WANANCHI ARUSHA WAMCHANA RC MAKONDA - ''HATUTAKI MAIGIZO NA VIONGOZI KUGOMBANA - AWAACHE WAPINZANI''
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- WANANCHI ARUSHA WAMCHANA RC MAKONDA - ''HATUTAKI MAIGIZO NA VIONGOZI KUGOMBANA - AWAACHE WAPINZANI''
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Karibu sana Paul makonda we love you na tuko pamoja nawe
Arusha mnamajanga Sana,tumuombee makonda achape kazi
KUMBE SAS NAANZA KUELEWA KWANN SAMIA KAMTEUWA MAKONDA KWENDA ARUSHA ❤❤
Makonda ni mtu wa Mungu kwaukweli
MH MAKONDA❤
Ni kumanisha makonda ni next prezo of tz
wafungieni ndani muwatie kibiriti tu
Rais ajae Makonda ❤tunakupenda 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💗
Shindwaaa pepoooooo
Hawezi kuwa Rais wetu watanzania labda rais wako ila hatuwezi kumpa Nchi yetu Rais Huwa atajwi MUNGU anamuinua usiye mjua na ambae hakudhaniwa kama hayati JPM.
DK 15 safi
Makonda maana ake n kirainishi cha mboga na kuwa tamu kwa lugha za kibantu ,kwo makonda Ana mvuto sana kwa sasa hata awali huyu aandaliwe kushika usukan tuuu
MIMI NILIZANI ARUSHA PAZURI SANAA.
N pazur ndy
Kama kuna kitu mama samia kanifurahisha nikumleta makonda arusha maana makonda ni mchapakazi aliwaanyoosha wauza madawa dar,tunataka kuona mabadiliko arusha ni jiji la kitalii
Dk 15 ana hoja nzito zilizoshiba!! Huyu mtu anafaa kuwa mbunge wa Arusha .
Wewe hujui Kiswahili, wananchi hawajamchana Makonda, Walichokifanya ni kumuonyesha Makonda kile kilichoko Arusha,
Makonda karibu Arusha shida ya wanarusha na manyanyazo ya wanyonge kwisha wewe ni Damu ya mpendwa watu magufuli
Kichwa cha habari mbona hakiendani na maudhui..Kumchana mtu ni kumwongelea kwa mtazamo hasi.
Bangi shida
Kwanini hamkumwambia mkuu wa mkoa aliyepita ama wabunge ninyi wananch ni tatizo jaman wambien makosa wakiwa na vyeo
Kukosa akili ni shida sana
Madawa iyo ni asili
Aliyetoa maoni kwamba aachane na wapinzani afanye kazi ya maendeleo hicho ndicho kinachohitajika,aachane na Kiki zisizo na faida tunataka kuona miradi iliyosimama ikifanyiwa kazi,tunataka tuone madawa hospitalini yakipatikana ,huduma za afya zikitolewa bila upendeleo,vyombo vya sheria vikifanya kazi bila kuwanyanyasa watu
Oya Danieli nitafute as nicheki fb natumia jina wakwetu jitu
Msipomtoa Gambo bado Makonda atafanya kazi ktk wakati mgumu😢
Makonda kachape kazi tunakuamini
KongoleMakonda
Chuga mnafeli.
Pole sana 😂😂
Moshono kwa matajiri
Hapo panawehu anaweza kuabika hapo Pana utata mno...
Tumuombee 🙏
Ndembi
Makonda karbu sana,Arusha nasi tufaidi,..tunajua kero zetu lazma ztatuliwe
Ashura nyie mkoje kwaiyo mnasubiri sana viongozi watatue matitizo yenu, mnafeli
😂
😂😂😂😂
Nawashangaa watu wanalalamika weee ili wanajua tatizo ni ccm na siyo mtu
Makonda has nothing to do in arusha.
Arusha ilipendeza Jiji lilipokuwa chini ya chadema
Barabara zikijengwa.
Maji yalikuwepo na Kwa kweli kulionekana kuna mabadiliko
Tangu ccm irudi Jiji ni chafu ukipita kilombero sokoni mkabala na TFA KUNA NUKA
MITARO ya maji imebomoka ni michafu,mfumo wa usafiri mbovu.
Very shame to ccm
Mimi nimependa mh makonda kuja Arusha, makonda naomba uanze na karatu
😂
Inaonyesha Arusha imechakaa sana. Makonda kaja Mungu atamsimia InshaAllah
Arusha haija chakaa
Mmeongea ukweli kabisa, kumbe mnaongea vizuri sana ,nilikuwa nikiwaona vijana wengine wanaongea kwa sauti ya kulegea .ila Leo nimewasikia kumbe wanaongea vizuri tena kwa point.nafikiri makonda amesikia kero,vijana wamefanya vizuri kuongea kabla makonda hajaja.06.04.24.
