KIKWETE ASIMULIA SWALI ALILOULIZWA NA MJUKUU WAKE "KWANINI MAGUFULI KACHUKUA KAZI YAKO?"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Rais Mstaafu wa Tanzania, Dr. Jakaya Kikwete amewasihi Wastaafu nchini kujishughulisha na shughuli mbalimbali na kufanya mazoezi badala ya kutumia muda mwingi kulala tu ili kuepusha miili na ubongo kutochoka haraka.
    Dr. Kikwete ametoa rai hiyo wakati wa shughuli za kuwaaga Askari Wastaafu Wilayani Chalinze ambapo Rais huyo Mstaafu alikuwa Mgeni rasmi.

Комментарии • 530

  • @salamashabani7922
    @salamashabani7922 2 года назад +7

    MZEE MSTAARABU KABISA MWENYE NYOTA YA NGAO YA TAIFA HASA!!! MWENYE UMOJA AMANI UPENDO NA MSHIKAMANO BADO TUNAKUPENDA SANA KIPENZI CHA WENGI MUNGU AKUPE AFYA NJEMA NA UMRI MREFU WENYE MANUFAA INSHAALLAH🙏

  • @lispafulgence9983
    @lispafulgence9983 2 года назад +15

    Leo barakoa zipo wapi🤣🤣🤣🤣

  • @stevensosipita2851
    @stevensosipita2851 2 года назад +4

    MIMI KAMA MIMI NAPINGANA NA WEWE SIKU ZOTE ULICHOKIFANYA AWAMU YAKO YA 4 NI UFISADI ULIOKIDHIRI NA HIVI SASA BADO HUTULII BADO UNACHOKO CHOKO KUMBUKA HII NCHI SIYO YAKO WALA SIYO YA MAKAMBA WALA YA KINANA TULIA NYUMBANI NA WAJUKUU ZAKO USIJIVUNJIE HESHIMA YAKO

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 2 года назад +4

    Mashallah nakupenda sana akhuyi kikwete wewe ni mtu mwenye hekma mashallah 🥰🥰🥰🥰🇴🇲

  • @juliussilvestar8988
    @juliussilvestar8988 2 года назад +6

    Watanzania tujenge tabia ya kuwapenda viongozi wetu.Mpuuzi ana comment eti hana legacy viongozi wote wa Tanzania wana legacy.Hiyo amani tuliopata tuu inatosha kuwa shukuru wapo wenzetu leo wanatamani waishi hivi.Tembea kwa wenzetu muone tuache ujinga lets appreciate what our leaders do.

    • @davidcurtis8556
      @davidcurtis8556 2 года назад

      Siungi mkono kama kuna alietoa lugha isiyo rasmi ispokuwa kama amani tulishakuwa nayo je hatupaswi kuendelea kiuchumi? Tunaishia kusema amani tu inatosha wakati kama nchi inaamani inatakiwa ipige hatua kiuchumi kwa kasi maana amani ndio njia salama kuelekea kwenye uchumi sasa toka mwaka 61 inchi imepata uhuru na wengune hatukuwepo mpaka sasa tunazeeka hatuoni mabadiliko yanayoenda na kasi ya kitu kinachoitwa inch yenyr amani na usalama lakin uchumi 0 uchumi wa china na Tanzania miaka yanyuma ilikuwa sawa leo huwezi tu ukalinganisha hata kusema tuliwah kukingana unaweza ukaonekana chizi namna walivyotuacha. Hv ardhi yetu unaweza kulinganisha hata na dubai tu!! Lakin kwavile walijiona wao ni masikini wanamafuta tu na hawana vivutio wala ardhi nzuri yenye rotuba wakajipanga ili kuifanya nchi yao iwe ya vivutio moja jengo refu kuliko yote duniani, mahoteli ya kifahari chini ya bahari majumba ndani ya bahari na sasa wanatengeneza mlima mrefu, mlima wa kutengeneza wakati sisi tunayo bureee ya asili lkn haina faida kiuchumi, hata kilimanjaro mountain bado sana mapato yanayoingia pala huwezi kulinganisha na mapato yanayoingia misri kwenye piramid zao tuna vivutio bora na vingi duniani lkn haitusaidii kiuchumi tuna gas lkn haina msaada kwetu tuna madini ghali duniani na hayapatikani sehemu yoyote duniani zaidi ya Tanzania lkn bado masikin tu, huku kuwatetea viongozi wanakuja nao wanahalalisha tu kuwatanzania wao wanataka amani tu basi, amani tunayo tayari sasa tunataka uchumi.

