TAMKO la Rais Jakaya Kikwete Kuhusu Vurugu Za MTWARA, MEI 22, 2013

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 май 2014

Комментарии • 27

  • @magesamatiku7364
    @magesamatiku7364 4 года назад +19

    Mzee wa Msoga tutakukumbuka kwa mengi ila umeondoka madarakani umeacha jembe JPM

  • @geofreymhando3702
    @geofreymhando3702 4 года назад +11

    Nakiona Kichwa Mzee Magu Enzi Zake.

  • @kelvinjohn6851
    @kelvinjohn6851 4 года назад +10

    Nimekiona Chuma kipo pembeni hapo. 😁

  • @ndundahr.6367
    @ndundahr.6367 4 года назад +7

    Mzee wa ukiambiwa changanya za kwako, mawazo hayapigwi rungu, tumezimis busara zako

  • @abunwasihuruma3207
    @abunwasihuruma3207 4 года назад +3

    Mzee pumzika uliko mungu akuongezee siku

  • @alexiganja7938
    @alexiganja7938 4 года назад +3

    Kwel kabsa mzee

  • @adammillanzi6087
    @adammillanzi6087 4 года назад +3

    Tanzania ni wamoja, tusibaguane jamani. Kikwete tutakukumbuka kwa maneno yako ya busara.

  • @mahupaabdul1455
    @mahupaabdul1455 3 года назад +2

    Napatwa majonzi sana nikiickia kauli hii. Wawakilishi hawakuelewa dhamira ya wana Mtwara. Wana Mtwara walikua wanataka gesi ichakatwe Mtwara ili viwanda vinavyotumia makapi yatokanayo na gesi kutengeneza plastic na vinginevyo vijengwe Mtwara. Sangara wa Mwanza wanasindikwa mwanza, Zabibu ya Dodoma inatengenezwa vinywaji Dodoma, Madima yaliko uchenjuaji unafanyika huko huko, na nakadhalika. Shida ilikua kwa nn gesi isichakatwe Mtwara?.

  • @husseinkatuga414
    @husseinkatuga414 4 года назад

    Good mzee

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin6829 4 года назад

    Nimekumic Sana

  • @ELLYSTVONLINE
    @ELLYSTVONLINE 4 года назад +2

    Akili kubwa

  • @stevenrobert6584
    @stevenrobert6584 4 года назад +2

    Mhhh wa ukweli

  • @adammillanzi6087
    @adammillanzi6087 4 года назад

    Tanzania ni moja, watuwao ni wamoja, tusianze kubaguana jamani.

  • @dastansimpanzye5558
    @dastansimpanzye5558 4 года назад +1

    Hoja haipigwi rungu

  • @patrickmadiwa3845
    @patrickmadiwa3845 4 года назад

    Duuh mzee

  • @kiharamjema2393
    @kiharamjema2393 4 года назад

    Millardayo nitumieni namba zenu za mawasiliano.

  • @eliasmitoga3831
    @eliasmitoga3831 3 года назад

    iyi nch naishangaa reo mzuri wakati yupo madarakani mnamponda

  • @fulgencejoachimpamojababa6612
    @fulgencejoachimpamojababa6612 4 года назад +1

    Hizi hotoba tumezimis cana

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 4 года назад

    Waandamane na sasa waone,😳😲😳😲😳

  • @leonardbundala
    @leonardbundala 11 месяцев назад

    Tatizo mikataba ya hovyo

  • @jacklinegabriel8093
    @jacklinegabriel8093 2 года назад

    Huyu hakua Rais Bali alikua mpiga madili

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin6829 4 года назад +1

    Sasa ni ubabe tu

    • @bashiraally6459
      @bashiraally6459 4 года назад

      Ulikula batasa sana mzeee ,MAGUFULI JEMBE LAKAZI.

    • @waynealex2491
      @waynealex2491 4 года назад

      @@bashiraally6459 si akalime huko chato kama jembe

    • @mariammussa2540
      @mariammussa2540 4 года назад

      @@@waynealex2491 Akili huna na wewe lol

  • @abunwasihuruma3207
    @abunwasihuruma3207 4 года назад +2

    Mzee pumzika uliko mungu akuongezee siku