Kisa Rais KIKWETE; Rais MAGUFULI AMTUMBUA Mfanyakazi WAKE “ALIKUWA MZEMBE”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Kisa Rais KIKWETE; Rais MAGUFULI AMFUKUZA Mfanyakazi WAKE “ALIKUWA MZEMBE”
    MHE. RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI amesema kuwa alimfukuza kazi mfanyakazi wake mmoja baada ya kukiuka maagizo yake ya kufuga Tausi wa Ikulu......na kusema kwamba alikuwa MZEMBE!
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 26

  • @mecksonsamwel5605
    @mecksonsamwel5605 4 года назад +1

    Upo vzr kbc rais wetu

  • @anaelakyoo6103
    @anaelakyoo6103 4 года назад +3

    Safisana mkuu wa nchi yangu ya Tanzania mungu akubariki unaonambalisana

  • @congoilu2881
    @congoilu2881 4 года назад +5

    Allah aendeleya kubariki Tanzania, ampandishe daraja Mweshimiwa Magufuri, na ampe mwisho mwema naye siku moja akistaf awe na amani kama anavyoatakia wenzake.

  • @veronicatweve9015
    @veronicatweve9015 3 года назад +1

    R.I.P😭😭🙏

  • @athumanikitenge9315
    @athumanikitenge9315 4 года назад +3

    Siku zote mwema huambatanisha mema umechaguliwa na Mungu unafanya uadilifu twamuomba Muumba awe mlinzi wako viva jpm

  • @jamessilwamba2862
    @jamessilwamba2862 4 года назад +1

    GOOD IDEA

  • @stevenkimaro65
    @stevenkimaro65 4 года назад

    Safi Sana'a🙏🙏

  • @anastaziamorce3389
    @anastaziamorce3389 4 года назад +1

    Viva magufuri

  • @sararashid5150
    @sararashid5150 4 года назад

    Mungu akusimamie

  • @fatumaally3266
    @fatumaally3266 4 года назад

    Ahsante baba maguful mungu akulende😥😥😥🙏

  • @sponsoredbygrace6832
    @sponsoredbygrace6832 4 года назад +2

    Rais wa WANYONGE.
    Anao UPENDO wa ajabu🇹🇿
    WA Tanzania jameni, mpatieni Rais wenu zawadi pia na mumuombee saana👍

  • @vero57
    @vero57 4 года назад

    JAMANI NA MIMI NAOMBA MMOJA PLS NAWAPENDA SANA PEACOCK

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 Год назад

    Tausi hawa kihistoria wametolewa Zbar walikua kwenye palace ya mfalme pale kibweni Zbar RAIS Karume aliwaonfoa baada MAPINDUZI kuondoa hofu ya wananchi kutokana wakati wa mfalme Tausi akikaa Barabarani hata kiwi mtu kupita mpaka aondike huruhusiwi kufukuza hata iwe gari hsipiti

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 3 года назад

    Unaposafisha nyumba unaanzia ndani mwako....unatokea kwa nje.....

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 4 года назад +1

    Rais wangu MUNGU wa mbinguni akutunze Sana na mama Janeth JPM

  • @jumamadili3035
    @jumamadili3035 4 года назад

    Hiyo ndo maana harisi ya Tanzania kua nchi ya aman

  • @emanuelgavile7474
    @emanuelgavile7474 4 года назад +3

    Natamani uitwe mtu waajabu kuwahi kutokea duniani...

  • @ramadhanisaidy185
    @ramadhanisaidy185 4 года назад

    Safisanaa Raisiwetu

  • @malcomadam8399
    @malcomadam8399 4 года назад +1

    Masela tunamuita jembe anacheza kila Kona iba akukamate magu unajua wewe ni rais wa watu wote mpaka watoto wanakujua

  • @pambasr2345
    @pambasr2345 4 года назад

    Dah ina maana nikienda india nikarudi nao kwa kufuga kitoweo inakuwaje

  • @salimsaid8348
    @salimsaid8348 4 года назад +1

    Rais wastaaf wa Zanzibar wameshapewa?

    • @aidanhamza4656
      @aidanhamza4656 4 года назад +1

      Waja mshaanza nongwa ??kwan nikipewa mm lazima na wewe upewe?acha roho ya kwann kila mtu na bahat yake.

    • @elizabethzakayo9670
      @elizabethzakayo9670 4 года назад +1

      🤣🤣🤣 kweli chief Secretary kaona mbali asije mchoyo asikukumbuke Baba, chukua chako mapemaaaa

    • @edwinpaul9930
      @edwinpaul9930 4 года назад +1

      Wazo zuri inabidi pia wafikirie hilo!

    • @alexlugembe4816
      @alexlugembe4816 4 года назад +1

      watapewa walio katika ikulu ya Zanzibar, rais wa Zanzibar sio wa Tanzania hii ni mali ya Tanzania sio Zanzibar