JIJI LA ARUSHA LAKANUSHA MADAI YA MDAU WA UTALII, MKURUGENZI AWEKA BAYANA/WAKIENDA VIJANA WANATSHIWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 апр 2024
  • #jambotv
    Siku chache baada ya Mwenyekiti wa chama cha mawakala wa utalii Tanzania (TATO) Wilbard Chambulo kuituhumu Halmashauri ya jiji la Arusha kudai kuwa ameilipa Halmashauri hiyo milioni 24 kwenye kodi aliyokuwa akidaiwa lakini akashangazwa kuona taarifa za malipo alizopatiwa zinaonesha kuwa amelipa milioni tatu (3) pekee hivyo kuibua hisia hasi na madai ya uhujumu wa fedha za umma kwa baadhi ya maafisa wa Halmashauri ya jiji hilo leo, Jumatatu Aprili 15.2024 Halmashauri hiyo imekanusha vikali madai hayo
    Akizungumza na wanahabari ofisini kwake Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri hiyo Mhandisi Juma Hamsini amesema madai ya Chambulo ambaye ni mfanyabiashara na mdau wa masuala ya utalii wa muda mrefu si ya kweli, kwa kuwa baada ya kuibua tuhuma hizo Halmashauri ya jiji la Arusha na ofisi ya Katibu Tawala mkoa wa Arusha ilifanya ufuatiliiaji wa taarifa za mifumo ya kikodi za Chambulo (kwa kuwa hakuna fedha inayopokelewa mkononi), na baada ya ufuatiliaji huo wamejiridhisha masuala kadha wa kadha yanayoleta utata wa ushiri wake kwenye ulipaji wa kodi za serikali hususani zile anazopaswa kulipa kwenye Halmashauri hiyo
    Mhandisi Hamsini amesema inadaiwa kuwa Chambulo anamiliki kampuni mbili tofauti ambazo ni 'The Tanganyika Wilderness Camps Limited' na 'Tanganyika Wilderness Camps Limited' ambazo kampuni zote hizo licha ya kwamba zinafanya shughuli zake kwenye maeneo mbalimbali lakini usajili wake umefanyika Arusha, lakini namba ya utambulisho wa mlipa kodi (TIN) inayotumika ni moja jambo ambalo linaleta majawabu kuwa mmiliki wa kampuni hizo ni mtu mmoja ambaye ni Wilbard Chambulo
    Hata hivyo Mkurugenzi huyo ameeleza kuwa kwenye kumbukumbu za kikodi inaonesha kuwa mauzo ya mfanyabiashara huyo Kwa mwaka yanafikiwa bilioni 90 ambapo katika fedha hiyo kodi anayopaswa kulipa Halmashauri ni milioni 200 na ushee ambayo kimsingi anadaiwa kwa kuwa licha ya kwamba anaeleza kulipa milioni 24 lakini 'demand note' aliyotumiwa na Halmashauri ni milioni tatu (3) pekee
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 241

  • @godfreyjohn8460
    @godfreyjohn8460 Месяц назад +15

    Mm ni guide wa utalii miaka mingi mr.chambulo ni mlipaji mkuu wa taxi pia amesaidia sana tanapa visima hadi magari.

  • @fredrickmapunda3110
    @fredrickmapunda3110 Месяц назад +8

    Sasa hapo unamjibu nani kwanini barua hiyo usingeitoa sikuileile wewe ni mwizi hata Kwa macho inaonekana. Na mipete Yako ya uganga

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg Месяц назад +6

    Makonda safi safi sana umemtoa nyoka pangoni mbona mkurugenzi kabla ya makonda kuja? kwahiyo moto wa makonda umekuibua mzee

  • @issajuma9043
    @issajuma9043 Месяц назад +14

    Wapigaji bado wapo,
    Kama kampuni ni mbili mulikubalije itumie TIN namba moja
    Kuna viashiria vya upigaji hapo

    • @user-gy5en6cy8o
      @user-gy5en6cy8o Месяц назад

      Kabisa

    • @ChiefMsenya
      @ChiefMsenya Месяц назад +3

      Ndugu Mto mmoja anauwezo wa kua na kampuni zaidi ya moja lakini Tin ikawa ni moja tu.

