Hey pastor mafundisho Yako ni mazuri kabisa naomba siku Moja uje uko Kenya ulete hiyo mafuzo uko, Mimi ninashiriki katika kaniza la Enemasi SDA naomba ufike wakati Moja.
My friend and sister in Christ shared with me one of your sermons a few days ago,I have been listening to your sermons, and they have been a blessing, I feel so much at peace .
MUNGU Wangu nisamehe zambi zangu mm pamoja na familiya yangu maana nimetenda zambi nyigi zigine bila kujuwa nakuja kwako unisamehe kupitia mtumishi wako
I have been following on your teachings moreso on prophecy and I must say you simplify things for me for easy understanding,I am enjoying prophecy so much.Be blessed and may God fill you with more knowledge and wisdom.
Amina pastor Mungu akubariki nmeelewa kuhusu meza ya Bwana naomba Roho Mtakatifu aniongoze katika maisha yangu yote maana bila Yeye Mimi siwezi nakushukuru sana Mchungaji kwa Neno Lenye nguvu ndani ya Moyo wangu Mungu unaemtumikia akupe afia NJEMA pamoja na familiya Amina
Pastor Mmbaga namshukuru Mungu kwa kukutumia ww kama chombo kunena nasi,naamini kwa Jina la YESU KRISTO ,hubiri hili litaniokoa na ugonjwa ulioko ndani yangu.
Bwana Yesu asifiwe kwa ajili yako wewe mtu wa Mungu hakika nimejifunza pa kubwa sana juu ya dhambi isiyosamehewa. Mungu apanue mipaka ya maisha yako man of God. Anne from Kenya
Pastor nimefarijika sana kwa hubiri hili Mwenyezi Mungu azidi kukutumia kuifunua kweli ya Mungu kwa watu wake nipo Mwanza Kirumba S.D.A nafurahi sana mahubiri yako
Nimepataa kitu pastor... Kiukwl hapo kwenye kushiriki meza ya BWANA wengi tunatenda kinyume kabisaa... Ilaa asante kwa somo sasaa tumejifunza... Ubarikiwe
Kanisa lako liko wapi mtumishi wa Mungu? Natamani ningeungana nanyi katika ibada za kila siku nimepanda sana mafundisho yako naona kuna kitu kikubwa sana ndani yako kimewekwa na aliye juu, mimi nipo Morogoro.
Nenda kwenye kanisa lolote la Waadventista wasabato lililokaribu na wewe ushiriki ibada, maana pr ni mchungaji wa kanisa hili. Hauna haja ya kumfata Dodoma, hapo hapo Morogoro yapo makanisa mengi ya SDA.
Mucungaji nakusihi saana huyo musemo umetumiya eti hao waamiwako eti nibyasharazako Mungu hawezi kuwufurahiya hizo nikondoo umepewa na Mungu na maziwa zinayokupa ili kaziya Bwa iendele yangine unayo niyaziyada
Mungu naomba msamaha kwa kushiriki meza ya Bwana nikiwa mwenye dhambi
Hey pastor mafundisho Yako ni mazuri kabisa naomba siku Moja uje uko Kenya ulete hiyo mafuzo uko, Mimi ninashiriki katika kaniza la Enemasi SDA naomba ufike wakati Moja.
My friend and sister in Christ shared with me one of your sermons a few days ago,I have been listening to your sermons, and they have been a blessing, I feel so much at peace .
MUNGU Wangu nisamehe zambi zangu mm pamoja na familiya yangu maana nimetenda zambi nyigi zigine bila kujuwa nakuja kwako unisamehe kupitia mtumishi wako
Ahsante Mungu kwa mafundisho mazuri ya kutupa ufahamu kuhusiana na kumkufuru Roho Mtakatifu. Mungu wa mbinguni mpe maisha marefu mtumishi wako huyu .
Nimelewa mungu akubaruki mchungaji
Sioshwi dhambi zangu ila kwa DAMU YA KRISTO TU ameen
Mungu akubariki baba hakika Mungu anakutumia
I thank God for giving me good news ,be blessed pastor
Mchungaji mungu azidi kukubariki sana,umenifungua akili kwa kweli na mshukuru sana mungu kwa kukutumia njema,jina la bwana lipewe sifa.
Amen pastor nimejifunza mengi may God bless you
Huu Ni wa kweli kabisa MUNGU WA MBINGUNI Ampe Maisha marefu matakatifu
Pastor nashukuru sana Kwa mahubiri yako, Mungu akubariki
Ameen barikiwa Mtumishi wa Mungu 🙏
Haki nimejifunza mambo makubwa mno mtumishi. Haki mungu akubariki sana
Ubarikiwe sana mchungaji kwa kuweka ukweli wazi hakika wengi tulikuwa tunatenda mabaya bila kujielewa.Varikiwa sana.
