Mungu wangu mbariki sana huyu raisi Magufuli,mpe maisha marefu na yenye amani tele.Huyu mkurugenzi kanifanya mpk nikatoa machozi(Mungu akuongoze🙏🏿)like za nguvu kwa Magufuli plz💪🏿
Asante rais mungu akuzindishie sana. Pole sana mkurungezi mungu amekuheshimisha sana maana siyo kwa kuchafuliwa huko pole sana. Pia namshukru rais mungu emekupa jicho latatu 🌷
Hv hili libunge liliwaza nn? Baba wa watu analia haya machozi hayatamuacha huyu mbunge salama,cjui nani alimteua,ila nashukuru kabaki na aibu,hongera sana raisi wng Mungu akulinde
Kwa nchi za mbele hapo huyo mbunge angejiuzulu kwa hicho alichokifanya.huwezi kufikisha ujumbe kwa style hiyo,hata kama ni kweli alichosema,bado hawezi kupewa sheria kulingana na kufikisha ujumbe kipumbavu kabisa.
Rais mtenda haki, Msema kweli, Mwenye huruma, Tulio wengi Tunaokuombea siku zote, uendelee Kiongozi, Mungu anatuona, Anasikia Na InshaAllah Atapokea Maombi yetu, Aamina q
Magufuli kumbe kuna wakati ana huruma sana. Baada ya kugundua Mkurugenzi kaumia moyo amerudia rudia sana manano kumweka sawa. Pole sana Mkurugenzi hawa wapinzani sometime wamekua waongo sana. Jamaa anakusema bila haya na ushahidi hana pole kaka
Duuuu ama kweli Serengeti tuna hali mbaya kama mbunge ndo huyu wa chuki zisizokuwa na maana,,, atapata faida gani mkurugenzi akifukuzwa huyu mbunge ndo mwxho wake 2020 hatunae tena
Chozi limenitoka pole mkurugenzi iyo ndo kawaida ya wanadam hutizama lamwezie tuu lakwake halion Allah akuongoze vyema ktk utendaji wako kazi, upizani co watu wazr alitaka ufukuzwe mbele ya qadam nnas chozi lako halipotea kwa huyu mbunge lazima litalipa magufuli hongera umekua mfano wakuigwa ktk uongozi wako
Wallah km k ungekua na sheria ya kumtumbua MTU anae mdharirisha mwenzie basi Leo angetumbuliwa huyo mbunge kwanza anatakiwa amuombe radhi mkurugenz hongera sana kwake mh. Rais kwa kazi Nzuri sn anazozifanya mungu ampe maisha marefu azidi kulitumikia hili taifa kwa kutenda haki. Me pia machoz yamenitoka kwa kumnafikia mkurugenz. Pole sn kaka yangu kwa changamoto unazozipata hata mitume walipitia vikwazo na changamoto nying sn lkn walishinda na kukamilisha yote walioagizwa
Hapa ndo wananchi tujifunze hali hii hatujawapa ikulu tukiwapa waingie ikulu watatupeleja wapi hawa kaka maendeleo jamn tufanye maendeleo sio chuki Za upinzani jamani wananchi wanatusoma kwa picha mbaya Santa chadema alafu 2020 tuseme tumeibiwa kura ni kweli acha ccm iendeshe nchi sisi ng tukue kwanza wapinzani tuna akili za kitoto wananchi wametuamini bas tusiwaangushe dah inauma asee afu hata kujieleza hajui maskini dah nandomana wanaohama wanahama kwa kauli mbiu kwamba wanaenda ccm kuunga juhudi za muheshimiwa rais kwa style hii huwez kuunga juhudi zinazofanywa name rais acha wanaojielwwa wahame tuu
Daaaaaaah, Mungu Kweli Wa Wote Ninaanza Kuamini Maana Daniel Alitupwa Ndani Ya Shimo La Simba Wenye Njaa Hawakummeza, Leo Mungu Amesimama Upande wa Mkurugenzi, Kweli Hila Hazimpati Mtoto wa Mungu, Nakuombea Mkurugenzi na Mhe. Rais Pigeni Kazi Wana Wa Mungu!.
