ELEWA SIRI YA NGUVU YA ZABURI 23 (SEH. A)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 июн 2019
  • ZABURI YA 23 INA NGUVU YA AJABU,WENGI WAMEKARIRI TU BILA KUJUA SIRI YAKE,FWATILIWA SOMO HILI UTAMBUE.

Комментарии • 201

  • @evamugusi3362
    @evamugusi3362 Год назад +2

    Nimetumia hii Zaburi 23 kwakuikariri kabla ya kufanya mitihani yangu,,,,na nikiwa naendelea kufanya mitihani endapo sikumbuki nilichosoma nilikuwa nairudia kuukariri hata Mara 3 Kisha na mwambia Mungu "ahsante kwa kunikumbusha Mungu" kiukweli hivi navyoongea nimefaulu Mitihani yangu vizuri kabisaa,,,
    Ahsante pastor kwakutufundisha namna ya kuyajua na kuyatumia maandiko katika maisha yetu

  • @christinakitomari7702
    @christinakitomari7702 5 лет назад +8

    Huu ujumbe ni wangu na nimefunguliwa ktk Jina LA Yesu

  • @elizamasatu4784
    @elizamasatu4784 4 года назад +4

    Hili SoMo limeguza maisha yangu kabisa ya miezi Saba iliyopita. Nilipitia changamoto hizi hizi lakini yesu aliniokoa. Asante pastor kwa SoMo hili zuri limegusa maisha yangu halisi.

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 3 года назад +2

    Amina sana pastor ubarikiwe nabarikiwa sana naposikiliza mahubiri mazuri unazidi kuniimarisha kimani🙏💗

  • @maseaJoe8676
    @maseaJoe8676 3 месяца назад +1

    It's four years ago but it has got me right, I really appreciate thank You Lord Amen Amen Amen 🙌

  • @eddahnyongesa9819
    @eddahnyongesa9819 5 лет назад +11

    Hili somo hakika linahusu baba yangu kabisa God bless you so much pst

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 3 года назад +3

    GOD bless you pastor ,am Soo blessed with ur sermon nimesonga atua kumbwa tangu nianze kusikiliza mahubiri yko, God bless u with more sermons

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 3 года назад +1

    AMEN🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞hakika wema na fadhili zake bwana zitanifuata milele;.na sitaogopa nipitapo katika magumu;hila nitazidi kukiri kwa imani mungu atasimama nami daima🙏🙏🙏barikiwa sana mtumishi wa mungu;mungu na akuzidishie daima.asante kwa maombj yako pia inanibarikinkika siku🙏🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞

  • @anthonylaban713
    @anthonylaban713 5 лет назад +4

    I am not a Sabbath but truly this man of is so much inspired to me and every who gets time watching his videos.
    Mungu akubariki sana mch. Mbaga. Najifunza sana sana kupitia ukombozi ibada usihubirizo.

    • @melissateddybearcossan9506
      @melissateddybearcossan9506 4 года назад +1

      Habagui ndo maana Anabariki watu ,Yeye anahubiri tu bila kusema sabato kila siku maana wengine utakuta wanahubiri siku tu

    • @nelsonsalumu3064
      @nelsonsalumu3064 2 года назад

      Mimi pia najifunza mengi Kwake,Mimi nazani tu ni mlokole aliye zaliwa SDA😀

  • @roseindekhwa7637
    @roseindekhwa7637 5 лет назад +10

    Amina mm sio msabato ila napenda sana mafundisho ya baba naamin siku moja nitafika ibadani nipo kenya

    • @angel-y
      @angel-y 5 лет назад

      Hi, Pastor will be in Kenya-Nairobi for a camp meeting during the 2nd week of August.