  • @lucasmlowezi9214
    @lucasmlowezi9214 22 дня назад +4

    Shida hamsomi alama za nyakati, yaani Mh. Makonda chuma yupo hapo mnaleta utani. Haya shauri yako, boss Makonda yupo kazini

  • @emazacharia4455
    @emazacharia4455 Месяц назад +20

    Mbona inshu ndogo hii itisha mdahalo baina yake na wee muwe live tuone nan mbabaishaji😊

  • @inocentedward2185
    @inocentedward2185 Месяц назад +4

    Nimefanya kazi kwenye hiyo miaka 12 Tanganyika ni moja siyo mbili labda herufi zimekosewa kuandikwa pia huyo Kaburu siyo mbabaishaje

  • @charlesmoremi7262
    @charlesmoremi7262 Месяц назад +4

    Huyu mkurugenzi alikua wilaya ya serengeti. Ni mbabaishaji sana

  • @fulgenceoswald3866
    @fulgenceoswald3866 21 день назад +2

    Dah! huyu jamaa Muongo sana mama Samia tumbua huyu mtu

  • @rahmarama5669
    @rahmarama5669 16 дней назад

    Kwishaaa bora ungesbria tu aisee mana hpa uliyatafta mwenyewe Makonda hataki unafki

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Месяц назад +4

    kwanza alie leta sheria za wazungu service levy ni sheria za wazungu na hizi wazungu wanachajiwa kwasababu ya bill za nyumba na umeme na maji ndio maana zikaitwa jina hilo

  • @AthumaniShabani-yi8hy
    @AthumaniShabani-yi8hy Месяц назад

    Ni nzuri mno

  • @rahmarama5669
    @rahmarama5669 16 дней назад

    Mkurugenzi umecheza pabaya aiseee😂😂😂😂😂😂yaan umechuchumaa cha kikeni

  • @sifunimelkizedeck882
    @sifunimelkizedeck882 Месяц назад +2

    Kiukweli maelezo yako yako clear mkuu ki professional

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 Месяц назад +1

      Yapo clear kwenye makaratasi ila kiuhalisia wamempiga labda kama hujawah kupita huko

  • @bilid4128
    @bilid4128 Месяц назад +4

    Mmh mkurugenzi amelemewa na Mapete mengi

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Месяц назад +5

    Bana kusengenya ni mbaya sana ulikuwepo ungekataa palepale

    • @mariamcleophas272
      @mariamcleophas272 Месяц назад +2

      Mpaka nywele kanyoa 😂😂

    • @user-ku8dk7bu7p
      @user-ku8dk7bu7p Месяц назад

      ​@@mariamcleophas272mmbeaaa weww kama Mimi nkajuaa nmeonaa tofaut😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 21 день назад

      Huyu ni TAPELI bhana Muongo

  • @christinestephen8828
    @christinestephen8828 7 дней назад

    Huyu mkurugenzi kafanya tofauti na maagizo ya mkuu wa mkoa. Hizo documents nadhani ni siri hapaswi kuzionyesha hadharani, sio maadili

  • @danielelikana2615
    @danielelikana2615 Месяц назад

    Mkurugenzi umeeleweka vizuri sana!!..nafikiri hapo ni mkanganyiko mdogo tu..sasa mnatakiwa mkae kama mlivyoelekezwa na Makonda

  • @MosesKamba-tk3lp
    @MosesKamba-tk3lp 19 дней назад

    Bado upo ,ulisema mikono yako safi,je Leo imekuwaje,kumbuk ulikuwa serengent

  • @twahashearer8302
    @twahashearer8302 Месяц назад +1

    Mh. Mkurugenzi kampuni haitambuliki kikodi kwa jina bali kwa TIN yake na ndio maana hiyo kampuni moja hazionekani kwenye mfumo wa tausi