Hongera sana Rais wetu Mungu akupe maisha marefu kwakuwa unatenda haki pasipo kumuonea mtu. Pole sana mkurugenzi Mungu yuko nawe aibu amezipata huyo mbunge kwa majungu yake
Ukisikia Mwisho was Ubaya in Aibu basi ndio hivi,,, huyu mbunge hafai, kabisa na kwa majungu haya 2020 hapati kitu,Mkurugenzi wa watu Na baba wa familia ya watu ametoka machozi,,Rais anahekima sana aisee
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
Thank you for pointing this out. Africa is killed by the puppets of the imperialist and neo-colonizers in the pretense of being friends of Africans. It will only take Africans themselves to develop Africa.
DA aiseee mchawi wa binadamu ni binadamu mwenyewe, kweli unamcjongea mwenzio afukuzwe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣magu bhana et akaoe dada zake na mbunge
Nani kaona mkurugezi akipandisha suruali yake alivyoitwa na Rais😁😁pole sana baba yangu umeniliza jamani umepata maradhi yamoyo ulivyoanza kuwatumikia wananchi wako pia nimejifunza kitu"wewe unapambana kwenda mbele kuna pimbi mmoja anakurudisha nyuma m'mungu amemuabisha leo "God is good all the time "#chozi lako halijakutoka bure unamengi moyoni but M'mungu atakutianguvu 😘😘.
Masikini wa Mungu Mkurugenzi katoa machozi,,, ww mbunge jitathimini machozi ya huyu baba hayatakuacha salama,,, hongera Sana Rais wetu kwa kumwaibisha huyu nyumbu wa Serengeti nation park
Mungu ni mwenye haki.umetafuta kumwaibisha juma. umejikuta aibu imekurudia mwenyewe na umepata aibu ya maisha yako kizazi chako chote kitaona jinsi ulivyo kichwa maji.
fitna haina faida kasimam miship uson kwaunafk ili kumkomesh mwenzie kimbe ajiaibish mwenyewe ulaaniwe ww usio nautu daim hutofanikiw kwarohoyko mbya pole sn kakaang juma ALLAH akuongoz ,ALLAH ambarik sn rais wetu nakupend sana dc magufuli daima nitakuombea
Siasa chafu na za chiki hazifai mkurugenz ana umiza kichwa kuhakikisha shughuli na miradi ya maendeleo ina kwenda na kusimamia utekelezaji lazima tuwaheshimu na kusamini kile wanacho kifanya huyu mbuge hafai kabisa kwanza ni muongo
Unaweza kukuta wilaya aliyotoka huyu DED hayajafanyika mambo makubwa na mazuri kama aliyoshiriki na kusimamia kuyafanya hapo Mugumu, Anatumikia nchi yake mpaka kapata presha alafu Mbunge ambae hapo ni kwao na yote yanafanyika kwa ajili ya wapiga kura wake bado anaongea mambo ya ajabu, Huyu DED ana Wazazi, Ndugu, Mke, Watoto na ana Watu wengi wanaomuheshimu wewe unamuita mwizi kwenye mkutano ambao dunia nzima unauangalia au utauangalia hata miaka 100 ijayo unamsafishaje jina lake? Au angeanguka hapo kwa mshtuko kwa tuhuma zako za uongo utaitunza wewe familia yake? Mbunge kama huyu anapaswa afunguliwe mashtaka ili Iwe fundisho kwa wenzake wa namna hii
Hawa watu tunaochagua watuwakklishe na wanafanya mambo ya kitoto! Hapo utajua upinzan wanacheza na akili za watanzania... Mtu anapokea Mil.50 anaweka mfukoni yote hata kutoa 10 akachangia clinic..wakisimama bungeni wanaongelea wiz ndani ya Serikali kumbe wao ndo wazi haswa