    • @felixsigns1001
      @felixsigns1001 4 года назад

      Karibu sana

  • @emanuelymittango3741
    @emanuelymittango3741 Год назад

    Amina ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @julianaharrison4356
    @julianaharrison4356 Год назад +1

    Imekuwa zaburi miaka hii yote kwenye magumu yangu na marahisi yangu nimemuona Mungu sana

  • @paschalpaul1221
    @paschalpaul1221 5 лет назад +11

    sio wa wasabato tu ni wetu sote ndugu kwani bible si inasema sisi sote ni mwili wa Kristo ubarikiwe pastor

  • @tonnsimbasportsclub7168
    @tonnsimbasportsclub7168 5 лет назад +48

    ***Wasabato mmependelewa kuwa na huyu MTU***

    • @ruthsamhenda5254
      @ruthsamhenda5254 5 лет назад +2

      Amina, Karibu ubarikiwe pia

    • @janethdeus2127
      @janethdeus2127 5 лет назад +4

      Karibu ujiunge na kundi hili. Mungu akubarik🙏

    • @kingjosse4781
      @kingjosse4781 5 лет назад +2

      Amenn🙏

    • @magrethmkira6250
      @magrethmkira6250 4 года назад +4

      Mungu azidi kumuinua kwajili ya utukufu wake kwa jina la YESU
      Karibu ubarikiwe pia

    • @eliakanyika8443
      @eliakanyika8443 4 года назад +3

      Amina Siyo huyu2 vipaji vya kuhuburi kwa wasabato kwa mtu kama paster mbaga ni wengi mno!

  • @bettygesare5948
    @bettygesare5948 Год назад +1

    I really use that verse as my security all times and very thing is ok thanks for the sermon God bless you

  • @barakajoseph1816
    @barakajoseph1816 4 года назад +4

    Mungu aendelee kukutumia Pr

  • @ovidiokibuga1086
    @ovidiokibuga1086 5 лет назад +2

    Mungu akubariki sana,umenikuna penyewe!Mungu hututendea mema siku zote

  • @sheilaombongi8086
    @sheilaombongi8086 4 года назад +1

    Alleluiah asante kwakutuinua kirhoo mungu akutiye nguvu usichoke aminaa

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb 6 месяцев назад

    Amen bwana akubariki mtumshi

  • @sikanastima8754
    @sikanastima8754 4 года назад +2

    Mwenyez Mungu akujalie miaka Ming ya neema.

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 4 года назад

    Amen hakika wema nazo fadhili yanifuata siku zote za maisha yangu Mungu akubariki sana pr

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka855 5 лет назад +8

    Hii video sauti imetoka vzuri kuliko ile ya mwanzo hongera pastor bwana akupe rehema nyingi

    • @hadijahamis2795
      @hadijahamis2795 3 года назад

      Napenda mafundisho yako yananitia moyo sana Mungu akubaliki sana

  • @mkubwahasani4916
    @mkubwahasani4916 Год назад

    Amina Mungu akubariki mwalim

  • @lydianyachama2286
    @lydianyachama2286 11 месяцев назад

    Nimebarikiwa sana hili somo,, ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU 🙏🏻

  • @makindyakenani2535
    @makindyakenani2535 4 года назад +5

    MUNGU anampango na mimi kwa lolote lile. Amen

  • @user-fu7ep9tr1b
    @user-fu7ep9tr1b 4 месяца назад

    Asante yesu kwa upendo

  • @rachelthomas8382
    @rachelthomas8382 4 года назад +2

    Imenitia Nguvu tele Pr. Barikiwa sana

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 5 лет назад +4

    Nimebarikiwa na neno mchungaji, dadangu Yuko katika Mapito ya madeni namuimbea mungu asimuache kamwe.ubarikiwe pastor

  • @kizazigashane5960
    @kizazigashane5960 4 года назад +1

    Amina ndugu katika kristo Yesu

  • @marthajepkogei5845
    @marthajepkogei5845 Год назад

    Hili mafundisho limenipata siku ya Jana lakini mungu ni mwema Kila saa na Kila siku.asante mungu Kwa kuanda ibada kupitia pst.mbaga.barikiwa Kwa Jina la Jesus

