Rais Magufuli: Sipangiwi Kazi, Makonda Chapa Kazi, Usitishike na Mambo ya Mitandaoni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Rais Magufuli amesema kuna baadhi ya watu wanaingilia majukumu yake wakati yeye ndiyo mwenye uamuzi na kwamba hapangiwi kazi ya kufanya kwa sababu anajiamini.
    Mkuu huyo wa nchi amewataka wakazi wa Dar es Salaam kuchapa kazi ili kujiletea maendeleo badala ya kupoteza muda kufuatilia udaku kwenye mitandao.
    Hayo yamekuja siku chache baada ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kudaiwa kuvamia ofisi za Clouds Media, na kuwashinikiza watangazaji wa kipindi cha Shilawadu, warushe kipindi kinachodaiwa kuwa na maudhui ya kumchafua hasimu wake, Mchungaji Gwajima.
    Tofauti na mategemeo ya wengi kwamba mheshimiwa rais angetoa kauli ya kukemea tukio hilo, amemtaka mkuu wa mkoa kufanya kazi na kutosikiliza wanaompinga.
    #Makonda #Rais Magufuli #shilawadu #Mheshimiwa Rais #magufuli #clouds tv #Ruge Mutahaba #Joseph Kusaga #uzinduzi fly-over #Madawa #Makonda #Rais Magufuli #shilawadu #Mheshimiwa Rais #magufuli #clouds tv #Ruge Mutahaba #Joseph Kusaga #uzinduzi fly-over #Madawa #Makonda #Rais Magufuli #shilawadu #Mheshimiwa Rais #magufuli #clouds tv #Ruge Mutahaba #Joseph Kusaga #uzinduzi fly-over #Madawa #Makonda #Rais Magufuli #shilawadu #Mheshimiwa Rais #magufuli #clouds tv #Ruge Mutahaba #Joseph Kusaga #uzinduzi fly-over #Madawa #Makonda #Rais Magufuli #shilawadu #Mheshimiwa Rais #magufuli #clouds tv #Ruge Mutahaba #Joseph Kusaga #uzinduzi fly-over #Madawa
    kwa habari nyingine kama hizi usikose kusubscribe kwenye chaneli yetu kwa kubofya ...
    / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1

Комментарии • 100

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 2 месяца назад +3

    Magufuli alishamuona makonda Big up
    Like zenu

  • @sirajiamidu9424
    @sirajiamidu9424 7 лет назад +4

    Safi sana our president najua unajua sana big up to u
    Huyu ndo rais hana siasa na hafati masirah. Ni mzalendo na nchi yake

    • @maulidmaulid326
      @maulidmaulid326 7 лет назад +2

      TANZANIA BADO IPO GIZANI NA WATANZANIA BADO WAPO GIZANI

  • @emmanuelnyansiro8636
    @emmanuelnyansiro8636 7 лет назад +8

    wasukuma wasukuma wasukuma wasukuma wasukuma wasukuma wasukuma wasukuma

  • @Profshab_Company
    @Profshab_Company 3 года назад +2

    God Bless Mr President

  • @angelinaelishachisongela7859
    @angelinaelishachisongela7859 5 лет назад +4

    Naamini kuwa kila NCHI inatamani kuwa na RAISI kama MAGUFULI aisee WE THANKS YOU GOD

    • @salmatz9081
      @salmatz9081 5 лет назад +1

      Nikweli Angelina elisha chisongela kunasiku nlikuwa nasafir tumefika Zimbabwe wakawa wazungumza kwamba Zimbabwe ipewe magufuli

  • @officialmwerevu5455
    @officialmwerevu5455 5 лет назад

    No comment!! lkn tufike mahali na kufanya ya haki na halali bigup sana my presedent

  • @stellawillison1148
    @stellawillison1148 10 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @ManfaceFildoline-h1i
    @ManfaceFildoline-h1i Месяц назад

    Kweli

  • @chokambaya468
    @chokambaya468 7 лет назад +9

    ila hana vyeti sasa na ww ndo ulifukuzawatu kisa cheti sasa uo us.......