@@joshuanyonyi8820 Hivi CAG hakaguagi hela ya mfuko wa jimbo? Au hutolewa km zawadi! hawa jamaa wanaongea kwa hisia sana bungeni kumbe wenyewe hawasomeki
Hawa waropokaji walizoea kuwatengenezea ajali wenzao leo imewageuka, hujidai wao ni wasafi kumbe ndio waizi wakubwa, na huo ndio mfumo wa chama chao kuishi kwa porojo tu
Lwakweli daaaaah chozi limenitoka jamani tuwaheshim wazazi wetu wanapitia changamoto nyingi sana pole sana babangu mungu niwawote nahaki ikitendeka lazima pawe nachuki fanya halali yako babaet, juma
Haaa nimecheka hapo akaoe haya Dada wa mbunge ,yeye kaona kumchongea mwenzie rahaa daa ,mpaka kalia mkurugenzi Mh .Rais huwa hatumbui ovyoovyooo tu anachunguza ,nakupenda Sana'a tungepata viongoz wengi wa aina yako hakika Tanzania ingekuwa ni Nchi ya kuigwa
Libunge hili ni likarai kabisaa hili.... Lilitaka mwenzake atimuliwe kisa milioni 20..... Hahaaaaaaa, yeye milioni 57 kila mwaka za maendeleo ya jimbo "ANAJENGEAGA RANGI KTK SHULE NA MCHANGA ANAUPELEKAGA KWA MAGARI YAKE" hahaaaaaaa, ila naamini waliomchagua wamemsikia na kuzijua mbivu na mbichi!!!!!!!
Pole sana mkurugenzi, tunakushkuru muheshimiwa Raisi kwa kumfuta mkurgenz machozi. Pamoja Sana mkurgenzi wetu
G'g
Mungu wangu mbariki sana huyu raisi Magufuli,mpe maisha marefu na yenye amani tele.Huyu mkurugenzi kanifanya mpk nikatoa machozi(Mungu akuongoze🙏🏿)like za nguvu kwa Magufuli plz💪🏿
Barikiwa sana rais wa wanyonge
I
I
Daaah bahati mbaya mungu akamchukua..so sad
rest in peace
Jmni naipenda hii video 😂😂 mheshimiwa Rais Magufuri asante baba
Natamani ungekuwepo jmn kweli kizuri hakidumu. RIP baba
Pole sana mkurgenzi na hongera pia Mheshimiwa Rais kwa kumfuta machozi mkutugenzi
Pole Sana mkurugenzi ndio changamoto za kazi baba
Saumu Ha.ssan
Saumu hassan nauku umefika?
Walai saum nihatari
POLE SANA
😂😂Mbunge huyoo aibu tele😎😎😎
Asante rais mungu akuzindishie sana. Pole sana mkurungezi mungu amekuheshimisha sana maana siyo kwa kuchafuliwa huko pole sana. Pia namshukru rais mungu emekupa jicho latatu 🌷
Hv hili libunge liliwaza nn? Baba wa watu analia haya machozi hayatamuacha huyu mbunge salama,cjui nani alimteua,ila nashukuru kabaki na aibu,hongera sana raisi wng Mungu akulinde
Hadi machozi Hongera mkurugenzi chamsingi omba Mungu sanaa ktk kazi zakoo na Mungu akubariki hapa kazi
Kwa nchi za mbele hapo huyo mbunge angejiuzulu kwa hicho alichokifanya.huwezi kufikisha ujumbe kwa style hiyo,hata kama ni kweli alichosema,bado hawezi kupewa sheria kulingana na kufikisha ujumbe kipumbavu kabisa.
Pole mkulugenzi ndio changamoto za kazi
Maskini baba mpaka analia na mm nimelia jamaniiii huruma rais hongera sana
Hadija Abdallah usijal
Yaan mimi mwenyewe nimelia jaman baba kaniliza huyo jamani
Yaan hii mijitu mingine inakurupuka tu mbunge mzima kaaibika vibaya kweli dume zima majungu tu mfyuuuuuu
Ndio ujinga wa wanawake mtu akilia tu huruma
@@haibreus2005 hahahaha hayo ndio maumbile yetu tuvumilie tu
Inauma sana...
Ila magufuli nakukubali kwani akili zako unazijua mwenyewe...
