JK Asimulia Alivyokutana na Michael Jackson, Rihanna na 50 Cent

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2022
  • Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete akieleza namna alivyokutana na wasanii wakubwa na ilivyomsukuma kusaidia wasanii wa Tanzania

Комментарии • 60

  • @vanessastafford5120
    @vanessastafford5120 Год назад +5

    Unajuwa maisha, lazima uweze ku balance kazi na starehe uishi, Hii ndio Dunia ya kuishi na ku enjoy.

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 Год назад +5

    Hapo mzee kikwete swali la kumuuliza muziki wamemfikisha anapenda muziki sana

  • @NyakiMollel
    @NyakiMollel 5 месяцев назад

    Man of the people😏

  • @user-zl3le1wz2u
    @user-zl3le1wz2u 5 месяцев назад

    Raha zako

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 Год назад +2

    Hahaha,,,MJ hajapata kutokea kbs yani

  • @musasabuu2808
    @musasabuu2808 Год назад +1

    Kweli kwenye maisha Kuna mda wa starehe cyo Kaz mda wte

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 Год назад +5

    Inna lillah wainna illahy rajiuun

    • @onesettv8749
      @onesettv8749 Год назад

      😂

    • @monstermonster3649
      @monstermonster3649 Год назад +2

      Tatufa hela wewe, secondly jikite kwenye channels za dini acha kupangia watu maisha.

  • @yonas.johnson
    @yonas.johnson Год назад

    Jk 🙌

  • @richardpatrick3590
    @richardpatrick3590 Год назад +5

    Music ni burudaniiiiii

  • @queenofpossibility325
    @queenofpossibility325 5 месяцев назад

    😂😂😂😂❤❤❤

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Год назад +3

    Zungumzia bomba la mafuta

  • @Jal210
    @Jal210 Год назад +3

    Wewe umeshakuwa Al haji hutakiwi kuwa na mambo haya au ulikwenda kinafiki tu kuhiji

    • @danielmartinnapiya8802
      @danielmartinnapiya8802 Год назад +4

      Anaongelea maisha yake ya nyuma,don’t be dumb

    • @Jal210
      @Jal210 Год назад

      @@danielmartinnapiya8802 I'm not going to hurt him, he is not even support to talk about the past.

    • @monstermonster3649
      @monstermonster3649 Год назад +1

      @@Jal210
      Concentrate with your own life challenges dummy, who the hell are you to dictate on how people should be living?

    • @Myplusbee
      @Myplusbee Год назад

      @@Jal210 And stop being a sanctimonious piece of shit!

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      @@danielmartinnapiya8802 ,,,,,his own life at the expenses of poor citizens!!

  • @bern1229
    @bern1229 Год назад +3

    Upo safi MZEE.nataman ungerudi tena uwe RAIS usaidie waliopo mtaani angalau upunguze wimbi la wasio na ajira

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад +1

      Labda awe Rais wa ukoo wako pumbavu

    • @bern1229
      @bern1229 Год назад +1

      @@kabwelasutiviraka4765 hahahaha..bwana kabwela..hyo ndo rais nlotokea kumuelewa na huo n mtazamo wangu ko ustake tkalngana sawa ndg..

    • @jiweg-unit1048
      @jiweg-unit1048 Год назад

      Ndugu yako Nini ??? Nina sure jk akifa watanzania 70%au 65% watapiga mziki Kwa furaha usiku mzima Na Mimi Ni mmojawapo

  • @isaaabdala7016
    @isaaabdala7016 Год назад

    Kuna.muda wa kazi.na.sasa.anapunzika kazi.kubwa.amefanya.nchi.hii.hakuna wa.kufananisha.nae.hapa

  • @markjason2035
    @markjason2035 Год назад +2

    Mzee anawakumbusha kuwa ni wimbo huu sio nyimbo hii

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Год назад

    Baba unazingua

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Год назад +2

    Hapa jk kaongea pumba tupu

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 Год назад +2

      acheni chuki bunafsi unajua kwann kazungumza?si aliulizwa ndio sbb aliongea na kusimuliamengi badala ya kumuwishi mazur ktk siku yake ya kuzaliwa kwakuwa alikua kiongoz wetu imara mpenda watu na katuachia nchi ikiwa salama pasina kuwa na machafuko eti mnamdis hv sisi watanzania tutapenda lini na kusifia vya kwetu...?

