MARIOO AELEZA NANDY ALIVYOMUWEKEA POZI SIKU YA KWANZA, ALIVYOSOTA GEREJI BAADA YA KUACHA SHULE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 май 2019

Комментарии • 596

  • @careenchazy9471
    @careenchazy9471 5 лет назад +385

    wanao mkubali marioo tujuane dondosha like na kibao chake kikali ( inatosha)big up marioo 👊👊👊

    • @MaryamMaryam-me8wg
      @MaryamMaryam-me8wg 4 года назад +4

      Yuko poa sn

    • @ariyuabbakari7301
      @ariyuabbakari7301 4 года назад +2

      Mie siomshabiki Sana wamziki hira nirisikiriza mziki wako hinatosha kweri hurikuwa humejipanga vizuri henderea kukaza buti mungu atakujibu

    • @sophiasamwel9817
      @sophiasamwel9817 4 года назад +2

      Sanaaa namuelewa,mungu azidi kumbariki Mariooo,inatosha

    • @ismailiismaili8872
      @ismailiismaili8872 4 года назад +2

      da Marioo huyjamaa anatisha.san

    • @laimeliharuna7994
      @laimeliharuna7994 4 года назад +2

      umetishaa

  • @ally.abdullah.8699
    @ally.abdullah.8699 4 года назад +35

    kumbe Hawa wandengereko wanna vipaji Sana big up Sana kwa wandengereko km nawew no mndengereko gonga like. usiwaze

    • @omarisalum3699
      @omarisalum3699 4 года назад +1

      Ally. Abdullah. mbosso

    • @allyamir7162
      @allyamir7162 4 года назад +1

      Siwandengeleko tunajivunia samata malioo na Mimi nakuja kuwa bilionea nimetajwa kwenye jalida la fobss

  • @pacifiquerema2347
    @pacifiquerema2347 5 лет назад +274

    Napenda sana njisi millard anafanya, anauliza swali alafu anakuaca unaongeya,tofauti sana nawatangazaji wengi wakibongo mbwembwe nyingi hazifai. Big up bro

  • @mwalimmwalim6336
    @mwalimmwalim6336 3 года назад +7

    Leo 11th May 2021 mapema asubuhi Omary AKA Marioo ameondoka Johannesburg, South Africa, Olive Tambo International Airport kurudi nyumbani Tanzania.
    Kwa muda aliokuwa hapa Johannesburg, niligundua Marioo yupo very humble and down to earth. Kiukweli Marioo ni mwepesi sana wa kuelewa mambo mapya.

  • @aishalibondo6745
    @aishalibondo6745 4 года назад +119

    km unapenda ngoma ya raha km mm gonga like tuende sawa

  • @MargauxNyambura
    @MargauxNyambura 2 года назад +18

    I love vile Marioo his talking,Yuko very humble, much love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪.Marioo usibadilike endelea kuwa mnyenyekevu wakenya tunakukubali

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 5 лет назад +376

    Kama na wewe umepitia misoto kama ya MARIOO angusha like yako apa.

    • @gowithmesafaris
      @gowithmesafaris 5 лет назад +6

      Daah! Jamaa kanigusa sana yani kapitia magumu kama yangu

    • @michaelsamson9663
      @michaelsamson9663 5 лет назад +2

      Isaya Paul katugusa weng sana

    • @ibrahimrassi7835
      @ibrahimrassi7835 5 лет назад +2

      na kubari sanaa

    • @ibuninkwaje3191
      @ibuninkwaje3191 5 лет назад +1

      Yani kama kakopi ya kwangu yani tofauti ndogo yeye msani nami nakipaji cha uchekeshaji

    • @jafetfelix6362
      @jafetfelix6362 5 лет назад +1

      Mungu amuongoze na kumuongezea maarifa
      Amen

  • @elchapo9125
    @elchapo9125 5 лет назад +96

    Bonge la interview God bless you Mariooo Tonga like Kama umeikubali

  • @mastaplan83
    @mastaplan83 5 лет назад +21

    Millard Ayo you are very experienced presenter i love how you are composed and give your interviewee time to xplain.