Mti wenye matunda ndiwo
upigwao mawe, hongera mkurugenzi kwa uadilifu wako.
Ahsante mheshimiwa JPM kwa kujali
Mungu ailaze roho yake mahali pema....nlipenda Sana uongozi wake na kamwe hakutawahi tokea kiongozi zaidi ya hyu..big up
See how God is protecting His people.#mkurugenzi
Ommy Mvp Allah Akbar
Ommy Mvp fact
Ommy Mvp ooh yeah
Uyu mbunge anachuki mkurugenzi mchukulie Dada ake akuheshimu raisi Wetu oyeeee
woyeeeeeee😂😂😂😂😂😂
Baba angu issa issa nimefurahi
😂😂😂😂😂😁😁😁😁
Njia nzuri ni kuoa hata dada zake ili aman iwepo 😂😂😂😂
Good for your solomonic leadership. THANK YOU FOR THE LOVE AND BEING SERVANT OF THE PEOPLE.
Etiópia
Daima tutakukumbuka
Usilie jaman Mungu hamtupi mwenye Haki Amini Rais bado anakupenda pia zidi kufanya kazi
magufulli wewe ni rais wa mfano mkurugenzi amejiereza vizuri sana uyo mbunge ni chizi
The truth shall set you free
Huyu mbunge mwehu magu mungu akujalie kumfuta machozi mkulugenzi🙏🙏🙏🙏
Christopher Mganga hahaaa
.
@Change Mindset asay aibu kweli kweli mi ni Wa 254 ila na fanya bidii Kuja Tanzania ni muone maghufuli wallah sija ona raisi wa kuigwa kama huyu
I miss this maguful rest in peace always I miss you❤❤❤❤❤
Nampenda sana Rais wa Tanzania,anaakili sana,busara na hekima.tungempata rais kama huyo congo aiseee inchi yetu ingeendelea saaana.big up baba JPM
Wa congo unamjua kiswahili
Rais mtenda haki, Msema kweli, Mwenye huruma, Tulio wengi Tunaokuombea siku zote, uendelee Kiongozi, Mungu anatuona, Anasikia Na InshaAllah Atapokea Maombi yetu, Aamina q
Rais Magufuli akuweke mkono wake wa kuume ulale salama kipenzi cha watanzania umetenda haki hakika tunaendelea kukumbuka
Dar. Pole sana mkurugenzi Juma. Hongera mzee baba Magufuri
Hongera Mkurungezi
Anwary Rutenge qhv
Zambi Sana kumchafua mwenzio ikiwa ww unayako kibao nyuma ya pazia.... Allah bless you
dawa ya muongo nifupi sana haaaa mbunge ngumbalo huyo ndokaja ili amchongee mkurugez matokeo yake yy ndokaaibika jmn cdm mbona hamuishiwi vituko?
ha ha ha ha mbunge jipu uyooooooooo
Gud job president love you magufuli from Kenya+254
Love u Kenya asee +255 Luna upinzani wa kisiasa na Si kimaendeleo
It is true that magufuli is now popular
Magufuli kumbe kuna wakati ana huruma sana. Baada ya kugundua Mkurugenzi kaumia moyo amerudia rudia sana manano kumweka sawa.
Pole sana Mkurugenzi hawa wapinzani sometime wamekua waongo sana. Jamaa anakusema bila haya na ushahidi hana pole kaka
sifa sanga kweli kabsa
Hata angekua na ushahidi kumchongea mwenzie afukuzwe sio vizuri
Hii shutuma ingekuwa kwa mpinzani Rais angejibu hivo kwa mfano
Baba magufuli oyeeee Mungu akuzidishie imani kwawananchi wako tunakupenda sana 2020utapat kurayangu alfajir namapema
Duuuu ama kweli Serengeti tuna hali mbaya kama mbunge ndo huyu wa chuki zisizokuwa na maana,,, atapata faida gani mkurugenzi akifukuzwa huyu mbunge ndo mwxho wake 2020 hatunae tena
Isije ikawa ni chuki ya kisiasa hapo!!! Busara ni muhimu katika mambo haya, mbunge kwa mujibu wa sheria ni mjumbe katika baraza la mawaziri.
