Nimetumia hii Zaburi 23 kwakuikariri kabla ya kufanya mitihani yangu,,,,na nikiwa naendelea kufanya mitihani endapo sikumbuki nilichosoma nilikuwa nairudia kuukariri hata Mara 3 Kisha na mwambia Mungu "ahsante kwa kunikumbusha Mungu" kiukweli hivi navyoongea nimefaulu Mitihani yangu vizuri kabisaa,,, Ahsante pastor kwakutufundisha namna ya kuyajua na kuyatumia maandiko katika maisha yetu
Hili SoMo limeguza maisha yangu kabisa ya miezi Saba iliyopita. Nilipitia changamoto hizi hizi lakini yesu aliniokoa. Asante pastor kwa SoMo hili zuri limegusa maisha yangu halisi.
I am not a Sabbath but truly this man of is so much inspired to me and every who gets time watching his videos. Mungu akubariki sana mch. Mbaga. Najifunza sana sana kupitia ukombozi ibada usihubirizo.
AMEN🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞hakika wema na fadhili zake bwana zitanifuata milele;.na sitaogopa nipitapo katika magumu;hila nitazidi kukiri kwa imani mungu atasimama nami daima🙏🙏🙏barikiwa sana mtumishi wa mungu;mungu na akuzidishie daima.asante kwa maombj yako pia inanibarikinkika siku🙏🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞
Hili mafundisho limenipata siku ya Jana lakini mungu ni mwema Kila saa na Kila siku.asante mungu Kwa kuanda ibada kupitia pst.mbaga.barikiwa Kwa Jina la Jesus
Mtumishi hakika mkono wa MUNGU ujuu yako unafundisha hata kama ajielewi una haza jielewa toka niaze kukusikiza unduma yako sijawai jutia bali ubarikiwa na kujegewa kitu kipya dani yangu MUNGU azidi kukupa ekima na baraka daima 🙏🙏🙏🙏🙏
Pastor naomba uniombee kijana wangu wa kiume tumbo inawaka moto karibu miezi tatu amejaribu kuenda hospital amepewa madawa amejaribu kunywa imekataa Niko America kijana ako nyumbani Kenya majina ya kijana ni Geoffrey mongare kinyosi,Mimi ninaye kukuandikia mama yake kutoka America napenda kufuatiria mahubiri yako pastor.
Huwa nafarijika Sana ninaposikiliza mahubiri haya.Zawadi kubwa ya kukupatia nakuombea Kwa Mungu siku Moja ukairithi nchi ya aHadi.Endelea kubarikiwa katika utumishi wa bwana maana ni heri kufariji kuliko kuhukumu.
MCHUNGAJI NA KUOMBA ULICHUNGE KUNDI HILI WALA KANISA HILI,SABABU LINA MPENDEZA MUNGU ,WALA HERENI NA VISUKO VISIONEKANAKE NDANI YAO,WALA VIPONDOZI HILO NI CHUKIZO KWA BWANAMUNGU WETU MWENYE UWEZO NA NGUVU .KAZA BUTI YESU ANA RUDI.
Nawe ukumbuke kulichunga lile kundi pale tumekuachia nisisikie visuko wala dawa ya nywele wala heleni linapendeza ,Barikiwa ukibariki wengine nawe ubarikiwe .Mama Melissa
Nimetumia hii Zaburi 23 kwakuikariri kabla ya kufanya mitihani yangu,,,,na nikiwa naendelea kufanya mitihani endapo sikumbuki nilichosoma nilikuwa nairudia kuukariri hata Mara 3 Kisha na mwambia Mungu "ahsante kwa kunikumbusha Mungu" kiukweli hivi navyoongea nimefaulu Mitihani yangu vizuri kabisaa,,,
Ahsante pastor kwakutufundisha namna ya kuyajua na kuyatumia maandiko katika maisha yetu
Huu ujumbe ni wangu na nimefunguliwa ktk Jina LA Yesu
Imekuwa zaburi miaka hii yote kwenye magumu yangu na marahisi yangu nimemuona Mungu sana
It's four years ago but it has got me right, I really appreciate thank You Lord Amen Amen Amen 🙌
Hili SoMo limeguza maisha yangu kabisa ya miezi Saba iliyopita. Nilipitia changamoto hizi hizi lakini yesu aliniokoa. Asante pastor kwa SoMo hili zuri limegusa maisha yangu halisi.
Makambi kigoma mjini
MUNGU anampango na mimi kwa lolote lile. Amen
Amina mm sio msabato ila napenda sana mafundisho ya baba naamin siku moja nitafika ibadani nipo kenya
Hi, Pastor will be in Kenya-Nairobi for a camp meeting during the 2nd week of August.
