DHAMBI ISIYOSAMEHEKA NI IPI?(OFFICIAL VIDEO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 ноя 2019
  • WENGI WANADHANI WAMEFANYA DHAMBI HII. SIKILIZA ILI UITAMBUE.

Комментарии • 251

  • @DariahKaveri
    @DariahKaveri 16 дней назад

    Mungu naomba msamaha kwa kushiriki meza ya Bwana nikiwa mwenye dhambi

  • @francisthomas748
    @francisthomas748 9 месяцев назад +2

    Hey pastor mafundisho Yako ni mazuri kabisa naomba siku Moja uje uko Kenya ulete hiyo mafuzo uko, Mimi ninashiriki katika kaniza la Enemasi SDA naomba ufike wakati Moja.

  • @patriciakhakali4200
    @patriciakhakali4200 3 года назад +6

    My friend and sister in Christ shared with me one of your sermons a few days ago,I have been listening to your sermons, and they have been a blessing, I feel so much at peace .

  • @kazidotto8675
    @kazidotto8675 Год назад +1

    MUNGU Wangu nisamehe zambi zangu mm pamoja na familiya yangu maana nimetenda zambi nyigi zigine bila kujuwa nakuja kwako unisamehe kupitia mtumishi wako

  • @marthamwakatobe1596
    @marthamwakatobe1596 2 года назад +1

    Ahsante Mungu kwa mafundisho mazuri ya kutupa ufahamu kuhusiana na kumkufuru Roho Mtakatifu. Mungu wa mbinguni mpe maisha marefu mtumishi wako huyu .

  • @user-fl6wo7zm5f
    @user-fl6wo7zm5f 10 месяцев назад +1

    Nimelewa mungu akubaruki mchungaji

  • @fridafrancis1960
    @fridafrancis1960 2 года назад +1

    Sioshwi dhambi zangu ila kwa DAMU YA KRISTO TU ameen

  • @BethLameck-sc9py
    @BethLameck-sc9py 7 месяцев назад +1

    Mungu akubariki baba hakika Mungu anakutumia

  • @elijanzioka9639
    @elijanzioka9639 3 месяца назад

    I thank God for giving me good news ,be blessed pastor

  • @deborahmfinanga3991
    @deborahmfinanga3991 Год назад +1

    Mchungaji mungu azidi kukubariki sana,umenifungua akili kwa kweli na mshukuru sana mungu kwa kukutumia njema,jina la bwana lipewe sifa.

  • @faithndeva8658
    @faithndeva8658 3 года назад +2

    Amen pastor nimejifunza mengi may God bless you

  • @mariampeace6737
    @mariampeace6737 4 месяца назад

    Huu Ni wa kweli kabisa MUNGU WA MBINGUNI Ampe Maisha marefu matakatifu

  • @nelsonamani9489
    @nelsonamani9489 3 месяца назад

    Pastor nashukuru sana Kwa mahubiri yako, Mungu akubariki

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 Год назад +1

    Ameen barikiwa Mtumishi wa Mungu 🙏

  • @marycheupe8613
    @marycheupe8613 4 года назад +2

    Haki nimejifunza mambo makubwa mno mtumishi. Haki mungu akubariki sana

  • @nintunzeleonel8062
    @nintunzeleonel8062 4 года назад +8

    Ubarikiwe sana mchungaji kwa kuweka ukweli wazi hakika wengi tulikuwa tunatenda mabaya bila kujielewa.Varikiwa sana.

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp 3 месяца назад

    Amen mungu akubarki san mtumishi

  • @lydiahnyaboke1995
    @lydiahnyaboke1995 3 года назад +4

    I have been following on your teachings moreso on prophecy and I must say you simplify things for me for easy understanding,I am enjoying prophecy so much.Be blessed and may God fill you with more knowledge and wisdom.

