Vituko vilivyotokea wakati wa kupiga mnada makontena ya Makonda

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 76

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 13 дней назад

    Mlimvunjia sana Heshima mh Makonda

  • @aliyahmedahmed3722
    @aliyahmedahmed3722 5 лет назад +2

    Muuzieni Dr. Shika msisumbue watu... Makontena yenyewe hamna kitu...

  • @shedrackboniphace7755
    @shedrackboniphace7755 5 лет назад

    ahahahahaaaaaa nacheka kinafiki kama petro baada ya kugundua joka kawika mara ya tatu

  • @karumekondo9476
    @karumekondo9476 5 лет назад +6

    Apo kuna mchezo wa ajabu makonda ameambiwa alipe bilioni moja nukta mbili kwa kontena 20 maana yake kila kontena moja milioni 60 na kwenye mnada kontena moja limefika milioni kumi na tano na akuna alienunua, ngoja tuone iyo minada miwili iliyobaki kama mambo yatakwenda kamamlivyopanga

    • @aminamussa5122
      @aminamussa5122 2 месяца назад

      Wewe unauhakika gani ni makontena ya Makonda

  • @ggmmedia1757
    @ggmmedia1757 5 лет назад

    Uswailini kuna vituko😂😂😂😂🙏

  • @danielsamwel3628
    @danielsamwel3628 5 лет назад +18

    Kama waliweza kugawa samaki bule .je kwa nn na hivi wasingegawa kwenye mashule bule ili shule zinufaike .maana kama ofsi za walimu kweli tunashuhudia zinajengwa kwa hapa dar .si wangegawa bule hizo Mali kwenye mashule.

    • @chrispinjoseph1522
      @chrispinjoseph1522 5 лет назад

      Daniel Samwel bandari na tra zina sheria kanuni na taratibu zake

    • @rehemadani3600
      @rehemadani3600 5 лет назад

      Hapo sawa

    • @bwegelanyakhaido3088
      @bwegelanyakhaido3088 5 лет назад

      inawezakan iyo Ila samaki wale walikuwa ni mali ya selikali cz walivuliwa kwenye bahari yetu Ila Ayo makontena ni ya nwatu binafsi walio shindwa kulipia Kodi so yanauzwa kuchukua Kodi yao unayo Baki ni Kwa ajili ya wenywe

    • @mariammzee3186
      @mariammzee3186 5 лет назад

      Kweli daaaaah

  • @sulaymanabdallah8063
    @sulaymanabdallah8063 5 лет назад

    duh!!! pole TANZANIA

  • @davidmtweve5306
    @davidmtweve5306 5 лет назад

    duu my country tz

  • @mcrahaleo688
    @mcrahaleo688 5 лет назад +2

    "MAZINGAOMBWE" Bilioni 1.2÷ makontena 20= 60,000,000/= sasa hiyo Bilioni 1.2 itafika saa ngapi ikiwa Kontena moja lauzwa sh. Milioni 15?

  • @salehkhamis9978
    @salehkhamis9978 5 лет назад

    Dk shika Leo yuko WAP hapo

  • @stevenjackson1582
    @stevenjackson1582 5 лет назад +2

    Loooooooooh ama kweli ukistaajabu ya mussa utayaona ya firauni sasa mnavyouza uza hiyo kodi si italudi kununua fanicha za walimu ktk office zao mpya zinazojengwa? Kwa nini hivyo vifaa visielekezwe moja kwa moja ktk hizo office za walimu zinazojengwa? Au KA ma hizo samani zikipelekwa moja kwa moja mashuleni makonda atapata sifa saaaaana eeewww.

  • @laurentdavid3696
    @laurentdavid3696 5 лет назад

    jamani haka kamchezo ka kuigiza ni katamm hahahaha

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 5 лет назад

    Wap dr Shika?

  • @mwawichinoko295
    @mwawichinoko295 5 лет назад

    Dr shika Leo alikua wapi tajir wetu

  • @elizabethminja5006
    @elizabethminja5006 5 лет назад

    Dr shika simuoni hapo

  • @zabulonneemamukambilwa684
    @zabulonneemamukambilwa684 5 лет назад

    Ndo kwamaana Dr shika ajatikea hapo coz anajua ni siasa tu

  • @dabelmathew2322
    @dabelmathew2322 5 лет назад

    pole nchi yangu

  • @mercyemmanuel8536
    @mercyemmanuel8536 5 лет назад +1

    nimekupenda madame unajibu vizuri na kisomi zaidi....

    • @mrkasebelekasebele2129
      @mrkasebelekasebele2129 5 лет назад

      Hivi na zile fenicha za shule zinauzwa pia? Kama hivyo ndivyo,Hii ni nchi itakuwa ya ajabu kwakweli, vifaa kwaa jli ya shule ili wanafunzi wapate elimu bora viuzwe!!!alafu be ya njugu tu!!! Du bado tutakuwa na safari ndefu sanaa katika Elimu, Yaani serikali ishindwe kuyasimamia makontena hayo na kuhakikisha yanagawiwa kwa walengwa kama muagizaji alivyotoa maelezo mahali yanapostahili kupelekwa!!? Siamini hili.

    • @eliasgunini367
      @eliasgunini367 5 лет назад

      Achen kutuzaga,,funika kombe mwanaharam apite,,,,,,,,,,hahahahahahahaaaaa,wap Dr.Shika????

  • @yohanamahago8134
    @yohanamahago8134 5 лет назад

    Dr hakuwepo?

  • @getaromagaiwa7918
    @getaromagaiwa7918 5 лет назад +1

    Kama makonda amegoma kujiuzulu!? Kwa nini asitumbuliwe!?