Karibu sana
Amina sana pastor ubarikiwe nabarikiwa sana naposikiliza mahubiri mazuri unazidi kuniimarisha kimani🙏💗
sio wa wasabato tu ni wetu sote ndugu kwani bible si inasema sisi sote ni mwili wa Kristo ubarikiwe pastor
Amen
Hili somo hakika linahusu baba yangu kabisa God bless you so much pst
Eddah Nyongesa dah natani ninge kuwepo anaongea kwaumakinisana mungu Amubilikisana
I am not a Sabbath but truly this man of is so much inspired to me and every who gets time watching his videos.
Mungu akubariki sana mch. Mbaga. Najifunza sana sana kupitia ukombozi ibada usihubirizo.
Habagui ndo maana Anabariki watu ,Yeye anahubiri tu bila kusema sabato kila siku maana wengine utakuta wanahubiri siku tu
Mimi pia najifunza mengi Kwake,Mimi nazani tu ni mlokole aliye zaliwa SDA😀
Asante yesu kwa upendo
Amina Mungu ana jembe lake la kipare hapa
GOD bless you pastor ,am Soo blessed with ur sermon nimesonga atua kumbwa tangu nianze kusikiliza mahubiri yko, God bless u with more sermons
Amen
Nashukuru meelimika mengi kutoka mahu biri ya mtumishi wa mungu mmbaga
Baba andiko na mahubir yako yananibarik kwa viwango vikubwa sana na MUNGU azid kkupa njia
AMEN🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞hakika wema na fadhili zake bwana zitanifuata milele;.na sitaogopa nipitapo katika magumu;hila nitazidi kukiri kwa imani mungu atasimama nami daima🙏🙏🙏barikiwa sana mtumishi wa mungu;mungu na akuzidishie daima.asante kwa maombj yako pia inanibarikinkika siku🙏🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞
Amina ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Aminaaaa barikiwa mtu wa MUNGU
Amen bwana akubariki mtumshi
Mungu aendelee kukutumia Pr
***Wasabato mmependelewa kuwa na huyu MTU***
Amina, Karibu ubarikiwe pia
Karibu ujiunge na kundi hili. Mungu akubarik🙏
Amenn🙏
Mungu azidi kumuinua kwajili ya utukufu wake kwa jina la YESU
Karibu ubarikiwe pia
Amina Siyo huyu2 vipaji vya kuhuburi kwa wasabato kwa mtu kama paster mbaga ni wengi mno!
Nahisi uzito wa mafuta, Bwana akubariki mtumishi.
Nimekuwa wa kwanza Mungu akumbaliki pastor
Amina ndugu katika kristo Yesu
Amina Mungu akubariki mwalim
Hii video sauti imetoka vzuri kuliko ile ya mwanzo hongera pastor bwana akupe rehema nyingi
Napenda mafundisho yako yananitia moyo sana Mungu akubaliki sana
Hili mafundisho limenipata siku ya Jana lakini mungu ni mwema Kila saa na Kila siku.asante mungu Kwa kuanda ibada kupitia pst.mbaga.barikiwa Kwa Jina la Jesus
Hii ime kaa vizuri 👌👍🙏
Mtumishi hakika mkono wa MUNGU ujuu yako unafundisha hata kama ajielewi una haza jielewa toka niaze kukusikiza unduma yako sijawai jutia bali ubarikiwa na kujegewa kitu kipya dani yangu MUNGU azidi kukupa ekima na baraka daima 🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu ni mkuu amenitendea makuu
Nimebarikiwa na neno mchungaji, dadangu Yuko katika Mapito ya madeni namuimbea mungu asimuache kamwe.ubarikiwe pastor
Amen hakika wema nazo fadhili yanifuata siku zote za maisha yangu Mungu akubariki sana pr
Mwenyez Mungu akujalie miaka Ming ya neema.
Pastor nimekuelewa ubarikiwe nami nimeptia maisha haya unayoyahubr ubarikiwe Sana niombe nami niwe mhubr
Alleluiah asante kwakutuinua kirhoo mungu akutiye nguvu usichoke aminaa
Imenitia Nguvu tele Pr. Barikiwa sana
Nimebarikiwa sana hili somo,, ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU 🙏🏻
I really use that verse as my security all times and very thing is ok thanks for the sermon God bless you
Mungu akuongoze kwa hayo mafunzo mazuri √√√
Nimesikiliza hii nikatamami kupiga ukunga nikujikuta kumbe Niko kwenye gari, duu kwel mungu kanisrma,
Mungu akubariki sana,umenikuna penyewe!Mungu hututendea mema siku zote
Ubarikiwe mchungaji somo zuri.Naomba unikumbuke ktk maombi niingie ktk ufalme wa Mungu.