  • @magretmush7646
    @magretmush7646 5 месяцев назад

    Nashukuru meelimika mengi kutoka mahu biri ya mtumishi wa mungu mmbaga

  • @jamesmussa3194
    @jamesmussa3194 4 года назад +2

    Baba andiko na mahubir yako yananibarik kwa viwango vikubwa sana na MUNGU azid kkupa njia

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 4 года назад +1

    Pastor nimekuelewa ubarikiwe nami nimeptia maisha haya unayoyahubr ubarikiwe Sana niombe nami niwe mhubr

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 Год назад

    Amen soo powerful courageous ND inspiring message God bless you pastor am soo blessed

  • @lucynyigana2801
    @lucynyigana2801 4 месяца назад

    Aminaaaa barikiwa mtu wa MUNGU

  • @edithmunuve7733
    @edithmunuve7733 4 года назад +2

    Nahisi uzito wa mafuta, Bwana akubariki mtumishi.

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 3 года назад

    Mtumishi hakika mkono wa MUNGU ujuu yako unafundisha hata kama ajielewi una haza jielewa toka niaze kukusikiza unduma yako sijawai jutia bali ubarikiwa na kujegewa kitu kipya dani yangu MUNGU azidi kukupa ekima na baraka daima 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @tinawile7310
    @tinawile7310 Год назад

    Amina Mungu ana jembe lake la kipare hapa

  • @rosemwangome8996
    @rosemwangome8996 3 года назад

    Barikiwa mtumishi wa mungu kwa mahubiri ya kuinua na kutia nguvu yanani bariki sana

  • @nafikaahadi3380
    @nafikaahadi3380 5 лет назад +5

    Waooooh, Pastor unaongea na mimi, Amen ubarikiwe sana

    • @stephenmdimu8180
      @stephenmdimu8180 4 года назад +1

      ansante kwa neno toka ZABURI ya 23 ubarikiwe sana mtumishi mdimu

    • @merinasyohana2129
      @merinasyohana2129 3 года назад

      Somo hili linanihusu barikiwa

  • @danielbabu2707
    @danielbabu2707 4 года назад +3

    Mungu akuongoze kwa hayo mafunzo mazuri √√√

    • @stellandossy8107
      @stellandossy8107 3 года назад

      Nimesikiliza hii nikatamami kupiga ukunga nikujikuta kumbe Niko kwenye gari, duu kwel mungu kanisrma,

  • @godfreywilliam993
    @godfreywilliam993 5 лет назад +1

    Namuombea shangaz yang mke wa mjomba ambae n mama yang kpenz Mungu amsmamie katk maden yake kpteia somo hili amina

  • @hajimajaliwa6452
    @hajimajaliwa6452 3 года назад

    Asante mtumishi hata Mimi niliwahi kuota nasoma zaburi,asante kwa mafundisho mazuri

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 Год назад

    Amen.ubarikiwe pastor Mbaga

  • @hondenisonmagufulinyabaro3923
    @hondenisonmagufulinyabaro3923 5 лет назад +3

    Be blessed PR David

  • @fgbeatricegg145
    @fgbeatricegg145 5 лет назад +1

    Mungu akukumbuke katika ufalme wake

  • @unclejonah7350
    @unclejonah7350 3 года назад

    I this is good pastor amen 🙏

  • @shimwekagwiza2300
    @shimwekagwiza2300 5 лет назад +2

    Amina, nimebarikiwa kwa zaburi 23

  • @furahajoy3168
    @furahajoy3168 4 года назад

    Nashukuru sana kutuimarisha tena Mungu awazidishiye

  • @magnifiquentkrtmna320
    @magnifiquentkrtmna320 5 лет назад +1

    Amen wewe ubarikiwe,sijaona wa sabato wana hubiri ivyo. Mi ni murundi ila nikikusiklisa na erewa

  • @nickfranck5004
    @nickfranck5004 5 лет назад +1

    Barikiwa sana mjoli wa BABA kwa somo zuri

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 5 лет назад +7

    Ubarikiwe mchungaji somo zuri.Naomba unikumbuke ktk maombi niingie ktk ufalme wa Mungu.