  • @deusdedithmanugulilo1980
    @deusdedithmanugulilo1980 5 лет назад +64

    MIllard hii inageuka kuwa moja kati ya interview bora kabisa kuwahi kufanywa na wewe, Si kwa sababu wewe ni presenter bora lakini kwa sababu ya uwezo binafsi wa kujieleza wa Marioo. In this interview you had a total relaxation since the guy knew how to tell the tale. Natamani ningemshauri kitu lakini kwakuwa sina ukaribu nae basi please only share the remaining part of this interview

    • @slayingtee6044
      @slayingtee6044 5 лет назад +3

      True

    • @michaelbwoma2760
      @michaelbwoma2760 5 лет назад +4

      Kma unafatilia hizi online Tv na interviews zao, this interview ina best techniques Millard anauliza na anasikiliza na anazalisha swali zuri sana

  • @meedaafarai9677
    @meedaafarai9677 5 лет назад +21

    Mungu akufanyie wepesi .pole sana.

  • @benajra3374
    @benajra3374 5 лет назад +31

    Kama naww umelelewa na mama to gonga like apa

  • @marsgenesis7200
    @marsgenesis7200 4 года назад +61

    The guy is humble na kwenye suala la mkorogo sidhani kama anatumia ila ni kwamba ana chunusi zinazomsumbua na karibia dawa zote za chunusi huwa zinang'arisha ili kutoa makovu

    • @sakayonsakihunga3496
      @sakayonsakihunga3496 4 года назад +1

      Ukosawa maranyingi dawa zakuondoa chunusi hua zina ng'arisha

    • @saudakayela5439
      @saudakayela5439 4 года назад +1

      Mars Genesis nikweri sikupingi

    • @saididd3121
      @saididd3121 4 года назад

      Kw

    • @rizikijaha3390
      @rizikijaha3390 4 года назад +1

      Hizi chunusi hataree

    • @celestinekhivali5824
      @celestinekhivali5824 3 года назад +1

      Aki watu wabaya kumsema marioo vibaya,leo ndio nawatch hii interview but uso kuharibika Ni kawaida si must iwe mikorogo tu,alisema ajawai tumia mikorogo Mimi namuamuni wale wa kusema waseme tu,

  • @lamecksmernest9651
    @lamecksmernest9651 5 лет назад +7

    Daaaah ama kweli no sweet without sweat## mungu mubarike MARIOO## mungu mubarik Millard ayoo

  • @alexmurithi1327
    @alexmurithi1327 5 лет назад +94

    Brother Marioo, Mimi shabiki wako Sana kutoka Kenya. Wimbo wako wa inatosha uko juu saaana

  • @sashoright8213
    @sashoright8213 2 года назад +4

    Uber ni producer mzuri Sanaa ametoa wengi Sanaa na beat zake nzur congratulations mburahat wanatoa watu wengii maarufu ad na queen video marioo we ni msaniii Bora mnooo na utafika mbali ata Kama unaimba kiswahili akija msaniii was nje we imba kiswahil na kinasikilizwaa kokotee watu tunapenda nyimbo za kikorea tukitzama tamthilia zao na wao wasioolewa watapenda tuu songesha,na kufeli shule sio kufel maisha mie nmesoma ad chuo lkn. Natgmea biashara kwa Sasa sjawah kukata tamaa kwnye kutafta much love#Mario

  • @bennie7239
    @bennie7239 4 года назад +15

    Hii ni interview ya kwanza naiona kwa Millard ambayo kimsingi Millard hana kaz kubwa 😁😃, Marioo anajieleza vzr sana...he's 4 real..