Yaan chadema cjui mkoje daaah mmekalia chuki2
Pole sana mkurugenz
Ha ha ha........ Mr president na muendlezo wake wa tungo tta ...hbu gonga dole tumpe pngez
Hahaaaaaaa, na ni tungo tata kweliiiii, hili libunge ni likarai kabisaa hili
Chozi limenitoka pole mkurugenzi iyo ndo kawaida ya wanadam hutizama lamwezie tuu lakwake halion Allah akuongoze vyema ktk utendaji wako kazi, upizani co watu wazr alitaka ufukuzwe mbele ya qadam nnas chozi lako halipotea kwa huyu mbunge lazima litalipa magufuli hongera umekua mfano wakuigwa ktk uongozi wako
chapa kazi mkurugenzi mazuri yakwako yote anayajua mwenyenzi mungu.
Omar Alofi roho imeniuma jamani, Pole sana Baba Mungu yupo nawe kila sekunde
mkurugenzi ridhiki yako anaepanga ni mungu , bado hajakuacha ulipochafuliwa yy tumain lako hatokuacha uaibike
Daaaaah mungu ulituokoa kutupatia hilijembe watanzania ila asante pia kwakua kaziyako hainamakosa tunateseka sana watanzania
Kwer sio kila mtu anakupenda mungu ndo Mtetezi wa kila jambo mtegemee mungu tu
ivi uyu mbunge amechaguliwa na watu wenye akili timamu kweli atakujieleza awezi embu ccm jitaidini 2020 chukueni ilo jimbo
Wallah km k ungekua na sheria ya kumtumbua MTU anae mdharirisha mwenzie basi Leo angetumbuliwa huyo mbunge kwanza anatakiwa amuombe radhi mkurugenz hongera sana kwake mh. Rais kwa kazi Nzuri sn anazozifanya mungu ampe maisha marefu azidi kulitumikia hili taifa kwa kutenda haki. Me pia machoz yamenitoka kwa kumnafikia mkurugenz. Pole sn kaka yangu kwa changamoto unazozipata hata mitume walipitia vikwazo na changamoto nying sn lkn walishinda na kukamilisha yote walioagizwa
Christopher Mganga Good mkurugenzi
Christopher Mganga umesema kweli kaka
Hapa ndo wananchi tujifunze hali hii hatujawapa ikulu tukiwapa waingie ikulu watatupeleja wapi hawa kaka maendeleo jamn tufanye maendeleo sio chuki Za upinzani jamani wananchi wanatusoma kwa picha mbaya Santa chadema alafu 2020 tuseme tumeibiwa kura ni kweli acha ccm iendeshe nchi sisi ng tukue kwanza wapinzani tuna akili za kitoto wananchi wametuamini bas tusiwaangushe dah inauma asee afu hata kujieleza hajui maskini dah nandomana wanaohama wanahama kwa kauli mbiu kwamba wanaenda ccm kuunga juhudi za muheshimiwa rais kwa style hii huwez kuunga juhudi zinazofanywa name rais acha wanaojielwwa wahame tuu
Tumetekeleza agizo
Daaaaaaah, Mungu Kweli Wa Wote Ninaanza Kuamini Maana Daniel Alitupwa Ndani Ya Shimo La Simba Wenye Njaa Hawakummeza, Leo Mungu Amesimama Upande wa Mkurugenzi, Kweli Hila Hazimpati Mtoto wa Mungu, Nakuombea Mkurugenzi na Mhe. Rais Pigeni Kazi Wana Wa Mungu!.
