#breakingnews

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa mawaziri wawili, Nape Nnauye (Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari) na January Makamba wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
    Mbali na hao, Rais Samia ametengua uteuzi wa Stephen Byabato aliyekuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
    Utenguzi huo umefanyika usiku huu wa leo Jumapili, Julai 21,2024 kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu.

Комментарии • 29

  • @user13375
    @user13375 Месяц назад +2

    Ameanza kutuelewa tulisema zamani Sana 😮😮😮

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Месяц назад +5

    Kumwamisha Jerry slaa amekosea Sana kwa kweli....

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 Месяц назад +2

      Wala hajakosea maana Kuna wale wazee wa tuma kwenye namba hii na wale wenye kumtusi mama mitandaoni pamoja na wamiliki wa Mitandao ya simu Sasa Kwa slaa wataisoma namba..

  • @lucylyuki4852
    @lucylyuki4852 Месяц назад

    Hasaaa uchGuzi

  • @philipombwambo1980
    @philipombwambo1980 Месяц назад +2

    Kifupi nape na January hawa watu magufuli hakukosea kuwatenga wanajiona wao ndio kila kitu katika siasa zetu kiukweli hawafai kabisa viburi na majivuno ndio ilikua maisha yao

  • @AwardHakimu
    @AwardHakimu Месяц назад

    Nape afai kuwa kiongozi ni mlopokaji kwa kauli alizoongea muheshimiwa raisi amefanya vizuri sana kumtoa nape akilewa hanaga siri tena friji lake haligandishi😂safii sana raisi samia kwa kumtoa

  • @brightergermanus2163
    @brightergermanus2163 Месяц назад +2

    MAMA UMEFANYA VEMA SANA TENA MNO UMEFUTA SEHEMU YA DOA NDANI YA CCM MUNGU AZIDI KUKUONGOZA NA KUKUTIA NGUVU . I N A W E Z E K A N A. !!!!!!!!! PIA NAMUOMBA MH DEOGRATIAS JOHN ANIPIGIE NIMPONGEZE MWANANGU

  • @lucylyuki4852
    @lucylyuki4852 Месяц назад

    Hata kama wanekula mnooo

  • @peterjohnson167
    @peterjohnson167 Месяц назад +2

    NAPE NENYAU AND JANUARY MAKAMBA WAMEKUWA NI UVIKO 19 KWENYE CHAMA CHA MAPINDUZI CCM BORA WAKO OUT.

  • @deusmaswi5313
    @deusmaswi5313 Месяц назад

    Kazi iendelee

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 Месяц назад +1

    Kwa Makamba Samia Umepatia ile Mbaya hapo Nakuita Mh Rais kwa Nape Napo umecheza kama pele dharau zilizidi na Kwa Makamba dharau Majivuno vilivuka Mpaka! Ulipochemsha Dada yangu Mh Rais kwa Jerry silaha please Rudisha yeye Ardhi,alikuwa tumaini la wananchi wengi" au teiua Makonda peleka Ardhi" Mungu akulinde Wewe una huruma sana! NA machozi yako ya karibu karibu! Kila la kheri Mheshimiwa Rais"

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Месяц назад

    Tuondolee na mwigulu na bashe

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Месяц назад +2

    Yaani mama nimekupenda bure kwa kuwapumuzisha Nape na Makamba. Makamba angeifirisi nchi na uwekezaji wa majumba nchi za nje. Nape angetenguliwa zamani. Ni waziri aliyekuwa na majivuno. Anasema ana kampuni za simu tano millioni 300 kwake si kitu. Anaowaambia hata shilling10 mufukoni hawana. Makamba aliyeombewa kazi na baba yake ale asali. Na kweli alikula. Alipoingia tu akakopa dola mlioni 38 kudumisha umeme. Hatukusikia tena. Kapewa wizara ya nishati karibu aliuwe bwawa la umeme. Watanzania hatujasahau alivyosema watu wazuri hawafi kufumbia fumbo Hayati Magufuli. Sasa mama murudishe Polepole umpe wizara ya kilimo. Bashe anaipiga nchi. Mpaka uwe na akiri za kutosha kumugunduwa.

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 Месяц назад

      Bashe ni kansa kwenye kilimo mahindi ya zambia wamejigawia keki biashara wanafanya wao bei ya mahindi imetangazwa lakin mtaan bado yapo bei ya chini sasa hayo ya kwenda zambia mnayanunua wapi?

  • @HeboniBabu
    @HeboniBabu Месяц назад

    tatizo viongozi wetu akipendwa Na akijuwa anapendwa afanyikazi kaziilio bakikudekatu

  • @HeboniBabu
    @HeboniBabu Месяц назад

    ivi naomba kuliza unamtoa uku nakumpeleka uku jeuyo mtu anauzoefu nauko unakompeleka Je kasomea iyokazi au mnapachikanatu

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or Месяц назад +1

    Balozi alijitengenezea nafasi hiyo alivyo onyesha umahiri wake wakati wa ziara ya rais samia Vatican then Italy as whole

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Месяц назад

    Mheshimiwa hongera kwa kuwatengua hao ulowatengua lakini kwenye ardhi kumuondosha slaa na kumweka ndejembi ni kama unarudisha nyuma maendeleo!

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 Месяц назад +1

    Binafsi nimefurahi sana slaa kupewa wizara ya habari na mawasiliano maana wale wazee wa tuma kwenye namba hii na wale wanao mtukanaga mama sasa wataisoma namba kwa jerry slaa..

  • @fridamossony2821
    @fridamossony2821 Месяц назад

    Mama please turudishie Jerry kwenye Ardhi

  • @user-qe6xc4nm8u
    @user-qe6xc4nm8u Месяц назад

    Hapo Sasa hata mm nimekuelewa mama nilikua sikuelewi kabsa

  • @AwardHakimu
    @AwardHakimu Месяц назад

    Bado kuna majipu mengine yapo kama nanii yule anajiona🐊mzee wa kutunga tozo

  • @JesusJesus-ny1sm
    @JesusJesus-ny1sm Месяц назад

    Tanzania kuongozwa na mwanamke bado sana.

  • @isamony58
    @isamony58 Месяц назад

    Wageuze geuze ila kasimu majaliwa waziri mkuuu usituondolee majaliwa wetu

  • @sharoshine9984
    @sharoshine9984 Месяц назад

    Doooh kumekucha

  • @issackmganga4600
    @issackmganga4600 Месяц назад

    Waziri.wa.aridhi.fatanyayo.mtaguliziwako

  • @FreyNetwork
    @FreyNetwork Месяц назад

    Mitano tena kwa mama😊

    • @JesusJesus-ny1sm
      @JesusJesus-ny1sm Месяц назад

      Hakuna lolote mbona hakuwatoa zamani wakati wananchi wanalalamika !??? Rais Samia mama yetu akubali Nchi ya Tanzania kuongozwa na mwanamke haiwezekani asilazimishe.