Napenda sana njisi millard anafanya, anauliza swali alafu anakuaca unaongeya,tofauti sana nawatangazaji wengi wakibongo mbwembwe nyingi hazifai. Big up bro
Leo 11th May 2021 mapema asubuhi Omary AKA Marioo ameondoka Johannesburg, South Africa, Olive Tambo International Airport kurudi nyumbani Tanzania. Kwa muda aliokuwa hapa Johannesburg, niligundua Marioo yupo very humble and down to earth. Kiukweli Marioo ni mwepesi sana wa kuelewa mambo mapya.
MIllard hii inageuka kuwa moja kati ya interview bora kabisa kuwahi kufanywa na wewe, Si kwa sababu wewe ni presenter bora lakini kwa sababu ya uwezo binafsi wa kujieleza wa Marioo. In this interview you had a total relaxation since the guy knew how to tell the tale. Natamani ningemshauri kitu lakini kwakuwa sina ukaribu nae basi please only share the remaining part of this interview
The guy is humble na kwenye suala la mkorogo sidhani kama anatumia ila ni kwamba ana chunusi zinazomsumbua na karibia dawa zote za chunusi huwa zinang'arisha ili kutoa makovu
Aki watu wabaya kumsema marioo vibaya,leo ndio nawatch hii interview but uso kuharibika Ni kawaida si must iwe mikorogo tu,alisema ajawai tumia mikorogo Mimi namuamuni wale wa kusema waseme tu,
Uber ni producer mzuri Sanaa ametoa wengi Sanaa na beat zake nzur congratulations mburahat wanatoa watu wengii maarufu ad na queen video marioo we ni msaniii Bora mnooo na utafika mbali ata Kama unaimba kiswahili akija msaniii was nje we imba kiswahil na kinasikilizwaa kokotee watu tunapenda nyimbo za kikorea tukitzama tamthilia zao na wao wasioolewa watapenda tuu songesha,na kufeli shule sio kufel maisha mie nmesoma ad chuo lkn. Natgmea biashara kwa Sasa sjawah kukata tamaa kwnye kutafta much love#Mario
Nampenda tu Millard uulizaji wake Wa maswali anakuuliza halafu anakuacha ujielezee Wengine Hata hujaelezea vizuri kashakuuliza lingine Hata hujamaliza lingine wanambwembwe nyingi Kama wauza kahawa ila Millard yuko vizuri
For the past two weeks, I have been teaching and sharpening Omary's English here in Rosebank, Johannesburg - South Africa. He has a very good power of reasoning, a surperb capacity, flexible to cooperate with and he's a quicker Learner.
Jaman acheni kumlaumu anajieleza sanaa.. C kila mtu kaubwa kujua sanaa anajifunza pia .bora anajieleza angesema no cment si balaa lingne loop na kwenye ukweli uongo hujitenga yanii namaanisha uso unaonyesh ada anaijua ila hawez kiri kam hakupenda shule kam alivyoyapenda na kwasababu maisha ya mtaa.. WA baba kweny familia (mnatutesea watoto sanaa) mie nimeteseka pia... Na kam anajichubua umri jamanii jamanii ataacha mbna mondi kapta kweny mkorogo na wengne Kibaoo... Jiachie baba jielezee jimwae mwae na iyo inayokuja Millard mpnz uckatee kate
Mario we ni Mnyama moja Mdogo sana lakin kumbe watu hawajui tu kumbe MTU moja MKUBWA sana zaid y sana yan MTU MKUBWA San ila we MTU mzito sana katka mziki t nakupisha m man nakukubali xan
wanao mkubali marioo tujuane dondosha like na kibao chake kikali ( inatosha)big up marioo 👊👊👊
Yuko poa sn
Mie siomshabiki Sana wamziki hira nirisikiriza mziki wako hinatosha kweri hurikuwa humejipanga vizuri henderea kukaza buti mungu atakujibu
Sanaaa namuelewa,mungu azidi kumbariki Mariooo,inatosha
da Marioo huyjamaa anatisha.san
umetishaa
kumbe Hawa wandengereko wanna vipaji Sana big up Sana kwa wandengereko km nawew no mndengereko gonga like. usiwaze
Ally. Abdullah. mbosso
Siwandengeleko tunajivunia samata malioo na Mimi nakuja kuwa bilionea nimetajwa kwenye jalida la fobss
Napenda sana njisi millard anafanya, anauliza swali alafu anakuaca unaongeya,tofauti sana nawatangazaji wengi wakibongo mbwembwe nyingi hazifai. Big up bro
technique za ma psychiatrist hizo, wanakusikiliza tu unafunguka mwenyewe
Dah kweli maisha ni safari ndefu mndenge mwenzangu
Pacifique Rema vgj
Sanatuuu
Marioo kumbe hensm!?
