UJENZI Nyumba ya KIKWETE, MAGUFULI Amvaa MKANDARASI - "HII Sio ya HISANI, ni SHERIA"...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2020
  • UJENZI Nyumba ya KIKWETE, MAGUFULI Amvaa MKANDARASI - "HII Sio ya HISANI, ni SHERIA"...
    RAIS Magufuli leo Oktoba 18, amekabidhi Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi, nyumba ambayo imejengwa na serikali kwa mujibu wa Sheria..
    Aidha Rais Magufuli ametembelea Ujenzi wa nyumba ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, ambapo amekiri kutoridhishwa na kasi ya ujenzi wa nyumba hiyo..
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 791

  • @jacobmark5140
    @jacobmark5140 3 года назад +95

    Leo ndo nimeamini kuwa magufuri siyo mnafiki angekuwa mwingine angesubiri mwinyi na JK wafe ndo aanze kuwasifu na kujifanya kuwajengea nyumba Mungu akubariki JPM kWa huo moyo

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 3 года назад +2

      Hiyo sio yeye bali ni kwa mujibu wa sheria na ni lazima ifanyike hvyo kwa baba wa taifa si alijengewa akiwa hai..

    • @davidsimtaji8192
      @davidsimtaji8192 3 года назад +6

      HV nyie watu MNA akili kweli HV mwinyi na Kikwete ni maskin kias cha kujengewa nyumba, Rais wetu si rais Wa wanyonge HV inakuaje watu waliopatwa na maafa Kagera hawana hata kwa kulala tena watu walichanga wanalala kwenye mahema halafu useme marais wastaafu ambao asilimia 100 wana uwezo

    • @christinamalime2175
      @christinamalime2175 3 года назад

      Mmmmh

    • @jacobmark5140
      @jacobmark5140 3 года назад +5

      @@lirastanley390 mhuu kwa nin mkapa hakumjengea mwinyi na kikwete hakuwajengea mwinyi,mkapa kwani wakati huo sheria haikuwepo si na yeye JPM angekausha tu akajifanya haoni kumbe anaona bas tuseme tu ya kwamba JPM ni mzee wa sheria hapindishi pindishi mambo

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 3 года назад

      @@christinamalime2175kwa mujibu wa sheria

  • @gasparchipeta1526
    @gasparchipeta1526 3 года назад +58

    Ni sahihi sana kuwajengea Marais wastaafu nyumba nzuri. Lazima kurudisha shukrani. Hongera!

    • @hassansalum5362
      @hassansalum5362 3 года назад +1

      Si wajenge wenyewe mishahara si wanapewa

    • @simbashakur1644
      @simbashakur1644 3 года назад

      Kawajengea kwa hela zake au hela za Serikali ?

    • @gibsonkabusola6923
      @gibsonkabusola6923 3 года назад

      Kwani wanafanya kazi ya uraisi bure? Si tunawalipa? Basi wajengee hela za mishahara yao

  • @majyamberesilas9117
    @majyamberesilas9117 3 года назад +3

    HE magufuri Arifanya kazi muzuri mijyi sana kumucaguwa nimuzuru sana kwa TZ nakwa Duniya yote muzima mumucaguwe kwawejyi sana iko mutu yawatu amen amen

  • @subirangoleka6572
    @subirangoleka6572 3 года назад +1

    Mimi nakuunga mkono msh raisi, viongozi wetu kwa ngazi ya maraisi ni muhimu kupewa makazi Kama shukrani kwa sababu wamevumilia mengi kazi ya uraisi ni ngumu saaana, msipowajengea watakuwa wanafikiria njia nyingine hata mm ningeifikiria.Nakupongeza jpm.

  • @costantinemihayo
    @costantinemihayo 3 года назад +8

    Angelikua Hana pa kukaa ange kaa wap
    Si mpaka ningelimpeleka chato akaishi huko.
    Salut kwako Dr magufuli

  • @agesag.m2476
    @agesag.m2476 3 года назад +12

    Waaaau, President Magufuli knows in-out what's is happening underground, that's great supervision , keep it up Sir....from Kenya.

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 года назад +4

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!

