Chozi la Mkurugenzi baada ya Mbunge wa Chadema kumchongea kwa JPM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Rais Magufuli amefanya ziara yake Wilaya ya Serengeti, kuongea na Wananchi kupitia mkutano wake.

Комментарии • 958

  • @ashanaftali4319
    @ashanaftali4319 6 лет назад +43

    Pole sana mkurugenzi, tunakushkuru muheshimiwa Raisi kwa kumfuta mkurgenz machozi. Pamoja Sana mkurgenzi wetu

  • @monicajulius905
    @monicajulius905 6 лет назад +130

    Mungu wangu mbariki sana huyu raisi Magufuli,mpe maisha marefu na yenye amani tele.Huyu mkurugenzi kanifanya mpk nikatoa machozi(Mungu akuongoze🙏🏿)like za nguvu kwa Magufuli plz💪🏿

  • @salmakassim3975
    @salmakassim3975 6 лет назад +55

    Jmni naipenda hii video 😂😂 mheshimiwa Rais Magufuri asante baba

    • @annamwakibinga527
      @annamwakibinga527 3 года назад

      Natamani ungekuwepo jmn kweli kizuri hakidumu. RIP baba

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 лет назад +71

    Pole sana mkurgenzi na hongera pia Mheshimiwa Rais kwa kumfuta machozi mkutugenzi

  • @Bongo1Media
    @Bongo1Media 6 лет назад +38

    😂😂Mbunge huyoo aibu tele😎😎😎

  • @zaituniyusuphjuma415
    @zaituniyusuphjuma415 6 лет назад +5

    Asante rais mungu akuzindishie sana. Pole sana mkurungezi mungu amekuheshimisha sana maana siyo kwa kuchafuliwa huko pole sana. Pia namshukru rais mungu emekupa jicho latatu 🌷

  • @elizabethlucas4983
    @elizabethlucas4983 6 лет назад +14

    Hv hili libunge liliwaza nn? Baba wa watu analia haya machozi hayatamuacha huyu mbunge salama,cjui nani alimteua,ila nashukuru kabaki na aibu,hongera sana raisi wng Mungu akulinde

  • @mankakileo8423
    @mankakileo8423 6 лет назад +20

    Hadi machozi Hongera mkurugenzi chamsingi omba Mungu sanaa ktk kazi zakoo na Mungu akubariki hapa kazi

  • @hamisikabwe3980
    @hamisikabwe3980 6 лет назад +23

    Kwa nchi za mbele hapo huyo mbunge angejiuzulu kwa hicho alichokifanya.huwezi kufikisha ujumbe kwa style hiyo,hata kama ni kweli alichosema,bado hawezi kupewa sheria kulingana na kufikisha ujumbe kipumbavu kabisa.

  • @emmanuelmogela5871
    @emmanuelmogela5871 6 лет назад +17

    Pole mkulugenzi ndio changamoto za kazi

  • @hadijaabdallah5477
    @hadijaabdallah5477 6 лет назад +93

    Maskini baba mpaka analia na mm nimelia jamaniiii huruma rais hongera sana

    • @yusuphsabega3936
      @yusuphsabega3936 6 лет назад +2

      Hadija Abdallah usijal

    • @evelynmon6491
      @evelynmon6491 6 лет назад +4

      Yaan mimi mwenyewe nimelia jaman baba kaniliza huyo jamani

    • @evelynmon6491
      @evelynmon6491 6 лет назад +5

      Yaan hii mijitu mingine inakurupuka tu mbunge mzima kaaibika vibaya kweli dume zima majungu tu mfyuuuuuu

    • @haibreus2005
      @haibreus2005 6 лет назад +2

      Ndio ujinga wa wanawake mtu akilia tu huruma

    • @fatmax8710
      @fatmax8710 6 лет назад +3

      @@haibreus2005 hahahaha hayo ndio maumbile yetu tuvumilie tu

  • @saidbanga
    @saidbanga 6 лет назад +37

    Inauma sana...
    Ila magufuli nakukubali kwani akili zako unazijua mwenyewe...

