Комментарии •

  • @pencilerstevie2883
    @pencilerstevie2883 4 года назад +2

    mnaobaki Kusema kaondoka kaviacha tu.. bac tuache kupambania maisha mazuri c tutayaacha

  • @michanomichano4931
    @michanomichano4931 7 лет назад +4

    Nakukubali sana bro..millard

  • @ommarymzee1161
    @ommarymzee1161 7 лет назад +4

    Millard all the best kaz nzur

  • @jenfan8781
    @jenfan8781 Месяц назад

    So mnataka tusijenge kisa kuna kufa sio?????
    Kama unapesa wew unayesoma hii comment, jenga nyumba, nunua magari, fanya vyote acha kutekeseka maaaaana Mungu hajatuuumba kuja kuteseka

  • @mateomihale5375
    @mateomihale5375 6 лет назад +3

    Kumbe hata ndan hujaingia😂😂

  • @teddyjaneth9078
    @teddyjaneth9078 7 лет назад +2

    MWENYEZI MUNGU amlaze mahali pema Peponi. Kwani duniani tunapita tu.

  • @rashidhusain2958
    @rashidhusain2958 7 лет назад +17

    Ndio tusihadaike na maisha ya Dunia, kwani sasa hivi anaishi wapi? Hebu tutafakari!

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 3 года назад

      Hayo mawazo yakimasikini nyumba niazina siwapo wanae nawatakuja wajukuu na vzaz mlitaka aishi bandani sasa

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 3 года назад

      @Rado Tyga akili fupi t unawaza ahela t uishi kifukala kisa nn

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 3 года назад

      @Rado Tyga siwamedanganywa niraisi ngamia kupita tundu la sindano kuliko tajir kuiona pepo

  • @niceladeus1697
    @niceladeus1697 5 лет назад

    good job

  • @kihanda2554
    @kihanda2554 6 лет назад +1

    Millard siku ongia ndiyo upost. Nimeifananisha na nyumba ya Kasela bantu Masaki 😮😮😮

  • @rosemarybenjamin4333
    @rosemarybenjamin4333 7 лет назад +3

    Sasa mbon hamjaingia ndan au kunamizimu au haitkiwi hata kuigusa

  • @pennyshadrack821
    @pennyshadrack821 7 лет назад

    love u millard

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 лет назад +3

    Itamfaa nini kesho cku ya QIYAMA

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 3 года назад

      Hayo mawazo yakimasikini nyumba niazina siwapo wanae nawatakuja wajukuu na vzaz mlitaka aishi bandani sasa

  • @zamzamhamisi7332
    @zamzamhamisi7332 7 лет назад +1

    Dunia mapito

  • @jeremiahgeorge1218
    @jeremiahgeorge1218 7 лет назад

    Millady hyo nyumba sijaelewa ndio nyumba yake yasiku zote au ana nyumba ingine??

    • @twaiburashid2903
      @twaiburashid2903 5 лет назад

      Michael Jackson ana majumba zaidi ya 5 ya kifahari

  • @Msonjo
    @Msonjo 7 лет назад +7

    hakuna nyumba kali kama ya huyu jamaa

    • @queennoreen3069
      @queennoreen3069 6 лет назад

      Msonjo Khan hhhhh we huoni izo ninyumba zamasaki au

  • @idayagangs124
    @idayagangs124 7 лет назад +2

    Ndo limechakaaa daah

  • @amirsab1158
    @amirsab1158 7 лет назад +3

    dou ayo ww

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 7 лет назад +4

    Wacheni kutupunbaza hapa si ni masaki?!

  • @hopechidera
    @hopechidera 7 лет назад

    Vanity of vanity🤔🤔🤔

  • @asilaalhabsi6481
    @asilaalhabsi6481 7 лет назад

    Watu jmn waone mifano leo Michael Jackson ameondoks mtupu mapambo yote kayaacha duniani kaondoka kama alivyo kuja subhanaAllah

  • @bintlola3127
    @bintlola3127 6 лет назад +1

    Kuna watu mpk leo hawaongei kwa kugombnia mali....hawajui kama wataziacha

  • @TanzaniaTrendTV
    @TanzaniaTrendTV 7 лет назад +3

    Ase watu wanaishi kwenye majumba

  • @Mkemia..Kirigiti
    @Mkemia..Kirigiti 7 лет назад

    yec💛💛

  • @showfive4413
    @showfive4413 2 года назад

    Mtajenga lakin hamto kaa "ALLAH"

  • @edwinnyabikwi560
    @edwinnyabikwi560 3 года назад

    M

  • @bonfilsjoseph3867
    @bonfilsjoseph3867 6 лет назад

    Rip

  • @mwajumakweli6753
    @mwajumakweli6753 7 лет назад

    Na kukubari

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 7 лет назад

    Ostabey

  • @augustinofifi
    @augustinofifi 7 лет назад

    😩😩

  • @virginiamunka2304
    @virginiamunka2304 5 лет назад

    Naked we came naked we will go