  • @pasilsalusala3917
    @pasilsalusala3917 3 года назад +3

    Ni vyema kumtetea mfalme vizuri kuongoza inchi sio mchezo hawa watu wanafanya kazi ngumu ya uongozi.msiongee vibaya sarpoti Raise kwa hilo. namuombea hata miaka ishirini uongose Tanzania .huko vizuri Raise wetu unatengeneza TZ Ijayo yenya nguvu .Mungu fungue Wa Tz macho waone Maisha mazuri ya mbeleni unaye watengenezea..

  • @boazlaizer7161
    @boazlaizer7161 3 года назад +1

    Mzee wetu yuko vizuri maana naona anawatambua waliomtangulia Mwenye Mungu akupe hekima na maarifa.

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 3 года назад +4

    Tunaomba hiyo sheria ifanyike kwa sekta zote please, watu wengi wakistaafu wanatumia pesa za kiinua mgongo kujenga nyumba wanakosa hata hela ya kula, jengeni nyumba nyingi kabidhini wafanyakazi za bure, najua utawezekana huko mbeleni Tanzania tunapesaaa hongera Rais wetu John Pombe Magufuli mitano tena

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 3 года назад

      INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.

    • @fatmaothman5627
      @fatmaothman5627 3 года назад

      Na waalim pia

  • @kiatu
    @kiatu 3 года назад +4

    Magufuli ni kiboko, amemaliza kiporo alichokiacha Kikwete(Nyumba ya mstaafu Mwinyi). Sasa anashughulika na ya Kikwete. Magufuli is a serious performer.

  • @kilalaurio9922
    @kilalaurio9922 3 года назад +1

    Mungu iweke roho ya JPM mahali pema peponi. Wenye husda na wale walilomtakia mabaya Mungu huyo huyo akabiliane nao Amen.

  • @adammwita3150
    @adammwita3150 3 года назад +1

    Hongera kwa kazi nzuri Mkuu🙋👍

  • @nicksonkorosso1557
    @nicksonkorosso1557 3 года назад +5

    Hongera sana JPM kwa kuonesha upendo wa dhati kwa Rais mstaafu Kikwete.

  • @salumkassim7949
    @salumkassim7949 3 года назад +20

    Uh haingii akiliniii nishidaaa

  • @tabuboone934
    @tabuboone934 3 года назад +1

    Mnao kosoa eleweni JPM anatimiza wajibu wa sheria. Usiangalie wastaafu walifanya nii. kuwa rais haina maana kuwa utaenda kwa kila nyumba ya maskini na kuwajengea Au kumaliza ufukara nchini. Hata hapa USA maskini wako wengi uwezi amini!! Muunge mkono rais wko he is trying his best bana!! 🇺🇸🙌🏽🇹🇿😍

  • @abeliisaya4680
    @abeliisaya4680 3 года назад +49

    Duuuuu,,,, acha wanyonge tuendeleee kusota na maisha yetu magumu

    • @eischerschwederm7876
      @eischerschwederm7876 3 года назад +4

      Nchi zote zinafanya hivyo rais anastaafu lakini bado anaendelea kutumikia nchi, marekani pia wanamjengea rais

    • @saidbakari7476
      @saidbakari7476 3 года назад +8

      Kula Kwa urefu wa kamba yako usitamani vitu vilivyo nje ya uwezo wako sasa wewe ulitaka rais aishi kama wewe kama jinsi mungu alivyotuumba hatufanani na maisha hivyohivyo

    • @samasob8233
      @samasob8233 3 года назад +1

      @@eischerschwederm7876 hakuna hiyo acheni uongo

    • @prettyh7509
      @prettyh7509 3 года назад +2

      We acha tu , ttzo nilichogundua kinachotukwamisha africa ni ubinafsi yaan mtu anataka amiliki kila kitu

    • @samasob8233
      @samasob8233 3 года назад

      @@prettyh7509 you are right, amiliki kwa anacholipiwa mshahara na mitkas zake siyo hivyo. wanasema eti sheria iliwekwa na mkapa mwaka 1999, ushenzi tu. Kwa taarifa yake ndugu hapo juu, hakuna raisi marekani uunigereza ufaransa, na nchi nyingi tu africa anayejengewa nyumba baada ya kustaafu hakuna, tunatumia hizo ncchi kama vigezo ndio maana nimetoa huo mfano, hakuna, obama alinunua clinton, the bushes matajiri tu, wanajinunulia nyumba wenyewe wakitaka siyo and never serikali, halafu nyuumba zenyewe sasa, hata wakizigawa size mara tatu basi wapewe mawaziri wakuu na mamakamu wa kwanza wa raisi. uroho mtupu