Makonda umesikia Sasa unatakiwa kwanza kabisa umtangulize MUUMBA wako Kisha umpishe ukiwa umeishika SAUTI yake 2Nyakati 7:14--16. Ubarikiwe.
Unajua tatizo hawa watu bado hawajaelewa vizuri Sasa ccm ni ile ile na makonda hawezi kufanya kitu pasipo maamuzi kutoka juu, makonda sio upinzani yule ni ccm2
Makonda .tunajua Arusha wamekupa mtuani mkubwa kuwa makini tunakutengemea mno Tanzania kikubwa watanzania wote tumuombee MUNGU amulinde tuko nyuma yako
Huyu makonda akigombea uraisi mimi anawezakuwaraisi yukovizuri
Unapomzungumzia makonda unaizungumzia Tanzania na watanzania WA Hali ya chini, MUNGU MLINDE MAKONDA.
Sijuwi Lema uko aliko yupo katika hali gani.
Hapo umechomoa wanavaa uchi mhh UMESAHAU wanavaa RUBEGA ACHA ZAKO
Makonda tunakupenda mi ningependa uwe mkuu wa mkoa wa momba chkua maua🎉 yako
Alikuwa anaamua hata utekaji na kupoteza watu. Mjiandae kupotea na kufungwa magerezani. Watoa maoni yote makings, hawamjui Makonda. Ni nini lililotolrwa kwenye chips
MTAIPATA ARUSHA!
Makonda piga kazi,safisha Arusha,safisha njia kuelekea urais,jipime kukubalika kwako kwa watanzania kupitia Arusha,huku Dar,kusini,ziwa unakubalika sana.Kila la kheri MAKONDA.
Makonda usiogope kazi iendelee
Kwa arusha makonda swala la wizi vibaka tatu mzuka panya Road limekuwa kero ushauri wangu asafishe jeshi la police alete police wapya kuanzia occd waje wapya kabisa hapo aanze nao kazi waliopo wamekaa sana mdaa mrefu kutekeleza kusafisha wizi ni ngumu sana
Leo siku ya 2 tunamkabidhi mikononi mwa mungu kesho tunamaliza tuungane jamani tumuombee madawa ushoga ni wakubwa hawatampenda
Nipe namba ya Makonda acha uoga,
Nataka nimpongeze kwenye swara la ushoga.
😂😂😂😂😂 Kweli arusha ni hip-hop na Makonda ni Means hip-hop.
Mwiz Yuko hapo hapo pemben anakusikiliza😁
MAKONDA NDIE RAHISI WA TANZANIA WA AWAM YA 7 KWELI WANA ARUSHA TUNAKUOTAJI SANA SANA UTUSAIDIE TUKO NA WEWE MKONDA TUSAIDIE ARUSHA WEWE NDIE MAGUFULI AJAE
Kwani nyie hapo hapakua na kiongozi? Pia usitegemee mpaka mtu aje awapangie cha kufanya. Badilikeni kwanza! Mungu akulinde Makonda!
3:37 3:38
watangazaji ivi kweli mmesomea waandishi unapeleka mic kwawanywa gongo hovyo kabisa
Jamaa wa DK15 amenikosha sana
Naamini one day utakuwa kiongozi wa wanyonge 🫡🫡🫡
Makonda.mkoa huu.Mungu akuongoze.kuna vijana wanajitambua.watakusaidia sanaa..achana na viongozi hawatakusaidia.
Karibu sana Arusha Makonda. Tusaidie kwenye umeme na maji na bangi
Makonda anza Longido kwa Naibu Waziri wa Madini
Subirini Makonda atawanyosha moja baada mwingine❤❤
syo chuga
@@DavalsonMarlonychuga ndio nn? Au ndio huo ushoga 😂😂
@@shinipapaya846 ushoga labda mkoani kwenu
Ushoga ni huko Dar hii ni Chuga hatuli chips .
@@domymerinyo8165 embu mchane uyo nyumbu anatletea mambo ya kiwaki
Jamani Mimi Nina amani sana, ujio wako Makonda ni faraja sana kwetu, nakupenda sanaa kaka Mungu akutunze
Kama Arusha inawatu wa aina basi kama ndio picha hii basi inabidi waolewe kabisa
Arusha oyeee vijana mmechangia vizuri sana
Watu wa kutumwa utawafahamu tuu da, haitaji ufahamu, waliokuja wengine hawakuwa wakuu wa mkoa mbona hatukuwasikia.