  • @aishakopose26
    @aishakopose26 Месяц назад +3

    Mario wewe nikijana watofauti sana mungu akupe Kila hitaji lamoyo wako ufike unapo pataka Amina🙏

  • @yusuphharuna1476
    @yusuphharuna1476 5 лет назад +159

    Baba yangu aliashaniambia usitegemee ndugu yako yoyote kukusaidia mwanao ktk maisha

    • @patrickyohanna5120
      @patrickyohanna5120 5 лет назад +3

      Mchizi kanikumbusha mbali saana enzi nasoma halafu mimi ndoo fundi wa shule na kukarabati matlanga ya wanafunzi wenzangu

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 2 года назад

      Ni kweli

  • @fatumafey9256
    @fatumafey9256 4 года назад +37

    Marioo kiboko nampenda mpaka naumwa love you 😘

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 2 года назад +4

    Hongera Marioo umepambana sana👏👏👏

  • @andrewmwita119
    @andrewmwita119 5 лет назад +68

    Hongera sana Dogo marioo napenda sana kazi zako Dogo unafanya vizuri,kaza boti cha mhimu wapenda washabiki wote wabaya na wazuri

  • @faridamjungu1028
    @faridamjungu1028 5 лет назад +18

    Duh! Pole sana mdg Wang, kaza buti mafanikio utayaona in shaa Allah

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 4 года назад +11

    Wamama tuna pitia mengi kwenye kulea, mungu atufanyie wepesi

  • @devotamruma3459
    @devotamruma3459 5 лет назад +34

    i have being waiting this interview for so long

  • @Jc-wl6yf
    @Jc-wl6yf 5 лет назад +14

    Unajua kujieleza marioo...Mungu akupeleke viwango vingine zaidi

  • @monicajulius905
    @monicajulius905 5 лет назад +126

    tuanapenda Sana kazi zako,ila kama unatumia mkorogo acha kabisa

  • @samirayussuf280
    @samirayussuf280 4 года назад +4

    Love you so much marioo unasautinziri Masha Allah bless nakukubali mno pigakazi brother ❤️💯

  • @m-jay2840
    @m-jay2840 5 лет назад +45

    Aki his so humble
    You can read he has a ver good personality honest guy

    • @rahillhamidu2544
      @rahillhamidu2544 4 года назад

      You can say that again my dear, more than a hamble

  • @nestorykuringe9194
    @nestorykuringe9194 4 года назад +5

    Km na wewe una tamani Interview indele km mm ninvyo taman gonga like hapa...

  • @lovesamson2939
    @lovesamson2939 4 года назад +5

    Story yako ya upande wa baba tunafanana Ila usikate tamaa unafanya mziki mzr nakukubali sana Mungu akupemaisha malefu💪💪💪❤❤❤❤❤

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir 2 года назад +3

    Msanii wangu Bora 2021 ..
    He is real dil in town ..

  • @wemambonde9363
    @wemambonde9363 5 лет назад +28

    Kaza mdogo wangu wa shule moja kijiji kimoja acha tu umenikumbusha mbali Sana kibiti moja ndo home

  • @godwinegacharo9001
    @godwinegacharo9001 4 года назад +39

    Huyu ndo msanii bora 2019 kwa maoni yangu

  • @tiktokTviral
    @tiktokTviral 5 лет назад +25

    A Very Talented humbleGuy
    🎤#Mario👑🎶 kp it up jooh..🔝

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 5 лет назад +40

    Aki watu hutoka mbali for real...God has good plan for you Marioo

  • @meshackkangwe7744
    @meshackkangwe7744 4 года назад +4

    Marioo💪💪💪💪 nakukubali sana nataman siku tukutane nikupe kitu💥💥💥💥👊👊👊👊🤔

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo3683 5 лет назад +34

    Daaa! Marioo hatimae ndoto yako ilitimia 🔥🔥🔥

  • @husnahkidula4009
    @husnahkidula4009 4 года назад +5

    Touching story 😢😢but we love you 💕

  • @seniroya7834
    @seniroya7834 5 лет назад +43

    Marioo kiboko top 20 ameishusha hata kadogo ya kiba.saiz anatamba na wauwe ndio namb moja top 20 😂😂😂😂

