UKITAKA NCHI ITULIE KAMATA WAZEE, UKIWATUMIA WATAKUSIMULIA" MSTAAFU KIKWETE ANENA ALIYOKUTANA NAYO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 194

  • @benmussa6336
    @benmussa6336 13 часов назад +6

    Shukran Mzee mwenzangu bila ya fikra ya wazee huwezi kwenda Mbele

  • @kenethmakaka3057
    @kenethmakaka3057 3 часа назад

    Mzee kikwete nakupongeza kwa hotuba Yako nzuri Hekima ya Mzee ni kweli hudumu milele mungu akupe maisha marefu

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 21 час назад +14

    Mwenyezi Mungu azid kukupa umri mrefu, Afya njema na mwisho mwema

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem9071 9 часов назад +1

    Great Speach 👍 👌 Mzee mwenye busara na hekima.

  • @eliaskangabo779
    @eliaskangabo779 16 часов назад +13

    Asante Mzee mstaafu RaisKikwete Mungu akubariki

    • @egdldm4981
      @egdldm4981 15 часов назад

      Ukamate wazee wasio na elimu, wasiojitambua uwajaze ujinga ili utawale nchi kimazoea kama ilivyokuwa tangu uhuru? Mbona mambo ya kizamani hayo Mzee msoga ? Nyakati zimebadilika ingawa GenZ wa Tanganyika bado wako usingizini tena wa pono.😮

    • @Miriam-m2b
      @Miriam-m2b 9 часов назад

      ​@@egdldm4981umeonae jinga can hili jamaa

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 8 часов назад

      @@egdldm4981we mkundu shika adabu yako msenge wewe

  • @kalekela-j1e
    @kalekela-j1e 18 часов назад +10

    Mzee Jakaya, Rais Mstaafu nampenda sana, kafanya makubwa

  • @mkude
    @mkude 7 часов назад +1

    Mwenyeezi Mungu Akupe Afya na Umri mrefu. Mzee wetu Kikwete

  • @johnmolamu1870
    @johnmolamu1870 19 часов назад +8

    Great idea, nakukubali sana mhe, Kikwete. Wewe ni jembe sana mzee wetu

  • @ShaibuAwadhi
    @ShaibuAwadhi 19 часов назад +10

    Mwenyenzi mungu akuhifadhi Mzee wetu unamaalifa mengi sana Mimi huwa nakuelewa siku zote we ndio kikwete

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 9 часов назад +1

    Enzi za mzee Kikwete maisha yalikuwa mepesi na fedha zilikuwa nyingi sana.

  • @jonakajigili6991
    @jonakajigili6991 20 часов назад +18

    Wazee kama Warioba hawasikilizwi
    Ila wazee wa hovyo ndio wana nguvu.

  • @BADILIJUSTUS-fs3oo
    @BADILIJUSTUS-fs3oo 6 часов назад +1

    Kiukwelii raisi mstaafu kikwete upogo vizuri sana unabusara, pia nimsikivu sana , hasa ulivyomsikiliza Nyerere ukamuachia mkapa kuwa mgombea wa uraisi wakati ulikuwa na vote zaidi yake na baadaye ukawaasa wakereketwa wako kuwa wasiendelee kuwa na ukereketwa kwamba uchaguzi umeisha na mgombea ni mkapa hivyo watu wako wageuke wamuunge mkono, inadhihilisha unaukomavu mkubwa sana pia na busara uendelee kujitokeza mara kwa mara jakaya ukitoweka sijui nchi yetu itabakije

  • @LaurentMagesa-iv5yt
    @LaurentMagesa-iv5yt 10 часов назад

    Mwenyezi mungu akupe maisha marefu sana Rais make bado Taifa linahitaji busara zako.