Amen mungu akubarki san mtumishi
I have been following on your teachings moreso on prophecy and I must say you simplify things for me for easy understanding,I am enjoying prophecy so much.Be blessed and may God fill you with more knowledge and wisdom.
Sinanjambo yakusema nawomba Mungu anisamehe pastor Mungu akumbaliki sinjuwe kitu cyakusema Mungu nisamehe
Asante Sana mchungaji umenitoa sehemu moja kwenda pengine ubarikiwe
Past hongera sana kwa somo
Nimebarikiwa pastor kwa huduma yako Mwenyezi Mungu akutangulie kwa utumishi wako
Pastor tunaomba utembelee makanisa yetu ufundishe hili somo ubinafsi na ubaguzi unamaliza watu tuombee sana hasa ukabila umezidi
Nimebarikiwa tena na mahubiri yako pastor, Mungu akubariki sana 🙏🙏🙏
Doreen Edasi from saudi arabia, l lov the preaching man of God 💃💃💃💃💃💃💃💃
Amina pastor Mungu akubariki nmeelewa kuhusu meza ya Bwana naomba Roho Mtakatifu aniongoze katika maisha yangu yote maana bila Yeye Mimi siwezi nakushukuru sana Mchungaji kwa Neno Lenye nguvu ndani ya Moyo wangu Mungu unaemtumikia akupe afia NJEMA pamoja na familiya Amina
Hallelujah
The best teacher of the word of God ...be blessed MoG
Ahsante kwa hili somo
Fundisho nzuri tena
Pastor Mmbaga namshukuru Mungu kwa kukutumia ww kama chombo kunena nasi,naamini kwa Jina la YESU KRISTO ,hubiri hili litaniokoa na ugonjwa ulioko ndani yangu.
Eh mungu atusamahee na atuepushe na midogo yetu mungu wangu Nimeogopa sana
Asante pastor, nakupenda Sana maana unanifumbua macho kila nisikilizapo mafundisho yako
Bwana Yesu asifiwe kwa ajili yako wewe mtu wa Mungu hakika nimejifunza pa kubwa sana juu ya dhambi isiyosamehewa. Mungu apanue mipaka ya maisha yako man of God. Anne from Kenya
Hili somo sikuwai kulielewa...Asante Yesu kwamba leo nimeelewa...The victory belongs to Jesus our savior
AMEN Barikiwa
Mungu azidi kukutumia kwa kazi njema. Nimebarikiwa na fundisho!
Very touching I don't know the truth about dhambi ya zisizo samehewa .I like your preaching zina nisonga karibu na Yesu
Pastor l really love your preaching am from Kenya thank you so much
Stay connected man of God
Napenda sana kuskiliza mahubir Mungu aendelee kuwabarik ili muendelee kutufundisha ili tuelewe
Hubiri zuri sana, ni muhimu Kujua Dhabi isiyosameheka. Mungu akubariki pr unapotusaidia kuyajua maandiko.
Nimebarikiwa sana...namshukuru Bwana Yesu Kristo kwa kuniokoa,na pia nakushukuru wewe mchungaji kwa kukubali kufikisha ujumbe wa Yesu mwenyewe.amina
Yaani ubalikiwe mtumishi
Pastor nimefarijika sana kwa hubiri hili Mwenyezi Mungu azidi kukutumia kuifunua kweli ya Mungu kwa watu wake nipo Mwanza Kirumba S.D.A nafurahi sana mahubiri yako
Man of GOD, I am much bless and I love your preaching and teaching, God bless you. I am from kenya
Barikiwa sana Pastor
God bless you pastor nimejua kwel na itaniweka huru kwa Jina la Yesu kristo
iam so blessed with that teachings
Barikiwa Sana pastor mbaga
Frank mkenya from Kenya napenda Sana mahubiri yako pastor
Amen,nilikuwa natafuta injili ya ukweli,mtumishi ubarikiwe maana nimeipata kwako kupitia mtumishi wa Bwana mwinjilisti Paschal Cassian
Mungu azidi kukutumia kwa kazi yake Pr,songa mbelee
Kenyan 👀 I love your teachings..be blessed too
Amen, hua nafuatilia kutoka hapa saudia, barikiwa sana
Ni kweli pastor kuna Aunt yangu anaombea watu wanapona Ila yeye ako na goita aponi na watu wanapona hadi leo ako na hiyo goita
Jina la BWANA litukuzwe
Mtumishi.....niko na swali....sasa ukila na ndio lkwa umempokea Yesu na hamkua na mafunzo alafu ukashirikishwa
Ni Mimi mwenyew nimeongelewa Bwana YESU niguse
Amen Pastor Mmbaga ubarikiwe sana 🙏🏻🙏🏻
Amina Pastor Bwana Yesu akubariki sana
Hakika nimekuelewa be Blessed Pastor Mbaga na Mungu azid kukutunza
Nimepataa kitu pastor... Kiukwl hapo kwenye kushiriki meza ya BWANA wengi tunatenda kinyume kabisaa... Ilaa asante kwa somo sasaa tumejifunza... Ubarikiwe
Pasta mwangu Ana kaujeuri mtumishi Nifanyeje
Asante Mungu kwa ajili ya mtumishi huyu.
