acheni chuki bunafsi unajua kwann kazungumza?si aliulizwa ndio sbb aliongea na kusimuliamengi badala ya kumuwishi mazur ktk siku yake ya kuzaliwa kwakuwa alikua kiongoz wetu imara mpenda watu na katuachia nchi ikiwa salama pasina kuwa na machafuko eti mnamdis hv sisi watanzania tutapenda lini na kusifia vya kwetu...?
@@mohamedhamismagoraonlinetv459 Wamezidisha 10cent x 5 ndiyo wakapata 50cent kwa maana ya kwamba kakutana na 10cent mara tano ndiyo ikawa hiyo 50 Cent.
hizo ni moment zilizotokea kwenye maisha yake vitu vya kawaida sana tatizo umaskin unatusababisha tuwe na chuki za kisenge senge sasa ww km huna cha kuwasimuia vizazi vyako kaa hvy hvy ndo nyie utaskia baba yako niliteseka nilikula mihogo as if mihogo kitu cha ajabu
@@ChoroTesla bwege wewe hata hujitambui kama zingekuwa hela zake nani angesema Ila ni hela za Watanzania masikini , na siku ccm ikiondolewa madarakani hawa wote watashitakiwa kwa kuwaongea watz umasikini, utakuwa kizazi cha wafisadi wewe au huyu ni shemeji yako
Unajuwa maisha, lazima uweze ku balance kazi na starehe uishi, Hii ndio Dunia ya kuishi na ku enjoy.
Hapo mzee kikwete swali la kumuuliza muziki wamemfikisha anapenda muziki sana
Man of the people😏
Raha zako
Hahaha,,,MJ hajapata kutokea kbs yani
Kweli kwenye maisha Kuna mda wa starehe cyo Kaz mda wte
Inna lillah wainna illahy rajiuun
😂
Tatufa hela wewe, secondly jikite kwenye channels za dini acha kupangia watu maisha.
Jk 🙌
Music ni burudaniiiiii
😂😂😂😂❤❤❤
Zungumzia bomba la mafuta
Wewe umeshakuwa Al haji hutakiwi kuwa na mambo haya au ulikwenda kinafiki tu kuhiji
Anaongelea maisha yake ya nyuma,don’t be dumb
@@danielmartinnapiya8802 I'm not going to hurt him, he is not even support to talk about the past.
@@Jal210
Concentrate with your own life challenges dummy, who the hell are you to dictate on how people should be living?
@@Jal210 And stop being a sanctimonious piece of shit!
@@danielmartinnapiya8802 ,,,,,his own life at the expenses of poor citizens!!
Upo safi MZEE.nataman ungerudi tena uwe RAIS usaidie waliopo mtaani angalau upunguze wimbi la wasio na ajira
Labda awe Rais wa ukoo wako pumbavu
@@kabwelasutiviraka4765 hahahaha..bwana kabwela..hyo ndo rais nlotokea kumuelewa na huo n mtazamo wangu ko ustake tkalngana sawa ndg..
Ndugu yako Nini ??? Nina sure jk akifa watanzania 70%au 65% watapiga mziki Kwa furaha usiku mzima Na Mimi Ni mmojawapo
Kuna.muda wa kazi.na.sasa.anapunzika kazi.kubwa.amefanya.nchi.hii.hakuna wa.kufananisha.nae.hapa
Mzee anawakumbusha kuwa ni wimbo huu sio nyimbo hii
Baba unazingua
Hapa jk kaongea pumba tupu
acheni chuki bunafsi unajua kwann kazungumza?si aliulizwa ndio sbb aliongea na kusimuliamengi badala ya kumuwishi mazur ktk siku yake ya kuzaliwa kwakuwa alikua kiongoz wetu imara mpenda watu na katuachia nchi ikiwa salama pasina kuwa na machafuko eti mnamdis hv sisi watanzania tutapenda lini na kusifia vya kwetu...?
50 cents ..lol
Mwenzenu kakutana na 10 cent nyie mnatuambia 50 cent. Hizo 40 cent mlizoongeza mmezitoa wapi? Au ndo chumvi??
Hahahahah🤣🤣🤣
@@mohamedhamismagoraonlinetv459
Wamezidisha 10cent x 5 ndiyo wakapata 50cent kwa maana ya kwamba kakutana na 10cent mara tano ndiyo ikawa hiyo 50 Cent.
@@monstermonster3649 🤣🤣 72 si mchezo kala chumvi. Lazima aanze kuwa babu
@@mohamedhamismagoraonlinetv459 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zungumzia ugumu wa maisha ya mtanzania.
Zungumzia wewe
Wakat n bday yake acha akumbuke Raha zake shida zako ustaw wa jamii
@@abuu_tv Huenda labda unanizidi hata hizo shida zenyewe,unjitutumua mtandaoni.
@@mwasamiladldm7557 ndio na zimudu si zangu ww usilalamikie mtu
MAISHA MAGUMU UNAYO WEWE SIO KILA MTANZANIA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mzee wa kujisahau mla bata fisadi haoni hata aibu kuongea upumbavu huo
hizo ni moment zilizotokea kwenye maisha yake vitu vya kawaida sana tatizo umaskin unatusababisha tuwe na chuki za kisenge senge sasa ww km huna cha kuwasimuia vizazi vyako kaa hvy hvy ndo nyie utaskia baba yako niliteseka nilikula mihogo as if mihogo kitu cha ajabu
Tafuta hela mzee.
@@ChoroTesla bwege wewe hata hujitambui kama zingekuwa hela zake nani angesema Ila ni hela za Watanzania masikini , na siku ccm ikiondolewa madarakani hawa wote watashitakiwa kwa kuwaongea watz umasikini, utakuwa kizazi cha wafisadi wewe au huyu ni shemeji yako
Aibu sana sio sili,yaani mzee anajisifia kula batA?watanzania??
Zungumzia hata bagamoyo bandari tukusikie lione
Sanga wewe ndo mpumbavu kabisa, Ina maana huyu si binadamu, mpaka akalie siasa tu, Unajua nyie makafili hamna akili kabisaa.
Amani nini maana ya kafiri?
Raisi gani mpenda starehe ndo maana unaitwa fisadi amjui mtanzania wa hali ya chini anaishi vipi mnajiona nyie na familia zenu ipo sikuyenu
Raisi yuko wapi!? Punguza makasaliko bob
Mlaumu baba ako mzazi sio kikwete
@@danielmartinnapiya8802 mpuuz mmoja ww acha kitako mwiba ww utaolew
Huyo babu alileta umasikini haswa Tz na ufisadi mkubwa miaka yake alichokuwa anajua ni kusafiri tu Johnny walker 💩💩🤮🤮🤮
Wengi tumepata Ajira kipindi chake