Zito muogope Mungu, hali hiyo bado hujawa kiongozi sasa ukiwa kiongozi Vyombo vya Habari si itabidi vihamie apo kwako tu. Waache wenye dhamana waongoze
Mtu watu wazuri Sana mchina hii mwenye upeo mkubwa ndo hivyo siasa maji taka na nasi wtz wengine tunajifanya ushabiki hta kwenye mambo mazito, Zitto mngeugana na akina Heche na akina Lema ingekuwa safi
Binafsi wakati fulani niliamini we ungekuwa mmoja wa wapinzani makini kidogo. Sasa hali ni tofauti. Tunafahamu unao washabiki kadhaa wanaokushabikia. Ukweli unabaki palepale, UMEPOTEZA MWELEKEO SAHIHI! Wanaokushabikia waendelee kukushabikia. Unasema huna kiburi! Sasa umekuwa mtu wa kujimwambafai sana na kwa namna ya kipuuzi kabisa. Na hicho ndicho KIBURI HASA! Nadhani una haja ya kujirekebisha ili angalau tuone kama utarudi kwenye msitari sahihi.
Unatisha kiongozi wa watanzania, wale mazwazwa watakayakubali haya cku kinvuli chako kitakapo bakia kinaongea ila Leo wanajifanya hawackii wakati wanamasikio, hawaoni wakati wanamacho.
Kwa anayesumbuliwa na maradhi ya KISUKARI NA PRESHA, nitafute whatsapp namba 0765871955, kuna uwezekano wa kupona kabisa! Kwa muda wa siku 14 tu! Bila shaka yeyote! Kwa uwezo wa M.Mungu, wahi sasa nafasi za Ofa ni chache🙏
Mheshimiwa Magufuli anahusika kwa asilimia mia moja kukiua CHADEMA kwa sababu alishatamka akiwa Singida. Ndio maana anawatoa wabunge CHADEMA na kuwapa vyeo ndani ya CCM. Sababu nyingine kubwa sana ni mhalifu wa CHADEMA (NUSRAT) kutolewa gerezani usiku na kushiriki kuapishwa kama mbunge kesho yake. Hakuna mhalifu anaetolewa gerezani usiku kama hakuna amri ya mtu mkubwa sana Serekalini. CHADEMA mbaya wenu ni mheshimiwa John Pombe Magufuli na hakikisheni mnamshitaki ICC. Endeleeni kukusanya ushahidi ikiwa ni pamoja na kuwaapisha wabunge wa viti maalumu bila idhini ya chama. "MAGUFULI IS THE ANIMAL"
Zito umeaibika usiwe unakurupuka kwa serikari hii ya awamu ya tano sasa wafanyabiashara wamekubari kununuwa korosho wsiponunua serikari itanunua mlizoea kupiga dili we ni mwizi mlipelekesha kikwete kwa magu ndiyo kiboko yenu amna pa kwisha
Vipi mpaka sasa. Hadithi za korosho zimeishia wapi??? Mi naona ni vyema tusikae sana kwenye vijiwe vya kahawa na mafundi viatu,sehemu hizi ni maarufu sana kwa habari hewa
Asante sana mkuu
Duuuu.....kaka uko vizuri mmmmnoooo bila watu kama wewe inchi ingekula maviiiii
Yes.....its fact!
nakuelew sana Ruyagwa hujawah nangusha
namuelewa sana 💪
Sema usiogope baba
Safi sana baba
Hunajuwa
Kaza buti braza
Safi sanaa kaka
Sema sema baba
Asante kwa kusema ukweli
akili kubwa hiii
genius
Waambie mkuu
Wapinzani mumewatetea sana Watanzania kwa mambo mengi sana lakini walio wengi hawajitambui.
Kaka yangu nakumbuka ulinipa 20000 2008. Kwa sababu uliniuliza sawa zuri na nikakujibu. Inawezekana umesahanu lakini nakumbuka bro. Nakukubali sana.
