Kikwete: Membe alinitesa alivyohamia ACT-Wazalendo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Rondo. Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesema kuwa uamuzi wa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe, kuhamia ACT-Wazalendo kutoka CCM mwaka 2020 na kuwania urais ulimpa wakati mgumu.
    Amesema hajui kama ni Zitto Kabwe (Kiongozi wa ACT-Wazalendo) ndiye aliyemfuata Membe ajiunge na kukiimarisha chama chake au Membe ndiye aliyemfuata ili akuze demokrasia na aendeleze siasa.
    Kikwete ametoa kauli hiyo leo Jumanne Mei 16, 2023 alipokuwa akitoa hotuba wakati wa misa ya kumuaga Membe aliyefariki Mei 12, 2023 katika hospitali ya Kairuki alikokuwa akipatiwa matibabu mpaka umauti ulipomkuta.

Комментарии • 50

  • @annamakomele339
    @annamakomele339 Год назад +4

    Jamani Mimi nilijua membe na kikwete ni ndugu😭😭itakuwa walikuwa marafiki mpaka wakafanana Sanaa😭😭😭

  • @magrethmeela154
    @magrethmeela154 Год назад +1

    Jk.yaani naona kama bado u Rais kumbe ulisha staafu. Hongera Na pole baba.

  • @kulwamathias7680
    @kulwamathias7680 Год назад +3

    Jk nakupenda sana

  • @elvismtai84
    @elvismtai84 Год назад +1

    Mkuu umefanya kazi nzuri,kwenye taifa hili umetoa fursa za ajira kwa vijana kujiajiri,jk wewe Ni jembe.

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv 9 месяцев назад

    Wewe mpaka sasa ndiye Rais wa Tanganyika endelea kutawala Urais hauna kikomo nchi hii

  • @seraphinqorro5039
    @seraphinqorro5039 Год назад +1

    He was a kind person with an assertive behaviour.. God receive Bernard Membe in Your eternal life.Amen

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Год назад +2

    Jembe kama Jembe, JK , R.I.P BM

  • @bakarilimachinga6193
    @bakarilimachinga6193 Год назад +2

    Daah huyu mzee ndomana anazeeka taratibu taratibu sana ...sababu anaipa nafasi sana furaha na kucheka zaidi very funny ..

    • @fransiscotsii2671
      @fransiscotsii2671 Год назад +1

      Jk n mtu unique San hajipi simu kbs ataishi Miaka mingi mno

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 Год назад +3

    Sasa Mzee alikutesa na nini wakati hakuwa na madhara yoyote kwenye chama pia alipo gombea Uraisi tuliona hakuwa na mvuto wa aina yoyote hadi alizidiwa na muheshimiwa Rungwe.

  • @sadofaraji5999
    @sadofaraji5999 Год назад +1

    Sijamuona Kikwete amenyomg'onyea kiasi hiki.

  • @danielmartinKiondo-dq4jz
    @danielmartinKiondo-dq4jz Год назад +1

    Kikwete Rais mstaafu umeongea vizuri sana hadi raha nimefurahi uliposema kuwa Ben alikuwa haoni shida kutoa mawazo yake kulikoni wengine wanakaa kimya tuu halafu likiharibika wanasema umeonaee cc tulijua tu hauna mwendo ha Haa ha

  • @stanleyjohn1361
    @stanleyjohn1361 Год назад +4

    Wema hawafi bwana 🤸🤸🤸

  • @onesmoakwilini7197
    @onesmoakwilini7197 Год назад +1

    Uzee unaonekana sasa

  • @annamakomele339
    @annamakomele339 Год назад +1

    Kwanini matajir hawazai Sanaa

  • @Macela-i7x
    @Macela-i7x Год назад +2

    R i p bm

  • @mzeejesh6112
    @mzeejesh6112 Год назад

    Bado ww remove

  • @nangugu1657
    @nangugu1657 Год назад

    Kila mtu siku yake saa yake sababu yake na namuna yake hakika mungu Aiokoe Tanzania

  • @jacksonleonard4275
    @jacksonleonard4275 Год назад +3

    Wote NI wale wale Mimi Naona bado wewe ukifa nitajidai Sana kuwa maadui wa magufuli wanapungua😢😢😢

    • @anosiata8242
      @anosiata8242 Год назад +2

      Hata mimi pia nitafurahi

    • @fransiscotsii2671
      @fransiscotsii2671 Год назад +2

      Uo uadui unausema wew lkn wenzio wamefanya kazi ote nakuteana Hadi mwngine kaachiwa kijiti Cha Urais afu wew unajitesa kusimamia uadui usioelewek unatokea wp, acha kujilimbukiza simu bure kwenye mwili wako relax fikiria chanya zaidi

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 Год назад +2

      UsIjeshangaa tukaanza MIMI NA WEWE. MAMBO YA MUNGU MWACHIE MUUMBA MWENYEWE

    • @merekwangujati158
      @merekwangujati158 Год назад +2

      Na unajiona umecomment point na ww , daah kesho Yako penyewe hujui daah mungu akubariki tu ndugu Yako nwenyewe ww hujamsaidia kama JK alivyo msaidia magu ,, daah pole sana

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +2

      ​@@anosiata8242 NJAA NA UVIVU UNA KUSUMBUWA.