RAIS DKT. SAMIA ANAZUNGUMZA NA MACHIFU CHAMWINO IKULU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Anazungumza na Machifu Chamwino Ikulu Dodoma leo tarehe 20 Julai, 2024.

Комментарии • 6

  • @EliaoniTerry
    @EliaoniTerry 2 месяца назад +2

    Kama kweli nyie ni machifu na mnajua machifu waliotangulia mbele za haki walipigania nini... Mwambieni chifu HANGAYA kuuza au kukabidhi Ardhi ya Tanganyika kwa wageni ni kosa lisilosameheka.. Atunze na kulinda raslimali za Tanganyika. Vinginevyo nanyi mtaingie kwenye hukumu na machifu waliowatangulia watainuka.

  • @FatumaLali-k7z
    @FatumaLali-k7z 2 месяца назад

    Mimi shida yangu ni kumuona Rais nitapataje fulsa hiyo?

  • @elishamaginya6827
    @elishamaginya6827 2 месяца назад

    Mmmmmmm

  • @ZawadyKaoneka
    @ZawadyKaoneka Месяц назад

    Chifu??chifu qiyo!! Kwiyo?

  • @salmanmagwe2612
    @salmanmagwe2612 2 месяца назад

    MUHESHIMIWA RAIS UMEONGEA KITU MUHIMU MNO LA WAFUGAJI,HAWA NI WAHARIBIFU MNO NA NI VEMA SERIKALI IKAZIREJEA TENA SHERIA ZA UFUGAJI NA KUHAMA HAMA,WEKENI MIPAKA YA MAPORI YA SERIKALI ILI WASIWEZE KUYAVAMIA

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 2 месяца назад

    Nape anaporopoka wewe unakas kimys vipi machifu wao.unawataka waseme.!!
    Wizi wa kura kwako harari????