KIKWETE ASIMULIA SWALI ALILOULIZWA NA MJUKUU WAKE "KWANINI MAGUFULI KACHUKUA KAZI YAKO?"
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- Rais Mstaafu wa Tanzania, Dr. Jakaya Kikwete amewasihi Wastaafu nchini kujishughulisha na shughuli mbalimbali na kufanya mazoezi badala ya kutumia muda mwingi kulala tu ili kuepusha miili na ubongo kutochoka haraka.
Dr. Kikwete ametoa rai hiyo wakati wa shughuli za kuwaaga Askari Wastaafu Wilayani Chalinze ambapo Rais huyo Mstaafu alikuwa Mgeni rasmi.
Ahsante ,umekiri kuwa muda wako mwingi umemtumia nyumbani kwako msoga ,kweli ni jambo kubwa Mh Jakaya Kikwete ni mwenyeji na mkazi wa msoga ...huu ni ushahidi ...anakaa na wajukuuu ....hongera saaana ...
Mashaallah tunakukumbuka rais mstaafu mungu akupe maisha marefu
Safi Sana , mstaaf Kikwete , Mungu akujaalie na akupe roho ya Imani na huruma kwa watu.
Mzee nimeipenda hiyo ya kumsaau dem wako big up couz hauna makuu sisi tunapenda
MZEE MSTAARABU KABISA MWENYE NYOTA YA NGAO YA TAIFA HASA!!! MWENYE UMOJA AMANI UPENDO NA MSHIKAMANO BADO TUNAKUPENDA SANA KIPENZI CHA WENGI MUNGU AKUPE AFYA NJEMA NA UMRI MREFU WENYE MANUFAA INSHAALLAH🙏
Mashallah nakupenda sana akhuyi kikwete wewe ni mtu mwenye hekma mashallah 🥰🥰🥰🥰🇴🇲
Safi sana mzee wa ari mpya kasi mpya maisha bora kwa kila mtanzania
Mzee hongera kwako ulifanya mazuri mengi naamini kila mwananchi kwakipindi chako aliishi maisha fulani mazuri.mimi binafsi natamani siku moja nipate nafasi walau ya kushika mkono ✋ wako nipate baraka zako Mkwere japo niko Kenya.nitamuomba Mungu anifanikishe #weye wimfalme mkulu
Big up Jk nakuelewaga mnooo
Hongera baba kwa mawaidha mazuri. Bado tunakumic sana . You are such a gentle and blessed mentor for our generation
Watanzania tujenge tabia ya kuwapenda viongozi wetu.Mpuuzi ana comment eti hana legacy viongozi wote wa Tanzania wana legacy.Hiyo amani tuliopata tuu inatosha kuwa shukuru wapo wenzetu leo wanatamani waishi hivi.Tembea kwa wenzetu muone tuache ujinga lets appreciate what our leaders do.
Siungi mkono kama kuna alietoa lugha isiyo rasmi ispokuwa kama amani tulishakuwa nayo je hatupaswi kuendelea kiuchumi? Tunaishia kusema amani tu inatosha wakati kama nchi inaamani inatakiwa ipige hatua kiuchumi kwa kasi maana amani ndio njia salama kuelekea kwenye uchumi sasa toka mwaka 61 inchi imepata uhuru na wengune hatukuwepo mpaka sasa tunazeeka hatuoni mabadiliko yanayoenda na kasi ya kitu kinachoitwa inch yenyr amani na usalama lakin uchumi 0 uchumi wa china na Tanzania miaka yanyuma ilikuwa sawa leo huwezi tu ukalinganisha hata kusema tuliwah kukingana unaweza ukaonekana chizi namna walivyotuacha. Hv ardhi yetu unaweza kulinganisha hata na dubai tu!! Lakin kwavile walijiona wao ni masikini wanamafuta tu na hawana vivutio wala ardhi nzuri yenye rotuba wakajipanga ili kuifanya nchi yao iwe ya vivutio moja jengo refu kuliko yote duniani, mahoteli ya kifahari chini ya bahari majumba ndani ya bahari na sasa wanatengeneza mlima mrefu, mlima wa kutengeneza wakati sisi tunayo bureee ya asili lkn haina faida kiuchumi, hata kilimanjaro mountain bado sana mapato yanayoingia pala huwezi kulinganisha na mapato yanayoingia misri kwenye piramid zao tuna vivutio bora na vingi duniani lkn haitusaidii kiuchumi tuna gas lkn haina msaada kwetu tuna madini ghali duniani na hayapatikani sehemu yoyote duniani zaidi ya Tanzania lkn bado masikin tu, huku kuwatetea viongozi wanakuja nao wanahalalisha tu kuwatanzania wao wanataka amani tu basi, amani tunayo tayari sasa tunataka uchumi.