  • @hassanhassan8351
    @hassanhassan8351 6 лет назад +16

    Mti wenye matunda ndiwo
    upigwao mawe, hongera mkurugenzi kwa uadilifu wako.
    Ahsante mheshimiwa JPM kwa kujali

  • @boazmaobe7245
    @boazmaobe7245 2 года назад +1

    Mungu ailaze roho yake mahali pema....nlipenda Sana uongozi wake na kamwe hakutawahi tokea kiongozi zaidi ya hyu..big up

  • @ommymvp884
    @ommymvp884 6 лет назад +59

    See how God is protecting His people.#mkurugenzi

  • @issaissa8047
    @issaissa8047 6 лет назад +26

    Uyu mbunge anachuki mkurugenzi mchukulie Dada ake akuheshimu raisi Wetu oyeeee

  • @eliasaphbussa9332
    @eliasaphbussa9332 6 лет назад +8

    Njia nzuri ni kuoa hata dada zake ili aman iwepo 😂😂😂😂

  • @johnnjogundegwa9799
    @johnnjogundegwa9799 5 лет назад +13

    Good for your solomonic leadership. THANK YOU FOR THE LOVE AND BEING SERVANT OF THE PEOPLE.

  • @antoniasanga3563
    @antoniasanga3563 6 лет назад +35

    Usilie jaman Mungu hamtupi mwenye Haki Amini Rais bado anakupenda pia zidi kufanya kazi

  • @allykazoa7065
    @allykazoa7065 6 лет назад +58

    magufulli wewe ni rais wa mfano mkurugenzi amejiereza vizuri sana uyo mbunge ni chizi

    • @collinsmwaipasi7580
      @collinsmwaipasi7580 6 лет назад

      The truth shall set you free

    • @salimakuyela8212
      @salimakuyela8212 6 лет назад +4

      Huyu mbunge mwehu magu mungu akujalie kumfuta machozi mkulugenzi🙏🙏🙏🙏

    • @husnajohn7466
      @husnajohn7466 5 лет назад +1

      Christopher Mganga hahaaa

    • @lucascheyo4849
      @lucascheyo4849 5 лет назад

      .

    • @fatimaabdulla6967
      @fatimaabdulla6967 4 года назад +1

      @Change Mindset asay aibu kweli kweli mi ni Wa 254 ila na fanya bidii Kuja Tanzania ni muone maghufuli wallah sija ona raisi wa kuigwa kama huyu

  • @rajeep-ni7lh
    @rajeep-ni7lh 2 года назад +13

    I miss this maguful rest in peace always I miss you❤❤❤❤❤

  • @furahamudende6316
    @furahamudende6316 6 лет назад +2

    Nampenda sana Rais wa Tanzania,anaakili sana,busara na hekima.tungempata rais kama huyo congo aiseee inchi yetu ingeendelea saaana.big up baba JPM

  • @binurarassi8156
    @binurarassi8156 6 лет назад +7

    Rais mtenda haki, Msema kweli, Mwenye huruma, Tulio wengi Tunaokuombea siku zote, uendelee Kiongozi, Mungu anatuona, Anasikia Na InshaAllah Atapokea Maombi yetu, Aamina q

    • @victoriabayo7704
      @victoriabayo7704 3 года назад

      Rais Magufuli akuweke mkono wake wa kuume ulale salama kipenzi cha watanzania umetenda haki hakika tunaendelea kukumbuka

  • @anwaryrutenge5695
    @anwaryrutenge5695 6 лет назад +3

    Dar. Pole sana mkurugenzi Juma. Hongera mzee baba Magufuri

  • @emmymasoud6385
    @emmymasoud6385 6 лет назад +6

    Zambi Sana kumchafua mwenzio ikiwa ww unayako kibao nyuma ya pazia.... Allah bless you

  • @kisigaanna3422
    @kisigaanna3422 6 лет назад +17

    dawa ya muongo nifupi sana haaaa mbunge ngumbalo huyo ndokaja ili amchongee mkurugez matokeo yake yy ndokaaibika jmn cdm mbona hamuishiwi vituko?

