Mimi nakukubali sanaa toka ulivyotolewa kwenye uongozi niliumia sana, ebu msaidie sabaya nae arudi kwenye system mshawishi mama mheshimiwa makonda sabaya nae arudi.
Huyu ndio kiongozi baba wataifa alietaka wananchi wamchague, wakati huo alikuwa anazungumzia mgomea uraisi. Alietaka kiongozi ambaye kilammoja akiulizwa aweze kusema ndio Kwa mambo manne la kwanza likiwa ni rushwa.
No more Rushwa, naomba Raisi wetu na yeye alizungumzie hili kinagaubaga. Ikiwa ni hamna rushwa tu Kwa Makonda au Arusha! Dhambi ya rushwa maeneo Mengine ya nchi yataambukiza Arusha.
Kaka hawa tafas wanafanya madudu kweli kuna kioja pale kata ya magulilwa kijiji cha ng'enza kitongoji cha lutengelo watu hawa wametelekeza mradi pale tangu mwaka jana
Njoo Mushono kiseriani madukani kaka wakata ushuru wa mchanga hawakati ushuru wanakula hela za serikali na wao pia ni wauza mchanga kitu kinachosababisha conflict of interest na kuleta migogoro mara kwa mara
Kaka iyo kazi ningumu peke Yako utaweza nchi ngumu sana hata jpm alikemea rushwa lakini alishindwa kaka makonda nakuomba uwe mpole mengine yatazame uyaache kama yalivyo
Asante Sana Makonda! Hakika MUNGu atakuwa pamoja Nawe Na tukuombea Mungu Aendelee Moyo wa kutumika Maana hii ni Vita tunapaswa Tushikamane site wanaarusha!
Kaka iyo kazi ningumu peke Yako utaweza nchi ngumu sana hata jpm alikemea rushwa lakini alishindwa kaka makonda nakuomba uwe mpole mengine yatazame uyaache kama yalivyo
Wewe ni kipenzi wa mungu .fanya kazi mola atakulipa.tupo kenya tunakupenda sana
Muheshimiwa em njoo Kiseriani kuna kakalavati kamejengwa kwa milioni mia na hamsini
Asante makonda jembe letu , izo ela warudishe na fidia wananchi tunufaike. tunateseka hatuna barabra na umeme haujatufikia .
Huo mchezo siyo Arusha NCHI nzima
Daaah Mungu akupe nafasi kubwa zaidi brother makonda kitendo cha wewe kupaza tu sauti yako,unaonesha nishijaa wa Tanzania
Piga kazi ww ni jembe
We are proud of you
Hawo wahalifu wapate kifungo ya maisha well done makonda mungu yuko na wewe
Tunahaja ya kumlinda kuanzia sasa
asante sana haya ndio mambo ya msingi kuwapa taluma wananch na viongozi wanye maamuzi ya uwendeleshaji wa rushuwa
Karibu ngorongoro kuna madudu kibao
Mimi nakukubali sanaa toka ulivyotolewa kwenye uongozi niliumia sana, ebu msaidie sabaya nae arudi kwenye system mshawishi mama mheshimiwa makonda sabaya nae arudi.
Hongera sana Mh Makonda piga kazi Mungu akusimamie
Kwamakonda vichaa watapona
Huyu ndio kiongozi baba wataifa alietaka wananchi wamchague, wakati huo alikuwa anazungumzia mgomea uraisi. Alietaka kiongozi ambaye kilammoja akiulizwa aweze kusema ndio Kwa mambo manne la kwanza likiwa ni rushwa.
Wananchi arusha tumuombee makonda, tutanufaika na uongozi wa mama samia ela zimepigwa
Mh chapa kazi lakini unatakiwa uongoze nchi hii
Haya unayofanya Mungu akutangulie, asnt
Mungu Akusimamie katika Majukumu yako...
HIVI WE MAKONDA SIUWE RAIS WETU TU JAMANI
Hongera kijana wa JPM,,
Migambo nao wamilike
Wanaenda kusumbua tena wajasilia Mali kwenye masoko
Waliyopangiwa .
JPM aliko anafurahia
Ze Jembe at WORK 🎉🎉🎉
No more Rushwa, naomba Raisi wetu na yeye alizungumzie hili kinagaubaga. Ikiwa ni hamna rushwa tu Kwa Makonda au Arusha! Dhambi ya rushwa maeneo Mengine ya nchi yataambukiza Arusha.
Hata dada yetu jana ameniambia ameandikishwa mara nyingi pale Mlowo,lakini hajawahi kupokea pesa ya Tasaf!
Makonda nimekuona upo
Wananchi tilihuzunika tulipokukosa kwa muda ulipoitwa na CCM.
Zz
Kamata mtandao wote iwe fundisho kwa wengine,wawajibishwe kwa mujibu wa Sheria,
Wasipowajibika watawajibishwa, ifike mahali uadilifu iwe ni kipao mbele namba moja
Asante mheshimiwa Makonda ❤❤❤❤
PAAZA SAUTI RC. HII NCHI NI WIZI MTUPU. MUNGU TUNUSURU
🤔
Huyu kijana apelekwe Rukwa kule Kuna uozo uliokithili
Kaka hawa tafas wanafanya madudu kweli kuna kioja pale kata ya magulilwa kijiji cha ng'enza kitongoji cha lutengelo watu hawa wametelekeza mradi pale tangu mwaka jana
Kwa hili kongole. Kaza moyo wako , hawa wako wengi hasa Mainjinia wa miradi. Wanachukua wala Hawaibi utafikiri pesa ni zao.
👏👏👏
Njoo Mushono kiseriani madukani kaka wakata ushuru wa mchanga hawakati ushuru wanakula hela za serikali na wao pia ni wauza mchanga kitu kinachosababisha conflict of interest na kuleta migogoro mara kwa mara
Ivi kweli yale malori yanakatwa ela huwa zinaenda wapi? Alaf yanaleta kero mno pale yanaposimama kweny kalavati
Kaka iyo kazi ningumu peke Yako utaweza nchi ngumu sana hata jpm alikemea rushwa lakini alishindwa kaka makonda nakuomba uwe mpole mengine yatazame uyaache kama yalivyo
Acha kumkatisha tamaa jembe la Watanzania wote
Baba hapo tutapona yaani Kuna wazee wetu wameandishwa lakini hawajawahi pewa hizo pesa mpaka wengine wamekufa
Asante Sana Makonda!
Hakika MUNGu atakuwa pamoja
Nawe Na tukuombea Mungu Aendelee Moyo wa kutumika
Maana hii ni Vita tunapaswa Tushikamane site wanaarusha!
Ndio maana nataka kumpa makonda uwaziri mkuu anapiga kazi sn
Ufuatiliaji alifanya magufuli ikafanya watu wakaiogopa pesa ya uma.utashanga chadema wanakuja kuponda kazi nzuri ka hii .wajinga sana
tasafu wanapiga hela viongozi wa taasisi hiyo wazee wangu wanaishiaga kuandikwa majina tu
Kaka iyo kazi ningumu peke Yako utaweza nchi ngumu sana hata jpm alikemea rushwa lakini alishindwa kaka makonda nakuomba uwe mpole mengine yatazame uyaache kama yalivyo