Asante sana Mhe.Rais Mstaafu kwa mawaidha mazuri uliyo wapatia hawo askari wastaafu.
Leo barakoa zipo wapi🤣🤣🤣🤣
Mungu akupe maisha marefu Rais wangu nimpendae jk,
Tunsmsubiria afe huyo mzeee
Muheshmiwa mtahafu Kikwete anaongea vizuri Sana na anafurahisha, Kati yawatu wanaokupenda muheshmiwa namimi Nino.
Huyu mzee Ni mnzuri kwenye kuongea lakini vitendo hamna kabisa kwenye utawala wake kuna rushwa za ajabu na za kutisha ziliibuka lakini hakuchukua jukumu, kazi yake ilikuwa ni kutabasamu tu.
@@manasengobei9968 kwani rushwa imeisha lini
Kweli kabisa Mzee Kikwete❤❤👆👆
😁😁😁😁 uyu Mzee yuko funny mno
Ukifanya kazi nzuri, watakupenda tu na moyo wako utakushuhudia tuu una pendwa, okay karibu
Mstaafu raisi wetu kipenzi mtani wangu mie nakupenda sana nakuombea dua
Wewe umekaa Zanzibar lakini bado hujui kiswahili hakuna neno badala katika kiswahili bali kuna neno linaloitwa baada...ni neno linalotoka katika lugha ya kiarabu...💯👌thanks
Mzee Ismail Hongera.
Hongereni wastafu
During your time every one was happy na smiling! Still Loving you Dady and may the Almighty God prolong your life and keep you heathy
My friend we don't need happiness, we need development, happiness is not vital when people live under poverty, poor social services poor infrastructures and so forth.
Not everyone please take that back. Only few corrupt individuals were happy. Kikwete was supposed to be in jail, to insult Tanzanians he was rewarded a house.
@@manasengobei9968 I agree with you
ruclips.net/channel/UCMGlrUfUXqXog-g1HA_EcGw
Mmmmh
Barakoa kumbe maigizo2 leo jamaa wamegoma kuzivaa wamesha sh2ka Mjulishen na mam.
Chanjo nazo tutakoma ss tulokuwa nchi za watu maana uku wafanyakaz wanasindano zao wao wenyew wanasindano zao
@@mahmoodalghefeili5370 MALAYA WACHA FITNA HUNA UJUWALO.
Aliyeshindwa kuanza maisha kwenye utawala wa Kikwete alikuwa mzembe wa kutupa make fursa zilikuwa nyingi sana, Mmungu akuongezee umri mrefu!
Mwenyez Mungu akuweke Sana Mzee wangu, hekima na busara zako n muhimu Sana Kwa wa Tz
..utafikiri hajafanya Yale!!
Hahahaha Yan
Allah akupe afye njema
😂😂😂😂😂nimecheka sana kwa habari za wajukuu.kumbe wanao chezea cm ma game wako wengi jamani
Hongera sana Mzee baba Rais wetu mstaafu tunakupenda sana hufi leo wala kesho huna makuu na mtu moyo wako haujui kukasirika na moyo ndiko kwenye chemi chemi ya uzima wa mtu,
Moyo ndiyo Pharmacy ya kila mtu,kama moyo ukiubebesha vinyongo,uka ukosesha Armani,ujue unatafuta kifo ila kama uki upa Armani utaishi mpaka vizazi vingi
Jakaya baba hongera sana Kwa busara zako na hekima zako mm binafsi nakukumbuka sana Mungu akuweke baba
MIMI KAMA MIMI NAPINGANA NA WEWE SIKU ZOTE ULICHOKIFANYA AWAMU YAKO YA 4 NI UFISADI ULIOKIDHIRI NA HIVI SASA BADO HUTULII BADO UNACHOKO CHOKO KUMBUKA HII NCHI SIYO YAKO WALA SIYO YA MAKAMBA WALA YA KINANA TULIA NYUMBANI NA WAJUKUU ZAKO USIJIVUNJIE HESHIMA YAKO
☝🏻
Ukiacha ujinga utakuwa na akili lakini maadhali ujinga udini umekujaa ule mliojazwa na mwendazake,basi utakuwa raia mwema lakini sasa nakuona raia wa vatican badala ya Tanzania..!