  • @Frank-b2d6u
    @Frank-b2d6u 16 часов назад +10

    Huyu anaeongea ndiye aliyefanya tuko hapa nakumbuka hata twiga walipanda ndege wazee wa bao la mkono

    • @Miriam-m2b
      @Miriam-m2b 9 часов назад

      Nae ndio rairsi wa hii Tanganyika anatumaliza lishetani

    • @JofreyMsigwa-ok7hv
      @JofreyMsigwa-ok7hv 6 часов назад

      Amemiss hotuba kajanjajanja sana haka kazee

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 13 часов назад +9

    Magufuli oyeee

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 День назад +9

    Hongera mzee mashuhuri kuongea kiswahili 😂

  • @innocentbrasio5213
    @innocentbrasio5213 10 часов назад

    Shabiki/Mfuasi wako no.1 nakupenda kwa sababu ya busara zako,mungu akulinde.

  • @JamesMwandoje
    @JamesMwandoje 4 часа назад

    Gud JK......❤❤❤❤❤

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 20 часов назад +16

    WAZEE WAPO C WEWE ATUKUSIKILIZI UMETURUDISHA NYUMA

    • @albertjames6845
      @albertjames6845 18 часов назад

      Wewe ni nani😄 huwezi hata kutumia jina lako hujiamini

    • @abdulkatalango2890
      @abdulkatalango2890 5 часов назад

      Amekurudisha wapi

    • @CopperBelt
      @CopperBelt 52 минуты назад

      Wakati kikwete yupo madarakani kariakoo ilijengeka kwa kasi kubwa na mno pamoja na maeneo mengine ya nchi yetu

  • @TimotheoSimtowe
    @TimotheoSimtowe День назад +19

    Ni Tanzania pekee ambapo wazee wanathaminiwa na kutukuzwa wakati vijana wanabaki kua machawa. Very sad😢😢😢

    • @protassilayo4200
      @protassilayo4200 День назад

      Na wewe kuwa Mzee.

    • @STEVENKAJUMBA
      @STEVENKAJUMBA 20 часов назад

      Wazee gani wanatunzwa acha uwango

    • @rkcomercialenterprises3209
      @rkcomercialenterprises3209 17 часов назад

      Wazee wapishe vijana sasa,hata yeye alipishwa ndio maana akawa rais. Need to stay home na kulea wajukuu ndio maana kuna kustaafu

  • @WazirRamadhan-h7y
    @WazirRamadhan-h7y День назад +33

    Watanzania wenye akili timamua tunakujua lkn tushamuachia mungu cz pua zetu wote zimeangalia chin,mume mpumzisha aliyetaka kutuletea maendeleo na ss mnakula bata tu,na kwa kutukomoa kilakitu mkapandisha bei na mbaya zaid nchi haipo busy kbs kwenye ujenz km enzi za muenda zake!!!TUMEMUACHIA MUNGU

    • @mkondomkondo4721
      @mkondomkondo4721 21 час назад +1

      Huyu ndo mwenye nchi yake,yule ni kivuli tu tunajuwa

    • @ZainabuBakari-yb4vj
      @ZainabuBakari-yb4vj 20 часов назад +1

      Ramadhani huna la kuchangia kaa kimya,usikalilishwe matango poli

    • @augustinokessy
      @augustinokessy 18 часов назад

      Mwenye akili apotez muda kuuliza tafakar na mwenye macho acpoteze muda kwa kutegemea mwanga wa jua kuwa utadumu hd ucku...Tafakar chukua hatua 😇

    • @WazirRamadhan-h7y
      @WazirRamadhan-h7y 18 часов назад +1

      @@ZainabuBakari-yb4vj we unajua nini ww upo upo tu dunian kuma la mama ako malaya mkubwa kuma vaba mkundu kunuka weeee!!!!nyie ndiyo mabogaz msiojua maendelea ni kitu gn akili zenu madam zipo kwenye kuuza kuma na mkundu bc tyr mnajua hayo ndiyo maendeleo kahaba libovu weeee!!naona tyr hilo limkuma lako na hilo tobo lako la kunyea mavi linaluwasha unataka bwana!!