  • @magotiamir4669
    @magotiamir4669 16 дней назад

    MKURUGENZI MSENGE HUYU😂😂😂

  • @twahashearer8302
    @twahashearer8302 Месяц назад +1

    Hongera sana Kiongozi kwa makusanyo mazuri ya jiji, nakumbuka hili suala la kulipa kidogo kidogo tulilijadili katika vikao mbalimbali baina ya wafanyabiasha na wewe binafsi

    • @josephatjordan2150
      @josephatjordan2150 22 дня назад

      Ww mwehu pia huyu ni mwizi tu

    • @josephatjordan2150
      @josephatjordan2150 22 дня назад

      Siku utafatwa utaambiwa hujalipa awe amezilamba ndio utaelewa😂😂

    • @SaraJinalangu
      @SaraJinalangu 20 дней назад

      Veep bado unampa hongera au haituhusu😅😅😅

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 21 день назад +1

    Huyu hana akili, hiyo The Tanganyika mnayo leseni ya biashara ? Hiyo control number ulipataje ya The Tanganyika bila TIN number?

  • @mchellenmbunge55
    @mchellenmbunge55 11 дней назад

    Sasa mkutano sio wako unaelezea nini ?? Maana yake unamjibu boss wako au

  • @kazinaimwishehe-ec3xu
    @kazinaimwishehe-ec3xu Месяц назад

    Mmmmmmh apo mwenyekiti kapigwa

  • @andrewIzdory-sk4cu
    @andrewIzdory-sk4cu Месяц назад +2

    Mbona hukuongea hivyo kwenye kikao cha makonda na mwenye kampuni akiwepo pale. Jiji la arusha wapigaji msitumie nguvu kubwa sana kujitetea. Unachofanya hapo ni kumtafutia makosa mfanyabiashara.

    • @user-ku8dk7bu7p
      @user-ku8dk7bu7p Месяц назад

      Hataa Mimi najiulizaaa mbon hawakutoa hojaa alfuu piaa yulee anaonekanaa anauhakika kabisaaa na achokisema na wenzakeee itakuwaaa wanamuamin kabisaaa😅😅😅😅😅😅😅 huuu mwakaa watakomaa

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Месяц назад +4

    Hautaelewka mpaka muwe nae hapo ana kwa ana. Hao waandishi sio watalamu. Mruhusu auditor ama mtaalamu wake wa kodi nae awepo. Hata wewe ukiulizwa umetuelewesha nini hUwezi eleza.

  • @mmwaupete6265
    @mmwaupete6265 Месяц назад +1

    Hapo ilitakiwa kukaa naye na kueleweshana, na baada ya hapo wote ndio mnazungumza.

  • @laizermaasai6759
    @laizermaasai6759 Месяц назад +2

    Mkurugenz hautatoboa kwa hiliiiii. Tuko paleeee tumekaaa. Kaburu ni mtu anayesifika sanaaa kwenye mambo ya kulipa kodi hua hana kona kona. Kwa acheni kubambikiza watuu