  • @ninadelina7576
    @ninadelina7576 5 лет назад +5

    Inshallah nakuombea kakangu utafika mbali inshallah nq ushafika mbali pia mie shabiki wako wanguvu Ilee nyimbo yako inatosha Masha Allah 💃💗

  • @anastaziaquenberth9443
    @anastaziaquenberth9443 5 лет назад +15

    Me nakukubali marioo

  • @kassimramadhani79
    @kassimramadhani79 4 года назад +44

    Kama unamkubal mariooo dondxha like hapa🔥🔥🔥

  • @josephmlelwa3175
    @josephmlelwa3175 3 года назад +5

    Ndo inavyo takiwa,katika kupambana, maisha ndo yalivyo, big up ni story ya ukweli kibongo. Good.

  • @jumamkali375
    @jumamkali375 5 лет назад +27

    Rea life ya vijana wengi wa kibongo

  • @harryvice77
    @harryvice77 5 лет назад +13

    Apo kwenye kuskilizana kanikumbusha mbali sanah

  • @sangijamadukwa1486
    @sangijamadukwa1486 5 лет назад +8

    Dah! Yan lifestyles ya Maisha ya baba ako iko sawa kabsa na ya mzee Wang, japo mm wadogo zake yan baba wadogo zangu wamenpga kampan sana

  • @subiraally6711
    @subiraally6711 2 года назад +2

    Hongera Marioo

  • @hawaseif9305
    @hawaseif9305 4 года назад +3

    Millard ayo mtangazaji mzuri sana unajua kuhoji vzr 🙌🏿👏🏿

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma2760 5 лет назад +8

    Daah maisha haya Marioo hajui CPU hahahahaha natania he is so humble nachelea kusema Dogo huyo ataichukua bongoflavor

  • @raphaelmkumbovalane1710
    @raphaelmkumbovalane1710 4 года назад +2

    Marioo ni fundi wa muziki sana yaani akiimba anatulia sana

  • @sangijamadukwa1486
    @sangijamadukwa1486 5 лет назад +13

    Dah! Baba ako kafariki Mwaka mmoja na wangu! R.I.P baba

  • @glorytarimo9730
    @glorytarimo9730 5 лет назад +5

    Namkubali sanaaa marioooo 💖💖💖💖💖

  • @malafyaletistar7613
    @malafyaletistar7613 5 лет назад +14

    maisha ya mafanikio huwa yana safari ndefu sana

  • @eliaslaiser8425
    @eliaslaiser8425 5 лет назад +10

    Daah jamani tuangalie na aina ya vitu tunavyopaka usoni kama umemwona marioooo kwa uso sey yeeeeeh!!!

  • @jacquelinemtei8058
    @jacquelinemtei8058 4 года назад +3

    Unafanya vizur sana marioo love u

  • @godwinegacharo9001
    @godwinegacharo9001 4 года назад +4

    Msanii bora wa mwaka hapa Bongo. Ana ngoma Kali so kitotoooo

  • @paulinemichael4658
    @paulinemichael4658 2 года назад +2

    Nmpendaa snaa yaan wee n motoo

  • @bongobytheway103
    @bongobytheway103 4 года назад +3

    dah nimeipnda story yako broda marioo ur fire since day one

  • @prince70863
    @prince70863 4 года назад +6

    Never gave up ... Mungu akikupa nafas onesha juhudi .. Ukiwa star usiwe kiburi maisha hayana wenyewe

  • @jenifferfalnadesseaus5671
    @jenifferfalnadesseaus5671 4 года назад +5

    Nampenda sana marioo😢😢😢😢😢

  • @scollapatric8342
    @scollapatric8342 4 года назад +2

    Aiseee mungu nimwema sana hongera marioo

  • @godigaspatv6146
    @godigaspatv6146 5 лет назад +25

    Part two iko wap ayo tv

  • @anithawimbe1564
    @anithawimbe1564 4 года назад +2

    Nampenda tu Millard uulizaji wake Wa maswali anakuuliza halafu anakuacha ujielezee Wengine Hata hujaelezea vizuri kashakuuliza lingine Hata hujamaliza lingine wanambwembwe nyingi Kama wauza kahawa ila Millard yuko vizuri