Hongera sana baba Naomba Ile ahadi yako ulipo Kuja USA pale kwa Mwakawago turudi nyumbani utatupa kazi nimerudi na ninaujuzi wa uchunguzi wa vifo from USA since 93 Naomba nisaidie baba nisiidie nchi yangu kwa ujuzi nilio upata USA
Tuchunguzie kifo cha Jpm kwanza
Tuanze na kifo cha JPM
@@martinhinda5233 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@themessengertz1237 sasa c kashazikwa🤣🤣🤣
@@mahmoodalghefeili5370 uchunguzi wa vifo huwa haujali mtu kashaoza au kabaki mifupa muulize mtaalamu, kuna kesi za vifo zina miaka zaidi ya 30
Hongera sana kaka
Ishi maisha marefu Rais wa vijana, Raisi mwenye moyo safi ..!!
Najua Sukuma Gung hawatopendezwa na sauti hii hadimu sana 😄 lakini kula maisha mzee hakuna wakukufanya chochote kwani ulifanya kazi yako safi kwa kufata sheria na kuheshimu katiba yetu si haba ..!!!
Acha unafiki unajua kuwa mtu mzuri liependwa na wengi
Huyo ni muuwaji
@@hadijamagufuli2661 ULIKUWA NAE WAKATI AKIUWA VP UMEJUWA????
@@salimmalaka256 muuwaji tu hiyo habar nadhani sio ngeni kwako so usinichefue ila kikwete ni muuwaji kamuuwa magfuli kama utakataa kataa lakni huku kitaa wengi tunajuwa Hilo
Mwalimu mzuri wa maisha. Unafaa kuwatia watu ❤️. Walioondoka moyo hupata faraja.
Kweli kabisa raha sana kuwa n.a. wanao n.a. wajukuu zako 🤲🙏😍❤❣👍
Safi sana Kikwete kazi iendelee
kazi iendelee
Yani mzee umejikuna kisha umekata keki kisha uyo mtu umemlisha na mkono🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️😀
Aliona hapo mzee kabla ya kukata keki amejikuna kidogo kisha kakata keki😀😀😀🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Hapo Kama ulikua unatenda Haki wala hunawasiwasi ila Kama ulitumikia jeshi Kama fimbo yakunyanyasa wengine Muda wa amli ushakwisha
Mungu akupe miaka 100 Rais wangu kipenzi.
Mzee baba nakupenda Sana mtu was mungu.
Cc wapare tunasema, kidudu kilichotulia ndo kinachokula mbegu
Nchi inajengwa na wana Nchi.
Mkiwageuzia maisha wanyonge ni ishara ya Nchi kupata mafanikio.
Uraiani kuna maisha magumu. Huli unachotaka unakula ulichokipata.
Mzee Kikwete MUNGU akuzidishie hekima busara na afya njema.
Nakupenda sana jk uko makini sana
Ni mara ya Kwanza kwanini. Na kwanini keki inafanana na jeneza
Bola ndio iwe ishala ya yeye kutoka duniani aende kuzimu afate roho za watu alio watoa yeye
@@yasintakahamba1320 😂😂
Hahaha 😂 😂 😂
Walichokitaka wamefanikisha
BJzee 19,Swali Hilo unawauliza waandaaji wa sherehe au waalikwa?Always offensive mind makes people foolish like you!!