pongezi sana raisi hakika amemchafua mwenzie hazarani kwa siasa ya kijinga kaka juma hamsini endelea kufurahi raisi ana imani nawewe
Libunge LA chadema ...libaki huko huko chadema
Baba hapo hongera sana kweli unamjua mungu,mungu akuongoze baba
Asant sana #Mh Rais😘😢
Hongera sana Rais wetu Mungu akupe maisha marefu kwakuwa unatenda haki pasipo kumuonea mtu. Pole sana mkurugenzi Mungu yuko nawe aibu amezipata huyo mbunge kwa majungu yake
Daah mzee pumzika kwa amani tutakukumbuka daima😭😭😭😭😭😭😭
mungu mkubw Sikutengemea kama mkulugenzi angeweza ata kijitete ,inauma kwakweri😢😢😢
mwaka huu tutaona mengi 😂😂😂😂😂😂😂
mbunge huyu ni O
rais hongera sana
Dah inasikitisha asije akafa na presha mungu akusimamie
Mungu yupo!!!!!!! Wanaoonewa wote walie na Mungu mimi nimemwona mara nyingi.
pole sana mh.rais kwa hali hii mungu akusaidie maana wengi wanakuzunguka
Pole mkurungenzi wangu usilie jaman baba angu pole mungu mkubwa sana
Pole mkurugenzi mungu yupamoja na we we chapa kazi.
Pole saaana mkurugenzi Mungu atakulipa
Ukisikia Mwisho was Ubaya in Aibu basi ndio hivi,,, huyu mbunge hafai, kabisa na kwa majungu haya 2020 hapati kitu,Mkurugenzi wa watu Na baba wa familia ya watu ametoka machozi,,Rais anahekima sana aisee
mkoba innocent mbunge mpaka anazomewa na wanachi wake hadi aibu.
Na angekua sio mbunge angekiona cha mtema kuni leo
mkoba innocent mbunge mpaka anazomewa na wanachi wake hadi aibu.
Na angekua sio mbunge angekiona cha mtema kuni leo
mkoba innocent mwadasu
Huyo anaeongea anauhakika ngani ,hajielewi hata kidogo MTU mzima ovyo kabisa,yy amekamilika
mkoba innocent sanaaa
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
Thank you for pointing this out. Africa is killed by the puppets of the imperialist and neo-colonizers in the pretense of being friends of Africans. It will only take Africans themselves to develop Africa.
U7(tygyttt
😭😭😭😭😭😭 Inna lillah waina illah ragigune wee mwenyezmungu muodoshee kila lililobaya kwenye kabur lake.
DA aiseee mchawi wa binadamu ni binadamu mwenyewe, kweli unamcjongea mwenzio afukuzwe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣magu bhana et akaoe dada zake na mbunge
Pole mkurugenzi ndo changamoto za kazi hizo baabaa limemrudia mwenyewe chapa kazi
Duuuh wa 3 leo hahaa naeza kua mkurugenzi badae
Nani kaona mkurugezi akipandisha suruali yake alivyoitwa na Rais😁😁pole sana baba yangu umeniliza jamani umepata maradhi yamoyo ulivyoanza kuwatumikia wananchi wako pia nimejifunza kitu"wewe unapambana kwenda mbele kuna pimbi mmoja anakurudisha nyuma m'mungu amemuabisha leo "God is good all the time "#chozi lako halijakutoka bure unamengi moyoni but M'mungu atakutianguvu 😘😘.
Sakina Omar all the time GOD is good
M'mungu atamlipa wallah
Mkurugenzi chapa kazi ukweli utabaki ukweli tu! Uongo umesjindwa.
ndo mm huwa nasema kwann uupe mdogo ujasiri wa kuongea wakat ujaipanga akili yako papara kwa magu ni sawaaa na kukurupuka kuingia msikitin na ndara
Masikini wa Mungu Mkurugenzi katoa machozi,,, ww mbunge jitathimini machozi ya huyu baba hayatakuacha salama,,, hongera Sana Rais wetu kwa kumwaibisha huyu nyumbu wa Serengeti nation park
Mkurugenzi kanifanya nitoe machozi..huyu mbunge kuazi kwelikweli
Mungu ni mwenye haki.umetafuta kumwaibisha juma. umejikuta aibu imekurudia mwenyewe na umepata aibu ya maisha yako kizazi chako chote kitaona jinsi ulivyo kichwa maji.
kila nikiangalia hii video nalia sana we mbunge muombe msamaha mwenzako
Joyce mashikolo.
