WANANCHI ARUSHA WAMCHANA RC MAKONDA - ''HATUTAKI MAIGIZO NA VIONGOZI KUGOMBANA - AWAACHE WAPINZANI''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • WANANCHI ARUSHA WAMCHANA RC MAKONDA - ''HATUTAKI MAIGIZO NA VIONGOZI KUGOMBANA - AWAACHE WAPINZANI''
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 204

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  5 месяцев назад +3

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @sunaybrajabu238
    @sunaybrajabu238 5 месяцев назад +6

    Karibu sana Paul makonda we love you na tuko pamoja nawe

  • @KalorosiaMtani
    @KalorosiaMtani 5 месяцев назад +21

    Arusha mnamajanga Sana,tumuombee makonda achape kazi

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 5 месяцев назад +11

    KUMBE SAS NAANZA KUELEWA KWANN SAMIA KAMTEUWA MAKONDA KWENDA ARUSHA ❤❤

  • @KalorosiaMtani
    @KalorosiaMtani 5 месяцев назад +13

    Makonda ni mtu wa Mungu kwaukweli

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 3 месяца назад

    MH MAKONDA❤

  • @RodaTina
    @RodaTina 5 месяцев назад +4

    Ni kumanisha makonda ni next prezo of tz

  • @africa7479
    @africa7479 5 месяцев назад +5

    wafungieni ndani muwatie kibiriti tu

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 5 месяцев назад +1

    Rais ajae Makonda ❤tunakupenda 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💗

    • @mnasaeules6857
      @mnasaeules6857 5 месяцев назад

      Shindwaaa pepoooooo

    • @JK-uq1tv
      @JK-uq1tv 5 месяцев назад

      Hawezi kuwa Rais wetu watanzania labda rais wako ila hatuwezi kumpa Nchi yetu Rais Huwa atajwi MUNGU anamuinua usiye mjua na ambae hakudhaniwa kama hayati JPM.

  • @hailehim1
    @hailehim1 5 месяцев назад +1

    DK 15 safi

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 5 месяцев назад +7

    Makonda maana ake n kirainishi cha mboga na kuwa tamu kwa lugha za kibantu ,kwo makonda Ana mvuto sana kwa sasa hata awali huyu aandaliwe kushika usukan tuuu

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 месяцев назад +1

    MIMI NILIZANI ARUSHA PAZURI SANAA.

  • @AishaChoray
    @AishaChoray 5 месяцев назад +1

    Kama kuna kitu mama samia kanifurahisha nikumleta makonda arusha maana makonda ni mchapakazi aliwaanyoosha wauza madawa dar,tunataka kuona mabadiliko arusha ni jiji la kitalii

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 5 месяцев назад +1

    Dk 15 ana hoja nzito zilizoshiba!! Huyu mtu anafaa kuwa mbunge wa Arusha .

  • @gidiboy9081
    @gidiboy9081 5 месяцев назад

    Wewe hujui Kiswahili, wananchi hawajamchana Makonda, Walichokifanya ni kumuonyesha Makonda kile kilichoko Arusha,

  • @laiserkuyan6075
    @laiserkuyan6075 5 месяцев назад +1

    Makonda karibu Arusha shida ya wanarusha na manyanyazo ya wanyonge kwisha wewe ni Damu ya mpendwa watu magufuli

  • @sendisteve7981
    @sendisteve7981 5 месяцев назад

    Kichwa cha habari mbona hakiendani na maudhui..Kumchana mtu ni kumwongelea kwa mtazamo hasi.

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 5 месяцев назад +1

    Bangi shida

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 5 месяцев назад

    Kwanini hamkumwambia mkuu wa mkoa aliyepita ama wabunge ninyi wananch ni tatizo jaman wambien makosa wakiwa na vyeo

  • @DanielMgeni-x1z
    @DanielMgeni-x1z 5 месяцев назад +1

    Kukosa akili ni shida sana

  • @MasudiOmary-fs1bp
    @MasudiOmary-fs1bp 5 месяцев назад

    Madawa iyo ni asili

  • @bensonlucas7607
    @bensonlucas7607 5 месяцев назад

    Aliyetoa maoni kwamba aachane na wapinzani afanye kazi ya maendeleo hicho ndicho kinachohitajika,aachane na Kiki zisizo na faida tunataka kuona miradi iliyosimama ikifanyiwa kazi,tunataka tuone madawa hospitalini yakipatikana ,huduma za afya zikitolewa bila upendeleo,vyombo vya sheria vikifanya kazi bila kuwanyanyasa watu

