Wanajua Najua, Nilimwambia MO DEWJI arudi wakamrudisha Asubuhi''Zitto Kabwe

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2018

Комментарии • 102

  • @afriirecap
    @afriirecap 5 лет назад +6

    Asante sana mkuu

  • @misambosalumu1201
    @misambosalumu1201 5 лет назад +2

    Duuuu.....kaka uko vizuri mmmmnoooo bila watu kama wewe inchi ingekula maviiiii

  • @saidmikota8643
    @saidmikota8643 5 лет назад +4

    Yes.....its fact!

  • @sindamkali9913
    @sindamkali9913 5 лет назад +6

    nakuelew sana Ruyagwa hujawah nangusha

  • @oscarjohn5039
    @oscarjohn5039 5 лет назад +7

    namuelewa sana 💪

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe 5 лет назад +6

    Sema usiogope baba

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe 5 лет назад +6

    Safi sana baba

  • @Hauleshabby
    @Hauleshabby 5 лет назад +1

    Safi sanaa kaka

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe 5 лет назад +3

    Sema sema baba

  • @noelsalala9458
    @noelsalala9458 5 лет назад +8

    akili kubwa hiii

  • @mrnobody-qg6ed
    @mrnobody-qg6ed 5 лет назад +2

    genius

  • @mnyawimwiru964
    @mnyawimwiru964 5 лет назад +5

    Waambie mkuu

  • @evansmlalo4049
    @evansmlalo4049 3 года назад

    Wapinzani mumewatetea sana Watanzania kwa mambo mengi sana lakini walio wengi hawajitambui.

  • @muddymwakatika8659
    @muddymwakatika8659 5 лет назад

    Kaka yangu nakumbuka ulinipa 20000 2008. Kwa sababu uliniuliza sawa zuri na nikakujibu. Inawezekana umesahanu lakini nakumbuka bro. Nakukubali sana.

  • @dazk7861
    @dazk7861 4 года назад +1

    Zito eeeh we ni jembe sijui unalijua hilo kama ulikuwa ujui basi nakwambia wewe ni xhuma wape stress hao wakoloni weusi

  • @vibrokhala7264
    @vibrokhala7264 5 лет назад

    sema bb

  • @pachamalota4455
    @pachamalota4455 4 года назад

    Acha unafiki, una uchungu na ili TAIFA, onyesha ukoo waka katika ili taifa

  • @comfortjaffer3541
    @comfortjaffer3541 5 лет назад +4

    Zito muogope Mungu, hali hiyo bado hujawa kiongozi sasa ukiwa kiongozi Vyombo vya Habari si itabidi vihamie apo kwako tu. Waache wenye dhamana waongoze

    • @kaisarimkuu3685
      @kaisarimkuu3685 5 лет назад +1

      Kumbe mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano sio kiongozi!!!

  • @germanerwilliamu4698
    @germanerwilliamu4698 4 года назад +3

    We kidume buana '' nimekueelewa mno yaan

  • @ndarogamba191
    @ndarogamba191 4 года назад

    "Information is Power"💪💪💪.
    Kuna mapopo hawakuelewi hadi useme " Mazwazwa Oyeeee"...💉💉🔥

  • @jumatyger2667
    @jumatyger2667 5 лет назад

    Dahhh

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga3475 5 лет назад

    Mtu watu wazuri Sana mchina hii mwenye upeo mkubwa ndo hivyo siasa maji taka na nasi wtz wengine tunajifanya ushabiki hta kwenye mambo mazito, Zitto mngeugana na akina Heche na akina Lema ingekuwa safi

  • @relaxationalmoments7029
    @relaxationalmoments7029 4 года назад

    Binafsi wakati fulani niliamini we ungekuwa mmoja wa wapinzani makini kidogo. Sasa hali ni tofauti. Tunafahamu unao washabiki kadhaa wanaokushabikia. Ukweli unabaki palepale, UMEPOTEZA MWELEKEO SAHIHI! Wanaokushabikia waendelee kukushabikia. Unasema huna kiburi! Sasa umekuwa mtu wa kujimwambafai sana na kwa namna ya kipuuzi kabisa. Na hicho ndicho KIBURI HASA! Nadhani una haja ya kujirekebisha ili angalau tuone kama utarudi kwenye msitari sahihi.