  • @chimamychimychimamy8482
    @chimamychimychimamy8482 6 лет назад +4

    Gud job president love you magufuli from Kenya+254

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 6 лет назад +33

    Magufuli kumbe kuna wakati ana huruma sana. Baada ya kugundua Mkurugenzi kaumia moyo amerudia rudia sana manano kumweka sawa.
    Pole sana Mkurugenzi hawa wapinzani sometime wamekua waongo sana. Jamaa anakusema bila haya na ushahidi hana pole kaka

    • @lawagustino1887
      @lawagustino1887 6 лет назад +1

      sifa sanga kweli kabsa

    • @matyshirima1242
      @matyshirima1242 6 лет назад +1

      Hata angekua na ushahidi kumchongea mwenzie afukuzwe sio vizuri

    • @mbaroukabdi1918
      @mbaroukabdi1918 6 лет назад

      Hii shutuma ingekuwa kwa mpinzani Rais angejibu hivo kwa mfano

    • @saadachara943
      @saadachara943 6 лет назад +1

      Baba magufuli oyeeee Mungu akuzidishie imani kwawananchi wako tunakupenda sana 2020utapat kurayangu alfajir namapema

    • @laurentemanuel8559
      @laurentemanuel8559 6 лет назад +1

      Duuuu ama kweli Serengeti tuna hali mbaya kama mbunge ndo huyu wa chuki zisizokuwa na maana,,, atapata faida gani mkurugenzi akifukuzwa huyu mbunge ndo mwxho wake 2020 hatunae tena

  • @stephenmassawe218
    @stephenmassawe218 6 лет назад +12

    Isije ikawa ni chuki ya kisiasa hapo!!! Busara ni muhimu katika mambo haya, mbunge kwa mujibu wa sheria ni mjumbe katika baraza la mawaziri.

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane5303 6 лет назад +11

    Yaan chadema cjui mkoje daaah mmekalia chuki2

  • @cleverlove6225
    @cleverlove6225 6 лет назад +6

    Pole sana mkurugenz

  • @fatumarajabu810
    @fatumarajabu810 6 лет назад +57

    Ha ha ha........ Mr president na muendlezo wake wa tungo tta ...hbu gonga dole tumpe pngez

    • @mcrahaleo688
      @mcrahaleo688 6 лет назад +1

      Hahaaaaaaa, na ni tungo tata kweliiiii, hili libunge ni likarai kabisaa hili

  • @hildababyabdullah5627
    @hildababyabdullah5627 6 лет назад +45

    Chozi limenitoka pole mkurugenzi iyo ndo kawaida ya wanadam hutizama lamwezie tuu lakwake halion Allah akuongoze vyema ktk utendaji wako kazi, upizani co watu wazr alitaka ufukuzwe mbele ya qadam nnas chozi lako halipotea kwa huyu mbunge lazima litalipa magufuli hongera umekua mfano wakuigwa ktk uongozi wako

    • @frankmmary6371
      @frankmmary6371 6 лет назад +2

      chapa kazi mkurugenzi mazuri yakwako yote anayajua mwenyenzi mungu.

    • @sifaupindo8384
      @sifaupindo8384 6 лет назад +2

      Omar Alofi roho imeniuma jamani, Pole sana Baba Mungu yupo nawe kila sekunde

  • @kelvinroberty2797
    @kelvinroberty2797 6 лет назад +9

    mkurugenzi ridhiki yako anaepanga ni mungu , bado hajakuacha ulipochafuliwa yy tumain lako hatokuacha uaibike

    • @omanphone3455
      @omanphone3455 2 года назад

      Daaaaah mungu ulituokoa kutupatia hilijembe watanzania ila asante pia kwakua kaziyako hainamakosa tunateseka sana watanzania

  • @fettybernard8695
    @fettybernard8695 6 лет назад +5

    Kwer sio kila mtu anakupenda mungu ndo Mtetezi wa kila jambo mtegemee mungu tu

  • @allykazoa7065
    @allykazoa7065 6 лет назад +50

    ivi uyu mbunge amechaguliwa na watu wenye akili timamu kweli atakujieleza awezi embu ccm jitaidini 2020 chukueni ilo jimbo