  • @amanimwakyusa727
    @amanimwakyusa727 5 лет назад +2

    Nchi inaliwa hii kweupe mwenyezi mungu tunaomba kiongozi bora

  • @sudeinwahab906
    @sudeinwahab906 5 лет назад +1

    Hiyo ni siasa tu

  • @theuluq4885
    @theuluq4885 5 лет назад +1

    Wapi Dr. Shika?

  • @emanuelmoshama1747
    @emanuelmoshama1747 5 лет назад

    ivi vifaa vya kilimo vina kodi

  • @laurentdavid3696
    @laurentdavid3696 5 лет назад

    hii ishu ya kukamata makontena kwa wale wenye akili atajiongeza kama ni kweli au sio kweli

  • @vivianlenard3618
    @vivianlenard3618 5 лет назад

    Hizo contena cyo ka zimekosa wateja. mi nieamini walahi makonda anaogopwa haaaaaa watu wameogopa pyu pyu cy mchzoooo nani ataki roho yake

  • @mohdykihamia247
    @mohdykihamia247 5 лет назад

    mmmmmmmh yetu macho

  • @mnyalapekassimu3481
    @mnyalapekassimu3481 5 лет назад

    Ili nitela ingekuwa dada wa usa amekalia kibadachake vizuri pichakamili tungeenda kulipata huko kwenye kibanda

  • @vailethkilewo2480
    @vailethkilewo2480 5 лет назад

    mia 9 itapendeza Leo hayupo jaman

  • @tumainimango8140
    @tumainimango8140 5 лет назад

    Makonda alitaka agawe kwa walimu wake.c mgawe kwa shule za Dar km alivyoahidi.kuliko kupiga mnada

  • @calvinkitaly9376
    @calvinkitaly9376 5 лет назад

    mmmmmmm Napita tu.

  • @bibiejuma1035
    @bibiejuma1035 5 лет назад

    Samaki tulipewa bure na kwann ivyo vitu musihawe tena bure

  • @jumabakari6451
    @jumabakari6451 5 лет назад

    Dokta shika furusa hiyo uko wp

  • @janethaloyce5088
    @janethaloyce5088 5 лет назад

    sasa nmeamin 2mepata mkomboz atakae 2fkisha nch ya ahad

  • @ziadaalute6836
    @ziadaalute6836 5 лет назад

    Malipo niduniani,siulijifanya Dar niyakwako nanimtoto wa Magu? Heeeedd

  • @christinetimothy5805
    @christinetimothy5805 5 лет назад

    Hapo 900 itapendeza

  • @tereseamasawe8111
    @tereseamasawe8111 5 лет назад +5

    MUNGU HAYO MAKONTENAR YASIPATE WATEJA. YARUDI KWA WANAFUNZI NA WALIMU.

  • @manyweletheboss6053
    @manyweletheboss6053 5 лет назад

    Wana wanywe bia

  • @awadhikanyawana2526
    @awadhikanyawana2526 5 лет назад +7

    Kama kweli Raisi ni mtenda haki amtumbue na huyu sasa

    • @dachjunior4766
      @dachjunior4766 5 лет назад +2

      Amtumbue kwa kosa lipi ...

    • @awadhikanyawana2526
      @awadhikanyawana2526 5 лет назад

      Daniel Chijanja kwan ww hujui kwamba lengo lilikua kuibia uma kukwepa kodi ni kosa kubwa halina tofauti na ufisadi

    • @dachjunior4766
      @dachjunior4766 5 лет назад +1

      @@awadhikanyawana2526 mtasema mengi katika sakata hili mkijificha katika kichaka cha kodi kwa kuwa Mh. Rais kasema kumbe wengi wenu mna MIHEMKO ya KISIASA na CHUKI zenu BINAFSI kwa Mh. Makonda ...

    • @awadhikanyawana2526
      @awadhikanyawana2526 5 лет назад

      Daniel Chijanja hakuna mhemko apo mzee baba ashukuru tu yy ni msukuma angekua mwingne angetumbuliwa asubuhi tuu

    • @dachjunior4766
      @dachjunior4766 5 лет назад

      @@awadhikanyawana2526 umeshinda kiongozi ... simamia msimamo wako

  • @mugapablomasinde1608
    @mugapablomasinde1608 5 лет назад +11

    Ujingaaaaaaa !!Unapiga mnada vifaaa vya elimu afu elimu ni bure.Siasa uchwara .

    • @chrispinjoseph1522
      @chrispinjoseph1522 5 лет назад +1

      Mugapablo Masinde furniture za kwenye garden ni vifaa vya shule?? acha kukurupuka

    • @ziadaalute6836
      @ziadaalute6836 5 лет назад

      Mugapablo Masinde ,watajijua Na zambi zaozakula nyama zawatu,wamezurika

    • @adammwaki8753
      @adammwaki8753 5 лет назад +1

      Hata kama hujaenda shule. Matrekta Dar yanahusiano gani na walimu! Dar hatulimi hatuna mashamba.

    • @pascaltabitha3552
      @pascaltabitha3552 5 лет назад

      Adam Mwaki sijaona trekta hapo

  • @sahidiallyi4915
    @sahidiallyi4915 5 лет назад

    MP pm

  • @shukurumligo5804
    @shukurumligo5804 5 лет назад +1

    tutaona mengi mweka kuu

    • @ziadaalute6836
      @ziadaalute6836 5 лет назад

      Shukuru Mligo580 ,Nabado yatawarudi tyuu

  • @saifalrajhi5001
    @saifalrajhi5001 5 лет назад

    yetu macho. TANU oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 5 лет назад

    Mnatuzuga tu. Atayachukua mchana kweupee