  • @deoshine777
    @deoshine777 5 лет назад +2

    waloge wanaozingu japo siamini hayo

  • @sammaziku4755
    @sammaziku4755 5 лет назад

    dah....ukiwa unajua kung`ata na kupuliza

  • @amiryramadhan5077
    @amiryramadhan5077 5 лет назад

    nakuelewa mkuu

  • @abuuharuna4278
    @abuuharuna4278 5 лет назад +6

    yani bila wakosoaji kama nyie hali ingekuwa ngumu zaid

  • @richardlambert6644
    @richardlambert6644 5 лет назад

    ukweli utadumu milele n milele

  • @sulleysonsulley4160
    @sulleysonsulley4160 5 лет назад

    Tuitetee nchi yetu , tuisemee nchi yetu ,

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe 5 лет назад +4

    Usiache kusema

  • @willambwiganemwaiponya9767
    @willambwiganemwaiponya9767 4 года назад

    ✍️

  • @comfortjaffer3541
    @comfortjaffer3541 5 лет назад

    Uyu jamaa ni creative, anatumia gap ya tundu lisu kujiimarisha kisiasa. Ndo Maana kutwa kucha yupo na vyombo vya habari

  • @blessedmoses4243
    @blessedmoses4243 5 лет назад

    Mwenye sikio amesikia

  • @jumamustaph6253
    @jumamustaph6253 4 года назад

    Zito ulikuwa kwenye ile kamati ulitulia sana, mdomo uliuanza baada ya kuondolewa kule sasa bwaaabwa ile mbaya.

  • @hamisihamisi6931
    @hamisihamisi6931 5 лет назад

    Unatisha kiongozi wa watanzania, wale mazwazwa watakayakubali haya cku kinvuli chako kitakapo bakia kinaongea ila Leo wanajifanya hawackii wakati wanamasikio, hawaoni wakati wanamacho.

  • @rali8825
    @rali8825 5 лет назад

    Kuna mengi ya kufatilia, acha kiherehere.

  • @twahiraliy3382
    @twahiraliy3382 5 лет назад

    Korosho! Kuna maagizo na kununua ivi ni vitu viwili tofauti

  • @saidsuleiman5255
    @saidsuleiman5255 5 лет назад +1

    Oyooooo

  • @abdulkareemramadhani3688
    @abdulkareemramadhani3688 5 лет назад

    Mbona wengine husemi warudi ili warudishwe?!Mfano Azori,Bensanane na wengineo ambao hawajulikani walipo?!kwanini huyo tu?!

  • @isayakimbe9610
    @isayakimbe9610 4 года назад

    128 haiwezi shindana Na GB4

  • @iam_mobam
    @iam_mobam 5 лет назад

    HEADER ,,CONFIDENCIAL ,,,GANSTA,,SOLDIER ,,,TRUTHFULLY,,HONESTLY ZITTO KB

  • @redmondmulilo4852
    @redmondmulilo4852 5 лет назад

    Mtt wakiume zito hutaki utani unaongea ukweli ambao mtu yeyote mwenye akili timamu lazima akuelewe sio awa mazwazwa akina msiba kilasiku nikujipendekeza nakazi hawapewi mpaka mh atatoka madarakani

  • @consolatamaarufu58
    @consolatamaarufu58 5 лет назад +3

    sema zitto

  • @ewaldjoseph5775
    @ewaldjoseph5775 3 года назад

    Wanajua najua

  • @february2866
    @february2866 5 лет назад

    Huwa Unatumwa Huna Lolote

  • @richardyusuphmsongolomakat2049
    @richardyusuphmsongolomakat2049 5 лет назад

    Mgodi unaotembea

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 4 года назад

    Hii nchi siasa zake ni zenye heshima kimataifa Sasa ww ndio unaleta lipi jipya ? Umekulia kwenye hii amani ..

    • @relaxationalmoments7029
      @relaxationalmoments7029 4 года назад

      Habib, nakuunga mkono. Naona kuna baadhi wanajaribu kushabikia wasiyoyajua.

  • @venancemalima1181
    @venancemalima1181 5 лет назад +3

    Usijenge hoja ya kuwa mpotoshaji mkuu.

  • @mtengulerashid7868
    @mtengulerashid7868 5 лет назад

    we we mrundi we we acha.uchochezi .huo utarudishwa kwenu burundi

    • @ivanlegera2133
      @ivanlegera2133 5 лет назад

      huon hata aibu kuropoka ila nisikulaum huenda hazikutoshi

  • @yusufukazamba2391
    @yusufukazamba2391 4 года назад

    Oneday kgm will be private

  • @luluamri370
    @luluamri370 4 года назад

    Sura imechoka kwa chale za waganga

  • @philipojosephlukumay3965
    @philipojosephlukumay3965 5 лет назад +2

    Amejuaje ishu ya usalama wa taifa kama si kwamba yeye ni mmoja wao

  • @ndihunzefx_tz1174
    @ndihunzefx_tz1174 5 лет назад

    Kwa anayesumbuliwa na maradhi ya KISUKARI NA PRESHA, nitafute whatsapp namba 0765871955, kuna uwezekano wa kupona kabisa! Kwa muda wa siku 14 tu! Bila shaka yeyote! Kwa uwezo wa M.Mungu, wahi sasa nafasi za Ofa ni chache🙏