    • @selemanikiwande5137
      @selemanikiwande5137 6 лет назад +7

      Wallah km k ungekua na sheria ya kumtumbua MTU anae mdharirisha mwenzie basi Leo angetumbuliwa huyo mbunge kwanza anatakiwa amuombe radhi mkurugenz hongera sana kwake mh. Rais kwa kazi Nzuri sn anazozifanya mungu ampe maisha marefu azidi kulitumikia hili taifa kwa kutenda haki. Me pia machoz yamenitoka kwa kumnafikia mkurugenz. Pole sn kaka yangu kwa changamoto unazozipata hata mitume walipitia vikwazo na changamoto nying sn lkn walishinda na kukamilisha yote walioagizwa

    • @levinajoeli3465
      @levinajoeli3465 6 лет назад +2

      Christopher Mganga Good mkurugenzi

    • @magorimagori9264
      @magorimagori9264 6 лет назад +2

      Christopher Mganga umesema kweli kaka

    • @ggmmjasiliamalionline2746
      @ggmmjasiliamalionline2746 6 лет назад +2

      Hapa ndo wananchi tujifunze hali hii hatujawapa ikulu tukiwapa waingie ikulu watatupeleja wapi hawa kaka maendeleo jamn tufanye maendeleo sio chuki Za upinzani jamani wananchi wanatusoma kwa picha mbaya Santa chadema alafu 2020 tuseme tumeibiwa kura ni kweli acha ccm iendeshe nchi sisi ng tukue kwanza wapinzani tuna akili za kitoto wananchi wametuamini bas tusiwaangushe dah inauma asee afu hata kujieleza hajui maskini dah nandomana wanaohama wanahama kwa kauli mbiu kwamba wanaenda ccm kuunga juhudi za muheshimiwa rais kwa style hii huwez kuunga juhudi zinazofanywa name rais acha wanaojielwwa wahame tuu

    • @cholowao
      @cholowao 3 года назад

      Tumetekeleza agizo

  • @mr.furahamalele1854
    @mr.furahamalele1854 6 лет назад +5

    Daaaaaaah, Mungu Kweli Wa Wote Ninaanza Kuamini Maana Daniel Alitupwa Ndani Ya Shimo La Simba Wenye Njaa Hawakummeza, Leo Mungu Amesimama Upande wa Mkurugenzi, Kweli Hila Hazimpati Mtoto wa Mungu, Nakuombea Mkurugenzi na Mhe. Rais Pigeni Kazi Wana Wa Mungu!.

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 6 лет назад +10

    pongezi sana raisi hakika amemchafua mwenzie hazarani kwa siasa ya kijinga kaka juma hamsini endelea kufurahi raisi ana imani nawewe

  • @sembosayenda7182
    @sembosayenda7182 6 лет назад +8

    Libunge LA chadema ...libaki huko huko chadema

  • @annajoram9370
    @annajoram9370 6 лет назад +2

    Baba hapo hongera sana kweli unamjua mungu,mungu akuongoze baba

  • @zachariamishai7258
    @zachariamishai7258 6 лет назад +8

    Asant sana #Mh Rais😘😢

  • @mendoramasaki3567
    @mendoramasaki3567 6 лет назад +1

    Hongera sana Rais wetu Mungu akupe maisha marefu kwakuwa unatenda haki pasipo kumuonea mtu. Pole sana mkurugenzi Mungu yuko nawe aibu amezipata huyo mbunge kwa majungu yake

  • @malonemalick1999
    @malonemalick1999 3 года назад +5

    Daah mzee pumzika kwa amani tutakukumbuka daima😭😭😭😭😭😭😭

  • @tugesyegemwakatumbula8125
    @tugesyegemwakatumbula8125 6 лет назад +9

    mungu mkubw Sikutengemea kama mkulugenzi angeweza ata kijitete ,inauma kwakweri😢😢😢

  • @Bongo1Media
    @Bongo1Media 6 лет назад +13

    mwaka huu tutaona mengi 😂😂😂😂😂😂😂

  • @agnesmkude12
    @agnesmkude12 5 лет назад +1

    Dah inasikitisha asije akafa na presha mungu akusimamie

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 6 лет назад +3

    Mungu yupo!!!!!!! Wanaoonewa wote walie na Mungu mimi nimemwona mara nyingi.

