KIKWETE ‘AMKANA’ JPM, “SIKUKUAMBIA UMFUKUZE / ILIKUWA NI WAKATI WA KAMPENI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 май 2020
  • KIKWETE ‘AMKANA’ JPM, “SIKUKUAMBIA UMFUKUZE / ILIKUWA NI WAKATI WA KAMPENI"
    MHE. RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKIKABIDHI NDEGE AINA YA TAUSI KWA MAMA MARIA NYERERE MKE WA BABA WA TAIFA ,WAHESHIMIWA MARAIS WASTAAFU ALI HASSAN MWINYI, BENJAMIN MKAPA NA JAKAYA MRISHO KIKWETE IKULU YA CHAMWINO DODOMA.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 48

  • @hatiburamadhani9875
    @hatiburamadhani9875 4 года назад +50

    KIKWETE 'AMKANA' 'JPM' SIKUKUAMBIA UMFUKUZE /ILIKUWA.. kama na wewe umefungua hii video kwa kupenda kichwa cha habari tujuane kwa like

    • @mussaelia8693
      @mussaelia8693 4 года назад

      Haha

    • @mayungalugodisha883
      @mayungalugodisha883 3 года назад +1

      Nchi yetu imeharibika ghafla ukikumbuka tu mwaka Jana tulikuwa maraisi wetu had I wastaafu sasa Leo had jpm hayupo eee mungu inusuru nchi yetu

    • @aristidalaswai2782
      @aristidalaswai2782 3 года назад

      Hahahahha

  • @asiahaji5081
    @asiahaji5081 4 года назад +7

    Assalaamu alaikum. Labda Mimi ni wa kwanza! Nimeipenda hii clip

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 3 года назад +2

    Kikwete uongozi wake ulikuwa dhahifu sana. Waliokuwa wanakosea aliwahamisha na kuwapeleka kungine na kuhalibu zaidi. Aliiacha Tanzania hoi kwa watu wachache kuiteka.

  • @dastansimpanzye5558
    @dastansimpanzye5558 4 года назад +12

    Marais wetu wanapendana, umoja wetu watanzania udumu daima

  • @mudriqhamidu6031
    @mudriqhamidu6031 3 года назад +1

    Hyu mzeekweli ni mkwele ana mafunbo sn ukiingia kichwa kichwa unaweza usione ndani lkn hpo magufyli amepingwa fumbo kubwa t🤔🤔🙆‍♂️🙆‍♂️

  • @mancalist5527
    @mancalist5527 4 года назад +4

    aisee kama umetua kwa hii video kwa kichwa cha habari tujuane HAPA

  • @mwidausaid5701
    @mwidausaid5701 4 года назад +3

    Hahahahah Tausi wazur Sana wanataga mayai hamsini wanatotoa wawili hii tunaelewa sisi wenye akili timamu lakini mazwazwa hawaelewi wao ni kupongeza tyyyyyyyyy

  • @yusuphjafarijr7583
    @yusuphjafarijr7583 4 года назад +10

    Genius wangu Mimi Ni huyu jk

  • @amenyemwansile631
    @amenyemwansile631 4 года назад +7

    Hongera rais wangu mstaafu jakaya kikwete

  • @twalibumulwaza7625
    @twalibumulwaza7625 4 года назад +7

    Jk bado kabisa kuitwa mstaafu!
    Nguvu ya busara,akiri,mwili na ushawishi bado ni kubwa sana

  • @erickngatunga2359
    @erickngatunga2359 4 года назад +4

    kuna watu ni majasiri eti unatumwa na rais unasema keshokesho huyo kutumbuliwa ilikuwa halali kwake.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 года назад +2

    Hapa kikwete TU NDIO anaonekana anamafumbo , JPM ametuonyesha kuwa Tausi sio matasa , na Kama wangekuwa wanazaa toka siku nyingi nadhani tungekuwa na Tausi Kila nyumba ya waziri . Asante jpm . Haaa kumbe they hatches the eggs 😂😂😂😂

  • @kelvinyesaya3304
    @kelvinyesaya3304 3 года назад +2

    Namkubali magufuli tu hata iwaje💪💪💪💪

  • @patrobamaingumtwale6019
    @patrobamaingumtwale6019 4 года назад +2

    Kwani si wataalamu wapo mzee baba mbona rahisi tu kuwalea kama kuku tu

  • @duoxmasisa6529
    @duoxmasisa6529 4 года назад +2

    Shida hapo idadi aliyochukua yeye! ni ngapi?

