ELEWA SIRI YA NGUVU YA ZABURI 23 (SEH. A)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 июн 2019
  • ZABURI YA 23 INA NGUVU YA AJABU,WENGI WAMEKARIRI TU BILA KUJUA SIRI YAKE,FWATILIWA SOMO HILI UTAMBUE.

Комментарии • 202

  • @evamugusi3362
    @evamugusi3362 Год назад +2

    Nimetumia hii Zaburi 23 kwakuikariri kabla ya kufanya mitihani yangu,,,,na nikiwa naendelea kufanya mitihani endapo sikumbuki nilichosoma nilikuwa nairudia kuukariri hata Mara 3 Kisha na mwambia Mungu "ahsante kwa kunikumbusha Mungu" kiukweli hivi navyoongea nimefaulu Mitihani yangu vizuri kabisaa,,,
    Ahsante pastor kwakutufundisha namna ya kuyajua na kuyatumia maandiko katika maisha yetu

  • @christinakitomari7702
    @christinakitomari7702 5 лет назад +8

    Huu ujumbe ni wangu na nimefunguliwa ktk Jina LA Yesu

  • @julianaharrison4356
    @julianaharrison4356 Год назад +1

    Imekuwa zaburi miaka hii yote kwenye magumu yangu na marahisi yangu nimemuona Mungu sana

  • @maseaJoe8676
    @maseaJoe8676 4 месяца назад +1

    It's four years ago but it has got me right, I really appreciate thank You Lord Amen Amen Amen 🙌

  • @elizamasatu4784
    @elizamasatu4784 4 года назад +4

    Hili SoMo limeguza maisha yangu kabisa ya miezi Saba iliyopita. Nilipitia changamoto hizi hizi lakini yesu aliniokoa. Asante pastor kwa SoMo hili zuri limegusa maisha yangu halisi.

  • @makindyakenani2535
    @makindyakenani2535 4 года назад +5

    MUNGU anampango na mimi kwa lolote lile. Amen

  • @roseindekhwa7637
    @roseindekhwa7637 5 лет назад +10

    Amina mm sio msabato ila napenda sana mafundisho ya baba naamin siku moja nitafika ibadani nipo kenya

    • @angel-y
      @angel-y 5 лет назад

      Hi, Pastor will be in Kenya-Nairobi for a camp meeting during the 2nd week of August.

    • @felixsigns1001
      @felixsigns1001 4 года назад

      Karibu sana

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 3 года назад +2

    Amina sana pastor ubarikiwe nabarikiwa sana naposikiliza mahubiri mazuri unazidi kuniimarisha kimani🙏💗

  • @paschalpaul1221
    @paschalpaul1221 5 лет назад +11

    sio wa wasabato tu ni wetu sote ndugu kwani bible si inasema sisi sote ni mwili wa Kristo ubarikiwe pastor

  • @eddahnyongesa9819
    @eddahnyongesa9819 5 лет назад +11

    Hili somo hakika linahusu baba yangu kabisa God bless you so much pst

  • @anthonylaban713
    @anthonylaban713 5 лет назад +4

    I am not a Sabbath but truly this man of is so much inspired to me and every who gets time watching his videos.
    Mungu akubariki sana mch. Mbaga. Najifunza sana sana kupitia ukombozi ibada usihubirizo.

    • @melissateddybearcossan9506
      @melissateddybearcossan9506 4 года назад +1

      Habagui ndo maana Anabariki watu ,Yeye anahubiri tu bila kusema sabato kila siku maana wengine utakuta wanahubiri siku tu

    • @nelsonsalumu3064
      @nelsonsalumu3064 2 года назад

      Mimi pia najifunza mengi Kwake,Mimi nazani tu ni mlokole aliye zaliwa SDA😀

  • @user-fu7ep9tr1b
    @user-fu7ep9tr1b 4 месяца назад

    Asante yesu kwa upendo

  • @tinawile7310
    @tinawile7310 Год назад

    Amina Mungu ana jembe lake la kipare hapa

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 3 года назад +3

    GOD bless you pastor ,am Soo blessed with ur sermon nimesonga atua kumbwa tangu nianze kusikiliza mahubiri yko, God bless u with more sermons

  • @magretmush7646
    @magretmush7646 5 месяцев назад

    Nashukuru meelimika mengi kutoka mahu biri ya mtumishi wa mungu mmbaga

  • @jamesmussa3194
    @jamesmussa3194 4 года назад +2

    Baba andiko na mahubir yako yananibarik kwa viwango vikubwa sana na MUNGU azid kkupa njia

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 3 года назад +1

    AMEN🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞hakika wema na fadhili zake bwana zitanifuata milele;.na sitaogopa nipitapo katika magumu;hila nitazidi kukiri kwa imani mungu atasimama nami daima🙏🙏🙏barikiwa sana mtumishi wa mungu;mungu na akuzidishie daima.asante kwa maombj yako pia inanibarikinkika siku🙏🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞

  • @emanuelymittango3741
    @emanuelymittango3741 Год назад

    Amina ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @lucynyigana2801
    @lucynyigana2801 4 месяца назад

    Aminaaaa barikiwa mtu wa MUNGU

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb 6 месяцев назад

    Amen bwana akubariki mtumshi

  • @barakajoseph1816
    @barakajoseph1816 4 года назад +4

    Mungu aendelee kukutumia Pr

  • @tonnsimbasportsclub7168
    @tonnsimbasportsclub7168 5 лет назад +48

    ***Wasabato mmependelewa kuwa na huyu MTU***

    • @ruthsamhenda5254
      @ruthsamhenda5254 5 лет назад +2

      Amina, Karibu ubarikiwe pia

    • @janethdeus2127
      @janethdeus2127 5 лет назад +4

      Karibu ujiunge na kundi hili. Mungu akubarik🙏

    • @kingjosse4781
      @kingjosse4781 5 лет назад +2

      Amenn🙏

    • @magrethmkira6250
      @magrethmkira6250 5 лет назад +4

      Mungu azidi kumuinua kwajili ya utukufu wake kwa jina la YESU
      Karibu ubarikiwe pia

    • @eliakanyika8443
      @eliakanyika8443 4 года назад +3

      Amina Siyo huyu2 vipaji vya kuhuburi kwa wasabato kwa mtu kama paster mbaga ni wengi mno!

  • @edithmunuve7733
    @edithmunuve7733 4 года назад +2

    Nahisi uzito wa mafuta, Bwana akubariki mtumishi.

  • @claudinebatamuriza7804
    @claudinebatamuriza7804 5 лет назад +5

    Nimekuwa wa kwanza Mungu akumbaliki pastor

  • @kizazigashane5960
    @kizazigashane5960 4 года назад +1

    Amina ndugu katika kristo Yesu

  • @mkubwahasani4916
    @mkubwahasani4916 Год назад

    Amina Mungu akubariki mwalim

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka855 5 лет назад +8

    Hii video sauti imetoka vzuri kuliko ile ya mwanzo hongera pastor bwana akupe rehema nyingi

    • @hadijahamis2795
      @hadijahamis2795 3 года назад

      Napenda mafundisho yako yananitia moyo sana Mungu akubaliki sana

  • @marthajepkogei5845
    @marthajepkogei5845 Год назад

    Hili mafundisho limenipata siku ya Jana lakini mungu ni mwema Kila saa na Kila siku.asante mungu Kwa kuanda ibada kupitia pst.mbaga.barikiwa Kwa Jina la Jesus

  • @davidkilajaga8842
    @davidkilajaga8842 4 дня назад

    Hii ime kaa vizuri 👌👍🙏

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 3 года назад

    Mtumishi hakika mkono wa MUNGU ujuu yako unafundisha hata kama ajielewi una haza jielewa toka niaze kukusikiza unduma yako sijawai jutia bali ubarikiwa na kujegewa kitu kipya dani yangu MUNGU azidi kukupa ekima na baraka daima 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 9 месяцев назад

    Mungu ni mkuu amenitendea makuu

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 5 лет назад +4

    Nimebarikiwa na neno mchungaji, dadangu Yuko katika Mapito ya madeni namuimbea mungu asimuache kamwe.ubarikiwe pastor

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 4 года назад

    Amen hakika wema nazo fadhili yanifuata siku zote za maisha yangu Mungu akubariki sana pr

  • @sikanastima8754
    @sikanastima8754 4 года назад +2

    Mwenyez Mungu akujalie miaka Ming ya neema.

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 4 года назад +1

    Pastor nimekuelewa ubarikiwe nami nimeptia maisha haya unayoyahubr ubarikiwe Sana niombe nami niwe mhubr

  • @sheilaombongi8086
    @sheilaombongi8086 4 года назад +1

    Alleluiah asante kwakutuinua kirhoo mungu akutiye nguvu usichoke aminaa

  • @rachelthomas8382
    @rachelthomas8382 4 года назад +2

    Imenitia Nguvu tele Pr. Barikiwa sana

  • @lydianyachama2286
    @lydianyachama2286 11 месяцев назад

    Nimebarikiwa sana hili somo,, ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU 🙏🏻

  • @bettygesare5948
    @bettygesare5948 Год назад +1

    I really use that verse as my security all times and very thing is ok thanks for the sermon God bless you

  • @danielbabu2707
    @danielbabu2707 4 года назад +3

    Mungu akuongoze kwa hayo mafunzo mazuri √√√

    • @stellandossy8107
      @stellandossy8107 3 года назад

      Nimesikiliza hii nikatamami kupiga ukunga nikujikuta kumbe Niko kwenye gari, duu kwel mungu kanisrma,

  • @ovidiokibuga1086
    @ovidiokibuga1086 5 лет назад +2

    Mungu akubariki sana,umenikuna penyewe!Mungu hututendea mema siku zote

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 5 лет назад +7

    Ubarikiwe mchungaji somo zuri.Naomba unikumbuke ktk maombi niingie ktk ufalme wa Mungu.