Pastor naomba uniombee kijana wangu wa kiume tumbo inawaka moto karibu miezi tatu amejaribu kuenda hospital amepewa madawa amejaribu kunywa imekataa Niko America kijana ako nyumbani Kenya majina ya kijana ni Geoffrey mongare kinyosi,Mimi ninaye kukuandikia mama yake kutoka America napenda kufuatiria mahubiri yako pastor.
Mungu akutunze
Namuombea shangaz yang mke wa mjomba ambae n mama yang kpenz Mungu amsmamie katk maden yake kpteia somo hili amina
Siku moja nitatoa ushuhuda juu ya hili somo, Mungu atuweke hai
Nabarikiwa sana
Barikiwa sana Mchungaji
Asante mtumishi hata Mimi niliwahi kuota nasoma zaburi,asante kwa mafundisho mazuri
Amina, nimebarikiwa kwa zaburi 23
Aminaa.
Huwa nafarijika Sana ninaposikiliza mahubiri haya.Zawadi kubwa ya kukupatia nakuombea Kwa Mungu siku Moja ukairithi nchi ya aHadi.Endelea kubarikiwa katika utumishi wa bwana maana ni heri kufariji kuliko kuhukumu.
Asante mchungaji kwa maombi
Barikiwa mtumishi wa mungu kwa mahubiri ya kuinua na kutia nguvu yanani bariki sana
Mungu akukumbuke katika ufalme wake
Nilitaka Lile somo la nguvu Za mungu kipindi yupo bungeni nitumie Kama lipo Kama unalo
Mungu anisaidie mimi asikie haja za moyo wangu
Barikiwa sana mjoli wa BABA kwa somo zuri
Amen.ubarikiwe pastor Mbaga
Nalianalia na mahubiri haya maana ndio yamekuwa kama maisha yangu Eeee MUNGU wangu nipiganie mdhambi mm
Asante baba mcungaji mimi naishi Burundi napenda sana mafundisho yako
Amina mchungaji hubiri limenibariki hasa.
Duh nimebarikiwa sana na hili neno
Amen wewe ubarikiwe,sijaona wa sabato wana hubiri ivyo. Mi ni murundi ila nikikusiklisa na erewa
Habagui ndo maana na Hafundishi mambo ya siku,anafundisha Neno la kuokoa
Nimepata upendeleo Leo asante zaburi ya 23
Nashukuru sana kutuimarisha tena Mungu awazidishiye
Nakusoma nikiwa saudi arebia
Amen soo powerful courageous ND inspiring message God bless you pastor am soo blessed
Nimebarikiwa Na somo hili Amina Amina!
Amen ubarikiwe pia
Be blessed PR David
MCHUNGAJI NA KUOMBA ULICHUNGE KUNDI HILI WALA KANISA HILI,SABABU LINA MPENDEZA MUNGU ,WALA HERENI NA VISUKO VISIONEKANAKE NDANI YAO,WALA VIPONDOZI HILO NI CHUKIZO KWA BWANAMUNGU WETU MWENYE UWEZO NA NGUVU .KAZA BUTI YESU ANA RUDI.
Nawe ukumbuke kulichunga lile kundi pale tumekuachia nisisikie visuko wala dawa ya nywele wala heleni linapendeza ,Barikiwa ukibariki wengine nawe ubarikiwe .Mama Melissa
Aminah
Ubarikuwe mchungaji Kuna mahali umanifungua macho....kutoka kenya
Ameen
Glory to God
Amina nime simamia katika kitabu cha Zaburi23:1-6
Mungu awe nawe unanibariki
Safi Kabisa Barikiwa
Hallelujah
Bwana ndiye muchungaji mwema sitapungukiwa na kitu amina
Wema na fadhilli zitanifuata siku sote za maisha yangu
Ameni 💖💖💖💖💝💝💝💝💝💝💝💝💝💝💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💝💝💝💝💝💝💝💝
Mpareeeee ufupi una faida zake Nmependa ujumbe Babaaaaaa!
I this is good pastor amen 🙏
Nimebarikiwa mno Pastor
Amen 🙏 🙏
Nikweli mshungaji mungu alinipitishia gonjwa ,nilikuwa nimefikamwisho lakini mungu alinipigania
Yaani nilikuwa Mungu akubariki natamani sikumoja nikuone live
Amen, very powerful 💪🙏🙏🙏
Mungu akupe maisha marefu ubarikiwe naomba namba yako ninahitaji kuongea nawe
AMEN
Amen
Bwana ambariki mchungaji mbaga
Amina
Umenifariji sana
aminaaa
Pasta unanibariki sana
Aminaaa sana
Amen to lord 🙏
Thanks
Amazing