  • @mgendijr7380
    @mgendijr7380 Месяц назад +4

    Kwann watoe control number moja kwa kampuni 2

    • @kaaakwakutuliaa5179
      @kaaakwakutuliaa5179 Месяц назад

      hawa majambazi ukiwaibua wanaanza kukutafutia visingizio vya kisenge kisenge

    • @Gilbertnyanda
      @Gilbertnyanda Месяц назад

      Unahakiri sana jamaa kama mimi

  • @user-yt9xc9rq9t
    @user-yt9xc9rq9t Месяц назад

    Mmmmh

  • @jtlehhema
    @jtlehhema Месяц назад +1

    Mkurugenzi huyu achunguzwe haraka sana

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 Месяц назад +1

    Kuna waadilifu wa kazi, na wasio waondolewe.. ila hutuwezi kuona kila mtu mwizi tuhukumu kazi yake. Bila hivyo tutafika pabaya. Akiwa kweli kakosea kwenye kazi hata mm naunga mkono aondolewe... ila kama anaongea ukweli tufike mahali tujue ukweli una maana. Si kila mtu anaemtaja Mungu ana Mungu... wapeni watu nafasi wafanye kazi na wahukumiwe kwa kadri ya matendo yao. Sijaona kosa lolote la huyu Baba.. kudeserve kelele zote zilizopo.

  • @VictoriaClement-tx3hk
    @VictoriaClement-tx3hk 17 дней назад

    Huyu ni janja nyingi

  • @justice607
    @justice607 Месяц назад +1

    😂😂 Tetemeko limeanza 😅😅, kwanini hakujibiwa pale

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Месяц назад

      Data hazihifadhiwi vichwani mwa watu zinakaa kwenye makaratasi na kompyuta hata kama ni wewe hauwezi kujibu papo hapo utatoa taarifa ya uongo halafu inakugharimu tuache kushabikia tusiyoyajua hata huyo RC hawezi kutembea na rekodi za ofisini kichwani hats mambo ya nyumbani kwake ya miaka hata mmoja uliopita hayajui yote

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Месяц назад

    Why tin namba ni moja????

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Месяц назад +5

    hizi kodi zingekua zina katwa na tra ,moja kwa moja unapewa control number moja tu huu ni usumbufu sana

  • @yefredmyenzi8806
    @yefredmyenzi8806 Месяц назад +1

    Very eleborate
    Hongera sana Mr HAMSINI
    Ukiona msg za watu wasiofahamu na wanaokimbilia kukosoa utajua ndio utajua uhasama usio na msingi ambao watanzania tunajengeana

  • @ephraimmalajo6842
    @ephraimmalajo6842 18 дней назад

    Mkurugenzi kaoshe kucha😅

  • @JumaMbaga-sd5yi
    @JumaMbaga-sd5yi Месяц назад +1

    Sawa kwanini hukumpinga pale pale

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya8717 Месяц назад +1

    Mkurugenzi katafakari saiv kaburu atakiona, muheshimiwa usipaniki kaburu nimemsikiliza hajasema kama halmashauri wizi ila kazungumzia kuhusu utitiri wa kodi ubadilike! Hapo usijichanganye kiongozI.

  • @robsonlotyloy5678
    @robsonlotyloy5678 Месяц назад +1

    Huyo hafai kabisa. Mtu mwongo ni mwizi pia.

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 22 дня назад

    Alikuja huku baada ya kuumbuliwa na makonda leo

  • @carolinerubeya7817
    @carolinerubeya7817 Месяц назад +1

    Chambulo chambulo be carefully...

    • @maasaiafricanguides5717
      @maasaiafricanguides5717 Месяц назад

      Unaogopa hiyo mipete😂😂😂
      Ubosi ni kazi ngumu sana Kama upo mbali na Mungu

  • @jumannemwanga1029
    @jumannemwanga1029 Месяц назад +3

    Mkurugenzi utaniambia hiyo barua umeipelekea kwenye kampuni ipi maana hakuna kampuni mbili yenye tin no moja?

  • @rahmarama5669
    @rahmarama5669 16 дней назад

    Nipewe mimi hii nafasi yako yaan watu watafurahi

  • @frankbarnabasitumbili3546
    @frankbarnabasitumbili3546 Месяц назад +1

    Juma 50 we ni mwizi sana tunakujua we ni mwizi kabisa umetoka serengeti kwa wizi mzee acha kukwepa we mwizi tuu

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 21 день назад

      Hivi watendaji wa Arusha mna nini lkn mbona wababaishaji sana?

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 Месяц назад

    Hiyo tausi nayo unaizumgumzia kama iko effective mbona ina gota gotaga?