  • @amanimlembe2170
    @amanimlembe2170 6 лет назад

    pole sana mh.rais kwa hali hii mungu akusaidie maana wengi wanakuzunguka

  • @gabrielemmanuel4348
    @gabrielemmanuel4348 6 лет назад +6

    Pole mkurungenzi wangu usilie jaman baba angu pole mungu mkubwa sana

    • @irenemwanaa8160
      @irenemwanaa8160 5 лет назад

      Pole mkurugenzi mungu yupamoja na we we chapa kazi.

  • @alexfrance5486
    @alexfrance5486 6 лет назад +1

    Pole saaana mkurugenzi Mungu atakulipa

  • @mkobainnocent2368
    @mkobainnocent2368 6 лет назад +33

    Ukisikia Mwisho was Ubaya in Aibu basi ndio hivi,,, huyu mbunge hafai, kabisa na kwa majungu haya 2020 hapati kitu,Mkurugenzi wa watu Na baba wa familia ya watu ametoka machozi,,Rais anahekima sana aisee

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu 6 лет назад +1

      mkoba innocent mbunge mpaka anazomewa na wanachi wake hadi aibu.
      Na angekua sio mbunge angekiona cha mtema kuni leo

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu 6 лет назад +1

      mkoba innocent mbunge mpaka anazomewa na wanachi wake hadi aibu.
      Na angekua sio mbunge angekiona cha mtema kuni leo

    • @mozetz850
      @mozetz850 6 лет назад +1

      mkoba innocent mwadasu

    • @elizabethjames292
      @elizabethjames292 5 лет назад +1

      Huyo anaeongea anauhakika ngani ,hajielewi hata kidogo MTU mzima ovyo kabisa,yy amekamilika

    • @tumainimango8140
      @tumainimango8140 5 лет назад +1

      mkoba innocent sanaaa

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 года назад +23

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!

    • @billyblanks099
      @billyblanks099 2 года назад +1

      Thank you for pointing this out. Africa is killed by the puppets of the imperialist and neo-colonizers in the pretense of being friends of Africans. It will only take Africans themselves to develop Africa.

    • @jumatamimu6841
      @jumatamimu6841 Год назад

      U7(tygyttt

    • @aminasenkuni3844
      @aminasenkuni3844 Год назад

      😭😭😭😭😭😭 Inna lillah waina illah ragigune wee mwenyezmungu muodoshee kila lililobaya kwenye kabur lake.

  • @neemawilliam1960
    @neemawilliam1960 6 лет назад +26

    DA aiseee mchawi wa binadamu ni binadamu mwenyewe, kweli unamcjongea mwenzio afukuzwe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣magu bhana et akaoe dada zake na mbunge

  • @omegajustin9926
    @omegajustin9926 6 лет назад +7

    Pole mkurugenzi ndo changamoto za kazi hizo baabaa limemrudia mwenyewe chapa kazi

  • @chandewaleo3853
    @chandewaleo3853 6 лет назад +12

    Duuuh wa 3 leo hahaa naeza kua mkurugenzi badae

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar301 6 лет назад +16

    Nani kaona mkurugezi akipandisha suruali yake alivyoitwa na Rais😁😁pole sana baba yangu umeniliza jamani umepata maradhi yamoyo ulivyoanza kuwatumikia wananchi wako pia nimejifunza kitu"wewe unapambana kwenda mbele kuna pimbi mmoja anakurudisha nyuma m'mungu amemuabisha leo "God is good all the time "#chozi lako halijakutoka bure unamengi moyoni but M'mungu atakutianguvu 😘😘.

    • @kinggembo7135
      @kinggembo7135 6 лет назад

      Sakina Omar all the time GOD is good

    • @sakinaomar301
      @sakinaomar301 6 лет назад

      M'mungu atamlipa wallah

    • @johngeorge6182
      @johngeorge6182 4 года назад

      Mkurugenzi chapa kazi ukweli utabaki ukweli tu! Uongo umesjindwa.