Hongera JK
Hata magufuli watu walimtukana Leo nashangaa watu wanamchafua kikwete ukichunguza hao watu enzi za kikwete waliokuwa wananyonyonya sijui hizi sifa walisikia wapi acheni kumchafua watu mungu ndie anajua siri za kila mtu dunia
Kikweli nakupenda sana kipindi cha uongozi wako hatukua na maisha magum kama sasa, Natamani ugombee tena 2025
Hujui usemalo
MUNGU AKUPE UMRI MREFU MH.JK RAIS WA “MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA” HAKIKA MAISHA YALIKUWA BORA! 😊
Good idea
Mungu akupe maisha mema.
Hongera rais wetu mstaaf ,hunaga sifa ya kujimwambafai2,,, uko vixuri
2025 mjengon kikwete allah akitufikishaa 🎉🎉❤❤
Rest in peace Magufuli forever in ♥️
Nyie wanafki tu hamnalolote na Ndio Dalili ya wanafki mlivyo hta angekfriki Jakaya akaingia Kagufuri Ingekuwa kila day Ni Rest in peace Jk
@@leilahasani3118 😂😂 wanafki mnoo
We naye magufuli katokea wapi hapa sasa..mxieq
@@leilahasani3118 wewe ndiyo mnafiki nani ulimskia alisema Mkapa Rest and peace?
@@magdalenapeter419 Hunalolote nyie ndie mliegeuza wimbo wa chama nyie Mkaanza imba '' Tumeipenda wenyewa wacha tuisome number"
💪 namkubali
Wao mpaka nikamic chalinze
Kwani wana staafu kwa umri gani mbona bado wadogo hivi wengine
Uyu ndo kiongoz wangu bora
Allah akupe mwisho mwema raisi wetu mstaafu
Kwaiyo akiulizwa tu hata na mtu umesha mtoa bongo hii
Huyu mwamba aliongoza Kama maraika rakini watu bado walileta upinzani
Nlichoona ni keki inafanana na jeneza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aaaah ila hii nchi kazi tunayo wanyonge
Yaaan mhhhh
its not only Tanzania, many nations in the world. to solve all these mess we need to start on ourselves then we pray so GOD will intervene for HiS Will to be expressed. other than that, we will keep crying, blaming and poking
Mnyonge wewe tu sisi sio wanyonge
@@azizawadh5973 si unapewa za kula kwa mwezi ndo maana unasema hivo au
Long life jakaya
🤣🤣ni kweli ase kipindi Cha corona nimekaa nyumbn miezi Sita ivi kweli mimi ni WA kumtongoza mke wangu na kumuambia sijaowa 🤒🤒
Hii ndo Tanzania 🇹🇿 nchi yenye udongo wenye dhambi wanalisaka sana taji la ushindi. Naona comments za watanzania ni matusi tu ila mzee unabusara.
Mbays sana sana nyoka
Mzeee wa USIPOKUBALI KULIWA HULIII!!;🤣🤣🤣
Raia ndio kila kitu ndio maana mwngine anaitwa kiongoz ,shida ni pale kiongoz anasahau yupo pale Kwa ajili ya Nan au nn ,hapo ndio changamoto
Cold blooded killer ...Lazima umkumbuke Marehemu Magufuli zero speech
Mijinga mingi bongo hiii
Naikumbuka ile slogan ya maisha Bora kwakila mtanzania, ilikua niharakati za kuiendeleza kazi walizo asisi wazee wa nchi hi nyerer na karume. Nataka kusema maneno yako yataishi kwetu mzee KIKWETE, usijali mama Samia yupo kazi iendelee
Kuna watu wanateseka kwa komenti zao. Huyo wanamtesekea, anacheka kwa tabasamu kubwa. Jifunze kuishi na sio kuishia!
Muddyb, Wana chuki binafsi hao,wanasumbuliwa na Yale mambo flani flan. wanamchukia mtu asiyekuwa na habari nao na wala hawalingani na hadhi yake.
@@wazirisaid8326 Roho chafu!
@@wazirisaid8326 NA WENGINE NI MALAYA WAUZA UCHI 2 🤣🤣🤣🤣
@@TamuzaKale CHAFU SANA MARADHI HAYO HAWAPONI MPAKA WAFE.
@@salimmalaka256 Yaani!
You still look young and healthy my dad JK, I wish you should come again in 2035 after our beloved president Mama Samia's retirement.During your time every body was smiling even those who are now abusing you.May the almighty Allah keep you healthy and young forever.