    • @callennyacnchama1860
      @callennyacnchama1860 5 лет назад

      Pastor naomba uniombee kijana wangu wa kiume tumbo inawaka moto karibu miezi tatu amejaribu kuenda hospital amepewa madawa amejaribu kunywa imekataa Niko America kijana ako nyumbani Kenya majina ya kijana ni Geoffrey mongare kinyosi,Mimi ninaye kukuandikia mama yake kutoka America napenda kufuatiria mahubiri yako pastor.

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 9 месяцев назад

    Mungu ni mkuu amenitendea makuu

  • @joycewanjiru4160
    @joycewanjiru4160 Год назад

    Amen, very powerful 💪🙏🙏🙏

  • @josephinemwita8883
    @josephinemwita8883 2 года назад

    Asante mchungaji kwa maombi

  • @user-rf5tz5ft2y
    @user-rf5tz5ft2y 5 лет назад +2

    Amen God bless you pastor contunue preaching the gospel

  • @ibrahimisack7788
    @ibrahimisack7788 5 лет назад +1

    Amina mchungaji hubiri limenibariki hasa.

  • @gladysiminza7782
    @gladysiminza7782 5 лет назад +4

    Glory to God

  • @biblianabibliapekee8113
    @biblianabibliapekee8113 5 лет назад +2

    Ameni 💖💖💖💖💝💝💝💝💝💝💝💝💝💝💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💝💝💝💝💝💝💝💝

  • @mariasolomoni3884
    @mariasolomoni3884 5 лет назад +2

    Hallelujah

  • @reallyworshipers1515
    @reallyworshipers1515 5 лет назад +4

    Be blessed my teacher

  • @shideashidea5570
    @shideashidea5570 5 лет назад

    Nimebarikiwa Na somo hili Amina Amina!

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 4 года назад

    Amina nime simamia katika kitabu cha Zaburi23:1-6

  • @michaelezekielroswe9517
    @michaelezekielroswe9517 Год назад

    Siku moja nitatoa ushuhuda juu ya hili somo, Mungu atuweke hai

  • @anithakeza701
    @anithakeza701 4 года назад

    Asante baba mcungaji mimi naishi Burundi napenda sana mafundisho yako

  • @LeathKahesi-qq1po
    @LeathKahesi-qq1po 3 месяца назад

    Mungu akutunze

  • @amidasinzoyiheba4716
    @amidasinzoyiheba4716 2 года назад +1

    Amen 🙏 🙏

  • @augustinemnzava8056
    @augustinemnzava8056 2 года назад

    Barikiwa sana Mchungaji

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Месяц назад

    Aminah

  • @lennybaabrah6752
    @lennybaabrah6752 4 года назад

    Amen ubarikiwe pia

  • @cassianndimbo7297
    @cassianndimbo7297 5 лет назад +2

    Nilitaka Lile somo la nguvu Za mungu kipindi yupo bungeni nitumie Kama lipo Kama unalo

  • @tikeydavid5989
    @tikeydavid5989 4 года назад +1

    Nabarikiwa sana

  • @neemadaud234
    @neemadaud234 4 года назад +2

    Nalianalia na mahubiri haya maana ndio yamekuwa kama maisha yangu Eeee MUNGU wangu nipiganie mdhambi mm

  • @joykapaya1970
    @joykapaya1970 3 года назад

    Aminaa.

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 5 лет назад +1

    Safi Kabisa Barikiwa

  • @irenejoseph5925
    @irenejoseph5925 2 года назад

    Mungu anisaidie mimi asikie haja za moyo wangu

  • @arlettedebbiezaina6247
    @arlettedebbiezaina6247 4 года назад +1

    Somo nzuri kabisa baba Mchungaji, nime barikiwa.

