NAPE ATINGA IKULU/AMUOMBA MSAMAHA RAIS MAGUFULI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amekutana na kumuomba radhi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kufuatia kuhusika kwake katika mazungumzo yasiyofaa dhidi ya Mhe. Rais Magufuli.

Комментарии • 55