  • @komboramathan8740
    @komboramathan8740 4 года назад +5

    Namkubalib xan kikwete yan xan

  • @jamesmukono4543
    @jamesmukono4543 4 года назад +1

    Safi sana

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 года назад +1

    Mayai 38 , kunakuuzwa , kuliwa au kuharibika ..... Yote kheri tunashukuru kwa kuwa trip hii yameleta kitu kzuri .

  • @mussaelia8693
    @mussaelia8693 4 года назад +1

    Njema sana

  • @BlurryfAce1554
    @BlurryfAce1554 3 года назад +1

    Uyuu kikwete sijui anamaanisha nini na mafumbo yake oyaa tuachee magufuri wetu tuna mpenda anatuletea maeendeleo yetu

  • @justingideon6285
    @justingideon6285 3 года назад +1

    Arsenals

  • @marianikodemu6069
    @marianikodemu6069 3 года назад

    Jaman

  • @anastaziamorce3389
    @anastaziamorce3389 4 года назад +1

    Amemkanaje sasa alimtumbua kwauzembe wake

  • @frankstarstz470
    @frankstarstz470 4 года назад +2

    Ilo fumbo lashule

  • @danielngonyani8346
    @danielngonyani8346 4 года назад +1

    Tunakukubari mugufur kwajitiada

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 года назад +2

    Hivi na Zanzibar wamepata mgawo wa tausi?

  • @semhineshauri3410
    @semhineshauri3410 3 года назад

    Jizi hilo

  • @daudyesseobedi7952
    @daudyesseobedi7952 4 года назад +1

    Fumbo

  • @pitargamba9208
    @pitargamba9208 3 года назад

    Mzee wa lakishari vicheko kila sehemu. Tuone kama utakuja Cheka jenezani

  • @lameckmichaelmagazi6345
    @lameckmichaelmagazi6345 4 года назад +4

    AAA hufaiwewe inchi ulii eba vibaya, jpm ndokiboko

  • @mercykileo7987
    @mercykileo7987 3 года назад

    kuna wivu kidogo hapa.

  • @ishaumazoea6644
    @ishaumazoea6644 3 года назад

    Sikuelewa hata kidogo

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja1762 3 года назад

    Mmh, skapend

  • @asiahaji5081
    @asiahaji5081 4 года назад +5

    Mzee Kikwete kwa mafumbo!! Mmmh..wewe acha tuuu

  • @semhineshauri3410
    @semhineshauri3410 3 года назад

    Pa pa pa 3 za kichwa mwizi tu wewe

  • @linerkiwale3858
    @linerkiwale3858 4 года назад +1

    Lkn mbona km Rais Magufuli hakusema aliambiwa amfukuze huyo msukuma ,, ila amesema aliambiwa kuwa kuna msukuma mwenzie ndio anayewatunza na hawatoi vifaranga kwa wingi ,,hvo yeye kwa tafakari yke akaona amfukuze , nilivyomsikiliza naona hakusema km Mh.Rais Mstaafu alimwambia yeye amfukuze,, Ila kikubwa ni upendo aliouonesha Rais Magufuli tu..Mungu akubariki na akulinde Rais wetu "Amiiin"

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin6829 4 года назад +1

    Nasisi mtugawie hao tausi. Mbona mnagawiana wenyewe na ss tulio wapa mamlaka

  • @emmysam1510
    @emmysam1510 3 года назад

    Fumbo mfumbie mjinga.. magufuli mjanja ameng'amua

  • @jamesarmand7992
    @jamesarmand7992 3 года назад

    Kumbe tausi ni kama slayqueen kujipenda tu lol

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 3 года назад

    Kikwete uongozi wake ulikuwa dhahifu sana. Waliokuwa wanakosea aliwahamisha na kuwapeleka kungine na kuhalibu zaidi. Aliiacha Tanzania hoi kwa watu wachache kuiteka.

  • @frankstarstz470
    @frankstarstz470 4 года назад +3

    Ilo fumbo lashule