Leo 11th May 2021 mapema asubuhi Omary AKA Marioo ameondoka Johannesburg, South Africa, Olive Tambo International Airport kurudi nyumbani Tanzania.
Kwa muda aliokuwa hapa Johannesburg, niligundua Marioo yupo very humble and down to earth. Kiukweli Marioo ni mwepesi sana wa kuelewa mambo mapya.
km unapenda ngoma ya raha km mm gonga like tuende sawa
Naikubar sana yani IPO kwenye sitor yangu ya msisha
Ninoma anajua
Usimdharau usiomjuwa nandy. Acha roho mbaya
naikubali sana ngoma ya raha
I love vile Marioo his talking,Yuko very humble, much love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪.Marioo usibadilike endelea kuwa mnyenyekevu wakenya tunakukubali
Mm sijakuelewa
@@alexmdatch532 kwaiyo afanyeje kama ujaelewa 😏
Kama na wewe umepitia misoto kama ya MARIOO angusha like yako apa.
Daah! Jamaa kanigusa sana yani kapitia magumu kama yangu
Isaya Paul katugusa weng sana
na kubari sanaa
Yani kama kakopi ya kwangu yani tofauti ndogo yeye msani nami nakipaji cha uchekeshaji
Mungu amuongoze na kumuongezea maarifa
Amen
Bonge la interview God bless you Mariooo Tonga like Kama umeikubali
Millard Ayo you are very experienced presenter i love how you are composed and give your interviewee time to xplain.
MIllard hii inageuka kuwa moja kati ya interview bora kabisa kuwahi kufanywa na wewe, Si kwa sababu wewe ni presenter bora lakini kwa sababu ya uwezo binafsi wa kujieleza wa Marioo. In this interview you had a total relaxation since the guy knew how to tell the tale. Natamani ningemshauri kitu lakini kwakuwa sina ukaribu nae basi please only share the remaining part of this interview
True
Kma unafatilia hizi online Tv na interviews zao, this interview ina best techniques Millard anauliza na anasikiliza na anazalisha swali zuri sana
Mungu akufanyie wepesi .pole sana.
Kama naww umelelewa na mama to gonga like apa
The guy is humble na kwenye suala la mkorogo sidhani kama anatumia ila ni kwamba ana chunusi zinazomsumbua na karibia dawa zote za chunusi huwa zinang'arisha ili kutoa makovu
Ukosawa maranyingi dawa zakuondoa chunusi hua zina ng'arisha
Mars Genesis nikweri sikupingi
Kw
Hizi chunusi hataree
Aki watu wabaya kumsema marioo vibaya,leo ndio nawatch hii interview but uso kuharibika Ni kawaida si must iwe mikorogo tu,alisema ajawai tumia mikorogo Mimi namuamuni wale wa kusema waseme tu,
Daaaah ama kweli no sweet without sweat## mungu mubarike MARIOO## mungu mubarik Millard ayoo
Brother Marioo, Mimi shabiki wako Sana kutoka Kenya. Wimbo wako wa inatosha uko juu saaana
Tutambuane kwetunimombasa likoni
@@azizaramadhan9177 hy
Uber ni producer mzuri Sanaa ametoa wengi Sanaa na beat zake nzur congratulations mburahat wanatoa watu wengii maarufu ad na queen video marioo we ni msaniii Bora mnooo na utafika mbali ata Kama unaimba kiswahili akija msaniii was nje we imba kiswahil na kinasikilizwaa kokotee watu tunapenda nyimbo za kikorea tukitzama tamthilia zao na wao wasioolewa watapenda tuu songesha,na kufeli shule sio kufel maisha mie nmesoma ad chuo lkn. Natgmea biashara kwa Sasa sjawah kukata tamaa kwnye kutafta much love#Mario
Hii ni interview ya kwanza naiona kwa Millard ambayo kimsingi Millard hana kaz kubwa 😁😃, Marioo anajieleza vzr sana...he's 4 real..