    • @MrA24G
      @MrA24G 18 часов назад +2

      Ukiitwa Leo uambiwe utoe ushahidi unao wewe wazir tulia kuwa na nidhamu

  • @damianmstambi848
    @damianmstambi848 День назад +27

    Mazeee ya Tz hasa haya yaliongoza nchi yana ujuzi wa kuiba tu

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 22 часа назад +3

      Chunga ulimi wako nawewe utazeekatu labda ufe mapema

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 15 часов назад

      wewe ni mbwa kama mbwa wenginee mshenzi huna adabu kama mama yako 😂😂

    • @damianmstambi848
      @damianmstambi848 14 часов назад

      @@hemedrashid2921 ungekuwa unaakiri ungetumia kukemea rushwa na ubinafsi wa viongozi wenu ila kwa sababu huna kitu kichwan umajaza Mavi ndo mana unatokwa na uchafu tu .Tatizo n huo umasikin unakusumbua

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 14 часов назад

      @@damianmstambi848 kama mavi yalianziaa kwa baba yako yakakutoaa duniani masikini wa iman na mungu akulani wewe na kizazi zako aduii unadhani itakujaa tenaa enzi ya mwarrriiiiim futa kichwa mnyarwandaaa mmoja wewe

    • @DudddyWhyCant
      @DudddyWhyCant 10 часов назад

      Waliiba nini? Fikira za kibangi, kila kiongozi mnamwita mwizi, yaani nakerwa kumwita kiongozi mwizi, wakati nae ana mshahara, twambie kakuibia kitu gani???

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 19 часов назад +2

    Ni kweli kabisa Mzee!

  • @AmisiLulacha
    @AmisiLulacha День назад +16

    Kama nchi yetu inaangamia nihuyu kikwete ni mmbinafsi wa Hali ya juu tujuwe ssi tutaoja mauti

    • @anthonymgina3893
      @anthonymgina3893 20 часов назад +2

      Acha dhambi wewe Kikwete aliwaacha huru, Demokrasia alikuwa nayo mpaka Bunge kilikuwa karibu na nusu ya wapinzani, waandishi wa habari walijinafasi, ajira kwa vijana ilikuwa rahisi, ndiye aliyeleta shule za kata kwa sasa ziafanya vyema, katika hii nchi Kikwete ndo zaidi ya watangulizi wake isipokuwa hamjui mipango ya kiuchumi mingi ambayo ilikuja fanyika ndiye aliyekusanya ije fanyija baadaye. Usichukie mtu tu bali angalia na wema wake hayo ndo maisha.

    • @DiwaniMwafongo
      @DiwaniMwafongo 18 часов назад +1

      Kweli kabisa, Kikwete ndiye remote control ya Samia, haoni uozo wa Samia?

    • @Miriam-m2b
      @Miriam-m2b 9 часов назад

      Huyu ndio katili number one Samia ni kivuli tuu huyu ndio anaeongoza hii Tanganyika

    • @abdulkatalango2890
      @abdulkatalango2890 5 часов назад

      Anaiongozaje wakati kastaafu?

  • @ismailalfankihiyo3215
    @ismailalfankihiyo3215 7 часов назад

    Long live HON JAKAYA MRISHO KIKWETE

  • @AbdulmalikFredrick
    @AbdulmalikFredrick 5 часов назад

    Mueshimiwa jakaya Alha akuongoze salama inshallah akupe afya njema
    Bado tunaitaji busala zako

  • @HansChuma
    @HansChuma 16 часов назад +4

    😂😂😂😂maneno matamuu kudadeki 😅😅😅 ila hakuna kinachotendeka rip mzee wangu Magu uliekua unataka kufikisha nchi ya tanzania pale ulipoona naww panafaa kua😢😢😢😢

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 9 часов назад +3

    Wazee wange kuwa washaur wake kusinge kuwa na kundi la wasio julikana,Vijana machawa wana penda mambo ya kihuni ,
    Mfano mtu ana kushauri kuwa tuwaue watu furani nawe una ruhusu, wakati kuna mageleza na mahakama ,na kuna kufungo chamaisha , .ukiona hivyo ujue umezungukwa na wajinga. Huwezi kuua mtu aliye na miaka 60 kwa ajili ya miaka mi5.

