykadushj1767 4 года назад

    Mchungaji mi nahitaji kuonana na wewe kwani kuna ki2 nataka tuzungumze cha kiutumishi nilikuwa naomba tu unijuze n ck gani unakuwa upo ofsini na muda n saa ngapi? Nitashkr sana 0787193951 unaweza nipa majibu kupitia namba hii mtumishi ubarikiwe

  • @gizengogospormussiondaress1974
    @gizengogospormussiondaress1974 3 года назад

    Jamani nyimbozingine upakounashukawenyewetu prse LIKE by G IZENGO GOSPOR MUSSION DAR TZ

  • @asiatirukaizire3067
    @asiatirukaizire3067 3 года назад +1

    Amazing mwanawane nimeipenda

  • @extationmenrufukilumile2892
    @extationmenrufukilumile2892 3 года назад +1

    Ninayo Ila namuimbia yesu

  • @hassanmsellem5302
    @hassanmsellem5302 4 года назад

    Hii ndio dini ambayo hata kahaba akimaliza shughuli zake anaweza kuingia kanisani na kimin sketi chake na mchungaji asiongee chochote, simple religion Fanya unavyojua mradi utoe sadaka tu

  • @christinamathew7879
    @christinamathew7879 4 года назад

    Yaaan nimecheka huyo mzee mathayo ni jina la baba yangu basi nikimfikiria tu mm 😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