Saana yaan anampa nafasi ya kuongea
Mario wewe nikijana watofauti sana mungu akupe Kila hitaji lamoyo wako ufike unapo pataka Amina🙏
Baba yangu aliashaniambia usitegemee ndugu yako yoyote kukusaidia mwanao ktk maisha
Mchizi kanikumbusha mbali saana enzi nasoma halafu mimi ndoo fundi wa shule na kukarabati matlanga ya wanafunzi wenzangu
Ni kweli
Marioo kiboko nampenda mpaka naumwa love you 😘
Kwahiyo Mimi au basi😂😂😂😂🤓🤓
Hongera Marioo umepambana sana👏👏👏
Hongera sana Dogo marioo napenda sana kazi zako Dogo unafanya vizuri,kaza boti cha mhimu wapenda washabiki wote wabaya na wazuri
Duh! Pole sana mdg Wang, kaza buti mafanikio utayaona in shaa Allah
Wamama tuna pitia mengi kwenye kulea, mungu atufanyie wepesi
Amin
i have being waiting this interview for so long
Unajua kujieleza marioo...Mungu akupeleke viwango vingine zaidi
tuanapenda Sana kazi zako,ila kama unatumia mkorogo acha kabisa
Haaaahaaaa
hahahaha kweli kabisa umenuna dada
Monica Julius mbona mpaka mwilini mweupe muone mikono
no nahisi iyo ni skin condition(matatizo ya ngozi}
Monica Julius HAO wanatumia sikrabu
Love you so much marioo unasautinziri Masha Allah bless nakukubali mno pigakazi brother ❤️💯
Aki his so humble
You can read he has a ver good personality honest guy
You can say that again my dear, more than a hamble
Km na wewe una tamani Interview indele km mm ninvyo taman gonga like hapa...
Story yako ya upande wa baba tunafanana Ila usikate tamaa unafanya mziki mzr nakukubali sana Mungu akupemaisha malefu💪💪💪❤❤❤❤❤
Msanii wangu Bora 2021 ..
He is real dil in town ..
Kaza mdogo wangu wa shule moja kijiji kimoja acha tu umenikumbusha mbali Sana kibiti moja ndo home
Huyu ndo msanii bora 2019 kwa maoni yangu
Mond
A Very Talented humbleGuy
🎤#Mario👑🎶 kp it up jooh..🔝
Mario
Aki watu hutoka mbali for real...God has good plan for you Marioo
Saidah licious kwel umenena
Marioo💪💪💪💪 nakukubali sana nataman siku tukutane nikupe kitu💥💥💥💥👊👊👊👊🤔
Daaa! Marioo hatimae ndoto yako ilitimia 🔥🔥🔥
Allahmdhulilah🤲
big up marioo mwanzo mgumu ndio km hv so ebu Fanya kitu na Nandy
🙏🙏
Touching story 😢😢but we love you 💕
Marioo kiboko top 20 ameishusha hata kadogo ya kiba.saiz anatamba na wauwe ndio namb moja top 20 😂😂😂😂
Inshallah nakuombea kakangu utafika mbali inshallah nq ushafika mbali pia mie shabiki wako wanguvu Ilee nyimbo yako inatosha Masha Allah 💃💗
Me nakukubali marioo
Kama unamkubal mariooo dondxha like hapa🔥🔥🔥
Ndo inavyo takiwa,katika kupambana, maisha ndo yalivyo, big up ni story ya ukweli kibongo. Good.
Rea life ya vijana wengi wa kibongo
Ata mimi nmeishi maisha ya msoto sana
Apo kwenye kuskilizana kanikumbusha mbali sanah
Dah! Yan lifestyles ya Maisha ya baba ako iko sawa kabsa na ya mzee Wang, japo mm wadogo zake yan baba wadogo zangu wamenpga kampan sana
Hongera Marioo
Millard ayo mtangazaji mzuri sana unajua kuhoji vzr 🙌🏿👏🏿
Daah maisha haya Marioo hajui CPU hahahahaha natania he is so humble nachelea kusema Dogo huyo ataichukua bongoflavor
Michael Bwoma central procesing unit
Marioo ni fundi wa muziki sana yaani akiimba anatulia sana
Dah! Baba ako kafariki Mwaka mmoja na wangu! R.I.P baba
Sad deathday
Namkubali sanaaa marioooo 💖💖💖💖💖
maisha ya mafanikio huwa yana safari ndefu sana
Daah jamani tuangalie na aina ya vitu tunavyopaka usoni kama umemwona marioooo kwa uso sey yeeeeeh!!!
