Kama kweli nyie ni machifu na mnajua machifu waliotangulia mbele za haki walipigania nini... Mwambieni chifu HANGAYA kuuza au kukabidhi Ardhi ya Tanganyika kwa wageni ni kosa lisilosameheka.. Atunze na kulinda raslimali za Tanganyika. Vinginevyo nanyi mtaingie kwenye hukumu na machifu waliowatangulia watainuka.
MUHESHIMIWA RAIS UMEONGEA KITU MUHIMU MNO LA WAFUGAJI,HAWA NI WAHARIBIFU MNO NA NI VEMA SERIKALI IKAZIREJEA TENA SHERIA ZA UFUGAJI NA KUHAMA HAMA,WEKENI MIPAKA YA MAPORI YA SERIKALI ILI WASIWEZE KUYAVAMIA
Kama kweli nyie ni machifu na mnajua machifu waliotangulia mbele za haki walipigania nini... Mwambieni chifu HANGAYA kuuza au kukabidhi Ardhi ya Tanganyika kwa wageni ni kosa lisilosameheka.. Atunze na kulinda raslimali za Tanganyika. Vinginevyo nanyi mtaingie kwenye hukumu na machifu waliowatangulia watainuka.
Mimi shida yangu ni kumuona Rais nitapataje fulsa hiyo?
Mmmmmmm
Chifu??chifu qiyo!! Kwiyo?
MUHESHIMIWA RAIS UMEONGEA KITU MUHIMU MNO LA WAFUGAJI,HAWA NI WAHARIBIFU MNO NA NI VEMA SERIKALI IKAZIREJEA TENA SHERIA ZA UFUGAJI NA KUHAMA HAMA,WEKENI MIPAKA YA MAPORI YA SERIKALI ILI WASIWEZE KUYAVAMIA
Nape anaporopoka wewe unakas kimys vipi machifu wao.unawataka waseme.!!
Wizi wa kura kwako harari????