Zito eeeh we ni jembe sijui unalijua hilo kama ulikuwa ujui basi nakwambia wewe ni xhuma wape stress hao wakoloni weusi
sema bb
Acha unafiki, una uchungu na ili TAIFA, onyesha ukoo waka katika ili taifa
Zito muogope Mungu, hali hiyo bado hujawa kiongozi sasa ukiwa kiongozi Vyombo vya Habari si itabidi vihamie apo kwako tu. Waache wenye dhamana waongoze
Kumbe mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano sio kiongozi!!!
We kidume buana '' nimekueelewa mno yaan
Uko sawa kabsa
"Information is Power"💪💪💪.
Kuna mapopo hawakuelewi hadi useme " Mazwazwa Oyeeee"...💉💉🔥
Dahhh
Mtu watu wazuri Sana mchina hii mwenye upeo mkubwa ndo hivyo siasa maji taka na nasi wtz wengine tunajifanya ushabiki hta kwenye mambo mazito, Zitto mngeugana na akina Heche na akina Lema ingekuwa safi
Binafsi wakati fulani niliamini we ungekuwa mmoja wa wapinzani makini kidogo. Sasa hali ni tofauti. Tunafahamu unao washabiki kadhaa wanaokushabikia. Ukweli unabaki palepale, UMEPOTEZA MWELEKEO SAHIHI! Wanaokushabikia waendelee kukushabikia. Unasema huna kiburi! Sasa umekuwa mtu wa kujimwambafai sana na kwa namna ya kipuuzi kabisa. Na hicho ndicho KIBURI HASA! Nadhani una haja ya kujirekebisha ili angalau tuone kama utarudi kwenye msitari sahihi.
waloge wanaozingu japo siamini hayo
dah....ukiwa unajua kung`ata na kupuliza
nakuelewa mkuu
yani bila wakosoaji kama nyie hali ingekuwa ngumu zaid
Zito
ukweli utadumu milele n milele
Tuitetee nchi yetu , tuisemee nchi yetu ,
Usiache kusema
Waambie baba
✍️
Uyu jamaa ni creative, anatumia gap ya tundu lisu kujiimarisha kisiasa. Ndo Maana kutwa kucha yupo na vyombo vya habari
Mwenye sikio amesikia
Zito ulikuwa kwenye ile kamati ulitulia sana, mdomo uliuanza baada ya kuondolewa kule sasa bwaaabwa ile mbaya.
Unatisha kiongozi wa watanzania, wale mazwazwa watakayakubali haya cku kinvuli chako kitakapo bakia kinaongea ila Leo wanajifanya hawackii wakati wanamasikio, hawaoni wakati wanamacho.
Kuna mengi ya kufatilia, acha kiherehere.
Korosho! Kuna maagizo na kununua ivi ni vitu viwili tofauti
tatizo unatafuta umaarufu for nothing
Oyooooo
Unafaa kua raisi
Mbona wengine husemi warudi ili warudishwe?!Mfano Azori,Bensanane na wengineo ambao hawajulikani walipo?!kwanini huyo tu?!
Swali zuri sana hili!
128 haiwezi shindana Na GB4
HEADER ,,CONFIDENCIAL ,,,GANSTA,,SOLDIER ,,,TRUTHFULLY,,HONESTLY ZITTO KB
Mtt wakiume zito hutaki utani unaongea ukweli ambao mtu yeyote mwenye akili timamu lazima akuelewe sio awa mazwazwa akina msiba kilasiku nikujipendekeza nakazi hawapewi mpaka mh atatoka madarakani
sema zitto
Wanajua najua
Huwa Unatumwa Huna Lolote
Mgodi unaotembea
Hii nchi siasa zake ni zenye heshima kimataifa Sasa ww ndio unaleta lipi jipya ? Umekulia kwenye hii amani ..
Habib, nakuunga mkono. Naona kuna baadhi wanajaribu kushabikia wasiyoyajua.
Usijenge hoja ya kuwa mpotoshaji mkuu.