fitna haina faida kasimam miship uson kwaunafk ili kumkomesh mwenzie kimbe ajiaibish mwenyewe ulaaniwe ww usio nautu daim hutofanikiw kwarohoyko mbya pole sn kakaang juma ALLAH akuongoz ,ALLAH ambarik sn rais wetu nakupend sana dc magufuli daima nitakuombea
Pole sana mkulungenzi kila kazi namagumu yake usiogope baba piga kazi
Wivu tu,mbona kaumbuka!chezea Magufuli wewe!
safi sn mkuu chadema wana majuguu tuu hawajui kazi bali wanajuwa majuguu tuu
Mm nasemaga Hawa Chadema,, Akili awana wao tushawazoea kilakitu wanapingatu ndio kimewakuta Leo adharani
Siasa chafu na za chiki hazifai mkurugenz ana umiza kichwa kuhakikisha shughuli na miradi ya maendeleo ina kwenda na kusimamia utekelezaji lazima tuwaheshimu na kusamini kile wanacho kifanya huyu mbuge hafai kabisa kwanza ni muongo
Molove Momapenzi tuliza tako acha uboya
Kweli RAIS umeongea safi cn yani hata mie nimelia pole mkurungezi mungu yuko nawe
Kwa mfano shutuma hizi angepewa upinzani Raisi angejibu kama hivo?
we jamaa hupo vizuri ahh ahh ahh
Yani nimempenda Raisi wang hongera sn magufuli umetumia hekima sn!!
Asante presdaa
Mbunge macho kodo aibu cdm aibu tu mmezoea vya kunyonga jamani sasa kazi kwenu laana hiyo itakufuata la hilo chozi tubu
chadema mko wapi!!? huyu katia aibu kiongoz muongo, wa nini huyu!!!?
Hongera Sana Mh raise nakukubali Sana unamsimamo nikikutana nawewe nitakuthibitishia kwa maneno
Unaweza kukuta wilaya aliyotoka huyu DED hayajafanyika mambo makubwa na mazuri kama aliyoshiriki na kusimamia kuyafanya hapo Mugumu, Anatumikia nchi yake mpaka kapata presha alafu Mbunge ambae hapo ni kwao na yote yanafanyika kwa ajili ya wapiga kura wake bado anaongea mambo ya ajabu, Huyu DED ana Wazazi, Ndugu, Mke, Watoto na ana Watu wengi wanaomuheshimu wewe unamuita mwizi kwenye mkutano ambao dunia nzima unauangalia au utauangalia hata miaka 100 ijayo unamsafishaje jina lake? Au angeanguka hapo kwa mshtuko kwa tuhuma zako za uongo utaitunza wewe familia yake? Mbunge kama huyu anapaswa afunguliwe mashtaka ili Iwe fundisho kwa wenzake wa namna hii
Hawa watu tunaochagua watuwakklishe na wanafanya mambo ya kitoto! Hapo utajua upinzan wanacheza na akili za watanzania...
Mtu anapokea Mil.50 anaweka mfukoni yote hata kutoa 10 akachangia clinic..wakisimama bungeni wanaongelea wiz ndani ya Serikali kumbe wao ndo wazi haswa
@@joshuanyonyi8820 Hivi CAG hakaguagi hela ya mfuko wa jimbo? Au hutolewa km zawadi! hawa jamaa wanaongea kwa hisia sana bungeni kumbe wenyewe hawasomeki
Thanks maguuuuuuuuuii oyeeerrr
Hili libunge kwanza lina pua kubwa uso utazani chapati iliyokosa mafuta....cjui walilichaguaje tyuu
Nampenda sana Raisi wangu,hapa kazi tu
Aah kumbe Moro Safi kazi nzuri hongera Kaka yangu
Uzadiki umewajaaa viongozi,wote mnahudumia wananchi kwann msipendane💋
Rais wewe nakupenda sana wewe ni Baba, ni mlezi, na unamjua Mungu.
Mkurugenzi Mungu akupe nguvu, watu wanaopiga kazi Kama wewe wanapigwa Vita munooo
Mungu akulinde Rais wetu Wasiokutakia mema, Watashindwa kwa Nguvu za Mungu.
