Kikwete: Membe alinitesa alivyohamia ACT-Wazalendo
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Rondo. Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesema kuwa uamuzi wa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe, kuhamia ACT-Wazalendo kutoka CCM mwaka 2020 na kuwania urais ulimpa wakati mgumu.
Amesema hajui kama ni Zitto Kabwe (Kiongozi wa ACT-Wazalendo) ndiye aliyemfuata Membe ajiunge na kukiimarisha chama chake au Membe ndiye aliyemfuata ili akuze demokrasia na aendeleze siasa.
Kikwete ametoa kauli hiyo leo Jumanne Mei 16, 2023 alipokuwa akitoa hotuba wakati wa misa ya kumuaga Membe aliyefariki Mei 12, 2023 katika hospitali ya Kairuki alikokuwa akipatiwa matibabu mpaka umauti ulipomkuta.
Jamani Mimi nilijua membe na kikwete ni ndugu😭😭itakuwa walikuwa marafiki mpaka wakafanana Sanaa😭😭😭
Jk.yaani naona kama bado u Rais kumbe ulisha staafu. Hongera Na pole baba.
Jk nakupenda sana
Mkuu umefanya kazi nzuri,kwenye taifa hili umetoa fursa za ajira kwa vijana kujiajiri,jk wewe Ni jembe.
Wewe mpaka sasa ndiye Rais wa Tanganyika endelea kutawala Urais hauna kikomo nchi hii
He was a kind person with an assertive behaviour.. God receive Bernard Membe in Your eternal life.Amen
Jembe kama Jembe, JK , R.I.P BM
Daah huyu mzee ndomana anazeeka taratibu taratibu sana ...sababu anaipa nafasi sana furaha na kucheka zaidi very funny ..
Jk n mtu unique San hajipi simu kbs ataishi Miaka mingi mno
Sasa Mzee alikutesa na nini wakati hakuwa na madhara yoyote kwenye chama pia alipo gombea Uraisi tuliona hakuwa na mvuto wa aina yoyote hadi alizidiwa na muheshimiwa Rungwe.
Sijamuona Kikwete amenyomg'onyea kiasi hiki.
Kikwete Rais mstaafu umeongea vizuri sana hadi raha nimefurahi uliposema kuwa Ben alikuwa haoni shida kutoa mawazo yake kulikoni wengine wanakaa kimya tuu halafu likiharibika wanasema umeonaee cc tulijua tu hauna mwendo ha Haa ha
Wema hawafi bwana 🤸🤸🤸
😅
Uzee unaonekana sasa
Kwanini matajir hawazai Sanaa
R i p bm
Bado ww remove
Kila mtu siku yake saa yake sababu yake na namuna yake hakika mungu Aiokoe Tanzania
Wote NI wale wale Mimi Naona bado wewe ukifa nitajidai Sana kuwa maadui wa magufuli wanapungua😢😢😢
Hata mimi pia nitafurahi
Uo uadui unausema wew lkn wenzio wamefanya kazi ote nakuteana Hadi mwngine kaachiwa kijiti Cha Urais afu wew unajitesa kusimamia uadui usioelewek unatokea wp, acha kujilimbukiza simu bure kwenye mwili wako relax fikiria chanya zaidi
UsIjeshangaa tukaanza MIMI NA WEWE. MAMBO YA MUNGU MWACHIE MUUMBA MWENYEWE
Na unajiona umecomment point na ww , daah kesho Yako penyewe hujui daah mungu akubariki tu ndugu Yako nwenyewe ww hujamsaidia kama JK alivyo msaidia magu ,, daah pole sana
@@anosiata8242 NJAA NA UVIVU UNA KUSUMBUWA.