  • @Wakwetujitu
    @Wakwetujitu 5 месяцев назад

    Oya Danieli nitafute as nicheki fb natumia jina wakwetu jitu

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 5 месяцев назад +2

    Msipomtoa Gambo bado Makonda atafanya kazi ktk wakati mgumu😢

  • @mariamshabani7107
    @mariamshabani7107 5 месяцев назад

    Makonda kachape kazi tunakuamini

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 5 месяцев назад

    KongoleMakonda

  • @dicksonulotu7427
    @dicksonulotu7427 5 месяцев назад +1

    Chuga mnafeli.

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 5 месяцев назад

    Moshono kwa matajiri

  • @NixonGerson
    @NixonGerson 5 месяцев назад

    Hapo panawehu anaweza kuabika hapo Pana utata mno...

  • @MagdarenaLunyalula
    @MagdarenaLunyalula 5 месяцев назад

    Ndembi

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 5 месяцев назад

    Makonda karbu sana,Arusha nasi tufaidi,..tunajua kero zetu lazma ztatuliwe

  • @muhammednassor690
    @muhammednassor690 5 месяцев назад

    Ashura nyie mkoje kwaiyo mnasubiri sana viongozi watatue matitizo yenu, mnafeli

  • @SabastianKazana
    @SabastianKazana 3 месяца назад

    😂

  • @florangido202
    @florangido202 5 месяцев назад

    😂😂😂😂

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 5 месяцев назад

    Nawashangaa watu wanalalamika weee ili wanajua tatizo ni ccm na siyo mtu
    Makonda has nothing to do in arusha.
    Arusha ilipendeza Jiji lilipokuwa chini ya chadema
    Barabara zikijengwa.
    Maji yalikuwepo na Kwa kweli kulionekana kuna mabadiliko
    Tangu ccm irudi Jiji ni chafu ukipita kilombero sokoni mkabala na TFA KUNA NUKA
    MITARO ya maji imebomoka ni michafu,mfumo wa usafiri mbovu.
    Very shame to ccm

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 5 месяцев назад +16

    Mimi nimependa mh makonda kuja Arusha, makonda naomba uanze na karatu

  • @dismasfandi8756
    @dismasfandi8756 5 месяцев назад

    😂

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 5 месяцев назад +19

    Inaonyesha Arusha imechakaa sana. Makonda kaja Mungu atamsimia InshaAllah

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 5 месяцев назад +10

    Mmeongea ukweli kabisa, kumbe mnaongea vizuri sana ,nilikuwa nikiwaona vijana wengine wanaongea kwa sauti ya kulegea .ila Leo nimewasikia kumbe wanaongea vizuri tena kwa point.nafikiri makonda amesikia kero,vijana wamefanya vizuri kuongea kabla makonda hajaja.06.04.24.

  • @LoyceFundi-qf7iw
    @LoyceFundi-qf7iw 5 месяцев назад +11

    Makonda umesikia Sasa unatakiwa kwanza kabisa umtangulize MUUMBA wako Kisha umpishe ukiwa umeishika SAUTI yake 2Nyakati 7:14--16. Ubarikiwe.

  • @williamlaiza6633
    @williamlaiza6633 5 месяцев назад +3

    Unajua tatizo hawa watu bado hawajaelewa vizuri Sasa ccm ni ile ile na makonda hawezi kufanya kitu pasipo maamuzi kutoka juu, makonda sio upinzani yule ni ccm2

  • @Edwardkatunzi-p2x
    @Edwardkatunzi-p2x 5 месяцев назад +1

    Makonda .tunajua Arusha wamekupa mtuani mkubwa kuwa makini tunakutengemea mno Tanzania kikubwa watanzania wote tumuombee MUNGU amulinde tuko nyuma yako

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 5 месяцев назад +3

    Huyu makonda akigombea uraisi mimi anawezakuwaraisi yukovizuri

  • @stanleymanya438
    @stanleymanya438 5 месяцев назад +1

    Unapomzungumzia makonda unaizungumzia Tanzania na watanzania WA Hali ya chini, MUNGU MLINDE MAKONDA.