  • @rayshikeli1577
    @rayshikeli1577 3 года назад +2

    Eeeh birthday ya Marioo inaendana na ya mwanangu Ashraf🙌🙌🙌big up sanaaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @nazgonke6918
    @nazgonke6918 4 года назад +2

    Kama unapenda wimbo inatosha wa marioo gonga like hapa tumsupport👇

  • @moseshandsam1865
    @moseshandsam1865 2 года назад +3

    Mario best artist all tyms nice interview

  • @shozylamparboom8393
    @shozylamparboom8393 5 лет назад +24

    Keep it up... U made it... Inatoooshaaaaa... Bonge la kaziii #marioo

  • @zaphyzmasoud7129
    @zaphyzmasoud7129 5 лет назад +12

    Kumbe wandenge tupo wengi

  • @samirnaty8774
    @samirnaty8774 5 лет назад +30

    Big up millardayo bonge la interview tupachikie ya mwisho wake

  • @peterzjohn6260
    @peterzjohn6260 5 лет назад +47

    Daaah nmepend xn hii interview, post part two bac Millard

  • @emmanuelmahumbi3596
    @emmanuelmahumbi3596 5 лет назад +7

    La msingi sana Marioo ajielimishe, pia ajaribu kutengeneza njia nyepesi kwa wanaochipukia kuepuka vikwazo alivyopitia yeye. Keep it up

    • @feidhabakari261
      @feidhabakari261 3 года назад +1

      Anaongea kwa hekima Sana nime penda 💯❤️

    • @mwalimmwalim6336
      @mwalimmwalim6336 3 года назад +1

      For the past two weeks, I have been teaching and sharpening Omary's English here in Rosebank, Johannesburg - South Africa. He has a very good power of reasoning, a surperb capacity, flexible to cooperate with and he's a quicker Learner.

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 4 года назад +5

    Mziki mzuri sana anafanya dg!!!

  • @lizzygabriel9601
    @lizzygabriel9601 4 года назад +2

    😀😀 eti sauti ya nandy nilitamba nayo,ila Nampenda Sana huyo Kaka yupo real

  • @paulgodwini2910
    @paulgodwini2910 5 лет назад +12

    Bonge LA interview big up marioo

  • @deboramatpapaztv
    @deboramatpapaztv 5 лет назад +3

    Shilawadu wametoa sapoti sana aisee...I wish afikie level ya akina dai

  • @irenesluiter4496
    @irenesluiter4496 5 лет назад +7

    Jaman acheni kumlaumu anajieleza sanaa.. C kila mtu kaubwa kujua sanaa anajifunza pia .bora anajieleza angesema no cment si balaa lingne loop na kwenye ukweli uongo hujitenga yanii namaanisha uso unaonyesh ada anaijua ila hawez kiri kam hakupenda shule kam alivyoyapenda na kwasababu maisha ya mtaa.. WA baba kweny familia (mnatutesea watoto sanaa) mie nimeteseka pia... Na kam anajichubua umri jamanii jamanii ataacha mbna mondi kapta kweny mkorogo na wengne Kibaoo... Jiachie baba jielezee jimwae mwae na iyo inayokuja Millard mpnz uckatee kate

    • @derrickthedon91
      @derrickthedon91 4 года назад

      Irene Sluiter aisee dada unaongea kinomaa!!
      aisee wee nomaaa

    • @alfredjanuary1175
      @alfredjanuary1175 2 года назад

      @@derrickthedon91 Fà3dt
      💞💖💓💄👒

  • @aminaniyonsenga1946
    @aminaniyonsenga1946 5 лет назад +13

    I hope there is part two. This interview is really good.

  • @mwana4599
    @mwana4599 2 года назад +2

    He is very intelligent.

