Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
HTML-код
- Опубликовано: 16 фев 2018
- Jifunze tabia 10 za mafanikio katika somo hili muhimu:
.
Tuandikie kile ulichojifunza kwenye comments, gonga “LIKE” pamoja na “ku-share” link ya somo hili kwa wengine. Asante
.
KUWA MZUNGUMZAJI MAHIRI KWA KOZI HII:👇🏼
Boresha uwezo wako sasa wa kuzungumza na utengeneze njia za kuingiza kipato zaidi. Nunua kozi ya “Speaking Skills Course”
Kwa bei ya punguzo ya 20,000 TZS tu!
👇🏼👇🏼
Tuma neno “KOZI” au “COURSE” kwenye whatsapp: 0759-19-10-76
Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
.
NUNUA VITABU:
Nunua kitabu kitakacho kusaidia kukua na kujiongezea thamani.
Kupata orodha ya vitabu tuma neno: “KITABU” au “VITABU”
kwa WhatsApp namba: 0759-19-10-76
Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
.
KOZI YA RUclips CHANNEL MASTERY (BURE):
Ichukue hapa: / @youtubepesa255
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Media Personnel & An Entrepreneur
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ ezden_voiceover
.
KWA MATANGAZO NA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri la video na sauti
Tuwasiliane:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
Mafanikio, Malengo, Kujitambua, Nidhamu, Kujiamini, Ubunifu, Uwezo, Uongozi, Mipango, Kuhamasisha, Kujiboresha, Ukuaji binafsi, Ushawishi, Uhusiano, Afya ya akili, Afya ya kimwili, Ustadi wa maisha, Falsafa ya maisha, Mafanikio ya kifedha, Biashara, Ujasiriamali, Uwekezaji, Elimu mtandaoni, Mafunzo, Kocha wa maisha, Mzungumzaji wa motisha, kitabu, vitabu, Kiswahili, Tanzania, Ezden Jumanne, Success Path Network, pesa, chaneli ya elimu, mwalimu wa mafanikio, njia za mafanikio, utajiri,
.
#Tabia #Za #Mafanikio
I'm a man of confession first time when I came across your videos I tend to ignore them but today I made a decision to watch them I'm very inspired with your contents. Thank you for sharing such educative information may God bless you and keep on touching many souls
I really appreciate to read this my brother. Stay blessed
❤😅😅😅😅😅
Waliomuelewa bro ..gonga likes za kutosha
Xafi
Yeap nampata Broo knouma
@@lightnessjoseph4970 good sn
Asante kwa somo lako ijapo Mimi ni mzee wa miaka 70 kesho naanza kufuatilia NIMELIELEWA nimelipenda.
Nashukuru sana mzee wangu...karinbu sana!
Mazungumzo y leo yamenipa moyo wa kuanzisha biashara mpya Shukran jazaa yako kwa Allah
Nikweli kabisa bother
keep going
Kuna vitu umenigusa sana asante sana kaka mungu akupe umri mrefu furaha na afya utuelimishe zaidi
Mwenyezi Mungu akubariki Ahsantee sana
Ameen Yahya Abdallah, dua njema iwe kwetu sote. Be blessed!
braza upo vzur, aah nimechelewa kukufahamu but ukopoa sana braza nimependa mambo yako
nitaifuatilia hii sanaah sanaah
I love u broo mungu akuzidishiw
y I'm so late to gat u broooo.... uuuuuh iv change change a lot ov tings in to ma lyfe through this channel...... bug up broder ....I appriciat each and everything from ur factl SMS..... 100%
asante kaka
Dahh brother azden god bless nakuelewa sanaa
Hongera sana kwa taaluma nzuri sana.
Napenda kuchangia zaidi katika hili la kusaidia wengine
Katika Quran takatifu Allah anasema kwamba "chochte mtakacho kitoa katika njia ya kheri basi Allah atakupa mbadala wake" katika kanuni ya uisilamu kupitia kwa hadithi za bwana mtume kiwango kidogo kabisa anacho kipata mtu anayetoa kwa misaada ya kheri ni Moja kwa kumi na inaweza kufikia hata Moja kwa mia saba kulingana na nia na ikhlasi ya mtowaji. Katika Que an takatifu Allah mtukufu anasema kwamba: "mfano wa wale wanaotoa mali zao katika njia ya Allah ni mfano wa tembe Moja ya nafaka iliyootesha mashuke saba, Kila shuke moja likatoa tembe mia Moja za nafaka na Allah humuogrza amtakae -. Kutokana nia na ikhlasi yake - na Allah ni mwenye wasaa mkubwa zaidi na ni mjuzi sana.
Kiufupi Mimi tangu kusoma maandiko haya na mengine ya mfano wake nimeifuata sana kanuni ya kutoa na kusaidia, na mafanikio makubwa sana nimekuwa nikiyapata Kila uchao.
Asante Edzen kwa kutukumbusha mambo muhimu sana katika kuyafikia mafanikio.
