Napatwa majonzi sana nikiickia kauli hii. Wawakilishi hawakuelewa dhamira ya wana Mtwara. Wana Mtwara walikua wanataka gesi ichakatwe Mtwara ili viwanda vinavyotumia makapi yatokanayo na gesi kutengeneza plastic na vinginevyo vijengwe Mtwara. Sangara wa Mwanza wanasindikwa mwanza, Zabibu ya Dodoma inatengenezwa vinywaji Dodoma, Madima yaliko uchenjuaji unafanyika huko huko, na nakadhalika. Shida ilikua kwa nn gesi isichakatwe Mtwara?.
Mzee wa Msoga tutakukumbuka kwa mengi ila umeondoka madarakani umeacha jembe JPM
Nakiona Kichwa Mzee Magu Enzi Zake.
Nimekiona Chuma kipo pembeni hapo. 😁
Hahahahahahaaaaaaaa
Mzee wa ukiambiwa changanya za kwako, mawazo hayapigwi rungu, tumezimis busara zako
Mzee pumzika uliko mungu akuongezee siku
Kwel kabsa mzee
Tanzania ni wamoja, tusibaguane jamani. Kikwete tutakukumbuka kwa maneno yako ya busara.
Napatwa majonzi sana nikiickia kauli hii. Wawakilishi hawakuelewa dhamira ya wana Mtwara. Wana Mtwara walikua wanataka gesi ichakatwe Mtwara ili viwanda vinavyotumia makapi yatokanayo na gesi kutengeneza plastic na vinginevyo vijengwe Mtwara. Sangara wa Mwanza wanasindikwa mwanza, Zabibu ya Dodoma inatengenezwa vinywaji Dodoma, Madima yaliko uchenjuaji unafanyika huko huko, na nakadhalika. Shida ilikua kwa nn gesi isichakatwe Mtwara?.
Good mzee
Nimekumic Sana
Akili kubwa
Mhhh wa ukweli
Tanzania ni moja, watuwao ni wamoja, tusianze kubaguana jamani.
Hoja haipigwi rungu
Duuh mzee
Millardayo nitumieni namba zenu za mawasiliano.
iyi nch naishangaa reo mzuri wakati yupo madarakani mnamponda
Hizi hotoba tumezimis cana
Waandamane na sasa waone,😳😲😳😲😳
Tatizo mikataba ya hovyo
Huyu hakua Rais Bali alikua mpiga madili
Sasa ni ubabe tu
Ulikula batasa sana mzeee ,MAGUFULI JEMBE LAKAZI.
@@bashiraally6459 si akalime huko chato kama jembe
@@@waynealex2491 Akili huna na wewe lol
Mzee pumzika uliko mungu akuongezee siku