Venance Malima
Nani aliyepotoshwa kama sio wew!??
Venace malima kapimwe akili
we we mrundi we we acha.uchochezi .huo utarudishwa kwenu burundi
huon hata aibu kuropoka ila nisikulaum huenda hazikutoshi
Oneday kgm will be private
Sura imechoka kwa chale za waganga
Wambie wamejawanakbir
Amejuaje ishu ya usalama wa taifa kama si kwamba yeye ni mmoja wao
Swali la kijinga sana..
Maswali mengine bana km uko darasani utakereka tu 🤣🤣🤣
Akili ndogo huwezi elewa
kichwa maji
Mbwa koko ww
Kwa anayesumbuliwa na maradhi ya KISUKARI NA PRESHA, nitafute whatsapp namba 0765871955, kuna uwezekano wa kupona kabisa! Kwa muda wa siku 14 tu! Bila shaka yeyote! Kwa uwezo wa M.Mungu, wahi sasa nafasi za Ofa ni chache🙏
KiM FlavouR heri yako anayetangaza uponyaji kuliko siasa
@@yulithakashegu7028 Shukrani sana mkuu wangu, , , na KARIBU PiA...🙏
Mheshimiwa Magufuli anahusika kwa asilimia mia moja kukiua CHADEMA kwa sababu alishatamka akiwa Singida. Ndio maana anawatoa wabunge CHADEMA na kuwapa vyeo ndani ya CCM. Sababu nyingine kubwa sana ni mhalifu wa CHADEMA (NUSRAT) kutolewa gerezani usiku na kushiriki kuapishwa kama mbunge kesho yake. Hakuna mhalifu anaetolewa gerezani usiku kama hakuna amri ya mtu mkubwa sana Serekalini. CHADEMA mbaya wenu ni mheshimiwa John Pombe Magufuli na hakikisheni mnamshitaki ICC. Endeleeni kukusanya ushahidi ikiwa ni pamoja na kuwaapisha wabunge wa viti maalumu bila idhini ya chama. "MAGUFULI IS THE ANIMAL"
Zito huo ni ubinafsi tu. Kila raia na kila mwananchi angekuwa anaongea kama wewe unadhani hii nchi ingekalika? Si ingekuwa kelele tu
Mbona ww umeongea humu? Unadhani kila mtu angeongea km ww humu pangetosha?
pumbafu! Hii ni Tz cyo kenya!
unafki uchochezi umekujaa
T
tunawategemea nyie zitto bira wewe kureta upinzan sisi huku uraiyan tutakufa bira kosa 2020 gombea urais
Tungekua na wabunge km hawa 50 pengine mambo yangependeza
Zito umeaibika usiwe unakurupuka kwa serikari hii ya awamu ya tano sasa wafanyabiashara wamekubari kununuwa korosho wsiponunua serikari itanunua mlizoea kupiga dili we ni mwizi mlipelekesha kikwete kwa magu ndiyo kiboko yenu amna pa kwisha
Mohammed Mdangwe
Mbona mada haiendani na korosho!!?🤔
Zitto shughuri yako kwisha 2020
Vipi mpaka sasa. Hadithi za korosho zimeishia wapi??? Mi naona ni vyema tusikae sana kwenye vijiwe vya kahawa na mafundi viatu,sehemu hizi ni maarufu sana kwa habari hewa
Wambie hao wajinga wanaokutukana
I see wewe ni mnafiki sana yaani ni kama mwanamke aliyeolewa ukewenza!
Beda Michael mama yako mbona mama yako maraya
We ni Wa kuchomekwa limti matakon
Toka APA ww huna lolote
kuma ww kua makin
Umewatukana mama zetu dada zetu. Unadhihirisha ulivo LELEWA. Kwa bahati mbaya unajiaminishi kuwa na mdomo uliojaa MATUSI unaamini ni mjaja😏😏😏
akili kubwa hiii
We kidume buana '' nimekueelewa mno yaan