Bwana yesu njoo shuka mwenyewe njoo unitibu majeraha ya moyo wangu na uwasamehe madhambi yao wale walionikosea. Bwana yesu upo ambaye upo uonaye sirini. Ameen
Asante sana mtumishi kwa mafundisho yako.maana hayo yote umesema,mm pia nilikuwa nimeumizwa moyo katikati ndoa yangu.na nimeskia mafundisho Yako kusema kweli nimesikia kufarinjika moyoni mwangu maana nilikuwa nimerudi nyuma nikawa Sina amani.sahii Nina imani mungu ataenda kunisaulisha hayo yote.asante sana mtumishi kwa mafundisho mazuri mungu akubariki sana.
Asante kwa mafundisho yako mtumishi wa mungu...... Maana haya yote umesema , Mimi pia nilikuwa nimeumuzwa Moyo katika ndoa yangu. Nilitaka kijiua lakini nashukuru mungu nilipona jeraha Kwa Sasa nko sawa !!
Asante sana Pastor nimepokea uponyaji wangu kamili kwa mafundisho haya yaliyojaa hekima na maarifa na Roho Mtakatifu akazidi kutufariji wote. Hallelujah Amen and Amen 👏👏
Bwn naomb unisaidie sana sana kusahau yaliyotokea ktk maish yangu naomb nafs nyingine ten ktk maish yangu pekee yangu siwez naomb ukuu wak uwe sehemu ya maish yangu mm ni mwanadamu nisiwez nilalal niamk nikumbushe kusahau haya yote
Roho ni nafsi isiyoonekana ya mwanadamu inayotoka kwa Mungu. Kibiblia, roho ya mwanadamu ni kipawa cha Mungu ambacho humruhusu kuwasiliana na Mungu. Ni sehemu ya asili ya kiroho inayomfanya mwanadamu kuweza kuhusiana na Mungu kwa njia ya ibada na maombi.
Mungu akubariki sana mtumishi nabarikiwa sana na mafundisho yako, Mungu azidi kukutunza na kukutumia ktk kazi yake❤❤❤
Bwana YESU niponye moyo wangu kwa ni ninayopitia. Hakika tumaini langu ni wewe.
Amina Amina,,, Mungu wangu niponye jeraha la moyo wangu,,, nashukuru kwa mafunzo nkiwa 🇰🇪🇰🇪
Asante kwa mafundisho mazuri ubarikiwe na Bwana.
Ulizo ni utofauti gani kati ya Moyo na Roho
Ameen. Tumekujibu hapo juu
Bwana yesu njoo shuka mwenyewe njoo unitibu majeraha ya moyo wangu na uwasamehe madhambi yao wale walionikosea. Bwana yesu upo ambaye upo uonaye sirini. Ameen
Bwana yesu niponye we ndo msiri wangu Ameeeeeeewn🙏🙏🙏🙏🙏
Asante kwa neno mtumishi naomba uwe baba yangu wa kiloo❤
bwana ndiye mponyaji wa moyo wangu asante bwana kwa wema ulionao juu yangu amen🙏🙏
Bwana Yesu niponye jeraha la moyo wangu nisaidie bwana
Ameen nimefunguliwa kabisa Mungu akufunulie zaid tuendelee kupona nakusonga mbele katika safar ya wokovu
Mungu wambingun akbariki sana mtmishi
Ameen
Asante sana mtumishi kwa mafundisho yako.maana hayo yote umesema,mm pia nilikuwa nimeumizwa moyo katikati ndoa yangu.na nimeskia mafundisho Yako kusema kweli nimesikia kufarinjika moyoni mwangu maana nilikuwa nimerudi nyuma nikawa Sina amani.sahii Nina imani mungu ataenda kunisaulisha hayo yote.asante sana mtumishi kwa mafundisho mazuri mungu akubariki sana.
Asante kwa mafundisho yako mtumishi wa mungu...... Maana haya yote umesema , Mimi pia nilikuwa nimeumuzwa Moyo katika ndoa yangu. Nilitaka kijiua lakini nashukuru mungu nilipona jeraha Kwa Sasa nko sawa !!