  • @abdulshaban6343
    @abdulshaban6343 6 лет назад +8

    ndo mm huwa nasema kwann uupe mdogo ujasiri wa kuongea wakat ujaipanga akili yako papara kwa magu ni sawaaa na kukurupuka kuingia msikitin na ndara

    • @rodasegere4029
      @rodasegere4029 6 лет назад

      Masikini wa Mungu Mkurugenzi katoa machozi,,, ww mbunge jitathimini machozi ya huyu baba hayatakuacha salama,,, hongera Sana Rais wetu kwa kumwaibisha huyu nyumbu wa Serengeti nation park

  • @lukombesoemmanuel7271
    @lukombesoemmanuel7271 6 лет назад +6

    Mkurugenzi kanifanya nitoe machozi..huyu mbunge kuazi kwelikweli

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 6 лет назад +14

    Mungu ni mwenye haki.umetafuta kumwaibisha juma. umejikuta aibu imekurudia mwenyewe na umepata aibu ya maisha yako kizazi chako chote kitaona jinsi ulivyo kichwa maji.

  • @nasraalobaidani3194
    @nasraalobaidani3194 6 лет назад

    fitna haina faida kasimam miship uson kwaunafk ili kumkomesh mwenzie kimbe ajiaibish mwenyewe ulaaniwe ww usio nautu daim hutofanikiw kwarohoyko mbya pole sn kakaang juma ALLAH akuongoz ,ALLAH ambarik sn rais wetu nakupend sana dc magufuli daima nitakuombea

  • @silasteven8956
    @silasteven8956 6 лет назад +1

    Pole sana mkulungenzi kila kazi namagumu yake usiogope baba piga kazi

  • @giannajoji7944
    @giannajoji7944 6 лет назад +6

    Wivu tu,mbona kaumbuka!chezea Magufuli wewe!

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 4 года назад

    safi sn mkuu chadema wana majuguu tuu hawajui kazi bali wanajuwa majuguu tuu

  • @mapenzi_tz1511
    @mapenzi_tz1511 6 лет назад +58

    Mm nasemaga Hawa Chadema,, Akili awana wao tushawazoea kilakitu wanapingatu ndio kimewakuta Leo adharani

    • @innocenthamisonndalahwa9541
      @innocenthamisonndalahwa9541 6 лет назад +3

      Siasa chafu na za chiki hazifai mkurugenz ana umiza kichwa kuhakikisha shughuli na miradi ya maendeleo ina kwenda na kusimamia utekelezaji lazima tuwaheshimu na kusamini kile wanacho kifanya huyu mbuge hafai kabisa kwanza ni muongo

    • @isaacmakiro1140
      @isaacmakiro1140 6 лет назад +1

      Molove Momapenzi tuliza tako acha uboya

    • @modestaabeli3389
      @modestaabeli3389 6 лет назад +1

      Kweli RAIS umeongea safi cn yani hata mie nimelia pole mkurungezi mungu yuko nawe

    • @mbaroukabdi1918
      @mbaroukabdi1918 6 лет назад

      Kwa mfano shutuma hizi angepewa upinzani Raisi angejibu kama hivo?

    • @tuntulusekelo4191
      @tuntulusekelo4191 6 лет назад

      we jamaa hupo vizuri ahh ahh ahh

  • @hamidahamadi3609
    @hamidahamadi3609 6 лет назад +7

    Yani nimempenda Raisi wang hongera sn magufuli umetumia hekima sn!!

  • @annetmsafiri6704
    @annetmsafiri6704 6 лет назад +6

    Mbunge macho kodo aibu cdm aibu tu mmezoea vya kunyonga jamani sasa kazi kwenu laana hiyo itakufuata la hilo chozi tubu

    • @mohamedrashidi6495
      @mohamedrashidi6495 6 лет назад

      chadema mko wapi!!? huyu katia aibu kiongoz muongo, wa nini huyu!!!?

  • @nicholaustvraphael4102
    @nicholaustvraphael4102 6 лет назад

    Hongera Sana Mh raise nakukubali Sana unamsimamo nikikutana nawewe nitakuthibitishia kwa maneno