    • @vianeyminja575
      @vianeyminja575 7 лет назад

      Ameirhaji112 Haji wengine hatuna haki mkaka..

    • @chokambaya468
      @chokambaya468 7 лет назад +1

      Vianey Minja bas tuwe pole ila ipo siku tutapata haki na sie usjali

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness 7 лет назад +1

    Duh!

  • @josephkomba6695
    @josephkomba6695 7 лет назад +7

    uyu ndo raic nnaemtaka Tanzania

  • @jacksonbundala2384
    @jacksonbundala2384 7 лет назад +1

    safi sana

  • @vianeyminja575
    @vianeyminja575 7 лет назад +2

    leo nimeamini hii nchi ni ya watu wachache aisee,.. very disappointing,.. kuna watu wapo juu ya sheria asee...,

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 7 лет назад +9

    Nilitamani kusikia hivi..watu wanataka Rais aongoze nchi kwa maneno ya kwenye mitandao.Makonda ni mthubutu,wangapi walishindwa kupambana na madawa lakini yeye angalau amejaribu,watu wanaongozwa na mihemko ya kisiasa kupinga utendaji

  • @fatumaaden5053
    @fatumaaden5053 7 лет назад +1

    The best presdent ever

  • @mako331
    @mako331 7 лет назад +1

    that's my President

  • @kayayooisaac4128
    @kayayooisaac4128 7 лет назад +5

    Nimemwelewa raisi wangu kwamba yeye anachotaka ni kazi,we forge cheti, piga watu, tukana, vamia kwake haaaaa hiyo siyo issue anachotaka ni kaziiiiii tu

  • @gedionkalumbu1995
    @gedionkalumbu1995 5 лет назад

    Thanks Sir

  • @joshuajohn8533
    @joshuajohn8533 2 месяца назад

    Raisi alikua na kiburi Cha uzima Ila Sasa Ni mifupa mikavu.unyenyekevu ndio kila kitu

  • @zuberm7129
    @zuberm7129 5 лет назад

    Safi

  • @Big-ns6gj
    @Big-ns6gj 7 лет назад

    Safi sana wametuliza mishono sasa.....Nyambaaf!

  • @dechardavid2555
    @dechardavid2555 Месяц назад

    Makonda watu wa arusha na tz wanamuulzia yupo wap. 07/08/2024

  • @mariej6962
    @mariej6962 7 лет назад +2

    Kwa kuangalia anavyoongoza nchi na mitazamo ya watu, anapoteza kura nyingi sana kuelekea 2020. Matumaini ya waTZ yanayeyuka kama theluji walidhani wamepata kiongozi. Hata kura yangu keshaikosa this time hata afanye nini. Nadhani anakosa sana hekima, hana kabisa.

  • @azizawaziry3440
    @azizawaziry3440 7 лет назад +4

    kumbe uyu ndo anamtumuga makonda bac

  • @ramlathntagaye3874
    @ramlathntagaye3874 7 лет назад +2

    umesema hutaki kupangiwa kazi asa wakikushauri si ndo utasema wanakupangia

  • @jastingwahila5715
    @jastingwahila5715 3 года назад +2

    R.i.p Mzee wetu

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Год назад

      aende tu mbwa huyo alijiona mungu? 🙄🙄🙄😏😏😏

  • @seniornyungu9718
    @seniornyungu9718 7 лет назад

    Naogopa kusema, Lakin huwezi kuwa sawa kwa hilo

  • @mamafadhili8036
    @mamafadhili8036 5 лет назад

    SAFI BABA.

  • @duncanmbuthia3492
    @duncanmbuthia3492 4 года назад

    Hapa kazi tu

  • @ummykapera4660
    @ummykapera4660 5 лет назад

    tofautisha kuteuliwa na vyeti;makondo na mteule;munao uguwa kunyweni panadol mtapoa;

  • @michaellazaro5070
    @michaellazaro5070 7 лет назад

    Duh

  • @jahzeelnaftar8413
    @jahzeelnaftar8413 7 лет назад +1

    usukuma moja etii eee baba wa taifa Nyerere alikataa ukabila naona huyu anaurudshaa hayaaa kumbka ww ni baba na kuna watoto wanakuangalia.............