Ahsante sana baba nabarikiwa kwer
Bwana akubariki mchungaji uzidi kutumika shambani mwake
Barikiwa sana
Wonderful preacher
Glory be to God always
Nabarikiwa sana napenda mafundisho kwakweli.
Pr. Amina sabato ijayo ni meza ya Bwana nimepata chakufanya
@pastormbaga you're real exciting me for l want to be a doctor but also a pastor ,you're my role model in Christ.
Napenda sana haya mahubiri
Asante mtumishi mungu akuinue zaidii
Amina
Barikiwa Mch kwa somo hili.
Aise leo nimeelewa kwa nini wanasema kaputula wazungu badala ya suruali ni kwa sababu wanapenda kaputula
Amen nimepata kitu
Yaaaaani huyu mchungaji Basi tu Yuko poa Sana Hadi cyo poa!!!!
Amen asante Yesu kwa ili somo
Asante kwa ajiliya mafundisho haya yamenitoa sehem moja kwenda nyingine endelea kutufunulia zaid
Amina pastor Ubarikiwe.
Kristo wa neema yote akubariki sana mtumishi kwa ajili ya neno zuri.
Kweli shetani ananitatiza na. Usingizi, ila nguvu ya Roho mtakatifu ananiongoza, soma zuri, be bless pastor from qatar
Pia niko Qatar dadangu nipe number yako
nime elewa, ubarikiwe sana MCHUNGAJI
MUNGU akusaidiye pastor
Kwakweli adi kwenye RUclips nacheka wambea hao wapoooh labda namm nimewai kuifanya nimesaau mungu anisameee
Googd
Barikiwa sn Mtumishi
Somo zuri sana, pastor MMbaga, ILA HUYO MSOMAJI HATUMSIKII KWA SABABU HATUMII MIC. UNGESOMA MWENYEWE ULIYE NA MIC.
Asante mungu kwa neno hili asante baba
Mungu akubariki sana mtumishi nabarikiwa sana n.a. Huduma yako Mungu azidi kukutunza tupate mengi zaidi
Ooh hallelujah
Barikiwa mchungaji
Samahani mchungaji kwa wale wnaokuwa chini ya marudi tayar wamejitenga na meza ya bwana iyo imekaaje
Yesu asante kwa kutuokoa
Somo zuri umeiponya nafsi yangu barikiwa sana
Barikiwa nimekupata vzr na unatoa darasa
Kanisa lako liko wapi mtumishi wa Mungu? Natamani ningeungana nanyi katika ibada za kila siku nimepanda sana mafundisho yako naona kuna kitu kikubwa sana ndani yako kimewekwa na aliye juu, mimi nipo Morogoro.
Barikiwa sana Anitha Pastor anapatikana Dodoma mjini
Nenda kanisa la SDA hapo Morogoro watakusaidia namna ya kumpata huyu mchungaji
Amen mtumishi ubarikiwe sana unafundisha mpaka unaelewa bila shida.
Nenda kwenye kanisa lolote la Waadventista wasabato lililokaribu na wewe ushiriki ibada, maana pr ni mchungaji wa kanisa hili.
Hauna haja ya kumfata Dodoma, hapo hapo Morogoro yapo makanisa mengi ya SDA.
Anitha Buberwa karbu MAZIMBU SDA unaweza kunitafuta kwa namba 0672911001 nitakuelekeza.
Pastor hili somo ni adimu makanisani uwelewa Wa juu namna hii ni mdg sana
Mchungaji mungu akujalie na akutie nguvu
Mch ubarikiwe saana nmekuelewa
Wote ni walewale
Mucungaji nakusihi saana huyo musemo umetumiya eti hao waamiwako eti nibyasharazako Mungu hawezi kuwufurahiya hizo nikondoo umepewa na Mungu na maziwa zinayokupa ili kaziya Bwa iendele yangine unayo niyaziyada
Barikiwa mchungaji somo hili limenijenga kwa namna yake