  • @airinsumeno2490
    @airinsumeno2490 2 года назад +5

    Nlichoona ni keki inafanana na jeneza

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 2 года назад +6

    Hapo Kama ulikua unatenda Haki wala hunawasiwasi ila Kama ulitumikia jeshi Kama fimbo yakunyanyasa wengine Muda wa amli ushakwisha

  • @jameskabalo6285
    @jameskabalo6285 2 года назад +1

    Tapeli

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 2 года назад +5

    Kikweli nakupenda sana kipindi cha uongozi wako hatukua na maisha magum kama sasa, Natamani ugombee tena 2025

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 2 года назад +12

    Hii ndo Tanzania 🇹🇿 nchi yenye udongo wenye dhambi wanalisaka sana taji la ushindi. Naona comments za watanzania ni matusi tu ila mzee unabusara.

  • @hidayambarka6514
    @hidayambarka6514 6 месяцев назад

    2025 mjengon kikwete allah akitufikishaa 🎉🎉❤❤

  • @kindulijumanne7632
    @kindulijumanne7632 2 года назад +4

    Mzee nimeipenda hiyo ya kumsaau dem wako big up couz hauna makuu sisi tunapenda

  • @ChristianKiponda-d7e
    @ChristianKiponda-d7e 22 дня назад

    Killa Awamu Ina Mipango yake, Kikwete ametekeleza Ilani ya Uchaguzi wa Ccm, katika Miaka Kumi aliyokaa madarakani, Barabara nyingi zimejengwa nyakati za Kikwete, Wakati huo Magufuli akiwa Waziri wa Ardhi na Ujenzi.

  • @shadyakimaro3245
    @shadyakimaro3245 2 года назад +7

    Mzeee wa USIPOKUBALI KULIWA HULIII!!;🤣🤣🤣

  • @andersonchongoma1723
    @andersonchongoma1723 Год назад +1

    Ahsante ,umekiri kuwa muda wako mwingi umemtumia nyumbani kwako msoga ,kweli ni jambo kubwa Mh Jakaya Kikwete ni mwenyeji na mkazi wa msoga ...huu ni ushahidi ...anakaa na wajukuuu ....hongera saaana ...

  • @collinmshana8029
    @collinmshana8029 2 года назад +10

    Kama matusi mitandaoni ni tabia zenu hata akifufuka magufuli mtamtukana tu

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 года назад

      😶😶🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

  • @fidelslick2086
    @fidelslick2086 2 года назад +6

    Cold blooded killer ...Lazima umkumbuke Marehemu Magufuli zero speech

    • @chusse_2287
      @chusse_2287 2 года назад +1

      Mijinga mingi bongo hiii

  • @coachsportif9533
    @coachsportif9533 2 года назад +4

    BARAKOA ILIKUWA KWA MAGUFULI TU
    LEO MAGUFULI HAYUPO UNAJIACHIA UPENDAVYO
    MDA UTAONGEA

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush8291 2 года назад +3

    mmmmh so nawajukuu wake wanataka inchi ashike babu yao wazid kumiza watanzania yaani hadi vijukuu vifisad ??? hashililah hasbuna llah waneemal al wakeel awen kwanini maghufuli kachukua fasi yako mmmmmmh?

    • @neemakilomoni4258
      @neemakilomoni4258 2 года назад +1

      Ndio maana yake grandson like grandpa + like father 😂😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад

      UTAKUFA KWA CHUKI BINAFSI.

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 2 года назад +12

    Ni mara ya Kwanza kwanini. Na kwanini keki inafanana na jeneza

    • @yasintakahamba1320
      @yasintakahamba1320 2 года назад

      Bola ndio iwe ishala ya yeye kutoka duniani aende kuzimu afate roho za watu alio watoa yeye

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 2 года назад

      @@yasintakahamba1320 😂😂

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 2 года назад

      Hahaha 😂 😂 😂

    • @mosesmzakwe7774
      @mosesmzakwe7774 2 года назад

      Walichokitaka wamefanikisha

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 2 года назад

      BJzee 19,Swali Hilo unawauliza waandaaji wa sherehe au waalikwa?Always offensive mind makes people foolish like you!!

  • @sumisumi8181
    @sumisumi8181 2 года назад +8

    😁😁😁😁 uyu Mzee yuko funny mno

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 2 года назад +3

    Huyu mwamba aliongoza Kama maraika rakini watu bado walileta upinzani

  • @jacobmakono4399
    @jacobmakono4399 2 года назад +3

    ..utafikiri hajafanya Yale!!