  • @siwatuhassan2281
    @siwatuhassan2281 5 лет назад +19

    Umetoka mbali bro enzi hzo ulikua rafiki yangu arafu ukawa ni mdogo sanaa

  • @salummwakatughu
    @salummwakatughu Год назад +1

    Sanaaaaaa nakubari sana uwimbaji wako keep it up

  • @kakagranto135
    @kakagranto135 4 года назад +5

    Very nice interview big Ayo good job, Marioo very inspiring ma Main

  • @lindaziti7545
    @lindaziti7545 4 года назад +7

    Marioo napenda nyimbo zako uko vizuri sana

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 5 лет назад +10

    duh..kusoma kwako kwa fanana na kwangu sema mwenzio nlibahtika nikamaliza 4th form..yaani .nilihama hama kuhamishwa..mara napelekwa nkaishi kwa familia zengine nkifika wasema hatujui

  • @SelphahDelphine
    @SelphahDelphine 29 дней назад +1

    Marioo napenda sana nyimbo zake ..Yuko on top sana mm nipo Kenya

    • @SelphahDelphine
      @SelphahDelphine 23 дня назад

      Nyimbo zake zote Niko nazo ...pia nafuatilia sana...nampenda sana haswa sauti yake anapoimba

  • @mohamedabdallah7526
    @mohamedabdallah7526 5 лет назад +7

    Interview imetulia 👊🏿

  • @arafaalyahyaialyahyai2940
    @arafaalyahyaialyahyai2940 4 года назад +2

    Nampenda Marioo baba ake alikua hamjali kimaisha lkn hawaongelei vbaya sna km nanihino majina tunawahifadh😂

  • @ramadhanimrisho833
    @ramadhanimrisho833 4 года назад +2

    Nakukubali sana marioo zaidi ya sana kwanza unajua kutoa story ikaeleweka

  • @directorinyangeadriano5031
    @directorinyangeadriano5031 5 лет назад +3

    waoohhh..Really..nimehakikisha interview yote naisikiliza..Marioo kwel Uko na kipaji na Mungu akufanyie njia maana upo vizur sana

  • @shaibhamisi6235
    @shaibhamisi6235 4 года назад +2

    Mario we ni Mnyama moja Mdogo sana lakin kumbe watu hawajui tu kumbe MTU moja MKUBWA sana zaid y sana yan MTU MKUBWA San ila we MTU mzito sana katka mziki t nakupisha m man nakukubali xan

  • @mosesmahinya9654
    @mosesmahinya9654 2 года назад +3

    Marioo is a genius of bongo flavour

  • @mcjayz8686
    @mcjayz8686 5 лет назад +4

    Nandy aaaaah ebwana nouma nimeipenda

  • @henrickaidan8371
    @henrickaidan8371 3 года назад +2

    Uko vizuri. Bibi yako kakutendea haki, unamkumbuka?

  • @peacebrowntz3949
    @peacebrowntz3949 5 лет назад +10

    Unapambana broh!! Kipindi uko mtaani tulionana sana ...kazaaa blood

    • @borashabani729
      @borashabani729 4 года назад +1

      hongera sana dogo mungu akusimamie ufkie malengo yako

  • @salamakenga2782
    @salamakenga2782 5 лет назад +18

    From +254 penda xana kijana angu mariiooo,,dar pagumu,,chibonge,,na ringtone YANGU ya kila Sikh inatosha,,ila wapi video ya iii ngoma inatosha broo,,

  • @user-vt8mj2vr5b
    @user-vt8mj2vr5b 5 лет назад +6

    Mndengeleko maneno mengi😅

  • @khalidndemo4386
    @khalidndemo4386 5 лет назад +14

    Hizo microphone unazotumia zimekaa vizuri za kijanja,, sio unaweka mike unafikiri skaveta linamzima mpaka mzungumzaji

  • @mashadaudi1134
    @mashadaudi1134 4 года назад +3

    Unaanza kujiharibu kujikoboa uso unaharibika

  • @rukiamadati3831
    @rukiamadati3831 4 года назад +2

    Unaongea vizuri sana yana kiume..

  • @officialeidon4583
    @officialeidon4583 5 лет назад +9

    Millard ayo hii interview inabidi iendelee