    • @callennyacnchama1860
      @callennyacnchama1860 5 лет назад

      Pastor naomba uniombee kijana wangu wa kiume tumbo inawaka moto karibu miezi tatu amejaribu kuenda hospital amepewa madawa amejaribu kunywa imekataa Niko America kijana ako nyumbani Kenya majina ya kijana ni Geoffrey mongare kinyosi,Mimi ninaye kukuandikia mama yake kutoka America napenda kufuatiria mahubiri yako pastor.

  • @LeathKahesi-qq1po
    @LeathKahesi-qq1po 3 месяца назад

    Mungu akutunze

  • @godfreywilliam993
    @godfreywilliam993 5 лет назад +1

    Namuombea shangaz yang mke wa mjomba ambae n mama yang kpenz Mungu amsmamie katk maden yake kpteia somo hili amina

  • @michaelezekielroswe9517
    @michaelezekielroswe9517 Год назад

    Siku moja nitatoa ushuhuda juu ya hili somo, Mungu atuweke hai

  • @tikeydavid5989
    @tikeydavid5989 4 года назад +1

    Nabarikiwa sana

  • @augustinemnzava8056
    @augustinemnzava8056 2 года назад

    Barikiwa sana Mchungaji

  • @hajimajaliwa6452
    @hajimajaliwa6452 3 года назад

    Asante mtumishi hata Mimi niliwahi kuota nasoma zaburi,asante kwa mafundisho mazuri

  • @shimwekagwiza2300
    @shimwekagwiza2300 5 лет назад +2

    Amina, nimebarikiwa kwa zaburi 23

  • @joykapaya1970
    @joykapaya1970 3 года назад

    Aminaa.

  • @lilianmalibwa936
    @lilianmalibwa936 2 года назад

    Huwa nafarijika Sana ninaposikiliza mahubiri haya.Zawadi kubwa ya kukupatia nakuombea Kwa Mungu siku Moja ukairithi nchi ya aHadi.Endelea kubarikiwa katika utumishi wa bwana maana ni heri kufariji kuliko kuhukumu.

  • @josephinemwita8883
    @josephinemwita8883 2 года назад

    Asante mchungaji kwa maombi

  • @rosemwangome8996
    @rosemwangome8996 3 года назад

    Barikiwa mtumishi wa mungu kwa mahubiri ya kuinua na kutia nguvu yanani bariki sana

  • @fgbeatricegg145
    @fgbeatricegg145 5 лет назад +1

    Mungu akukumbuke katika ufalme wake

  • @cassianndimbo7297
    @cassianndimbo7297 5 лет назад +2

    Nilitaka Lile somo la nguvu Za mungu kipindi yupo bungeni nitumie Kama lipo Kama unalo

  • @irenejoseph5925
    @irenejoseph5925 2 года назад

    Mungu anisaidie mimi asikie haja za moyo wangu

  • @nickfranck5004
    @nickfranck5004 5 лет назад +1

    Barikiwa sana mjoli wa BABA kwa somo zuri

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 Год назад

    Amen.ubarikiwe pastor Mbaga

  • @neemadaud234
    @neemadaud234 5 лет назад +2

    Nalianalia na mahubiri haya maana ndio yamekuwa kama maisha yangu Eeee MUNGU wangu nipiganie mdhambi mm

  • @anithakeza701
    @anithakeza701 4 года назад

    Asante baba mcungaji mimi naishi Burundi napenda sana mafundisho yako

  • @ibrahimisack7788
    @ibrahimisack7788 5 лет назад +1

    Amina mchungaji hubiri limenibariki hasa.

  • @hildajohn4526
    @hildajohn4526 4 года назад +1

    Duh nimebarikiwa sana na hili neno

  • @magnifiquentkrtmna320
    @magnifiquentkrtmna320 5 лет назад +1

    Amen wewe ubarikiwe,sijaona wa sabato wana hubiri ivyo. Mi ni murundi ila nikikusiklisa na erewa

  • @LeathKahesi-qq1po
    @LeathKahesi-qq1po 3 месяца назад

    Nimepata upendeleo Leo asante zaburi ya 23

  • @furahajoy3168
    @furahajoy3168 4 года назад

    Nashukuru sana kutuimarisha tena Mungu awazidishiye

  • @alisaalisa4400
    @alisaalisa4400 3 года назад +1

    Nakusoma nikiwa saudi arebia

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 Год назад

    Amen soo powerful courageous ND inspiring message God bless you pastor am soo blessed

  • @shideashidea5570
    @shideashidea5570 5 лет назад

    Nimebarikiwa Na somo hili Amina Amina!