    • @yulithakashegu7028
      @yulithakashegu7028 5 лет назад

      KiM FlavouR heri yako anayetangaza uponyaji kuliko siasa

    • @ndihunzefx_tz1174
      @ndihunzefx_tz1174 5 лет назад

      @@yulithakashegu7028 Shukrani sana mkuu wangu, , , na KARIBU PiA...🙏

  • @rinovarthiliwi1314
    @rinovarthiliwi1314 3 года назад

    Mheshimiwa Magufuli anahusika kwa asilimia mia moja kukiua CHADEMA kwa sababu alishatamka akiwa Singida. Ndio maana anawatoa wabunge CHADEMA na kuwapa vyeo ndani ya CCM. Sababu nyingine kubwa sana ni mhalifu wa CHADEMA (NUSRAT) kutolewa gerezani usiku na kushiriki kuapishwa kama mbunge kesho yake. Hakuna mhalifu anaetolewa gerezani usiku kama hakuna amri ya mtu mkubwa sana Serekalini. CHADEMA mbaya wenu ni mheshimiwa John Pombe Magufuli na hakikisheni mnamshitaki ICC. Endeleeni kukusanya ushahidi ikiwa ni pamoja na kuwaapisha wabunge wa viti maalumu bila idhini ya chama. "MAGUFULI IS THE ANIMAL"

  • @comfortjaffer3541
    @comfortjaffer3541 5 лет назад +4

    Zito huo ni ubinafsi tu. Kila raia na kila mwananchi angekuwa anaongea kama wewe unadhani hii nchi ingekalika? Si ingekuwa kelele tu

    • @rostamkamazima1012
      @rostamkamazima1012 5 лет назад

      Mbona ww umeongea humu? Unadhani kila mtu angeongea km ww humu pangetosha?

  • @edsonndogoro3188
    @edsonndogoro3188 5 лет назад

    pumbafu! Hii ni Tz cyo kenya!

  • @kabogodominika6305
    @kabogodominika6305 5 лет назад +2

    unafki uchochezi umekujaa

  • @manyukkitv3225
    @manyukkitv3225 3 года назад

    T

  • @eliudbilala1475
    @eliudbilala1475 4 года назад

    tunawategemea nyie zitto bira wewe kureta upinzan sisi huku uraiyan tutakufa bira kosa 2020 gombea urais

  • @bestonmfikwa8510
    @bestonmfikwa8510 4 года назад

    Tungekua na wabunge km hawa 50 pengine mambo yangependeza

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 5 лет назад +7

    Zito umeaibika usiwe unakurupuka kwa serikari hii ya awamu ya tano sasa wafanyabiashara wamekubari kununuwa korosho wsiponunua serikari itanunua mlizoea kupiga dili we ni mwizi mlipelekesha kikwete kwa magu ndiyo kiboko yenu amna pa kwisha

    • @antarfereji2219
      @antarfereji2219 5 лет назад

      Mohammed Mdangwe
      Mbona mada haiendani na korosho!!?🤔

    • @mohamedgilala8423
      @mohamedgilala8423 5 лет назад

      Zitto shughuri yako kwisha 2020

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 4 года назад

      Vipi mpaka sasa. Hadithi za korosho zimeishia wapi??? Mi naona ni vyema tusikae sana kwenye vijiwe vya kahawa na mafundi viatu,sehemu hizi ni maarufu sana kwa habari hewa

  • @mataamiry6720
    @mataamiry6720 4 года назад

    Wambie hao wajinga wanaokutukana

  • @bedamichael7103
    @bedamichael7103 5 лет назад

    I see wewe ni mnafiki sana yaani ni kama mwanamke aliyeolewa ukewenza!

    • @kassimjuma8713
      @kassimjuma8713 5 лет назад

      Beda Michael mama yako mbona mama yako maraya

    • @munamwangu7737
      @munamwangu7737 5 лет назад

      We ni Wa kuchomekwa limti matakon

    • @msikunkudadi1534
      @msikunkudadi1534 5 лет назад

      Toka APA ww huna lolote

    • @mikidadichengula1965
      @mikidadichengula1965 5 лет назад

      kuma ww kua makin

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 5 лет назад

      Umewatukana mama zetu dada zetu. Unadhihirisha ulivo LELEWA. Kwa bahati mbaya unajiaminishi kuwa na mdomo uliojaa MATUSI unaamini ni mjaja😏😏😏

  • @noelsalala9458
    @noelsalala9458 5 лет назад +5

    akili kubwa hiii

  • @germanerwilliamu4698
    @germanerwilliamu4698 4 года назад

    We kidume buana '' nimekueelewa mno yaan