  • @LaurentMagesa-iv5yt
    @LaurentMagesa-iv5yt 10 часов назад

    Rais wangu pendwa wa mda wote. Wakati wa utawala wako maisha yalikuwa mazuri sana , hakika uongozi unaujua .

  • @samsonmwaipaja4839
    @samsonmwaipaja4839 19 часов назад +1

    Kazi nzuri ila msibague wazee kwa maana vyeo nk

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 15 часов назад +4

    Tubu kabla ya kuondoka usiwache laana yako iendelee

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 12 часов назад +1

    Sasa kikwete anaongea nini 😢😢😢😢😢pointless wazee wameingiaje na watu wasiojulikana 😢😢😢😢😢😢yéyé mwenyewe anajificha kwenye kivuli ndio walewale😢😢😢😢😢😢😢waanze na wewe kwanza pesa zote umezipataje badalaa ya kujenga nchi kipindi cha uraisi wako magufuli alikuonyesha na kukuwazia pesa zako ukampa sumu shame on you usijifiche na kivuli Mungu yupo jamani mzee kibao sio mzee si mngeongea nae 😢😢😢😢😢😢😢🤔🤔🤔🤔🤔🤔

  • @iddyally1029
    @iddyally1029 День назад +1

    I see my brother isaya yunge ✊

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 18 часов назад +2

    Huyu 😢😢😢😢😢😢😢amestaafu

    • @Miriam-m2b
      @Miriam-m2b 9 часов назад

      😢😢😢😢😢😢😢😢😢 ndio katili

  • @ReubenRaymond-zh4yw
    @ReubenRaymond-zh4yw 19 часов назад

    Sema baba mh.Rais wetu mstaafu Kikwete, hata mm na mwenzangu tuliwahi kuipitia Sera ya Wazee TZ, tukatoa mada tukafundisha wazee ke na me ktk baadhi ya kama za Wilaya ya Kisarawe Pwani, hakika wazee walitoa mengi mazuri. Uzoefu ule ulitumika kuandaa mada zingine ili kufundisha vijana. Bravel

  • @emmanuelkatto7092
    @emmanuelkatto7092 18 часов назад +3

    Mpiga dili tu

  • @JumaJohn-pg9hc
    @JumaJohn-pg9hc 6 часов назад

    Kikwete umenena❤

  • @wanejohnmsukwa6590
    @wanejohnmsukwa6590 20 часов назад +4

    Mzee akiwa MchaMungu huyo ndiye anafaa kushikwa mkono maana uzee siyo sifa bali ni busara zenye kuwaongoza vijana na watoto katika njia ya haki.

  • @yohanakateko
    @yohanakateko 9 часов назад +1

    Selikali imewekeza kwenye beting tu

  • @MaulidFakiKhamis
    @MaulidFakiKhamis 20 часов назад +2

    Huyu mzee ovyo sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaanafai ata peni

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz 16 часов назад +2

    Kuna nn katiii ya Kikwete na Samia mbona huu ujumbe kama anaambiwa yy

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 12 часов назад

      Yaani ni kweli, anamjengea hofu ili aendelee kutawala Kwa mlango wa nyuma

  • @flavianapande8270
    @flavianapande8270 16 часов назад +3

    Sichokagi kumskiliza uyu baba

  • @hadijatwahadossa
    @hadijatwahadossa 21 час назад

    Hongeleni sana kwa hekima na busara za kutambua umuhimu wa wazeee,,,mimi binafsi nahitaji kuchangia,,,tunaomba namba ya michango......piah nina wazo moja kama ingependeza selikari ingeanzisha mfuko wa watoto.....watoto wakizaliwa angalau wawe wanapata angalau kiasi cha pesa kila mwezi cha kuwasaidia hadi wakifikisha miaka angalau mitano..(5) kwani mtoto anazaliwa lakini wazazi wanakuwa wengine hawana hata kazi hii inakuwa changamoto kwao..matokeo yake mzazi anakuwa anajutia kuzaa wakati mtoto ni baraka kutoka kwa Mungu..hayo ndo mawazo yangu na sio tu wazee....