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale 2 года назад +14

    Kuna watu wanateseka kwa komenti zao. Huyo wanamtesekea, anacheka kwa tabasamu kubwa. Jifunze kuishi na sio kuishia!

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 2 года назад +2

      Muddyb, Wana chuki binafsi hao,wanasumbuliwa na Yale mambo flani flan. wanamchukia mtu asiyekuwa na habari nao na wala hawalingani na hadhi yake.

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 2 года назад

      @@wazirisaid8326 Roho chafu!

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад

      @@wazirisaid8326 NA WENGINE NI MALAYA WAUZA UCHI 2 🤣🤣🤣🤣

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад +1

      @@TamuzaKale CHAFU SANA MARADHI HAYO HAWAPONI MPAKA WAFE.

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 2 года назад

      @@salimmalaka256 Yaani!

  • @Khadija-qr4cr
    @Khadija-qr4cr 2 года назад +4

    Mashaallah tunakukumbuka rais mstaafu mungu akupe maisha marefu

  • @josephkweka8463
    @josephkweka8463 2 года назад +12

    Mzee Kikwete MUNGU akuzidishie hekima busara na afya njema.

  • @husseinyusuph2751
    @husseinyusuph2751 2 года назад +16

    Hata magufuli watu walimtukana Leo nashangaa watu wanamchafua kikwete ukichunguza hao watu enzi za kikwete waliokuwa wananyonyonya sijui hizi sifa walisikia wapi acheni kumchafua watu mungu ndie anajua siri za kila mtu dunia

  • @furahajoseph7172
    @furahajoseph7172 2 года назад

    Mbona kipindi jembe letu lilipo kuwa hai ulikuwa umepotea mangufuli ndo alikuwa muzalendo

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 2 года назад +5

    Kwani wana staafu kwa umri gani mbona bado wadogo hivi wengine

  • @prosperndelwa4560
    @prosperndelwa4560 2 года назад

    𝐜𝐡𝐮𝐤𝐮𝐚 𝐭𝐚𝐧𝐨 𝐤𝐰𝐚𝐧𝐳𝐚 ..𝐫𝐚𝐢𝐬 𝐰𝐞𝐭𝐲𝐮𝐮 𝐦𝐬𝐭𝐚𝐚𝐟𝐮 𝐮𝐧𝐚𝐰𝐚𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐨𝐭𝐨 ..

  • @revocatusmashimba1347
    @revocatusmashimba1347 2 года назад +4

    Barakoa kumbe maigizo2 leo jamaa wamegoma kuzivaa wamesha sh2ka Mjulishen na mam.

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 2 года назад

      Chanjo nazo tutakoma ss tulokuwa nchi za watu maana uku wafanyakaz wanasindano zao wao wenyew wanasindano zao

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад

      @@mahmoodalghefeili5370 MALAYA WACHA FITNA HUNA UJUWALO.

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 2 года назад

    Ndiyo maana ulideal naye na sasa unaiongoza nchi kwa kutumia kivuli chako kwa maslahi ya biashara zako

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 Год назад

    Pesa zetu za wavyuja jasho zinatumika mungu unaona au? huoni ?mungu wetuu

  • @aishandwata2207
    @aishandwata2207 2 года назад +6

    Allah akupe afye njema

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 2 года назад +1

    Yani mzee umejikuna kisha umekata keki kisha uyo mtu umemlisha na mkono🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️😀

  • @yonagerard5834
    @yonagerard5834 2 года назад +1

    Big up Jk nakuelewaga mnooo

  • @augustantiruka8603
    @augustantiruka8603 2 года назад +9

    😂😂😂😂😂nimecheka sana kwa habari za wajukuu.kumbe wanao chezea cm ma game wako wengi jamani
    Hongera sana Mzee baba Rais wetu mstaafu tunakupenda sana hufi leo wala kesho huna makuu na mtu moyo wako haujui kukasirika na moyo ndiko kwenye chemi chemi ya uzima wa mtu,
    Moyo ndiyo Pharmacy ya kila mtu,kama moyo ukiubebesha vinyongo,uka ukosesha Armani,ujue unatafuta kifo ila kama uki upa Armani utaishi mpaka vizazi vingi

  • @fredrickmwegole7337
    @fredrickmwegole7337 2 года назад

    Kwaiyo akiulizwa tu hata na mtu umesha mtoa bongo hii

  • @salimmgwame9504
    @salimmgwame9504 2 года назад +6

    Muheshmiwa mtahafu Kikwete anaongea vizuri Sana na anafurahisha, Kati yawatu wanaokupenda muheshmiwa namimi Nino.