Mungu azidi kukubariki sana ili uzidi kutuelimisha zaidi na zaidi.
daaah Broo umanifungua ubango mzee big up kaka
Very nice work Allah help you for All thing good
Ezden, you are Excellent, I think I like you naomba uwe menthor wangu
Dah nimekuelewa sana baba...yaan nahisi kuwa katika dunia nyingine...Asante Ezden
Sawa bro nimekuelewa sana zaidi ya sana asante kwa somo nzuri nimejifunza mengi sana kwanye hii tabia 10 za watu waliofanikiwa
Good sana brother nakuku bari sana kitambo sanaa nakufatilia
Kaka azden somo nzuri sana nitafanyi kazi barikiwa ukipata kitu kingine kizuri tujuze tuelimike zaidi.
I wanna say big up brother EZDEN JUMANNE you tell us a truth moment and teach me many thing am sure your the one for this category. And I just care for those moments you taught us. God bless yo
Ni fikra nzuri sana kwa kweli na kama mtu unazitekeleza lazima maisha yako yabadilike tu.
Thanks bro. Stay blessed.
Big up sana broo
Upo vizur Sana nami nimejifunza mengi Sana ambayo sikuyajua naamini Kwa kupitia hiki kipindi cha somo lako nitafanya vyema Zaid insha'Allah Kwa uwezo wa Allah balikiwa Sana kaka Allah akupe umri Zaid uzid kutujuza mengi Amin ya'allab
Nimekupata vizuri kuhusu tabia kumi za mafanikio ila sijaona maombi katika tabia hizo kumi ni lazima ushukuru Mungu kwa hatua unayosonga mbele Big up songa mbele..!!!
Maombi ni lazima kwa mwanadam hata asiposema.tumeumbwa kwaajili ya kuabudu
Vizuri broo inapendeza
Wazo zuri kwa kuwa kuwatia watu moyo ila ufupishe utangulizi na mlio wa kinanda uwe chini ili tupate kisikia yale ya msingi zaidi japo si mbay ukiutoa.big up sana bro.Ezden
aisee bro kila ulichosema n ukwl kbx thnk bro 👏👏👏
This is very great, Ezden. God bless you more n more.
Vizuri sana hi vidéos yako nizuri sana kila anae yisikiliza nakuzingatia maneno haya nakufuatisha hizi posté zako vizuri lazima ufanikiwe tuu
Habari kaka Ezden, asante sana kwa mafunzo yako mazuri. Naomba upate muda uongelee Topic Hii; NAMNA YA KUJIAMINI (HOW TO BE CONFIDENT)
ASANTE.
Hoja ya kujiamini ameizungumza ktk dk. ya 20_22.
shukrani sana my dear kwa elimu unayoitoa
Bro. i salute you unaongoea kwa kutoka moyoni i may God bless you.
Nimeipenda inafundisha maisha, Allah akuweke utujuze zaidi.Inshaallah
I appreciate you my brother, its very clearer and comprehensible
a very good message and content. Nashauri uboreshe jinsi ya kupresent maana usela mwingi (thugs).I am sure your smart. I HAVE SUBSCRIBED
Safi broo
That's nice bro yaani kwa upande wangu nimejifunza kitu kikubwa sana Mungu akubariki big up
Be blessed bro...nakuelewa
Allah akulipe kwa hili
Amiin. Dua njema iwe kwetu sote
Shukurani kubwa zaidi Kaka Allah azidi kuinuwa kipaji cenu nakuwafungulia mlango ya kheri na barqa
Pamoja vro
Unaongea ni kweli 💯for real thanks 🙏
Hi ezden thax so much for these inspirational speech.have got a lot to learn be bleesed
Brother uko vizuri Sana zidi fanya hivo usipo lipwa hapa utalipwa mbinguni
Big up bro nakukubal San ur world changer
Daaaahhh!!, Bro, Bro Umenipa Mwanga mkubwa sanaaaaa,.. I should love you Bro
Kazi nzuri sana kaka Naipenda elimu yako. Elimu yko inaguza watu wengi sana haswa sisi wanarika👏👍
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
Nine learn sana. Ndio mara yangu ya kwanza hapa.Asante.
asante kaka mungu akubaliki unatusaidia ata tuliokuwa hatujui kama nini tunakosea katka maisha yetu naamin naenda kufanikiwa
I don't know why I'm late to get you daghhhhhhhhhh you just inspired me100% thank's a lot 🙏🙏🙏🙏🙏
Thank you, I was in a point where I had to listen to this. God Bless you.
Powerful lessons.
Great speaker
Kaka Allah akuzidishie hekima ulionayo nabusara unaongea kiusitarabu naunaeleweka MashaAllah tabarakallah
Vipindi vyako ni vizuri vinaelimisha.
2.Jitahidi kutumia maneno ya kiswahili zaidi
3.poiti yako ya 10 ni sawia na mawazo ya mwandishi wa kitabu Cha How to get whatever you want. Lakini ni sambamba na mantiki ya sadaka.
Yote kwa yote ni ubunifu mzuri na kazi ni nzuri, ongeza utulivu.
Umesikika...karibu!
UBARIKIWE SANA NDUGU YANGU
NIMEFURASANA NA MAFUNDISHO YAKO HASA KUSAIDIA WENGINE.