  • @abuubakalmtangenange4389
    @abuubakalmtangenange4389 3 года назад +1

    Mwenyezi Mungu anawaona eti uyu ndiye rais wa wawanyonge wanyonge wanakosa hata ela ya kula wao wanagawana km nchi yao

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 3 года назад +9

    Kweli uzembe kweli wafanye kazi

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 3 года назад

    Mungu akubariki Mh. Rais

  • @samigothe-chemist9375
    @samigothe-chemist9375 3 года назад +51

    Dah mwenye nacho atazidi kuongezewa

    • @evansokemwa6587
      @evansokemwa6587 3 года назад

      kwani leo ndio unajua

    • @catherinejumanne9378
      @catherinejumanne9378 3 года назад

      Ama kweli watu wanaumwa mpak wanaomba michango Kwa wananchi wa kawaida lakin wao wanasamili kujijengea nyumba kuliko kujali utu duuh dunia mapito

    • @fx-farm6888
      @fx-farm6888 3 года назад

      @@catherinejumanne9378 hiyo ipo kisheria wewe

  • @kalufunyangenyakinyungu5087
    @kalufunyangenyakinyungu5087 3 года назад +5

    Hata niongozwe kwa mtindo wa mtutu kini kiukweli siwezi kuruhusu nchi hii iongozwe na muunga mkono ishu za ushost..👌👌 Mm ni kidume ntaendelea kula burudani tuliyoachiwa specifically na Mungu tu(wanawake). SO ITS JPM 5 AGAIN.

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 года назад +3

    Mashalllah magufuli nampenda sana

  • @mahnalamry
    @mahnalamry 3 года назад +4

    Kabla ya kuwa raisi alikuwa anakaa wapi?
    Mbona mzee Mkapa amejengewa mwazo kuliko Mwinyi?
    Huyo Kikwete lile hekalu chalinze halimtoshi?

  • @ladsonmshana9920
    @ladsonmshana9920 3 года назад +3

    Mungu bariki wanyonge

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 3 года назад

      INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI

  • @mosesevarsta2578
    @mosesevarsta2578 3 года назад

    Mungu, akulinde, jpm, kwakaziunayofanya

  • @asiamuhamed7394
    @asiamuhamed7394 3 года назад +3

    Jamani muogopeni mungu kuna vikongwe na mayatima huku jini njaa tupu tunakula mlo mmoja ukipata wa pili unashukuru mungu

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 3 года назад

      INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 3 года назад

    Kikwete rahasana. Roho nzuri mpaka azeeki. Safi

  • @akshaydavid159
    @akshaydavid159 3 года назад +32

    Dah! Mzee kwenye kipindi hiki Cha kampeni amekuwa mpole sana aise zingekuwa siku za nyuma wangekunya hapo.

  • @sadickbakary1197
    @sadickbakary1197 3 года назад +4

    JPM apew PONGEZI qkwel anajitoa na kupamban xan👏👏👏

  • @wilfredsahila8727
    @wilfredsahila8727 3 года назад +1

    Hii sheria ya kuwajengea Rais wastahafu nyumba, inabidi iangaliwe vizuri; kuna mahali itafika isitekelezeke.
    Ushauri ingekuwa kuwapa mikopo ya ujenzi wakati wakiwa madarakani, hiyo ingetekelezeka zaidi kuliko ilivyo sasa.
    Nyumba ya Baba wa Taifa ilikuwa zawadi hapakuwa na sheria.
    Kwa hiyo iangaliwe upya isije ikawa mzigo mkubwa kwa Taifa.

  • @francisgituti2494
    @francisgituti2494 3 года назад +3

    Good job

  • @nairatz
    @nairatz 3 года назад +1

    Much love

  • @diirestraits4881
    @diirestraits4881 3 года назад +2

    Love Tanzania!