  • @noxlosingida2369
    @noxlosingida2369 7 лет назад +4

    Natamani Gwajima angesikiliza hii live ili afunge vizuri akiomba kupambana na Makonda kkkkkk

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Год назад

      kila kitu kina mwanzo na mwisho wakwapi sasa
      🙄🙄🙄jingine lipo limeshaga oza jingine lipo kama zuzu

  • @emmanuelmlowe1311
    @emmanuelmlowe1311 7 лет назад +1

    Acha ujinga unataka chet cha ndoa au cha ukuu wamkoa?. hakuna chuo cha ukuu wa mkoa.

  • @mildredivayo9241
    @mildredivayo9241 7 лет назад

    kenya kwisha kabisa...kila kitu nikutoka inje ? madaktari,sugar,wa china kujenga barabara ooh Mungu tuonakanie

  • @amirirashidi3379
    @amirirashidi3379 7 лет назад +1

    me yangu masikio tu

  • @gitu4me
    @gitu4me 7 лет назад

    haha safi sana rais wetu na baba yetu mpendwa

  • @HalmenshianisonHalmenshianison
    @HalmenshianisonHalmenshianison 8 месяцев назад

    Hiyo ndio democrasia ya kweli.

  • @johdreamerworldwide6684
    @johdreamerworldwide6684 7 лет назад +1

    wauza ngano ndo kwisha maana hap kaz tu

  • @jameshaule5460
    @jameshaule5460 7 лет назад +1

    We are doomed

  • @neemazephania9082
    @neemazephania9082 7 лет назад

    ukiingilia ndo unaharibu kabisaaa........teh teh :) :)

  • @emmanuelmlowe1311
    @emmanuelmlowe1311 7 лет назад +1

    Nchi haiongozwe na maneno ya mitandaoni?

  • @racheldauson9471
    @racheldauson9471 5 лет назад

    Hahaaa kwenye mavipost vyenu uwiii magu weww

  • @kattongamunna3060
    @kattongamunna3060 7 лет назад +1

    Napita tuu mm

  • @emmanuelmlowe1311
    @emmanuelmlowe1311 7 лет назад +1

    unataka chet umesikia alitumia chet kupata ukuu wa mkoa?

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 7 лет назад +1

    kazi tunafanya na kuongea pia vyote vinakwenda sambamba mheshimiwa sana hakika imekula kwetu kumbeeeeeeeeee.....

  • @aishashedadi2347
    @aishashedadi2347 7 лет назад

    wambie wenye masikio wamesikia wenye macho wameona walikuwa wamesubilia jb ndo hilo wamelipata

  • @nurukwawote4716
    @nurukwawote4716 6 лет назад

    Je! Mwanadamu ni kitu gani, hata akawa safi? Huyo aliyezaliwa na mwanamke, hata awe na haki?
    Ayubu 15:14
    Kabla ya uharibifu moyo wa mwanadamu hujivuna; Na kabla ya heshima hutangulia unyenyekevu.
    Mithali 18:12

  • @yudagerard5501
    @yudagerard5501 7 лет назад +1

    huyu raisi wa ajabu kweli eti kwenye kuchukua form nilichukua mwenyewe,hizo kura ulipata wapi ulijipigia mwenyewe mpaka kushinda?!! ama kweli Tanzania sijui inaenda wapi...Mungu saidia

    • @maryshirima3049
      @maryshirima3049 7 лет назад

      Yuda Gerard 😂😂😂😉😂😂😂

    • @kelvinmahenge1228
      @kelvinmahenge1228 4 года назад

      Acha ushoga aliamua mwenyew kujaza form ya kugombea ili mpigie kura sio aliamua yy mpigie bali alieashawishi mmpigie kenge mmoja ww

  • @salehejongo2799
    @salehejongo2799 4 года назад

    Ccm hoyeee JPM.