    • @manasengobei9968
      @manasengobei9968 2 года назад

      Huyu mzee Ni mnzuri kwenye kuongea lakini vitendo hamna kabisa kwenye utawala wake kuna rushwa za ajabu na za kutisha ziliibuka lakini hakuchukua jukumu, kazi yake ilikuwa ni kutabasamu tu.

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 2 года назад

      @@manasengobei9968 kwani rushwa imeisha lini

  • @hidayambarka6514
    @hidayambarka6514 6 месяцев назад

    Hamna anaesahau mke sema nivijimambo tu

  • @hidayambarka6514
    @hidayambarka6514 6 месяцев назад

    Tunataman urudi tena madarakan bado umr unaruhusu

  • @timothbenard8213
    @timothbenard8213 2 года назад +5

    Polis wasasa wazush tuuu

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 2 года назад +4

    Raia ndio kila kitu ndio maana mwngine anaitwa kiongoz ,shida ni pale kiongoz anasahau yupo pale Kwa ajili ya Nan au nn ,hapo ndio changamoto

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 года назад

    waTz Tuache Unafiki

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 2 года назад +3

    Hakuna anae taka kustafu ila hakuna namna.

  • @omariddi8073
    @omariddi8073 2 года назад +10

    Safi sana mzee wa ari mpya kasi mpya maisha bora kwa kila mtanzania

  • @AdamMyala-j5z
    @AdamMyala-j5z 2 месяца назад

    Kwenye kuongea tuu we fundi.

  • @zalfahashimu9393
    @zalfahashimu9393 2 года назад +2

    Hongereni wastafu

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 2 года назад

    Khekma Sana Mzee wetu

  • @avatar3879
    @avatar3879 2 года назад +2

    Sikh moja cousins wangu walicheza sembuleni mpaka babu akasema ajisikia mgonjwa

  • @rajabrukonge580
    @rajabrukonge580 2 года назад +8

    Kipenzi cha wengi Allah akuweke zaid miaka buku

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 2 года назад +4

      Kipenzi cha mafisadi. Watanzania waliteseka sana mikononi mwake. Wachache walifaidika mali za Watanzania wote. Na bado anaendeleza. Huyu hakuacha legacy yeyote zaidi ya kuluhusu ufisadi uliowatesa Watanzania walio wengi.

    • @material_liv4674
      @material_liv4674 2 года назад

      @@gracegrace6200 labda kipenzi chake yeye na fisadi mwinzie

    • @mussasualehe7146
      @mussasualehe7146 2 года назад +1

      @@gracegrace6200 Chuki haisaidii

    • @mussasualehe7146
      @mussasualehe7146 2 года назад

      @@material_liv4674
      Easy nyie ni mazz

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 2 года назад +5

      Nani sio chawengi katuulia magufuli huyu

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 2 года назад +2

    Kisima cha hekima

  • @hidayambarka6514
    @hidayambarka6514 6 месяцев назад

    Bado kabisa anaita

  • @laghtnesphilipo489
    @laghtnesphilipo489 2 года назад +3

    Mungu akupe maisha marefu Rais wangu nimpendae jk,

  • @nunumrisho6548
    @nunumrisho6548 2 месяца назад

    Hongera sana kaka

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 2 года назад

    Aliona hapo mzee kabla ya kukata keki amejikuna kidogo kisha kakata keki😀😀😀🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 2 года назад +17

    Nchi inajengwa na wana Nchi.
    Mkiwageuzia maisha wanyonge ni ishara ya Nchi kupata mafanikio.
    Uraiani kuna maisha magumu. Huli unachotaka unakula ulichokipata.

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 2 года назад +3

    Watu wana zeeka na sura zao

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 2 года назад

      Ukiwa na moyo Safi sura yako haiwezi kukunjanakunjana wala kukosa nuru

  • @deboramanga2616
    @deboramanga2616 Год назад

    Nimemkubali

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 2 года назад +1

    Swali hiv kwa kikwete bado kuna kovidi kumbe!!!

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 2 года назад +13

    Safi Sana , mstaaf Kikwete , Mungu akujaalie na akupe roho ya Imani na huruma kwa watu.