  • @claudinebatamuriza7804
    @claudinebatamuriza7804 4 года назад +6

    Sinanjambo yakusema nawomba Mungu anisamehe pastor Mungu akumbaliki sinjuwe kitu cyakusema Mungu nisamehe

  • @mundesmokesen9314
    @mundesmokesen9314 Год назад

    Asante Sana mchungaji umenitoa sehemu moja kwenda pengine ubarikiwe

  • @GilesKhamis
    @GilesKhamis 10 месяцев назад

    Past hongera sana kwa somo

  • @sabathdaychannel2985
    @sabathdaychannel2985 3 года назад +1

    Nimebarikiwa pastor kwa huduma yako Mwenyezi Mungu akutangulie kwa utumishi wako

  • @rachelmanema9044
    @rachelmanema9044 3 года назад +3

    Pastor tunaomba utembelee makanisa yetu ufundishe hili somo ubinafsi na ubaguzi unamaliza watu tuombee sana hasa ukabila umezidi

  • @cutestpuppies6632
    @cutestpuppies6632 4 года назад +6

    Nimebarikiwa tena na mahubiri yako pastor, Mungu akubariki sana 🙏🙏🙏

  • @user-no2tw5vb8j
    @user-no2tw5vb8j 2 года назад +1

    Doreen Edasi from saudi arabia, l lov the preaching man of God 💃💃💃💃💃💃💃💃

  • @asharamadhan8806
    @asharamadhan8806 4 года назад +4

    Amina pastor Mungu akubariki nmeelewa kuhusu meza ya Bwana naomba Roho Mtakatifu aniongoze katika maisha yangu yote maana bila Yeye Mimi siwezi nakushukuru sana Mchungaji kwa Neno Lenye nguvu ndani ya Moyo wangu Mungu unaemtumikia akupe afia NJEMA pamoja na familiya Amina

  • @maalady4631
    @maalady4631 2 года назад +4

    The best teacher of the word of God ...be blessed MoG

  • @mahindiumakinisa4732
    @mahindiumakinisa4732 5 месяцев назад

    Ahsante kwa hili somo

  • @heritierba9868
    @heritierba9868 2 года назад

    Fundisho nzuri tena

  • @christinajmnkenyi724
    @christinajmnkenyi724 3 года назад +1

    Pastor Mmbaga namshukuru Mungu kwa kukutumia ww kama chombo kunena nasi,naamini kwa Jina la YESU KRISTO ,hubiri hili litaniokoa na ugonjwa ulioko ndani yangu.

  • @miriamngosha6856
    @miriamngosha6856 3 года назад +1

    Eh mungu atusamahee na atuepushe na midogo yetu mungu wangu Nimeogopa sana

  • @shimwekagwiza3731
    @shimwekagwiza3731 4 года назад +4

    Asante pastor, nakupenda Sana maana unanifumbua macho kila nisikilizapo mafundisho yako

  • @annesilengo2717
    @annesilengo2717 4 года назад +2

    Bwana Yesu asifiwe kwa ajili yako wewe mtu wa Mungu hakika nimejifunza pa kubwa sana juu ya dhambi isiyosamehewa. Mungu apanue mipaka ya maisha yako man of God. Anne from Kenya

  • @amonidafa9665
    @amonidafa9665 3 года назад +1

    Hili somo sikuwai kulielewa...Asante Yesu kwamba leo nimeelewa...The victory belongs to Jesus our savior

  • @user-os3vo4sm2n
    @user-os3vo4sm2n 7 месяцев назад

    AMEN Barikiwa

  • @marymichael8197
    @marymichael8197 4 года назад +2

    Mungu azidi kukutumia kwa kazi njema. Nimebarikiwa na fundisho!

  • @dorothyokeyo5454
    @dorothyokeyo5454 3 года назад +1

    Very touching I don't know the truth about dhambi ya zisizo samehewa .I like your preaching zina nisonga karibu na Yesu

  • @kevinigendi6080
    @kevinigendi6080 4 года назад +20

    Pastor l really love your preaching am from Kenya thank you so much

    • @amonidafa9665
      @amonidafa9665 3 года назад

      Stay connected man of God

    • @v_simon2677
      @v_simon2677 2 года назад +1

      Napenda sana kuskiliza mahubir Mungu aendelee kuwabarik ili muendelee kutufundisha ili tuelewe

  • @judithpius9687
    @judithpius9687 4 года назад +5

    Hubiri zuri sana, ni muhimu Kujua Dhabi isiyosameheka. Mungu akubariki pr unapotusaidia kuyajua maandiko.