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 5 месяцев назад +2

    Sijuwi Lema uko aliko yupo katika hali gani.

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 5 месяцев назад +1

    Hapo umechomoa wanavaa uchi mhh UMESAHAU wanavaa RUBEGA ACHA ZAKO

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 5 месяцев назад +1

    Makonda tunakupenda mi ningependa uwe mkuu wa mkoa wa momba chkua maua🎉 yako

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 5 месяцев назад

    Alikuwa anaamua hata utekaji na kupoteza watu. Mjiandae kupotea na kufungwa magerezani. Watoa maoni yote makings, hawamjui Makonda. Ni nini lililotolrwa kwenye chips
    MTAIPATA ARUSHA!

  • @KangaMaluguru
    @KangaMaluguru 5 месяцев назад +3

    Makonda piga kazi,safisha Arusha,safisha njia kuelekea urais,jipime kukubalika kwako kwa watanzania kupitia Arusha,huku Dar,kusini,ziwa unakubalika sana.Kila la kheri MAKONDA.

    • @FaidhaMlanzi
      @FaidhaMlanzi 5 месяцев назад

      Makonda usiogope kazi iendelee

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 5 месяцев назад +1

    Kwa arusha makonda swala la wizi vibaka tatu mzuka panya Road limekuwa kero ushauri wangu asafishe jeshi la police alete police wapya kuanzia occd waje wapya kabisa hapo aanze nao kazi waliopo wamekaa sana mdaa mrefu kutekeleza kusafisha wizi ni ngumu sana

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 5 месяцев назад +2

    Leo siku ya 2 tunamkabidhi mikononi mwa mungu kesho tunamaliza tuungane jamani tumuombee madawa ushoga ni wakubwa hawatampenda

  • @gadyetheboss8738
    @gadyetheboss8738 5 месяцев назад +1

    Nipe namba ya Makonda acha uoga,
    Nataka nimpongeze kwenye swara la ushoga.
    😂😂😂😂😂 Kweli arusha ni hip-hop na Makonda ni Means hip-hop.

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 5 месяцев назад +3

    Mwiz Yuko hapo hapo pemben anakusikiliza😁

  • @claudbusumilo3979
    @claudbusumilo3979 5 месяцев назад +1

    MAKONDA NDIE RAHISI WA TANZANIA WA AWAM YA 7 KWELI WANA ARUSHA TUNAKUOTAJI SANA SANA UTUSAIDIE TUKO NA WEWE MKONDA TUSAIDIE ARUSHA WEWE NDIE MAGUFULI AJAE

  • @protasdmassawe
    @protasdmassawe 5 месяцев назад +3

    Kwani nyie hapo hapakua na kiongozi? Pia usitegemee mpaka mtu aje awapangie cha kufanya. Badilikeni kwanza! Mungu akulinde Makonda!

  • @innocentkimory
    @innocentkimory 5 месяцев назад +1

    watangazaji ivi kweli mmesomea waandishi unapeleka mic kwawanywa gongo hovyo kabisa

  • @blessingntuli3796
    @blessingntuli3796 5 месяцев назад

    Jamaa wa DK15 amenikosha sana
    Naamini one day utakuwa kiongozi wa wanyonge 🫡🫡🫡

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 5 месяцев назад +3

    Makonda.mkoa huu.Mungu akuongoze.kuna vijana wanajitambua.watakusaidia sanaa..achana na viongozi hawatakusaidia.

  • @ProsistaTarimo-hr7ys
    @ProsistaTarimo-hr7ys 5 месяцев назад +3

    Karibu sana Arusha Makonda. Tusaidie kwenye umeme na maji na bangi

  • @babahilimollel5254
    @babahilimollel5254 5 месяцев назад +4

    Makonda anza Longido kwa Naibu Waziri wa Madini

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 5 месяцев назад +10

    Subirini Makonda atawanyosha moja baada mwingine❤❤

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony 5 месяцев назад +1

      syo chuga

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 5 месяцев назад

      ​@@DavalsonMarlonychuga ndio nn? Au ndio huo ushoga 😂😂

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony 5 месяцев назад

      @@shinipapaya846 ushoga labda mkoani kwenu

    • @domymerinyo8165
      @domymerinyo8165 5 месяцев назад

      Ushoga ni huko Dar hii ni Chuga hatuli chips .

