Hata shetani azibe vipi baraka zetu, Mungu lazima atazibua.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 май 2024
  • Haijalishi kabisa mtoto wa Mungu unapitia jaribu kubwa la namna gani, na jaribu hili linakuumiza na kukutesa sana, na limekaa kwa muda mrefu kiasi gani; Leo nataka ufahamu kwa kina kwamba Mungu lazima tu atatoa mlango ili utoke. Shetani pamoja na kujitukuza juu ya watoto wa Mungu kwa muda na kutesa maisha yao na kuwafanya walie usiku na mchana; Mungu anayo tabia ya kuzibua njia zote alizoziba ibilisi ili watoto wake tutoke kwa ushindi na kwa jeuri kubwa. Isaya. 43 : 16 - 19, Kutoka. 14 : 8.

Комментарии • 4

  • @makoyelwango6048
    @makoyelwango6048 21 день назад

    👏👏👏👏

  • @makoyelwango6048
    @makoyelwango6048 21 день назад

    Amen 👏👏👏

  • @VicentSadick
    @VicentSadick 21 день назад +1

    Mbarikiwe sana watumishi waimbaji nimebarikiwa na uimbàji wenu mzurii hakika sifa na UTUKUFU ni Kwa Bwana Yesu. Kazi yenu ni njemaa mnooo......Amen!!