  • @gmdecoration6044
    @gmdecoration6044 3 года назад +2

    Jamani leo ndionimejua mm nimchawi wanapewatena majumba roho imeniuma kweli watu wanakufa natetemeko mafuriko nyie mnapeana mungu afanye kitu kwakweli😥😥😪

  • @jackyluns8224
    @jackyluns8224 3 года назад +12

    Baba yetu hivi kweli umetuachaa ninalia sana Mimi mnyonge kabisaaa

    • @sanimoclassic1917
      @sanimoclassic1917 3 года назад +1

      Unajiita mnyonge wakat unamiliki smartphone na unauwezo wa kuweka bando pumbav

    • @jackyluns8224
      @jackyluns8224 3 года назад +1

      @@sanimoclassic1917 pumbavu mama mwenyewe huna adab kwani kumiliki smart phone inakuhusu nini kwenda zako limbukeni wew

  • @jeanmubemba1204
    @jeanmubemba1204 3 года назад +2

    safi sana JPM,wakumbukeni na wanajeshi waliostaafu chini ya miaka ya 90,japo walipigna vita wana maisha magumu sana

  • @seifzongo320
    @seifzongo320 3 года назад +12

    Daah kuna watu hapa roho zinatuuuma 😁😁😁 ,pw haina noma mwenye nacho anaongezewa yaan hilo jengo lote daah inauma mjue 😁😁watu tunapigika mnaongezeana majengo

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed2652 3 года назад +1

    Mkuu,kweli unawajali watangulizi wako.Naamini nawe hakuna atakaye kutupa kwa moyo wako.Hakika nakuombea mema salama mhe Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli. Ww Rais wa kweli hapa Tanzania yetu papaa

  • @bekososo9778
    @bekososo9778 3 года назад +2

    Big love ❤️

  • @muzerwadeo638
    @muzerwadeo638 2 месяца назад

    Waouuh Tanzania. Sheria nzuri sana hiyo ya kuwajengea ma raisi waastafu. Pia Magufuli alikuwa mtu mwema sana. Mema haya ozi .

  • @abasadmtopa6246
    @abasadmtopa6246 3 года назад +6

    Duh mzee magu uko vizuri mpaka bei yatofali inajua

  • @clemencmmassy3924
    @clemencmmassy3924 3 года назад +8

    Daaaa kweli mwenye nacho uongezewe asie kuwa nacho unyanganywa hata kile kidogo alicho okoteza raisi wawa nyonge😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤮🤮 wanyonge mpooooooo

    • @herrysonk.edward609
      @herrysonk.edward609 3 года назад

      Tukimbilie wapi sasa tupo tuu

    • @nassormohammed1743
      @nassormohammed1743 3 года назад

      tokea awamu hii wanyonge sote tumekua matajiri tunaishi kama raisi wetu na group yake .hii ndio tanzania hii ndio africa

    • @naytharykhanny8499
      @naytharykhanny8499 3 года назад

      Jpm je wewe huna mtoto wa kurisi vyeo .maana watoto wa wakala hoi hawawezi na hatapewa nafasi

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 3 года назад

    Mzee Jk is very honest and fair .

  • @allykiyanga5402
    @allykiyanga5402 3 года назад +4

    Jembe mzeee piga kazi

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 3 года назад +1

    INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.

  • @jenifamtima9325
    @jenifamtima9325 3 года назад

    Mungu akuweke mahali pema peponi JPM

  • @musadavid9938
    @musadavid9938 3 года назад

    Katiba ya Tanzania inatoa mamlaka ya kipuuzi sana,, kunahitajika mabadiliko makubwa ya kisheria aisee dah hii mijitu mijiizi mitupu.. Huyu bishoo kapiga Richmond magufool kapiga kwenye vitambulisho na mirad isiyopitishwa bungeni yaani ni ujinga ujinga tu..✌️✌️

  • @wilsonkimaro6375
    @wilsonkimaro6375 3 года назад +1

    Hatutaki tena kuendelea kuwa wanyonge kiasi hiki Kama mtu Kama huyu anauhakika wamaisha nabado anafanyiwa haya wewe unawaza nini, KUNA WATANZANIA WANAFANYA KAZI WANAKATWA KODI, WANAKATWA NSSF ILA WAKIACHA KAZI HAWALIPWI NSSF ZAO KWAWAKATI, KWAKWELI NAHISI KITEFUTEFU

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 3 года назад +12

    Watu wana roho mbaya sana wanaumia na nyumba ya Kikwete kule msoga ni kwa baba yake sio kwake hapo ndio kwake sasa kwa mujibu wa sheria.