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 День назад +2

    Bungeni kulitolewa Mjadala wa kulipwa Wajane wa Marais na ambao hawakufiwa na Waume zao tulipwe haki husika kama hao wenzetu na sisi Wakw wa maaskari walipiganq Vita vya Uganda tulipwe pesheni mpaka tutakapokufa maisha ni magumu sanaaaa na baadhi ya Wake za Maaskari walioachwa na watoto wadogo walipwe mpaka mwisho wa maisha yao

  • @frankmakyao7657
    @frankmakyao7657 9 часов назад

    Kweli jambo hili limekuja wakati wake!

  • @Jal210
    @Jal210 7 часов назад +1

    Aaah wewe mzee acha kuingia kwenye serikali ya awamu ya sita pumzika

  • @kazinaimwishehe-ec3xu
    @kazinaimwishehe-ec3xu 16 часов назад +2

    Uyu mzee ni jembe sana mm katika uongozi watanzania uyu dipromasia aliiweza kwelikweli yaan roumodowangu sana watu walikuwa wakigombana kisiasa alikuwa anawaita na kuketinao na ugonvi ulikuwa umekwisha nchi ilikuwa shwali kabisa da mungu akulinde jembe

  • @danielchilongani2385
    @danielchilongani2385 15 часов назад

    Asante

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 18 часов назад +1

    That is great lie. Wazee ndio mliandaa Hilo likatiba mpaka linatuua.
    Wewe ulikuwa na nia ya kutupa katiba mpya lkn ubinafsi wako umatuachia hilo " gegedu la Kizimkazi " !!

  • @GideonLenard
    @GideonLenard 18 часов назад +2

    Hamna kitu hapa bando langu linaisha bure

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 15 часов назад +1

    Fisadi mkuu

  • @MwatijaFikoti
    @MwatijaFikoti 5 часов назад

    Mzee unachosema ni kweli kabisa bilA kuwatumia wazee hakuna kitu .

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 12 часов назад

    Ndio wale wale no way 🙅🙅😢😢😢😢😢😢😢Mungu tu hai one 1️⃣ day yes

  • @samtanzania8165
    @samtanzania8165 19 часов назад +4

    KAZI NZURI BABA WA TAIFA LETU ULIYE BAKIA NI WEWE MHIMIRI WA TAIFA LETU TUNAKUPENDA TUTAKULINDA🎉

  • @welinnjawike8664
    @welinnjawike8664 19 часов назад +3

    Rais wetu pekee Mstaafu aliye baki! Tumuombee sana

  • @lifeonearth94
    @lifeonearth94 День назад +4

    Kama hao wazee wana akili za kijinga kifisadi watakufundisha wizi, ila ni njia rahisi kwa hao wazee kupata mwamvuli kujilinda walichoiba

  • @shamzone388
    @shamzone388 9 часов назад

    Lini utakwisha huu upumbavu uliokuwa katika vichwa vyetu kuwa aliyekuwa na cheo serekalini ni mwizi
    Tuwe na fikra nzuri itakuwa faida kwa kizazi kijacho

  • @FrenkMushi-i7f
    @FrenkMushi-i7f 19 часов назад +2

    Mzee nakuelewa ila naic kunakiubinafsi nadani yako iko ndo kinacho itesaa mchi yetuu una uchungu na watazania kabisaa mauwaji yote ayaa umekaa kimya ata kutowa kauli ya kukemea km c ubinafc ulio naoo

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 16 часов назад +3

    Kikwete 2050 hautakuwepo duniani nahatakama utakuwepo utakua husikii ladha yoyote ya dunia

  • @georgewilliam6001
    @georgewilliam6001 14 часов назад +1

    Pension zao zinaliwa bado mnasema mnajali wazee

  • @emmanuelisaac4379
    @emmanuelisaac4379 19 часов назад

    This is typically my undergraduate
    dissertation "ELDERLY RESOURCE CENTER", same same ni kama walisoma ripoti yangu nakuifanyia implementation.