  • @ludowvickfedha4556
    @ludowvickfedha4556 6 месяцев назад

    Thanks

  • @dorcasrhobi8211
    @dorcasrhobi8211 Год назад

    Amen

  • @anna19805974
    @anna19805974 3 месяца назад

    AMEN

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 2 года назад

    Amina

  • @benedictmwamburi7850
    @benedictmwamburi7850 2 года назад

    Ubarikuwe mchungaji Kuna mahali umanifungua macho....kutoka kenya

  • @lilianmalibwa936
    @lilianmalibwa936 2 года назад

    Huwa nafarijika Sana ninaposikiliza mahubiri haya.Zawadi kubwa ya kukupatia nakuombea Kwa Mungu siku Moja ukairithi nchi ya aHadi.Endelea kubarikiwa katika utumishi wa bwana maana ni heri kufariji kuliko kuhukumu.

  • @hildajohn4526
    @hildajohn4526 4 года назад +1

    Duh nimebarikiwa sana na hili neno

  • @jameskenny1808
    @jameskenny1808 5 лет назад +3

    MCHUNGAJI NA KUOMBA ULICHUNGE KUNDI HILI WALA KANISA HILI,SABABU LINA MPENDEZA MUNGU ,WALA HERENI NA VISUKO VISIONEKANAKE NDANI YAO,WALA VIPONDOZI HILO NI CHUKIZO KWA BWANAMUNGU WETU MWENYE UWEZO NA NGUVU .KAZA BUTI YESU ANA RUDI.

    • @melissateddybearcossan9506
      @melissateddybearcossan9506 4 года назад

      Nawe ukumbuke kulichunga lile kundi pale tumekuachia nisisikie visuko wala dawa ya nywele wala heleni linapendeza ,Barikiwa ukibariki wengine nawe ubarikiwe .Mama Melissa

  • @aminamuhina9575
    @aminamuhina9575 2 года назад

    Mungu awe nawe unanibariki

  • @JosephineKengaa
    @JosephineKengaa 13 дней назад

    Ameen

  • @Martin-uq2kv
    @Martin-uq2kv 3 года назад

    Amazing

  • @esthersimuli9952
    @esthersimuli9952 2 года назад

    Bwana ndiye muchungaji mwema sitapungukiwa na kitu amina

    • @esthersimuli9952
      @esthersimuli9952 2 года назад

      Wema na fadhilli zitanifuata siku sote za maisha yangu

  • @priscalmichael8579
    @priscalmichael8579 5 лет назад +2

    Mungu akupe maisha marefu ubarikiwe naomba namba yako ninahitaji kuongea nawe

  • @alexmushi9416
    @alexmushi9416 3 года назад

    Mpareeeee ufupi una faida zake Nmependa ujumbe Babaaaaaa!

  • @imangregory8392
    @imangregory8392 5 лет назад +1

    Amina!

    • @jobmwaneki2172
      @jobmwaneki2172 3 года назад

      Happy sabbath my name is Job mwaniki from kenya,Pastor us you say some are watching you true RUclips yes am the one, be blessed Pastor for the wonderful msg

  • @hellenkhaoya8502
    @hellenkhaoya8502 Год назад

    Amen to lord 🙏

  • @rispernyakundi7919
    @rispernyakundi7919 2 года назад

    Nimebarikiwa mno Pastor

  • @alisaalisa4400
    @alisaalisa4400 3 года назад +1

    Nakusoma nikiwa saudi arebia

  • @jonasmnyone4791
    @jonasmnyone4791 3 года назад

    God bless him

  • @mirumbelevy8440
    @mirumbelevy8440 3 года назад

    AMINA

  • @naomykenyera1814
    @naomykenyera1814 3 года назад

    Yaani nilikuwa Mungu akubariki natamani sikumoja nikuone live

  • @mashaelieazer6120
    @mashaelieazer6120 4 года назад +1

    Pasta unanibariki sana

  • @josephmahuma8930
    @josephmahuma8930 4 года назад

    Bwana ambariki mchungaji mbaga