Mungu muumba mbingu na nchi akubariki saana sana, mtumishi, hakika nimeponywa kupitia somo hili, ❤
Asante sana Pastor nimepokea uponyaji wangu kamili kwa mafundisho haya yaliyojaa hekima na maarifa na Roho Mtakatifu akazidi kutufariji wote. Hallelujah Amen and Amen 👏👏
Wow that teaching 🙏
Mtumishi nimempokea Bwana yesu leo
Asante kwa neno mtumishi limenigusa mm nilikua na maumivu anayo nifanyia mumewangu lkn nimemsamehe ili na mm MUNGU wangu anisamehe
Na Mimi jee,,, dada Nelly weeee, mpaka nasikia kuchoka na hii ndoa kabisaa, ila Wacha Mungu wetu atuponye
MUNGU akubariki sanaaaa Mtumishi wa MUNGU kwa somo nzuri sanaaa
Ameen ameeen
Yesu ulie nifia msalabani naomba unigange moyo wangu maan unavuja damu
Mungu akubariki sana
Amen 🙏 Thank You Lord
Eeh Mungu Wew uponyaye na kutibu waliovunjika moyo na kutibu majeraha hayo ukapite na kwangu ukaponye Moyo wangu na kuuganga Amen 🙏
Amen
Ee Bwana Yesu mizigo yote niliyonayo ndani ya moyo wangu ninakuletea wewe
Amen Amen Thank you lord for this servant of you he give us daily bread word of God
Ameen ameeen
Ahsante YESU WANGU 😢😢
Amen amen amen 🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️
Bwana nponye.majeraha. Yamoyo
Nabarikiwa na mafundisho MUNGU azidi kukuinua mtumishi
Bwana yesi niponye moyo wangu uliyo umizwa
Eee Mungu nifaliji ndani yamoyo wangu
Hill neno ni langu ooooh yesu niponye moyo wangu
mungu uniponye moyo wangu 🙏
Asantee Yesu🙏🙏
Ameen
God bless you pastor I am enjoyed.❤
Ameen ameen ameen 🤲🤲
Emeni
Mwenyezi Mungu ww wajua
Amene kubwa nabarikiwa saaaana
Mungu akubariki mafundisho yako ni mazuri mno
Amen Amen and Amen Thank you mtumishi kwa mafundisho yako imetenda mambo makuu katika maisha yangu
Ameen ameeen
Mungu ni mwema sana sana
Mtumishi Asante
Amen 🙏 thank you 🙏
Mungu ni mwenye rehema
Amen Mungu Akubariki mutumishi
Ni kweli ni Mungu tu atakae ganga mioyo yetu heri tumuishie Yesu
Hakika
Amen mtumishi wa Mungu.
Bwn naomb unisaidie sana sana kusahau yaliyotokea ktk maish yangu naomb nafs nyingine ten ktk maish yangu pekee yangu siwez naomb ukuu wak uwe sehemu ya maish yangu mm ni mwanadamu nisiwez nilalal niamk nikumbushe kusahau haya yote
Nabarikiwa❤
Asante Yesu
Amen🙏🏿
Asante mafundiko yako yanafundisha mtumishi
Ameen ameeen
Hallelujah Hallelujah Jesus is Great
Ameen ameeen
Amen Amen
GLORY GLORY TO OUR MOST HIGH GOD
Ameen ameeen
Amen nimebarikiwa sana
Ameen ameeen
Amen 🙏
🙏🙏🙏
Asante mungu 🙏
🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏
Nikumbuke kwa maombi mwoyo wangu upone
Bwana asifiwe mtumishi nikumbuke usiku wa Leo napitia machungu Moyo wangu
Nitakuombea. Uwe na amani kabisa
Neno hili nimejua nikilosikiliza kila wakati hakika limwnivusha pakibwa sana
Thank you
🙏🙏🙏
Amiina
🙏🙏🙏
Mtumishi naomb ukion sms yangu usinisahau ktk maomb yako
Asante kwa mafundisho mazuri ubarikiwe na Bwana.
Ulizo ni utofauti gani kati ya Moyo na Roho
Kibiblia, moyo haufananishwi na kiungo cha mwili tu, bali unaelezea sehemu ya ndani ya nafsi ya mwanadamu inayohusisha hisia, nia, na fikra.
Roho ni nafsi isiyoonekana ya mwanadamu inayotoka kwa Mungu. Kibiblia, roho ya mwanadamu ni kipawa cha Mungu ambacho humruhusu kuwasiliana na Mungu. Ni sehemu ya asili ya kiroho inayomfanya mwanadamu kuweza kuhusiana na Mungu kwa njia ya ibada na maombi.
Amen
Amen
Amina
Amen
Amen