MILIONI 428 ZAIBIWA ARUSHA, MAKONDA AWASHA MOTO, WAHUSIKA KUBURUZWA MAHAKAMANI,.🙌🙌

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 апр 2024

Комментарии • 45

  • @kassimhashi49
    @kassimhashi49 27 дней назад

    Wewe ni kipenzi wa mungu .fanya kazi mola atakulipa.tupo kenya tunakupenda sana

  • @seremalatznaaustralia1462
    @seremalatznaaustralia1462 28 дней назад

    Muheshimiwa em njoo Kiseriani kuna kakalavati kamejengwa kwa milioni mia na hamsini

  • @elifasiscawa5698
    @elifasiscawa5698 28 дней назад

    Asante makonda jembe letu , izo ela warudishe na fidia wananchi tunufaike. tunateseka hatuna barabra na umeme haujatufikia .

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 28 дней назад

    Huo mchezo siyo Arusha NCHI nzima

  • @MatthewSimonKanyanzulu
    @MatthewSimonKanyanzulu 28 дней назад

    Daaah Mungu akupe nafasi kubwa zaidi brother makonda kitendo cha wewe kupaza tu sauti yako,unaonesha nishijaa wa Tanzania

  • @jamalimussa4928
    @jamalimussa4928 28 дней назад +1

    Piga kazi ww ni jembe
    We are proud of you

  • @aminbhulji1677
    @aminbhulji1677 28 дней назад

    Hawo wahalifu wapate kifungo ya maisha well done makonda mungu yuko na wewe

  • @LaurenceNchimbi-jm9lj
    @LaurenceNchimbi-jm9lj 28 дней назад +2

    Tunahaja ya kumlinda kuanzia sasa

  • @userKAZIEYENDELEE
    @userKAZIEYENDELEE 28 дней назад

    asante sana haya ndio mambo ya msingi kuwapa taluma wananch na viongozi wanye maamuzi ya uwendeleshaji wa rushuwa

  • @komolonindooto
    @komolonindooto 28 дней назад

    Karibu ngorongoro kuna madudu kibao

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s 28 дней назад

    Mimi nakukubali sanaa toka ulivyotolewa kwenye uongozi niliumia sana, ebu msaidie sabaya nae arudi kwenye system mshawishi mama mheshimiwa makonda sabaya nae arudi.

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 28 дней назад

    Hongera sana Mh Makonda piga kazi Mungu akusimamie

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 28 дней назад +2

    Kwamakonda vichaa watapona

  • @a.m_--68
    @a.m_--68 28 дней назад +1

    Huyu ndio kiongozi baba wataifa alietaka wananchi wamchague, wakati huo alikuwa anazungumzia mgomea uraisi. Alietaka kiongozi ambaye kilammoja akiulizwa aweze kusema ndio Kwa mambo manne la kwanza likiwa ni rushwa.

  • @elifasiscawa5698
    @elifasiscawa5698 28 дней назад

    Wananchi arusha tumuombee makonda, tutanufaika na uongozi wa mama samia ela zimepigwa

  • @anordiobadia.nycsong8123
    @anordiobadia.nycsong8123 28 дней назад

    Mh chapa kazi lakini unatakiwa uongoze nchi hii

  • @pastorykimaro7576
    @pastorykimaro7576 28 дней назад

    Haya unayofanya Mungu akutangulie, asnt

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 28 дней назад

    Mungu Akusimamie katika Majukumu yako...

  • @drtobias_
    @drtobias_ 28 дней назад +1

    HIVI WE MAKONDA SIUWE RAIS WETU TU JAMANI

  • @meshackpatrick6981
    @meshackpatrick6981 28 дней назад

    Hongera kijana wa JPM,,
    Migambo nao wamilike
    Wanaenda kusumbua tena wajasilia Mali kwenye masoko
    Waliyopangiwa .

    • @a.m_--68
      @a.m_--68 28 дней назад

      JPM aliko anafurahia

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 28 дней назад +1

    Ze Jembe at WORK 🎉🎉🎉

  • @a.m_--68
    @a.m_--68 28 дней назад

    No more Rushwa, naomba Raisi wetu na yeye alizungumzie hili kinagaubaga. Ikiwa ni hamna rushwa tu Kwa Makonda au Arusha! Dhambi ya rushwa maeneo Mengine ya nchi yataambukiza Arusha.

