MAKONDA ATINGA NGORONGORO KWEYE MAMLAKA ya HIFADHI, ATOA KAULI NZITO, APEWA RIPOTI MAALUMU,.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 май 2024

Комментарии • 20

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 23 дня назад +2

    Kwakweli Mh Makonda unaubunifu wa kiwango cha juu 🎉🎉

  • @melubokusoro5668
    @melubokusoro5668 10 дней назад

    Samia, Makonda na wote wanaohusika na mambo haya ni wezi na wanastahili kufungwa na kunyongwa!

  • @babuismail3859
    @babuismail3859 23 дня назад +1

    Najua ss kama asolingi mungu na sababu na ww na usiogope tenda pake mungu anakuongoza kuna kitu ndani ya mungu saidi najua unasaidia wasio jua haki zao ila tenda wema indoka zako mji huu sio wakudumu pale kuna aki tenda aki simamia ukweli tu na ukweli utakuweka huru

  • @sarahdeograthias9097
    @sarahdeograthias9097 23 дня назад +1

    VIVA MAKONDA VIVAAAAA

  • @StellaSamora
    @StellaSamora 23 дня назад

    Makonda ni makufuii mungu akulinde

  • @LalakwaLekinanga-cj5ke
    @LalakwaLekinanga-cj5ke 15 дней назад

    Najiulisa kwanini Mh. makonda hajaingia ndani ya ngorongoro kuonana na wanaichi wa Ngorongoro?

  • @user-ej5sl9mn5k
    @user-ej5sl9mn5k 22 дня назад

    Msema ukweli huwa hapendwi bali mungu ndio chaguo lake katupa MH MAKONDA ndio mwokozi wa walala hoi japo kuna wanaomchafua mungu atawaona2 mama hakukosea maoni yangu akitoka Arusha aje Tanga,Kuna Madudu kibao ofsi ya mipango mji ni zuruma2 uliona wapi mwekezaji anapima viwanja na kuuza ktk shamba la Amboni mwanyungu na Kihongwe wazir kaja wamemzuga tanga iogope gizagiza2

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 23 дня назад +1

    Kwa mazungumzo yake..yuko mji mdogo karatu..

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 21 день назад

    Mkuu wa mkoa ni afande au ni muheshiwiwa!

  • @babuismail3859
    @babuismail3859 23 дня назад +1

    Makondo mbona kama ww nabii real

  • @AllyMohammed-nv5sj
    @AllyMohammed-nv5sj 23 дня назад +1

    Barbara
    Mbovu
    Oiduvai
    5:11 5:12 5:34

  • @KasangaKalanga-vo6od
    @KasangaKalanga-vo6od 23 дня назад

    Muheshimiwa njoo ndani ngorongoro uone Hali halisi

  • @babuismail3859
    @babuismail3859 23 дня назад

    Msingi ukuaribika mwenye haki anafanya nini 😂

  • @rahplenyengerahplenyenge722
    @rahplenyengerahplenyenge722 23 дня назад

    Muwechimiwa Kuna na ngorongoro

  • @user-df9ue7ko3u
    @user-df9ue7ko3u 22 дня назад

    Swala la wenyeji mbona usungumzii

  • @talktruth9900
    @talktruth9900 23 дня назад

    Mmea vamizi anaelewa kweli?

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 23 дня назад

    Je Mzee Makonda Nini Ushauri Wako Na Uzuliwaji Na Manyanyaso Ya Wamasai Walioishi Na Wanyama Kwa Miaka Na Miaka????