Unampenda sana lakini kumpenda zaidi ni kumuacha apumzike. Kwa nini usimtaje Samia aendelee. Heshimu Katiba.
Not everybody was smiling, the few selective ones. The looters, thieves and corrupts, probably you were one of them. Majority of Tanzanians suffered so much under Kikwete. Himself and his brother Membe enjoyed unnecessarily trips to Europe using public money. History will judge them
Eheheeeee! hm! Never
I don't understand if you are a human being or not, how can you praise Kikwete in that way, this president was more than corrupt person.
@@gracegrace6200 Is there any problem for using the public money for the public interests? You have nothing to hate him than personal hateness and no one can change you because no one is forced to believe what you believe in. Don't hate people unnecessarily my sister Grace.
True dady
Kujishughulisha muhim bwana tusisahau wake 😂😂
Defacto ruller
Kwa kweli tabasamu lako linaleta matumaini nakukubali baba yetu
Kuna kajamaa ka maroon coat kamepiga norinda hadi raha🙈
Kama matusi mitandaoni ni tabia zenu hata akifufuka magufuli mtamtukana tu
😶😶🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Tapeli
Hakuna anae taka kustafu ila hakuna namna.
Sawa mzee mungu akupe maisha marefu ila uliwalea sana wale wa msemo wa unanijua mm ni nani maana kila kona tulikuwa tunatishiwa2 unanijua mm ni nani daaah tuliishi mwenye nacho na mwenye nyazifa flabi anakuwa kama mungu mtu ila jembe aliwanyoosha R.I.P jembe mungu akupe maisha marefu mzee wa msoga
Hamna anaesahau mke sema nivijimambo tu
WEWE SIYO MTU WEWE
Mtu ni nani?
@@ramadhanwilbard8196 NA YY PIA SIO MTU JANA LAKE KIBAO BABA PIPA 🤣🤣🤣🤣
Hayo ndio anayoyapenda kikwwtw
Vizuri sana
Kisima cha hekima
Pesa zetu za wavyuja jasho zinatumika mungu unaona au? huoni ?mungu wetuu
Hicho kwenye glass ni kitu gani
Kipenzi cha wengi Allah akuweke zaid miaka buku
Kipenzi cha mafisadi. Watanzania waliteseka sana mikononi mwake. Wachache walifaidika mali za Watanzania wote. Na bado anaendeleza. Huyu hakuacha legacy yeyote zaidi ya kuluhusu ufisadi uliowatesa Watanzania walio wengi.
@@gracegrace6200 labda kipenzi chake yeye na fisadi mwinzie
@@gracegrace6200 Chuki haisaidii
@@material_liv4674
Easy nyie ni mazz
Nani sio chawengi katuulia magufuli huyu
Saffiii
Watu wana zeeka na sura zao
Ukiwa na moyo Safi sura yako haiwezi kukunjanakunjana wala kukosa nuru
Kuna pisi imepita imevaa nyekunda 06:09
Hapo Sasamm
We Mzee unakera sana sio sili.
Mtu mwenyew unaandika sio sili, kuandika tu hujui je kuelewa itakuaje
Mbwa mwitu anayeishi kwa ngozi ya kondoo, lakn kumbuka ukiua kw upanga utakufa kwa upanga na hakuna Siri iishiyo milele🙏🙏
Wewe ndo huna Akili kwani wanaokufa wote wanauwawa,.mda wake wakuishi Duniani uliisha.Hata yeye alijijua ndo maana kila mda alisema mtanikumbuka,alijua ugonjwa wake si wakupona.
veep alimuua baba ako nn mbn una lia bila sababu we nan kwanza unaongea hivi
tumia vzr mdando utakuja juta maan huelewek
Yaani kama hamnazo hivi.
KAZI YAKE KIVIPI YANI ACHENI UPUUZ TZ SIO NCHI YA KIFALME MTU AKITAKA UFALME APELEKE KWAKE NA MKEWE 😤😤😤😤
Na mm naomba uwe babu yangu.
Sikh moja cousins wangu walicheza sembuleni mpaka babu akasema ajisikia mgonjwa