  • @betronsokanya9071
    @betronsokanya9071 4 года назад +1

    Nimebarikiwa sana...namshukuru Bwana Yesu Kristo kwa kuniokoa,na pia nakushukuru wewe mchungaji kwa kukubali kufikisha ujumbe wa Yesu mwenyewe.amina

  • @kissanselu8569
    @kissanselu8569 Год назад

    Yaani ubalikiwe mtumishi

  • @dottocharles7809
    @dottocharles7809 4 года назад +1

    Pastor nimefarijika sana kwa hubiri hili Mwenyezi Mungu azidi kukutumia kuifunua kweli ya Mungu kwa watu wake nipo Mwanza Kirumba S.D.A nafurahi sana mahubiri yako

  • @romanmaroa3389
    @romanmaroa3389 2 года назад +1

    Man of GOD, I am much bless and I love your preaching and teaching, God bless you. I am from kenya

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 8 месяцев назад +3

    Barikiwa sana Pastor

  • @benardakyoo7475
    @benardakyoo7475 4 года назад +1

    God bless you pastor nimejua kwel na itaniweka huru kwa Jina la Yesu kristo

  • @zephaniahmwendwa3840
    @zephaniahmwendwa3840 2 года назад +2

    iam so blessed with that teachings

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily4262 4 года назад +1

    Barikiwa Sana pastor mbaga

  • @enockosongoh4374
    @enockosongoh4374 3 года назад +1

    Frank mkenya from Kenya napenda Sana mahubiri yako pastor

  • @patiencehumbled3519
    @patiencehumbled3519 2 года назад +3

    Amen,nilikuwa natafuta injili ya ukweli,mtumishi ubarikiwe maana nimeipata kwako kupitia mtumishi wa Bwana mwinjilisti Paschal Cassian

  • @barakajoseph1816
    @barakajoseph1816 4 года назад +1

    Mungu azidi kukutumia kwa kazi yake Pr,songa mbelee

  • @gloriatoo22
    @gloriatoo22 2 года назад +1

    Kenyan 👀 I love your teachings..be blessed too

  • @mercynyanchoka6283
    @mercynyanchoka6283 3 года назад

    Amen, hua nafuatilia kutoka hapa saudia, barikiwa sana

  • @jessikaakinyi8445
    @jessikaakinyi8445 3 года назад +1

    Ni kweli pastor kuna Aunt yangu anaombea watu wanapona Ila yeye ako na goita aponi na watu wanapona hadi leo ako na hiyo goita

  • @happinessshilie4019
    @happinessshilie4019 2 года назад

    Jina la BWANA litukuzwe

  • @maryaoko5027
    @maryaoko5027 2 года назад

    Mtumishi.....niko na swali....sasa ukila na ndio lkwa umempokea Yesu na hamkua na mafunzo alafu ukashirikishwa

  • @changarawemichael9795
    @changarawemichael9795 4 года назад +3

    Ni Mimi mwenyew nimeongelewa Bwana YESU niguse

  • @veronicaenock7292
    @veronicaenock7292 4 года назад

    Amen Pastor Mmbaga ubarikiwe sana 🙏🏻🙏🏻

  • @kabalata1506
    @kabalata1506 4 года назад +1

    Amina Pastor Bwana Yesu akubariki sana

  • @paulraymond68
    @paulraymond68 3 года назад

    Hakika nimekuelewa be Blessed Pastor Mbaga na Mungu azid kukutunza

  • @josephshidukiseni8758
    @josephshidukiseni8758 4 года назад +4

    Nimepataa kitu pastor... Kiukwl hapo kwenye kushiriki meza ya BWANA wengi tunatenda kinyume kabisaa... Ilaa asante kwa somo sasaa tumejifunza... Ubarikiwe

    • @witnessmbowe6217
      @witnessmbowe6217 4 года назад

      Pasta mwangu Ana kaujeuri mtumishi Nifanyeje

  • @user-xy6jr8ew5w
    @user-xy6jr8ew5w Год назад +3

    Asante Mungu kwa ajili ya mtumishi huyu.