    • @ibel4lf
      @ibel4lf 3 года назад +4

      Roho mbaya sana hawana jema oh kikwete tumekumiss leo kuona nyumba roho zinawatoka

    • @mwanajumaomahundumla6504
      @mwanajumaomahundumla6504 3 года назад +1

      @@ibel4lfumeonaeee roho za watu weusi hizo tunachukiana wenyewe kwa wenyewe kwani nyumba kitu gani wanaona kapata

    • @hamisrichard1633
      @hamisrichard1633 3 года назад

      Xheria ya kixenge hii

    • @rahimjuma7293
      @rahimjuma7293 3 года назад +3

      @@mwanajumaomahundumla6504 wabongo tuna roho nyeusi km ngozi zetu zilivyo,mzee magu yupo sahihi kabisaa wala hajakosea

    • @patsonkasimba7520
      @patsonkasimba7520 3 года назад +1

      Ni kweli watz ndiyo tulivo

  • @samops1074
    @samops1074 3 года назад +2

    A president who knows his country and how his people play games

  • @astelialugano8143
    @astelialugano8143 3 года назад +8

    Wewe mzee wangu MAGUFULI ni zaidi ya RAIS

  • @sadakhamis6684
    @sadakhamis6684 3 года назад +3

    💯👏

  • @mehmet-ho8zj
    @mehmet-ho8zj 3 года назад +2

    Nahisi 10 haitoshi kwahuyu shujaa
    Mungu atamlipa naimani nay.

  • @luhendepaulo1468
    @luhendepaulo1468 3 года назад +29

    Daa pamoja na kuiba hela za watanzania bado tu mnajengeana nyumba here emungu saidia

    • @georgedaniel4962
      @georgedaniel4962 3 года назад +1

      Hahahahaha umenichekesha sana

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 3 года назад +1

      Masikini hatuna letu duniani

    • @maryr4033
      @maryr4033 3 года назад +1

      Unafikiri za wizi zinabaraka hazina kabisa.@Luhende Paulo

    • @mecksonjoseph7892
      @mecksonjoseph7892 3 года назад

      We baki na vumbi lako we namba yako ya mwisho...labda mwanao ana weza nae kuja kuwa mwizi uta nufaika..

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 3 года назад

      @@maryr4033 ingekuwa hazina baraka Mungu ange waletea mafuriko ili zi zame hizo nyumba ama ziungue lakin nyumba zetu maskini ndo kila siku zina jikuta kwenye mitihani

  • @maryr4033
    @maryr4033 3 года назад +3

    Safi sana JPM JPM

  • @catherinechifebe5800
    @catherinechifebe5800 3 года назад +6

    RAISI MAGUFULI ASANTE SANA...UMEMJENGEA WAKATI WAKO RAISI MSTAAFU MWINYI,RAISI MSTAAFU KIKWETE,,,ASANTE KWA UTENDAJI WAKO

    • @georgemaji7915
      @georgemaji7915 3 года назад +1

      Kwani hawana nyumba wao??
      Kikwete na mwinyi kweli ni wa kujengewa nyumba na UTAJIRI WOTE WALIOUCHOTA MIAKA KENDA RUDI WAKIWA KTK SIASA??
      HII NI KASHIFA KUBWA KWA NCHI...na waTz hawana makazi, ccm wanaitafuna nchi, kweupe eee! Sawa yanamwisho!

    • @ibel4lf
      @ibel4lf 3 года назад

      George Maji sheria ilipitishwa na bunge yy anaitekeleza waliopitisha waliona inafaa

  • @mrdeniskomba2596
    @mrdeniskomba2596 3 года назад +20

    Hiyo ni shukurani kwa kutuletea jpm maana bila wewe tusinge mpata jpm. Japo ni utaratibu wa kukengewa maraisi

    • @eischerschwederm7876
      @eischerschwederm7876 3 года назад

      Hata hivyo ni logic kuwapa nyumba itapunguza tamaa ya kuiba mali za umma, Rais anaweza kuiba trillions..so nyumba ni kitu kidogo