  • @SaidiKitange-us2ej
    @SaidiKitange-us2ej 17 часов назад +1

    Ali kibao alikuwa mshikaji.

  • @browntv1119
    @browntv1119 7 часов назад

    wameanza kupigania haki za wazee,ushauri wangu awe mwenyekiti wa wazee TZ

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 13 часов назад

    Nakukumbuka saana jk natamani miaka irudi nyuma

  • @CrementinaObwago
    @CrementinaObwago 12 часов назад +1

    wazee kama nyie nitatizo ktk nchi watu wanaotekwa hampazi sauti kuzungumzia vifo vya kustaajabisha ktk nchi hamvioni na kuskia nikwakuwa familia zenu hazijakumbwa na zoluba izo ndiomaana hamguswi kuzungumzia vijana watekwako na kuuwawa ambao nitaifa lakesho .

  • @MichaelmotikaLaiser-dl6wm
    @MichaelmotikaLaiser-dl6wm 19 часов назад

    Still wise congratulations

  • @aristideskilawe5024
    @aristideskilawe5024 18 часов назад

    Baba umesema ukweli! Vijana wana tabia ya kutoaminika. Wanapambana wawe na maisha hivyo ni rahisi sana kukujeuka wachukue nafasi yako.

  • @wisdomhalisi......8891
    @wisdomhalisi......8891 5 часов назад

    Km walishindwa hayo maarifa wakiwa vijana wakatullie bagamoyo,..Maana HATA sasa vjana tupo...

  • @wallacerugangila2723
    @wallacerugangila2723 20 часов назад +1

    Busara na mawazo na uzoefu yanawekwa kwenye maadishi kwenye vitabu ,sio kwenye majukwaa,utashanga Kikwete na viongozi wengi wa siasi licha ya elimu zao walizokuwa nazo mpaka Sasa hawajaandika kitabu anata hizo busara watanzania watazipata wapi ? Nchi za Africa hakuna tabia ya uandishi vitabu hivyo watu wengi wanakufa na mawazo yao na uzoefu wao walikuwa nao

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 23 часа назад +1

    Wazee wenyewe mafisadi wezi Na huo mradi waziri ameiba sasa anafungua kituo hii nchi ya kifisadi sana ndio maana wengine wanaiba wakiona mawaziri wanaiba

  • @evaristcm2734
    @evaristcm2734 16 часов назад +2

    WIZI MTUPU

  • @Mpakele
    @Mpakele 15 часов назад +1

    Tujiulize. KWANINI NCHI kubwa zinaongozwa na wazee? Kuna Siri kubwa hapo. Marekani rais kikongwe, URUSI, Mzee sana, uingereza , Mzee. Africa eti tunatafuta vijana

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 15 часов назад +1

    Wazee wengi ni wanafki

  • @CopperBelt
    @CopperBelt 49 минут назад

    Mzee wetu pamoja na wengine ni hazina kubwa sisi vijana ambao tutakuja kua wazee na kuwaritisha watoto wetu na taifa letu liendelee kua na amani

  • @stevenkipara9310
    @stevenkipara9310 День назад +5

    Ukitaka nchi itulie mkamate Mungu

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 День назад +2

    Utazani kweli wakati

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 14 часов назад +1

    Pumzikeni mmezeeka

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 День назад +5

    Hao wazee kama Jakaya Kikwete no thanks 😅😅😅😅😅 jakaya mtembezi 😅😅😅😅 jakaya anajivutia kwake eti ana maarifa ili aendelee kula bata 😅😅😅😅 Kikwete ana porojo fix huyu eti Harvard waje kumfuata yeye 😂😂😂😂

  • @mdl6463
    @mdl6463 22 часа назад

    The future

  • @dianaleo6067
    @dianaleo6067 День назад +1

    Wazee wanahasira na hii nchi... hatari😂

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 12 часов назад

    Ushazeeka sasa, mtulie!!