Huyo mbunge hana chake.
Asihangaike kugombea tena 2020
aisee!! nacheka na huku machozi yananitoka...mkurugenzi chapa kazi.....wala usirudi nyuma
Hawa waropokaji walizoea kuwatengenezea ajali wenzao leo imewageuka, hujidai wao ni wasafi kumbe ndio waizi wakubwa, na huo ndio mfumo wa chama chao kuishi kwa porojo tu
Marwa we mtapeli wa siasa huna lolote nenda kula kumchongea mwenzio si dili.
Lwakweli daaaaah chozi limenitoka jamani tuwaheshim wazazi wetu wanapitia changamoto nyingi sana pole sana babangu mungu niwawote nahaki ikitendeka lazima pawe nachuki fanya halali yako babaet, juma
Dooh! ndiyo naiona leo daah! Juma amepitia mengi hapo 🙌🏽... Mungu amemuona
Imeniuma sanaa kwa kutoa chozi mkurugezi kwa kusingiziwa na hili fisadi hili bunge ningekua mimi ningelifukuza kabisa
Mwisho wa ubaya ni aibu 😀😀😂😂ubunge kimya
Jamaaa hajui kama yupo katikat ya ccm,chochote atakachoongea atazomewa.
Frank Rowland hakulijua hilo
Frank Rowland kazingua mwenyewe utaongeaje maneno kama Yale mbele za watu
Mheshimiwa Raisi Dr. Magufuli Kura yangu haikupotea kabisa, hongera kwa kuliona hilo
Aibu yao jamani cdm mkoje kwa nini mnapenda kuwazushia uongo Rais mpenzi wa watu.mpaka nimelia kwa nn tufike huko jamani sisi wote ni watanzania
Duuh, pole sana Mkurugenzi.
mbunge bora anajenga urafiki na sio chuki
Xikuwai kuku fatilia mzee wangu raixi wangu na mtanzania mwenzanu pokea hongela zangu, hongela raixi kwa kutenda haki kwa hili.
Kaoe hata dada zake ili kujenga heshima😂😂😂😂😂
Asee tangu nikujue mheshimiwa leo umenivunja mbavu 😂😂😂😂😂😂
Magufuli For Change 😂😂👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Duh pole sana mzee
Imebindi nicheke2 maana jamaa mpaka suruali imeshuka
Haaa nimecheka hapo akaoe haya Dada wa mbunge ,yeye kaona kumchongea mwenzie rahaa daa ,mpaka kalia mkurugenzi
Mh .Rais huwa hatumbui ovyoovyooo tu anachunguza ,nakupenda Sana'a tungepata viongoz wengi wa aina yako hakika Tanzania ingekuwa ni Nchi ya kuigwa
Namimi nimewah leo
KUNA vitu rais anafanya mpaka MTU unasisimka.Mungu akuongoze baba.udumu
Libunge hili ni likarai kabisaa hili.... Lilitaka mwenzake atimuliwe kisa milioni 20..... Hahaaaaaaa, yeye milioni 57 kila mwaka za maendeleo ya jimbo "ANAJENGEAGA RANGI KTK SHULE NA MCHANGA ANAUPELEKAGA KWA MAGARI YAKE" hahaaaaaaa, ila naamini waliomchagua wamemsikia na kuzijua mbivu na mbichi!!!!!!!
Lijiandae kupigwa 2020
😂😂😂😂😂😂
Pole Mkurugenzi ila Mungu Mkubwa
kwr
Safi sana mh rais! Kuna watu wana roho za kimaskini sana!
Haya,mambo ya kijinga watu kusemana in front bila ushahidi badala ya kuhojiana,na vyombo vya,ulinzi
Hiyo Ndio siasa
Pole sana mkurugenz Mola akutie nguvu maana si wote watakao kukubali Mungu aibariki kazi ya mikono yako
Daah inauma mtu mzima kulia . pole Sana mkurugenzi
I just love this kind of government...
Huyu Baba Tutamkumbuka Daima 😭😭
Magufuli ananiumaga sana