  • @ibel4lf
    @ibel4lf 3 года назад +2

    Magufuli umefanya wajibu wako kwa mujibu wa sheria watangulizi wako walifanya hivyo pia watu wataongea sana tena na kampeni hizi loh!! ukweli utakuweka huru umetimiza wajibu wako ukifuata sheria kama walivyofanya Kikwete serikali yake kumjengea Mkapa na serikali ya Mkapa kumjengea Nyerere wastaafu wetu wanastahili hii heshima

  • @kelvinmbena5796
    @kelvinmbena5796 3 года назад +1

    Daaaaaah tutaishia kuzunguka na vyeti mkononi wengine huku wanaongezewa hifadhi.

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 3 года назад +44

    Ama kweli mzee Bilali wa Tabora enzi ya kupigania uhuru na hayati mzee Nyerere nyumba yake mbovu kwanini serikali isimsaidie mzee Bilali

    • @saidbakari7476
      @saidbakari7476 3 года назад

      Mzee halfan kikwete baba wa jakaya pia alipigania Uhuru na nyerere alimpa ukatibu mkuu wa wizara baada tu ya uhuru

    • @allyabdalla4228
      @allyabdalla4228 3 года назад

      Kaka mwenye macho ndie anaemurikiwa .......au hujui hilo✍️✍️✍️

    • @dionsangoa1428
      @dionsangoa1428 3 года назад +1

      Wanagawana keki ya taifa dada acha wagawane ila siku tukianza kuwagawana wao sijui kama watatutosha ila wakati ni sasa kapige kura linda kura yako😡😡

    • @giitidaniel3471
      @giitidaniel3471 3 года назад +1

      Huyo ni rais msitaafu ng'ombe wewe??

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 года назад

      @@giitidaniel3471 sasa wakistaafu mpaka wajengewe? Mapesa mangapi wameiba? Wana majumba kila corner . Basi tu

  • @rehemaa597
    @rehemaa597 3 года назад +1

    Mashahara wake alikuwa anafanyia nn hii magufuli haijanifurahisha kwa kweli masikini kibao hawana sehemu za kulala vizuri

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 3 года назад

      INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.

  • @kamalissabig2429
    @kamalissabig2429 3 года назад +13

    Yan huyu mzee ana chezea pesa zetu sana ina maana hawa marais hawana uwezo wa kujenga nyumba kwa pesa zao mbona munatuchezea sana

    • @georgenyamsenda217
      @georgenyamsenda217 3 года назад +1

      Unachangia pesa gani kwenye nchi wewe? Uongozi wa nchi ni kazi ngumu kwa hiyo sheria iliweka hilo kuthamini mchango wake kwa Taifa

    • @utajirihalisi1011
      @utajirihalisi1011 3 года назад

      G nyamsenda dunia ndivyo ilivyo anasema hela zake bill hata aibu

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 3 года назад

      INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.

    • @kamalissabig2429
      @kamalissabig2429 3 года назад

      @@isaachayes9783 kwel kaka wastaafu wanateseka sana hawamu hii ili mtu mjinga asie jielewa hawez elewa

    • @filberthabashi3366
      @filberthabashi3366 3 года назад

      @@georgenyamsenda217 haha kwan wwe huchangii kodi yyte kwenye hii nchi???

  • @sandaychacha9754
    @sandaychacha9754 3 года назад +1

    Msije mkasahau kumujengea mwalimu nyerere tafadharini sana

  • @Mido-eh9vz
    @Mido-eh9vz 3 года назад +2

    Jamani ss wanyonge hatuna pakukaa jaribuni kuwafikiria na maskini hawana maisha nyinyi mna tumia vzri haya ahsanteni

    • @zuberiadamu3684
      @zuberiadamu3684 3 года назад

      Mwenye nacho uongezewa

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 3 года назад

      INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.

  • @allyabdalla4228
    @allyabdalla4228 3 года назад +24

    Kweli nyongeza huja juu ya fungu

  • @samgaya
    @samgaya 3 года назад +1

    Ila mzee jakaya yuko humble sana...