  • @Daudimakaza-s1v
    @Daudimakaza-s1v 14 часов назад

    Mzee lich ya upigaji pesa ila upo vzr

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 12 часов назад

    Umezungumza ya kweli kuhusu wazee ilaa sidhan kama huku kwetu wanaskilizwa

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 10 часов назад

    KUNA MTU FULANI ATAKAPOENDA AHERA NDO NCHI YA TANZANIA ITATULIA. AMEUMIZA WATZ SANA😭😭😭😭

  • @ShabaniMustafa-n8h
    @ShabaniMustafa-n8h День назад +1

    Haki haki haki

  • @SaidiKitange-us2ej
    @SaidiKitange-us2ej 17 часов назад +1

    Hv na mashetani wanazeeka.

  • @Micky-y5s
    @Micky-y5s 20 часов назад

    Nimekuelewa

  • @aboubakaromar652
    @aboubakaromar652 17 часов назад

    Mzee inaonekana unampenda sana mtoto wako miraji Kila sehemu humalizi bila ya kumtaja kwa kweli ni jambo zuri hata hivyo

  • @gaagwasaugustino2584
    @gaagwasaugustino2584 18 часов назад +1

    Wazee wawe wenye Hekima na Busara, siyo vibaka, mafisadi na wenye tamaa ya pesa na madaraka!
    Wazee wengine wakishaiba na kujilimbikizia mali baadae wanakaa kulinda maslahi yao kwa kutumia nguvu ya dola!
    Mzee ungetupatia Katiba mpya Iliyo Bora Katika utawala wako, ungeonekana mzee wa maana sana kuliko ilivyo sasa!

  • @kimscharos9156
    @kimscharos9156 22 часа назад +1

    Tunatamani busara za wazee wetu ila Nina mashahaka kwenye hutuba. Hii ya Mzee wetu

  • @GabrielOmassawe
    @GabrielOmassawe 12 часов назад +1

    Unafiki mtupu

  • @SmilingApron-zw6ne
    @SmilingApron-zw6ne 13 часов назад

    MI KWA KWER NAPENDA SANA MHESHIMIWA KIKWETE; MUNGU WA MUNGU NA NCHI AKUPE MIAKA MINHI

  • @saadmuhandosaad6231
    @saadmuhandosaad6231 18 часов назад

    Wazee wako ni kuishi nao ila wazungu wanawatenga hii inaonesha jinsi gani walivokua hawana utu na wazazi wao ALHAMDULILLAH KWA KUZALIWA MUISLAM NA KUFUATA MAFUNZO YAKE MAZURI

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 День назад

    Usemayo uongo walq Wazee hawaonrkani wala hawajaliwi wala hawapewi kipaumbele cha matibabu na Wajane hawajaliwi na pia kwanini walipwe pesheni au mishahara ya waliokuwa wake au waume zao nasi tuliofiwa na waume zetu tupewe maisha mpaka tutakapokufa

  • @ProsperReuben-fg6uh
    @ProsperReuben-fg6uh 18 часов назад

    Skiz ukitaka itulie tafuta machwadotto na mwijaku

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 21 час назад +1

    Jina la ukumbi tafadhali

  • @fredrickmwegole7337
    @fredrickmwegole7337 12 часов назад

    Kama yupo vile mmmh 2012 nakukumbuka wew form iv 0 😅😅😅😅😅

  • @afropatriot7769
    @afropatriot7769 18 часов назад

    Vijana ambao wameshuhudia wazee wakijilimbikizia mali,wizi ,Rushwa na ufisadi ,kuuzwa rasilimali ambzo zingewasaidia ,na ukawaacha maskini Hawawezi kukumbuka wazee,Nyerere anakumbukwa kwa sababu hakufanya hayo

  • @stonetown578
    @stonetown578 15 часов назад

    Hebu mimi 😷😂

  • @JamesMwandoje
    @JamesMwandoje 3 часа назад

    CCm.....😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