RAIS DKT. SAMIA AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA LAELA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akizungumza na Wananchi wa Laela Rukwa ikiwa ni sehemu ya Ziara yake Mkoani Rukwa leo tarehe 17 Julai, 2024.

Комментарии • 5

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Месяц назад +2

    Mwenyezi Mungu ibarik Tanzania, Mwenyezi Mungu mbarik Rais wetu na Viongozi wetu wote , Pole pole ndio mwendi sahihi wa kufika Kwa haraka sehem unayotaka kufika

  • @fatumapedersen193
    @fatumapedersen193 Месяц назад

    Mungu hakubarikie sana na Mungu ibariki Tanzania na viongozi wote. Mungu hatakusaidia na kulinde sana mama.

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Месяц назад

    Wee Bi Samia binti yake na Suluhu Mungu akulinde na kukupatia hekima..barikiwa na Bwana Yesu

  • @Yuzzlehussle
    @Yuzzlehussle Месяц назад +2

    Nani kama mama ❤