  • @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
    @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly Месяц назад

    Siku zote mlikuwa wapi hadi timu iundwe baada ya mteja kulalamika??
    Hapo hamna tofauti usituchanganye mmekula pesa na lazima mcheue tu.

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward Месяц назад +1

    Ili kukwepa mitafaruku kama inchi tunao wajibu wa kujua kila mkoa au kila wilaya anasyahili kulipa nini?, Ili kupunguza malumbano na tarifa za uongo. Huo ndiyo usomi na utanzania.

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Месяц назад

    Hii serikali bado inatunza kumbukumbu zake kwenye majala aisee. Kwann msiweke nyaraka hizo online?

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Месяц назад

    Mkuu hizo Tanzanite tu inatosha kukupa page yako

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 21 день назад

    Nyie mmejichanganya kuna kitu mmekosea kuweni Makini..otherwise itawatokea Puani..Chambulo ana B 4 amarudishiwa na Bi Mkubwa hawezi kushindwa kulipa Deni la 200m

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh786 Месяц назад

    Why one TIN number ?

  • @Gilbertnyanda
    @Gilbertnyanda Месяц назад +2

    Kwa nini kama makampuni 2 tofauti control no ni moja hujamaa ni mwizi

  • @allykassim1120
    @allykassim1120 Месяц назад +1

    duh!cheki ulivonilia mikausho kama kweli vile we noma😂😂tunasubil kikao cha pili mbivu na mbichi zitajulikana

    • @user-ku8dk7bu7p
      @user-ku8dk7bu7p Месяц назад

      Ndohapoo sasaa utafkiri sikuile hapakuwaa na muwakilishii waoo😅😅😅😅😅😅😅

    • @opportunities2767
      @opportunities2767 21 день назад

      Tayari yametimia 😅

  • @michaelelifasi995
    @michaelelifasi995 Месяц назад +1

    Kwani alichosema yeye mbona Kiko wazi? Amesema alilipa million 24 lakini kapewa reciepts za milioni 3 ,je hiyo 21 reciepts yake Iko wapi

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos2635 21 день назад

    Ndio uyu Kuna kipindi alikuwa ana lialia ovyo kwenye mkutano wa Magufuri

  • @mavunewalwaka7831
    @mavunewalwaka7831 Месяц назад

    Makonda kadema arusha,kazi munayo.

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 Месяц назад +1

    Mkora, mwizi mkubwa amepatikana.

  • @omaralwy8786
    @omaralwy8786 20 дней назад

    MKURUGENZI UMEKWISHA

  • @robertjerald317
    @robertjerald317 Месяц назад +1

    Nyinyi ni wezi hayo yote kwanini hamkukaa nae kabla ya mkuu wa mkoa kuitisha kikao hicho na kwanini hamkumpa clarifications hizo ili ajue yeye anasimamia wapi na kwa maana iyo mnataka kusema mkurugenzi huyo hajielewi !! Au haelewi nini anafanya ??!! Na kama ni kweli mnachokisema basi ofisi yenu haina utendaji mzuri kwa wateja wao inabidi mbadirike na si vinginevyo

    • @namsamson3443
      @namsamson3443 Месяц назад

      Na mimi nimesema hivyo hivyo mpaka Makonda kaja ndio wanaanza kujambajamba. Na sasa hivi kila sehemu wanaanza kuweka lami😊

  • @andrewIzdory-sk4cu
    @andrewIzdory-sk4cu Месяц назад

    Inawezekanaje kampuni mbili tin namba moja, na ninyi ndo watoaji wa tin namba na leseni ,umakini mdogo kwa watendaji wa manispaa ya jiji la arusha.