MAKONDA NI MCHAPA YEYE NI KIJIKO CHA JIKONI HAKIOGOPI MOTO
Wanahari fake jamaa wamsifu makonda nyinyi eti wanamchana ongeeni mambo yenye yako
So arusha machoko wengi sana 😏😏
Huu mkoa haufai kabisa. Umechafuka na huu mwingiliano wa wageni ni shida tupu
Atawatunza Makonda ila nanyi nawaombeni mkubali kutunzika
Media yenu mlichoandika na kinachosemwa tofauti
Kweli arusha kama hamna uongozi vile barabara za mitaa maji yanapasua barabara mpaka yakatize yenyewe uongozi upo lakini hatua haichukuliwi ya haraka
Mungu amsimamie sana nakonda maana Arusha mmmh Mungu nifunze kunyamaza so poa
Makonda ni kama maji auwezi kumkwepa na ni lazima ata shine Arusha
Tunachojua ni kwamba wewe Makonda ndo Rais ajaye baada ya Samiah
Wavuta Unga wengi,makonda atawanyoosha,angekuwepo hai3makufulina amina chifupa watu wangenyooka
Karibu sn arusha ila changamoto ni nyingi mtangulize allah
You're warmly welcome to Arusha comrade Makonda
Nakubali kazi yake nzuri , kikubwa akazanie MAENDELEO na MAISHA bora ya watu mapambano na malumbano ya KISIASA hayasaidii ktk UONGOZI watu kwa sasa wana TATHIMINI ya hali ya juu sana kuhusu uongozi bora uliojaa HEKIMA na BUSARA .
SIYO KUPIKA MAJUNGU KAMA VILE KINA LEMA.
Magukufuli wasingemuuwa hayoyt yangeisha
Mbunge mzuri lakini Halmashauri hiyo wezi wengi wa Arusha humo
Upande wa police makao makuu mkoani hawanashida shida ipo hapo wilayani upande wa upelelezi kuanzia kwa oc cd ndo kuna matatizo wezi vibaka panya Road kuna rushwa sana sana ukiwa umepata shida na shida ni ya kweli unategemea msaada wa police kweli hupati msaada mpaka utoe hela wako kifedha ukifuatilia haki yako unajibiwa vibaya sana ukichunguza ni hela rushwa inatakiwa ndo usaidiwe nilipata shida ya kuibiwa gari ya utalii ya 80ml kama sio mkoani RTO kunisaidia nikapata gari yangu gari yangu ingepotea nawashukuru sana police mkoani wanafanya kazi kwa ueledi mkubwa sana ila pale wilayani upelelezi waondolewe wote waje wapya
Kwani Global mna ugomvi gani na Makonda?
Lekanaga nabho makonda ugunoga duhu nkoi abatale badahaile utumame baguchalile Arusha ukwame kalaganaga eeee
Wilayani police wamekaa miaka sana ndomana wanapenda rushwa hata wezi wakikamatwa wanahonga wanachiwa kisa wanahonga ifike mahali tuletewe police wapya upande wa wilayani arusha ndogo sana kumaliza vibaka inawezekana shida rushwa arusha utali madini arusha panaitwa Geneva of Africa pia half London kwa hali ya wizi tunapata aibu hatuna amani kwa wizi makonda tunakuomba ondoa police wa upande wilayani arusha lete wengine wakusaidie kusafisha jiji letu
MAKONDA MTOTO WANGU NAOMBA MUNGU AKUPE URAIS MWAKA 2024 MAKONDA HOYEEEEEEEEKARIBU SANA ARUSHA
Urais tena 2024 hii kali
@@romanilyimohumpendi wewe sio 30
Mama kaona makonda asafishe huo mkoa
Ni mkoa uliojisahau kabisa
@@ConsalvaMumbarahuo mkoa haujajisahau? Tena moja ya mikoa wakazi wasio na hofu. Tatizo la arusha walikuwa hawapati viongozi sahihi
@@jasonwatz7457 mungu awakumbuke maana kila siku ni vituko mpaka tunawaogopa.
Arusha mmepata Rc nyie fikisheni tu changamoto na kushirikiana naye mtaona Arusha itakavyokuwa poa
Huyu jamaa anaongea sana kwa hisia, anahitaj pongez
Ameshaonja cha Arusha huyo😅😂
Ivi hiyo barabara ni mbovu kuzidi Ya Mkuzo Songea😂😂
Duu songea pia mambo sio mazuri
Kwahiyo atakuja na hela?,muulizeni lema mbona mwepesi tu.Kama uaenezi umemshinda kwa kwa miezi mitano ndio arusha,?,hicho cha arusha atakiweza?.wa kwanza kushughulikiwa ni nyie.
Chawa walema wewe
Makonda amependwa
Kichwa chahabari kunani?
Makonda anaweza wakuiongoza nchi
@@emmanuelmlowe-ew7gx kunguni wa makonda wewe.
Safi sana kijana.
Makonda okoa inchi. Mashoga pigarisasi tu
Nimefurahi kuona wananchi wana imani na MAKONDA
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Huyu boya ukiwa na hela unanfumua marinda
MUNGU AMLINDI MAKONDA. MUNGU AMSHUSHIE MALAIKA WAMTANGULIE NA KUMWONGOZA ATOKAPO NA AINGIAPO.
MAMA AMESIKIA KILIO CHENU.