  • @ibrahimharuta7333
    @ibrahimharuta7333 7 лет назад +1

    HAHAHA NDYO MH RAIS HAO WOTE TATIZO NI VITA DHIDI YA MADAWA YA KULEVYA'

  • @Blackie_blackie9327
    @Blackie_blackie9327 7 лет назад +2

    hahaaa Kwel vi post vimezidi..

  • @abdillahmbinga7050
    @abdillahmbinga7050 5 лет назад

    Na ndie hasa rais nimtakaje.

  • @hapakazi7907
    @hapakazi7907 7 лет назад +1

    umefeli mzee , kwahyo wewe ndo unamtuma afanye utumbo au,,,,,,

    • @mudarthir
      @mudarthir 7 лет назад +1

      Hapa Kazi umefeli nyumbu wacha maneno ya khanga kwenye serikali
      kama unaweza subiri 2020 njoo uwanjani huna amri juu ya rais wetu

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 2 года назад

    Haya wewe uko wapi na huyo makonda yuko wapi? Kiburi cha mjinga

  • @herumankayumba6483
    @herumankayumba6483 6 лет назад

    Pinga.kaz.umebeba.abiria.wengi.kelelezao.usikilize.wengi.tuna.taka.tufike.salama

  • @simonjohn3664
    @simonjohn3664 7 лет назад +3

    huna lolote ni ubaguzi tu wa kimadaraka na ukabila

  • @azizawaziry3440
    @azizawaziry3440 7 лет назад +1

    cjui Tanzania ya kesho itakuwaje..tumempa nchi chizi ivi kikwete c aludi2 jamn..

  • @ffanklleopord5998
    @ffanklleopord5998 2 года назад

    Tulikuwa na raisi bangi kabisa

  • @simonfundi5472
    @simonfundi5472 7 лет назад

    Na vyeti feki je na umesma mwenyewe

  • @sindanosalu7140
    @sindanosalu7140 5 лет назад

    B

  • @athonyfrancis8889
    @athonyfrancis8889 7 лет назад +2

    Safii,ila unajiamini lakini hujiamini katika kauli zako,swala la makonda na vyeti limeanzia mezani kwako uhakiki wa vyeti,sasa hii kesi ya makonda kuvamia ofisi ki u jambazi na silaha kwa mtu mwingine angekuwa jela saa hii ni jela bila hata dhamana,kwa kosa la ujambazi wa kutumia silaha(nikimaanisha alivyochukua clip kwenye flash)lakini pia jeuri hii yote ni hela ya kodi zetu.kazi ni vizuri achape na haki atende asione nchi ni yake na unyanyasaji anaoendelea nao usiufumbie macho,usione wanaokushangilia ni wote wanaokushangilia baba .

  • @rajabuabdallah3840
    @rajabuabdallah3840 7 лет назад

    makonda chapa kz

  • @bahatidan4751
    @bahatidan4751 7 лет назад +2

    waooo magufuli tulikuchagua to guide democracy u allow bashite to attack clouds FM with police and army officers who are paid by tax payers kesho bashite will kill the journalist with the same guns he carries u should resign. wewe si rais wa wanyonge but rais wa bashite na dictators

  • @hapakazi7907
    @hapakazi7907 7 лет назад +2

    huyu rais sometime anakuwa kama hajielewi

  • @janewacera7812
    @janewacera7812 7 лет назад +1

    Haeleweki Hana msimamo

  • @safarismasai3086
    @safarismasai3086 4 года назад

    Chapa

  • @nessa4899
    @nessa4899 7 лет назад

    daaah!! what a horrible dictator. sasa unapanga wewe unajiongoza wewe????????

  • @simonfundi5472
    @simonfundi5472 7 лет назад

    Mzee unamuogopa makonda

  • @hagmannserah2337
    @hagmannserah2337 7 лет назад

    Ingekua nchi ingine huyu Makonda angekua History angekua ametokomea

  • @vianeyminja575
    @vianeyminja575 7 лет назад

    leo nimeamini hii nchi ni ya watu wachache aisee,.. very disappointing,.. kuna watu wapo juu ya sheria asee...,