  • @alfredaloyce6835
    @alfredaloyce6835 3 года назад +19

    Hapo baba umemwaga maji bahari ni haadi zetu za milioni hamsini ziko wapi

    • @neemamwangosi2043
      @neemamwangosi2043 3 года назад

      Kwani magu babayako

    • @ashampore6070
      @ashampore6070 3 года назад

      Hayo yanafanyika kwa mjibu wa katiba hata wewe siku ukiwa raisi utajengewa hahaaaa

    • @mkiryamadebe7678
      @mkiryamadebe7678 3 года назад

      Tunataka mil 50

    • @neemamwangosi2043
      @neemamwangosi2043 3 года назад +1

      @@mkiryamadebe7678 tafuta za kwako km nirahisi

    • @hassanirajabu5453
      @hassanirajabu5453 3 года назад

      @@neemamwangosi2043 🤣🤣🤣🤣🤣 hatare Sana anataka za kupewa huyo dadaangu

  • @muganyizikamafa3555
    @muganyizikamafa3555 3 года назад +1

    Ww baba nakupenda basi tu

    • @emmabyamungu4190
      @emmabyamungu4190 3 года назад

      Sasa kwani mngefanya kwa siri, kwanini mnaweka hadharani, kumbuka wengine nyumba zetu zimeenda namaji, kumbepesa zipo eheee, alafu muheshimiwa ungesubiri uchaguzi upite kwanza

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 3 года назад

    Duhh

  • @lupahmwakabenga7559
    @lupahmwakabenga7559 3 года назад

    2020 lisu

  • @peterjohn8405
    @peterjohn8405 3 года назад +16

    Kikwete anasema "utatusaidia sana "

    • @ibel4lf
      @ibel4lf 3 года назад

      Very humble Man

  • @edwinwanyonyi2956
    @edwinwanyonyi2956 3 года назад

    Safi

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 3 года назад +12

    Ndio maana watu wana lilia ikuru😂😂😂😂😂ikuru oyeeee

    • @eischerschwederm7876
      @eischerschwederm7876 3 года назад

      Hii ni kufanya marias wasiwe wezi pia, tais anaweza kuuza nchi..hii inapunguza tamaa yabkuiba hela

    • @evansokemwa6587
      @evansokemwa6587 3 года назад

      iyo ni ritaya meti au sawadi wacha kiburi wewe

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 7 месяцев назад

    La-la salama BABA MUNGU akupe pumuziko laamani

  • @janethnkembo5808
    @janethnkembo5808 3 года назад

    Nimekupenda magufuri.kuwajengea wastafu .

  • @avand4237
    @avand4237 3 года назад +12

    Duuuh maisha yanabadilika leo jk mpole kama hakuwaga boss wa magu .......duuuuuuh

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 3 года назад

    jaman

  • @khadijamohd1216
    @khadijamohd1216 3 года назад +4

    Hhhhhh kazi kweli kweli huyu mtu kiumbe weee acha tu, Magu ww noma.

  • @salummzengaeka9341
    @salummzengaeka9341 3 года назад

    Duh nimeamini anapewa alichonacho ,sisi wananchi kz yetu kupiga kura baada ya hapo tafuta jembe ulime siku ziende

  • @fahimbakari420
    @fahimbakari420 3 года назад +1

    Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun (hapa ndipo ninapoamini kuwa lolote lenye kumpata mtu halikuwa ni lenye kumkosa na lenye kumkosa halikuwa ni lenye kumpata

  • @williamngazija7284
    @williamngazija7284 3 года назад +1

    Hapa kazi tu

  • @tusajigwekanemela4784
    @tusajigwekanemela4784 3 года назад +4

    Asante magufuliii

  • @chrismoyo1222
    @chrismoyo1222 3 года назад +1

    Safi sana our Presidents 🙏🏽

  • @stellamwasenga6205
    @stellamwasenga6205 3 года назад

    Good

  • @georgegaspar6285
    @georgegaspar6285 3 года назад

    sasa kumbe kikwete nae kapanga ... sasa mbona wengine mnapata presure et hamjajenga.....

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka7533 3 года назад

    Doo hela ya serkali huwa inachezewa sana sasa kwan tudanganyane mnakuta mna majumba,bado meng nch nzima bado mjengewe,,
    Kwann hela isionekane na iingie kurahisisha maisha kwa wananchi kwa ugum wa haya maisha.