  • @swalehemchora3167
    @swalehemchora3167 11 месяцев назад

    Mzee wa bata sana

  • @justinerichard6823
    @justinerichard6823 2 года назад +6

    Saffiii

  • @StellaKaluwa
    @StellaKaluwa 28 дней назад

    Hapo Sasamm

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 года назад +1

    Mwalimu mzuri wa maisha. Unafaa kuwatia watu ❤️. Walioondoka moyo hupata faraja.

  • @dorisselembo1225
    @dorisselembo1225 2 года назад +45

    Rest in peace Magufuli forever in ♥️

    • @leilahasani3118
      @leilahasani3118 2 года назад +7

      Nyie wanafki tu hamnalolote na Ndio Dalili ya wanafki mlivyo hta angekfriki Jakaya akaingia Kagufuri Ingekuwa kila day Ni Rest in peace Jk

    • @alimussa2655
      @alimussa2655 2 года назад +6

      @@leilahasani3118 😂😂 wanafki mnoo

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 2 года назад +4

      We naye magufuli katokea wapi hapa sasa..mxieq

    • @magdalenapeter419
      @magdalenapeter419 2 года назад +1

      @@leilahasani3118 wewe ndiyo mnafiki nani ulimskia alisema Mkapa Rest and peace?

    • @leilahasani3118
      @leilahasani3118 2 года назад +4

      @@magdalenapeter419 Hunalolote nyie ndie mliegeuza wimbo wa chama nyie Mkaanza imba '' Tumeipenda wenyewa wacha tuisome number"

  • @msomimosomy9812
    @msomimosomy9812 2 года назад

    Upuuzi

  • @boniphacebenard5234
    @boniphacebenard5234 2 года назад

    Kikwete

  • @danielbarickmunishi3785
    @danielbarickmunishi3785 2 года назад

    Wapi DC

  • @jamesmhaiki164
    @jamesmhaiki164 2 года назад

    Ni

  • @masakamgalla9273
    @masakamgalla9273 2 года назад +1

    Kuna kajamaa ka maroon coat kamepiga norinda hadi raha🙈

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir 2 года назад +4

    Ishi maisha marefu Rais wa vijana, Raisi mwenye moyo safi ..!!
    Najua Sukuma Gung hawatopendezwa na sauti hii hadimu sana 😄 lakini kula maisha mzee hakuna wakukufanya chochote kwani ulifanya kazi yako safi kwa kufata sheria na kuheshimu katiba yetu si haba ..!!!

    • @dorahy1579
      @dorahy1579 2 года назад

      Acha unafiki unajua kuwa mtu mzuri liependwa na wengi

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 2 года назад

      Huyo ni muuwaji

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад

      @@hadijamagufuli2661 ULIKUWA NAE WAKATI AKIUWA VP UMEJUWA????

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 2 года назад

      @@salimmalaka256 muuwaji tu hiyo habar nadhani sio ngeni kwako so usinichefue ila kikwete ni muuwaji kamuuwa magfuli kama utakataa kataa lakni huku kitaa wengi tunajuwa Hilo

  • @anitasita7153
    @anitasita7153 2 года назад +3

    KAZI YAKE KIVIPI YANI ACHENI UPUUZ TZ SIO NCHI YA KIFALME MTU AKITAKA UFALME APELEKE KWAKE NA MKEWE 😤😤😤😤

  • @wilbertsanze285
    @wilbertsanze285 2 года назад +15

    Huwa kila leo najiuliza maswali nchi hii ni ya chama kimoja?

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 2 года назад

      Ndio wanavyotaka kuipeleka

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 года назад

      Ni udhaifu tu wa vyama vyenyewe lakini Tanzania ni nchi ya vyama vingi kule Zanzibar ambayo ni sehemu /shareholder 50% ACT ni sehemu ya Serikali ya SMZ.

  • @saidlwambo2152
    @saidlwambo2152 2 года назад +1

    Mzee Ismail Hongera.

  • @karimsolyambingu6335
    @karimsolyambingu6335 2 года назад +9

    MUNGU AKUPE UMRI MREFU MH.JK RAIS WA “MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA” HAKIKA MAISHA YALIKUWA BORA! 😊

  • @rasheedmbaraka7199
    @rasheedmbaraka7199 2 года назад +5

    Long life jakaya

  • @andrewtamba6671
    @andrewtamba6671 2 года назад +17

    During your time every one was happy na smiling! Still Loving you Dady and may the Almighty God prolong your life and keep you heathy

    • @manasengobei9968
      @manasengobei9968 2 года назад +4

      My friend we don't need happiness, we need development, happiness is not vital when people live under poverty, poor social services poor infrastructures and so forth.