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony 5 месяцев назад

      @@domymerinyo8165 embu mchane uyo nyumbu anatletea mambo ya kiwaki

  • @fridamossony2821
    @fridamossony2821 5 месяцев назад +2

    Jamani Mimi Nina amani sana, ujio wako Makonda ni faraja sana kwetu, nakupenda sanaa kaka Mungu akutunze

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 5 месяцев назад +1

    Kama Arusha inawatu wa aina basi kama ndio picha hii basi inabidi waolewe kabisa

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 5 месяцев назад +7

    Arusha oyeee vijana mmechangia vizuri sana

  • @evancemosha7862
    @evancemosha7862 5 месяцев назад

    Watu wa kutumwa utawafahamu tuu da, haitaji ufahamu, waliokuja wengine hawakuwa wakuu wa mkoa mbona hatukuwasikia.

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela 5 месяцев назад +3

    MAKONDA NI MCHAPA YEYE NI KIJIKO CHA JIKONI HAKIOGOPI MOTO

  • @MwagamboSanga
    @MwagamboSanga 5 месяцев назад

    Wanahari fake jamaa wamsifu makonda nyinyi eti wanamchana ongeeni mambo yenye yako

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 5 месяцев назад +1

    So arusha machoko wengi sana 😏😏

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 5 месяцев назад +1

    Huu mkoa haufai kabisa. Umechafuka na huu mwingiliano wa wageni ni shida tupu

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 5 месяцев назад +4

    Atawatunza Makonda ila nanyi nawaombeni mkubali kutunzika

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 месяцев назад +2

    Media yenu mlichoandika na kinachosemwa tofauti

  • @FilbertFissoo-pe2xm
    @FilbertFissoo-pe2xm 5 месяцев назад +1

    Kweli arusha kama hamna uongozi vile barabara za mitaa maji yanapasua barabara mpaka yakatize yenyewe uongozi upo lakini hatua haichukuliwi ya haraka

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 5 месяцев назад +3

    Mungu amsimamie sana nakonda maana Arusha mmmh Mungu nifunze kunyamaza so poa

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 5 месяцев назад

    Makonda ni kama maji auwezi kumkwepa na ni lazima ata shine Arusha

  • @majidfrolian4904
    @majidfrolian4904 5 месяцев назад

    Tunachojua ni kwamba wewe Makonda ndo Rais ajaye baada ya Samiah

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 5 месяцев назад +1

    Wavuta Unga wengi,makonda atawanyoosha,angekuwepo hai3makufulina amina chifupa watu wangenyooka

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 5 месяцев назад +1

    Karibu sn arusha ila changamoto ni nyingi mtangulize allah

  • @oswaldsambaya4422
    @oswaldsambaya4422 5 месяцев назад +6

    You're warmly welcome to Arusha comrade Makonda

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 5 месяцев назад

    Nakubali kazi yake nzuri , kikubwa akazanie MAENDELEO na MAISHA bora ya watu mapambano na malumbano ya KISIASA hayasaidii ktk UONGOZI watu kwa sasa wana TATHIMINI ya hali ya juu sana kuhusu uongozi bora uliojaa HEKIMA na BUSARA .

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 месяцев назад +1

    SIYO KUPIKA MAJUNGU KAMA VILE KINA LEMA.

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 5 месяцев назад +2

    Magukufuli wasingemuuwa hayoyt yangeisha

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 месяцев назад +1

    Mbunge mzuri lakini Halmashauri hiyo wezi wengi wa Arusha humo

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 5 месяцев назад

    Upande wa police makao makuu mkoani hawanashida shida ipo hapo wilayani upande wa upelelezi kuanzia kwa oc cd ndo kuna matatizo wezi vibaka panya Road kuna rushwa sana sana ukiwa umepata shida na shida ni ya kweli unategemea msaada wa police kweli hupati msaada mpaka utoe hela wako kifedha ukifuatilia haki yako unajibiwa vibaya sana ukichunguza ni hela rushwa inatakiwa ndo usaidiwe nilipata shida ya kuibiwa gari ya utalii ya 80ml kama sio mkoani RTO kunisaidia nikapata gari yangu gari yangu ingepotea nawashukuru sana police mkoani wanafanya kazi kwa ueledi mkubwa sana ila pale wilayani upelelezi waondolewe wote waje wapya

  • @gilbertmathias7594
    @gilbertmathias7594 5 месяцев назад +2

    Kwani Global mna ugomvi gani na Makonda?