  • @lennybaabrah6752
    @lennybaabrah6752 4 года назад

    Amen ubarikiwe pia

  • @hondenisonmagufulinyabaro3923
    @hondenisonmagufulinyabaro3923 5 лет назад +3

    Be blessed PR David

  • @jameskenny1808
    @jameskenny1808 5 лет назад +3

    MCHUNGAJI NA KUOMBA ULICHUNGE KUNDI HILI WALA KANISA HILI,SABABU LINA MPENDEZA MUNGU ,WALA HERENI NA VISUKO VISIONEKANAKE NDANI YAO,WALA VIPONDOZI HILO NI CHUKIZO KWA BWANAMUNGU WETU MWENYE UWEZO NA NGUVU .KAZA BUTI YESU ANA RUDI.

    • @melissateddybearcossan9506
      @melissateddybearcossan9506 4 года назад

      Nawe ukumbuke kulichunga lile kundi pale tumekuachia nisisikie visuko wala dawa ya nywele wala heleni linapendeza ,Barikiwa ukibariki wengine nawe ubarikiwe .Mama Melissa

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Месяц назад

    Aminah

  • @benedictmwamburi7850
    @benedictmwamburi7850 2 года назад

    Ubarikuwe mchungaji Kuna mahali umanifungua macho....kutoka kenya

  • @JosephineKengaa
    @JosephineKengaa 22 дня назад

    Ameen

  • @gladysiminza7782
    @gladysiminza7782 5 лет назад +4

    Glory to God

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 4 года назад

    Amina nime simamia katika kitabu cha Zaburi23:1-6

  • @aminamuhina9575
    @aminamuhina9575 2 года назад

    Mungu awe nawe unanibariki

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 5 лет назад +1

    Safi Kabisa Barikiwa

  • @mariasolomoni3884
    @mariasolomoni3884 5 лет назад +2

    Hallelujah

  • @esthersimuli9952
    @esthersimuli9952 2 года назад

    Bwana ndiye muchungaji mwema sitapungukiwa na kitu amina

    • @esthersimuli9952
      @esthersimuli9952 2 года назад

      Wema na fadhilli zitanifuata siku sote za maisha yangu

  • @biblianabibliapekee8113
    @biblianabibliapekee8113 5 лет назад +2

    Ameni 💖💖💖💖💝💝💝💝💝💝💝💝💝💝💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💝💝💝💝💝💝💝💝

  • @alexmushi9416
    @alexmushi9416 3 года назад

    Mpareeeee ufupi una faida zake Nmependa ujumbe Babaaaaaa!

  • @unclejonah7350
    @unclejonah7350 3 года назад

    I this is good pastor amen 🙏

  • @rispernyakundi7919
    @rispernyakundi7919 2 года назад

    Nimebarikiwa mno Pastor

  • @amidasinzoyiheba4716
    @amidasinzoyiheba4716 2 года назад +1

    Amen 🙏 🙏

  • @marthakinya6424
    @marthakinya6424 4 года назад +1

    Nikweli mshungaji mungu alinipitishia gonjwa ,nilikuwa nimefikamwisho lakini mungu alinipigania

  • @naomykenyera1814
    @naomykenyera1814 3 года назад

    Yaani nilikuwa Mungu akubariki natamani sikumoja nikuone live

  • @joycewanjiru4160
    @joycewanjiru4160 Год назад

    Amen, very powerful 💪🙏🙏🙏

  • @priscalmichael8579
    @priscalmichael8579 5 лет назад +2

    Mungu akupe maisha marefu ubarikiwe naomba namba yako ninahitaji kuongea nawe

  • @anna19805974
    @anna19805974 4 месяца назад

    AMEN

  • @dorcasrhobi8211
    @dorcasrhobi8211 Год назад

    Amen

  • @josephmahuma8930
    @josephmahuma8930 4 года назад

    Bwana ambariki mchungaji mbaga

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 2 года назад

    Amina

  • @mwajumakitoro8582
    @mwajumakitoro8582 5 лет назад +1

    Umenifariji sana

  • @amossamwel2266
    @amossamwel2266 5 лет назад +1

    aminaaa

  • @mashaelieazer6120
    @mashaelieazer6120 4 года назад +1

    Pasta unanibariki sana

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 3 года назад

    Aminaaa sana

  • @hellenkhaoya8502
    @hellenkhaoya8502 Год назад

    Amen to lord 🙏

  • @ludowvickfedha4556
    @ludowvickfedha4556 6 месяцев назад

    Thanks

  • @Martin-uq2kv
    @Martin-uq2kv 3 года назад

    Amazing