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 2 года назад +5

      Not everyone please take that back. Only few corrupt individuals were happy. Kikwete was supposed to be in jail, to insult Tanzanians he was rewarded a house.

    • @joezeno8
      @joezeno8 2 года назад +2

      @@manasengobei9968 I agree with you

    • @OfficialD.K
      @OfficialD.K 2 года назад

      ruclips.net/channel/UCMGlrUfUXqXog-g1HA_EcGw

    • @luganomunuwavanu9369
      @luganomunuwavanu9369 Год назад

      Mmmmh

  • @dodwiedwin3944
    @dodwiedwin3944 2 года назад +2

    Nawe unatakiwa ufe kama ambavyo umewatanguliza mwenzio, mkapa jom na wengine wengi. Hufai hata kidogo lkn utajuta.

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani1486 2 года назад +2

    Nyhso zenye huzuni ujue maisha ya kazi n matamu

  • @hadaitachomoka4723
    @hadaitachomoka4723 2 года назад

    Dc pangani

  • @kibaopipa3474
    @kibaopipa3474 2 года назад +14

    WEWE SIYO MTU WEWE

    • @ramadhanwilbard8196
      @ramadhanwilbard8196 2 года назад

      Mtu ni nani?

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад

      @@ramadhanwilbard8196 NA YY PIA SIO MTU JANA LAKE KIBAO BABA PIPA 🤣🤣🤣🤣

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 2 года назад +2

    Utupolo

  • @paulebby1552
    @paulebby1552 2 года назад +2

    Kujishughulisha muhim bwana tusisahau wake 😂😂

  • @saidipara4134
    @saidipara4134 2 года назад

    Tulambe asali

  • @umojaninguvukubwa631
    @umojaninguvukubwa631 2 года назад +6

    Hayo ndio anayoyapenda kikwwtw

  • @muddymiusic1624
    @muddymiusic1624 2 года назад +1

    💪 namkubali

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 2 года назад

    Wewe umekaa Zanzibar lakini bado hujui kiswahili hakuna neno badala katika kiswahili bali kuna neno linaloitwa baada...ni neno linalotoka katika lugha ya kiarabu...💯👌thanks

  • @raphaeltesha8248
    @raphaeltesha8248 2 года назад +16

    Hongera baba kwa mawaidha mazuri. Bado tunakumic sana . You are such a gentle and blessed mentor for our generation

  • @emmakulatamulongo6547
    @emmakulatamulongo6547 2 года назад

    Kwa kweli tabasamu lako linaleta matumaini nakukubali baba yetu

  • @johnkatabi9793
    @johnkatabi9793 2 года назад +2

    mnaotoa matusi mnamuonea huyu mzee jamani hamna hata ushahidi watu mnatukana tu ovyo,kwakweli siyo vyema

  • @dolphine7698
    @dolphine7698 2 года назад

    Hamuna lolote nyinyi ndio muliokua munadhulumu raiya na mali zao njoon uraiani muje kula njaa

  • @johnnyahi4875
    @johnnyahi4875 2 года назад +3

    Jpm lala baba wote tu wasafiri

  • @RecapAI
    @RecapAI 2 года назад

    Defacto ruller

  • @onlygame5110
    @onlygame5110 2 года назад +4

    Mzee hongera kwako ulifanya mazuri mengi naamini kila mwananchi kwakipindi chako aliishi maisha fulani mazuri.mimi binafsi natamani siku moja nipate nafasi walau ya kushika mkono ✋ wako nipate baraka zako Mkwere japo niko Kenya.nitamuomba Mungu anifanikishe #weye wimfalme mkulu

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 2 года назад

    Hicho kwenye glass ni kitu gani

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 2 года назад +4

    Aaaah ila hii nchi kazi tunayo wanyonge

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 2 года назад

      Yaaan mhhhh

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 2 года назад

      its not only Tanzania, many nations in the world. to solve all these mess we need to start on ourselves then we pray so GOD will intervene for HiS Will to be expressed. other than that, we will keep crying, blaming and poking

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 2 года назад

      Mnyonge wewe tu sisi sio wanyonge

    • @enickosanga4921
      @enickosanga4921 2 года назад

      @@azizawadh5973 si unapewa za kula kwa mwezi ndo maana unasema hivo au

  • @gracejoseph9451
    @gracejoseph9451 2 года назад

    Nmewaona nikawakumbuka gafla

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад

    🙄

  • @Mjomba_Side
    @Mjomba_Side 2 года назад

    Kuna pisi imepita imevaa nyekunda 06:09