  • @henryjohn4781
    @henryjohn4781 6 лет назад +18

    Unaweza kukuta wilaya aliyotoka huyu DED hayajafanyika mambo makubwa na mazuri kama aliyoshiriki na kusimamia kuyafanya hapo Mugumu, Anatumikia nchi yake mpaka kapata presha alafu Mbunge ambae hapo ni kwao na yote yanafanyika kwa ajili ya wapiga kura wake bado anaongea mambo ya ajabu, Huyu DED ana Wazazi, Ndugu, Mke, Watoto na ana Watu wengi wanaomuheshimu wewe unamuita mwizi kwenye mkutano ambao dunia nzima unauangalia au utauangalia hata miaka 100 ijayo unamsafishaje jina lake? Au angeanguka hapo kwa mshtuko kwa tuhuma zako za uongo utaitunza wewe familia yake? Mbunge kama huyu anapaswa afunguliwe mashtaka ili Iwe fundisho kwa wenzake wa namna hii

    • @joshuanyonyi8820
      @joshuanyonyi8820 6 лет назад +1

      Hawa watu tunaochagua watuwakklishe na wanafanya mambo ya kitoto! Hapo utajua upinzan wanacheza na akili za watanzania...
      Mtu anapokea Mil.50 anaweka mfukoni yote hata kutoa 10 akachangia clinic..wakisimama bungeni wanaongelea wiz ndani ya Serikali kumbe wao ndo wazi haswa

    • @henryjohn4781
      @henryjohn4781 6 лет назад +1

      @@joshuanyonyi8820 Hivi CAG hakaguagi hela ya mfuko wa jimbo? Au hutolewa km zawadi! hawa jamaa wanaongea kwa hisia sana bungeni kumbe wenyewe hawasomeki

    • @jospinakomugisha2164
      @jospinakomugisha2164 4 года назад

      Thanks maguuuuuuuuuii oyeeerrr

  • @deklein4731
    @deklein4731 6 лет назад +6

    Hili libunge kwanza lina pua kubwa uso utazani chapati iliyokosa mafuta....cjui walilichaguaje tyuu

  • @barakahenula1370
    @barakahenula1370 6 лет назад +4

    Nampenda sana Raisi wangu,hapa kazi tu

  • @emilydavidmdoe3552
    @emilydavidmdoe3552 6 лет назад

    Aah kumbe Moro Safi kazi nzuri hongera Kaka yangu

  • @denismakweba3870
    @denismakweba3870 6 лет назад +4

    Uzadiki umewajaaa viongozi,wote mnahudumia wananchi kwann msipendane💋

  • @rosehillary6884
    @rosehillary6884 6 лет назад +11

    Rais wewe nakupenda sana wewe ni Baba, ni mlezi, na unamjua Mungu.

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 6 лет назад +6

    Mkurugenzi Mungu akupe nguvu, watu wanaopiga kazi Kama wewe wanapigwa Vita munooo

  • @binurarassi8156
    @binurarassi8156 6 лет назад +1

    Mungu akulinde Rais wetu Wasiokutakia mema, Watashindwa kwa Nguvu za Mungu.

  • @eliasmajani9787
    @eliasmajani9787 6 лет назад +11

    Huyo mbunge hana chake.
    Asihangaike kugombea tena 2020

  • @diamondgeyser7987
    @diamondgeyser7987 6 лет назад

    aisee!! nacheka na huku machozi yananitoka...mkurugenzi chapa kazi.....wala usirudi nyuma

  • @mbwanaomary7537
    @mbwanaomary7537 6 лет назад +11

    Hawa waropokaji walizoea kuwatengenezea ajali wenzao leo imewageuka, hujidai wao ni wasafi kumbe ndio waizi wakubwa, na huo ndio mfumo wa chama chao kuishi kwa porojo tu

    • @josephwilliam4727
      @josephwilliam4727 6 лет назад

      Marwa we mtapeli wa siasa huna lolote nenda kula kumchongea mwenzio si dili.

    • @saadachara943
      @saadachara943 6 лет назад

      Lwakweli daaaaah chozi limenitoka jamani tuwaheshim wazazi wetu wanapitia changamoto nyingi sana pole sana babangu mungu niwawote nahaki ikitendeka lazima pawe nachuki fanya halali yako babaet, juma

  • @gracethomas683
    @gracethomas683 4 года назад +1

    Dooh! ndiyo naiona leo daah! Juma amepitia mengi hapo 🙌🏽... Mungu amemuona

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 6 лет назад +5

    Imeniuma sanaa kwa kutoa chozi mkurugezi kwa kusingiziwa na hili fisadi hili bunge ningekua mimi ningelifukuza kabisa

  • @msalikemedia
    @msalikemedia 4 года назад +1

    Mwisho wa ubaya ni aibu 😀😀😂😂ubunge kimya

  • @frankrowland2884
    @frankrowland2884 6 лет назад +4

    Jamaaa hajui kama yupo katikat ya ccm,chochote atakachoongea atazomewa.