Haha
Unafanya vizur sana marioo love u
Msanii bora wa mwaka hapa Bongo. Ana ngoma Kali so kitotoooo
Nmpendaa snaa yaan wee n motoo
dah nimeipnda story yako broda marioo ur fire since day one
Never gave up ... Mungu akikupa nafas onesha juhudi .. Ukiwa star usiwe kiburi maisha hayana wenyewe
Kujieleza ni shida wewe
Nampenda sana marioo😢😢😢😢😢
Aiseee mungu nimwema sana hongera marioo
Part two iko wap ayo tv
Nampenda tu Millard uulizaji wake Wa maswali anakuuliza halafu anakuacha ujielezee Wengine Hata hujaelezea vizuri kashakuuliza lingine Hata hujamaliza lingine wanambwembwe nyingi Kama wauza kahawa ila Millard yuko vizuri
Eeeh birthday ya Marioo inaendana na ya mwanangu Ashraf🙌🙌🙌big up sanaaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kama unapenda wimbo inatosha wa marioo gonga like hapa tumsupport👇
Mario best artist all tyms nice interview
Keep it up... U made it... Inatoooshaaaaa... Bonge la kaziii #marioo
Kumbe wandenge tupo wengi
💪💪
Big up millardayo bonge la interview tupachikie ya mwisho wake
Nc
Daaah nmepend xn hii interview, post part two bac Millard
Komaa tyyu brother kutoboa kupo
La msingi sana Marioo ajielimishe, pia ajaribu kutengeneza njia nyepesi kwa wanaochipukia kuepuka vikwazo alivyopitia yeye. Keep it up
Anaongea kwa hekima Sana nime penda 💯❤️
For the past two weeks, I have been teaching and sharpening Omary's English here in Rosebank, Johannesburg - South Africa. He has a very good power of reasoning, a surperb capacity, flexible to cooperate with and he's a quicker Learner.
Mziki mzuri sana anafanya dg!!!
😀😀 eti sauti ya nandy nilitamba nayo,ila Nampenda Sana huyo Kaka yupo real
Bonge LA interview big up marioo
Shilawadu wametoa sapoti sana aisee...I wish afikie level ya akina dai
Jaman acheni kumlaumu anajieleza sanaa.. C kila mtu kaubwa kujua sanaa anajifunza pia .bora anajieleza angesema no cment si balaa lingne loop na kwenye ukweli uongo hujitenga yanii namaanisha uso unaonyesh ada anaijua ila hawez kiri kam hakupenda shule kam alivyoyapenda na kwasababu maisha ya mtaa.. WA baba kweny familia (mnatutesea watoto sanaa) mie nimeteseka pia... Na kam anajichubua umri jamanii jamanii ataacha mbna mondi kapta kweny mkorogo na wengne Kibaoo... Jiachie baba jielezee jimwae mwae na iyo inayokuja Millard mpnz uckatee kate
Irene Sluiter aisee dada unaongea kinomaa!!
aisee wee nomaaa
@@derrickthedon91 Fà3dt
💞💖💓💄👒
I hope there is part two. This interview is really good.
watu wanahustle 4real
He is very intelligent.
Umetoka mbali bro enzi hzo ulikua rafiki yangu arafu ukawa ni mdogo sanaa
Sanaaaaaa nakubari sana uwimbaji wako keep it up
Very nice interview big Ayo good job, Marioo very inspiring ma Main
Marioo napenda nyimbo zako uko vizuri sana
duh..kusoma kwako kwa fanana na kwangu sema mwenzio nlibahtika nikamaliza 4th form..yaani .nilihama hama kuhamishwa..mara napelekwa nkaishi kwa familia zengine nkifika wasema hatujui
good bro
Marioo napenda sana nyimbo zake ..Yuko on top sana mm nipo Kenya
Nyimbo zake zote Niko nazo ...pia nafuatilia sana...nampenda sana haswa sauti yake anapoimba
Interview imetulia 👊🏿
Nampenda Marioo baba ake alikua hamjali kimaisha lkn hawaongelei vbaya sna km nanihino majina tunawahifadh😂
Nakukubali sana marioo zaidi ya sana kwanza unajua kutoa story ikaeleweka
waoohhh..Really..nimehakikisha interview yote naisikiliza..Marioo kwel Uko na kipaji na Mungu akufanyie njia maana upo vizur sana
Mario we ni Mnyama moja Mdogo sana lakin kumbe watu hawajui tu kumbe MTU moja MKUBWA sana zaid y sana yan MTU MKUBWA San ila we MTU mzito sana katka mziki t nakupisha m man nakukubali xan
Marioo is a genius of bongo flavour
Nandy aaaaah ebwana nouma nimeipenda
Uko vizuri. Bibi yako kakutendea haki, unamkumbuka?
Unapambana broh!! Kipindi uko mtaani tulionana sana ...kazaaa blood
hongera sana dogo mungu akusimamie ufkie malengo yako
From +254 penda xana kijana angu mariiooo,,dar pagumu,,chibonge,,na ringtone YANGU ya kila Sikh inatosha,,ila wapi video ya iii ngoma inatosha broo,,
Ipo ingia RUclips
Mndengeleko maneno mengi😅
Hizo microphone unazotumia zimekaa vizuri za kijanja,, sio unaweka mike unafikiri skaveta linamzima mpaka mzungumzaji
Hahahaaaaaaa
😂😂😂😂
Unaanza kujiharibu kujikoboa uso unaharibika
Unaongea vizuri sana yana kiume..
Millard ayo hii interview inabidi iendelee