  • @kinggwalu114
    @kinggwalu114 2 года назад

    Ahsante sana baba nabarikiwa kwer

  • @marthajames7492
    @marthajames7492 4 года назад

    Bwana akubariki mchungaji uzidi kutumika shambani mwake

  • @chibugamedia7313
    @chibugamedia7313 3 года назад +1

    Barikiwa sana

  • @zachaeousmithea9488
    @zachaeousmithea9488 2 года назад +1

    Wonderful preacher

  • @user-bj8zf3rd4z
    @user-bj8zf3rd4z 7 месяцев назад +1

    Glory be to God always

  • @MaryWilson-vg2mm
    @MaryWilson-vg2mm 3 года назад

    Nabarikiwa sana napenda mafundisho kwakweli.

  • @philbertmashaury1985
    @philbertmashaury1985 4 года назад +1

    Pr. Amina sabato ijayo ni meza ya Bwana nimepata chakufanya

  • @wycliffephinus4237
    @wycliffephinus4237 4 года назад +1

    @pastormbaga you're real exciting me for l want to be a doctor but also a pastor ,you're my role model in Christ.

  • @jackmollel3942
    @jackmollel3942 2 года назад

    Napenda sana haya mahubiri

  • @elizabethlukumai4521
    @elizabethlukumai4521 4 года назад +1

    Asante mtumishi mungu akuinue zaidii

  • @user-bq4nk4sg1w
    @user-bq4nk4sg1w День назад

    Amina

  • @vailethmarack374
    @vailethmarack374 3 года назад

    Barikiwa Mch kwa somo hili.

  • @melissateddybearcossan9506
    @melissateddybearcossan9506 4 года назад +4

    Aise leo nimeelewa kwa nini wanasema kaputula wazungu badala ya suruali ni kwa sababu wanapenda kaputula

  • @estermsigwa1476
    @estermsigwa1476 2 года назад

    Amen nimepata kitu

  • @emmamedia8155
    @emmamedia8155 2 года назад

    Yaaaaani huyu mchungaji Basi tu Yuko poa Sana Hadi cyo poa!!!!

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 4 года назад

    Amen asante Yesu kwa ili somo

  • @avenaaleoamo5095
    @avenaaleoamo5095 4 года назад

    Asante kwa ajiliya mafundisho haya yamenitoa sehem moja kwenda nyingine endelea kutufunulia zaid

  • @amanisteven2212
    @amanisteven2212 4 года назад

    Amina pastor Ubarikiwe.

  • @yohanamabubu2491
    @yohanamabubu2491 4 года назад

    Kristo wa neema yote akubariki sana mtumishi kwa ajili ya neno zuri.

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 4 года назад +1

    Kweli shetani ananitatiza na. Usingizi, ila nguvu ya Roho mtakatifu ananiongoza, soma zuri, be bless pastor from qatar

    • @damah8431
      @damah8431 4 года назад

      Pia niko Qatar dadangu nipe number yako

  • @buhatwatv8106
    @buhatwatv8106 3 года назад

    nime elewa, ubarikiwe sana MCHUNGAJI

  • @mutangajohn3689
    @mutangajohn3689 2 года назад

    MUNGU akusaidiye pastor

  • @antoniraphael9124
    @antoniraphael9124 3 года назад

    Kwakweli adi kwenye RUclips nacheka wambea hao wapoooh labda namm nimewai kuifanya nimesaau mungu anisameee

  • @user-lk2hk7ow2k
    @user-lk2hk7ow2k 3 года назад

    Googd

  • @witnessmalangalila91
    @witnessmalangalila91 3 года назад

    Barikiwa sn Mtumishi

  • @williammwanawima7996
    @williammwanawima7996 4 года назад

    Somo zuri sana, pastor MMbaga, ILA HUYO MSOMAJI HATUMSIKII KWA SABABU HATUMII MIC. UNGESOMA MWENYEWE ULIYE NA MIC.