  • @fauzhaji7149
    @fauzhaji7149 Год назад

    50 cents ..lol

  • @stephensteve9299
    @stephensteve9299 Год назад +4

    Mwenzenu kakutana na 10 cent nyie mnatuambia 50 cent. Hizo 40 cent mlizoongeza mmezitoa wapi? Au ndo chumvi??

    • @mohamedhamismagoraonlinetv459
      @mohamedhamismagoraonlinetv459 Год назад

      Hahahahah🤣🤣🤣

    • @monstermonster3649
      @monstermonster3649 Год назад +1

      @@mohamedhamismagoraonlinetv459
      Wamezidisha 10cent x 5 ndiyo wakapata 50cent kwa maana ya kwamba kakutana na 10cent mara tano ndiyo ikawa hiyo 50 Cent.

    • @mohamedhamismagoraonlinetv459
      @mohamedhamismagoraonlinetv459 Год назад +1

      @@monstermonster3649 🤣🤣 72 si mchezo kala chumvi. Lazima aanze kuwa babu

    • @monstermonster3649
      @monstermonster3649 Год назад +1

      @@mohamedhamismagoraonlinetv459 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mwasamiladldm7557
    @mwasamiladldm7557 Год назад +1

    Zungumzia ugumu wa maisha ya mtanzania.

    • @HusseinRj
      @HusseinRj Год назад +2

      Zungumzia wewe

    • @abuu_tv
      @abuu_tv Год назад +5

      Wakat n bday yake acha akumbuke Raha zake shida zako ustaw wa jamii

    • @mwasamiladldm7557
      @mwasamiladldm7557 Год назад +1

      @@abuu_tv Huenda labda unanizidi hata hizo shida zenyewe,unjitutumua mtandaoni.

    • @abuu_tv
      @abuu_tv Год назад +2

      @@mwasamiladldm7557 ndio na zimudu si zangu ww usilalamikie mtu

    • @aaaaaah290
      @aaaaaah290 Год назад

      MAISHA MAGUMU UNAYO WEWE SIO KILA MTANZANIA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Год назад +3

    Mzee wa kujisahau mla bata fisadi haoni hata aibu kuongea upumbavu huo

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla Год назад +1

      hizo ni moment zilizotokea kwenye maisha yake vitu vya kawaida sana tatizo umaskin unatusababisha tuwe na chuki za kisenge senge sasa ww km huna cha kuwasimuia vizazi vyako kaa hvy hvy ndo nyie utaskia baba yako niliteseka nilikula mihogo as if mihogo kitu cha ajabu

    • @jaxnales
      @jaxnales Год назад

      Tafuta hela mzee.

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад +1

      @@ChoroTesla bwege wewe hata hujitambui kama zingekuwa hela zake nani angesema Ila ni hela za Watanzania masikini , na siku ccm ikiondolewa madarakani hawa wote watashitakiwa kwa kuwaongea watz umasikini, utakuwa kizazi cha wafisadi wewe au huyu ni shemeji yako

    • @didimhutila8985
      @didimhutila8985 Год назад

      Aibu sana sio sili,yaani mzee anajisifia kula batA?watanzania??

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 Год назад +1

    Zungumzia hata bagamoyo bandari tukusikie lione

    • @amaniabdi9755
      @amaniabdi9755 Год назад +1

      Sanga wewe ndo mpumbavu kabisa, Ina maana huyu si binadamu, mpaka akalie siasa tu, Unajua nyie makafili hamna akili kabisaa.

    • @peterlucas7246
      @peterlucas7246 Год назад

      Amani nini maana ya kafiri?

  • @johnmike6059
    @johnmike6059 Год назад +1

    Raisi gani mpenda starehe ndo maana unaitwa fisadi amjui mtanzania wa hali ya chini anaishi vipi mnajiona nyie na familia zenu ipo sikuyenu

    • @nathanwakitaa8875
      @nathanwakitaa8875 Год назад +4

      Raisi yuko wapi!? Punguza makasaliko bob

    • @danielmartinnapiya8802
      @danielmartinnapiya8802 Год назад +4

      Mlaumu baba ako mzazi sio kikwete

    • @johnmike6059
      @johnmike6059 Год назад

      @@danielmartinnapiya8802 mpuuz mmoja ww acha kitako mwiba ww utaolew

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад

      Huyo babu alileta umasikini haswa Tz na ufisadi mkubwa miaka yake alichokuwa anajua ni kusafiri tu Johnny walker 💩💩🤮🤮🤮

    • @haidhabushiri9558
      @haidhabushiri9558 Год назад +1

      Wengi tumepata Ajira kipindi chake