  • @ibrahimnadir4490
    @ibrahimnadir4490 3 года назад

    Tatizo sio raisi gani anafanya kazi nzuri eti kisa ni sheria walizojitungia wenyewe . Wezi tu kama kweli wanataka kufuata sheria wagharamike kwa wananchi wanyonge na sio kutajirishana wao kwa wao .

  • @kasimujumannekipemba3732
    @kasimujumannekipemba3732 3 года назад +4

    Safimkuu

  • @marymtuy237
    @marymtuy237 3 года назад +2

    Hii ni

  • @zachariahexegesists7892
    @zachariahexegesists7892 3 года назад +1

    Wanyonge wakijengewa NYUMBA
    MATAJIRI WAPO WANAOMBA OMBA KARIAKOO
    LIFE
    LIVE
    LOVE

  • @jeanmubemba1204
    @jeanmubemba1204 3 года назад +10

    hahaha magu kwa utani,et angekuwa hana kwa kukaa tungempeleka chato hahahaha

  • @bernardbenedicto1373
    @bernardbenedicto1373 3 года назад +2

    Anaaga vizurii mzee wanguu,wakqbidhii na wew lisu atakuaja kukukabidhi ya kwako kama ni sheria.

    • @colinmhema530
      @colinmhema530 3 года назад +1

      Lisu hawezi kuruhusu udisasi huu

    • @thegreatboss2482
      @thegreatboss2482 3 года назад

      @@colinmhema530 huu ujinga lisu hawez kuusapoti

  • @bazilkisibo5811
    @bazilkisibo5811 3 года назад +13

    Hivi nyie wananchi mnadhani mtu mwenye level ya Rais anakaa sehemu za hovyohovyo?

    • @abubakarmohammed7339
      @abubakarmohammed7339 3 года назад +2

      Hamuoni haya wananchi kusikia raisi wenu amepangisha hadi saahii hayuko kwenye mamlaka inamaana hapo alipopangisha mwenye hiyo nyumba maisha yake mazuuri kushinda huyu raisi

    • @goodmorningafrica6409
      @goodmorningafrica6409 3 года назад

      We sio mwananchi?

    • @sarahamos8524
      @sarahamos8524 3 года назад

      Aibu sana kwasababuakili yake ilikua imelala kizembe hadi Tingatinga limeamua toa msaada 😁😁😁😁😁

    • @mossymtwana6422
      @mossymtwana6422 3 года назад

      Yaani mie hata siwaelewi ni haki yao sio level zetu hiyo angalia hata kwenye vitabu vya dini wafalme

    • @hamisrichard1633
      @hamisrichard1633 3 года назад

      Mhhh!

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 3 года назад

    Ninachukia xana mtu Ana pesa watt wake wako vizur kifedha mke wake yupo vizuri lakin mnampa nyumba na sisi maskin tutapewa na Nani Rais wetu magufuli iyangalie haki nasi pia niwatanzania mtupe nyumba

  • @isackulomi2293
    @isackulomi2293 3 года назад

    Ok vzr

  • @mohamedaden1311
    @mohamedaden1311 3 года назад

    Kumbe kikwete ndo mkubwa kwa magufuli kiumri

  • @emmanuelmosha2278
    @emmanuelmosha2278 3 года назад +3

    Inamaana miaka kumi ya uwazir na miaka kumi ya urais alikua hajajenga mpaka ajengewe? Jamani kama raisi alishindwa kujenga nyumba yake ya kuishi vipi mwananchi wa kawaida?

    • @stewardjacob1945
      @stewardjacob1945 3 года назад

      Nawee unAmin hiloo ndugu

    • @emmanuelmosha2278
      @emmanuelmosha2278 3 года назад

      @@stewardjacob1945 mm siamini huyo jamaa ni bilionea anauwezo wa kujijengea mwenyewe

  • @MtaaniMedia
    @MtaaniMedia 3 года назад +13

    Kama ni sheria bas sipati picha LISU atavo mjengea magufuli 😄😄😄😂😂😂 cjui itakua gorofa au nyumba ilio na vyumba kama shule

  • @mwanyemishemweta848
    @mwanyemishemweta848 3 года назад

    Magufuli ndiye rais mwenye Hekima na Busara na ndio chaguo la Tanzania