  • @miriamisack3220
    @miriamisack3220 4 года назад

    Asante mungu kwa neno hili asante baba

  • @happymbilinyi7564
    @happymbilinyi7564 4 года назад

    Mungu akubariki sana mtumishi nabarikiwa sana n.a. Huduma yako Mungu azidi kukutunza tupate mengi zaidi

  • @boyhd2480
    @boyhd2480 2 года назад

    Barikiwa mchungaji

  • @anusiathavedasto9916
    @anusiathavedasto9916 4 года назад +1

    Samahani mchungaji kwa wale wnaokuwa chini ya marudi tayar wamejitenga na meza ya bwana iyo imekaaje

  • @saidsoudy3140
    @saidsoudy3140 4 года назад

    Yesu asante kwa kutuokoa

  • @seyaorongo7466
    @seyaorongo7466 4 года назад +1

    Somo zuri umeiponya nafsi yangu barikiwa sana

    • @ernestmbowe9153
      @ernestmbowe9153 4 года назад

      Barikiwa nimekupata vzr na unatoa darasa

  • @anithabuberwa2253
    @anithabuberwa2253 4 года назад +19

    Kanisa lako liko wapi mtumishi wa Mungu? Natamani ningeungana nanyi katika ibada za kila siku nimepanda sana mafundisho yako naona kuna kitu kikubwa sana ndani yako kimewekwa na aliye juu, mimi nipo Morogoro.

    • @zephaniahgiftedbygod960
      @zephaniahgiftedbygod960 4 года назад +4

      Barikiwa sana Anitha Pastor anapatikana Dodoma mjini

    • @dannychagana3019
      @dannychagana3019 4 года назад

      Nenda kanisa la SDA hapo Morogoro watakusaidia namna ya kumpata huyu mchungaji

    • @MaryMary-hw8fr
      @MaryMary-hw8fr 4 года назад +1

      Amen mtumishi ubarikiwe sana unafundisha mpaka unaelewa bila shida.

    • @jordanmashaka50
      @jordanmashaka50 4 года назад

      Nenda kwenye kanisa lolote la Waadventista wasabato lililokaribu na wewe ushiriki ibada, maana pr ni mchungaji wa kanisa hili.
      Hauna haja ya kumfata Dodoma, hapo hapo Morogoro yapo makanisa mengi ya SDA.

    • @isaiahstadius2383
      @isaiahstadius2383 4 года назад

      Anitha Buberwa karbu MAZIMBU SDA unaweza kunitafuta kwa namba 0672911001 nitakuelekeza.

  • @estherkusaga9181
    @estherkusaga9181 3 года назад

    Pastor hili somo ni adimu makanisani uwelewa Wa juu namna hii ni mdg sana

  • @miloboreshaafya3362
    @miloboreshaafya3362 4 года назад

    Mchungaji mungu akujalie na akutie nguvu

  • @dionestafrance4931
    @dionestafrance4931 4 года назад

    Mch ubarikiwe saana nmekuelewa

  • @user-zc1xq8xk1i
    @user-zc1xq8xk1i 4 месяца назад

    Wote ni walewale

  • @aganzearthur6205
    @aganzearthur6205 2 года назад

    Mucungaji nakusihi saana huyo musemo umetumiya eti hao waamiwako eti nibyasharazako Mungu hawezi kuwufurahiya hizo nikondoo umepewa na Mungu na maziwa zinayokupa ili kaziya Bwa iendele yangine unayo niyaziyada

  • @joyceyusuph448
    @joyceyusuph448 4 года назад

    Barikiwa mchungaji somo hili limenijenga kwa namna yake