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc 20 дней назад

    Mh Paul makonda huyu mkurugenzi bado Hadi Leo Yuko mitaani Dah jamaa anapingana Na mkuu wake wa mkoa 😂

  • @kulambichi
    @kulambichi Месяц назад

    Mkurugenzi umesema kampuni 2 zinatumia TIN 1?, Naomba ufafanuzi nami nikafungue kampuni nyingine kwa TIN yangu hiyohiyo

  • @mohoniajoseph9067
    @mohoniajoseph9067 Месяц назад +1

    Hayo mapete mawili makubwa unayavaaje Mkurugenzi mzima, umekuwa Diamond Platnumz

    • @fideamtenga212
      @fideamtenga212 Месяц назад

      Aibu hii

    • @LUSOMYA
      @LUSOMYA Месяц назад

      hapo kampuni ni moja tu wàsaidizi wamemshauri vibaya...Brela huwezi kusajili kampuni mbili zenye mfanano wa majina kama hivyo

    • @sharonyasin7521
      @sharonyasin7521 21 день назад

      Uchawi

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Месяц назад +1

    Huyu Mkurugenzi amesha pigwa chini tayari. Huyu si ndio yule aliye lia mbele ya JPM. Ni mwizi navwatu wenzake ngoja tume iundwe mtasikia niko pale nasubiri😂😂😂😂

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Месяц назад +1

    Kwanza kabisa waanze naye huyu ...angalia vidole vimejaa Tanzanite. Hawa ndio wezi wakuu

    • @fideamtenga212
      @fideamtenga212 Месяц назад

      Freemason huyu Pete kama shetani lakini si shehe huyu kawaida yao

  • @user-mo3ik6go6r
    @user-mo3ik6go6r Месяц назад

    Kazi mnayo na huyo comed

  • @mohamedkidamiharo4887
    @mohamedkidamiharo4887 Месяц назад +1

    Alichosema yeye ni SEVIS revi sio tra

  • @laizermaasai6759
    @laizermaasai6759 Месяц назад

    Wazee wakubambikiziaaa watuuu.

  • @Veni584
    @Veni584 Месяц назад

    Hawezi kusema uongo, na hiyo timu inayoundwa itoke mbali na mkoa huu

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Месяц назад +2

    Mkurugenzi umeyatimba. Bora usingejibu. Kama mkuu wa mkoa amesema timu iundwe, kiherehere cha nini?unataka kuwatoa watu katika reli?

  • @deusdeditsimba4452
    @deusdeditsimba4452 Месяц назад

    Uwongo Mtupu,na Wizi Mtupu bila kusahau ubabaishaji mwingi hata maelezo Yako unaonekana Mbambaishaji Tu WEWE Mkurugenzi

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 Месяц назад +1

    Arusha wanajulikana ndio Maana kaletwa Makonda
    Umeeleweka Mkuu

  • @user-ne9zz4tl2q
    @user-ne9zz4tl2q Месяц назад

    Hamna kitu hapa wapigaji tu

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Месяц назад

    Waandishi mnamwelewa?

  • @kwereeking1403
    @kwereeking1403 Месяц назад

    Kwa akili ya kawaida kweli ile hotel ya chambulo ya arusha inaweza ingiza sales za billion 90 kwa mwaka?!!

  • @elliyawilliam2521
    @elliyawilliam2521 Месяц назад

    Em tuambie hiyo the Tanganyika ina husika na kitu gan

  • @AlbinMjema
    @AlbinMjema Месяц назад

    Muheshimiwa watu wengi tu hapo halmashauri wanapokea pesa mikononi

  • @williumteete2626
    @williumteete2626 21 день назад

    Haki haifichiki, hata uizike ardhini iko siku itaota kama uyoga.

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 Месяц назад

    Sasa mbona umeongea kabla ya tume

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf Месяц назад

    Mumumuandikia baruwa yakupokea milion 3 hamkkumuandikia baruwa za kupokea milion 21

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 Месяц назад

    Kodi zinapokuwa kubwa huwa zinachanganya na kukatisha tamaa!!..Shida watoza kodi sio wanafanya biashara, kwa hiyo wako kinadharia zaidi kuliko uhalisia!!!