Good presentation👍👍👍
Nimepata kitu.hongera sana
Aiseee much respect bro, coz vijana tulio wengi hatukua na idei hio, blesed~
Blogs kama hizi mimi nazipenda sana zinanipa muamko kiasi kazi nzuri
Namshukuru Mungu katika Kristo Yesu aliye nikutanisha na wewe kipitia masomo yako haya hapa. Nileo tu ndo nimekuona na nimeona kiu zaidi kukufuatilia na umeongea mambo mengi ambayo yamegusa ukweli mwingi niliokwisha kuusikia na kuambiwa binafsi.
Zidi kubarikiwa na kuzidi kuwa baraka kwa wengine
❤
Thanks bro nimejufunza kitu god bleess you
Kaka nashukulu sana kwa elimu yako najuta aya kwa nn sijakujuwa mapema
Shukran bro ALLAH bless you
Hakika bro Edzen we siyo MTU wa blaa blaa, ni content tu kila unapojitokeza!!!
Nakuelewa sana, na unanitoa upofu mwingi sana katika maisha!
Asantee kwa ushauri Mungu akujalie afya njema na moyo wakujitolea zaidi kusaidia wengine kupitia maarifa Yako
Amiin... nashukuru sana
safi sana brother ubarikiwe kwa fact zako by Dash combo
thanks bro
safi bro
big up broo. you deserve it and keep it up as well.
Noted!
Good. Tangu mwaka. Jana mwaka huu ndo ni mecoment lakini nimefanikiwa sana kwa harakati zako.broo!
Thanks for teaching us yhu make ma life different when am listening yhur view be blessed💪💪
minaomba upunguze sound recording yako maanasautiyako inakuachin yaredio inakuwajuu, inakuwa hatukusikii
Napenda kusoma vitabu tofauti ila vingi vinakuwa vya kingereza
Good job broo
Shukran bro,
Nakukubali Sana Kaka good idea.
By King Ally from mahembe kigoma.
MashaAllah uko vizuri na MMungu azidi kukuinua Amiin
Aamiin allahumma aamin Salmina. Asante
nashukuru sana kwa elimu yako japo mimi kazi yangu ni ulinzi sasa sijui swala la kupumzika mapema na kuamka mapema inanipa shida kidogo
Karibu utazame video yangu Mpya, click hapa ruclips.net/video/1FZql56s-io/видео.html pia Usiache kuniambia mawazo yako kwenye comments. Like and share. Pia ungependa topic gani niongelee. Asante
Kweli
Waooooo nice bro
Nimefaidika kwa uwepo wako...shukran zaid
Background music ina interrupt mindset kukusikiliza vizuri, but you really doing or speaking good points
your massege is so helpful that makes me improve my motion change to my success.
Nimekuelewa kwenye kuhairisha mambo thanks 😊
From mbagala
kiukweli Kitabo siwezi kukisoma Mimi ni muvivu tena najijuwa.ila kila ninaposikiliza maneno unoyosema huwa na jiona kumaliza kitabo kikubwa tena kizuri yanisichoki kujifunza na kujuwa bro Mungu akupe umri mrefu
zidii kutuongezeaa maarifaa brooo❤
Background music its realy annoying.. toa sauti ya instrumental background tafadhali
Thanks brother Mungu akubariki zaidi
Hongera sana, semina ni nzuri sana with good arrangement of points, i note a strong point of helping others, means if you want to receiving new ideas use the first one to helping others
So Good so Blessed brother,safi sana
Nakubaliana na nawe. Asante kwa maneno na ushauri mzuri sana
Karibu utazame video yangu mpya. Usiache kuniambia mawazo yako kwenye comments. Like and share. Pia ungependa topic gani niongelee. Asante
ruclips.net/video/1FZql56s-io/видео.html
Ezden-upo sawa thank you for knowledge
Background song iko kubwa sanaa bro nice lecture too
Asalam Alykum naomba utufundishe vp tuwe n nguvu za kuweka fedha. Mola akulipe kheri Amiin
Thank you so much brother, nimejifunza Mengi sana. Stay blessed bro.
Asante brother
Asante sana bro!nakufuatilia sana na nayaona mabadiliko,ubarikiwe sana!
asante sana umenipa ubunifu sana napenda sna kucheki vedeo zako
Hongera sana bro
Edzen brutha i got nothing to add or decrease bruh but just wanna thank you for ur advice and help to me and my lifestyle from now on I'll going trying to change and face a new lifestyle and without forgetting to share this to my friends and family...!!!
Thank you so Bro
And much appreciate of what u doin bro...!!!
You're welcome brother Isaac. The difference happens when we apply the knowledge we've acquired, so best of luck my brother.
asante ingest juhudi
Good brother, umesema ukweli katika mafanikio binafsi
Yeah nimekuelewa sana chief..🙏🙏🙏🙏
sure kusoma vitabu ni safi sana pia kutokata tamaa ni nzuri. kitabu kama the impossible is possible na imitation is limitation cha john mason viko poa.
Vipi icho kitabu nicha kiswahili au
@@reggyvallerin7460 I think it's English
More technical and inspiring