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 5 месяцев назад

    Lekanaga nabho makonda ugunoga duhu nkoi abatale badahaile utumame baguchalile Arusha ukwame kalaganaga eeee

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 5 месяцев назад

    Wilayani police wamekaa miaka sana ndomana wanapenda rushwa hata wezi wakikamatwa wanahonga wanachiwa kisa wanahonga ifike mahali tuletewe police wapya upande wa wilayani arusha ndogo sana kumaliza vibaka inawezekana shida rushwa arusha utali madini arusha panaitwa Geneva of Africa pia half London kwa hali ya wizi tunapata aibu hatuna amani kwa wizi makonda tunakuomba ondoa police wa upande wilayani arusha lete wengine wakusaidie kusafisha jiji letu

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 5 месяцев назад +2

    MAKONDA MTOTO WANGU NAOMBA MUNGU AKUPE URAIS MWAKA 2024 MAKONDA HOYEEEEEEEEKARIBU SANA ARUSHA

    • @romanilyimo
      @romanilyimo 5 месяцев назад

      Urais tena 2024 hii kali

    • @mossyfimbo3577
      @mossyfimbo3577 5 месяцев назад

      ​@@romanilyimohumpendi wewe sio 30

  • @MaedaMm
    @MaedaMm 5 месяцев назад +8

    Mama kaona makonda asafishe huo mkoa

    • @ConsalvaMumbara
      @ConsalvaMumbara 5 месяцев назад

      Ni mkoa uliojisahau kabisa

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 5 месяцев назад +1

      ​@@ConsalvaMumbarahuo mkoa haujajisahau? Tena moja ya mikoa wakazi wasio na hofu. Tatizo la arusha walikuwa hawapati viongozi sahihi

    • @ConsalvaMumbara
      @ConsalvaMumbara 5 месяцев назад

      @@jasonwatz7457 mungu awakumbuke maana kila siku ni vituko mpaka tunawaogopa.

  • @shikuhata
    @shikuhata 5 месяцев назад

    Arusha mmepata Rc nyie fikisheni tu changamoto na kushirikiana naye mtaona Arusha itakavyokuwa poa

  • @barikiringo6311
    @barikiringo6311 5 месяцев назад +1

    Huyu jamaa anaongea sana kwa hisia, anahitaj pongez

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 5 месяцев назад +1

    Ameshaonja cha Arusha huyo😅😂

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 5 месяцев назад

    Ivi hiyo barabara ni mbovu kuzidi Ya Mkuzo Songea😂😂

  • @DONALDMTOWE-u9g
    @DONALDMTOWE-u9g 5 месяцев назад +2

    Kwahiyo atakuja na hela?,muulizeni lema mbona mwepesi tu.Kama uaenezi umemshinda kwa kwa miezi mitano ndio arusha,?,hicho cha arusha atakiweza?.wa kwanza kushughulikiwa ni nyie.

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 5 месяцев назад +4

    Safi sana kijana.

  • @AkimuWaziri
    @AkimuWaziri 5 месяцев назад

    Makonda okoa inchi. Mashoga pigarisasi tu

  • @adudeswalehe8724
    @adudeswalehe8724 5 месяцев назад +1

    Nimefurahi kuona wananchi wana imani na MAKONDA

  • @SelijusiMalambo-q2u
    @SelijusiMalambo-q2u 5 месяцев назад +6

    Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @frankmushendwas37
    @frankmushendwas37 5 месяцев назад

    Huyu boya ukiwa na hela unanfumua marinda

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 месяцев назад

    MUNGU AMLINDI MAKONDA. MUNGU AMSHUSHIE MALAIKA WAMTANGULIE NA KUMWONGOZA ATOKAPO NA AINGIAPO.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 месяцев назад +1

    MAMA AMESIKIA KILIO CHENU.