  • @abuuda4754
    @abuuda4754 17 дней назад

    Pumba kabisa...hv unatambua kwenye failure ya mfumo ndio kwenye mafanikio mpaka marekebisho ya mfumo yafanyike... Declare failure fanya marekebisho kisha songa mheshimiwa 😂

  • @nizwaoman8378
    @nizwaoman8378 Месяц назад

    Uyo kaibika anahaha

  • @LUSOMYA
    @LUSOMYA Месяц назад

    Jaribu kufuatilia huko Brela.Kwa mifumo ya Brela huwezi kuwa na jina la kampuni inayotofautiana neno pekee
    "THE" chunguzeni kwanza kwanini Brela wameweza kuzisajili hizo kampuni kwa majina yaliyofanana na kwa nia gani vinginevyo hiyo kampuni ni moja

  • @barakaelkaaya40
    @barakaelkaaya40 Месяц назад +1

    TRA, aliulizwa akasema anawapa mkanganyiko wote kwa Mara moja. Yeye analipa kwa makambi yake yote mpka serengeti. Sasa mnataka alipie halmashauri ya serengeti kwenu??

  • @jamesrichard3971
    @jamesrichard3971 Месяц назад

    The ndio nini hapo Bana nyinyi,, tunachoangalia ni wilderness

  • @user-ui5du6wj7n
    @user-ui5du6wj7n Месяц назад

    Kama ulikuwa unajuaa the Tanganyika na Tanganyika ni ya mtu mmoja Sasa. Sawa wasomi came look this. Umekuja online weka live😂

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Месяц назад

    Huyu Mkurugenzi sijampenda hiyo mipete kama mfunga majini

  • @mussamussa9446
    @mussamussa9446 Месяц назад

    Huyu ni mwizi bhana

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 20 дней назад

    Kwani haya maelezo huyu mkurugenzi anayatoa hapa ni kabla au baada ya kile kikao cha juzi na RC Makonda?
    Iwapo kikao hiki na waandishi huyu mkurugenzi amekifanya baada ya hiki cha juzi kilichovuta hisia za wengi, basi, huu ni utovu wa nidhamu na subordination ya hali ya juu sana.

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 Месяц назад +2

    Hayo mapete kwako kiongozi yana kazi gani? Au kwaajiri yaaaaa

    • @naturelle1097
      @naturelle1097 Месяц назад

      😂

    • @user-nt6fb2ky3t
      @user-nt6fb2ky3t Месяц назад

      Atakula wapi akivua izo pete,anaishi Kwa chuma ulete

    • @josephmantago2837
      @josephmantago2837 Месяц назад

      ndg ebu tujadili hoja iliyoko mezani sasa habari ya amevaa nn mbona mnahamisha magori?

  • @nurubarakekenwa7557
    @nurubarakekenwa7557 Месяц назад +3

    Mzee kuwa makini sana na mfumo usije bananishwa ukakosa majibu.mbona mfumo hautoi demand not.mpaka hard cop ndo mupeleke.

  • @nurubarakekenwa7557
    @nurubarakekenwa7557 Месяц назад

    Hapo Kuna shida

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 19 дней назад

    Umejichanganya DED unaacha kushughulikia maagizo unaitisha press conference hukijui chuma makonda

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Месяц назад +1

    Mkurugenzi unajikologa kampuni mbili kwanini TIN numba moja?

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 21 день назад

    Ushaumbuka

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 День назад

    Wewe ni tapeli mwongo Utajuwa Hujuwi . Siyo yeye ni Wewe . Chambulo ni mlipaji Ushuru hakiki wewe ni dhalimu tapeli mlaa kodi za walipa kodi . MKUU MAKONDA ATAKUTIBUWA MTAKAPO KUWA WEWE TAPELI NA CHAMBULO MBELE YA MKUU MAKONDA Taka taka hii fagia mwizi mlaa kodi za wa tanzania 🇹🇿.