  • @markobuhuku1564
    @markobuhuku1564 6 лет назад

    Mheshimiwa Raisi Dr. Magufuli Kura yangu haikupotea kabisa, hongera kwa kuliona hilo

  • @agnessjosephath4330
    @agnessjosephath4330 6 лет назад +13

    Aibu yao jamani cdm mkoje kwa nini mnapenda kuwazushia uongo Rais mpenzi wa watu.mpaka nimelia kwa nn tufike huko jamani sisi wote ni watanzania

  • @annahnguvumali1626
    @annahnguvumali1626 6 лет назад

    Duuh, pole sana Mkurugenzi.

  • @totally_aisha8010
    @totally_aisha8010 6 лет назад +6

    mbunge bora anajenga urafiki na sio chuki

  • @awesuhassani6212
    @awesuhassani6212 5 лет назад +1

    Xikuwai kuku fatilia mzee wangu raixi wangu na mtanzania mwenzanu pokea hongela zangu, hongela raixi kwa kutenda haki kwa hili.

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 6 лет назад +8

    Kaoe hata dada zake ili kujenga heshima😂😂😂😂😂
    Asee tangu nikujue mheshimiwa leo umenivunja mbavu 😂😂😂😂😂😂
    Magufuli For Change 😂😂👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @furthernelly665
    @furthernelly665 6 лет назад

    Duh pole sana mzee

  • @barytz5977
    @barytz5977 6 лет назад +22

    Imebindi nicheke2 maana jamaa mpaka suruali imeshuka

  • @joanithasalvatory9707
    @joanithasalvatory9707 6 лет назад +1

    Haaa nimecheka hapo akaoe haya Dada wa mbunge ,yeye kaona kumchongea mwenzie rahaa daa ,mpaka kalia mkurugenzi
    Mh .Rais huwa hatumbui ovyoovyooo tu anachunguza ,nakupenda Sana'a tungepata viongoz wengi wa aina yako hakika Tanzania ingekuwa ni Nchi ya kuigwa

  • @salmakassim3975
    @salmakassim3975 6 лет назад +8

    Namimi nimewah leo

  • @susaneshesha7253
    @susaneshesha7253 6 лет назад

    KUNA vitu rais anafanya mpaka MTU unasisimka.Mungu akuongoze baba.udumu

  • @mcrahaleo688
    @mcrahaleo688 6 лет назад +9

    Libunge hili ni likarai kabisaa hili.... Lilitaka mwenzake atimuliwe kisa milioni 20..... Hahaaaaaaa, yeye milioni 57 kila mwaka za maendeleo ya jimbo "ANAJENGEAGA RANGI KTK SHULE NA MCHANGA ANAUPELEKAGA KWA MAGARI YAKE" hahaaaaaaa, ila naamini waliomchagua wamemsikia na kuzijua mbivu na mbichi!!!!!!!

  • @inocentedward8856
    @inocentedward8856 6 лет назад +1

    Safi sana mh rais! Kuna watu wana roho za kimaskini sana!

  • @kaminyogemwachelwa9884
    @kaminyogemwachelwa9884 6 лет назад +7

    Haya,mambo ya kijinga watu kusemana in front bila ushahidi badala ya kuhojiana,na vyombo vya,ulinzi

  • @anithaflorian1157
    @anithaflorian1157 6 лет назад

    Pole sana mkurugenz Mola akutie nguvu maana si wote watakao kukubali Mungu aibariki kazi ya mikono yako

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo6510 5 лет назад

    Daah inauma mtu mzima kulia . pole Sana mkurugenzi

  • @nicholasmeshak9673
    @nicholasmeshak9673 5 лет назад +10

    I just love this kind of government...

  • @anithanithaa2651
    @anithanithaa2651 3 года назад +1

    Huyu Baba Tutamkumbuka Daima 😭😭