  • @zephaniamkondya9977
    @zephaniamkondya9977 28 дней назад

    Hata dada yetu jana ameniambia ameandikishwa mara nyingi pale Mlowo,lakini hajawahi kupokea pesa ya Tasaf!

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 28 дней назад +3

    Makonda nimekuona upo
    Wananchi tilihuzunika tulipokukosa kwa muda ulipoitwa na CCM.

  • @danielkessy
    @danielkessy 28 дней назад

    Kamata mtandao wote iwe fundisho kwa wengine,wawajibishwe kwa mujibu wa Sheria,

  • @jasonwatz7457
    @jasonwatz7457 28 дней назад

    Wasipowajibika watawajibishwa, ifike mahali uadilifu iwe ni kipao mbele namba moja

  • @mariansumari2179
    @mariansumari2179 28 дней назад

    Asante mheshimiwa Makonda ❤❤❤❤

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 28 дней назад

      PAAZA SAUTI RC. HII NCHI NI WIZI MTUPU. MUNGU TUNUSURU

  • @knight6757
    @knight6757 28 дней назад

    🤔

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 28 дней назад

    Huyu kijana apelekwe Rukwa kule Kuna uozo uliokithili

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 28 дней назад

    Kaka hawa tafas wanafanya madudu kweli kuna kioja pale kata ya magulilwa kijiji cha ng'enza kitongoji cha lutengelo watu hawa wametelekeza mradi pale tangu mwaka jana

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 28 дней назад

    Kwa hili kongole. Kaza moyo wako , hawa wako wengi hasa Mainjinia wa miradi. Wanachukua wala Hawaibi utafikiri pesa ni zao.

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 28 дней назад

    👏👏👏

  • @tanzaniayetu6973
    @tanzaniayetu6973 28 дней назад +1

    Njoo Mushono kiseriani madukani kaka wakata ushuru wa mchanga hawakati ushuru wanakula hela za serikali na wao pia ni wauza mchanga kitu kinachosababisha conflict of interest na kuleta migogoro mara kwa mara

    • @seremalatznaaustralia1462
      @seremalatznaaustralia1462 28 дней назад

      Ivi kweli yale malori yanakatwa ela huwa zinaenda wapi? Alaf yanaleta kero mno pale yanaposimama kweny kalavati

  • @HashimuAbubakar-ej8gc
    @HashimuAbubakar-ej8gc 28 дней назад

    Kaka iyo kazi ningumu peke Yako utaweza nchi ngumu sana hata jpm alikemea rushwa lakini alishindwa kaka makonda nakuomba uwe mpole mengine yatazame uyaache kama yalivyo

    • @fredysiwale5413
      @fredysiwale5413 28 дней назад

      Acha kumkatisha tamaa jembe la Watanzania wote

  • @user-xd9kw6nt8w
    @user-xd9kw6nt8w 28 дней назад

    Baba hapo tutapona yaani Kuna wazee wetu wameandishwa lakini hawajawahi pewa hizo pesa mpaka wengine wamekufa

  • @davidgagi2134
    @davidgagi2134 28 дней назад

    Asante Sana Makonda!
    Hakika MUNGu atakuwa pamoja
    Nawe Na tukuombea Mungu Aendelee Moyo wa kutumika
    Maana hii ni Vita tunapaswa Tushikamane site wanaarusha!

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 28 дней назад

    Ndio maana nataka kumpa makonda uwaziri mkuu anapiga kazi sn

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 28 дней назад

    Ufuatiliaji alifanya magufuli ikafanya watu wakaiogopa pesa ya uma.utashanga chadema wanakuja kuponda kazi nzuri ka hii .wajinga sana

  • @abuumaryam185
    @abuumaryam185 28 дней назад

    tasafu wanapiga hela viongozi wa taasisi hiyo wazee wangu wanaishiaga kuandikwa majina tu

  • @HashimuAbubakar-ej8gc
    @HashimuAbubakar-ej8gc 28 дней назад

    Kaka iyo kazi ningumu peke Yako utaweza nchi ngumu sana hata jpm alikemea rushwa lakini alishindwa kaka makonda nakuomba uwe mpole mengine yatazame uyaache kama yalivyo